JAMAA ALIEFARIKI MIAKA 20 ILIYOPITA AFUFUKA, MZIMA HAJAOZA, SHEREHE YAFANYIKA KUMPOKEA

  Рет қаралды 1,392,756

Millard Ayo

Millard Ayo

3 жыл бұрын

Пікірлер: 1 700
@Lilmbunah
@Lilmbunah 3 жыл бұрын
Kama unaamini mungu yupo gonga like hapa uki reply amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@theodorasalvatory6025
@theodorasalvatory6025 3 жыл бұрын
Amen
@harsonisack3326
@harsonisack3326 3 жыл бұрын
Amen
@flaviusmichael2185
@flaviusmichael2185 3 жыл бұрын
Amen
@thomasmwambwiga1724
@thomasmwambwiga1724 3 жыл бұрын
Amina
@daliaabdullah5756
@daliaabdullah5756 3 жыл бұрын
Maashaallh Mungu ni mkubwa jamani
@herifridgmsigwa180
@herifridgmsigwa180 3 жыл бұрын
Kama unakubali kuwa Mungu mtenda miujiza gonga like hapo chini
@zkiduku4068
@zkiduku4068 3 жыл бұрын
@Daniel thomas Msigwa 😆😆😆😆😆
@ludacrissrangiyabank3737
@ludacrissrangiyabank3737 3 жыл бұрын
Kma mtu una akili timamu asaa na unamuamini Mungu huwez kuamini ujingaa kma huu ata kwa bahati mbaya cz hakuna kitu kma hicho kua mtu afe hlf kafufuka agh hakuna kitu kma hicho
@gersonntihalizwa913
@gersonntihalizwa913 3 жыл бұрын
Yesu anaweza
@lilianeerica3318
@lilianeerica3318 3 жыл бұрын
@@ludacrissrangiyabank3737 labda alitoloka warikuwa wanamtumikisha
@davidevarist6371
@davidevarist6371 3 жыл бұрын
Name of Jesus
@marthajulius5293
@marthajulius5293 3 жыл бұрын
Mungu ni yule yule Jana hata leo milele habadiliki......LOVE U LORD JESUS
@isaacbichwa4234
@isaacbichwa4234 3 жыл бұрын
Kama unaamini yupo Mungu kwaajili yetu gonga like hapa
@dorcasaruni4432
@dorcasaruni4432 3 жыл бұрын
Mungu ni mwema wakat wote Yani wachawi Jamn Daah utafikili wenyewe awafi daah mungu anawaona na wachukia sana 🤮🤮
@challesjonh7609
@challesjonh7609 3 жыл бұрын
Ioo
@lovelnyrose2181
@lovelnyrose2181 2 жыл бұрын
Mungu atulinde jaman inahuzunisha sana
@emmanuelkyando2125
@emmanuelkyando2125 3 жыл бұрын
Mungu alie mleta tena duniani ndie atakae mfungua kinywa tena AMEN
@nenenelly7619
@nenenelly7619 3 жыл бұрын
Amena
@monicahmwkali1209
@monicahmwkali1209 3 жыл бұрын
Amen
@daudimakima6974
@daudimakima6974 3 жыл бұрын
Kila kitu kinawezekana kwa uwezo was mungu by marry
@daudimakima6974
@daudimakima6974 3 жыл бұрын
Kila kitu kinawezekana kwa uwezo was mungu by marry
@monicahmwkali1209
@monicahmwkali1209 3 жыл бұрын
@@daudimakima6974 amen
@ferouzmasoud4741
@ferouzmasoud4741 3 жыл бұрын
Daah 😥 kwel MUNGU 🙏 ni mkubwa wacha tuendelee kumuomba MW/MUNGU kwa kila Jambo
@ferouzmasoud4741
@ferouzmasoud4741 3 жыл бұрын
@kilele martine 🙏🙏🙏
@ferouzmasoud4741
@ferouzmasoud4741 3 жыл бұрын
@kilele martine 🙏🙏🙏
@alicemuthoni8177
@alicemuthoni8177 3 жыл бұрын
Eeeh Mungu uliefanya huyu arudi na ewe Mfalme wa wafalme warudishe na hao wengine ..asante Mungu kwa kumfanyia huyu mama muujiza😢😢
@abduljaffar875
@abduljaffar875 3 жыл бұрын
Uongo mtupu nyinyi mnaamini t
@alicemuthoni8177
@alicemuthoni8177 3 жыл бұрын
@@abduljaffar875 mpaka uwe ni mwenye kukubali kuwa kuna Mungu mkuu anaewapenda bunadamu wote na kuwarudishia tumaini wanapo dhulumika hakika yeye anauwezo wakufanya jambo lolote asiloweza mwanadamu na yeye sidhalimu wala hako na madhalimu ila upendo wake mkuu hufanya madhalimu waone kama hawajui wala hatambui ila siku yaja....
@user-zh8uf3wy2z
@user-zh8uf3wy2z 6 ай бұрын
Mungu wangu anisaidie na mimi
@linamacha7686
@linamacha7686 3 жыл бұрын
Sifa na utukufu zimrudie Mwenyezi Mungu wewe Mungu uliyemrudisha huyu kijana tunaamini utamfungua na kuwa na afya njema na lipo kusudi lako ndani ya maisha yake 🙏🙏
@scolamsisi9306
@scolamsisi9306 3 жыл бұрын
Mungu alietenda kwenye familia hii atende kwa familia nyngne pia
@assiakiboko2033
@assiakiboko2033 Жыл бұрын
@@scolamsisi9306 0pp
@abubakaryyunus9297
@abubakaryyunus9297 3 жыл бұрын
Ila nyie Millard ayo mnajua kufatilia mambo mpo vizur ma brother
@goldlediamante6259
@goldlediamante6259 3 жыл бұрын
Jamaa akikuambia story ndo hii kweli ndn panakuwa Hakuna chenga ndani ake
@anastaziuscyriacus5415
@anastaziuscyriacus5415 3 жыл бұрын
Millard namuita LEGENDI sasa hivi
@scopionclever5196
@scopionclever5196 3 жыл бұрын
Mungu yu mwema kila wakati ....gonga like twende saw
@siwemamahenge3275
@siwemamahenge3275 3 жыл бұрын
Milado ayo wewe ni mziki mnene, mi nakupa Big Up sana
@estasage498
@estasage498 3 жыл бұрын
Jamani kamupeleke kwa pastor Gwajima ufufuo na uzima. Please, take him to pastor Gwajima so he could be prayed for.
@mamarahel6837
@mamarahel6837 3 жыл бұрын
Unaongelea gwajima yupi?
@eliamkonda5162
@eliamkonda5162 3 жыл бұрын
Gwajima ni tapeli kama matapeli wengine alie Mungu pekee alie mrudisha ndio atamulinda
@rehemamhanje3420
@rehemamhanje3420 3 жыл бұрын
Ahhh gwajima mbunge ndio aombe eh
@glorymhanga3917
@glorymhanga3917 3 жыл бұрын
wampeleke kwa mwamposa!!
@tinadarius7691
@tinadarius7691 3 жыл бұрын
apelekwe maombi jmn atakaa sawa Mungu ni mwaminifu sana tumrudie Yeye
@WaridawaridaWarida
@WaridawaridaWarida 3 жыл бұрын
Amen
@dullywamashairi121
@dullywamashairi121 3 жыл бұрын
Yeyote anayepitia katika ukulasa huu ni dhahiri anahitaji kujifunza. Bonyeza link hii chini kaangalie hii video kisha nambie umejifunza nini. Asante kzbin.info/www/bejne/g2WqqnifoZKhd9E
@mariyaal5366
@mariyaal5366 3 жыл бұрын
Amen
@franciskavyega280
@franciskavyega280 3 жыл бұрын
Kabisa
@samuelemmanuel3400
@samuelemmanuel3400 3 жыл бұрын
Amen
@doctorzero-dj5xg
@doctorzero-dj5xg 3 жыл бұрын
Akiombewa atafunguka vizuri zaidi , Mungu atukuzwe
@dullywamashairi121
@dullywamashairi121 3 жыл бұрын
Yeyote anayepitia katika ukulasa huu ni dhahiri anahitaji kujifunza. Bonyeza link hii chini kaangalie hii video kisha nambie umejifunza nini. Asante kzbin.info/www/bejne/g2WqqnifoZKhd9E
@nurathissa1422
@nurathissa1422 3 жыл бұрын
Washamkata ulimi jamani
@hindisaid2413
@hindisaid2413 3 жыл бұрын
Huyu kuongea ni miujiza myengine.ila ni wenyewe hao
@estasage498
@estasage498 3 жыл бұрын
Apelekwe ufufuo na uzima. Pastor Gwajima ni kiboko
@doctorzero-dj5xg
@doctorzero-dj5xg 3 жыл бұрын
@@estasage498 Mungu yuko popote ,imani tuu, watamrudusha , waombe bila kuchoka
@paidenasra4548
@paidenasra4548 3 жыл бұрын
Duu Allah ni mueza wa kila kitu. Mungu anazidi tuonyesha majab. Kama mnamini gonga like zenu apa.
@enjopetar6155
@enjopetar6155 3 жыл бұрын
amen
@mariammammu9641
@mariammammu9641 3 жыл бұрын
Hakuna kinachoshinda MAOMBI.......TUKESHE TUKIOMBA HUKU TUKISUBIR
@mangapineema7652
@mangapineema7652 3 жыл бұрын
Uhimidiwe Mungu wetu
@doreengomes3489
@doreengomes3489 3 жыл бұрын
⚘🥰...All thanks and Praise be to God forever. Amen
@dullywamashairi121
@dullywamashairi121 3 жыл бұрын
Yeyote anayepitia katika ukulasa huu ni dhahiri anahitaji kujifunza. Bonyeza link hii chini kaangalie hii video kisha nambie umejifunza nini. Asante kzbin.info/www/bejne/g2WqqnifoZKhd9E
@fiziparadise7808
@fiziparadise7808 3 жыл бұрын
Ukirogwa ahufi, unahamishwa tu na wachawi. In fact, ukifa naturally, uwezirudi tena.
@beera.g5302
@beera.g5302 3 жыл бұрын
Kweli kabsaa uyu msukulee,. Wanasherekea ujingaa,kizazi chaishaa, unachukua msukulee unaeka ndan? Kitasafisha kizaziii uyu n msukulee
@faithmarita9759
@faithmarita9759 3 жыл бұрын
Very true
@meshacksamson1008
@meshacksamson1008 3 жыл бұрын
@Daniel thomas Msigwa dada hii dunia ucje ukasema ety pepo mchafu huyo m2 akupenda awe hivyo,,afu unasema asikae na wa2 sasa ulitaka akae na nani??? Kuwa na akili bax
@AliMohamed-kd1uc
@AliMohamed-kd1uc 3 жыл бұрын
Huyu alichukuliwa kichawi mbona haongei alikatwa ulimi
@nolascodismassilayo3927
@nolascodismassilayo3927 2 жыл бұрын
Uko sawa waache sanaaa
@Ailestv
@Ailestv 3 жыл бұрын
Mungu amlejeze kijana huyu kila kilichopotea
@magdalenachondo7429
@magdalenachondo7429 3 жыл бұрын
Amina mtumishi
@sarahkanyana5099
@sarahkanyana5099 3 жыл бұрын
Amen da Tumaini napenda sana kazi yako 🥰🥰🥰🥰 nyimbo zako huwa zina nijenga sana
@frankmwashiuya8975
@frankmwashiuya8975 3 жыл бұрын
Ameen
@tauvurilytrics4648
@tauvurilytrics4648 3 жыл бұрын
Daaa! Kweli mungu Mimi umenipendelea Sana kumbe kuna watu wanapitia magumu Asante mungu
@puregamers4215
@puregamers4215 3 жыл бұрын
2020 tutaona mengi ila mung atusaidie tuumalize salama.
@icegtz5204
@icegtz5204 3 жыл бұрын
21ndoo hatar mpaka marekan utasikia wamefufuka
@januarymassawe1945
@januarymassawe1945 3 жыл бұрын
Kigoma mwisho wa reli utaikubali
@magynzioka1122
@magynzioka1122 3 жыл бұрын
Sikuizi watu wanafufuka😂😂😂Yesu mwenyewwe alifufuka kwa siku tatu lakini siku hizi wanafufuka bahada ya mika 20 😂😂 kuja ujione Yesu
@chauligemeka7840
@chauligemeka7840 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣👍
@gogonta5508
@gogonta5508 3 жыл бұрын
Kweli
@b.a.m6243
@b.a.m6243 3 жыл бұрын
Ee MUNGU tusaidie vizazi vyetu na watoto wetu. Amen
@kennyseleman4623
@kennyseleman4623 3 жыл бұрын
Ameen
@dicksonntibanoga4652
@dicksonntibanoga4652 3 жыл бұрын
Is
@asiamwarabu7510
@asiamwarabu7510 3 жыл бұрын
Napaliza sauti Kwa nguvu zangu zote kuwa Mungu yupo na kwake hakuna linaloshindikana hakika Kwa Iman tutashinda Allahuakbar Allahuakbar X1000
@joycegeorge4712
@joycegeorge4712 3 жыл бұрын
Ameeen
@efajuforeal8740
@efajuforeal8740 3 жыл бұрын
Kigoma hiyo aisee hakika Mungu simama na kigoma
@sidratybinkhamis2837
@sidratybinkhamis2837 3 жыл бұрын
Sana sana mmmh
@hkamstogahkamstoga8646
@hkamstogahkamstoga8646 3 жыл бұрын
Vp mp
@hkamstogahkamstoga8646
@hkamstogahkamstoga8646 3 жыл бұрын
😉😈😬
@aminatundondege9384
@aminatundondege9384 3 жыл бұрын
mmh!dunia hii,basi tu,Acheni Mungu aitwe Mungu.
@dullywamashairi121
@dullywamashairi121 3 жыл бұрын
Yeyote anayepitia katika ukulasa huu ni dhahiri anahitaji kujifunza. Bonyeza link hii chini kaangalie hii video kisha nambie umejifunza nini. Asante kzbin.info/www/bejne/g2WqqnifoZKhd9E
@sherin3171
@sherin3171 3 жыл бұрын
Wallah
@hildamaziku4385
@hildamaziku4385 3 жыл бұрын
Nashauri wakapime DNA kabla Ili tuishangaze dunia
@asteriambwei3349
@asteriambwei3349 3 жыл бұрын
Walimchukua msukule
@joachimdemarine369
@joachimdemarine369 3 жыл бұрын
Kama uliskiliza hii story kwenye radio twende pamoja apo
@aminamaina1621
@aminamaina1621 3 жыл бұрын
Ndio
@imathomas6531
@imathomas6531 3 жыл бұрын
Daaah 1994 mimi ndyo nazaliwa mpk sasa 2020 nina miaka 26 ni parefu jmn Mungu mwema
@nancybungei9113
@nancybungei9113 3 жыл бұрын
Inauma
@chilandeTv
@chilandeTv 3 жыл бұрын
Saana
@dorcaskidoti249
@dorcaskidoti249 3 жыл бұрын
Watu tunadhambi nyingiii sana..Mungu aliachilia Corona ili kutupunga ila bdo hatukomii tu jmn..wachawi wanatesa watu jmn duuuh 😥😥😥😥😥😥
@robertlukosy1000
@robertlukosy1000 3 жыл бұрын
Juju juju juju juju juju juju juju juju juju I
@noelkipera4871
@noelkipera4871 3 жыл бұрын
Big up ayo TV godbless more ur channel,,,,tunaziona hustle zako bro,,,,
@dullywamashairi121
@dullywamashairi121 3 жыл бұрын
Yeyote anayepitia katika ukulasa huu ni dhahiri anahitaji kujifunza. Bonyeza link hii chini kaangalie hii video kisha nambie umejifunza nini. Asante kzbin.info/www/bejne/g2WqqnifoZKhd9E
@brownbryson9293
@brownbryson9293 3 жыл бұрын
Kama unamwamini Mungu. Gonga like cz Mungu ni muweza
@shakiralasway8821
@shakiralasway8821 3 жыл бұрын
Kuna binadamu wanataka kuingilia kazi yamungu waifanye wao!kwenye njia na mipango yamungu hakuna wakuweka ukuta,mungu amemtetea huyu kijana ili aendelee kuishi.
@abelmwakipesile4503
@abelmwakipesile4503 3 жыл бұрын
Mungu ni yeye yule jana leo na milele,hakika matendo yake ni makuu.
@WaridawaridaWarida
@WaridawaridaWarida 3 жыл бұрын
Amen
@ashaomary347
@ashaomary347 3 жыл бұрын
Ameeeen
@geraldtarimo9960
@geraldtarimo9960 3 жыл бұрын
Alikuwa gamboshi,huyo Hana kivuli
@geraldtarimo9960
@geraldtarimo9960 3 жыл бұрын
Mtafuteni zabroni C. Mwita, Hana kivuli
@dorcaskidoti249
@dorcaskidoti249 3 жыл бұрын
@@geraldtarimo9960 🙄🙄🙄🙄🙄😳😳😳
@akimmbwego797
@akimmbwego797 3 жыл бұрын
WACHAWI WOTE MUNGU AENDELEE KUWALAANI LEO KESHO NA MILELE AAAMIN🙏🏻
@badrumbarouk3377
@badrumbarouk3377 3 жыл бұрын
Kama unaamin kwa mungu kila kitu kinawezekana gonga like yako hapo
@nornooo7225
@nornooo7225 3 жыл бұрын
Inawezekana hata ndugu zake wapo huko wamegeuzwa misukule 😢 ee mungu nilinde mja wako na kizazi changu epusha haya yasijetokea' ameen.
@neemaneema6825
@neemaneema6825 3 жыл бұрын
Amina
@fatmaalnabhani3609
@fatmaalnabhani3609 3 жыл бұрын
Haya ni maajabu ya Mungu huyu kijana kutokeza duniani , watu wanajifanya wana ujuzi wa kuchukua misukule wenzao, MUNGU atawalaani wachawi hawataiona pepo kwa nguvu zake MUUMBA kwa kuwatesa na kuwadhulumu viumbe ikiwa kwa makosa au bila makosa .
@merikizedeckmwaniwe5358
@merikizedeckmwaniwe5358 3 жыл бұрын
Amina mungu tusaidie tuepushe na haya majaribu
@fatmaalnabhani3609
@fatmaalnabhani3609 3 жыл бұрын
@@merikizedeckmwaniwe5358 Wala hatukunusurika, mungu mkubwa tu. Itafika siku tutawaona waliolaanika.
@sukariyao6537
@sukariyao6537 Жыл бұрын
Ameeen 🙏
@samuerypaulo5711
@samuerypaulo5711 3 жыл бұрын
Mimi nimkazi wakigoma wilaya ya Kasulu mjini matukio kama haya nimengi sana mungu atusimamie 🙏
@dullywamashairi121
@dullywamashairi121 3 жыл бұрын
Yeyote anayepitia katika ukulasa huu ni dhahiri anahitaji kujifunza. Bonyeza link hii chini kaangalie hii video kisha nambie umejifunza nini. Asante kzbin.info/www/bejne/g2WqqnifoZKhd9E
@rukiaali2786
@rukiaali2786 3 жыл бұрын
Ameen
@andulilemwakihabha2048
@andulilemwakihabha2048 3 жыл бұрын
Huu mwaka wa maajabu ni mwaka ambao utakumbukwa kwa mengi sana
@SAMMEDIA255
@SAMMEDIA255 3 жыл бұрын
Si huu tu bdo inakuja mibaya zaidi
@SAMMEDIA255
@SAMMEDIA255 3 жыл бұрын
Siku za mwisho hizi
@jabarithegreat6292
@jabarithegreat6292 3 жыл бұрын
Amina
@nuruelmada9570
@nuruelmada9570 3 жыл бұрын
Kweli dah!
@mishibaron5021
@mishibaron5021 3 жыл бұрын
Yesu ni bwana jina lake litukuzwe ...Nakupenda Mungu wangu maana unaniepusha na mengi ...nakuomba uzidi kumsaidia kijana huyu...aki machozi yanitoka tu
@nenenelly7619
@nenenelly7619 3 жыл бұрын
Amena
@love__ness7943
@love__ness7943 3 жыл бұрын
Kwa uwezo wa Allah wote waliokufa kwa nguvu za giza watarejea
@sukariyao6537
@sukariyao6537 Жыл бұрын
Mie pia mtoto wa mama yangu mdogo naisi kabisa wala ajafa ila wanga ni watu wabaya sana 🥲
@mamyjunaithar9562
@mamyjunaithar9562 9 ай бұрын
Amin 😢
@khadujifuad9360
@khadujifuad9360 5 ай бұрын
Amin
@lawrenciamkolwe4875
@lawrenciamkolwe4875 3 жыл бұрын
Mungu yupo ndugu zang mama endelea kuomba wote watalud
@victoriadaizy5277
@victoriadaizy5277 3 жыл бұрын
Nimeshtuka Sana hadi nikakumbuka watoto wangu wawili jameni 😢😢 walifariki kiajabu ajabu Sana mpaka leo mm huwa naamini wako wanatumika. Mwanyezi Mungu halali haki pole sana mamangu 😢😢
@innocentlegos4530
@innocentlegos4530 3 жыл бұрын
Pole sana Mungu anajua
@asiajuma8342
@asiajuma8342 3 жыл бұрын
Pole sana
@tgeofrey
@tgeofrey 3 жыл бұрын
Ooh
@witnessminja988
@witnessminja988 3 жыл бұрын
Pole sana
@fatmamussafatmamussa4104
@fatmamussafatmamussa4104 3 жыл бұрын
Maskin pole sana jaman
@kelvinmligo4915
@kelvinmligo4915 Жыл бұрын
Mungu nipo hapa nasubiri ile siku brayoo wangu anarudi nasubiri kwa imani sana
@sarahmwaluko2480
@sarahmwaluko2480 3 жыл бұрын
Pole Sana mamaangu Atukuzwe Mungu aliemrejesha ndugu yetu
@bintiiddy7043
@bintiiddy7043 3 жыл бұрын
Labda boss wao alikufa Sasa wakakosa mtu wakuwapa chakula Mumgu anawaona wachawi 😭😭
@dullywamashairi121
@dullywamashairi121 3 жыл бұрын
Yeyote anayepitia katika ukulasa huu ni dhahiri anahitaji kujifunza. Bonyeza link hii chini kaangalie hii video kisha nambie umejifunza nini. Asante kzbin.info/www/bejne/g2WqqnifoZKhd9E
@ismailkatala4792
@ismailkatala4792 3 жыл бұрын
Sure inawezekana alichukuliwa na wachawi
@joshyt1745
@joshyt1745 3 жыл бұрын
Mungu ni mwema Kama unamwamini yesu wambinguni gonga like
@lydiahmartinz925
@lydiahmartinz925 3 жыл бұрын
God is good. N God's tym is the best.soo torching .blood is thicker the water. May Gods hands n his angels keep on surrounding hm with the blood of Jesus. The God who has brought hm back will c him prosper in Jesus name. SHEDDING TEARS. Love u young boy#prayers #254
@breymbasa3451
@breymbasa3451 Жыл бұрын
Mungu baba tusaidie magufuri tuna kazi nae Tulelee🙏
@WaridawaridaWarida
@WaridawaridaWarida 3 жыл бұрын
Amen Mungu amfungue huo ulimi
@vibetz9991
@vibetz9991 3 жыл бұрын
Wachawi jamanii..!! Basi Ni wengi wamekufa lakini hawajafa
@ivankinabo1226
@ivankinabo1226 3 жыл бұрын
Wengi mno wamechukuliwa misukule asee inauma mno, unadhan mzaz wako amekufa kumbe yupo sehemu anatumikishwa na kuteswa huko
@ramadhanikibenga6317
@ramadhanikibenga6317 3 жыл бұрын
Hahahaha wamekufa lakini hawajafa hahahaha umetisha
@afrieagle8314
@afrieagle8314 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@niwemugenimediatrice5640
@niwemugenimediatrice5640 3 жыл бұрын
Nimeogopa sana
@barakapaul3855
@barakapaul3855 3 жыл бұрын
Kama unaamini wachawi ni wapuuzi gonga like
@celinamgundoi8420
@celinamgundoi8420 2 жыл бұрын
Mungu ulie mrudisha mtoto wako hakika utamfungua knywa chake na vyote walivyo mfunga hakika mungu wewe unaweza asante yesu🙏🙏
@elizalwakatare8070
@elizalwakatare8070 3 жыл бұрын
Ukute hata hao wachawi wapo hapo wanapika na kufurahi pia🙌🙌🙌
@johnsonnchimbi7795
@johnsonnchimbi7795 3 жыл бұрын
Inawezekana😆😅😅
@aisharenatus1678
@aisharenatus1678 3 жыл бұрын
Hujakosea binadamu ni nyokooo
@sidratybinkhamis2837
@sidratybinkhamis2837 3 жыл бұрын
Eliza mmmh kweli
@jeremiahsanare8057
@jeremiahsanare8057 3 жыл бұрын
Tegemea kwa mungu kwa imani yote yanawezekana amin
@binthkhamisi1097
@binthkhamisi1097 3 жыл бұрын
Mungu anawez then sawaa na ni sha Allah mungu athafungua kauli yke..soth tyumuamin mungu na anatenda
@sethibrahim7563
@sethibrahim7563 2 жыл бұрын
Aletwe Dar kwa Mtumishi wa Mungu Sunbella Kyando, Ataombewa naamini atakaa vizuri
@mariamyoyote8172
@mariamyoyote8172 3 жыл бұрын
Mungu ni mwemaa wakat wote ,,ya rabby mwingi wa rehma mjaalie apone vyema tunusulu na mabaya yote Amin 🙏
@abdullahrashid6297
@abdullahrashid6297 3 жыл бұрын
Kigoma hiyo noma sana aisee Sijui tunapoelekea ni wapi Allah atunusuru in shaa Allah
@NaomiCharles-bb8md
@NaomiCharles-bb8md 24 күн бұрын
Mungu anilinde mm na kizazichangu pamoja na familiya yangu japokua bado sijawa na familiya
@ideassumail1402
@ideassumail1402 3 жыл бұрын
Jamani mungu ni mwema kweli eeh mungu wa majeshi uinuliwe upewe sifa milele na milele Amen. Mpelekeni kwenye maombi please
@venancephilbert9397
@venancephilbert9397 3 жыл бұрын
Duuh mjomba sio poa , Katika awamu hii mengi tutayaona Mpakaa wafu wana... Great
@dullywamashairi121
@dullywamashairi121 3 жыл бұрын
Yeyote anayepitia katika ukulasa huu ni dhahiri anahitaji kujifunza. Bonyeza link hii chini kaangalie hii video kisha nambie umejifunza nini. Asante kzbin.info/www/bejne/g2WqqnifoZKhd9E
@omarymushehe5496
@omarymushehe5496 2 жыл бұрын
Eee! Maajabu jamani
@ramadhanihudhaifani4376
@ramadhanihudhaifani4376 3 жыл бұрын
Allahu Akbar! Allahu Akbar! Allahu Akbar! Mungu ni Mkubwa kwa hakika.
@chilandeTv
@chilandeTv 3 жыл бұрын
Hello
@mwawekomiuda9779
@mwawekomiuda9779 2 жыл бұрын
Msekule hakunq anaekufa mara2 lbd kama sio muisilam
@eliudijastini8143
@eliudijastini8143 3 жыл бұрын
Aseee tuleteeni mwendelezo wahii story asee mpaka mwisho 🌍🇹🇿📖
@jamesbonaventure4708
@jamesbonaventure4708 3 жыл бұрын
Kwa mungu akuna kinacho shindikana mungu kibowao ww kama una ana amini mungu ana tenda miujiza gonga like mungu ata baliki njia za maisha zetu Amina
@salimmariga149
@salimmariga149 3 жыл бұрын
Allahu Akbar...subhanallah walhamdulillah lailahaillallahu Allahu Akbar ..husbunallah waniimal wakeel
@dullywamashairi121
@dullywamashairi121 3 жыл бұрын
Yeyote anayepitia katika ukulasa huu ni dhahiri anahitaji kujifunza. Bonyeza link hii chini kaangalie hii video kisha nambie umejifunza nini. Asante kzbin.info/www/bejne/g2WqqnifoZKhd9E
@mimimtanzania9738
@mimimtanzania9738 3 жыл бұрын
Wamefanana sana
@zipporahzilpahmungohe9763
@zipporahzilpahmungohe9763 3 жыл бұрын
Everlasting father i trust in you🙏🙏🙏🙏
@elkapius5005
@elkapius5005 3 жыл бұрын
Akika Mungu yupo na anatenda kwa wakati🙏
@yusuphjonathanmwanzonje9902
@yusuphjonathanmwanzonje9902 3 жыл бұрын
Haleluya jina lako Bwana lihimidiwe nakusihi Bwana na Mimi nirdudishie baba yangu arudi maana kifo chake kilikuwa na mkono WA mtu
@saurimwaitenga6121
@saurimwaitenga6121 3 жыл бұрын
Mmh mungu yupo
@mikidadilyimo6531
@mikidadilyimo6531 3 жыл бұрын
Kigomaaa shikaamooooo
@mwanalikhamis9875
@mwanalikhamis9875 3 жыл бұрын
he mtihani jamanni
@user-ij2bf8of8h
@user-ij2bf8of8h 3 жыл бұрын
Subhaana Allah
@zakyahya4645
@zakyahya4645 3 жыл бұрын
Wachawi jamani mungu anawaona najua ata umu mpo mutasoma hii comment yangu mjue ipo siku isiyo julikana mtazalilika na mtajuta kufanya iyo kazi isiyo na faida
@itiamekimbui722
@itiamekimbui722 2 жыл бұрын
God is great mungu atufungue macho tuweze kuona na kufichua hiki kitenda wili cha wachawi. Wame chukua watu wengi tukindanganyika wamekufa
@mirynjeri5850
@mirynjeri5850 3 жыл бұрын
Walimchukua msukule sasa mungu kamtoa huko alikuwa amewekwa.
@judiehance1736
@judiehance1736 3 жыл бұрын
Natamani ingekuwa dada yangu ndo arudi
@pericykiko6198
@pericykiko6198 3 жыл бұрын
Tuombe Mungu na kufunga ukimaanisha inawezekana hasa km alikufa kwa utata
@luludaudi6416
@luludaudi6416 3 жыл бұрын
Mi nataman mama angu alud jaman
@pericykiko6198
@pericykiko6198 3 жыл бұрын
@@luludaudi6416 oooh km una uhakika aliondoka kwa utata amua kusimama na Mungu sawasawa shirikisha Watumishi unaowaamini guseni pale mlipomuhifadhi bila woga na mseme wewe ardhi tapika mama yetu anaeteseka tunaamuru kwa jina la Yesu
@didadisminder5559
@didadisminder5559 3 жыл бұрын
Kama mimi
@justusmuendo7823
@justusmuendo7823 Жыл бұрын
God is good,,he does like God and no one can stop God,,Ndugu zangu Mungu yupoo...Ukifanyia mtoto ya mtu mazigaombwe,jua Mungu anaona na atatenda kama Mungu,let God be praise Forever...
@emmanuelnzaligo6262
@emmanuelnzaligo6262 3 жыл бұрын
Pole Sana mama mungu akutangulie maana ni mambo mazito haya.
@occupeparjesus6768
@occupeparjesus6768 3 жыл бұрын
Kupitia video hii nimeamini sasa kilichotokea nchini kwetu CONGO 🇨🇩 nimehakikisha kwamba story tuliyonayo hapa ya Mathieu Badjoko ambae nae pia alizikwa, baada ya miaka mitatu akarudi kumbe ni story ya kweli. Basi mpelekeni kanisani nae pia ataongea. *MUNGU NI MKUBWA !*
@pastormoseschami7208
@pastormoseschami7208 3 жыл бұрын
Gwajima akihubiri misukule ipo mnapinga, Aya oneni wenyewe, jamani uchawi upo na misukule ipo
@elicegeorge9991
@elicegeorge9991 3 жыл бұрын
Misukule ipo na ndo wanaowafanyia kazi wafanyabiashara kariakoo madukani mwao
@WaridawaridaWarida
@WaridawaridaWarida 3 жыл бұрын
Amen
@WaridawaridaWarida
@WaridawaridaWarida 3 жыл бұрын
@@elicegeorge9991 Amen
@ashaomary347
@ashaomary347 3 жыл бұрын
I receive it in the name of Jesus amen wapo
@geraldtarimo9960
@geraldtarimo9960 3 жыл бұрын
Huyo alikuwa gamboshi, mtafuteni zabroni C,mwita,akarudishiwe kivuli
@vianmarcel818
@vianmarcel818 3 жыл бұрын
nahisi hata hao wengine wanaweza kurudi one day, naanza kuelewa concept ya misukule ipo...
@merikizedeckmwaniwe5358
@merikizedeckmwaniwe5358 3 жыл бұрын
Amina
@emmanelly6864
@emmanelly6864 3 жыл бұрын
Glory to God if this is true. Basi atakapoongea naomba mleteni atusimulie ilikuaje!
@jackjoshua3666
@jackjoshua3666 3 жыл бұрын
Eee mungu wakumbuke na wengne walikufa kifo Cha dhuluma watoe huko waliko kwa uwezo wako ww ni mungu usieshindwa jina lako libarikiwe
@rukiaali2786
@rukiaali2786 3 жыл бұрын
Ameen ameen
@rukiaali2786
@rukiaali2786 3 жыл бұрын
Tuwaombeeni wote waliodhulumiwa
@adeladominic8820
@adeladominic8820 3 жыл бұрын
Amen mpendwa lkn mda mwingine ukumbuke Mungu kuanza kwa heruf kubwa co mungu
@mariamfaki1498
@mariamfaki1498 3 жыл бұрын
Ameen
@mohamedmuhajiri4690
@mohamedmuhajiri4690 3 жыл бұрын
Kwel kbsaa km bimkubwa bdo nayey yup hai
@wemaroy1535
@wemaroy1535 3 жыл бұрын
Eeh mungu nataman ungemludisha mama angu😭😭😍😍
@sarapaulo4718
@sarapaulo4718 3 жыл бұрын
Pole sana
@mgenitsuma8141
@mgenitsuma8141 3 жыл бұрын
Mungu mkubwa wachawi mungu awaona kesho itafika mtamjbu nn Allah 😭😭😭😭anayo mengi alioyaona akiwa swa atasema Kuna mengi amepitia
@juliusmartin1839
@juliusmartin1839 3 жыл бұрын
Nafikiri tutaelewana kwa karibu ile taaluma ya Bishop Gwajima.
@salhamrishoaish9292
@salhamrishoaish9292 3 жыл бұрын
Dah siamini yaani dah tumtangulize mungu yaan daah 😁wangapi wamesikiliza yule mkaka wamwisho maongezi yake😍
@dullywamashairi121
@dullywamashairi121 3 жыл бұрын
Yeyote anayepitia katika ukulasa huu ni dhahiri anahitaji kujifunza. Bonyeza link hii chini kaangalie hii video kisha nambie umejifunza nini. Asante kzbin.info/www/bejne/g2WqqnifoZKhd9E
@robsonyona7435
@robsonyona7435 3 жыл бұрын
Kigoma yetu ni balaa ulozi upo inje inje uku
@MasokaJiko
@MasokaJiko 5 ай бұрын
If you believe in God basi nipe like
@ClenMoses-hi5mg
@ClenMoses-hi5mg Ай бұрын
Mungu ulie tenda muujiza huu nitendee namim Baba yangu arudi Haman😭😭😭😭😭
@yassinsaidi697
@yassinsaidi697 3 жыл бұрын
But hata kimtazamo tu ni mama yake, wamefanana sana
@rehemambito7989
@rehemambito7989 3 жыл бұрын
Yassin Saidi kwele wamefanana
@yasintamalando8438
@yasintamalando8438 3 жыл бұрын
Mungu mfufue na dada yangu Mimi arudi nyumbani kwa jina la yesu
@shijakishosha2644
@shijakishosha2644 3 жыл бұрын
Nimeelewa kwnn baba levo kakatalia dar hatak kurudi kigoma daaaah
@dottoburchard2132
@dottoburchard2132 3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 3 жыл бұрын
Half kweli aisee
@kemmymugele350
@kemmymugele350 3 жыл бұрын
😂😂😂😂
@leilaadamu4817
@leilaadamu4817 3 жыл бұрын
😄😄😄😄
@festusmwikwabe9322
@festusmwikwabe9322 3 жыл бұрын
Askofu Gwajima anarudishaga hii misukule huku watz mnampinga tu....Gwajima is real.
@charlesjohn5792
@charlesjohn5792 3 жыл бұрын
Kweli kabisa
@ikrissaidrissa8613
@ikrissaidrissa8613 3 жыл бұрын
God is good 🙏
@omarsultan7195
@omarsultan7195 3 жыл бұрын
Hajafa uyo aliekufa harudi
@iraqgirl2143
@iraqgirl2143 3 жыл бұрын
Kabisaa
@zakyahya4645
@zakyahya4645 3 жыл бұрын
@@iraqgirl2143 nikweli kabisa alie Kufa kafa uyo akufa aliwekwa msukule
@Easy.matter
@Easy.matter 3 жыл бұрын
Haswa
@mishibaron5021
@mishibaron5021 3 жыл бұрын
Sasa awe msukule awe nn si kila mtu alijua amekufa so wataka watu wasemeje wakati walizika na wakajua amekufa...kwa sisi binadamu wa kawaida amechukuliwa msukule hajafa na tunaona amekufa tumelea tezika wataka watu wasema nn
@mamymdogomamy3670
@mamymdogomamy3670 3 жыл бұрын
@@mishibaron5021 Hawakuzika mtu walizika mgomba huyo aliekwa msukule
@elopheygandabway
@elopheygandabway 3 жыл бұрын
Ayo channel yako unajua imekuwa kubwa. Mtu wako unae mtuma kufuatilia tukio au habari Fulani hakikisha ameandaa maswali makuu na maswali madogo ambayo atauliza. Tunataka tupate taarifa kamili sio mtu unabakia na maswali kwa kichwa. Sisemi ujibu maswali yote ya watazamji Ila kuna hoja muhimu watu wangependa kusikia kutoka kwenye tukio. Ahsante, nahisi utafanyia kazi.
@tanunewstz
@tanunewstz 3 жыл бұрын
Mungu ndie mtenda miujiza gonga LIKE na kusema AMEN.
@evennassary5262
@evennassary5262 3 жыл бұрын
Alichukuliwa msukule, hayo mengine ni usanii
@wardajoseph6909
@wardajoseph6909 3 жыл бұрын
Subhana Allah
@saadaramadhanjuma8336
@saadaramadhanjuma8336 2 жыл бұрын
M
@naomiiantonio3731
@naomiiantonio3731 3 жыл бұрын
Mungu ni Mkuu kama unaamini sema Amen twende sawa
@giftiyshirima8879
@giftiyshirima8879 3 жыл бұрын
Damu ni nzito kuliko maji mungu aliemrejesha atanfungua Tena na kuwa mzima
@Official83640
@Official83640 3 жыл бұрын
Subhannallah 94 nipo shule ya msingi darasa 3 hd sasa nina watoto 3 duh Allahu Akbar, Allahu yaalam
@hellenjackson6379
@hellenjackson6379 3 жыл бұрын
Me ndo nilikuwa nazaliwa
@sirqiutaislaamahambe1535
@sirqiutaislaamahambe1535 3 жыл бұрын
Kiimani alikua ndondocha huyo wa aina nyingine na pia ni zama za mwisho
@fainajaffary4070
@fainajaffary4070 3 жыл бұрын
😄😄😄
@mathewdeus4462
@mathewdeus4462 3 жыл бұрын
Tufatilie vizuri huwenda wengine wapo huko tuzame kimaombi
@dullywamashairi121
@dullywamashairi121 3 жыл бұрын
Yeyote anayepitia katika ukulasa huu ni dhahiri anahitaji kujifunza. Bonyeza link hii chini kaangalie hii video kisha nambie umejifunza nini. Asante kzbin.info/www/bejne/g2WqqnifoZKhd9E
@niyonzimafafa2501
@niyonzimafafa2501 3 жыл бұрын
Amen
@mariyaal5366
@mariyaal5366 3 жыл бұрын
Amen
@bobchanda2460
@bobchanda2460 3 жыл бұрын
😂😂😂
@nuruelmada9570
@nuruelmada9570 3 жыл бұрын
Kweli ,tuombe
She ruined my dominos! 😭 Cool train tool helps me #gadget
00:40
Go Gizmo!
Рет қаралды 61 МЛН
Vivaan  Tanya once again pranked Papa 🤣😇🤣
00:10
seema lamba
Рет қаралды 25 МЛН
Always be more smart #shorts
00:32
Jin and Hattie
Рет қаралды 38 МЛН
My little bro is funny😁  @artur-boy
00:18
Andrey Grechka
Рет қаралды 10 МЛН
BABAYANGU KIPOFU Full episode /2/ /#love
25:07
BabaJoan
Рет қаралды 422 М.
Mtoto aliyefariki na kuzikwa apatikana akiwa hai
52:00
Dina Marios tv
Рет қаралды 3,1 МЛН
MAMA HUYU AWATOA WATU MACHOZI KWENYE IBADA: BISHOP ELIBARIKI SUMBE
15:54
Bishop Elibariki Sumbe
Рет қаралды 938 М.
She ruined my dominos! 😭 Cool train tool helps me #gadget
00:40
Go Gizmo!
Рет қаралды 61 МЛН