HISTORIA ya RASHID KAWAWA: KUZALIWA, MAISHA YAKE, HARAKATI ZA KUDAI UHURU, HADI KIFO...

  Рет қаралды 44,290

Global TV  Online

Global TV Online

2 жыл бұрын

HISTORIA ya RASHID KAWAWA: KUZALIWA, MAISHA YAKE, HARAKATI ZA KUDAI UHURU, HADI KIFO...
Dkt. Rashid Mfaume Kawawa alizaliwa Februari 27, 1926 katika Kijiji cha Matepwende, Tarafa ya Ligera, Mkoani Ruvuma na alianza shule ya msingi mwaka 1935 huko Tunduru akiwa na umri wa miaka tisa, aliandikishwa shule kwa jina la Baraka ambalo lilikuwa jina lake la utoto mpaka alipomaliza elimu yake ya msingi na baadaye alijiunga na shule ya sekondari ya Tabora na kumaliza darasa la 12 Novemba 1949 kisha Mwaka 1951 alianza kufanya kazi Idara ya Maendeleo ya Jamii
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Пікірлер: 26
@namirihamisi3899
@namirihamisi3899 2 жыл бұрын
Huyu alikuwa mpigania uhuru wa Tanzania na Africa inabidi familiya yake wapewe nyumba kama ma Raisi waliopewa sasa hivi mama Samia fikiria gili kawawa familey na karume Familey muwafikirie kwa kweli.
@LegaGlobal
@LegaGlobal 27 күн бұрын
Vraiment poa sana
@universitylink
@universitylink Жыл бұрын
Wanatakiwa kukumbukwa kwa kweli may God rest his souls in peace
@hamissahamissa105
@hamissahamissa105 2 жыл бұрын
Aise pazuri sana🤝🤝
@zachariamungure6844
@zachariamungure6844 Жыл бұрын
Dah familia yake nimaskin ALLAH awafanyie wepes
@rapperdx1331
@rapperdx1331 2 жыл бұрын
Taa jamani technology ikuzwe upande wa Quality ili somo tulipate vyema
@namirihamisi3899
@namirihamisi3899 2 жыл бұрын
Kabati nimelipenda hilo tupigie picha vizuri.
@sometimes5621
@sometimes5621 2 жыл бұрын
JPM alisema somo la Historia lianze kufundishwa katika shule zetu. Huo mpango naona haupo tena na umezikwa pamoja naye!
@hamisimpiluka586
@hamisimpiluka586 2 жыл бұрын
Wako waliotumikia nchi hii takufikia kuahatarisha maisha yao walistaafu wakiwa maskini alikua was aminifu mno wameacha wajane wakihangaika lakini Leo hii wamesahaulika mmojawapo wapo ni mahamudu ISSA je selikali itamsaidiaje mjane aliedhumiwa nyumba yake
@lovenessvisent9408
@lovenessvisent9408 9 ай бұрын
Hapa mabibo tunaye mzee alikuwa bregegia kabisa aliwapa mafunzo akina Samora mashell na wengine kibao na yupo hai adi Leo ila uzee unamuanda sana napata kujifunza mengi sana kwake Nampa cocacola Moja story inatembea wanasubiri afe wakapige mizinga yao
@isayakihongile4921
@isayakihongile4921 Жыл бұрын
Waziri mkuu wa kwanza wa Tanganyika alikuwa mwl.J.K.Nyerere 1961 hadi 1962 wapili ni Kawawa
@mwajumasaid9304
@mwajumasaid9304 Жыл бұрын
Naijua hiyo nyumba nimekaa pia hapo bombambili ninyumbani kwetu nyumba hio nikubwa sana mala yamwisho miaka 2004 au 2003 alikua aki ishi mwanae wakiume baadae palibaki bila mtu kwamiaka mingi
@deusdeditswebe8930
@deusdeditswebe8930 2 жыл бұрын
Historia nzuri....lakini msimulizi na sauti yake
@hamisimpiluka586
@hamisimpiluka586 2 жыл бұрын
Mbona tunawasau wenginie kola Mara tunawakumbuka wana siasi tu Mimi namkumbuka kachero marehemu mahamudu ISSA jewanao mfaham wa comment
@user-xg9cs9xc3o
@user-xg9cs9xc3o 2 жыл бұрын
Mbona kuna giza
@tinershayo5397
@tinershayo5397 2 жыл бұрын
uvamivu au uvumilivu nyosha maneno
@johnmkenda1172
@johnmkenda1172 2 жыл бұрын
Alikua waziri mkuu wapili wa Tanganyika
@rajabumwashambwa7417
@rajabumwashambwa7417 Жыл бұрын
Huyu jamaa namchukia Sana alimuua manaharakati Edward mornge sokoine namchukia huyo mshenzi😢😢😢😢😢😢
@hassanmfaume4522
@hassanmfaume4522 Жыл бұрын
Mchukie tu wala haibadilishi hali yake atabaki kuwa kawawa makamu wa rais na waziri mkuu..!
@adkajisi4536
@adkajisi4536 Жыл бұрын
Una uhakika
@laurentbuhoy1832
@laurentbuhoy1832 Жыл бұрын
Wivu2 unakusumbua, chapa naw uache story
@tunumwakanyamale9042
@tunumwakanyamale9042 2 жыл бұрын
Simba wa Ruvuma
@hamidaala2832
@hamidaala2832 2 жыл бұрын
MleziWakijijiChetuKiluvyaNapajuwaLkwetu.alikuwaAnakujaNyumbani.kimtembeleaBabaAngu
@tinershayo5397
@tinershayo5397 2 жыл бұрын
giza wekeni taa
@migedowzer504
@migedowzer504 Жыл бұрын
Hiyo hxtolia yake au histolia ya jengo
@lugwetunje3896
@lugwetunje3896 Жыл бұрын
Hii inaeleza alivyo ishi maisha yake,na vile alivyo jenga nyumba yake kujilinda na mkoloni
HISTORIA: RAIS Aliyekatwa Masikio Akiwa Hai, Na Yeye Aliwakata Wengine
18:44
FRANSISCO NGUEMA: Rais Mvuta BANGI Aliyeua Nusu Ya Raia / Alinyongwa Pia
13:34
FOOLED THE GUARD🤢
00:54
INO
Рет қаралды 64 МЛН
Final muy increíble 😱
00:46
Juan De Dios Pantoja 2
Рет қаралды 46 МЛН
БОЛЬШОЙ ПЕТУШОК #shorts
00:21
Паша Осадчий
Рет қаралды 8 МЛН
ОСКАР ИСПОРТИЛ ДЖОНИ ЖИЗНЬ 😢 @lenta_com
01:01
HISTORIA Ya IDD AMIN, Darasa La 4 Aliyetikisa Wazungu/NYERERE Akimtia Adabu
26:09
TANGANYIKA RERPUBLIC - NO SOUND
1:11
British Movietone
Рет қаралды 1,5 М.
HISTORIA YA CHIFU MKWAWA / WAZUNGU WANAYOIFICHA!
25:56
Global TV Online
Рет қаралды 926 М.
Hotuba Ya Mwl  Julius K  Nyerere   Mkutano Mkuu Wa CCM Dodoma Mwaka 1995
14:17
HISTORIA YA OPERATION ENTEBBE(Part 1)
40:32
Global TV Online
Рет қаралды 2,1 МЛН
HISTORIA YA RASHID MFAUME KAWAWA
24:00
Davistar Mata Media
Рет қаралды 9 М.
FOOLED THE GUARD🤢
00:54
INO
Рет қаралды 64 МЛН