MWIJAKU AKIRI KUMKOSEA MASOUD KIPANYA - AOMBA RADHI HADHARANI AKITOA HAYA za QUR'AAN TUKUFU...

  Рет қаралды 27,350

Global TV  Online

Global TV Online

Ай бұрын

MWIJAKU AKIRI KUMKOSEA MASOUD KIPANYA - AOMBA RADHI HADHARANI AKITOA HAYA za QUR'AAN TUKUFU...
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 163
@user-hi5nx2qo7u
@user-hi5nx2qo7u Ай бұрын
Unatumia dini kupata huruma kwa umma...upigwe ujifunze
@RajabuMkonje
@RajabuMkonje Ай бұрын
Utasamehewa na mungu lkn naomba masood KIPANYA asikusamehe hii kesi raha yake ifike MAHAKAMANI buana kesi tamu sana hii natamani isiishe mapema
@leokamil6284
@leokamil6284 Ай бұрын
Sahihi maana hawa machawa na wanafiki wamezidi.Atuondokee hapa na kujifanya anajua Kiarabu na mtu wa dini sana
@Ayuminchasi
@Ayuminchasi Ай бұрын
Kma mungu anasamehe ww ni nani usisamehe??
@Lameckrichvsix
@Lameckrichvsix Ай бұрын
Nikwanini huwa unawakosea watu makusudi kisa unajua kunae kuomba msamaha na cku zote neno "KUOMBA" huwa linasimama ktk sehem mbili na zote ni sehem sahihi kkubaliwa au kukataliwa ss ww endeleaga tu kupaka lipsticks kwenye lips zako kunae yataja kufka
@hajijuma9588
@hajijuma9588 Ай бұрын
Huyu alitakiwa apelekwe mahakamani kwanza ili ajifunze maana imeshakuwa nitabia yake kuwatusi na kuwdharau wenzake,,anamtusi diamond kila siku lakini anamkalia kimya.
@RamadhaniLukambuzi
@RamadhaniLukambuzi Ай бұрын
Mwijaku ukibahatika kuwa na Hekima ya mdomo wako,utakuwa mtu mzuri sana;Naghusia nafsi yangu na yako Mwijaku Allah atusimamie Inshallah!Muislamu mzuri ni yule jirani yake kanusulika na ulimi wake na mikono yake,Amin!
@ramadhanmahongole9293
@ramadhanmahongole9293 Ай бұрын
Sahihi
@KaviniMwaisa
@KaviniMwaisa Ай бұрын
Una muoneaga Simba Diamond Leo umejifunza bado ujasema na utasema
@SukaDmGuy
@SukaDmGuy Ай бұрын
Mwenyezi mungu awafanyie wepesi katika hilo
@Abu-Hamza254
@Abu-Hamza254 Ай бұрын
Salallahu Alayh Wasalam
@elgardmark2093
@elgardmark2093 Ай бұрын
Hapo anaongelea uislam au anaomba radhi maana naona kila kitu anaongelea uislam
@leokamil6284
@leokamil6284 Ай бұрын
Nashangaa ghafla kageuka kuwa Shehe, badala ya kuomba msamaha inamaana sio msamaha wa dhati
@GibsonNtamamilo
@GibsonNtamamilo Ай бұрын
Kipanya Mpeleke Mahakamani mpuuzi huyu. Alichosomea sicho anachofanyia kazi. Hatuwezi kuvumilia kwa upumbavu huu wa kuharibiana Maisha. Tunaomba sheria izungumze ili ajifunze na wapumbavu wengine wajifunze. Ameshamdhalilisha mwalimu wake kuwa hana akili alimfelusha.
@jacksonpeter8629
@jacksonpeter8629 Ай бұрын
Kwani wewe mchizi waga ukoseagi?
@Allyhujjat
@Allyhujjat Ай бұрын
Anaomba uftio mpuuzi uyu akuna msamaha ulimi umeponza kichwa acha mahakama iamue
@leoncelaurent5644
@leoncelaurent5644 Ай бұрын
Unaongelea dini au msamahani au ndio kujificha Kwenye dini ili kujisafisha
@hassanmohdally5217
@hassanmohdally5217 Ай бұрын
Ningekuwqq mm nisingemsamehee huyuu jmaaa kwasababu kilaa maraa mambo yake ndio hayoo kuropokaa tu kwa watu halafuu ajeeekuombaa msamahaa kipanyaaa asimmsahehee huyuu jmaaa ampelekee mbelee huyyu jmaaa
@JesuinaBabili
@JesuinaBabili Ай бұрын
Kabisaaaa, ni mlopokaji sana Masoud akaze
@maxlattinokiki8105
@maxlattinokiki8105 Ай бұрын
Wamfunge tu ili ajifunze mjinga sana huyu
@user-bs2nr7gz5p
@user-bs2nr7gz5p Ай бұрын
Kipanya mpeleke mahakamani huyu ili ajue kuna sheria bila hivyo atakua anafanya mchezo kila siku auze kibanda chake alipe fidia ili akome wakati mwengine kukashifu watu na kutukana watu
@wadhhasuleiman2621
@wadhhasuleiman2621 Ай бұрын
Mara Hii kayavaa Sana Kwa huyu
@abunajreenELSESANY
@abunajreenELSESANY Ай бұрын
Kipanya ni MUISLAM, Na UISLAMU unahimiza KUSAMEHE
@user-tz8hj1sd5o
@user-tz8hj1sd5o Ай бұрын
Mwijaku don't worry Allah kareem
@abdull_hafidh
@abdull_hafidh Ай бұрын
Baba tunataka bilion 5 zetu
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 Ай бұрын
Wewe mwinj usipende kuwatukana watu alafu ukategemea msamaha ...sio fea sio haki..mana kumchafua mtu ni mbaya sana ujuwe...mim namuelewa sna kaka masuu kwakuchafuliwa mana umemdhalilisha na umemjengea imeg mbaya kwakumdhadhalilisha mtu ujuwe..umemtoa hadhi yake naheshima yake...awo sio wasanii wanaotegemea kiki ili kuwafanya mambo yao yaende no..awo watu ni waheshma .. ivyo heshima zao ndo zinajenga heshima kwao na zinaleta pesa
@deogratiusprosper4796
@deogratiusprosper4796 Ай бұрын
Leo hii ndo wakumbuka hizo aya ulipokuwa Dubai hukuyajua haya unafiki mbaya sn ngoja mtu na hekima zake akuburute mahakamani kulinda hadhi yake na jina lake alilolijenga kwa heshima kubwa
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 Ай бұрын
Apo unamuhusisha mungu wakati umekosea..apo go to the street omba msamaha usijibalaguze..unatakiwa kukanusha kila neno ulipo andika kila maneno kanusha kanusha kanusha ...apo usimuhusishe mungu wala dini ...mwii...apo umekosea umekosea...sasa apo uwe makini na mazungumzo yako kaka
@BLUBEENICE
@BLUBEENICE Ай бұрын
Daaah mdomo umeponza kichwa,kile kijumba chetu kama nakiona kinabadilishwa rangi na umiliki😂
@GeorgeDominic-nx5bj
@GeorgeDominic-nx5bj Ай бұрын
Bado haamini kama amekosea huyu .... Anaomba radhi lakini atumia neno KAMA hivyo Bado haamini kukosea kwake hata akisamehewa atakuwa anasema ujumbe ulifika Kwa jamii.. Huu ni uhalifu wa mitandao kama uhalifu mwingine.
@leokamil6284
@leokamil6284 Ай бұрын
Kweli sio msamaha wa dhati
@piusjuma7384
@piusjuma7384 Ай бұрын
Umezidi billion 5 zinakuhusu ....na hayo maneno unayoeleza ndio ushahidi utakaotumika mahakamani....umeshaingia kwenye Kumi na nane za kipanya
@patrickmukundichalamila3038
@patrickmukundichalamila3038 Ай бұрын
Sema mjanja hataji majina Masoud Kipanya😂😂 anataja tu Masoud 😢
@user-bs2nr7gz5p
@user-bs2nr7gz5p Ай бұрын
Huyo sio mtu wa kumsamehe kila siku anafanya vitu vya makusudi kutegemea kuomba msamaha safari hii umekwama b5 zinakuhusu
@Maradona2857
@Maradona2857 Ай бұрын
Hili jinga linatakiwa kupelekwa mahakanani. Limezidi kuropoka.
@pendogwisu
@pendogwisu Ай бұрын
Asee sijawahi kumuelewa huyu mtu tangu nianze kumuona mitandaoni. Linajifanya limesoma,lina hela,linapendwa na mke wake kila kitu maonyesho na majigambo sijui linatokea wapi hili jitu. Kp wa watu ameanza hustle siku nyingi mstaarabu kweli linataka kumharibia Cv. Mwenzako anatengeneza magari wivu tu umekujaa. Kutangaza kwenyewe hujui unabwabwaja tu sijui ulisoma chuo gani
@maxlattinokiki8105
@maxlattinokiki8105 Ай бұрын
Jela ina kuhusu! Imekuwa ni kawaida yako kudhalilisha watu na usingize dini kwenye ujinga wako
@selemanimhando9721
@selemanimhando9721 Ай бұрын
Isingekuwa 5B usingeomba msamaha, ww ngoja ukutane nacho mzee baba
@user-il5cu6gq5f
@user-il5cu6gq5f Ай бұрын
Kuomba msamaha sio ujinga ni kheri na sio uowoga
@aloycesamba998
@aloycesamba998 Ай бұрын
Ni kweli Kama siyo hiyo 5b azingeomba msamaha
@wakasotaylor5824
@wakasotaylor5824 Ай бұрын
Hatimaye chawa kaingia kweny 18 za wadewa 😂😂 umepoaaa umepoaa😂😂
@RajabuMkonje
@RajabuMkonje Ай бұрын
Huwezi kumtania mtu kwamba anauza madawa ya kulevya we sema tu nimeongea uongo suna yako na mtume havituhusu maneno mengi yanini?
@user-bs2nr7gz5p
@user-bs2nr7gz5p Ай бұрын
Huyu bila ya kumfungulia mashitaka hawezi kukoma anafanya mchezo mjinga huyu
@GervasMalimi
@GervasMalimi Ай бұрын
Ila huyu muda mwingine basata wamlaze mboko 700 ili awe anakumbuka akitaka kuloppka😂
@BardenBensonMwamfupe-dk3yg
@BardenBensonMwamfupe-dk3yg Ай бұрын
Vinywa
@peteropuko
@peteropuko Ай бұрын
Ukinaswa unajinya kujuwa dini sana
@JosephSabo-rl8qr
@JosephSabo-rl8qr Ай бұрын
Mungu fundi waulize wanzako waliotaka kujenga mnara wa kwenda kwa Mungu ndo utajuwa Mungu nani
@freyfestusnsennah1039
@freyfestusnsennah1039 Ай бұрын
Hakuna Kurudi nyuma KP. Endelea na hatua ulizozichukua hawa wasrma hovyo wanazidi mipaka na kuona wana uwezo wa kuwachezea watu na kuwachafua wapendavyo bila kuangalia m2 anapata madhara kiasi gani. Mpeleke mahalamani ndo atajua vizuri. Wanakera
@masalakulwa7601
@masalakulwa7601 Ай бұрын
kipanya usisamehe huyu mbwa
@jackmabirangacharles9398
@jackmabirangacharles9398 Ай бұрын
Ndio kawaida yako Diamond ulimchokoza , Tanasha , ulimchokoza , sasa Umekutana na Mwamba
@elieneapalangyo6938
@elieneapalangyo6938 Ай бұрын
Tunataka uonekane mahakamani full stop
@obadiamwakatuma4162
@obadiamwakatuma4162 Ай бұрын
Jinga sana hili, hata kama alikugusa na kukusema vibaya. Ila ww ndiyo ulisema hovyo na naamin ulimuingiza mwenzio katika matatizo makubwa. Mfano msongo wa mawazo na pengine kumuathiri kwenye makampuni mengi anayofanya nayo kazi. Ile kusema ana jihusisha na biashara halamu!, Du! Hilo ndiyo kosa kubwa sana ambalo ulifanya ww msema hovyo.
@AnaniaKyando
@AnaniaKyando Ай бұрын
Yani hapo unapo Kili kosa uwe tayar kwaadhabu yeyote kwauliye mkosea jee uko tayarii nasio samahani ya mdomoni ww ulikusudia kuongea
@johnmichaellukindo21
@johnmichaellukindo21 Ай бұрын
Mpaka lini? Masoud usimsamehe amekutukana sana brand yako!
@godymastermind9534
@godymastermind9534 Ай бұрын
Acha kuchomeka dini kwenye upuuz wako. Endelea na ujinga uone kama Masud haja kufunga
@JesuinaBabili
@JesuinaBabili Ай бұрын
Nasemajeeee …. asituchezee na misamaha ya mzaha! KP kanyaga twendeee 5B zinamuhusu mazimaaaa …
@johnmshuta5133
@johnmshuta5133 Ай бұрын
Ulikuwa upo silias tunataka ushahidi Wa kile ulicho kiongerea
@nzitogondwe9976
@nzitogondwe9976 Ай бұрын
Wewe kenge mimi sikusamehe na asikusamehe
@sadikielymaro9140
@sadikielymaro9140 Ай бұрын
Umeyatimba😂😂😂
@user-xd9ye7wk6c
@user-xd9ye7wk6c Ай бұрын
Yote kwa yote mwijaku kwa nn usiachane na uchawa ela unayo akili unazo fanya hata biashara maisha yaende hii tabia yako kiufupi haipendezi mwenyezi mungu akuongoe akuoneshe wapi sahihi ifike hatua ufanye mambo yenye hekima
@fredricksabick-hi1fl
@fredricksabick-hi1fl Ай бұрын
Una hisi kila mtu ni mwambino😅
@florinjoseph2504
@florinjoseph2504 Ай бұрын
Mwijaku uende ukapimwe akili
@ramadhanmahongole9293
@ramadhanmahongole9293 Ай бұрын
Kwaiyo huyo mwenyez mungu wenu anaongea kiarabu? mana naona kila unavyo mnukuu huyo mungu wenu una mnukuu kiarabu au ndo utumwa wa kifikra??
@ramadhanimtetu3656
@ramadhanimtetu3656 Ай бұрын
Acha Mihemko ya Imani Sikiliza Mada - Kwanini hukuhoji jina lako kwanza kuwa la Kiarabu ?
@ramadhanmahongole9293
@ramadhanmahongole9293 Ай бұрын
@@ramadhanimtetu3656 Mungu hana lugha special lugha zote ni zake hata ukimuomba kwa lugha ya kiswahili anakusikia hiyo tabia mliyo lithishwa na warabu walio waletea dini waislamu ni utumwa. kama hamjui mnawaabudu warabu bila kujijua huo ni ukoloni mambo leo haiwezekani eti Mungu muumba mbingu na ardhi awe hana uwezo wa kusikia kiswahili, kihindi, kingereza, kijapan, waislamu huyo allah wenu munamshusha thamani sana inaonyesha huyo allah wenu hana uwezo wa kusikia lugha za viumbe wake tuna mashaka na huyo allah kama kweli ni mungu wa kweli muumba mbingu na ardhi
@user-hi8le2vb7z
@user-hi8le2vb7z Ай бұрын
KUNA UTANI PALE??😊
@Moyo122
@Moyo122 Ай бұрын
maadam kaomba radhi na kajua kama kakakosea hilo litabaki kwa masoud ila kwa Mungu kwa hili hakuna tatizo
@amosmahona433
@amosmahona433 Ай бұрын
Huyu si mara ya kwanza ndio tabia yake maana kamchafua mwenzake vibya mno na umma mpaka muda huu tutaamini kp anafanya hayo mambo.sasa kumharibia mwenzake kuwa mwandishi wa habari si kibali cha kuanza kuwachafua wenzako mnafundishwa media ethics/kanuni za maadili ya habari au mwandishi wa habari.
@aghamedia
@aghamedia Ай бұрын
Jamaa anaogea Kwa confidence tu 🤣🤣🤣🤣baada ya kuomba msamaha dah mm nisingemsamehe
@johnmshuta5133
@johnmshuta5133 Ай бұрын
Yaaan wew autakiwi kusamehewa😂😂😂
@iwishtv7907
@iwishtv7907 Ай бұрын
Maneno na Matendo yako hayaoneshi kama wewe ni mtu wa Ibada ama mtu wa Mungu
@leokamil6284
@leokamil6284 Ай бұрын
Sijui kwa nini anatanguliza dini huku akikashifu watu hakumbuki hayo maneno ya kimungu.Mfedhuli mkubwa, anatafuta huruma kwa waislam kwa kutanguliza dini .Kama anahofu ya Mungu anayemtaja kwa nini awe na Taharuki awache unafiki huyo. Na hii sio njia ya mtu mwenye kuomba radhi
@aboudasilver6541
@aboudasilver6541 Ай бұрын
Mnafk sana huyu jamaa ataungua vibaya huyuuu 😂😂
@Bquality
@Bquality Ай бұрын
Tunataka bilioni 5 zetu mamae
@user-xk4os6jx8x
@user-xk4os6jx8x Ай бұрын
Sasa linajipendekeza😮 linajua kujipendeka
@omarikhalfan1079
@omarikhalfan1079 Ай бұрын
Mwijaku jirekebishe kwa mwendo wako kama hutojirekebisha utafungwa
@isaacsimon3580
@isaacsimon3580 Ай бұрын
Uandishi gani wa habari mwijaku? Mbona unatuchosha😂😂😂😂
@user-ft5yb1zu4p
@user-ft5yb1zu4p Ай бұрын
Huo uislam unaojinadi unakwambia kama unaona jambo utakalo sema litamkwaza mtu usiseme .hayo yote hukuyajua?hapo hujaomba msamaha uliongea mambo mazito mno na sidhani kama masudi alipata usingizi siku hiyo.mahakamani ndio mahari dahihi pa kuthibitisha kaneno yako kuliko kuleta maneno mengi yasiyo na maana kifupi sinakuelewa
@rehemamejja8342
@rehemamejja8342 Ай бұрын
Wamtangaziaa Nani...ibada......hujui chochoteee
@AliyyAli-ii1uz
@AliyyAli-ii1uz Ай бұрын
😮ujifuze kuongea majiymefika shingoni
@mkolakijika7130
@mkolakijika7130 Ай бұрын
Am not an expert in law lkn kutoka na public apology wakati uliemkosea ni mtu mmoja na keshafungua kesi tayari ni kukili kosa....kama ni mtu wa kupress na akiamua kukaza roho mambo itakua ngumu sana ungemtafuta huko mmalizane
@DouglasChuwa-ec7mv
@DouglasChuwa-ec7mv Ай бұрын
Mnafiki uyo masud anajisafisha na viongozi was dini muongea ovyo uyo jamaa
@Yayouselim
@Yayouselim Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂Ahlul bayt 😅
@suleimanismail8414
@suleimanismail8414 Ай бұрын
Stand ya TV ukutanii
@digitalworld5577
@digitalworld5577 Ай бұрын
Mwijaku wewe sio mwandishi. Mjinga kabisa mwijaku, hata hujitambui. Unajifanya kumtaja Mungu kwa maupuuzi....hapo huombi msamaha, unakimbia 5B ku*anyoko! Na huna jeuri ya kukwepa.
@emmasonanjawe9042
@emmasonanjawe9042 Ай бұрын
Mbwa haujasema kitu unazunguka
@user-pt7lc4xu3d
@user-pt7lc4xu3d Ай бұрын
Ww mbona una mtukana diamond Alf yeye akufanyi kituu
@user-xk4os6jx8x
@user-xk4os6jx8x Ай бұрын
Pumbavuu
@MonicaMarealle
@MonicaMarealle Ай бұрын
Ufungwe tu una mdomo kuliko hata watoto ulio wazaa
@khalifasultan2677
@khalifasultan2677 Ай бұрын
Unakosea Watu Na Kuropoka Kibwege Halafu Unajiwekea Kimvuli Cha Dini! Acha Kuingiza Dini Na Mambo Yakl Ya Kiboya!
@leokamil6284
@leokamil6284 Ай бұрын
Mnafiki sana huyo kwanza huo msamaha hautoki moyoni. Na mtu mwenye hofu ya Mungu huwa hana dhana na huwa mtu wa subira. Ila huyu ni muongo mlaghai
@moriscollins4494
@moriscollins4494 Ай бұрын
Ulijua masudi ni baba levo au dotto magari
@wadhhasuleiman2621
@wadhhasuleiman2621 Ай бұрын
Au menina hajui masoud hajui Kiki mwache ayatimbe
@user-ft5yb1zu4p
@user-ft5yb1zu4p Ай бұрын
Kuna utani lakini yale maneno siyo utani
@ddaddytz
@ddaddytz Ай бұрын
.
@ramanycore
@ramanycore Ай бұрын
😂😂
@LeonardSanga-zn5pn
@LeonardSanga-zn5pn Ай бұрын
Yaani wewe nikibuli sana unatoapasi alafu unafunga mwenyewe
@GervasMalimi
@GervasMalimi Ай бұрын
Wewe tulia tunakauza hako ka orofa ka m70 natunabaki tunakudai B 4.93😂
@user-bs2nr7gz5p
@user-bs2nr7gz5p Ай бұрын
Anajifanya mjanja kumbe kunguru peleka mahakamani fisi maji auze kigorofa chake ili next time atie akili
@Mohd-wl1tc
@Mohd-wl1tc Ай бұрын
Mtu wa maana san huyu
@ddaddytz
@ddaddytz Ай бұрын
:
@shamimageta6651
@shamimageta6651 Ай бұрын
Umekimbilia kwenye koloani Utakiwi kusamehewa umbwa wewe domo litakuponza
@MarckyCholla
@MarckyCholla Ай бұрын
Natamani siku moja kichwa chako kiokotwe zanzibar kiwiliwili kibaki bara firahuni mkubwa wewe.tena achana na dini kabisa
@stevencharles-di9yc
@stevencharles-di9yc Ай бұрын
asubili afilisike
@kingthedon508
@kingthedon508 Ай бұрын
Mechi bado moja bila😅😅😅
@thomasgabriel588
@thomasgabriel588 Ай бұрын
B 5 inakuhusi halafu like kasili tuna gawana hapo vipi chawa bado mwambino Kuna siku atakuburuza mahakamani mbwa wewe
@mwantumuhassani5086
@mwantumuhassani5086 Ай бұрын
kipanya naomba tunyoshetushoshe huyo chaumbea
@mwendajumbe6816
@mwendajumbe6816 Ай бұрын
Unachezea mbwa kisha unakwenda msikiti pia unatangaza mikopo ya riba , hivi unajua hukumu za uislaam au unaufanya uislaam kama suti au kanzu yaani kama pambo?
@SarahMwakakuka
@SarahMwakakuka Ай бұрын
Masood samehe mala Saba malasabini🤲🤲
@user-do2qp5fv9b
@user-do2qp5fv9b Ай бұрын
Ndo ukome mbwa wewe unajifanyaga mjuaji sana. Kudadeki zako mfyuuuuuuuuuuuu
@clementinaaguka
@clementinaaguka Ай бұрын
Unaongea kiarabu ili tukuone wa maana, bora upigwe ulipe
@user-md7sd3hk6l
@user-md7sd3hk6l Ай бұрын
mbona kila siku wewetu mama yake na zuchu mama adija kopa uli muomba samaani nauyu kaka masuudi ngoja kwanza kaka kipanya achukue pesa yake zisha anza kuku levywa ina one kana pesa zabule ngoja apunguze mpe liziki ime mfika kaka masuud
@user-do2qp5fv9b
@user-do2qp5fv9b Ай бұрын
Usingize ibada naumbeya wako😂😂😂
@AlbertRemmy
@AlbertRemmy Ай бұрын
subiri tuone sheria itaamua nn. usiongee sana
@user-gb2qr9bp2p
@user-gb2qr9bp2p Ай бұрын
Acha njaa kwa kuwasema watu vibaya choko wewe
@RobbinivanNgowi
@RobbinivanNgowi Ай бұрын
Halaaa. Mtu wamanaa kabisaa mwijakuu..
@happyemanuel2070
@happyemanuel2070 Ай бұрын
YaN mwijaku unakihele Hele sana
@AbuuFarhaan-ri2yj
@AbuuFarhaan-ri2yj Ай бұрын
Mtazame mashavu yake yalivyomshuka manene kama vitumbua vya mama abduli
@AbuuFarhaan-ri2yj
@AbuuFarhaan-ri2yj Ай бұрын
Hakuna huruma hapa pumbavu kabisa,unajifanya kwa sisi waislamu,sahivi ndo umejua wewe ni muislamu mwana kulitafuta mwana kulipata asee,ee Mungu tunakuomba huyu jomba aende jela miaka 20,ili iwe fundisho kwa wanafiki unaenda Makka kutalii pumbavu badala kufanya ibada ama kweli Mungu hadhihakiwi,mnafiki mkubwa wewe haya hao matajiri wako ,wako wapi sasa unaowalambaga viatu na kunyenyekeza kwao badala ya mola wako wakushike mkono katika hili sasa wewe ni mtu wa kufanya ibada ili wakuone wewe bingwa wa unafiki pitia unachokipitia kwa sababu hiyo ni hatima yako,usimdharau mtu yeyote katika dunia wala usiwe mwepesi wa kuropoka hovyo maneno mabaya
@KachaGrll
@KachaGrll Ай бұрын
Kwaiyo kama anakupa kazi maana yake nawewe umehusika kwenye madawa anayo uza uliyo sema? Mpuuzi Mmoja wewe kwanza akupeleke TU mahakan maana unavyo ongea kama TU kumbe linaogopa 😅😅
@hahusahahusa5676
@hahusahahusa5676 Ай бұрын
Unajiamini kuwa unaweza kumtukana na kumdhalilisha mtu yeyote sasa dunia imekufunza adabu
@samirazuberi186
@samirazuberi186 Ай бұрын
Chawa wa samia huyu😢
@samirazuberi186
@samirazuberi186 Ай бұрын
Umesahau uchawa
УГАДАЙ ГДЕ ПРАВИЛЬНЫЙ ЦВЕТ?😱
00:14
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 4,3 МЛН
Mom's Unique Approach to Teaching Kids Hygiene #shorts
00:16
Fabiosa Stories
Рет қаралды 33 МЛН
Задержи дыхание дольше всех!
00:42
Аришнев
Рет қаралды 3,6 МЛН
УГАДАЙ ГДЕ ПРАВИЛЬНЫЙ ЦВЕТ?😱
00:14
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 4,3 МЛН