Jamani nawaomba wenye cm ya kuingia huku, mkikutana na huyu kaka muonyesheni hizi comment za humu asome. Hilo tabasabu lake litaongezeka mara laki 9😁. Jamani ni mzuri. Ana smile nzuri. Eeeh...! Mungu baba mwenyenzi muumba wa mbingu na dunia, nakuomba umfungulie huyu kaka njia sahihi katika maisha yake. Umpe baraka zako siku zote za maisha yake, furaha, amani, upendo, afya njema na maisha marefu vikatawale kwake. 🙏
@edithdickson30904 жыл бұрын
Dah! pole sana kaka!, Matatizo kwa Mwanadamu kawaidaa Mungu anampango nawewe, jamani Bajaji inauzwa Million5, na tulioguswa humu ndani ni zaidi ya watu 3000 Embu tukunjue mioyo yetu tuoneshe mapenzi kwa huyu Mtanzania mwenzetu Aweze pata faraja tujichangishe kutoa ni moyo na wala sio utajiri.
@vailetjulius4782 Жыл бұрын
Mimi nipo tayari Edith naomba tuwasiliane pls
@homebase6644 Жыл бұрын
@@vailetjulius4782 namba tuma
@hassanmirambo5644 жыл бұрын
Pole sana kwanza hongera kwa kuyakubali maisha hayo ya kuishi na maradhi pili msamehe huyo aliyekupeleka jela,ushauri wangu kwa wengine ikitokea bahati mbaya umepelekwa jela na huna ndugu usikubali kutumia kiwembe kilichotumiwa na mtu mwingine bora uwaambie hao maaskari wakupige tu maisha ya jela nayafahamu nimekaa humo askari magereza karibu 87% wanaroho mbaya SANA bora ukae na nywele zako zote mpaka zikukere,mabwana jela hivi kweli mnawafanyisha kazi wafungwa mnashindwa kuwagawia viwembe vya kutumia?jifikilieni sana kwa hili ndio maana huwa mkistaafu mnakuwa na maisha mabaya sana kutokana na roho zenu mbaya mnapokuwa kazini
@williamreuben91084 жыл бұрын
Dah God anaweza kukupa maisha marefu kuliko ss wote
@yusufally68534 жыл бұрын
willy colours ...mungu mkubwa
@queenmalikia41724 жыл бұрын
Hh pole kaka
@swahibalmas44144 жыл бұрын
willy colou
@awetumtanga30084 жыл бұрын
Naumia jaman eee mungu saidia kijana huyu
@happyrafael95054 жыл бұрын
Haaaaaa kumbe uyo anaukimwi hana amemuloga upo Tena amemulogelezeya
@queengee9884 жыл бұрын
😭😭😭😭jamn daah tabasam zuri hiv lakn anataman kufa😢😢mpk tymbo limeum mungu akufanyie wepes usikate tamaa
@maxmaizer46314 жыл бұрын
Wewe wa Oman
@msetikebwasimasatu88493 жыл бұрын
Hilo tabasamu ndo lililompa huyo mdudu.
@leilainnocent65324 жыл бұрын
Yaani wewe kijana mzuri kweli wa sura, unatabasamu Zuri, na kuumwa sio kufa, natamani upate mfadhiri mambo yako yaende.
@janepatrick89614 жыл бұрын
Nani kakwambia ukimwi unafuata watu wenye sura mbaya hayo ni mapito tu anapitishwa
@sophiakasim51534 жыл бұрын
Leila Innocent sanaaaa mashaallah
@leilainnocent65324 жыл бұрын
@@janepatrick8961 sina maana mbaya ila nimempenda tu alivyo.
@shabanigess67034 жыл бұрын
Kweli
@shabanigess67034 жыл бұрын
pole best Dunia mapito tu
@rahmachuji8534 жыл бұрын
Mungu akufanyie wepesi ufanikiwe upate Kazi 🙏Du Yani machoz yame nitoka kwa Kweri usiombe ya kukute
@antoinea.katembo53264 жыл бұрын
Rahma Chuji tunamsaidiaje huyo jamaa jamani? Mie nipo nje ya bara la afrika
@rahmachuji8534 жыл бұрын
@@antoinea.katembo5326 0788540869 namba Yake iyoapo
@doctorgames50114 жыл бұрын
TBC lazima wajitafakar upya...Hakika unaweza usitazame TBC na ukapata kila habar lakin ukitazama TBC tu utapitwa na kila kitu...Ingekuwa antibiotic in Medicine Ningesema Ayo TV ni Broad Spectrum!
@waukweelinikkon65554 жыл бұрын
Kila Kitu hutokea Kwa sababu ndugu yangu,mwamini MUNGU tuu,utaishi maisha marefu mpk ushangae broo,usikate tamaa,duniani wote tunaishi Kwa Neema tuu
@gosbertrwezahura36454 жыл бұрын
Kabisa ndugu. Umenena vyema.
@samsahani31184 жыл бұрын
Pole sana bro,MUNGU AKUJALIE AFYA NJEMA
@atubeka93174 жыл бұрын
Daaaa Pole Sana Mdogo wangu
@villageboysinatra4 жыл бұрын
Acheni Kutoa sifa nyingi na pole .. Suala jamaa anahitaji msaada mnamsaidia vipi mtanzania mwenzenu???
@samahstyles67764 жыл бұрын
Villageboy Sinatra very true a lot of comments how do we help him does any one know him
@bensonisilivery65724 жыл бұрын
Point
@nataemsuya4 жыл бұрын
Watz ni wazur wa dua, sio pesa. Utasikia Diamond msaidie jamaa.
@mahmoudmwavula61824 жыл бұрын
Kweli kabisa msaada ndio muhimu pole nyingi sana nimeona hapa
@Oman-bi2ej4 жыл бұрын
yes ur right....my friend for nothing this people has not talks the point.. .but still ur handsome so what if he is handsome....now let's see how together all of as going to help him
@uwimananadia60664 жыл бұрын
Nakuombea Mungu akupe kazi na sehem ya kuishi akupe na mke mwenye kukupenda ili usirudi nyuma kwa lolote eeeee Mungu skia kuomba kwangu🙏🙏🇧🇮
@@ywydhhd7941 ivi wewe unaona aoe mwenye ukimwi mwenzake au? Mimi naishi Finland 🇫🇮 ukigundulika una ukimwi na wakijua wewe umemwambukiza mtu fulani utafia ndani maishayako yote.
@ywydhhd7941 Жыл бұрын
@@kabwelerywamwatumu5078 yes mweny ukimwa mwenzake tena ndoa takatifu , hata asiye na ukimwi, ukifuata masharti
@nelsonlema43304 жыл бұрын
Wadau takribani 606 wamekomenti hapa, tukumbuke haoni hizi komenti, njia muafaka ni vitendo...mfano tungeweza kutuma hata elfu moja 1000/ kwa kila mmoja angekuwa na njia ya kuanza. Mathalani apange room ya chumba kimoja na kiasi anachoweza kupata pia kinaweza kumpa mwanzo wa kuwa na kitu endelevu cha kukabiliana na maisha. Jiulize ungekuwa ni wewe? Mimi nimeshamtumia teyari kiasi kidogo, naamini kitampatia mwanga kidogo. Asante Ayo TV.
@zainaommy54754 жыл бұрын
Kweli jmn tungeunda ata grupu la whts up la kuchangia km ivi ndo thawabu zenyewe
@zainaommy54754 жыл бұрын
Mungu akubark sana
@zainaommy54754 жыл бұрын
Tuungane ata mia 500 buku kutoa ni moyo sio utajr dah
@yusuphkwaya78434 жыл бұрын
Nelson Lema nikweli kaka kumbuka umeongea poit nzuri Sana jaman tumwekee japo kidogo kimsaidie yuko kwenye mazingira magumu Sana
@yahyamwadini57684 жыл бұрын
Ni kweli hii rai nzuri kabisa tumtukie direct bubu buku
@castoljmwalyego37784 жыл бұрын
Usikate tamaa broo bado uko fiti,Maambukizi sio kifo,,,, Na bado una nguvuuu freshiiii..... Utapata kazi naaminiii in Jesus Name.... Love from Zambia
@evanslawrence77644 жыл бұрын
Kastol Jackson Mwalyego well said
@saumushabani16284 жыл бұрын
Pole sana kaka yangu
@omarymbalala62244 жыл бұрын
Maisha bila Mama nimagum Sana aisee mungu amrehem mamangu
@rukiarashid749 Жыл бұрын
Acha tuu
@josephinaclement21294 жыл бұрын
Pole sn kk, ila kuugua ukimwi sio mwisho wa kutimiza malengo yako.naamin kila jaribu lina mrango wa kutokea, ipo ck utakuwa sawa na maisha yataendelea
Oscar oscar Oscar;;Mm niko ZNZ lkn nimeshindwa kuimaliza hii story,,hebu nisaidie mawazo broo 2msaidie vp huyu ndg ye2 UKITAKA KUJUWA UCHUNGU WA HILI JAMBO IFIKIRIE NAFC YAKO WW KAMA YANGEKUKUTA WW BINAFSI.
@poureenkunambi64134 жыл бұрын
Oscar oscar Oscar in JESUS NAME
@marrionwatima7974 жыл бұрын
@Jojo Hihi amen n amen
@mpondaahamida21464 жыл бұрын
Nikweli, inawezekana ktk jina la Yesu.
@abuyunusmohamed69614 жыл бұрын
kapime tena na tumia black seed kila siku tena tembe saba tafuna kwa muda wa miezi mitatu utapona kwa uwezo wa mwenyezi mungu.Nenda kwa abdu swamad pale kariakoo karibu na stendi ya mwenge ni mtaalam wa dawa za asili
@geofreyjulius3774 жыл бұрын
Natangaza uponyaji kwako kwa Damu ya Yesu,hautakufa in Jesus Mighty Name,pepo ukimwi hatakatiza maisha yako in Jesus Name.Yawezekana ujumbu huu usiuone lakini Mungu wetu ni mwema anasababisha uhai tena ndani mwako.Ukienda kupima hautakuta huo ugonjwa tena .na mpokee Kristo Bwana yeye atayatengeneza maisha yako upya.
@frenkfrancis41514 жыл бұрын
Amina
@frenkfrancis41514 жыл бұрын
Mimi frenk 0788540869
@Winstonfying4 жыл бұрын
Pole sana brother, Mkasa wako unagusa sana . Tunaamini Mungu atakusimamia kwa kila hatua. JAMANI COMMENTS SASA NI 435, KILA MMOJA AKITOA TSH 2,000/- TUTAKUWA TUMEMSAIDIA WALAU KIDOGO, SI LAZIMA UWE NA KIKUBWA. TUMA KWNY NAMBA YAKE, MIMI PIA NAFANYA HIVYO SASA.
@judithmichael51554 жыл бұрын
Kweli kabisa 2000
@mariamathuman58624 жыл бұрын
kweli kabisa
@zainabukivale58244 жыл бұрын
Namba yake ipi
@evasonlushaka767 Жыл бұрын
@@mariamathuman5862 a Ak=
@yustomlay4422 Жыл бұрын
Namba yake
@casandrahhelman76394 жыл бұрын
Jamani Cabayser dah. Pole ndugu yngu. Nakumbuka ulikua driver wangu mzuri tu.😢😢😢 m/mungu akupe nguvu mpnz.
@theresaeward49334 жыл бұрын
Please help me even secretly
@ismaelmatano35712 жыл бұрын
Hi I'm from Kenya pliz if you know this guy I think we can help him casandrah pliz
@irinemacha29514 жыл бұрын
Baba wa Mbinguni nakuomba umtie nguvu kiumbe wako kwaanayoyapitia. Kiukweli inauma sana
@yusufally68534 жыл бұрын
Irine Macha ..Amiiim
@irinemacha29514 жыл бұрын
@@yusufally6853 I wish ningekuwa nauwezo nimsaidie
@ezzy_e24504 жыл бұрын
Kuna MALKIA WA NGUVU NA jasiri,,, mnaonaje tukaanzisha na MFALME WA NGUVU jasiri,, kwanza pole bro we NI MFLAME WA NGUVU NA JASIRI, Tumsaidie km kijana mwrnzetu linaumiza kwa kweli dah!!!
@twobrothers82284 жыл бұрын
Inasikitisha Sana ila Huyu Kaka anahitaji Spiritual healing kwanza hizi Kanisa zetu jamani Mpeni Kazi kanisani Naona Mungu Ana kusudi naye amtumie Kama chombo chake ili watu wamjue , anaweza Hata kuponywa, 😭
@mwanaidally43684 жыл бұрын
Dah nipo tayari kuishi nawewe bila kubangua afya yako ngoja nikutafute umeniumiza san
@pillykenedy21404 жыл бұрын
Natamani kukusaidia ila sina uwezo😭😭😭😭
@maliethnyoni28474 жыл бұрын
Daa nimeumia mm daa 😢😢jmn mpeni Dada frola atamchangishia
@juhudihardware38834 жыл бұрын
Kwann ww ucwe dada flora ili tupate kina da flora weng
@juhudihardware38834 жыл бұрын
Kwann ww ucwe dada flora ili tupate kina da flora weng
@nickalreadyknows4 жыл бұрын
Juhudi Hardware hakika
@jacklinmasawe26972 жыл бұрын
Engiweka namba yake tusaidie jamani du story inaumiza
@annen39234 жыл бұрын
This is so sad and painful. Kakaangu kile naeza kukuambia ni kwamba, usife moyo maana Mungu ni muweza wa yote. Kua na virusi si mwisho wa maisha. Our God is a great healer. He is the father to the fatherless and he will heal you if only you believe. Please give your life to Jesus and expect his miracles in your life. Don't try to kill your self or hurt your self in anyway. God loves you and he cares about you. I wish l can reach you and give you courage but l will still remember you in my prayers. Be healed in Jesus name
@robertmgogosi8448 Жыл бұрын
Ila inauma kweli
@Majambo_Duniani_Tv4 жыл бұрын
Pole sana kaka,. Mungu akutie nguvu uyashinde ya dunia. Kaka UKIMWI ni ugonjwa wa kawaida tu, magonjwa mabaya yapo mengi na yasiyo na tiba,. Kansa, Sukari, Ebola na mengineyo ni mabaya sana pengine kuliko ukimwi., Mungu nisamehe kama nimekosea. Be strong bro, our ALMIGHTY GOD IS WITH YOU..
@mutalemwagabriel22774 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭
@j-sonlian80534 жыл бұрын
Hepatitis B( ugonjwa wa ini ni hatari kuliko UKIMWI)
@judymasunzu75174 жыл бұрын
Daah pole sana kijana. Mungu akuangazie nuru yake upate mfadhili. jamani wenye nyumba zisizo na wakaaji mpeni huyu kaka chumba. Duuh kesi ya kuiba Bajaji rumande miaka 2!?
@devothadonaldsimbi34994 жыл бұрын
@@judymasunzu7517 Mimi nyumba yangu Haina mtu wa kuishi kumbe Kuna binadamu wanahangaika Hawana pa kulala jamani laiti ningalikuwaTanzania ningemsaidia
@santalover4 жыл бұрын
Mungu anaweza kukuponya there’s hope to those who believe in God trust me brother unaweza kupoana kabisa na maisha yakaendelea kabisa
@marthajohn9120 Жыл бұрын
Kweli kabisa, haende madhabau sahihi, kwa PROPHET SS ROLINGA
@fintaniferx95354 жыл бұрын
Kweli ni tatizo ila broo ila kutotumia dawa badala ya kuishi myaka ishilini utaishi kumi kwaiyo meza dawa kuna watu washa ishi na mahambukiz myaka 30 bado wana kula maisha2 ndugu ata dalili za kufa awana kabisa kwaiyo meza dawa ndugu
@mariampaul92714 жыл бұрын
Pole sana kaka Mungu atakusaindia
@parma7864 жыл бұрын
Brother F, tafadhali ukipata dawa we meza na mtangulize Allah kwa Kila unalotaka kufanya inshallah kwa uwezo wake mwenyezi mungu utafanikiwa kupona kabisa na utapata maisha marefu na pia utapata kazi nzuri mapato mazuri na utaishi maisha mazuri na familia yako usikate tamaa amin hivyo Kila kitu hapa chini ya jua kina ungozwa na ALLAH SUBHANA WA TAALA ameen, (pole sana my brother)
@giftmlange33274 жыл бұрын
😭😭😪😪mweee mwanangu Mungu akufanyie wepesi akuponye na akawe faraja akuponye kwa damu ya Yesu mwanangu 😭😭😭😭😪😪
@annekayi2734 жыл бұрын
Story yako ndungu inaguza natumai umepata usaidizi jameni watazania msimuache huyu kijana angaike kijana mzuri jameni mfugulieni ata kama nibiashara apate kibaji cha maisha agekua Kenya nigemkombolea kanyumba kidogo na nimpe kabiashara ajiendeleze kimaisha mungu akusaidie ndungu
@Cryptocurrency_Tanzania4 жыл бұрын
Nahisi kupitia kujitangaza na kujiweka wazi kwa ndugu yetu huyu iwe nafasi kwa selikali kupitia na taasisi zinazopambana na Ukimwi kumtumia kwenye matangazo ya kuhamasisha vijana kupima afya zetu.... Mungu akubariki Kwa utajiri wa uthubutu aliokupa.... Hautakufa utaishi.
@RAFIKI_TANZANIA4 жыл бұрын
JAMANI HAPA INAONEKANA SWALA HILI LIMETUGUSA WOTE SASA TUNAFANYEJE KUMSAIDIA HUYU KAKA NINAOMBA KAMA UMEGUSWA TUUWASILIANE TUCHANGE TUMOELEKEE HUYU KAKA SIMU NA ANGALAU PESA YA CHUMBA APATE PAKULALA NA TUFAITI APATE KAZI.MUNGU AWABARIKI SANA. 0712927987 PIGA TUJADILI.
@bernadinangasi76644 жыл бұрын
Cha msingi tuungane kila mmoja tumnunilie bajaji
@irenemanjoli79554 жыл бұрын
Mmhh achen uongo
@chalazaonetv47494 жыл бұрын
Me nipo tayari
@RAFIKI_TANZANIA4 жыл бұрын
@@bernadinangasi7664 NI KWELI BASI TWAUNGANAJE BILA KUMFIKIA MLENGWA SISI TUNA KIKUNDI CHETU TUTATOA 500000 NA SIMU MOJA APATE MAWASILIANO KAMA WAPO WANAOTUUNGA MKONO KARIBUNI
@RAFIKI_TANZANIA4 жыл бұрын
@@chalazaonetv4749 acha namba tuwasiliane
@bintikiziwi46004 жыл бұрын
Pole sana kakangu Mungu amponye aki,but ni handsome hata mimi naeza mpenda na hyo avya yake hivo he's so cute wallahi
@evanslawrence77644 жыл бұрын
Binti Kiziwi na wee ni binti kiziwi kweli, yaana anakwambia yeye ana umwa ukimwi, huku unamtamani' endelea tu na kujifanya kiziwi uta ula wa chuya kwa uvivu wa kuchambua
@magrethjohn85764 жыл бұрын
Watu wana ukimwi miaka nenda rudi wanaolewa na wanaoa na wanazaa watoto salama na wnafurahia maisha yao!usiogope kifo kipo popote.
@elishalucumay77434 жыл бұрын
Mungu akuponye ndugu yangu hayo ni mapito tu 😰😰😕😕
@zainabukivale58244 жыл бұрын
Nipigie nikusaidie
@lucyjoachim83194 жыл бұрын
Tabasamu lako lisiishe usoni....mungu katupa maisha bila tarehe ya mwisho....tunakufa kila siku kifo kipo tu hakikwepeki MUNGU AKUPE NGUVU .
@danielimeshack37124 жыл бұрын
Nimetokwa na machozi na kulia😭😭 mwenyezi mungu akulinde akuhifadhi kuwa na maisha mema
@RAFIKI_TANZANIA4 жыл бұрын
0712927987 PIGA SIMU TUUNGANE KUMUINUA NDUGU YETU DUNIANI TUNAPITA LEO KWAKE KESHO KWETU POLE HAISAIDII WALA KULIA HAISAIDII MWENZETU ANAZIDI KUTESEKA LAKINI KUMBUKA UMOJA NI NGUVU TUNAWEZA KUMFANYIA JAMBO LA MSINGI NAYE AKAJIHISI MTU KATIKA WATU. KAFIBUNI SANA CHANNEL YANGU INAITWA MAPITO NA HII NAMBA YANGU NAPATIKANA MUDA WOTE NA IPO WHATSAP JIUNGE NASI NITAKUUNGA GROUP LA WALE TULIOAMUA KUFANYA JAMBO KWAAJILI YA KIJANA MWENZETU.
@gracenavilo7946 Жыл бұрын
Usiogope Anza kunywa dawa ,,hutakufa Bali utaishi
@wahidashabaz59824 жыл бұрын
ila wanaume ni wanaume maana kwa stori yako ungekuwa mwanamke angeshatoa machozi dahh pole kaka
@manyikaachi66674 жыл бұрын
Kweli kabisa
@milcahjosiah39674 жыл бұрын
Duuuh kaka mzur wew jmn polee😭😭😭
@davidwilliam11894 жыл бұрын
Mtegemee YESU atakuponya, usione kuwa huo ugonjwa unauwa, maana yupo aliyekufa kwa ajili yako, dai haki yako kwenye hiyo Dam
@marthasumaye60173 жыл бұрын
Kilichoua ndg zake ndo kilichomtia mikosi yaani maombi tu ndo yatamsaidia
@Alvinjoely914 жыл бұрын
Kaka Milard Ayo fanya hata group hivi au tafuta namba tuweze msaidia mwenzetu...Sijambo jepesi kuongea hali yake adharani naomba utusaidie tufanye jambo
@abdullmalik78474 жыл бұрын
Hapo umenena,,tuko pamoja 🇰🇪
@devibenedictbenedict12944 жыл бұрын
Pole Sana broo
@abuyunusmohamed69613 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu atakuponyesha inshaallah. Anza kutumia dawa upate Kinga ya mwili. Na endelea na maisha.Kazi iendelee
@aishavogelmann67354 жыл бұрын
Amini Mola utaishi maisha marefu....Insha allah kila kitu itakuwa sawa....😭😭😭.......Insha allah mola atakufungulia nautapata bajaji yako kuwa na imani .....Hakuna kitu kubwa mbele ya Mola ,na hakuna kinamshinda....🙏
@stanpeter10764 жыл бұрын
Very sory man, yote yanapita usikate tamaa.
@mamaenjoymamaprince69193 жыл бұрын
Pole Sana mwananguu mwenyezi MUNGU azidi kukupa ujasiri na Afya njema mwenyezi mungu amekuandalia mema ondowa mawazo ya kujiuwa mwananguu frank
@softymoha54844 жыл бұрын
Hakii,,, nimeumia kama mzazi tumbo limechemka. Usijali Allah atakuponya insha allah ameen. Nawapenda ndugu zangu salamu zangu kutoka kenya
@waukweelinikkon65554 жыл бұрын
Your very handsome broo,ila tumia Dawa kaka pls,
@mamaprose98004 жыл бұрын
Daaah inauma sana😢😢pole sana kaka angu mungu atakufanyia wepes
@jumahussein5204 жыл бұрын
Daaaah kafyome msela wang my hood brother pambana mm ntakua dar mda c mref takutafta ndug yang miaka ming sanaa kaka yan 2nakuja onana ukiwa katka hal hii ine love blood myng atafanya wepes
@taucfungameza99863 жыл бұрын
Jitahid umtafute wakwetu huyo
@mosesg.pendael83814 жыл бұрын
Watu mlioko Dsm, suala la kwanza mtafuteni huyu mtu mnunulieni simu ya elf 35. Awe na mawasiliano kwanza. Tuanzie hapo. Kisha tumpeni mtaji apewe fremu aanze biashara yake! Ivo. Mpeni simu, tupeni UPDATES
@DAUDIMADELEM Жыл бұрын
Kuna muda tunapaswa kujifunza kwa kusikia kuliko kuona mwamba ana roho ya dhahabu Mungu ampe maisha marefu mema Sana. Mungu hutuambia vitu kutumia watu hili ni funzo 🙏🕊️🕊️🕊️🕊️
@godfreylyimo41774 жыл бұрын
Yupo Mungu bro anayeweza badilisha maisha yako na ndie tumaini letu sote. Tafuta Mtumishi wa Mungu anayeweza kujenga upya ufahama wako. Pia watz tumsaidie ndg yetu
@antybabybintrashid23334 жыл бұрын
Subhanallah what a inocent soul ata uyo alokupeleka segelea akiona hino vdeo atajihukumu
@hamidahamadi36094 жыл бұрын
Huyu kijana kaniumiza sn wallah dah Allah akufanyie wepesi Inshaallah
@fadiasly50014 жыл бұрын
Pole kaka umeniliza jamani halafu upo na matatizo lakini unatabasamu jamani mwenyezi mungu akuondolee hayo maradhi jamani 😭😭😭😭
@castoadriano17534 жыл бұрын
"Silver and gold I have not what I have I give you in the name of JESUS" BE HEALED Act 3:6 (TLV Version )
@castoadriano17534 жыл бұрын
With God all things are possible
@violetmulongo16364 жыл бұрын
Amen.
@miriamgasper87924 жыл бұрын
imeniuma sana mungu akujalie yaani me na mtoto wa kiume huwa namuombea kwa mungu maana mtoto wa kiume haaminiki wakumsaidia hamna tuombee vizazi vyetu yaani nimelia. mungu bariki vizazi vyetu.
@francisboniphace14832 жыл бұрын
Kwa kwel jaman bora wa kike huw kufait ni mda wowote
@SihabaAbdallah-li6dx3 ай бұрын
Aminn
@rahmasuweyd8274 жыл бұрын
Wallah inatoa machozi Allah ampe shifaa na ampe kazi in Sha Allah
@ummuismail75974 жыл бұрын
ni mcheshi kaka hadi nimekupenda...sio mwisho wa maisha kula dawa zako vizuri...mungu atakusaidia in sha Allah
@dienovernakshy56474 жыл бұрын
Bro ukimwi unaishi kuliko malaria Kunawatu wameungua MOTO Moro walikuwa hawaumwi ivo kifo hakitazami ukimwi ulichokiandika Ndio utakufa siku hiyo
@athanasmasmami53898 ай бұрын
bac kaka inatosha 😂😂😂😊
@anusiatadickson38144 жыл бұрын
Kuna mazingira Mungu anaruhusu unayapitie akijua wewe pekee ndio unaweza kuyastahimili, Mwisho wa siku unasema Asante Mungu.... Pamoja na yote kaka wa watu tabasamu lake halijajificha
@vivaidaramsy74154 жыл бұрын
May Gods Favour Locates And Healing is your portion
@janejohn10834 жыл бұрын
kaka nimekupenda tabasamu lakomungu akutienguvu piakuwa naukimwi siomwishowa maisha .
@judithkatembwe2773 жыл бұрын
Jamani 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@najma32684 жыл бұрын
Kaka mzur Mashaallah, kuumwa Cyo kufa,kwanza ww huumwi yaan tu ni cdf zimepungua bado kijina na unanguvu , tena unaweza kufanya kaz na ukaanzisha familia yako
@rehemaahamadiahmadi5664 жыл бұрын
Lnk uko handsome Sana usijali mungu yupamoja nawe
@willyngendakumana69964 жыл бұрын
Dah pole sana bro Mungu yuko na atakusaidia
@lailmeeea49084 жыл бұрын
Dah! maisha haya pole sana kakaangu
@tingbatuuka72784 жыл бұрын
NIMEGUNDUA TABASAMU LAKE SIO BALI ANA MACHUNGU ANAJIKAZA KIUME ASILIE.WE Mungu wewe Msaidie Mia wako.mponye.amepitia pagumu hakustahili pigo hili.Mungu nakuomba sana😪.kuishi na Virusi vya UKIMWI SI JAMBO DOGO.mponye kijana wako Mungu nakuomba sana.
@monicabuyuya79024 жыл бұрын
Hongera kwa ujasiri. Mungu azidi kukupa nguvu. Usikate tamaa
@tingbatuuka7278 Жыл бұрын
Yesh
@serafinamalecela47282 жыл бұрын
Bhanaaa ukiwa na ukimwiii haimaaanishi huna haki ya kufanya mapenzi wewe ni binadamu hata huyo mwanamke wako kama akikutaka tena be hers na tafadhari u can get somebody who can love you 😍 UKIMWI sio mwisho wa maishaaa kijana mwenzetuuuu usifikirie kujiua baba😓plz unanafasi ya kuwa mwanaume tenaaa baba wa familia na ukazaa watoto wengine ambao hawana maambukizi tafadhari mwenye namba ya huyu kaka tafadhari
@williamcasmir50684 жыл бұрын
Daaaaaah Pole Sana Kaka Mungu Atakusimamia Kwa Kila Hitaji Unalo Hitaji"""Unafurahi Na Marafki Zako Moyoni Unamaumivu Yasiyo Futika 😢😢
@rashidimuhibu68324 жыл бұрын
Daaah hii story imenitoa chozi bro kwa kweli you are strong boy kaka Allah atakuweka milele daima na utapata hitaji lako
@suratibrahim6417 Жыл бұрын
Be blessed 🙏🙏🙏🙏🙏
@user-xi1pi4zr3b4 жыл бұрын
Pole brother, kuugua kwa ngoma sio mwisho wa maisha wala sio mwisho wa ndoto zako usikate tamaa maisha ayana formula shida na raha tunapitia mungu akupe afya njema na maisha marefu mungu akusimamie kila unalo nia nalo.
@ukhutysalmaah14634 жыл бұрын
Pole sana kwa mitihani iliyokukuta 😢
@jellysemwali35094 жыл бұрын
Kwa jina la yesu alie hai kapime tena utakutana na majibu tofauti kaka
@hassanbazi87904 жыл бұрын
Pole sana kaka inshaallh kwauwezo wa (allha) inshaallha utapona kwa jili yake inshaallha bada ya siku 6 kapime tena inshaallh 🇹🇿
@dogogaga88044 жыл бұрын
Dah! Pole sana mwanangu {#Kabaisa!} Kila hatua dua Mungu azidi kukupa Afya Njema.
@gersonjohn43534 жыл бұрын
Mungu akutie nguvu , dah maisha yanachagamoto nyingi sana kuumwa sio kufa chamsingini kutokukata tamaa na Mungu atafanya njia katika maisha yako
@bobelichi7721 Жыл бұрын
Kabisa kaka
@shirwaelibakari63864 жыл бұрын
Dah inauma sana huu ugonjwa usikie tu
@salimamasanja46594 жыл бұрын
Kikubwa kua na ujasili na kujikubali pindi unapopata matatizo makubwa,hongera my kaka kwa ujasiri huko vizuri sana,mungu akupe maisha marefu na uelewa,pole sana
@faridahalwaily854 жыл бұрын
Allaah Amuhefadhi in sha Allaah. Maadaam ana imani na moyoo wa subrah.na MashaAllaah mcheshi.Allaah Atamsitirih na kumfunguliyaaa Ayatakayoo.na kulaa mwenye shidaa Allaah Atawafunguliyaaa.kkwa mwenyezimngu kwake nikunfaa ya qoun..
@josephinepatrick60264 жыл бұрын
Dah kwelii bro kuna ndugu# jinaa yaniiii Unaweza ukawa na ndugu wengi lkn ni ndugu jina tuuu...mh p0lee bro Mungu ni mwemà
@bboyblackfire4 жыл бұрын
they see me smile but they don't know what i feel inside 😞 😞 😞
@lindaemily9814 жыл бұрын
They don't know by chronixx
@gambajunior22754 жыл бұрын
BBoy Blackfire daaah too immotional bro watu wanapitia hard time
@_naimali4 жыл бұрын
BBoy Blackfire facts!
@bboyblackfire4 жыл бұрын
@@_naimali ❤❤
@restutamjuni47394 жыл бұрын
Pole sana
@masagabulemela32282 жыл бұрын
Hawa wenye hela ni wangese sana wanajiona maisha wameyamaliza na wanaona hakuna kitu mtu unaweza kufanya kama huna pesa ila Daaah pole sana kwa kweli inauma mno
@enonmwanza57364 жыл бұрын
Polee sana mwamba jipe moyo mungu yu pamoja nawe
@sifamugwaneza11784 жыл бұрын
Dah! Mwenyezi Mungu akujaalie pakuishi na pia kazi inshaallah Mungu ndo mtowaji kaka Ake utapata na na ukimwi sio kifo bro aisee mpaka umeniliz kbs tamasam lako yan dh 😭🙏🙏🙏 Mungu mjaliee kijana wako nina imani kilakitu anetowa ni wewe Mungu 🙏
@abdallahjuma2424 жыл бұрын
Pole sana bro InshaAllah hakuna kitu kinachoshindikana mbele ya ALLAH ... atakufanyia wepesi wa kila jambo lako na utarudi kwenye maisha yako ya furaha.
@salmaiddy60594 жыл бұрын
Kabaisa jaman pole best cjakuwona mda sana
@AbdulAbdul-pr9qe4 жыл бұрын
Dah mwana nimemkubali mno, mcheshi na anaongea huku anacheka alafu yupo wazi kabisa na ugonjwa wake
@antoinea.katembo53264 жыл бұрын
Abdul Mgagagigikoko ataishi daima huyo kwa uwezo wake muumba!
@nellywizz96314 жыл бұрын
Roho inauma sana wallah
@nellywizz96314 жыл бұрын
Ila mwana ajali icho nikizuri zaid
@emmanuelnganyagwa4164 жыл бұрын
antonie akimanyase we acha faraja ya uwongo hkn atakayeixhi milele we
@jacklinmasawe26972 жыл бұрын
Ishatokea sasa itafanyaje jamani mungu yumwema hapo cha msingi tumchangie spate chumba na hela ya mtaji
@africanmandetraveler28474 жыл бұрын
Mwanaume ni mwanaume he is very strong though amepitia maisha magumu ,pole Sana dogo yote yataisha tu .
@frenkfrancis41514 жыл бұрын
Nashukuru kwa comments nilizopata kwenye video hii, kwa wale ambao wangependa kujua zaidi ninavyoendelea, mnaweza mkanipata kwenye Instagram, jina "Frenk_Muhina" na kwenye Facebook ni Frenk Muhina.
@luckpanja62193 жыл бұрын
Pore sanaa
@korogwetanga8104 жыл бұрын
Pole sana Allah akupe subra
@aay29254 жыл бұрын
Pole Sana kaka Allah yuko nawe usikate tamaa bro ayush from 254
@faizahalidi45564 жыл бұрын
Pole sana bro mungu atakusimamia you makes me cry 😭😭😭
@zainabissa7986 Жыл бұрын
Such a Handsome with very nice smile, Binafsi ntakutafta. Usimuache Mungu anampango mzuri sana na wewe na ugonjwa ulionao utapona kabisa na maisha yako utayafurahia.. MTEGEMEE MUNGU...
@majitube66824 жыл бұрын
Pole saana monyezi mungu atakusimamia inshallah dont give up na nawapengeza saana milard ayo my faveret chanal keept up na kazi nzuri unafanya from mombasa
@esharamadhani34384 жыл бұрын
Pole sana !,pole sana kaka Kwatabasam ulilokua nalo Mungu akuzidishie naakufanyie wepesi
@devidevtuya74674 жыл бұрын
Pole sana kaka
@mtamomtamo5444 жыл бұрын
Esha Ramadhani
@salmatalhiyn32254 жыл бұрын
Tumsaidieni Basi Jamani Angalau Apate Hata Boda Boda Iweze Kumuendesha..Nimeumia Saana Maskini Vile Tabasamu Lake Analotuonesha Kama Kwamba Hata Tatizo Moyoni Daah Eee Mungu Wetu Tusaidie Waja Wako😭😭😭Pole Saana Ndugu Yetu...Mungu Ni Mwema Naamini Atatenda ...
@leokamil62844 жыл бұрын
Bodaboda tena nisawa na kumpa kesi au kifo ,hizo nazo wavyoziiba dah
@bintiiddy70434 жыл бұрын
Masikini pole sana kakaangu Allah akufanyie wepes jaman nime umia sana 😭😭😭