sauti umexport ktk mono kk inasikika sikio la kushoto
@ADABETHFUNGAMWANGO2 ай бұрын
Wewe unasema huoni chakucheka unauelewa madogo yule anahitaji akili nyingi
@iconlyx27244 ай бұрын
Kama shabiki wa Leonardo, hapa hakumake sense kwa chochote.
@Obertan_coolkid-04_4 ай бұрын
😂😂 Leonardo mtu na nusu
@priscillachristiansen43314 ай бұрын
Mie pale pa kondeboy na instagram 😂😂😂😂
@MNexNexI4 ай бұрын
Good
@abdulikibembi4 ай бұрын
sio uwoni cha kuchekesha ujamuolewa
@jackobochisumo66143 ай бұрын
Kazi nzuri nakukubali sana wa ukerewe
@luckymsomba48184 ай бұрын
hii ilikuwa free style
@JeanLunda-nv5fd3 ай бұрын
Mbona Kali sana 😅😅😅😅
@AnesyKakwezi4 ай бұрын
Hv cm yangu ndo mbovu au make kila nikiplya hz cheka tu za juzi sauti kisoda.. jmn 😢😢
@mr.nonino36294 ай бұрын
tazama kwenye azam max, hapa Zimezuiliwa sauti kwakuwa nimali ya chekatu.
@athumansaidi76634 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@mohammedkidody56184 ай бұрын
😂😂😂
@Richmond9094 ай бұрын
Pole
@snipper44624 ай бұрын
Big up man
@BaloziKiliwale4 ай бұрын
Big up sana dogo
@miso-bg2xl4 ай бұрын
Kazngua
@maase20234 ай бұрын
Internet hatuna nape anashughulika na vichekesho dah mtihani huu
@Kautharkabanga2 ай бұрын
You made it
@meshackmbilinyi61964 ай бұрын
🎉🎉🎉 💥
@Josephkp6294 ай бұрын
😂😂😂
@mountaincoffee74 ай бұрын
Nanikaona piss nyuma ya waheshiwa?
@Faustine_Charles4 ай бұрын
Hii ya leo sio kiviiiiiiiiiiiiiile
@StephanoMofuga3 ай бұрын
Ni 😂😂😂😂😂😅😅Fireeee
@AnoldNyombwe4 ай бұрын
Mwamba anajua
@SimonMengi3 ай бұрын
😮😮😮
@kassimkipande18583 ай бұрын
🔥🔥🔥🔥
@ALOYCEKULWA-u7x4 ай бұрын
unaupga mwing
@HiziniSimuliziFupi4 ай бұрын
Shida Anarudia Condent sana Na hii ndio tofauti ya Eliudi na Huyu mwamba
@MaligaSamwel4 ай бұрын
Wote wako vizuri ktk Kila mmoja na upekee wake
@alakhy94484 ай бұрын
Ni kweli na hiyo ni kwa sababu hawapo serious na kazi ya comedy. KAMA COMEDIAN inabidi uumize kichwa hata usiku unaamka unawaza nitachekesha vipi kwa audience inayoenda kunisikiliza siku fulani. Lakin pia mchekeshaji lazima ajue vitu vingi saaana ikiwezekana kila eneo alijue kwa undani ili hata akitengeneza content awe na uwezo wa kuwaus kila jamii ya wau.
@issakisalu92374 ай бұрын
Leo hakuna kitu bro alafu sijui inakuwaje siku ambazo hutegemei ndio inakuwa hivyo
@stevejohansen62464 ай бұрын
Itifaki imezingatiwa
@SamSon-wd2ri4 ай бұрын
hapo kafeli nae
@MwajumaShabani-n1s4 ай бұрын
Kama wew ulivoangalia nichizi pia😮
@hussenihamisi28624 ай бұрын
Mim niaona hakuna kitu chochote alichokifanya cha kuchekesha naona kama story2 hapa kazingua hamna kitu hapo
@bimbimdaakitomara9324 ай бұрын
😁😁😁ww unaasiraa
@dr.elimikatv19194 ай бұрын
Kafanye na ww kam kuna atacheka hata mmoja
@YohanaemchomvuMchomvu4 ай бұрын
Mimi Sioni chakuchekesha hapo huyo jamaa ni chizi na wote walio msikiliza ni matahira