Рет қаралды 6,771
MOSES MWIZARUBI Mtoto Wa Askofu Aliyetaka Kumng'oa Lema 2015
Huenda leo hii, MOSES MWIZARUBI, angekuwa mtoto wa kwanza wa Askofu kuwa Mbunge nchini Tanzania baada ya mwaka 2015 kugombea kuteuliwa kuwa mbunge wa chama cha mapinduzi CCM na kuambulia nafasi ya tatu katika mchakato wa kura za maoni ndani ya chama hicho...
Global tv imezungumza na Mwezaburi kuhusiana na safari yake hiyo ya ubunge ilipoanzia mpaka sasa...
----------------------------------------------------------------------------------------------------------------
HABARI MPYA DAILY:
www.youtube.co....
HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:
www.youtube.co....
GLOBAL RADIO TV:
www.youtube.co....
EXCLUSIVE INTERVIEW:
www.youtube.co...