No video

MWENYEKITI ATUHUMIWA KULA PESA ya VIKOBA - MAKONDA AAGIZA ASAKWE AKAMATWE ATUPWE NDANI HARAKA...

  Рет қаралды 64,203

Global TV  Online

Global TV Online

Күн бұрын

MWENYEKITI ATUHUMIWA KULA PESA ya VIKOBA - MAKONDA AAGIZA ASAKWE AKAMATWE ATUPWE NDANI HARAKA...
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9z...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 72
@Nguzofurniture
@Nguzofurniture 2 ай бұрын
Wanaomkubali makonda gonga like twende wote💪
@CatherineMbatta
@CatherineMbatta 2 ай бұрын
🔥🔥🔥🔥
@lilylema5292
@lilylema5292 2 ай бұрын
Vipi hapa mashirika ya haki za wanawake . I love makonda
@ezekielialen7395
@ezekielialen7395 2 ай бұрын
Wanajua kutetea vigogo wenzao Ila hawawez kutetea masikini
@angellomarcel5677
@angellomarcel5677 2 ай бұрын
Makonda Ubarikiwe sana Mdogo wangu
@nelsonnyamle
@nelsonnyamle 2 ай бұрын
Hapo sawa kaka makonda kula vichwa vya wahuni wote weka ndani
@dorahmushi-we6ts
@dorahmushi-we6ts 2 ай бұрын
Team Makonda Ukombozi, kazi ni moja kutetea wanyonge, hongereni sana, vilio kila kona, Mungu azidi kuwatangulia
@jalinachilala8465
@jalinachilala8465 2 ай бұрын
Haki nasinzia hadi nadondosha simu,,,,,ila Mheshmiwa Paul makonda Mungu akulinde Kila la Kher ...
@mr.yahzadochuno7914
@mr.yahzadochuno7914 2 ай бұрын
Huyo mama anavyo mpiga jicho hyo mama aliye thulumiwa baada ya hapo sijui itakuwaje 😔
@elizabethkikoti7265
@elizabethkikoti7265 2 ай бұрын
Kumbe umemuona nilijua peke angu
@CikeTanzania
@CikeTanzania 2 ай бұрын
Haya maisha tunayoishi ni kwaajili ya wala rushwa mbwa hawa.
@ramadhanhitimana3003
@ramadhanhitimana3003 Ай бұрын
Natamani sanaa nikuone Lkn MwenyeziMungu akupe maisha mzuri hadi peponi.
@user-ry8xf1no2s
@user-ry8xf1no2s 2 ай бұрын
Mueshimiwa makonda mmoja Chadema waje miatano awampati Kwa uongozi wake na ekimazake Alha akujalie afya Yako mueshimiwa makonda
@binseif2216
@binseif2216 2 ай бұрын
Watumishi wa serikali wahovyo sana kwanza ukiwakuta ofisin wanaringa kukuhudumia wakat mshahara wanaolipwa unatokana na kodi ya mwananchi
@user-kz7ys5qw2h
@user-kz7ys5qw2h 2 ай бұрын
Kabisaaaa wanakeraaaaaa
@kilogreekachananawatuwasio4054
@kilogreekachananawatuwasio4054 2 ай бұрын
UKIWA RAIS WA TANZANIA 🇹🇿 MAKONDA MPAKA UCHUMI WETU UTAPANDA NA WANANCHI WATAISHI MAISHA BORA KUPITA ATA ULAYA NAKUOMBEA MUNGU MAKUFULI JUNIOR ❤❤❤
@jasonwatz7457
@jasonwatz7457 2 ай бұрын
Urais wa tanzania sio pipi kila mtu apewe, na kuna vigezo
@DaudiHamisi-un2uu
@DaudiHamisi-un2uu 2 ай бұрын
Atauliwa maana mifumo inatungwa uraya na mabeberu
@amsiabbas3809
@amsiabbas3809 2 ай бұрын
😂😂😂 Kwajinsi navomfaham Makonda hapo Kazi Masaa 24 watakoma watendaji Wavivu yani ningekua namimi nimtendaji mapema naachia ngazi naenda Kulima Malinyi 😂😂😂😂
@johnmunguawepeujasirikejo3853
@johnmunguawepeujasirikejo3853 2 ай бұрын
Makonda 🔥
@rehemakimungu6494
@rehemakimungu6494 2 ай бұрын
Halafu chatanda anaongea pumba hembu ona huyo mama miaka 10 hajapewa pesa yake ,tuachie makonda wetu sisi wanyonge,We kula maisha
@super815
@super815 2 ай бұрын
Makonda anapigya kazi sana jamaaa
@RajabuZakaria
@RajabuZakaria 2 ай бұрын
Muacheni MH makonda aifanye kazi yake inayo itajika afanye kama MH raisi JOHN POMBE MAGUFURI
@jamesgustav196
@jamesgustav196 2 ай бұрын
Kuna yeyote alieona kipande cha dakika 2:17 jinsi huyo mtumishi alivyomuangalia huyo mama wa kimasai
@hellenmgonja6137
@hellenmgonja6137 2 ай бұрын
Nimemuona anadharau sana
@elizabethkikoti7265
@elizabethkikoti7265 2 ай бұрын
Nimemuona nilijua peke angu
@fatemafatema4780
@fatemafatema4780 Ай бұрын
😂😂😂makonda unafurahisha sana hahaha mungu akubari usiwache hao wanahitaji spaner hahaha
@mariakabonga2
@mariakabonga2 2 ай бұрын
barikiwa sana mtumishi mungu akukumbuke na uzao wako
@yukundapeter8200
@yukundapeter8200 2 ай бұрын
Asantee Mungu.
@user-wd2xf4xs5u
@user-wd2xf4xs5u 2 ай бұрын
Makonda safi sana
@paulocharles4258
@paulocharles4258 2 ай бұрын
Ni kweri makonda Fanya kazi kaka
@emmanuelbirindwahabamungu5715
@emmanuelbirindwahabamungu5715 2 ай бұрын
Hee Mungu yukowapi makonda wetu wa Congo drc?
@OscarAsukenie
@OscarAsukenie 2 ай бұрын
Daah kuna wakati ukiwa kiongozi unatamani kucheka kesi za watu weer😂😂😂😂 ila rohoo inakukataza.
@angellomarcel5677
@angellomarcel5677 2 ай бұрын
Hahaaaaa
@isayaolemauna
@isayaolemauna 2 ай бұрын
you right
@leonardobedi4779
@leonardobedi4779 2 ай бұрын
alaf wanakuja watu wanasema tumia lugha nzuri.. natamani makonda apewe kichwa cha yule jamaa wa kenya😂
@FloraIloko
@FloraIloko 2 ай бұрын
God reedem my country aisee kila kona dhuluma
@yukundapeter8200
@yukundapeter8200 2 ай бұрын
Na nyie mkome kujiunga kwa kikundi vya mashetani,yaani mbwa anakusanya hela linarusha wanyonge,afilicwe hill mbwa jixi.
@valenakomba7686
@valenakomba7686 2 ай бұрын
HALAFU UTAKUTA HUYO MTUMISHI NI MLOKOLE ,LAKINI HANA HATA HURUMA.
@marthaswai1185
@marthaswai1185 2 ай бұрын
Hivi hii njia tutamaliza kero ???Watendaji huku chini mbona kazi hazifanyiki ???Tumefeli wapi???Makonda hataweza kufanya pekee yake
@emmanuelmmbaga5209
@emmanuelmmbaga5209 2 ай бұрын
Daaah Inauma sana
@MossesMollel-yv7uz
@MossesMollel-yv7uz 2 ай бұрын
Baba wewe nikiboko Yao ata wewe ni rais wa wanyonge 😂😂
@MagrethEmmanuel-qn4ud
@MagrethEmmanuel-qn4ud 2 ай бұрын
Vumilia baba kiswahili Chetu ndo hivyo tuokoe baba
@MrTop-wj7no
@MrTop-wj7no 2 ай бұрын
😂😂😂 haki ya nani unaweza ukajiuliza hawa hawapo dunia hii maana wanayoyafanyia hawana huruma na binaadamu wenzao duuh
@angellomarcel5677
@angellomarcel5677 2 ай бұрын
Watumishi wa UMMA khaaa...
@ashakijaji5869
@ashakijaji5869 2 ай бұрын
Mbona huko Arusha wanafaidi sana,matatizo Yana fanyiwa kazi
@EnikoSanga
@EnikoSanga 2 ай бұрын
Wakuu wa mikoa wengine hawaoni hata kujaribu kufuata nyayo za huyu kamanda wamelala yooh
@user-kz7ys5qw2h
@user-kz7ys5qw2h 2 ай бұрын
Hasa Manyara hovyoooo
@EnikoSanga
@EnikoSanga 2 ай бұрын
@@user-kz7ys5qw2h ni hakuna kitu kabisaa vitambi tu
@COMPASSIONMEDIA
@COMPASSIONMEDIA 2 ай бұрын
Huku mkoa wa simiyu pia uje utetee wananchi Makonda
@starjay3052
@starjay3052 2 ай бұрын
✅🙏🙏
@TitoNgomuo
@TitoNgomuo 2 ай бұрын
Hakika huu ndio utawala Bora tunaouhitaji
@abubakarsaid7303
@abubakarsaid7303 2 ай бұрын
Hawakawii kusema wana nyanyaswa kijinsia😂😂😂
@priscamrekoni3451
@priscamrekoni3451 2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂🙈
@charles5633
@charles5633 2 ай бұрын
Kichwa Sana jamaa huyu anajua kaziyake
@skilindaissa5441
@skilindaissa5441 2 ай бұрын
Haki za wanawake mko wpi.mnatetea vigogo vp masikini mbna hamtetee.
@maswamills3161
@maswamills3161 2 ай бұрын
Huyu mama atumbuliwe,.
@DickisonFinias
@DickisonFinias Ай бұрын
😅
@teddygabriel5662
@teddygabriel5662 2 ай бұрын
Fikoba Ngasi
@ushindidaycare234
@ushindidaycare234 2 ай бұрын
Huyo ndomakonda bwana
@AkilinyingiTaifa
@AkilinyingiTaifa 2 ай бұрын
Mingu kamludidha magufuli
@SelijusiMalambo-rh6sf
@SelijusiMalambo-rh6sf 2 ай бұрын
Piga kazi makinda
@praygodmawalla7884
@praygodmawalla7884 2 ай бұрын
Hakuna tena kufanya kazi ni mikutano tu ya hadharani. Hii sidhani ndio njia sahihi kutawala. Kangaroo court will never work in TZ.
@stephenmsanzu9850
@stephenmsanzu9850 2 ай бұрын
Wewe tumia akili hiyo pia ni kazi anafanya hapo,kazi sio officini pls.
@BilalMuhammad-jt6sq
@BilalMuhammad-jt6sq 2 ай бұрын
Unaonesha kichwa 0
@BilalMuhammad-jt6sq
@BilalMuhammad-jt6sq 2 ай бұрын
Unajua kazi ni office to?
@wilsonjaphet5547
@wilsonjaphet5547 2 ай бұрын
Hata hapo ni office Maana Kuna picha ya President na ni official
@JovitaEvard
@JovitaEvard 2 ай бұрын
We naye matako tu
ПОМОГЛА НАЗЫВАЕТСЯ😂
00:20
Chapitosiki
Рет қаралды 29 МЛН
OMG what happened??😳 filaretiki family✨ #social
01:00
Filaretiki
Рет қаралды 13 МЛН
Look at two different videos 😁 @karina-kola
00:11
Andrey Grechka
Рет қаралды 15 МЛН
BOSS TANROAD AJICHANGANYA KWA MAKONDA, ASHINDWA KUJIELEZA AKOSEA
12:23