BAADA YA USTADHI DANIEL KUTOA ELIMU KWAMBA WACHUNGAJI WANATUMIA MAFUTA YA WAISLAMU KUFANYA MIUJIZA, USTADHI SHAFII AMEJIBU
Пікірлер: 82
@innocentndikumana8928Ай бұрын
Mashallah allihamdullilah kupata nuru yakuwa mwislam ❤️❤️❤️❤️❤️❤️
@favoritebrayoАй бұрын
na motoni bado utaenda
@user-nq2np6de6lАй бұрын
@@favoritebrayo lete ushahidi nipo hapa?
@favoritebrayoАй бұрын
@@user-nq2np6de6l Yohana 14:6 hakuna njia ingine ya uzima wa milele
@user-li2el5vb8wАй бұрын
Ramadhan Mwawila. Mash Allah' Shekh' SHAFII ALLAH AKUHIFADHI NA AKUPE UMRI MREFU ILI TUENDELEE KUNUFAIKA KWA ILIM ZAKO UNAZOTUFUNDISHA.
@mukhusinathuman6596Ай бұрын
Safi sana shafii kwa hili nime kuelewa vzr sana Allah aendelee kukuongoza ktk ulinganiaji...
@ibrahimfarha385311 күн бұрын
Nakupenda sheikh shaffi kwa ajili ya Allah
@abangaabanga4677Ай бұрын
Jesus is the way, the truth and life......🙏
@kaoretosha666814 күн бұрын
Umevurugwa na Sauli au Paulo aliyeichakachua Injili na kuunda dini ya ukristo, ambayo Yesu hausiki nayo.
@LucaWanzukiАй бұрын
Shekh shafi unatisha sana mungu akujalie elimu zaidi tujifunze kwako
@FridayMwassa25 күн бұрын
Anatisha kwenu maamuma
@babazungu3180Ай бұрын
Wanachukii tu shekh shafii
@prochesernest5439Ай бұрын
Duuuuuuuu mungu wenu anaijua lugha Moja usiposwali kiarabu allah ajui ulichokisema waislamu na majini kazi mnayo sisi wakristo Mungu wetu lugha za wanadamu hazimsubui Sali vyovyote anapokea sala Yako njoo Kwa Yesu kristo mwokozi wetu hupone jehanamu ipo
@rashidibrahim8316Ай бұрын
Uelewa wako Ni mdogo Sana soma lugha ya Arabic ndiyo waislamu waliekezwa kutumia katika maombi Haya umetowa wapi hiyo elimu ya kusema usipotumia kiarabu maombi yako hasikii Mungu
@prochesernest5439Ай бұрын
@@rashidibrahim8316 hiyo ndo lugha ya allah kiarabu ndomaana huyo shafi kasema popote palipo msikiti lugha ni kiarabu ndomaana hatumuelewi tukaamua kutomfuata huyo mtume wake WA kiarabu aliyeoa mtoto WA miaka 6 na majini yakamfuata na kuamini ndo mtume wao hawana mwingine na Wala kitabu kingine ni Quran tu Toka huko njoo Kwa Yesu kristo mwokozi wetu hupone jehanamu ipo
@rashidibrahim8316 Mnaposema Yesu, Adam, Musa, Daudi na suleman walikuwa waislam inamaana na wao walikuwa wanaongea kiarabu?
@prochesernest543928 күн бұрын
@@FridayMwassa weweee hicho kitabu kiosema hao walikuwa ni waislamu ni kitabu Cha majini mashetani kisikuumize kichwa ukiwauliza wanaokiamini wapi walisema Mimi ni mwislamu hawana majibu potezea huo ni uongo WA shetani maana shetani ni baba WA uongo
@user-yj5es1jw8cАй бұрын
Nakukubali mwalim
@Chrisblaze-beatsАй бұрын
9:59 Tatizo la shafiii mwambie akupe vifungu sio maneno mdomoni. Shafii anatumia maneno sana
@favoritebrayoАй бұрын
yaani ana story za jaba huyu kadhee nakwambia
@AzizaNurdinАй бұрын
@@favoritebrayohumjui suafii kakojoe ukalale
@julius79584126 күн бұрын
Fanya mdahalo na yohana omar
@user-dt5wp5qo4nАй бұрын
Ww shafi jua namna yakuongea hakuna mahali yesu alitumia majini hamna kabsa usiharibu bibilia tueshimiane,
@FridayMwassa25 күн бұрын
Uislam bila kudanganya unaweza kufa
@danielkamau2987Ай бұрын
Wee fanya mdahalo na Ndacha tunjue ukweri.
@jomeshastudio7046Ай бұрын
hahaha ndacha pasua kichwaa hakuna wa kumuwezaa
@kaoretosha666814 күн бұрын
Tafuteni ukweli msimtegemee mtu huo ni ujua.
@albertvalentino130Ай бұрын
Eti Mungu haangamizi umma mpaka siku ya kihama,eti kwasababu kuna mtu Fulani aliomba ---- kwahiyo Mungu mwenyewe hana ratiba wala utaratibu wowote,ispokuwa anategemea maelekezo ya mwanadamu --- " Hadithi za kizee "
@user-nq2np6de6lАй бұрын
Kwani uwongo hili? Km ni uwongo leta angamizo moja tuu kutoka kwa Mungu
@FridayMwassa28 күн бұрын
@@user-nq2np6de6lgharika wakati wa Nuhu na moto wa sodoma na gomola
@omarsultan4502Ай бұрын
Endelea kuwaaelimisha ili wote waipate pepo inshallah
@FridayMwassaАй бұрын
Pepo ya majini hatuitaki nendeni wenyewe
@shabamuhidin634Ай бұрын
Nliona rafiki yangu kenda fanya Ibada Kanisani lakini ibada yote yupo nje dirishani kabeba mtoto,mwingine kila Jumapili asema aenda kufanya ibada lakini akifika kazi yake ni kumpikia mchungaji chai mwaka wa 30 sasa...inamaana hajawai ata kufanya ibada io yao wenyewe ata kama sio ya kweli
@FridayMwassa28 күн бұрын
Visa vya kutunga,
@georgekimasaofficial1629Ай бұрын
Moja ya vitu vingi ambavyo Waislam wengi hawajui ni kuhusu kuteremshwa kwa Quran wengine husema iliteremshwa puuuuu wengine hudai kunawaandishi wanne walio tumika kuiandika, na wengine husema Quran hii ya sasa iko tofauti na Quran aliyo iacha Muhamad lakini pia kuhusu kujuwa kusoma na kuandika kwa Muhammad wengi hawakubari kuwa hakujuwa kusoma na kuandika japo pia hakuna sehemu inayo onyesha mtume huyu aliwahi kuandika, lakini leo shafii anasema kumbe iliandikwa na watu wakiwa chini ya usimamizi, lakini pia hawa watu ambao waliandika hizi Aya ambao wanaaminika kuwa walikuwa maswahaba je nikweli walikufa wakiwa ktk imani hii ya Uislam au waliacha Uislam coz zipo hadithi zinazo weka wazi kuhusu maisha ya waandishi hawa Wanne kuwa walikufa ktk hali yakuwa walevi kupindukia na mmoja wao aliacha Uislam.
@hassantoure7472Ай бұрын
Bana we,,sasa nini hujaelewa hapo😂
@favoritebrayoАй бұрын
nakwambia uislam ni kaburi la wazi yaani wote maiti
@yohana1242Ай бұрын
Uislam kwanz sisi hatubagui mitume wala manabii ukifa mkiristo ww motoni tu
@favoritebrayoАй бұрын
@@yohana1242 ata si hatubagui ndo maana tuna vitabu vyao wote
@FridayMwassa28 күн бұрын
@@yohana1242Huo moto ni wamama yako,umebadili dini kwa kidanganywa na mwanamke
@jacksonngusi4122Ай бұрын
Bado tunahitaji mkutano na ndacha tuwaone mnavopapaluka katika utetezi wa maandiko
@lydianyangau8142Ай бұрын
Wacha kupotonza watu Yesu hawezi tumia majina Kama ndugu wenyu Mohamed nyinyi kaa na majini Kwa misikiti yenyu but sio kanisani
@user-tz8zu2gt6uАй бұрын
shafiu hili ni jina la maji. ni njoo kwenye mdahalo aja kupitia mbali hata hujui qurani wewe muisilamu kamili lazima awe na jini , qurani ni kitabu Cha majini
@rweyemamueustace4254Ай бұрын
Luka 4:14-22 Yesu alijua/ anajua kusoma na kuandika. Achani UONGO we Shafii
@prochesernest5439Ай бұрын
Huyo shafi mjinga hanataka kumfananisha Yesu na kilaza wao mtume asiyejua kusoma Wala kuandika Quran 7:157
@salimchimwaga8384Ай бұрын
Yesu alifundishwa na nani???
@prochesernest5439Ай бұрын
@@salimchimwaga8384 Yesu ni Mungu aitaji kufundishwa Yesu sio kama allah aliyeshindwa kumfundisha Muhammad kusoma na kuandika kwaili allah hatakuwa naye ajui kusoma Wala kuandika 7:157
@FridayMwassa25 күн бұрын
@@salimchimwaga8384Wayahudi walikuwa na vyuo vya kielimu mapema sana,ukisikia sinagogi maana yake ni nyumbani za kifundishia sheria kwa wayahudi.siyo kama mnatafsili nyie kwamba sinagogi ni msikiti
@RichardHenjewele-gs8rkАй бұрын
Sheeee uko vizuli
@user-tz8zu2gt6uАй бұрын
ndacha Yuko usinyamasiye haya mrekebishe ju huyu ametawaliwa na majini nakudhània wakristo NAO ni watu wa majini
@user-tz8zu2gt6uАй бұрын
jini unasemaje huyu nijini tena jike
@user-le4wr7mq6v23 күн бұрын
Kumbe hawa watu imani yao kali wameiga kwa majini mwenye akili timamu hawezi kuwa muislam ni mpuuzi tu
@user-tz8zu2gt6uАй бұрын
majini huyu naye ana jini usipingane
@nubianqueen6700Ай бұрын
Waislamu hujadiliana na wa Christo kwa sababu ni amri kutoka kwa mwenyezi Mungu, ila elimu ndani ya uislamu, ni Pana sana na inahitaji mtu mwenye kutumia mental capabilities vyema. Wakristo hamna akili na hampendi kufikiria.
@joshuajohn8533Ай бұрын
Kama waislamu Wana akili mbona Marekani kila siku anawatandika na kuchukua rasilimali? Kama mna akili mbona Macca na Medina zinalindwa na Mifumo ya ulinzi wa Marekani? Kama mna akili mbona waganga wote wa kienyeji ? Kama mnaakili mbona gudunduzi nyingi zinatoka magharibi?
@nubianqueen6700Ай бұрын
Ukraine ni waislamu? Congo ni waislamu? Africa ilivyocolonaiziwa mpaka Sasa ni waislamu? Ndo Nika Sema hamna akili, Ata hufikirii kabla ya kuuliza swali. Fanyisha akili kazi siku ya qiyama mwenyezi mungu atakuuliza ulitumia akili vipi?
@nubianqueen6700Ай бұрын
@@joshuajohn8533 pia hauna uelewa wa mambo ya politics, ndo nikasema hampendi kusoma, mpaka msomewe na wachungaji. Piga research kidogo usiropokwe tu. Unazidi kuonekana mjinga.
@nubianqueen6700Ай бұрын
@joshuajohn8533 technology is at your fingertips, use it.
@favoritebrayoАй бұрын
sasa wewe mwenye akili nyiiiiiiingi na bado upo gizani
@phakundigervas1360Ай бұрын
Ikiwa mnaiamini Injili ya YESU MBONA hamuitangazi tena mnamkana Mungu Yesu Kristo?
@salimchimwaga8384Ай бұрын
Kwani yeye mwenyewe Yesu alisema Mimi ni Mungu??
@AzizaNurdinАй бұрын
Na uzima wa milele ndio huu wakujue wewe mungu wa kweli na wa pekee na yesu kristo uliyemtuma.
@Kuminamoja1995Ай бұрын
Yule jamaa anachuki dhi ya muislam? Sasa sikuizi wanalimana wenyewe na ndacha kuhusu usabato.
@dullahfar7775Ай бұрын
Yele Daniel sijapata kuona mkiristo bwege kama yule
@FridayMwassa28 күн бұрын
Bwege maana yake nini,unapenda kusifia hata uchafu
@prochesernest5439Ай бұрын
Mtume Muhammad heti katumwa na Mungu? Kwaiyo Mungu alishindwa kumfanya ajue kusoma na kuandika? Mungu huyo Mimi simtaki maana kunavitu anashindwa ndomaana allah atumtabui kama ni Mungu WA kweli hataki kuitwa baba wakati Mungu WA Musa anakubari Wana wa Israel ni wanaye torati 14:1
@favoritebrayoАй бұрын
allah si ni shetani mwenyewe
@MohamedAhmada-ie7keАй бұрын
Uwo ndio upuuzi wenu mliokua nao Mungu hufanya kitu vile anavo taka yeye sio unavo taka wewe, kwani hakuna mkiristo mwenye ulemavu mbona wewe hauna ulemavu au kama unao mbona wenzio hawana lazima akili zenu muwe mnazitumia vyema
@MohamedAhmada-ie7keАй бұрын
@@favoritebrayoAllah atakuongoa In Shaa Allah
@favoritebrayoАй бұрын
@@MohamedAhmada-ie7ke sisi na nyinyi nani hawatumii akili my friend?
@MohamedAhmada-ie7keАй бұрын
@@favoritebrayo kama wewe utakubaliana na ayo mawazo ya uyo mwenzio na wewe pia utakua hauna akili