Wallah ndio maana mm nilisilim,yaan Ukristo ni shida sn
@alexandernyambo77394 ай бұрын
Ulienda kwenye uislamu kumfata Muhamadi aliyeolewa na Bi Hadija??? Kweli wewe rafiki yangu kama ni kupotea ndo umepotea kabiiiiiisaaaaaaaaaaaaa
@huseinshedrack61804 ай бұрын
@@alexandernyambo7739 uko sahihi ni bora mm nilie mfuata alie olewa akapiga na show kuliko ww una mfuata Yesu jogoo alikuwa hapand mtung mpk anaondoka hajui Raha ya Dem😂😂😂😂
@alexandernyambo77394 ай бұрын
@@huseinshedrack6180 Na huyohuyo ndiye aliyewafundisha umalaya, maana yeye aliolewa na bi Hadija na akamwoa tena Ahsha mtoto wa miaka 6.... 🙄🙄 Jamaa alikuwa malaya na mbakaji, kisha eti ni mtume, ametumwa na shetani 😈 kueneza umalaya sivyo eeeeh?? Ndo maana nanyi mnaendeleza mambo yake kwenye TARAWEY 😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏 Na wanawake wenye macho kama vikombe wanawasubiri huko Kuzimu kwa baba yenu...
@hasaniabdalah61484 ай бұрын
@@huseinshedrack6180😂😂😂 ila wewe umenichekesha mungu akubariki
@huseinshedrack61804 ай бұрын
@@hasaniabdalah6148 ni hatar ndgu yng,hawa makafir wanacho kijua ni kukashifu metume wa Mwenyez Mungu tu,mm toka niingie ktk Uisilam cjawai kuona Waislam wakiwakafu Manabii,sasa ni kwenda nao hvyo wanavyo taka wao maana hta mm nilikuwa huko kwenye akil zao za kijinga
@abdulJambe3 ай бұрын
Swali langu kabla yesu hajazaliwa nani alikuwa mungu
@bakarimusa629716 күн бұрын
Dada upo sahihi sana
@user-qv3xp1fd4u3 ай бұрын
Yesu si mungu bali ni nabii t ni mtume wa mungu
@Ostica..Omie..junior4 ай бұрын
Safiiii sanaaaa...sheikheeee umewamaliza vizuri sanaaa...duuh kumbe wakristo mungu wao yesu..na yeye pia yesu anamungu wake..huwa anamuomba...yani mungu arafu na yeye pia ana mungu anae mtegemea kumuomba...daaah wakristo kweli baadhi yao 0.0 hamna kitu kichwani
@yassamdossantos593610 күн бұрын
Shekh shafiii Allah akuzidishie katika elimu yako na busara na ufahamu lakin pia akuweke kweny njia nyoofu hakika unasimamia katika ukwel
@ashrafnuru64024 ай бұрын
Bibilia ni kitabu kinachochanganya watu huwezi kusoma bibilia ukamjua yesu mana mara aitwe mungu, mara mwana wa mungu, mara mtume, mara nabii wazungu washafanya yao,
@alexandernyambo77394 ай бұрын
Ninyi waislamu ndio madishi yenu kichwani yameyumba Kwani mwana wa mbuzi naye ni nani, mwana wa nyoka ni nyoka pia, sasa nini cha kushangaza kwa Yesu kuwa mwana wa Mungu na kuwa Mungu pia
@ashrafnuru64024 ай бұрын
@@alexandernyambo7739 Kwahiyo unamaanisha mungu Anazaa,yaani nyinyi imani yenu ni imani tu bila logic yaan, Bibilia ni mvurugano tu ety husipungeze wala husiongeze neno wakati Bibilia zenyewe zietofautiana idadi ya vitabu
@alexandernyambo77394 ай бұрын
@@ashrafnuru6402 Luka 3:21~22 "Ikatoka sauti ktk lile wingu ikisema... HUYO NI "MWANANGU" MPENDWA, MSIKILIZENI YEYE" Wewe ni nani hata uhoji kuzaa au kutozaa 🙄🙄 Na hiyo ndiyo sifa ya kuwa Mungu, kwamba ANAWEZA mambo yote Hakuna asicho kiweza aiseeeeh Anaweza kuimba, kubomoa, kujenga na hata kuzaa kwanini asiweze!!!!!!!!
@saiddgsmg4 ай бұрын
@@alexandernyambo7739 kwamaana hiyo mungu wako wawili yesu na baba yake,sasa je yule mama yake maliya atakuwa mungu mariya,na baba yake yusufu atakuwa mungu baba yusufu,sasa swali langu kwako kabla ya huyo mungu yusufu dunia ilikuwa inaongozwa na mungu gani???!!!...
@alexandernyambo77394 ай бұрын
Kwa kweli BIBLIA ni kitabu kinacho changa ya sana sana.... Hauwezi ukawa na mzigo wa Majini, Maruhani na akina Makata na Subihanj kama mliyonayo ninyi Waislamu kisha ukaielewa vizuri Biblia... Biblia ni Takatifu, hueleweka na wenye Roho Mtakatifu tu, kwa kuwa ni Biblia Takatifu tu
@HassanJaphari-rx7jy4 ай бұрын
Wataelewa tuu na sasa kweli inaanza kuwa bayana baina yao. Alhamdulillah ☝️🕌♥️♥️♥️
Wakristo hawana oja dhidi ya uislamu... Ustaadh wangu nakufata 100%toka drc 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@DanKanu-ox4hx3 ай бұрын
Yesu si Mungu ni Mtume wa Mungu
@sudihammad73874 ай бұрын
Warumi 9:5 ambao mababu ni wao, na katika hao alitoka Kristo kwa jinsi ya mwili. Ndiye aliye juu ya mambo yote, Mungu, mwenye kuhimidiwa milele. Amina.naomba isomeni taratibu kufata hizo alama za lugha
@engineerjuma98763 ай бұрын
Kwanza ujue hiyo warumi ni kitabu kikichotoka wapi? , Mtume paulo yeye ndiye aliyetoa mafundisho ya Uungu wa Yesu na huyo paulo ndiye aliyeleta fundisho la Utatu mtakatifu na yeye paulo ndiye muasisi wa Ukilisto na hayo mafundisho ya paulo kutoka kwenye vitabu vya Matende ndio Msingi wa Ukilisto na ukilisto mafundisho yake yanategemea vitabu hivyo
@maclaudismail66062 ай бұрын
Wapi kwenye biblia imeandikwa kristo ni jina la mungu ?
@abduliashiru93944 ай бұрын
Asante sana Shekhe, Darasa zuli sana Allah akulipe khery Duniani na Akhera Amiiin.
@MochammdHadija-pn7nn11 күн бұрын
Subhanallah
@saidgumbo25294 ай бұрын
Yesu hana sifa yakuitwa mungu hata kidogo kwasabubu ,ukisoma yohan 8:40 inasema hivi , lakini sasa mnatafuta kuniua mimi mtu ambae nimewambia iliyo kweli niliyo isikua kwa mungu Ibrahim hakufanya hivyo
@ashaomary5558Ай бұрын
Uko sawa dada
@SalhaHamisi-nn9fj4 күн бұрын
Mashaaallah😢😢😢😢
@MejjatScott-mf2vi4 ай бұрын
Kweli na Asante!,cc niwajinga wa mapokeo mabaya
@MidaMapunda4 ай бұрын
Safi shehee.. Ningekuwa karibu ungenisilimisha.
@Naw894 ай бұрын
Kama nia unayo mpigie simu akusilimishe Hakika dini ilio ya haki ni uislam anaeabudu dini isio ya kiislam haitakubaliwa bali atakua na hasara siku ya mwisho
@Naw894 ай бұрын
Pia unaweza kwenda msikitini sehemu ilio karibu na wewe hapo utasilimishwa
@hashirukitumbi62454 ай бұрын
Allah akufanyie wepes, tafuta msikiti wowote jirani yako utasilimu. Allah anawapenda wenye kuiona haki na kuifuata.
@user-ov9zg1gl5b4 ай бұрын
Amani ya mungu iwe juu yako mpendwa
@salimobeid14704 ай бұрын
Allah akuongezo ndugu yangu usilimu
@LaizaLaiza-oj9uw4 ай бұрын
Uko sawa dada kabisa
@bakari524 ай бұрын
Asante mwalimu. Wenye kuelewa ataelewa
@saidgumbo25294 ай бұрын
Wakrsto wote mnaosema yesu ni mungu ,swali (1)yesu kazaliwa na nani (2) na mamake yesu kaumbwa na nani (3) wakati yesu Yuko tumboni mwa mama yake Dunia ilikua na nani.
@jombadulla4 ай бұрын
hawawezi kujibu,hawa wanaburuzwa tu,ni punguwani,huyu yesu mtume wa mungu kama mitume mengne hana chochote, hana tofaut na musa au daud,wenzetu wanakosea wapi
@sleymankassim43324 ай бұрын
Usisahau Yesu alikaa tumbon miez kadhaa,
@georgemartinmartin54234 ай бұрын
Mbona mepesi sana hayo maswali
@graceswai91664 ай бұрын
😢mwapotea kwa kuwa huyajui maandiko, hata Quraan imewaambia mtuulize mambo ya kiroho ninyi hamyajui
@ahmedabry2934 ай бұрын
@@graceswai9166jibu maswali usizunguke
@DanKanu-ox4hx3 ай бұрын
Hii ndiye sababu ilifanya nikawa muislamu
@ayshahamisiАй бұрын
Maa Sha Allah tabaarakallah, Allah akufanyie wepesi
@subrynerysegerow1323Ай бұрын
Allah akujalie hidaya
@AhmedAbdallahBakari10 күн бұрын
ALLAHU AKBAR
@athumanmkomwamkomwa29123 ай бұрын
Maashaalah
@MiishHassan-qm1et4 ай бұрын
Endeleen kubishan wenyew kwa wenyew sis tupo palee👉👉tunawaangalia tu😎
@user-ib7kx9dc5m4 ай бұрын
Moja mungu alimuumba adamu ambae Hana baba Wala mama 2kisha aka muumba Hawa kwakutumia ubavu wa Adam akaatikana bin Adam mweny baba asie na mama 3
@ElizabethChuri3 ай бұрын
Muombe mungu kwa lugha yako apate kuku elewa
@DaudiMwangati-id1tk12 сағат бұрын
Dada wewe bado hujajua soma ujue roho Mungu akusaidie Shaff shehe anakutaman uingie kweUislamu umewasaitia walio gizani waislamu.
@mohammedawissa98634 ай бұрын
Watakuli wakristo insha'ALLAH
@user-ib7kx9dc5m4 ай бұрын
Acha waji fyatuw akili hivi kweli mungu umvalishe nepi umtundike msalabani upoge msumari ana kuangalia tu nyie warumi Mme walisha nini Hawa nduguzetu mpaka Wana kuwa kama mazombi
@saiddgsmg4 ай бұрын
mi naona wamelishwa maviiii😂😂😂😂
@LugomeRisasi2 ай бұрын
Mimi ni mkristo kwa mafundisho haya shekh Yuko vizur jina la Alie mtuma yesu lihimidiwe
@BobgIsmailАй бұрын
Upo sawa ndugu
@Muslim-z3z3 ай бұрын
Mbona Mzee wa upako kasema kweli kuhusu mungu
@alexalute67124 ай бұрын
Wapinga Kristo wapo wengi duniani leo shekh wangu. Soma 1Yohana 2:18-26
@Catherine-mh8sw4 ай бұрын
Soma yohana 17:3
@Ostica..Omie..junior4 ай бұрын
Kwaiyo nyinyi iyo bibilia yenu inabishana maandiko..kweli iyo bibilia ipo sahihi..kitabu cha mungu kimekamilika akina makosa..God is perfectly..mungu ajawai kukosea..kwanini iyo bibilia yenu inapingana maandiko..?iyo iyo bibilia inakataa yesu sio mungu kwa matamshi yake mwenyewe yesu..iyo iyo bibilia yenu inasema yesu ni mungu..daaah huruma sanaaaaaa kwa wasio na akili🤣🤣🤣 nacheka sanaa
@UstadhiRai11 күн бұрын
😂hili piya lahitaji Tochi Shafii 🎉🎉
@jacksonmwafongo19174 ай бұрын
Kwa hiyo mungu wako ana ulithi kutoka Kwa nani acheni kumkufulu mungu
@Naw894 ай бұрын
Sikiliza maandiko wacha jazba Yesu avalishwe nepi kama wewe na bado umfanye kua Mungu hata akili ya kawaida haingii akilini
@subrynerysegerow1323Ай бұрын
@@Naw89upofu upo moyoni wajinga ndio waliwao
@KeiFerouz-fn9oc4 ай бұрын
Sura gani iliyosema yesu ni mungu
@jorgitolucasbaluth890313 күн бұрын
Uyu mwananke Ana maarifa ,una roho Mtakatifu
@ernestbensonmwamengo164212 күн бұрын
Waislamu siyo fungu la YAKOBO
@user-qg7el6gc5j4 ай бұрын
Yesu na Mungu, Muhamad na Allah. nadhani tumeelewana....... Yesu ni mwana wa Mungu. ndio maana huwezimsikia mkristo anakemea mapepo kwa jina la Mungu bali kwa jina la Yesu. kwamba sisi tunaunganishwa na Mungu kupitia mwanawe Yesu Kristo
@saidsuleiman17534 ай бұрын
Yesu na Mungu inakuwaje tena wakati Yesu ni Mungu
@user-qg7el6gc5j4 ай бұрын
@@saidsuleiman1753 ukisema yesu ni mungu basi muhamad ni mungu....
@DanKanu-ox4hx3 ай бұрын
Muhammad ni Mtume na Yesu ni Mtume tunaamini mungu ni mmoja (Allah).
@FatnaAlly-go7yt4 ай бұрын
Allahuvakbar ama kwa hakika mola wetu hanana mtoto wala hajazaaa wala hajazaliwa na wala haikuwa kifano na kitu chochote na yes ni mtume wa mwenyezimungu
@issakakolwa3 ай бұрын
Duuuuh kz kwelkwel, mungu gn aliye zaliwa?, mungu gn anae kula kunywa na vngne kama hvyo?, co kuw waislam wanachkelea kw uelew wenu nooo, cc waislam 2na wacktkia kw ujnga wenu kueni wajanj bac, kw nn mambo yko waz ksha niny mnayafchia ukwel wke?, ALLAH TAA'LA akueleweshen in sha ALLAH.
@prochesernest54394 ай бұрын
YESU ni Mungu Yesu ni Mungu Yesu ni Mungu Yesu ni Mungu mkuuuu Muhammad asikie na majini yote yaipate hiyo taharifa
@KaitaKatema4 ай бұрын
acha ujinga MOHAMMAD anaingiaje hapo mjibu huyo dada
@swafiirbulbul8194 ай бұрын
Sio Taharifa .. 😂 ni TAARIFA .. Jifunze Kiswahili kwanza
@hasaniabdalah61484 ай бұрын
Wadanganye wasio na maarifa tulio na maarifa tushajua zamani kuwa Kalam ya waandishi imetiwa hukoo kwenye bibilia na alie iris Kalamu sio Muhammad ila ni hao mayahudi ilu msitambue ukweli ujao ambao ndio huu uislam juu lako kufuata au usifuate kesho yako ndio itakupa majibu anayo pinga leo
@ANDREWKIMARO-by3zl4 ай бұрын
@@KaitaKatema Sasa sheikh Shafii amekuwa mdada sikuhizi? Hapo hamna hoja ya msingi , YESU NI MUNGU TITO 2:13 imeisha
@prochesernest54394 ай бұрын
@@hasaniabdalah6148 kesho yangu Kwa Yesu aliye mbinguni wew kesho Yako Iko Kwa marehemu Muhammad huko kaburini sisi ni WA juu nyie ni WA chini njoo Kwa Yesu kristo mwokozi wetu hupone jehanamu ipo mlango upo wazi njia yeupe
@NyumbayaWakfukkoo14 күн бұрын
Sheikh panga nao MJADALA HAO waje LIVE
@jafarimsigwa27713 күн бұрын
Soma Isaya9;6
@user-yw2si9xq5s2 ай бұрын
Kwahiyo mzee waupako yupo sahihi
@TreasureMagumba21 күн бұрын
Wameanza kuelewa 😂😂😂
@kiumbeabdul4 ай бұрын
Mtu yoyote, kama akikusikiliza vizuri, ni lazima aseme kwamba yesu sio mungu ila ni nabii
@MwalimuD4 ай бұрын
Kinachosumbua wengi ni kuelewa Yohana 1:14.The Word became flesh.Neno alifanyika mwili. Kumtambua Yesu akiwa kama Neno na akiwa kama Mwili.Roho atufunulie zaidi
@Catherine-mh8sw4 ай бұрын
Yohana 17:3
@ANDREWKIMARO-by3zl4 ай бұрын
@@Catherine-mh8sw Na wakujue hii ni continiously kauli endelevu Na wakujue wewe Mungu wa pekee wa kweli na Yesu Kristo uliyemtuma Huwezi ukatwambia kwa andiko hilo tayari umeshamjua Mungu wa pekee ilihali andiko linasema kauli endelevu "WAKUJUE" Bado Yesu ni Mungu tu Tito 2:13
@Catherine-mh8sw4 ай бұрын
@@ANDREWKIMARO-by3zl yesu katumwa na mungu. Nding nding nding
@Catherine-mh8sw4 ай бұрын
@@ANDREWKIMARO-by3zl Sasa aliyekaa mbinguni na yesu mkono wake wa kulia ni nani? . Na wewe ni nani yako? Na baba yake yesu aliye mbinguni ni nani yako.
@ANDREWKIMARO-by3zl4 ай бұрын
@@Catherine-mh8sw Twende taratibu ili uelewe Kulingana na Yohana 4:24 Mungu ni nini..........?
@felixgitonga67833 ай бұрын
Yesu kristo alikuwaweko kabula ya dunia Soma methali 8 22_30quran alaha akumba yoate kalamu peke
@MohamediOmari-nz4vv3 ай бұрын
Vitabu vimetungwa na wazungu kwa faida zao wametoa ukweli wameweka uwongo
@omaraly7226Ай бұрын
Nduguzetu wakristo someni bibilia
@tajiriwaroho3 ай бұрын
Katika jambo la kujivunia kwa Waislamu tumeanzakueleweka wanakataa sasa Yesu si Mungu wenyewe kwa wenyewe wale wanaosema Yesu Mungu wajiulize kwanini ametumwa wanajichanganya mara wanasema mwana wa Mungu mara Mungu mwenyewe hawajuwi wanachokiamini lakini washaanzakuelewa
@sabihaibrahim1434 ай бұрын
hakika huyu mtoto ndo mwalimu wao
@HappyKiteboarder-du9th4 ай бұрын
Kabissa
@majidabas38434 ай бұрын
Ni talent yapekee
@YusufuYusufu-g9l12 күн бұрын
Mtu yeyote anayesema yesu ni mungu Hana akili Tena mjinga sana amuombe msamaha mwenyezi mungu mm nipo Mozambique.
@user-jk3su3or9wАй бұрын
Yesu atawachanganya vichwa mpaka kufa mmemjadili tangu mababu zenu walishindwa kupata majibu juu ya uugu wa Yesu amjapata mwafaka Yesu si wakawaida atawavuruga ninyi wanazuon mpaka mtakoma mana Mungu hachunguziki
@ScentsationalHeven25 күн бұрын
Sii kweli Ila Wewe Ndo unachanganya Mambo mmedanganywa Sana mpaka waandishi Wa biblia wamedanganya ili ujue hili kiongozi wenu papa Wa Sasa na Viongozi waklisto wengine wanataka kubadilisha bibilia wakisema eti hio iliyopo imepitwa na wakati he Wewe hujui na ndiomaana Kila andiko lililosema yesu Ni Mungu Ni katika Kutengeneza maslai Yao binafsi na ndiomaana Leo jina Hilo kwasasa Ni biashala kwa Viongozi wenye tamaa Wa kikilsto Kaka some bibilia vizuli na fatilia Mahisha ya Viongozi wako utakubali haya kalibu ndani ya unyenyekevu Wa kweli islamiya
@mwinyiswaleh838825 күн бұрын
Dada huna elim ya Dini pa moja nahuyo mkristo mwenzako.nenden mkatafute elim ndio muje kuongea na waislam.
@husseinSadick-kz9iuАй бұрын
Da ase sawa tuna wakumbusha zidi ya usafishaji wa mizigo kilwa dr apopote nchizima ya tanzani kalibu tupo mbagala dar
@saiddgsmg4 ай бұрын
wakristo akiri zao zimejaa matope ukweli wanaujywa ila ,wanajifanya punguani,hivi.kweli mungu anaweza kukamatwa na kupigwa na kuzalilishwa.
@RapaFata4 ай бұрын
Hata mimi nashangaa ikiwa muhamad hakuelewa chochte kuhusu msalaba, je hawa maamuma wa leo wenye kuagua watu wataelewa kweli? Je, Allah hawezi kufanya kama Yesu kamwe mbona waja wake hoi kwenye elimu na imani?
@punnamalaba44454 ай бұрын
Mungu awasamehe mbadirike msiyabadiri maandiko, hata shetani alitumia biblia kumjaribu Yesu endelea tu kuxiondoa yodi ktk biblia
@RapaFata4 ай бұрын
@@punnamalaba4445 Waislam wakishindwa kukielewa kipengele kwenye biblia wanadai kimekorogwa. Yani mie nilipokuwa nataka kuslim nilijiona mjanja na mwenye akili maana nilianza kupoteza ule utu wa ndani na kuvaa hasira na ujinga. Lakini ashukuriwe Kristo aliyeingia tena ndani yangu na kunibadilisha ufahamu. Nikatoka mbio sasa nimeokoka nipo huru. Nawacheka tu wale maimamu na midevu yao na magauni
@@punnamalaba4445muongo wewe shetani hakutumia bibilia kumjaribu yesu kwa sababu bibilia haikuwepo siku alizokuwepo yesu ni kitabu kilichotungwa baada yake kuondoka
@onesmothimos26353 ай бұрын
Ushauri wangu kwako pambana na mashehe wenzako wa mitandao kuhusu peteza kichawi ukristo uwezi kuu elewa labda ubatizwe tu
@allyyasini99443 ай бұрын
Yesu sio mungu .. mungu ajazaaa wala ajazaliwa ..
@talhiyaibrahim1074Ай бұрын
Ni kweli yeah sio mungu wala mtoto WA mungu Bali yesu ni mtume WA mwenyezi mungu Rudi kwa Allah mungu gani ya yeye halali kwa kuomba Acha usikubali ujinga WA watu kwa kusema yesu ni mungu kubali maandiko yesu mwenywe amekata na kusema yeye mtu sasa wewe unasema mungu
@HasaniIbrahimu12 күн бұрын
Huyo dada me nimemunga mkono umewaelemisha
@user-tc9vi3ow3n4 ай бұрын
Naomba Hilo andiko mungu kuwauliza nani amtume Yesu anasema mitume Mimi,andiko Hilo lipo wapi?
@HappyKiteboarder-du9th4 ай бұрын
Hivi Hawa wakiristo wanasoma vitabu Gani .,.au hawaoni je kusikia Pia hamsikii
@subrynerysegerow1323Ай бұрын
Yan niwajinga ujue na hizo biblia kila wkati zinabadilishwa maandiko hawashtuki tu
@AlfaMwahasanga4 ай бұрын
Soma hapa shehe 1yohana 5:8 ni kweli kabisa Mungu ni mmoja wala hakuna shaka. Ila katika huyo Mmoja kuna nafasi tatu Yohana 14:6-10 isaya 9:6
@Naw894 ай бұрын
Michongo ya Paulo hiyo amewazushia kama hamtasoma vyema kitabu chenu mtaingia motoni fuateni haki twende pamoja peponi Yohana anawaambia mtaenda mbinguni wakati mbingu pia imeumbwa na Mwenyezi Mungu anasema ataikunja mbingu sasa wakati ikikunjwa na wewe upo huko si utakunjwa pamoja 😂
@Catherine-mh8sw4 ай бұрын
Yohana 17:3
@AlfredZacharia-of3je4 ай бұрын
Hatuwezi kuingia kwenye dini ambayo Muhammad alimsilimisha shetwan akawa muislam
@hasaniabdalah61484 ай бұрын
@@AlfredZacharia-of3jeumesahau tuu hata sheitwani pia ni kiumbe cha mungu ndio maana sheitwani alikua mbinguni akiabudu pamoja na malaiika kosa lake ni husda alioiweka alipo ambiwa amsujudie Adam akapinga hata wewe kama mkristo kosa lako ni kumpinga Muhammad kama nabii wa mwisho wa Mungu . unaweza ukatenda matendo mema na hayana malipo kukataa haki na njia ya mitume na manaabii 😢😢😢 huzuni juu yako una masikio husikii una macho huoni
@sudihammad73874 ай бұрын
Njooni msilim uislam unasema kila siku dunia ni sehem ndogo kosea kuishi usikosee kwa mungu ukirudi kwako utajikuta unataabika maisha yoote ya kuishi mbele ya Mungu mwenyewe
@alexandernyambo77393 ай бұрын
Wewe Sud umechizika bado kifaranga hivyo 😂🤣😂🤣 Nani asilim na kuingia kwenye dini ya mauza uza, dini ya majini Makata na majini sharifu, Maimuna na Subihan 🙄🙄 Si ndiyo maana mnafanana nayo majina Wenzenu tunajazwa Roho Mtakatifu na tunakuwa Watakatifu 😁😁😁. Ninyi mnajazwa hayo majini na mnaendekeza ngono, kuoa wake wengi na ushoga kwa wake zenu na huko Madrasa kwa watoto wenu 😣🤗. Mnapokutana huko TARAWEY mnafanyiana nini?? Mnadhani hatuyajui eeeh 🙄🙄 Njooni kwa YESU huku kuna Utakatifu na Uzima wa kweli..... TUNA MWABUDU MUNGU MTAKATIFU, BIBLIA NI TAKATIFU, SISI NI WATAKATIFU, MBINGUNI WATAINGIA WATAKATIFU TU KAMA MIMI HAPA...... WENYE MAJINI SHARIFU HAWAWEZI KUWA WATAKATIFU NA WOTE SEHEMU YAO NI JEHANAMU NA MOTO 🔥🔥🔥💥 USIO ZIMIKA 😁SHITUKA, UTOROKE UJE WEWE.... RAHA YA UKWELI IKO HUKU
@AbbsharMaulid16 күн бұрын
Nyie mmepotea kweli
@fardoshnassor78474 ай бұрын
😢
@JumaJuma-gw1dq4 ай бұрын
Mwisho ya yote nyie mnao sema yesu ni mungu kabla hajakuepo huo yesu Dunia ilikuwa na nan
@DeoGeorge-uf3ym9 күн бұрын
Uyo dada nimkweli ndiyo maana ana maneno .ANALO NENOLAMUNGU MUNGU NI CHEO YUPO MUNGU BABA NA MTOTO WAMUNGU KIMUITA YESU MUNGU SIMAKOSA
@ramadhankilango90884 ай бұрын
Bibilia inatuchanganya bhana
@isaackusupa96354 ай бұрын
Kwanini msihubiri uisilamu wenu Badala ya kuhangaika na ukristo? Kama huujui uungu usiongee kitu. Mwanzo anasema na tumfanye mtu kwa mfano wetu Mungu alikuwa na nani? Katika Agano la kale unalolizungumzia sheria zake zilikuwaje? Na waisrael walishindwa soma vizuri Yeremi 31:31-34 utaelewa
@Catherine-mh8sw4 ай бұрын
Yohana 17:3
@user-qv3xp1fd4u3 ай бұрын
Tumemfanya mtu kwa mfano wetu maana yake ni kwamba; Wewe una akili mungu naye anazo akili lkn akili zako hazifanani na mungu, wewe una nguvu ni kweli mungu naye anazo nguvu lkn nguvu zako hazifanani na mungu, wewe unasikia ni sawa mungu naye anasikia lkn usikivu wa mungu na wewe ni tofauti lkn wote mnasikia, maona, mna nguvu nk katika dhana hiyo lkn UKWELI ni kwamba mungu hafanani na KIUMBE CHOCHOTE
@sadikiHussein-gy9iiКүн бұрын
Tatzo kubwa ni wakirsto kutokusoma vitabu vya mungu
@pwezapwezafelix72224 ай бұрын
Tafautisha maandiko mangine yamechomekwa ktk biblia kur an ndio kiboko yao huwezi kuchomeka ktk kuran
@mohamedsoud3225Ай бұрын
Kinacho jadiwa kingine majibu yanatolwa mengine sijui ni kiswahili ndo shida hoja dada anasema yesu siyo mungu jibu lioneshwe kwenye bibilia wapi yesu monyewe amejinadi kama yeye ni mungu , majibu mayotoa ni polojo Sasa Dua hii c ya plojo watu wanataka ukweli wanasoma vitubu wanavielewa
@HabibuUrasa4 ай бұрын
Hawa makafiri wasiposilimu wataishia motoni
@allysaidlyambange45004 ай бұрын
MIMI NINACHO JIGAMBA NIKWAMBA 1.BABA=MUNGU mfano msimwiite yeyote baba duniani,baba/mungu in mkuu kuliko Mimi,baba au mungu wangu in mungu wenu😅😅😅MANENO YAKE KRISTO KINYWANI
@jumapiliissa48354 ай бұрын
Weunae bishana na huyo dada akili huna bichwa kama tofali latope kama yesu niMUNGU kabla hajazaliwa dunia alikua nayo nani? kidevu kama kona ya kiazi
@wadimtwana72864 ай бұрын
Ndugu umeua
@kabithechoreographerandcom74394 ай бұрын
John 10 :30
@Catherine-mh8sw4 ай бұрын
John 17:3
@theodorythobius39654 ай бұрын
Wako tayari kuungana na roho ovu ilimradi tu waonekane mbele za macho ya wanadamu wanahaki.Nyie endeleeni kumkufulu Mungu ila wakati utaongea wenyewe. Biblia ukiisoma bila kuongozwa na roho mtakatifu haya ndo madhara yake na ili uongozwe na roho mtakatifu lazima uwe umempokea Yesu kuwa bwana na muokozi wako. Na haya makufulu myatamkayo hayana budi kutukia ili yatimie yale yaliyoandikwa. Kabla hujatoa neno fanya reseach kwanza itakusaidia maana kila neno utalitolea hesabu yake siku ya mwisho. Tubuni Nawatakia kila la kheri katika kumtafuta Mungu aliye hai wapendwa.
@Catherine-mh8sw4 ай бұрын
Yohana 17:3
@hasaniabdalah61484 ай бұрын
Qur an ilipo shushwa aya moja ilisema kitabu kisicho na shaka kwa wamchao Mungu hapo ndio ukaona masheikh wanasoma bibilia na kugundua kuwa kweli qur an imesema kweli na ni muongozo kwa wachamungu . kwenye uislam hatutaki wingi au
@mckobatz58614 ай бұрын
Ili mtu awe anahitaji vitu vitatu roho, nafsi na mwili kitabu cha mwanzo kimesema "na tumfanye mtu kwa mfano wetu" ndipo inapokuja sense ya trinity Mungu baba mwana na roho mtakatifu. Malaika kiumbe wa mwenyezi Mungu mwenye kazi ya kutoa roho anaweza fanya hivyo kwa sekunde moja ktk maeneo tofauti Mtwara, Rukwa, Mwanza, China marekani na Palestine Mungu kwanini mnamuwekea limit kwamba kuna anavyoweza na vingine hawezi?(kuwa mtu na kuwa Mungu at the same time). Israelites jangwani walipoomba kumuona waliposikia ngurumo tu kidogo wakasema basi je huyu bwana mkubwa angekuja ktk utukufu wake jicho la nani lingeweza kumtazama? Hapo mwanzo palikuwako na neno naye neno alikuwako kwa Mungu naye neno alikuwa Mungu katika yeye vitu vyote vilifanyika. He's God that's it.
@user-bq2zp5vq3e4 ай бұрын
Kipara yesu simba wa yumba atakuja mungu
@hassanbilali16974 ай бұрын
Kumbe ndiyo maana munawapenda waisrael hatakama hao waisrael wako mbali na ukristo
@BobgIsmail2 ай бұрын
Siyo kama wakiristo hawaelewi wanaelewa kila kitu na ukweli wote wanaujua bali ubishi tu
@NduwimanaMoise4 ай бұрын
Wacha iyo Yesu ni Mungu
@Catherine-mh8sw4 ай бұрын
Yohana 17:3
@subrynerysegerow1323Ай бұрын
Hebu lia kidogo😂😂
@ernestbensonmwamengo164212 күн бұрын
Kama yesu ni alfa na omega maana yake mwanzo na mwisho hilo shafii na dada haujasoma ufunuo sura 1
@HabibuUrasa4 ай бұрын
P1a wasome yoh:17_3. Km watakuwa na ufahamu huwenda wakasilimu
@ANDREWKIMARO-by3zl4 ай бұрын
Na wakujue hii ni continiously kauli endelevu Na wakujue wewe Mungu wa pekee wa kweli na Yesu Kristo uliyemtuma Huwezi ukatwambia kwa andiko hilo tayari umeshamjua Mungu wa pekee ilihali andiko linasema kauli endelevu "WAKUJUE" YESU NI MUNGU TU TITO 2:13 Hapo sheikh kawashwa tu hajui kusoma wala haji kuelewa mpaka aachane na majini
@DuduMagau-sm3pd8 күн бұрын
shida wengi wanashindwa kutafsiri maneno ya biblia!!
@dstaroficial4 ай бұрын
😂😂😂😂 Mungu ana kikao . Mungu xijui mnamchukuliaje mabos
@subrynerysegerow1323Ай бұрын
😂😂bwana waache
@AntonyManenoКүн бұрын
Uta Baki Comedy Tu Wewe Shafi Nyinyi Hamuna Yarohoni Hata Kidongo Nyinyi Mwayajua Ya Mwili Wala Sio Ya Roho Na Wakrisito Walipea Am Bibilia Ina Tufundisja Mambo Mawili Moja Ni Mwili La Pili Ni Roho Naye Yesu Alikuja Dunian Kuwa Mwili Kwani Alikua Roho Sasa Nynyi Mwamjua Kwa Mwili Wala Sio Roho. MFATENI Kwa Roho Ndio Mta Jua Ukweli
@AminaMsiyu13 күн бұрын
Aje mtu ateketee nyinyi mustarehe?
@user-uy5ue2tz6g7 күн бұрын
Yani wakirsto bana ata cjui akili zao zkoje
@samxx4114 ай бұрын
Wote kundi moja, hawajielewi wao wenyewe hawana uhakika na dini yao...na hakuna mkristo mwenye uhakika na dini yake ila ubishi tu...
@AbbsharMaulid16 күн бұрын
Biblia inatuchanganyaaaaaaaaa
@user-fl3yl4or3e4 ай бұрын
Ikiwa hadi leo hujui yesu au issa ibni Mariam ni Nabii wa Mungu bali unaamini yasu ni Mungu basi jua huna tofauti na hayawani yaani basi kuna binadamu ambao wanaumri mkubwa kuliko Mungu? Yani kabla hajazaliwa sikulikua na wanadamu? Kwaihivyo wao wanaumri mkubwa kuliko Mungu hivi mnatutania au
@brothermuadhwam8904 ай бұрын
Msipo elewa hapa aaa hamueewi tena ni moto tuu shekh shafii kashamaliz kaz maan maandiko yashajitosheleza hayo mbna wakristo wabishi sana moto hamuuwez heee nawahurumia sana na kufuru zenu wazwaz
@user-ob2ik5gy1b4 ай бұрын
Biblia ni maneno ya watu na sii ya mungu kwani biblia ni nyingi na zote ni tofauti na hizi zimetungwa na wanadamu.
@sarabura89334 ай бұрын
YESU kirsto ni MUNGU
@ramadhankilango90884 ай бұрын
Fikiria Tena uwezekano wa mungu kula na kunywa mvinyo (pombe) na wanaadamu
@Catherine-mh8sw4 ай бұрын
Yohana 17:3
@HamisiMohamed-je8fj4 ай бұрын
Akiri auna wewe naukafiri wako
@HamisiMohamed-je8fj4 ай бұрын
Mungu anatailiwa
@Catherine-mh8sw4 ай бұрын
@@HamisiMohamed-je8fj 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 mungu kaenda jando kama kaka angu Hamis 🤣😅🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 .
@goodlucknnko54934 ай бұрын
Hivi uislam na ukristo kipi kilianza? Bila shaka ni ukristo( baada ya miaka kama 600) . Je ni kipi kinaweza kuwa na ukweli? Vyenye kumbukumbu za kipindi hicho au kilichokuja baada ya miaka 600?
@samxx4114 ай бұрын
Acha pombe ukristo ameanzisha paulo pale antokia wakati uislam ulikuwepo tokea Adam alikuwa muislam, ibrahim, mussa na yesu wote walikuwa waislam, sasa iweje ukristo uanze mwanzo.....soma uelewe usiwe kichwa pumba
@listerferdinand96534 ай бұрын
Ukongwe sio hoja ukongwe ingekua hivyo basi injili ingekua sio ya kweli kwa sababu torati ilikua mapema zaidi yake.
@samxx4114 ай бұрын
@@listerferdinand9653 kichwa chako kizima nakukubali mkuu
@hoseasteven62414 ай бұрын
@@samxx411 Nani alikudanganya kuwa at niwaislam
@Catherine-mh8sw4 ай бұрын
@@hoseasteven6241haya sema Ibrahim alikuwa dini gani?
@Lameckrichvsix4 ай бұрын
Ninani na nani ulowaona hao wakristo wanabishana wao kwa wao kama sio ujinga wa ku'dis imani za watu we ostazi zungumzia mambo yako ya kiislam nani anakupa ww uchungaji wa kutuhubilia habali za yesu hali ya kuwa muislam au ww ni kafili
@KeiFerouz-fn9oc4 ай бұрын
Yani majibu ya yesu ni mungu majibu yapo ktk hihi biblia Mzee wa upako yupo sahihi sana
@user133754 ай бұрын
Wenye ndugu Majini
@user-nl1ou9ow2l4 ай бұрын
Suleiman alikuwa akiwafanyisha kazi.je alikuwa ni ndugu zake hao majini na je Suleiman hakuwa na elimu kwa maoni yako.kuingia duniani ni laisi ila kutoka kwake ni kugumu.maana unaingia ukiwa hauna dhambi ila unatoka ukiwa na madhambi.dini tumeletewa,ni vyema tukatumia akili zetu vema ni dini ipi tuliyoletewa inaweza kutuweka ktk njia ya haqi.ama ndio tufuate ushabik na amasa.kama watu wa siasa.
@user133753 ай бұрын
@@user-nl1ou9ow2l 🤣
@user133753 ай бұрын
@@user-nl1ou9ow2l nyie hamtofautiani kihusu Maulid ? Unaweza kudhani ulipo ni salama tafakari ,na ndo maana hata mwandamo wa mwezi huwa inawatofautisha kufungua.