Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
@gowekogoweko58035 ай бұрын
HAIJIBU KWASABABU HAINA MAJIBU........WELL SAID MR WILLBROD SLAA
@jeanbaraka10085 ай бұрын
Dr tafadhali sana rejea kiti chako, achana na Sauti ya wantanzania, anao uko wako na mategemeo ya Chadema...
@evelina96215 ай бұрын
Safi.sana.mzee.drslaa
@anosiata82425 ай бұрын
Mjadara mzuri sana Dr uwanga sichoki kukusikiliza.
@allyfutto87635 ай бұрын
Dr Slaa ni jembe kubali kataa.
@sasha-ri7tf5 ай бұрын
Sla ulisema chadema chama cha kigaid na Mbowe ni gaid, umesha feili siasa, nenda kalee wajukuu zako Bukoba. Mchawi wa Taifa la Tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿.
@petermogha70255 ай бұрын
Mnafeli padogo sana cdm
@anosiata82425 ай бұрын
Ngaila party too please
@habarika10835 ай бұрын
Coming up soon
@2003hintay5 ай бұрын
Mzee umekwisha huna namba. Umekaa Nchi za wenzetu CCM ndio iliyokuwezesha hata ukafika huko. Sasa hivi njaa inakusumbua
@SaidAlly-uh4qw5 ай бұрын
Huyu mzee anatumia mkorogo😂😂😂
@omarybakunda25545 ай бұрын
Huyu mzee alituambia mbowe ameuza chadema kwa lowasa bilioni 11 ili agombee uraisi.
@gowekogoweko58035 ай бұрын
MWAANDISHI TUTAONA MENGINE MENGI
@SaidAlly-uh4qw5 ай бұрын
Hii nchi hatuwezi kuwaachia wapinzani kwa njia ya kura bado tutaendelea kuiongoza Tanzania ccm ni chama tawala
@usembiphonedar56325 ай бұрын
Kauli yako ni ya wale wasiyokuwa na majibu kwa hoja za msingi! Waulize "KANU" utajua hujui!
@KilonzoJohn-mg7cw5 ай бұрын
Richadi wewe ni chawa tu Kam waandishi wengine walivyo nunuliwa huna jipya
@habarika10835 ай бұрын
Kwa niaba ya Richard Ngailla,Thibitisha kama kanunuliwa
@habarika10835 ай бұрын
Kwa niaba ya Richard Ngailla,Thibitisha kama kanunuliwa
@habarika10835 ай бұрын
Kwa niaba ya Richard Ngailla,Thibitisha kama kanunuliwa
@frankraphael75465 ай бұрын
Nyie niwababaishaji tu ni Bora muache ccm itawale maana najua nyie niwababaishaji mnaniuzi wewe unachama kweli wewe ni ccm usitudanganye
@stewartdyamvunye-wz6rn5 ай бұрын
Cmde Slaa, ebu nisaidie, kauli yako kwamba Benki ya Dunia ni chombo cha Umoja wa Mataifa, ni sawa? Sidhani. Hivyo naomba elimu hapo kwani kwa ufahamu wangu World Bank ni chombo cha mabeberu (imperialists) wa USA na Ulaya Magharabi ili kunyonya vizuri na kikamilifu umma wa wanyonge duniani hususani walioko Afrika.