DADA wa KAZI ADAIWA KUMKATA KOO MTOTO wa BOSI WAKE DAR -AKIMBIA - "ALISEMA DADA AMENIKATA"

  Рет қаралды 164,025

Global TV  Online

Global TV Online

Күн бұрын

Пікірлер: 647
@globaltv_online
@globaltv_online Ай бұрын
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
@NasmaMaulid-ev6md
@NasmaMaulid-ev6md Ай бұрын
Nyie hii link nikwel au mbona nawasiwasi nayo ukiingia mbona hakuna hayo maswali TUSIJE kuhakiwa taarifa zetu tu 😢😢
@maxthadeus6787
@maxthadeus6787 Ай бұрын
Mmmmh
@maxthadeus6787
@maxthadeus6787 Ай бұрын
Mbona kama kenya
@Maria-cx4kn
@Maria-cx4kn Ай бұрын
Duh, Wengine wanasikitika wengine wanatangaza biashara hapo hapo. Tena biashara wala haihusiki na taarifa yenyewe. Dah hii dunia balaa.
@Maria-cx4kn
@Maria-cx4kn Ай бұрын
Dah hili tangazo nalo kali. Kwa hiyo tucheze bahati nasibu sasa baada ya habari mbaya……mhmmmm
@user-ns1dg4jd7q
@user-ns1dg4jd7q Ай бұрын
Mwenyezi Mungu Tunakuomba umponye huyo mtoto wape amani wazazi wake ili wasikatee tamaa. Tunakuomba ulinzi kwa watoto wetu wengine wako mashuleni wengine wako vyuoni na walioko nyumbani. Ni wewe mwenyezi Mungu ulitupa Zawadi hii ya watoto ulinzi wao uko mikononi mwako Amina😭😭😭
@kobylwaho3191
@kobylwaho3191 Ай бұрын
Mungu atusaidie😢😢😢
@user-mu1uf2rl4x
@user-mu1uf2rl4x Ай бұрын
Amina
@twahakayondo7583
@twahakayondo7583 Ай бұрын
Amina
@shanimbaruku2071
@shanimbaruku2071 Ай бұрын
Aamin Aamiin
@HawwaMohammedi
@HawwaMohammedi Ай бұрын
Amiin
@user-hm8yt9ol4c
@user-hm8yt9ol4c Ай бұрын
Ee Mungu,wewe nizaidi ya viumbe tunakuomba umponyesha kwa uweza wako.AMIN,AMI AMIN
@hopejohnson7352
@hopejohnson7352 Ай бұрын
Mungu wa mbinguni naomba toba kwaajili ya hyo binti aliemkata mtoto na ninaomba unyooshe mkono wako wa uponyaji kwa mtoto hyo 👏👏👏
@Kidotii
@Kidotii Ай бұрын
Damu ya Yesu imfunike mtoto alone harakaa!
@merryjerry5449
@merryjerry5449 Ай бұрын
amina
@VeronicaMacha-pl3xt
@VeronicaMacha-pl3xt Ай бұрын
Mungu wetu ni mwema kwa viumbe wake wasio na hatia atamponya amen👏👏
@miriamdavis3893
@miriamdavis3893 Ай бұрын
Amen
@tinnahagustinolyelu4247
@tinnahagustinolyelu4247 Ай бұрын
Mungu amponye huyu mtoto jamani
@user-qw6wv4hf5c
@user-qw6wv4hf5c Ай бұрын
Mungu ajalie MTT apone jamani daaah niatali Sana hii
@christaoman8890
@christaoman8890 Ай бұрын
Mungu amponye huyo mtoto tuzidi kumuombea daah inasikitisha sana
@devothaanthony8174
@devothaanthony8174 Ай бұрын
Mwenyezi Mungu amponye mtoto akae sawa. Ee Mungu tusaidie kutulindia watoto wetu sisi tunaowaacha na wadada wa kazi kwa ajili ya majukumu watoto wapo hatarini kwakweli.
@nemaJuma-u5o
@nemaJuma-u5o Ай бұрын
Mungu asaidie namuombea apone
@user-ty1tp8ly8q
@user-ty1tp8ly8q Ай бұрын
Pole Sana mama na baba Malik m.mungu hamfanyie wepesi hapone hawataje hao watu km walokuwa wengi au mmoja .mungu Ni mwema🙏
@chaggatv818
@chaggatv818 Ай бұрын
Hata kama maboss wabaya Y umfanyie mtot kitendo kibaya jaman😢😢
@mariyamsalalah8204
@mariyamsalalah8204 Ай бұрын
😢😢😢😢😢
@esterMahenge
@esterMahenge Ай бұрын
Yaniii😢😢😢
@siamnyone8403
@siamnyone8403 Ай бұрын
Ni mapepoo hayoo sio Akili za kawaida
@yasminoluoch169
@yasminoluoch169 Ай бұрын
Wallah
@itanzaniaAS
@itanzaniaAS Ай бұрын
Kuna watu ni mapepo ila mwili wa binadamu.
@user-mx9go2qs9w
@user-mx9go2qs9w Ай бұрын
Mungu amponye mtoto watu 😢😢🤲🤲🤲🤲🙏🙏🙏
@haryanyawu640
@haryanyawu640 Ай бұрын
Mungu tunakuomba umponye mtoto katikanjina la Yesu uwaongoze madakari katika majukumu yao
@lucylight9341
@lucylight9341 Ай бұрын
Our brothers and sisters from Tanzania ombeeni fanyeni dua ...mashetani kavuka toka kenya hadi Tanzania. Na pia sisi wakenya twaomba pia mtuombee akhi this has been happening in kenya in secret but mungu ameanika wakola wauwaji na tumai Itatulia akhi.poleni sana dada zetu Tz🙏🙏🙏❤️
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 Ай бұрын
Dah Ukatili wa hali ya juu akipatikan apewe adhabu kali
@Sidrasidra636
@Sidrasidra636 Ай бұрын
SubhanaAllah 😢💔
@RaylaRamadhan
@RaylaRamadhan Ай бұрын
Daaah poleni sana tuzidisheni dua hizi ni nyakati za mwisho inauma sana 😭😭😭😭
@Ninah743
@Ninah743 Ай бұрын
😢
@mwanakhamisimwinyimatano1185
@mwanakhamisimwinyimatano1185 Ай бұрын
Subhana Allah
@MsAisha-w4o
@MsAisha-w4o Ай бұрын
Atapatikana insha'allah..na Sheria ifate mkondo wake alikusudia kumuua ila siku za mtoto Bado Allah amponye yarab 🙏
@sharifabahar9905
@sharifabahar9905 Ай бұрын
😢😢😢 alafu mtoto anaonekana mwenye nizamu Mbona au dada jini
@user-eb4nq5du2q
@user-eb4nq5du2q Ай бұрын
Itakuwa 😢 maana wanaonekana wastaarabu tu awa maboss
@tinnahagustinolyelu4247
@tinnahagustinolyelu4247 Ай бұрын
Wasichana wengine wachawi wametumwa damu za watu
@evertheobald1811
@evertheobald1811 Ай бұрын
Asilimia kubwa ya wadada wa kazi ni wachawi na wengine ni mapepo
@hamisishabani4072
@hamisishabani4072 Ай бұрын
POLENI SANA,WAZAZI,WANAFAMILIA NA MAJIRANI WOTE KWA TUKIO.HILO LA KUTISHA NA KUSIKITISHA.TUNAMUOMBA MWENYEZI MUNGU AJAALIE KWA UWEZO WAKE,MTOTO APONE,APATE NGUVU NA AFYA.MWENYEZI MUNGU AWAPE MIOYO YA SUBIRA WAZAZI NDUGU JAMAA NA MAJIRANI WOTE.POLENI SANA.
@maryndutakamau9301
@maryndutakamau9301 Ай бұрын
Oh God heal Lovely kid completely
@trecygohy7847
@trecygohy7847 Ай бұрын
Poleni sana family. Mwenyezi Mungu amponye haraka kwa Jina la Yesu Kristo. Amen.
@user-nm5ff3ri8k
@user-nm5ff3ri8k Ай бұрын
Serikali ina mkono mrefu atakamatwa uyo.
@samsonsamwel8782
@samsonsamwel8782 Ай бұрын
Tena mrembo 2 huyo atapatkana kw haraka
@gladnessfinda7534
@gladnessfinda7534 Ай бұрын
Sijui tutaishi vipi sijui tuwaweke wapi watoto wetu?Tumekuwa wakatili mno. Mungu utusamehe utusaidie utupe mioyo ya huruma. Kina mama tunapitia changamoto katika malezi kutokana na utafutaji. Tuwe makini na wadada wa kazi kwani hatujui asili zao. Tujiombee na tuwaombee watoto wetu sana sana. Mungu wetu hatatuacha. Tuzidi kuwaombea watoto kama hawa ambao wanapitia madhila kama haya. 🙏
@user-ug3lu2km4c
@user-ug3lu2km4c Ай бұрын
Unayosema nasema ivo ivooo yani mpk nimekua kama cko sawa sasaiv . Ukiwaza sana ni tabu Nikumkabidhi mungu tu bila yy hatuwezi tusisahau ibada
@adamhashim3352
@adamhashim3352 Ай бұрын
Maisha sahv hyna baraka
@user-ex4hi7fj5c
@user-ex4hi7fj5c Ай бұрын
Mungu tunaomba usikie maombi yetu umponye mtoto huyu ili mataifa yote wajue kuwa wewe Ni Mungu mponyaji.Hakika shetani anatafuta watu wakuwatumia kufanya vitendo viovu.... Jamani hofu ya Mungu ni nzuri mnoooinatuepusha kufanya maovu
@user-fo6lt4ow8p
@user-fo6lt4ow8p Ай бұрын
Mmmmmmmm ukatili wa Hali ya juu, daah tuzidishe maombi juu ya watoto wetu
@gilliardgodfriend5745
@gilliardgodfriend5745 Ай бұрын
Sio maombi wanawake warudi kuwa wanawake hali itakaa shwari😢
@user-ur8cq1ye3b
@user-ur8cq1ye3b Ай бұрын
Sasa​@@gilliardgodfriend5745sasawaludi vp sema tuu tusiwaamini wadada wakazi
@dorcassebastian3038
@dorcassebastian3038 Ай бұрын
@@gilliardgodfriend5745wanawake warudi kuwa wanawake kivipi
@leilabuisha9976
@leilabuisha9976 Ай бұрын
Hawa wasichana wa kazi wakija tu kuanza kazi fanyeni nao interview muwa record na pia mupige nao mapicha mueke kumbu kumbu, Hata akikimbia muwe na proof..pigeni picha kama family .
@ishanaaRajoo
@ishanaaRajoo Ай бұрын
Mtihani
@FatumaMuya
@FatumaMuya Ай бұрын
👍👍👍
@sabinakodi6852
@sabinakodi6852 Ай бұрын
Saw
@Rebekamwinuka-kh5tz
@Rebekamwinuka-kh5tz Ай бұрын
Safiiii
@aminamzuri9933
@aminamzuri9933 Ай бұрын
Nimeduwaaa sana jamani
@SajdahIssa
@SajdahIssa Ай бұрын
Mungu amfanyie wepesi Mtoto apone
@NaziaMudi
@NaziaMudi Ай бұрын
Kiswahili ni lugha nzuri saana ivi kati ya kumchinja na kumjerui ipi ilifaa ikae apo maana 😢😢😢😢😢😢😢😢
@rhodajoseph2904
@rhodajoseph2904 Ай бұрын
Maana ilituchanganya kumbe kajeruhiwa yuko hosptali😢
@zahrababygarl1568
@zahrababygarl1568 Ай бұрын
Kiswahili kigumu kweli me mwenyew nilijua kafariki
@fauziyaomar7090
@fauziyaomar7090 Ай бұрын
Mm dada sitaki tena shukrani hawana hata ukae nae vip
@ObediMeyan-j8c
@ObediMeyan-j8c Ай бұрын
Dah poleni Sana ndugu zangu ila mungu yupo atapona
@HadiaMohammed-ec2dn
@HadiaMohammed-ec2dn Ай бұрын
Aliezaa anaelewa jins tumbo linavy uma la uzazi😢
@jescaprojest7262
@jescaprojest7262 Ай бұрын
We acha tu so painfully
@glorygratian6340
@glorygratian6340 Ай бұрын
Jamani watu wamekua wakatiliii sana sikuiz💔😢Poleni tumuombee jaman🙏🏽 na hiz tamthilia zinachangia watu wanaona mambo ya kuchinjana ni kawaida!
@RizikMahunya
@RizikMahunya Ай бұрын
Globali mko vizuri kwa hari za hapa na pale
@salhaayub1338
@salhaayub1338 Ай бұрын
Subuhanaallah 😪 😢
@abdallahassan6378
@abdallahassan6378 Ай бұрын
Dah mwenyezi Mungu wasaidie watoto wetu 👏
@user-ll9so3pk4j
@user-ll9so3pk4j Ай бұрын
Mungu amponye mtoto Alone. Amfunike Kwa damu ya Yesu Amina
@LamaribamJumbe
@LamaribamJumbe Ай бұрын
Mmmhhhh mungu wangu Jamani ukaidi wa Hali ya juuu daaa AISSEH Inauma sana
@fatumamshindo4435
@fatumamshindo4435 Ай бұрын
Jamani wa dada wakazi awapendeki baadhi yao
@hajihassan5433
@hajihassan5433 Ай бұрын
Unakijuwa alichofanywa yeye?
@user-fs7xc2bb5d
@user-fs7xc2bb5d Ай бұрын
​@@hajihassan5433hakuna alichfanyiwa huenda mtoto kamjibu kitu au kuna watu wameungana na huyo dada wa kazi
@hidayakeizer924
@hidayakeizer924 Ай бұрын
Wadada siku hzi hawana jema ndugu
@user-fs7xc2bb5d
@user-fs7xc2bb5d Ай бұрын
​@@hajihassan5433Ila msichana ana roho ngumu
@Zuu673
@Zuu673 Ай бұрын
​@@hajihassan5433hata afanye nn ni ukatili mtt inamuhusu nn? Wewe ungefanya ivyo?
@neemakoka599
@neemakoka599 Ай бұрын
wanaosema mama mwenye nyumba ana shida inategemea maana kwetu tuliwahi leta mdada then baada ya wiki akapandisha mashetani akasema nataka damu akawa anatafuta kisu bahati nzuri mdogo wetu alikuwepo.Akamzuia kwa kumfungia chumbani mpaka tuliporudi mpaka leo naogopa wadada wakuletewa wengine wachawi. Wengine hayajawakuta
@AminaAbdul-nr2lz
@AminaAbdul-nr2lz Ай бұрын
Uyo mtoto aliyefanyiwa ukatili mungu amsaidie apone
@rosejeremiah-ib3qq
@rosejeremiah-ib3qq Ай бұрын
Pole sana wazazi yaani akuna kitu nachukia kama mtu amfanyie mtoto kitu chochote cha ukatili naumia sana 😭😭😭😭😭😭eeeh mwenyezi mungu nakuomba mponye huyu mtoto mpambanie uhai wake nakuombea mwanangu utasimama tena inshallah 😭😭😭😭😭😭
@user-dp6ny5ef9h
@user-dp6ny5ef9h Ай бұрын
Tujitahidi kuonyesha upendo kwa dada wa kazi, hao viumbe hawana nguvu lakini wakiamua wanaweza kuteketeza familia,tuache roho mbaya
@GraceMalley-ly2xn
@GraceMalley-ly2xn Ай бұрын
Pole Mungu amtetee Mtoto.apone haraka na watu wafikirie kabla ya kutenda unapojerui au chochote kibaya hutakuwa na amani utaishiia jela faida gan unapata?
@user-xn8jh1yw1h
@user-xn8jh1yw1h Ай бұрын
Poleni na hilo tatizo la Mtoto. Mwenyezi Mungu na awafanyie wepesi.
@Maliusi89Kagumisa
@Maliusi89Kagumisa Ай бұрын
Naitwa kagumisa wa bukoba nawapa pole sana wazazi wa mtoto aliyekatwa shingo
@leokamil6284
@leokamil6284 Ай бұрын
Poleni sana
@JumaHassan-w5m
@JumaHassan-w5m 29 күн бұрын
Mungu awatie nguvu wazzi haw
@user-cg3vf2bl6b
@user-cg3vf2bl6b Ай бұрын
😢😢poleni Sana ndugu zetu,haya machungu kweli mungu awape nguvu ,ndio maana hawa warabu wana Sheria Kali sana Kwa watoto,ukiguza mtoto unafungwa
@user-ey5mv1yz3s
@user-ey5mv1yz3s Ай бұрын
Mwenyezi MUNGU amponye huyo mtoto, poleni sana wazazi na familia nzima kwa ujumla
@user-bl6rd4pq4k
@user-bl6rd4pq4k Ай бұрын
Jamani ,jamani, nyie haya mambo mbona hivyo hii Dunia tunaenda wapi sisi ee molla wangu
@nzungizemarcel2216
@nzungizemarcel2216 Ай бұрын
Pole sana
@ZainabZainab-fr7gs
@ZainabZainab-fr7gs Ай бұрын
Poleni jamani inauma sana poleni
@HawwaMohammedi
@HawwaMohammedi Ай бұрын
Ahsante 😢
@JehhusRaoul
@JehhusRaoul Ай бұрын
Mungu ni mwema atamponya il
@IdrisaTuppa
@IdrisaTuppa Ай бұрын
Get Well Soon Mtoto Mzuri
@AshfaynahAbdul-cz9io
@AshfaynahAbdul-cz9io Ай бұрын
Subhanallah Kama unapata manyanyaso bora uondoke kwa Aman jan
@GloryEmmanuel-q4f
@GloryEmmanuel-q4f Ай бұрын
Kwel kabsa ase
@nordenconrad14yearsago45
@nordenconrad14yearsago45 Ай бұрын
Allah please save this kid
@kokuelikana184
@kokuelikana184 Ай бұрын
Mungu amponye
@habibtynunu9340
@habibtynunu9340 Ай бұрын
Subhana Allah huyo dada nishetan so binadan inshallah mungu atamsaidia atapata shifaa kwa nguvuza mungu
@user-ko6lg9tw6w
@user-ko6lg9tw6w Ай бұрын
Polen sn Kwa mthan mzito Mungu atamponya Kwa izini yeke ishallah Lakin mabos mumezid zarau na kejel Kwa wafanya Kaz wenu munawafanya km Wanyama kwasababu yaumasikin wao munasahau km nawao ni binadamu km nyny munawateteya maovu mengi san ndomana nawao hujibu mashbiliz Kwa watt wenu siamin km mdada WA Kaz unamsamin na kumpenda km mwana familia hafu afanye unyama km huo sio kweli hem kaeni nao kwawema na ihisan halafu muone km atafanya ubaya km huo
@NasraSalehe-bi8sh
@NasraSalehe-bi8sh Ай бұрын
Sikubalian na hiki na kama amenyanyaswa na bossi si angeiba hata vitu vya ndani akasepa kumdhuru huyo mtt anapata faida gani, hyo mijitu ya kigoma mingi mikatili na ni kichawi na background za malezi Yao huwa ni mbayabaya wamenyanyaswa kwao wanakuja kuleta stress na depression zao kwa watu wengine akipatkana na yy achinjwe kidogo Ili aone utamu wake
@NasraSalehe-bi8sh
@NasraSalehe-bi8sh Ай бұрын
Akatwe hata vidole
@joycemsegea7787
@joycemsegea7787 Ай бұрын
Halijakupata wadada wasasa nishida sana kwanza niviburi sana omba Mungu lisikupate unaleta dada wewe bosi wake unakuwa mtumwa kwake huo niujinga mbona makazini watu wanaenda wanajituma wapate mshara wao kwanini na yeye asijue wajibu wake acha kuwatetea ,wadada wanaujinga sana
@DafrosaMassawe
@DafrosaMassawe Ай бұрын
Pole sana kaka
@WinfridaJackson-ji8bq
@WinfridaJackson-ji8bq Ай бұрын
Mungu amponye huyo mtoto
@JoyceKaganda
@JoyceKaganda Ай бұрын
Pole sana mzazi
@JACOBNDASHUKA
@JACOBNDASHUKA Ай бұрын
Daaaah polen sana mungu Yu pamoja nanyi ameeen
@queenmunny244
@queenmunny244 Ай бұрын
Subhana Allah yarabby tulindie watoto wetu .watu wamekuwa Wakatili namna hii tutaficha wapi watoto wetu sio shule sio madada wakazi yani imekuwa hatar😢😢😢
@antiRidhia
@antiRidhia Ай бұрын
Allah ampe shufaa kwa ufalme wake Ameen
@halimamfaume1925
@halimamfaume1925 Ай бұрын
SubhanAllah
@JuliusMlengeswa
@JuliusMlengeswa Ай бұрын
Mnatuchanganya. Tumieni neno sahihi. Mtoto anaendeleaje? Binadamu na hata mnyama akichinjwa haponi!
@graceleonardsanga3097
@graceleonardsanga3097 Ай бұрын
poleni sana wazazi wa mtoto MUNGU amponye kijana wetu amen
@WinifridaGregory
@WinifridaGregory Ай бұрын
Eeh Yehova Mungu naomba umponye mtoto
@RamadhaniKitala-gx6wc
@RamadhaniKitala-gx6wc Ай бұрын
Mtihani wallah , Allah akufanyie wepes waja wake tuwe na imani
@user-qo8qy8zv1f
@user-qo8qy8zv1f Ай бұрын
Nimejikuta nalia naumia moyo nina uchungu sana ,najiuliza kwa hali hii tunaenda wapi kama Upendo ndo umeisha kwa kiwango hiki!!! Binafsi nilishawaacha madada wa kazi . Make nimeona mwingine anamwekea mwenye nyumba seelwearl kwenye chakula ,ila alipona, mwingine alimwekea sumu ya panya nk. Kusema kweli imani ilishaisha . Wengine
@HamisMghuna-fj3vz
@HamisMghuna-fj3vz Ай бұрын
Lailahailah rabbi nsataraa mtt apone hili la watu w kigoma n kawaida kiuchawi n kawaida, ucpime
@faiditv5535
@faiditv5535 Ай бұрын
Mtema nakupenda
@DianaMacha-jf8gw
@DianaMacha-jf8gw Ай бұрын
Mungu wetu wewe hujawah kushindwa kuanzia mwanzo mpaka ufunuo kupitia hili tunaomba uonekane mfalme wa aman
@rosengowi847
@rosengowi847 Ай бұрын
Imeandikwa kesheni mkiomba,kizimu ipo speed Sana omba neema ya Mungu tu
@anthonymgina3893
@anthonymgina3893 Ай бұрын
Namwomba Mwenyezi Mungu amponye mtoto. Hakika nimeumia sana
@sabinaleonce8243
@sabinaleonce8243 Ай бұрын
Mungu amjalie afya apone
@user-dq4ur9kk6h
@user-dq4ur9kk6h Ай бұрын
Mbona hata mnavyoongea mnaonekana ni watu wema kabisa Ubaya wa mtu huwa unaonekana hata kwa kuongea tu Mungu Amponye Marick Popote alipo huyo dada Apatikane kwa Uwezo wa Mungu🙏
@SalamaAkilimali-ly3bu
@SalamaAkilimali-ly3bu Ай бұрын
Polen Sana m M Mungu amfanyie wepesi inshalah wasichana wa kigoma wanafanya kazi Sana kuna wenye upendo wengi Wana roho mbaya 😭
@MwanahamisHussein-dp2if
@MwanahamisHussein-dp2if Ай бұрын
Subhannallah mwishowaDunia
@user-cv7vm1mx9d
@user-cv7vm1mx9d Ай бұрын
Murundi usipo mlipa ela yake uwa wanalipiza kisasi cha kuua familia nzima hata akiondoka atarudi aue familia nzima
@HaithamShabani
@HaithamShabani Ай бұрын
Mwenyezi Mungu naomba umponye mtoto huyu Amen
@user-uf7oh5eu4v
@user-uf7oh5eu4v Ай бұрын
Daaah 😢so sad
@getrudaleonard8323
@getrudaleonard8323 Ай бұрын
Poleni sana kwa kweli Baba Malick na Mama ake...
@fredpeter5442
@fredpeter5442 Ай бұрын
Poleni sana inaumiza sana
@user-gj9xn2km1t
@user-gj9xn2km1t Ай бұрын
mungu naomba umponye mtt huyu
@CarolineShirima-jv7sq
@CarolineShirima-jv7sq Ай бұрын
Mungu wangu bwana yesu awatie nguvu
@user-uj5wg9mm2t
@user-uj5wg9mm2t Ай бұрын
Nyakat za mwisho😢😢😢😢pole maika Mungu akuponye🤲🤲
@user-uj5wg9mm2t
@user-uj5wg9mm2t Ай бұрын
Malaika
@SmilingGecko-bc7mt
@SmilingGecko-bc7mt Ай бұрын
Mwenyezi Mungu amponye
@pantaleolaurentlaurentkavu2011
@pantaleolaurentlaurentkavu2011 Ай бұрын
Pole Sana mungu amjalie apone huyo binti.siyo mtanzania asili hatujafika hapo kwa wenye umri huo wa binti.tuwe makini mikoa ya pembezoni wageni ni wengi.huenda nusu raia nusu wageni mihemko tusiwe wasio jua na mungu.yupo.
@HinohiatHidoCo
@HinohiatHidoCo Ай бұрын
Hakika usemayo. Kigoma ni jirani sana na nchi kama tatu, lakini ni mbali sana kuja Dar Es Salaam. Hivyo siyo ajabu kuwa si raia wa nchi yetu.
@AziduKitenga
@AziduKitenga Ай бұрын
Mungu amponye mtoto watu
@AlexSamwel-l7u
@AlexSamwel-l7u Ай бұрын
Pole mdogo wang utapona kwauwezo wamung
@latifamubba100
@latifamubba100 Ай бұрын
Watu wan roho za kikatili san
@user-ng6yt2od7l
@user-ng6yt2od7l Ай бұрын
MUngu mponye mark Poleni Sana family
@RoseMalley-dt9ub
@RoseMalley-dt9ub Ай бұрын
Poleni sana Mungu amsaidie apone
@rahymaaa4357
@rahymaaa4357 Ай бұрын
Sasa mtoto kama huyu jmn kamkosea nn jmn wallah ni laana hii
@careemdulla1629
@careemdulla1629 Ай бұрын
Mwenyezi Mungu atamsimamia atapona haraka
@sumaya-q7i
@sumaya-q7i Ай бұрын
Jmn mwangalie wa dada wa kazi wanaujua majukumu anae jua uchungu sio vitoto daah 😭😭😭 Ina uma sana
这三姐弟太会藏了!#小丑#天使#路飞#家庭#搞笑
00:24
家庭搞笑日记
Рет қаралды 40 МЛН
The Giant sleep in the town 👹🛏️🏡
00:24
Construction Site
Рет қаралды 20 МЛН
Bony Just Wants To Take A Shower #animation
00:10
GREEN MAX
Рет қаралды 7 МЛН
Running With Bigger And Bigger Feastables
00:17
MrBeast
Рет қаралды 153 МЛН
PENZI LA MTOTO WA BOSS 💞 NA DADA WA KAZI  | Love Story
40:44
DONTA TV
Рет қаралды 1,1 МЛН
Tabia 10 Muhimu za Mafanikio
30:39
Success Path Network
Рет қаралды 383 М.
这三姐弟太会藏了!#小丑#天使#路飞#家庭#搞笑
00:24
家庭搞笑日记
Рет қаралды 40 МЛН