tangu nijue maisha sijawai kuona polisi aliestaafu akaishi maisha mazuri na yaamani... nilikuwa sijui sababu kumbe nilaana na matendo yao maovu ndio yanayowahukumu...sasa jamani kwanini mfanye haya... embu badilikeni duniani muhukumiwe bado na ahera inawasubili... duuu Magufuri bado naona kazi kubwa mbele yako... ila naamini Kama Mungu alituumba sote kipi kitamshinda..? pole mzee Pole Sana
@queenbrytn36276 жыл бұрын
wamerahaniwa kipindi cha yesu askal wanaishi kwa rahana😭😭
@callistmrema83316 жыл бұрын
Selin Charles
@kassimnandala51365 жыл бұрын
@@queenbrytn3627 mtwara
@agathashayo62105 жыл бұрын
Uwasamehe tu kwani utapata mema zaidi
@blandinamwarabu50254 жыл бұрын
Kweli
@dainesszuberi50336 жыл бұрын
Mzeee umeninilizaa sanaaa nimeumiaa mungu kufanyie wepesi katika afya yko na maisha yako mungu yuu pamoja nawe nimeumia sanaaa malipo ni hapa hapa duniani shukrani za dhati zimfikie mh:pombe Jonh magufuri azidi kuwa na moyo huo huo nimeumizwa sanaaaa👏👏Ahsante muheshimiwaaa
@eliasenyapallangyo64236 жыл бұрын
nimelia
@sabunitv21216 жыл бұрын
dah dia acha tu
@joventjohansenmushwaimi19886 жыл бұрын
Maisha yake yameishia gerezani masikini pole sana mzee wetu Mungu atakulipia,watu kama hawa wako wengi magerezani wanateseka bila kuwa na hatia. Naelewa mzee anajisikiaje. Pole mzee
@mtosimbakwamzungu77036 жыл бұрын
🚶
@sarahgaula22206 жыл бұрын
True
@jumakiparis22676 жыл бұрын
Pole sana Mzee mbona hio mpaka Leo majambazi wakipora police wanapewa posho halafu wanaingia mitaani kukamata watu kuua soo na hata hutasikia waziri wa mambo ya ndani kwema magerezani kukutana na wafungwa kupata maelezo lao sema hivi sasa watatia akili
@asteriambwei955 жыл бұрын
Usikubali mtoto wako akasome chuo cha upolisi kwanza hatakaa amwone mungu pia hawana msaada ukipata shida ndo wanafurahi wapate pesa yaani pesa kwao ndo muhimu haki kwao hamna hayo machozi baba hayatakuwa ya bure yatakuwa juu yao mungu anawaona
@tumainijoseph63565 жыл бұрын
ashukuriwe mungu
@allysaid12155 жыл бұрын
Kama polisi ni sawa na mbwa gonga like
@mwakahassan87424 жыл бұрын
Pole sana mzee Allah atakulipia ata mm machoz yananitoka iyo ndio Tanzania kila kitu chafanywa uenyeji uwenyeji tu
@brunonsungwe86766 жыл бұрын
Mh jamani acheni Mungu aitwe Mungu ! Huyu baba yetu kaniliza sana! Asante Magufuri kwa ukombozi huu! Hakika Mungu azidi kukuimalisha katika kutafutia haki wanyonge! Mungu mpe maisha marefu huyu mzee
@neemaselemani36894 жыл бұрын
Askari mungu anawaona, askari kazi ya laana sana, aiseee pole baba
@jonamnyone80146 жыл бұрын
Pole sana Mzee ashukuriwe Mungu aliyekuweka mzima hadi unaiona tena familia yako. Muombe Mungu akuondolee uchungu kuhusu uonevu uliotendewa ili usije ukakuumiza na kukuletea madhara. Kuna maisha baada ya yote yaliotokea Yesu ni mfariji.
@raphaelngongo13106 жыл бұрын
kwa kweli raïs Makufuli Mungu amujaliye yeye na familiya yake waishi maisha marefu kwa jambo kubwa alilotenda sababu ma raïs wengine wanajuwa kuhuwa na kuachanisha jamihi ndugu Raphaël shimama kwenye zamu ya kaziya Mungu .
@ameldamaungo11316 жыл бұрын
pole sana mzee wangu nimelia sana
@saumukhamiskajembe54576 жыл бұрын
RAPHAEL NGONGO pole sana Allah akutangulie ktk maisha yakoo
@elisantelazaro33106 жыл бұрын
RAPHAEL NGONGO and
@salamakombo32574 жыл бұрын
Amin
@Blaisebula-uo4fr9 ай бұрын
Mungu nimwema siku zote .mungu akurinde baba
@denisclay85496 жыл бұрын
Kama una amini police ni kazi ya laana gonga like hapa mbn sioni jamaniiiii😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@bernadethamsaki29216 жыл бұрын
Co laana ila walioajiriwa ndo wana laana! Ni kazi kama kazi nyingine
@shafiimarandu69715 жыл бұрын
Denis Clay kwel
@basilisamsaka12215 жыл бұрын
Kweli kabisa kz ya police nilaana,na wamelaaniwa,wanasingizia watu sana
@bahatirobi62625 жыл бұрын
Denis Clay niwalaaniwa hata sijui kwa mungu watajitetea vipi
@rahimaaaaa86995 жыл бұрын
Polisi wana laana ndio maana ni maskini wa KUTUPWA.
@kananu5784 жыл бұрын
Great job Mr President Mwenyezi Mungu akujalie maisha marefu yenye furaha big respect from Kenya
@reddyjulius39976 жыл бұрын
Pole sana mzee wangu ndo Tanzania yetu ilivyo hadi leo kuna kesi nyingi sana za kusingizia huku wakiachwa watenda maouvu machozi yako yatawalilia
@helenelikana83016 жыл бұрын
ipo cku tutaonana kwa baba yetu
@manganamanganamanganamanga73136 жыл бұрын
pole sana
@gsmtzinfogsm86015 жыл бұрын
Hiyo laana itawarudia
@emyrichard21525 жыл бұрын
Wavivu wa kupeleleza sana,ndio maana wanakamata watu waio na atia.
@liliankipaya1105 жыл бұрын
reddy julius
@helenamhema36065 жыл бұрын
pole sana mchungaji wangu mlyuka ukiwa makambako tulikukubali mungu amesikia maombi yako
@beautysimukonda48635 жыл бұрын
poe sana
@hadijabashasha33374 жыл бұрын
Dr.John Pombe Magufuli Mungu ndie atakae kulipa kwa wema na huruma yako akujaalie hapa Dunian na kesho Akhera
kwakweli nimetokwa na machozi, japo siyo mtanzania lakini Kama binaadamu nimeguswa. Allah atakulipa.from 🇲🇿
@dianadeus13085 жыл бұрын
Pole sana jaman
@jumabaraka12124 жыл бұрын
Daaah yaaan na hii nyimbo inaleta huzuni zaidi
@ChalesKadologo8 ай бұрын
Pore Sana babu yng mwnyz mungu akupe maisha maref
@omarkhamis95146 жыл бұрын
Hili jambo lisizikwe vivi-hivi, wizara husika ni lazima zifuatilie na mzee alipwe ridhaa na biashara zake, nguvu zake na mateso ya kihisia aliyopitia mzee huyu na yeyote aliyepitia dhulma za kusindikizwa. Imenivunja moyo sana. Udhalimu ulinuiwa mzee aozee jela milele, wapo wengi. Haki daima itaolea! Pole Mzee Raphael!
@sarahstanley34114 жыл бұрын
Jamaniii daaa chini ya jua chini yajua mungu mwenyewe ndo anajua 🙌🙌🙌 mungu hamtupi mja wake daa inaumiza sanaa
@tausijohn25696 жыл бұрын
pole sana mzee kwa yaliyokkuta mungu atakusaidia maisha yako ysmeishia gerezani .
@jackfrancis80475 жыл бұрын
Daaah nimeumia Sana polen Sana Mungu ashukuriwe
@donlee25536 жыл бұрын
POLISI WOTE PITENI HAPA MTAJIFUNZA KITU.JAMAANI NISAIDIENI KUWAITA POLISI.
@selincharles33836 жыл бұрын
mmoja tu nihuyo mwanae sidhani Kama yaliyomkuta baba ake anaweza mfanyia mtu mwingine
@siwemaseleman70916 жыл бұрын
pole sana baba malipo ni hapahapa duniani umeteseka sana
@nikolymo93156 жыл бұрын
Munngu in mweza ya yote
@janethotieno12816 жыл бұрын
police piteni hapa mjifunze
@kingmazengo36435 жыл бұрын
Wajewajeeeeee
@obillaezra62055 жыл бұрын
Cosmas namfahamu vyema Miaka tuliyosoma Makongo Sec !! Ni Soldier mwenye Maadili Mazuri na Wanafunzi wengi tulielimika kwa Nasaa Zake!!! Pole Mwl na Hongera kwa Kumuona Baba kwa Umri huo!!! Mungu amzidi kumuongezea Baba Umri na Afya njema!! Hongera familia nzima, na Hongera Mchungaji
@kadoaugust64972 жыл бұрын
Nadhani hata waliomfanyia hivyo watakuwa hawapo hai.
@josephineluge66936 жыл бұрын
Daaaah!! Imeniliza sana. Pole sn Mzee wangu
@luckyestomih47744 жыл бұрын
Mungu amtangulie jaman
@aokinsindi69484 жыл бұрын
Pole sana mzee mlyuka mi ni mgum Sana kutoa machozi lakini ktk Hilo nimejikuta machozi machozi mwee 🇹🇿 JPM MUNGU akuongezee siku za maisha YAKO!!
@witedsteward41685 жыл бұрын
Mimi nimemaliza form four nikaambiwa nijiunge najeshi la polisi kitu ambacho niliona siyo sawa kuliko nichague kazi ya upolisi bora nikachunge ng'ombe!!!! Jela wenye makosa siyo wengi!!!! Kama huw Kubali hawa jama zetu (polisi)gonga like
@patrickplatnumz47655 жыл бұрын
Wited Steward , nilichaguliwa pia baada ya kumaliza form four. Sikwenda wala sijutii
@helenjonsob57185 жыл бұрын
Wited Steward kwa kweli
@omanimujsa97564 жыл бұрын
Nimelia jamani eeeemungu magufuli msimamie azid kua kiongoz wetu bora yarabiy muweke rais wetu wallah nimelia sana
@roseondieki74434 жыл бұрын
Ee Mungu jidhihirishe katika maisha ya huyu Mzee jionyeshe mwongezee miaka mbariki katika uzee wake mpe tumaini tena....Amen Amen
@tareqhilal67505 жыл бұрын
JELA NIMEKAA ZAIDI KULIKO NJE...Daah Mungu wangu
@lovefranco18844 жыл бұрын
Imeniumiza sana iyo kauli maskn dah
@lucianisaay97523 жыл бұрын
Duuuuuuh pole sanaaa
@fidesrazalo84384 жыл бұрын
Wote waliokufanyia hivo cku ya mwisho simamanao mbele ya mungu na mungu atawadhibu hapa duniani hakuna haki haki hiko juu mbinguni pole sana baba
@goodhelpnolland96376 жыл бұрын
Pole mzee inauma sana mtu anafungwa bila hatia
@jamilasaidi10203 жыл бұрын
Inaumaxan pole sana police sio watu kabisa
@emmanuelbonifas35175 жыл бұрын
Pole sn mzee omba sana mungu asikuache popote uendako kweli nimejifunza kitu kikubwa sana juu ya hili mh rais bc tu juu yako mungu akuangalie sn udumu baba
@onyokoreo79995 жыл бұрын
Inshallah you will get your justice Soon,magufuli ni Rais wa wanyonge
@salmabanga89624 жыл бұрын
Duuu kumbe kuna watu wanafungwa bila hatia polee baba
@agneskadzo61054 жыл бұрын
Pole mzee Mungu analipa?Sahau yote na uamini Mungu anawezaa
@marymah71495 жыл бұрын
Chozi ramnyonge ulipwa na mungu Inshaallah muachie mungu inaniuma kama baba yangu mzazi jmn inauma duuuh😢😢😢
@halimasaid49773 жыл бұрын
Sana inauma
@smwansasu86056 жыл бұрын
Mzee aache kuishi jana itamuuma sana. Mungu atamrejeshea miaka yake iliyopotea. Asamehe tu yote yaliyomtokea. Pole sana baba.
@b9media1446 жыл бұрын
Nimeshindwa kujizuwia, hakika nimeumia, nimelia sana! Japo tunasema kuwa Mh Rais yupo kisiasa zaidi ya kujitengenezea mazingira mazur ya hapo baadae, (kila mtu anafikiria kutokana na utashi wa upeo wake). Lkn kwa hili basi amefanya uungwana wa ajabu sana na namuomba Allah amjaalie sikumoja apate kuona nuru ya uislamu na afe haliyakuwa yupo katika Qalma ya laailaaha ilallaah Muhammad rasuulullaah! Kwasababu sisi tote n wa M/mungu, anatupenda sawasawa kabisa
@zaifathussein81956 жыл бұрын
Dully Mtanzania Amina inshaallah
@mwajumakweli67536 жыл бұрын
Dh... pole sana Baba Mungu yup p1 na we we atakulipia Dh... hinaumiza sana kwakweli
@dvjaddie71765 жыл бұрын
Daa inauma sana mungu akujaalie afya tele ishaallah.
@raisonmwazembe70024 жыл бұрын
Ee yesu nisaidie,nifikesalama yote ya duniani pore_baba,mungu in mungutu
@atukuzwensellu83646 жыл бұрын
Poleee,,, namuona mchungaji mlyuka hapo nyuma kanifundisha bible knowledge,,,,poleeeee mzee
@marygathu38006 жыл бұрын
Hio machozi mwenyezi Mungu atalipisha.pole baba😢😢😢
@ibrahimmaroa5767 Жыл бұрын
pole Sana baba maisha ni mungu tu anayachua ndo maana akatuma makufuli akuche hapo baba yasahau yalivyo bita si nywele baba 🙏🙏
@carolinetalimo80886 жыл бұрын
mungu ni mwema ,,,na atakupa nguvu,,
@nicksonhelman34363 жыл бұрын
Du, mzee namjua huyu niwanyumbni aise jamni maisha haya
@josewillson18133 жыл бұрын
Inasikitixha xn MUNGU atunusuru na haya maswaibu
@babaneygss67536 жыл бұрын
Asante Mungu kwa wema wako,asante JPM kwa huruma uliyowatendea wafungwa wote ulio wasaheme 09/12/2017.
@jovinathobias71636 жыл бұрын
Inasikitisha mno kwakweli Mungu ni Mwema anamakusudi na maisha yetu kwanza kutupatiaMagufuli kila jama linamaana yake,Mungu so kiziwii wala sio kipofu,Asante sana Baba
@jamillahmansoory36526 жыл бұрын
Dah mzee kaniliza huyu acha mungu aitwe mungu
@e_know4d2224 жыл бұрын
Mtangazaji nakupenda bureee, Na pole babu mungu kaliona chozi lako
@habibakhlifa85346 жыл бұрын
Pole babaa Ndio Dunia naa aminn mtuu hafii ila kwa zakee na MUNGU NI MUNGU Atabakii kuwa MUNGU sio ww baba wengii wapo jela bila kesii nii kusingiziwa tuu
@johnbeda76206 жыл бұрын
it painful alot mungu bado amakusudi na wewe mzee wetu
@khadijaabdully62846 жыл бұрын
inatia uchungu kwakweli,machoz yamenitoka kwa huruma,pole sanna baba angu,mungu yu mwema,na shukran mh magufuli,m/mungu akuweke
@lissamsalu21796 жыл бұрын
Pole sana famille hiyo
@pendogeorge53796 жыл бұрын
Mungu ni mwema kila wakati, pole baba etu, asante rais wetu
@superwomanmwenyeheri.13676 жыл бұрын
Mi mpaka tumbo limeanza kuniuma. Dah!! Mungu anakupenda Baba
@masoudjumanne27616 жыл бұрын
Pole Sana, Mungu ndye atakurinda. Nimeumia Sana Mzee Wang
@rehemabaraka98956 жыл бұрын
Daaa pole sana mzee mungu amesikia kilio chako
@mrsrumondo87405 жыл бұрын
Jamani magufuri ndio raisi anahangaria matatizo ya wananchi wake kira kona anapita mungu akubariki sana tena sana razima tukupe kura iri uongozi jahazi kwa Mara engine ccm oyeeeeeeeeeeeeee
@carolinesergon3475 жыл бұрын
Woiye soo sad. Poleni sana kwa familia ya mzee Raphael kwa ujumla na pongezi pia..i think they all need counselling especially the old man. He is still in a tough place 4 sure. Am grateful too for what ur president did. Btw big ups to the beautiful presenter mwenye sauti nyororo pia 😍😎
@aminanyangero76036 жыл бұрын
Chozi LA mwenye haki halitaenda bure
@princesspeter484 жыл бұрын
Pole Baba.... Mungu Atakulipia
@zaynsalma34666 жыл бұрын
Baba yngu Had machoz yananitok ila mungu yiko na atakufut machoz nyamaz Baba yngu 😭😭😭😭
@mohamedikibasa4186 жыл бұрын
Umeniliza mzeee wangu xanaa. Duh Mungu atakulipa kwa kweli. Na waliokusababishia hayo watapata tabu kwa Mungu. Mungu awaweke mahala pabaya motoni waliokutendea unyama
@TheMaarifa6 жыл бұрын
Dah! aisee inasikitisha sana. kuanzia sasa mimi kama wakili nikipewa jalada la kesi ya mauaji nitalifanya bure kabisaa kuwatetea watuhumiwa. Haiwezekani tukaacha hali hii iwe inaendelea kutokea mahakamani
@georgewilliam76576 жыл бұрын
Nakujua Wakili Augustus Fungo. Katika hilo Mungu akusimamie. Barikiwa sana. Nimesikiliza kilichozungumzwa na nikabaki mdomo wazi
@ghalibujamali33925 жыл бұрын
Mungu akubaliki wakili
@nancesebastian34645 жыл бұрын
Augustus Fungo asante na mungu atasimama pamoja na ww
@clemencehaule9175 жыл бұрын
polen wazee wangu!
@zalkiabendera72383 жыл бұрын
Mungu wangu
@waukweelinikkon65556 жыл бұрын
Huyu Baba ana uchungu sana sana,Mungu amtiye nguvu sana,ampe umri mrefu wa kuishi.
@fortunatuswangubo60135 жыл бұрын
Pole sana ndugu yangu kwa mkasa huo
@elizabethjohnyombo38752 жыл бұрын
Pole sana mungu akuzindishie maisha
@lucywilson58755 жыл бұрын
Miaka 43, nimelia na huyu Mzee, kichwa kinaniuma. Mungu atunusuru
@jamestarimo29105 жыл бұрын
malipi na hapahapa diniani...na pengine washahukumiwa wote walio mzulumu maisha mzee wetu...Mungu amtie nguvu mzee wangu ..pole sama mzee
@mashmashmkeyenge92106 жыл бұрын
Mungu atalipa hapa hapa
@wardalward36936 жыл бұрын
Pole sana alhamdulilahi mshukuru mwnyezmungu na rais waimani mungu ampe maisha marefu rais
@neemakilomoni42586 жыл бұрын
Masikini pole sana baba miaka 43 jela, kuna watu wengi wamefungwa kwa kesi za kubambikiwa police wana husika kwa kesi hizo hao walio toa ushahidi wa uwongo mungu awalaani mpaka kufa kwao .
@rhinaregina58066 жыл бұрын
Too much emotional I can't stop crying 😭😭😭😭😭😭 guys God is faithful and peaceful guys 😭😭😭😭😭😭😭😭 labda Mungu alipenda kuwapitisha kwa hau ile uwe ushuhunda kwa wengine hata mimi pia
@alphageorge47966 жыл бұрын
Mungu atukuzwe kwa hili
@karebodaud20136 жыл бұрын
Mungu atakulipia
@sistersade90396 жыл бұрын
Hadi kesi imeniliza sana tokea mwanzo mpaka mwisho kusikia matatizo waliopitia family hii. Mtu afungwe muda wote huo kwa dhulma Pole sana Baba mzee, Mungu akupe umri mrefu Na mafanikio mema katika maisha yako.
@kacheali47776 жыл бұрын
pole baba mungu ndio mtetez wetu hapa duniani watu wajiona wakubwa kuliko mungu.lakn hak haipotei mungu akusaidie sana
@johnjoseph48325 жыл бұрын
Pole sanaaa bb yetu mungu ni Muaminifu
@zaifathussein81956 жыл бұрын
Maskini!! pole sana babaangu #dhulma uliofanyiwa hakika Mungu atakulipa na atakutilia wepesi katka kila jambo ulifanyalo kwa kipindi utakachokuwepo dunian #inshaallah tumshukuru mungu kwa kila jambo.
@raphaelngongo13106 жыл бұрын
jambo kwa jamihi zote kwa kweli Mungu amemutowa ndugu Raphaël kwenye mavumbi kamuinuwa zaidi ya utajiri ushuhuda huyo wanipa tumaini kubwa mbele za Mungu mimi piya ni Raphaël nikiwa Congo jina hila la Raphaël limetimizwa kama lililo maanayake yani Mungu mponaji na ndiye aliyemuokowa amen .
@junaytadarwesh47084 жыл бұрын
Pole sana Mzee. Kutokana na maelezo yako na kama kweli unayoyasema amini waliokutendea uovu huo malipo yapo. Polisi jamani wacheni kubambikizia raia majanga muogopeni Mungu. Dhulma adui.
@winfred25466 жыл бұрын
Pole sana baba Mungu atakulipishia. ...Kwa kweli nimelia😭😭 am so sorry
@trdr19155 жыл бұрын
Oh my pole mzee mungu akunjalie na akulundishie chochote shetani amemba
@ommietrendz71756 жыл бұрын
Huyu mzee kweli alikuwa anajishughulisha miaka 34 nyumba 2 Vijana wa sasa miaka 35 anavaa supra hajui kodi hata ya chumba
@patrickplatnumz47655 жыл бұрын
ommie马瑞 , very true
@shuushuushuu24135 жыл бұрын
Kwel kabisa
@kokufelix21865 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@APILET5 жыл бұрын
@@kokufelix2186 koku Felix duh
@mwajeynzitto23674 жыл бұрын
Ndo mana walimfanyia fitna jaman ila kila jambo tumshukuru mungu tuu
@secylovenessadaa42455 жыл бұрын
Pole sana Mzee wangu Mungu atakulipia
@rahapaulina14516 жыл бұрын
Mungu utabaki kua MUNGU dah nimelia sana pole sana baba
@luciapeter13455 жыл бұрын
Nmebaki Tyu kulike coment Za wenzang mana inaniuma sana jpo na meng ya kuxema but asilmia nying Imesemw na Wenzang Apa nmebaki tyu njiapanda tanzania kuna makafiri hvi?????????
@tabuabdalah86616 жыл бұрын
Pole sana baba yetu kwakweli machozi yamenitoka nimejizuwia nimeshindwa asante mungu asante rahissi wetu makfuli mungu ampe maisha marefu
@lindahwazir72094 жыл бұрын
Hivi huyu Rais Maguli mbona alicheleweshewa urais ?Ulikuwa wp Baba? Naomba Mungu akutunze akulinde, nimelia sana kwani najua kunawengine wengi kama huyu Mzee anayetoa machozi, hakika machozi haya yataotesha kitu kwa waliofanya hiv.
@omanimujsa97564 жыл бұрын
Mimelia jamani
@rashidsimba36386 жыл бұрын
Dah! Pole sana Mzee umeniliza sana nimeshindwa kujizuia aisee
@mzeemombasa.34565 жыл бұрын
Pole sana mzee wetu Mungu atakulipa miaka yako yote uliyopoteza gerezani hakuna uzao wako atakayeteseka tena umemaliza.
@sadajasonie59096 жыл бұрын
Duuuuuh....pole Sana baba angu...mungu akufanyie wepec ktka maisha yako
@dianajafety48886 жыл бұрын
nmeumia xana baba yaani c kila mfungwaana koxa mungu akutie nguv ad mzee ka huy anatoa choz hao police walaaniw na wote waliokufanyia ivoooo! mtalipwa kwa mlichotend nmeumia sanaaa
@selincharles33836 жыл бұрын
Diana sidhani Kama yupo hata mmoja.... wameenda na roho zao mbaya
@africanhappyadventure69516 жыл бұрын
Duuuuu...! Huko jela wapo Wengi sana wenye kesi za kusingiziwaaaaa.. Sema ndio ivyoo na nadhani ndio maana Raisi alifanya uchunguzi kuhusu hizo kesi akagundua Zina utata ndio maana wakatokaa
@zalhahamadi98626 жыл бұрын
pole Ba mkwe ndo mambo
@rehemaradhid57165 жыл бұрын
nikweli
@faridaabdallah76205 жыл бұрын
Pole nisanakakazangu pianampapole babayangu mungu awabaliki sana kuwane namoyo wakumliwaza baba yetu apete kusahau yari mikita japo hatasahau sana lakini mpenimoyo nimeumiasana 😭😭
@kavassay88994 жыл бұрын
Daaaaaaaa mzeee Amelia kwa uchungu sana
@zamanineema30574 жыл бұрын
Kabisaaaaa filahun hawao Mungu atawalipaa kwa choz la mzee huyu
@lilianmwakapala36586 жыл бұрын
pole sana mzee wangu yalikufika hapo baba angu hukua na jinsi tena baba angu ila mwenyez mungu akupe maisha marefu sana
@gemkachar6 жыл бұрын
Natumai IGP Sirro pamoja na askari wake waniatazama hii video. Mwenyezi Mungu yupo.
@salmanamianga98685 жыл бұрын
Nimejikuta nalia kweli Mungu atakulipia mzee waaaah 43 years inauma ajabu kilio ya mnyoge hulipwa na Mungu
@baidaismail40616 жыл бұрын
😭😭😭😭 Duh! inauma sana
@annahrosekennedy45425 жыл бұрын
Mungu Akutie Nguvu Baba yangu... Bwana Ni Mwema Amekutetea katika hili jaribu Nina imani hata wale wengine walio ndani pasipo makosa... Bado Mungu atawatetea...
@naylahkhamis15455 жыл бұрын
inasikitisha machozi yananitoka wallah 😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
@luckyestomih47744 жыл бұрын
Naylah Khamis 😢😢😢😢😢
@cressyheuser28406 жыл бұрын
maskini.... nimelia sana kwa kweli! inaonekana wazi mzee alionewa! pole sana mzee wangu
@estermbega81544 жыл бұрын
polen sana ndg zangu kwa maonezi hayo ambayo mliyapata ahsante Mungu kwa mh Rais wetu ajuaye kuna watu wanaonewa ila nimejikuta nimelia sana kwa maelezo ya mzee huyu
@fredmathubejr35476 жыл бұрын
Wakowapi majaji na mawakili waliowafunga wazee hawa? Tujifunze kutenda haki coz nothing last forever
@ommietrendz71756 жыл бұрын
Fred Mathube jr tafuta hela wewe huyu mzee kaingia jela Na miaka 34 ana nyumba 2 Na watoto 10 maeeeee we laza duduuuuu tu
@fredmathubejr35476 жыл бұрын
Hhhhhh umevurugwa
@denarddavid92026 жыл бұрын
Fred Mathube jr Na HAO maaskari waliosingizia kesi bado WAPO. Mamlaka zichunguze
@romanachao2456 жыл бұрын
Ata yaeza kuwa walifariki na magonjwa,maajali ila mzee yuko hai na salama.Mungu akulinde sana Baba mpe Mungu Marsha yako zaidi ulivyo Tumika jela
@petersolomon29795 жыл бұрын
Wengi wao walishakufa
@julytito38914 жыл бұрын
Yaan Machozi yananitoka tu kweli maishani huwa tunapitishwa sana
@claudiangowi95854 жыл бұрын
Pengine police wenyewe walishakufa mamaaaaee, siyo kila kifo mnahuzunika watanzania wengine walitenda mambo mabaya wanalipia.
@anyelwisyemwakasungula74193 ай бұрын
Na sio kila stori mnaiamini Watz kueni stebo kwenye akili ivi mahakama zote zimuonee, Mahakama kuu na Mahakama ya Rufaa zisimtoe, majaji sio wajinga kama mnavyozania
@الاو-ث5ر6 жыл бұрын
Pole sana mzee Babangu. SHUKURU TU MUNGU KWA HALI YOTE NA YEYE NI MWENYE HAKI AFANYANGI KAMA MTU. NI YEYE AME I NGIA NDANI YA RAIS AKATOA MUSAMA KWA FUNGWA SO ANA SITAILI SIFA NA UTUKU. UMENILIZA MZEE BUT MUNGU NI MKUU. Mukenya Halisi.
@gerraldbukelebe51526 жыл бұрын
Mmmmh! Ni mtoto wa kiume lkn nimeshindwa kujizuia nmelia sana aisee!!
@bettymsongole22546 жыл бұрын
gerrald Bukelebe pore baba yangu
@swaumuramadhan18326 жыл бұрын
Pole sna baba
@rehemaradhid57165 жыл бұрын
daaaa
@mussajuma28475 жыл бұрын
Betty Msongole kweli
@zawadiommary85935 жыл бұрын
pole sana mzee machoz yako uliyo yamwaga kwauchung hakika watayalipa mungu ndomtoa hukum yamwisho pole san mzee
@reazahmohjey77244 жыл бұрын
Wallahi inauma..Mungu atakulipia mzee..mwachie mola. Pole mzee