TAFSIR YA NDOTO: MWENEYE KUOTA PERIOD USINGIZINI

  Рет қаралды 20,133

Riyadh Tv Online Znz

Riyadh Tv Online Znz

Күн бұрын

#RiyadhTvZnz #Zanzibar

Пікірлер: 36
@FurahaAugustin
@FurahaAugustin 11 ай бұрын
Asante sana nashukuru maana ndoto zako nazi kubali sana mengi yame nitoke
@MythiliBeka
@MythiliBeka 22 күн бұрын
Naiyota sana hii ndoto
@faudhiasaidi3669
@faudhiasaidi3669 Жыл бұрын
Jazaakallah khayrii
@zenamtembezi4921
@zenamtembezi4921 2 жыл бұрын
Asante sana
@aishajuma468
@aishajuma468 Жыл бұрын
Asante kaka
@SmilingGoBoard-bk8co
@SmilingGoBoard-bk8co 24 күн бұрын
Kwani wanaume wanakuywa na hedhi
@user-hz3fb2tb8x
@user-hz3fb2tb8x 10 ай бұрын
Assalamu aleykum mm sheikh nimeota nimeona damu ya hedh nyeusi
@user-mn3qq6xw6r
@user-mn3qq6xw6r 6 күн бұрын
Naukiota unaona hedhi dadako inamaana gani
@doreenpontian8255
@doreenpontian8255 2 жыл бұрын
Mm nimeona kitambaa cha piliod kinadondok mbel za watu nn maan yake
@NathamOmar-ls3dm
@NathamOmar-ls3dm Жыл бұрын
Asalam aleykum shekh Mimi niliota hedhi usingizini Alf asubuhi naamka kweli nimeingia kwenye siku inamaan gn???
@kenyanbae2476
@kenyanbae2476 2 жыл бұрын
Mwalimu assalam aleikum warahma tullah wabarakat mm mumewangu ndie alie niota niko kwenye hedhi je ina maana gani
@HawaJuma-m9z
@HawaJuma-m9z 11 ай бұрын
Asaramuareikum shehe mmnimemuota jiraniyupokwenye hedhi ndionini
@tatuaamuuinyi9633
@tatuaamuuinyi9633 Жыл бұрын
Mi.mbona nimesraibu video zako mpya sizipati
@nadiaharoon9648
@nadiaharoon9648 Жыл бұрын
Asalamu Aleikumu sheikh nauliza ukiona hedhi ya mtu mwingine Inamanisha nini?
@MuasitiAboBakri-ew5mu
@MuasitiAboBakri-ew5mu 2 ай бұрын
Je ukiota una mimba ila ile mimba ukawa unaitaji kujifungua upo kwenye hali ya kupush mtoto yule anayekuzalisha anashangaa mbona damu na siyo tena mimba je inamaana gani, shekhe
@mozaabdulla476
@mozaabdulla476 Жыл бұрын
A alaykm mm nmeota nimepata hedhi ila asbh yk nipoamka nmeona maji maji na cio hedhi
@abdiyalove7111
@abdiyalove7111 6 ай бұрын
Mimi nimeota mimba imeharibika natokwa na damu nyingi inamaanisha nini hiyo ndooto ?
@ShamHassan-bv9xf
@ShamHassan-bv9xf Жыл бұрын
Ustadhi kama ukiota umeingia chooni ukakuta damu ya hedhi yamtu mwengine uka ona kinyaa ina maana gani
@gulammohammed3806
@gulammohammed3806 Жыл бұрын
A,alaikum kama mtu nimtumzima haingii tena kwenye hedhi ila kila siku anaota anaingia tafsri yake nini
@MarryChrispine-uy4mf
@MarryChrispine-uy4mf 11 ай бұрын
me nmeona hedhi ya rafik ang inamaan gn
@aluamasudi6326
@aluamasudi6326 2 жыл бұрын
Mwalimu Asalam alaykum warahmatullah ta-allah wabarakatu. Mimi naishi Congo lakini nina kuwa naota vitu tafauti sana leo naota mimi kwanza ni mwislamu sasa naota naenda kanisani kufika kanisani nikafukuzwa pale nafukuzwa ikanza ugonvi mimi na mwanamke umoja tunaanza ku tupiana mayayi ya kuku yakuachwa kisha ule mwanamke akakimbia chumbani kwake namimi nikakimbia nikaenda kukuta kisima chamadji nikachota madji ili nidjisafishe na yale uchafu wa ma yayi hapo nikaweza kusituka uzingizini nini manayake mwalimu wangu 🙏
@JacklinAyubu
@JacklinAyubu 4 ай бұрын
Samah shehk nimeote nipo mtoni nafua pedi napedi ilikua na dam nikaona imwekwenda na maji nini maana yake
@saraphinamyinga8773
@saraphinamyinga8773 4 ай бұрын
Samahani shehk na ukiota umemaliza hedhi yako na kuna mtu kaiomba ile Pedi uliyokwisha kuitumia na kuichoma moto
@ngusakalima9899
@ngusakalima9899 2 жыл бұрын
Jeukiota umechuchumaa na unatoka hedhi Nini maana yake
@Christina-h5s
@Christina-h5s 3 ай бұрын
Apa tupate jibu jamn hadi mimi
@EstherRehema-f3t
@EstherRehema-f3t 7 ай бұрын
Je kuota uchi wa mama yako n vizuri kwel
@ZainabuSufian
@ZainabuSufian 2 ай бұрын
Nivizuri usiogope
@neemaelias626
@neemaelias626 2 жыл бұрын
Mi nimeona nimeona damu ya hedhi ya rafiki yangu
@kilimoajira2457
@kilimoajira2457 3 ай бұрын
Minimeota mtu kaja kaninyoa nywele kichwani alafu akachukua Pedi yangu akaondoka nayo
@fatmakhalid942
@fatmakhalid942 2 жыл бұрын
A’aleykum ustadh mim nikiwa nakaribia kuingia hedhi nakua naota kwanz alaf haichukiw mda naingia kweny hendhi
@niyonkurujoselyne6780
@niyonkurujoselyne6780 Жыл бұрын
Hata mimi
@niyonkurujoselyne6780
@niyonkurujoselyne6780 Жыл бұрын
Hata mimi
@mableshapaya2356
@mableshapaya2356 Жыл бұрын
Hata mimi
@ZainabuSufian
@ZainabuSufian 2 ай бұрын
Mimi pia jamani 😢😢😢😢
@PriscaPrincess-jn5pr
@PriscaPrincess-jn5pr Жыл бұрын
Ukiota una nunuanguo zamtumba kisha nikazifua
@FurahaAugustin
@FurahaAugustin 11 ай бұрын
Sija elewa hiyo Namba 7
USIOGOPE PALE UNAPOONA DAMU NDOTONI | HII NDIYO MAANA YAKE
15:41
Riyadh Tv Online Znz
Рет қаралды 18 М.
NDOTO 5 ZA HATARI KWA MWANAMKE AKIOTA ASIMUHADHITHIE MTU
4:33
Mponda Media
Рет қаралды 37 М.
TAFSILI YA NDOTO YA MTO! Ibn sirin
6:36
STARS TV
Рет қаралды 11 М.
USIKU WA KWANZA NDANI YA KABRI //SHEIKH OTHMAN MAALIM
1:04:39
arkas online tv
Рет қаралды 402 М.
Umekuwa ukiota ndoto na kweli inakuja kutokea? Fanya hivi
8:24
Simulizi Na Sauti
Рет қаралды 24 М.
UKIOTA NDOTO HIZI UJUE DUA ZAKO ZISHAJIBIWA
13:07
Mponda Media
Рет қаралды 10 М.
AINA 10 YA NDOTO ZA UTAJIRI WAKO NA USIHADITHIE MTU. Tiba Zakissuna tv
21:34