Asalamu Aleikumu sheikh nauliza ukiona hedhi ya mtu mwingine Inamanisha nini?
@MuasitiAboBakri-ew5mu2 ай бұрын
Je ukiota una mimba ila ile mimba ukawa unaitaji kujifungua upo kwenye hali ya kupush mtoto yule anayekuzalisha anashangaa mbona damu na siyo tena mimba je inamaana gani, shekhe
@mozaabdulla476 Жыл бұрын
A alaykm mm nmeota nimepata hedhi ila asbh yk nipoamka nmeona maji maji na cio hedhi
@abdiyalove71116 ай бұрын
Mimi nimeota mimba imeharibika natokwa na damu nyingi inamaanisha nini hiyo ndooto ?
@ShamHassan-bv9xf Жыл бұрын
Ustadhi kama ukiota umeingia chooni ukakuta damu ya hedhi yamtu mwengine uka ona kinyaa ina maana gani
@gulammohammed3806 Жыл бұрын
A,alaikum kama mtu nimtumzima haingii tena kwenye hedhi ila kila siku anaota anaingia tafsri yake nini
@MarryChrispine-uy4mf11 ай бұрын
me nmeona hedhi ya rafik ang inamaan gn
@aluamasudi63262 жыл бұрын
Mwalimu Asalam alaykum warahmatullah ta-allah wabarakatu. Mimi naishi Congo lakini nina kuwa naota vitu tafauti sana leo naota mimi kwanza ni mwislamu sasa naota naenda kanisani kufika kanisani nikafukuzwa pale nafukuzwa ikanza ugonvi mimi na mwanamke umoja tunaanza ku tupiana mayayi ya kuku yakuachwa kisha ule mwanamke akakimbia chumbani kwake namimi nikakimbia nikaenda kukuta kisima chamadji nikachota madji ili nidjisafishe na yale uchafu wa ma yayi hapo nikaweza kusituka uzingizini nini manayake mwalimu wangu 🙏
@JacklinAyubu4 ай бұрын
Samah shehk nimeote nipo mtoni nafua pedi napedi ilikua na dam nikaona imwekwenda na maji nini maana yake
@saraphinamyinga87734 ай бұрын
Samahani shehk na ukiota umemaliza hedhi yako na kuna mtu kaiomba ile Pedi uliyokwisha kuitumia na kuichoma moto
@ngusakalima98992 жыл бұрын
Jeukiota umechuchumaa na unatoka hedhi Nini maana yake