Рет қаралды 1,944
UTACHEKA😅 MIKWARA ya FRANCIS MIYEYUSHO kwa SAID BWANGA "MIMI ni BINGWA wa KUPIGA Watu MISASA"
Miongoni mwa mechi itakayokupa burudani Desemba 26, 2023 ni pamoja na mechi ya Francis Miyeyusho vs Said Bwanga, na hapa tumepiga stori na Miyeyusho ambaye ni mkongwe kwenye tasnia ya ngumi.
Pambano la 'USIKU WA MABINGWA' litachezwa Desemba 26, 2023 katika ukumbi wa Ubungo Plaza jijini Dar yaani 'BOXING ON BOXING DAY'