Hongrra sana kijana. Mimi ni mnyiamba abaye nimetembea sana na nimefsny kazi katika sect yz utalii na usafirishaji . Uko vxuri sana Katika ubunifu. Mim nimetudi Tanzania sasa baada ya kukaa kufanyz kazi nje ya nchi kwa miaka 28. Nina nyumba za wageni dar na bagamoyo. Lada tunaez kufanya kazi pamoja. Naomba Shena utuunganishe. Nimeishi Berlin miaka mwilii pia.
@OfficialDatingAssistance3 ай бұрын
Niandikie WhatsApp +4367764790884
@Joliegal8343 ай бұрын
Kweli wengi wanaiga sana😂 kuna mmoja nilimuona rasta mbaya kama chizi😂
@kazigembeleke59583 ай бұрын
Umenifurahisha Sheena hiyo muonekano wa "kihuni" Sheena upo makini sana❤
@user-dl1ju4ge3x3 ай бұрын
Kaka unapoint sana
@talentshow20243 ай бұрын
Nimejifunza Asante sana
@MadinaMalk-yd6kp3 ай бұрын
Thank you kaka link na da shena 🥰🥰🥰
@fatmaalbeity90973 ай бұрын
Dada shena unapendeza sana na hijab ila tu nikusihi uwendele hivyo kwani niamri ya mwenyezi mungu kwa wanawake waumini na si kwa Ramadhan tuu Allah akurahisishe na atuongoze sote in shaa Allah
@thenamelesstraveller29643 ай бұрын
😂😂😂kwa hio siku hizi mnapangia watu maisha
@fatmaalbeity90973 ай бұрын
@@thenamelesstraveller2964 kwa hivyo uko unashida ya kuelewa kiswahili sijampangia maisha ila ni nasaha nimempa kama dadangu katika uislamu kama unaelewa nasaha ni nini