MAMA wa MTOTO ALIYEKATWA KOROMEO DAR AMWAGA MACHOZI - ''NIMEMSAMEHE - HANA TABIA MBAYA''...

  Рет қаралды 93,620

Global TV  Online

Global TV Online

Күн бұрын

MAMA wa MTOTO ALIYEKATWA KOROMEO DAR AMWAGA MACHOZI - ''NIMEMSAMEHE - HANA TABIA MBAYA''...
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9z...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 472
@globaltv_online
@globaltv_online 2 ай бұрын
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
@ruthhamisi2902
@ruthhamisi2902 2 ай бұрын
Nimelia sana,mama mtoto alivyoongea,nikakumbuka neno la mungu linasema mpende adui yako, muombee anayekuudhi na wala usimlaani
@florarwegerera8025
@florarwegerera8025 2 ай бұрын
Hiyo ni kesi ya Serikali, mama umefanya jambo kubwa sana mbele ya Mungu kwa kumsamee huyu dada
@batistamngullu9235
@batistamngullu9235 2 ай бұрын
Hapa Pana funzo kubwa sana kuhusu msamaha! Mwenyezi Mungu awabariki sana kwa kusamehe, namuombea mtoto apone na arejee katika masomo yake.
@givenessdavid3743
@givenessdavid3743 2 ай бұрын
Sijawahi ona Upendo wa namna hii....... Watu wazuri Bado wapo 😢😢😢😢😢Mpaka nmelia
@EdnaJohn-c5x
@EdnaJohn-c5x 2 ай бұрын
Dada una moyo wa kipe kee sana uchungu wa mwana kweli au juae mzazi lakini acha seli kali ifanye kazi yake pole sana na mungu aku tie nguvu
@joycehaule9717
@joycehaule9717 2 ай бұрын
Hallelujah hakika moyo ni wa Mungu kusamehe ni MOYO WA MUNGI HASWAAAAAAA
@loner_wolf
@loner_wolf 2 ай бұрын
Serikali ni yetu , mtoto ni wetu na rais ni wetu na mtuhumiwa ni mtoto wetu na hapa ni kwetu . Together we can , strong we shall stand . Over❤❤❤❤
@givenessdavid3743
@givenessdavid3743 2 ай бұрын
❤❤❤
@ellykawa4755
@ellykawa4755 2 ай бұрын
Hii familia inamtegemea sana Mungu kwa jaribu hili kubwa kubwa sana bdo wana imani ya msamaha kwa dada kwa kweli mkono wa Mungu na neema zake zisiwapungukie maana wameshinda jaribu
@skeetergodwins2576
@skeetergodwins2576 2 ай бұрын
Ubarikiwe dada. Hakika huu ni moyo wa Mungu
@christopherkaroli9365
@christopherkaroli9365 2 ай бұрын
Pole sana mdogo wangu Mungu akutie nguvu, tuzidi kumwomba Mungu azidi kumtetea na kumponya mtoto, pongezi za pekee kwa rais yetu mpendwa na jeshi la polisi kwa juhudi zao
@umsulaiman7468
@umsulaiman7468 2 ай бұрын
ManshaAllah mama ake Malik Allah akujalie moyo wa subra na moyo wakusameh Jaman una moyo mpana mh ah huyo akimsameh asije kumuuwa hata hivo mama Malik kuwa makini Kwa huyo ulio msameh adui Ni adui tu hatobadilika kamwe
@agneskaseya8473
@agneskaseya8473 2 ай бұрын
Pole sana mzazi mwenzangu mwene mtoto m1 kama mimi kweli wema wako wa kuweza kusamehe toka moyoni kweli mungu karudisha kwa namna yake hilo lilikuwa ni jaribu na ukweli mmeshinda jaribu kama ibrahim baba wa imani na mtoto atapona kwa jina la mungu alie juu...AMEN
@محمدالقايد-د6ب
@محمدالقايد-د6ب 2 ай бұрын
Asante Raisi wetu mzuri ubarikiwe Sana na Mungu
@kissakayuni767
@kissakayuni767 2 ай бұрын
Asante muheshimiwa Rais wetu kwa msaada wako Mungu akutunze daima.
@piomallya9999
@piomallya9999 2 ай бұрын
Daaah Baba na mama huyu wana Roho wa Mungu ndani yao na upendo wa kiMungu. Tunamweka Mtoto kweny sala zetu atapona kwa rehema zake mwenyezi Mungu.😢😢🙏🙏🙏
@LucyChengo
@LucyChengo 2 ай бұрын
Haki dadangu umefanya vizuri sana kufungua moyo wako na kumsamehe dada Yako wakazi mungu atakufanyia wepesi Kwa kila jambo
@MarryquizetShirima
@MarryquizetShirima 2 ай бұрын
Mungu akamponye huyu mtoto na mungu aendelee kuwapa wazazi wepes wa kusamehe hivohivo
@fransicanikodem3684
@fransicanikodem3684 2 ай бұрын
Poleni sana wazazi.Mwenyezi Mungu ampe mtoto uponyaji.
@MfaumeAdam-e9r
@MfaumeAdam-e9r 2 ай бұрын
Mungu awabaliki sana kwakusamehe
@HamidaAhmad-jd5zi
@HamidaAhmad-jd5zi 2 ай бұрын
Maashalah maashalah iaumiza ila Allah akulipe kila lenye kheri mama wewe kwel una ofu ya mungu na Mungu tunamuomba amponye mtoto wetu harud kuwa na afya kama zaman. Mungu akupe moyo wa subra
@HappyGershon
@HappyGershon 2 ай бұрын
Hakika Mungu ampoganie huyu Mtoto jaman, Wazazi kwakweli Mmeichukulia KiMungu sana Mungu awatangulie na kuwatetea Pia Mmekuwa Mfano wa Kuigwa Kabisaa
@maymunahomar5016
@maymunahomar5016 2 ай бұрын
SubhanAllah! Mungu amjaalie shifaa mtoto hali yake irudi kuwa njema.🤲 Mungu awabariki wazazi wake kwa kuamua kumsamehe huyo dada.
@ZulfahMuhammad
@ZulfahMuhammad 2 ай бұрын
Alhamdulillaah huyu Mama yuko na roho zuri sana kwakweli na Mola akuhifadhi na mtoto wake ampe afya njema ❤
@SalamaNauthar
@SalamaNauthar 2 ай бұрын
Mashaallah' dada una roho nzuri sana ' nimekupenda Wallah' ALLAH Akulinde
@FatumaMombo
@FatumaMombo 2 ай бұрын
Msamaha unanguvu sana katika roho ya uzima Mungu akaachilie roho ya uponyaji mtoto apone na arudi nyumbani kwa wazazi wake
@DoreenMlay-e8g
@DoreenMlay-e8g 2 ай бұрын
jaman dada pole mungu akupe hekima zaidi ni wachache wenye moyo kama wa huyu dada
@AishaAisha-r7t
@AishaAisha-r7t 2 ай бұрын
Dadaa munguu akubarik wewe unamoyo wakipekee sanaa nashukuru tutambuakuwa sie binadam siwakamilifu❤❤❤
@umfahad2609
@umfahad2609 2 ай бұрын
Mama Samia tunakushukuru saana kwa kuwajali raia wako. Hasa wakati wanapo patwa na matatizo. MUNGU akupe umri mrefu MAMA.❤
@user13375
@user13375 2 ай бұрын
Hii familia itafika mbinguni❤❤❤
@zuhurahamisi8687
@zuhurahamisi8687 2 ай бұрын
Shukran mpenz
@SophiaMahala
@SophiaMahala 2 ай бұрын
Pole my dada,naogopa na mm ndo kwanza na katoto kamoja mweee wanadamu mungu amponye mtoto kwa jina la yesu Amina🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@BeibyDy
@BeibyDy 2 ай бұрын
Nashukuru sana dada Kwa Imani hiyo dada mungu akubariki mungu atakuokoa nauovu wadunia hii kama lutu
@joyceatupele8848
@joyceatupele8848 2 ай бұрын
Kwa njinsi ulivyo msamehee huyu bint japo kuwa si lahisi hi vyo na Amina mungu atashugulika na Mambo yako mungu amponye mtoto 😊
@AmisoMuyohira
@AmisoMuyohira 2 ай бұрын
Pole sana dada juma kutoka burundii 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮 inasikitisha sana
@PeterMahona-zd3oz
@PeterMahona-zd3oz 2 ай бұрын
Mungu. Wetu akutieguvu namwanao apone unamoyo wauvumilivu sana ubalikiwe dada
@barakaalex8912
@barakaalex8912 2 ай бұрын
Mungu akupe wepesi was maisha Asante
@MichaelWilliamsNyirenda
@MichaelWilliamsNyirenda 2 ай бұрын
Dada Mungu Wakubariki sana huo musamaha Mungu amependweza na ww pia mtoto nae naamin atamuponya
@rosehaule6765
@rosehaule6765 2 ай бұрын
Pole.sana ukisamehw na ww Mungu anakusamehe nawe na.pia unapata uponyaji wa moyo.. na.mtoto wako atapona vizuri acha tumshukuru Mungu tu maana sote tunazaa hata atujui nini shida hawa watoto wa Sasa wana shida gani wa.ekuwa wakatili mnoo Mungu awabariki mnoo kwa msamaha mliotoq😢
@GdFf-ik2eo
@GdFf-ik2eo 2 ай бұрын
Mungu awabariki Wazazi WA huyu mtt Kwa kusamehe DD WA kz
@elizabethdamas-zp9xl
@elizabethdamas-zp9xl 2 ай бұрын
uyu mama ana imani sana aiseh na ana hofu kubwa ya Mungu daah sijawah ona🙌🙌🙌
@JeniphaJohn-h8q
@JeniphaJohn-h8q 2 ай бұрын
Pole sana dada mungu azidi kulinda familia yko
@ImeldaIsdory
@ImeldaIsdory 2 ай бұрын
Kazi njema sana Imelda. Mama Malik Mwenyezi Mungu na awafanyie wepesi.
@FatumaJuaje-nc7om
@FatumaJuaje-nc7om 2 ай бұрын
Mwenyezi mungu atamponya mtoto wenu kwa hizo roho ridzo zenu nzuri 😢nimejifunza
@VivianMorewin
@VivianMorewin 2 ай бұрын
Mungu awabariki sana,tunamuonba mungu aponye mtoto apone
@kissakayuni767
@kissakayuni767 2 ай бұрын
Shani Mungu akubariki sana maana una moyo wa kipekee pamoja na baba wa mtoto nyie kweli hofu ya Mungu ipo moyoni mwenu.
@SaumuAlly-lc8fw
@SaumuAlly-lc8fw 2 ай бұрын
Pole sana dada mungu akupe uvumiliv amponye mtoto
@faridaaloyce4330
@faridaaloyce4330 2 ай бұрын
Mungu anafanya jambo jipya kwa mtoto na familia nzima hongera kwa kumsamehe dada
@Afyabora1412
@Afyabora1412 2 ай бұрын
Respect for you Mama Mzuri Rais wetu ❤ Kwa upande wangu kama ningekuwa Mama mzazi wa Malik ningemsamehee ila serikali ifanye kazi yake fimbo inafaa kwa mwana mpumbavu.
@LuteMussa-tg1rv
@LuteMussa-tg1rv 2 ай бұрын
Mungu akutie nguvu dad 🙏🙏
@Eleonora-ei6yx
@Eleonora-ei6yx 2 ай бұрын
Upendo hauhesabu mabaya 1cor 13:Hii familia wameonyesha uoendo wa Mungu kwa kiwango cha juu sana
@abdallahsaidi3196
@abdallahsaidi3196 2 ай бұрын
Asante sana mama yetu samia kw kutushika mkono. sisi jambo hili likikuwa gumu mn.
@VumiliaMajoro
@VumiliaMajoro 2 ай бұрын
Pole sana familia mungu akutie nguvu mtoto apone , kiukweli mnamoyo mzuri sanammemsamehe bint wakazi mungu awazidisjie muendelee namoyo huo niwachache wenye moyo Kama yenu
@basilisamsaka8469
@basilisamsaka8469 2 ай бұрын
Moyo wa kusamehe ni wa Mungu
@PendoGodfrey-lu2pm
@PendoGodfrey-lu2pm 2 ай бұрын
Dada utafika mbali Sana,kimaisha.kwamoyo huo ulio jaa upendo.
@RevinaFrancis
@RevinaFrancis 2 ай бұрын
Pole sana KWA matatizo mungu akutetee na ongera KWA moyo wa kusamehe ukisamehe mawe utasamenewa
@beatricehenry6776
@beatricehenry6776 2 ай бұрын
Una Imani sana M/Mungu akupende zaidi
@AminathaShamte
@AminathaShamte 2 ай бұрын
Pole sana ndugu yangu, mungu amfanyie wepesi mtoto wetu
@FortunataNguma
@FortunataNguma 2 ай бұрын
Hawa vijana Mungu atawalipa mara 2 kwa moyo wa msamaha Mungu awabariki
@wisemaliva5376
@wisemaliva5376 2 ай бұрын
Dah imenitia huruma dada uliposema nimemsamee dah dada mungu akutie nguvu
@avernegervas5839
@avernegervas5839 2 ай бұрын
Yan nmejikuta nalia maskini cjui ni nini kimeikumba hii familia mtoto mwenyewe m1 jaman mungu tutie nguvu,,​@@SamiraameirSamira-qt9yn
@kessynurutajiri4940
@kessynurutajiri4940 2 ай бұрын
Jamani hii familia ya gani? Shukran za kipekee kwanza wamshukuru sana Mwenyezi Mungu, yeye ndiye kila kitu kwetu. Hakuna zaidi ya yeye, halafu tambueni Mwenyezi Mungu ameenea Mbinguni na Ardhini .
@AnnaSanga-bs7pl
@AnnaSanga-bs7pl 2 ай бұрын
Ubarikiwe kwa moyo wa msamaha
@SalumuJuma-q3x
@SalumuJuma-q3x 2 ай бұрын
Hongera sana Kwa kujuwa kama mungu yupo naawape nafu ya hiyo mtoto
@MwanamisoAbdallah
@MwanamisoAbdallah 2 ай бұрын
Weee masha Allah masha Allah una roho y utu masha Allah ❤❤❤❤❤
@tinnahagustinolyelu4247
@tinnahagustinolyelu4247 2 ай бұрын
Dada Mungu akutunze saana my dear
@piusmdoe3200
@piusmdoe3200 2 ай бұрын
Yah! Nimewapenda bure.Moyo wa ujasiri,moyo wa uvumilivu,moyo wa kusamehe
@winfridamushimushi7025
@winfridamushimushi7025 2 ай бұрын
Pole sana jmn my dr Mungu akutie nguvuu
@milletyjumaa2371
@milletyjumaa2371 2 ай бұрын
Dada pole sn yan mm mwenyewe najikuta nalia mungu afanye wepesi katika hili
@aishaalbalushaishabalush8291
@aishaalbalushaishabalush8291 2 ай бұрын
dada anaonekana anaroho nzuri sana sasa sjui mfanyakazi kilimkuta nini hadi kumfanyia hivo madame wake mtu mzuri hivi subhan allah
@jemimabakari
@jemimabakari 2 ай бұрын
Mapepo sijui😢
@betrackjasson6698
@betrackjasson6698 2 ай бұрын
Nimeelewa point yako ndugu ila vitoto vya kiume uwa vina ubishi fran inaonekana alikuwa mletea zalau fran labda kumtishia kisu ntakuchinja mm grafra kikapita
@salmaathumani9381
@salmaathumani9381 2 ай бұрын
Mashaallah Mama Mzazi Allah Azidi Kukupa Moyo Huo Huo Wa Kusamee
@AshaMalonga
@AshaMalonga 2 ай бұрын
Pole sana mwanangu mungu atakujalia mwanaoatapona
@salomewandya7257
@salomewandya7257 2 ай бұрын
Hii familia ina hofu ya Mungu,mtoto atapona kwa jina la Yesu 🙏🙏
@Pixxmoleli
@Pixxmoleli 2 ай бұрын
pole sana dada.Mungu atulindie watoto wetu
@eunicekisumo9611
@eunicekisumo9611 2 ай бұрын
Kuna nguvu ya ajabu ndani ya neno msamaha nimejifunza kitu kikubwa Sana hongera kwa mama na baba wa mtoto Mungu awatunze mwe salama na awasamehe yote mliyowahi kukosea
@MagrethLonje1
@MagrethLonje1 2 ай бұрын
Mungu amponye mtoto mapito megi sanaa
@christinakiula3743
@christinakiula3743 2 ай бұрын
Tunamshukuru Mungu kwa wazazi kwa kuwawezesha kusamehe na kuachilia. Tunamwombea mtoto apone haraka kwa uwezo wa Mungu.
@AnithaSimon-u9e
@AnithaSimon-u9e 2 ай бұрын
Vuzuri my kwamsamaha uho ulotoa mungu amponye uyomtoto🙏🙏🙏🙏
@PeterMahona-zd3oz
@PeterMahona-zd3oz 2 ай бұрын
Poleni kwahayo mungu atawasadia kaka
@LilianMoyo-wf2yq
@LilianMoyo-wf2yq 2 ай бұрын
Pole sana mungu akutie nguvu
@محمدالقايد-د6ب
@محمدالقايد-د6ب 2 ай бұрын
MUngu Ni mwema jamanii pole dada ubarikiwe Sana Mungu amponye mwanao
@AffectionateCabezonFish-ku5ee
@AffectionateCabezonFish-ku5ee 2 ай бұрын
Dada munguna akubari sana kwa moyo huo umepitia kwenye andiko la samehe 7 mala sabini
@beinafuu6219
@beinafuu6219 2 ай бұрын
Asante
@peninamwailunda8813
@peninamwailunda8813 2 ай бұрын
Abarikiwe mama Samia Kwa moyo wa upendo wa kusaidia
@JanethMollel-wk5th
@JanethMollel-wk5th 2 ай бұрын
Pole Sana Mungu akutie nguvu,,Mimi nilimpata agent sikurudia Tena mdada wa kazi nimemuogopa Kama ukomaa.
@AshaJuma-s7l
@AshaJuma-s7l 2 ай бұрын
Nakupenda Imelda Mtema. Upo vizuri katika habari
@ttss7716
@ttss7716 2 ай бұрын
Mama samia hoyeeee wako na imani sana hiyo familia❤
@umfahad2609
@umfahad2609 2 ай бұрын
Pole saana ndugu yng. Kwa huo moyo uliokua nao MUNGU atamponesha mtt haraka. Na tunamuombea MUNGU amponeshe mtt haraka. Ni ndugu yako kutoka Oman. Imeniliza saaana hii jamani.😭😭😭💔💔
@JulianaPaschal-y4h
@JulianaPaschal-y4h 2 ай бұрын
Pole sana,mwanamke mwenzangu...
@DxbYae
@DxbYae 2 ай бұрын
Mungu awasimamie sn wazazi kwa moyo wa upendo....kwa kumsamehe dada...haya kz ipo kwa serekali
@AnethMushi-c3e
@AnethMushi-c3e 2 ай бұрын
Hilo ni jaribu kwa dada mwenye mtoto Mungu kampa neema ya kusamehe
@MariamPosian
@MariamPosian 2 ай бұрын
Poleni sana mungu awajalie muwe na moyo huohuo na pia mungu amjalie mtoto apone
@RoseMbise-rw9sz
@RoseMbise-rw9sz 2 ай бұрын
Mungu akutie nguvu dada wew ivi viatu ni vigumuuu mnooo
@ModesterRuguzye
@ModesterRuguzye 2 ай бұрын
Moyo wenu wa msamaha Mungu amehusika hongereni sana mubalikiwe sana ila kuhusu dada nahisi alikuwa mnafiki anamoyo mkubwa sana ipo siri kubwa nyuma yake
@givenessdavid3743
@givenessdavid3743 2 ай бұрын
Tukazane sana kuwaombea watoto wetu na Walezi wao shetani yupo kazini kisawa sawa.....
@FatmaHaji-sf6xq
@FatmaHaji-sf6xq 2 ай бұрын
Pole sana mama allha atampona mtoto Mungu tulindie watoto wetu
@catherinefaney948
@catherinefaney948 2 ай бұрын
Mungu aendelee kumpigania huyu mtoto,Mungu aendelee kuwatia nguvu familia,na kuendelea kumtegemea Mungu.nimefura huyu mdada amepatikana.asante Mama Samia Kwa upendo na huruma Yako.
@ebenazentahontuye8455
@ebenazentahontuye8455 2 ай бұрын
Mungu akupiganie mwanao atapona
@jamesswai6583
@jamesswai6583 2 ай бұрын
Mm nilichojifunza ni kusamehe. Ata uponyaji huja Kwa kusamehe.
@priscamhandi1676
@priscamhandi1676 2 ай бұрын
MUNGU akubariki Rais wetu🙏
@AholeLifilima
@AholeLifilima 2 ай бұрын
Hongera odo umi mwalimu na mama samia
@LevinaMuimbura
@LevinaMuimbura 2 ай бұрын
Mungu aponye na amutie nguvu
Mama Amwaga Machozi , Baada ya Miaka 29 Amekutana na Mtoto Wake
4:16
DID A VAMPIRE BECOME A DOG FOR A HUMAN? 😳😳😳
00:56
Mom had to stand up for the whole family!❤️😍😁
00:39
黑的奸计得逞 #古风
00:24
Black and white double fury
Рет қаралды 16 МЛН
Babysitter Interrogated After Brutally Murdering 2-Year-Old for Annoying Him
37:53
Mtoto aliyefariki na kuzikwa apatikana akiwa hai
52:00
Dina Marios tv
Рет қаралды 3,2 МЛН
DID A VAMPIRE BECOME A DOG FOR A HUMAN? 😳😳😳
00:56