UNAYOTAKIWA KUJUA KUHUSU LENGAI OLE SABAYA, KIJANA ANAYETAJWA TENA KATIKA ULINGO WA SIASA

  Рет қаралды 65,014

DAY 2 NEWS

DAY 2 NEWS

Күн бұрын

#Day2NewsTV #Zungu #CharlesWilliam

Пікірлер: 163
@kadiakirua7621
@kadiakirua7621 5 ай бұрын
Huyu mwamba ni mwamba wa miambani ipo siku atakua sehemu moja imizing
@afamatv4848
@afamatv4848 5 ай бұрын
Hata baadhi ya Ma Rais wa Nchi kadhaa duniani waliwahi kufungwa jera na wakapata nyazifa hizo baadae. Lengai O. Sabaya is the future President of Tanzania. You will never believe....,
@fatimahants1526
@fatimahants1526 4 ай бұрын
Wamurudishe huyu mwamba kwenye madarka tena afanye majabu....🔥🔥🔥🔥🔥
@abras3479
@abras3479 5 ай бұрын
Miongoni mwa wanasiasa wenye mikosi sana. Ni miongoni mwa wanasiasa wachache wazalendo waliobaki. Awamu ya 6 ni awamu mbaya sana kwa wanasiasa wazalendo. Bora aendelee kukaa kimya mpaka tutakapopata awamu ya wazalendo. Inshallah
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 5 ай бұрын
Good point 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@user-tl1nz7qx2l
@user-tl1nz7qx2l 5 ай бұрын
Uko sawa kabisa nakuunga point
@sonnyr1899
@sonnyr1899 5 ай бұрын
Chukuwa like yangu
@shinipapaya846
@shinipapaya846 2 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣kabisaa imepita hiyo bila utata 👍
@AvitusGerase
@AvitusGerase 2 ай бұрын
Umenena
@user-pj7ng8il4t
@user-pj7ng8il4t 5 ай бұрын
The strong guy we need. Huyu kijana ni muhimu sana ni kiongozi bora ajaye. Apewe nafasi aonyeshe uwezo wake.
@RamzoJunior
@RamzoJunior 2 ай бұрын
No body can stop,, 💪
@martinamarugu44
@martinamarugu44 5 ай бұрын
Mwenyezi Mungu amekutetea Nenda kafanye kazi uliyoitiwa
@KingBuddah-nx3ui
@KingBuddah-nx3ui 5 ай бұрын
Sabaya namba one
@mamapeace6730
@mamapeace6730 5 ай бұрын
Mungu akulinde kaka angu umepitia mengi sana
@ChalyaIdaso
@ChalyaIdaso 5 ай бұрын
Makonda na sabaya tunawapenda mno watetez wawanyonge tunawapenda sana
@marcokaroje8980
@marcokaroje8980 5 ай бұрын
Mnyonge wewe siyo MTU unejitambua unyonge katika biblia ni dhambi mpeleke kwenu nyumbani awaongoze maana unaonesha udhaifu katika kujipambanua hujui kuwa hata wewe ni kiongozi Ila hujui hill unamsifia sabaya
@joycemfuru4752
@joycemfuru4752 Күн бұрын
Watetezi for what watu ni malooser mnapenda watu wanaonyanyasa wenzao
@IssaMsomba
@IssaMsomba 5 ай бұрын
Sabaya yupo vizuri
@talents7934
@talents7934 4 ай бұрын
Hii miamba imepewa majina mabaya ili kuiondoa kwenye ramani ya siasa ila hawafahamu kuwa hawa ndio walioijenga CCM Kuna siku Mungu atawarudisha maana wamewakataa ili Wavune vilivyolimwa na hii miamba😢
@hermanjoseph6170
@hermanjoseph6170 17 күн бұрын
Mimi naitwa John silim Lengutai. Ni mwenyeji wa Kata ya Olmotonyi,Kijiji cha Engariolmonyi,Wilaya ya Arusha DC. Mimi binafisi namwamini Lengai Olesabaya kuwa ni Kiongozi mwenye uwezo kwa nafasi yeyote ya uongozi.
@mussahancy6591
@mussahancy6591 5 ай бұрын
Sabaya kijana mzuri sana,na anatosha Natamani awe RC pale SINGIDA
@karimjuma4019
@karimjuma4019 5 ай бұрын
Chizi ww
@fatimahants1526
@fatimahants1526 4 ай бұрын
Huyu ni mwamba ni shujaa na ndiyo maana apigwa mawe
@yusuphbudodi6720
@yusuphbudodi6720 3 ай бұрын
😂😂😂😂😂 et pale singinda
@Ibrahim-ne3in
@Ibrahim-ne3in 5 ай бұрын
Huyu jamaa sio muda anarud kwenye system...n suala la muda tu...n kijana wa kazi
@user-tl1nz7qx2l
@user-tl1nz7qx2l 5 ай бұрын
Yuko vizuri sana apewe apige kazi
@wilhardvawunge-ns2ks
@wilhardvawunge-ns2ks 5 ай бұрын
Viongozi kama sabaya meio tunawataka,sema Sasa mzeee ya ccm inaona chama chão na nchi yao
@AbasiMadege-ot2of
@AbasiMadege-ot2of Ай бұрын
Ccm hawana rafiki kwakua wakubwa wengi si wazalendo
@chiefndatu1895
@chiefndatu1895 5 ай бұрын
Huyu ndo mwenezi mpya👏
@user-nt8sd6xm5l
@user-nt8sd6xm5l 5 ай бұрын
Mungu akusimamie na akutendee haki kama kuna maonevu yaliyofanyika juu yako
@user-oz3zu1qm9z
@user-oz3zu1qm9z 5 ай бұрын
shida yetu atupendi wasalendo tunapenda fibaraka
@feliciarfrancis2388
@feliciarfrancis2388 5 ай бұрын
Excellent leader ( Ole Sabaya)
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 5 ай бұрын
Nikisikia jina sabaya namkumbuka yule mama wa kiarusha alivyokuwa analia na kumlaani😢😢😢😢😢
@robertdominic7298
@robertdominic7298 5 ай бұрын
Tuleteeni RC bora kuwahi kutokea Tz Ally Hapi.
@AbisoloMalenda
@AbisoloMalenda 5 ай бұрын
Mungu hakutangulie hakulinde hiyo nafasi ni kwako unaweza kijana wetu hodari mwanasiasa shupavu
@AhmedHassan-vl5zf
@AhmedHassan-vl5zf 5 ай бұрын
Sabaya NI Masai hodari mkweli na asio ogopa
@RedeemerElias
@RedeemerElias 5 ай бұрын
Mama mwangalie kijana Ole sabaya ni jembe hasa mpe nafasi akusaidie
@CharlesLukas-d3u
@CharlesLukas-d3u 2 ай бұрын
Aliyomkuta sabaya kwenye uongozi ni changamoto ya kawaidaa kwenye siasa ,lengai olesabaya usikate tamaa kwenye siasa ikiwezekana njooo jimboni
@titus_maridhia
@titus_maridhia 5 ай бұрын
Ni nampenda sana
@leonardmayunga2851
@leonardmayunga2851 5 ай бұрын
Zungu natamani kukutana na sabaya,ni kijana makini na anauwezo mkubwa sana tatizo liko ccm na matajiri na wanasiasa wachache wakiguswa mambo yao wanamchafua mtu
@lekinyaurey5772
@lekinyaurey5772 5 ай бұрын
Anafaaaa Sana kuwa kiongozi Bora mungu mbariki sabaya
@peteraqadwe7199
@peteraqadwe7199 5 ай бұрын
Yuko poa kijana mugu amtagulie katika maisha yake amina
@user-jj7qv7kh2s
@user-jj7qv7kh2s 5 ай бұрын
Kukaa kwako magereza ni kuenda kujifunza eananchi wanaosingiziwa kesi wanavyoteseka lakini mimi binafsi nakuombea uje uwe mtu mkubwa katika Taifa hili, tunakutegemea na tunakuombea kwa mungu uje uwe kiongozi mkubwa katika Taifa hili.
@radhiaaboubakari4619
@radhiaaboubakari4619 5 ай бұрын
Sabya bomba makonda bomba sanaaaaà ❤
@HakimuMaliki
@HakimuMaliki 5 ай бұрын
Nikijana mzalendo anapawa kumbwa nimchapakazi anamfaa mama Samia ampekazi
@ayoubliyanga7802
@ayoubliyanga7802 5 ай бұрын
Strong man lengai ole sabaya
@nazarenajoseph2695
@nazarenajoseph2695 5 ай бұрын
Love you sabaya mwanangu
@salomekense525
@salomekense525 5 ай бұрын
Tuliozaliwa 1986 tupo pamoja kukuombea ili baadaye uje uwe mtu mkubwa katika nchi yetu ya Tzn.
@danielnangela2195
@danielnangela2195 5 ай бұрын
Splendid.
@AbisoloMalenda
@AbisoloMalenda 5 ай бұрын
Apewe hiyo nafasi anaweza kabisa mwanasiasa hodari shupavu pamoja na majaribu aliyopitia mungu ndio Kila kwake
@LalakwaLekinanga-cj5ke
@LalakwaLekinanga-cj5ke 5 ай бұрын
Ole sabaya nikiongozi mnzuri sana
@WinifridaJonathan-cq2nw
@WinifridaJonathan-cq2nw 14 күн бұрын
Ndio maana sjawahi kucoment vbaya kuhusu huyu kijana aliye aminiwa na mwendazake.
@emanuelkyashama3858
@emanuelkyashama3858 3 ай бұрын
The general
@user-ey3ru8if4v
@user-ey3ru8if4v 5 ай бұрын
Sebaya mpe kazi mama
@emmanuelmlowe-ew7gx
@emmanuelmlowe-ew7gx 5 ай бұрын
Good guy
@Emmamugya-iu8uv
@Emmamugya-iu8uv 5 ай бұрын
Kaka unapambana sio poa
@matthewmichaelsylvester5612
@matthewmichaelsylvester5612 5 ай бұрын
maudhui mazuri sana D2N kazi iendelee
@LEONARDMASHALLAH
@LEONARDMASHALLAH 4 ай бұрын
He is a true son of Ccm
@martinamarugu44
@martinamarugu44 5 ай бұрын
Sabaya kila la Kheri
@ramadhanimmana3829
@ramadhanimmana3829 5 ай бұрын
We need sabaya
@KassimAlly-xp4dz
@KassimAlly-xp4dz 5 ай бұрын
U and who
@user-wi4nb7fg8v
@user-wi4nb7fg8v 5 ай бұрын
Sabaya tunaomba mama Samia aliangalie hili kujaza nafasi ya watatu hao Makonda Hapi Sabaya itakuwa hatari😢
@nicksonngogo7904
@nicksonngogo7904 5 ай бұрын
🎉🎉🎉!
@MabenaKishapu
@MabenaKishapu Ай бұрын
Mwamba kwel2 lakin matumiz ya nguvu apunguze
@nehemiamwasile8696
@nehemiamwasile8696 5 ай бұрын
Yupo vizur
@emmanuelmlowe-ew7gx
@emmanuelmlowe-ew7gx 5 ай бұрын
Watu kama sabaya na makonda,slaa na mzalendo inaonekana mama hawataki
@yusuphchankwa4759
@yusuphchankwa4759 4 ай бұрын
Namupenda sana sabaya
@godfreymwikola8232
@godfreymwikola8232 5 ай бұрын
Jamaa yupo vizur sana yupo nkwenye kundi la kutetea wanyonge
@deusisindwa616
@deusisindwa616 5 ай бұрын
Isingekuwa siasa chafu za nchi yetu,,Sabaya anastahili kuwa kiongoz wa ngazi za juu,,ila namuombea Kwa Mungu ampe kibali Cha kuwa kiongoz mkuu katika taifa letu,,naiman atatufikisha kanani 10:38
@AmisiLulacha
@AmisiLulacha 5 ай бұрын
Naomba munchambue mwana harakati mwabukusi
@saidmpunga-en6pf
@saidmpunga-en6pf 4 ай бұрын
mimi mmojawapo sabaya anafaa kwa asilimia 100 hebu mama mpe nafasi sabaya awanyooshe wanaopenda konakona
@emmanuelmlowe-ew7gx
@emmanuelmlowe-ew7gx 5 ай бұрын
Magufuli baba tunakukumbuka sn
@emmanuelmlowe-ew7gx
@emmanuelmlowe-ew7gx 5 ай бұрын
We remember sabaya
@user-iv7mn4qd4q
@user-iv7mn4qd4q 4 ай бұрын
Sabayaa Mungu akukumbukeeeee
@gaitanokamage7366
@gaitanokamage7366 4 ай бұрын
ally happy ,makonda ,sabaya, sabaya na mahu wao ni noma hapo kuna soma iyoooo toronto
@michaelmwakajoka7672
@michaelmwakajoka7672 5 ай бұрын
Mchambueni mwakyembe alie wai kuwa mbunge wa kyela
@marandoruzali1946
@marandoruzali1946 5 ай бұрын
Mwamba tunakukubali Sabaya mzalendo wa kweli
@OscarKasalile
@OscarKasalile 9 күн бұрын
Sabaya arudishwe haraka mnoo.
@antonyndinga8890
@antonyndinga8890 5 ай бұрын
Acha kumtetea, maana Mungu ndo anajua
@WilsonLuchwele
@WilsonLuchwele 4 ай бұрын
Hebu ione hazina waliyobakiza ccm, makonda + sabaya type,Mungu ihurumie Tanzania!
@EliauMtishbi-os5ky
@EliauMtishbi-os5ky 4 ай бұрын
Sabaya ni kiongozi Mwamba wa kzi
@NdekirwaPallangyo
@NdekirwaPallangyo 2 ай бұрын
SABAYA WAMEJARBU KUMSHUSHA NAKUMPANDSHA LAKN HATMA YAMTU HII MIKONON MWA MUNGU 18:06 😢❤😂🎉🎉🎉
@Emmamugya-iu8uv
@Emmamugya-iu8uv 5 ай бұрын
Komaa hiyo ni spirit yako umezaliwa nayo mwana
@MataukaMatauka
@MataukaMatauka 5 ай бұрын
Hawa.jama.ndio.wazarendo.kweri.nawakubari
@SanareMolle
@SanareMolle 5 ай бұрын
Sabaya ni kiboko ya wapinzani
@user-ey3ru8if4v
@user-ey3ru8if4v 5 ай бұрын
Kesi zote zilikuwa za mchongo
@DeoOmali
@DeoOmali 5 ай бұрын
Hii serikali ya kikuma kwani wao sindio walisema ametapeli watu inamana mahakama haikua na ukweli wowote juu ya tuuma manake ni nini sasa wanataka kugombanisha wananchi na mahakama saivi usipokua upande wa mama samia hatakama serikali inakosea wewe ni kupewa kesi huyu tunaukweli wake na lazima mungu amewekea mwisho uwo ndo ukwelì msijifanye ccm wajuaji mungu ni mungu
@PartySekemi
@PartySekemi 5 ай бұрын
Zilikua vita vya kisiasa na ya wakwepa kodi naomba utuchambulie mwana sheria mkuu wa serikali tuna wasiwasi na taaluma yake😅
@KingBuddah-nx3ui
@KingBuddah-nx3ui 5 ай бұрын
TUNAMKUBARI JEMBE
@user-xm6eu3ub2f
@user-xm6eu3ub2f 4 ай бұрын
jaman huyu mwamba sabaya Kama mama ataamua kumpa udc bac amlete wilaya ya uvinza make huku%80 ni hifadhi zisizo na kichwa wala miguu full kufukuza raia kwenye makazi yao kibabe
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 2 ай бұрын
✌️👊🇹🇿
@user-qp2mc4gq2q
@user-qp2mc4gq2q 5 ай бұрын
Huyu sabaya ni bonge la kiongozi ipo siku atakuwa kiongozi mkubwa sana nchini tuombe uzima tuu
@user-ey3ru8if4v
@user-ey3ru8if4v 5 ай бұрын
Huyu dogo huwa namkubali sana kama makonda
@humphreynyiti516
@humphreynyiti516 5 ай бұрын
Ni msenge sana huyu jamaa
@ezekieljacob5795
@ezekieljacob5795 5 ай бұрын
Mwanasiasa kama Lisu ila usiongeze michuuvi miiingi unaharibu,acha uchawa
@WilsonLuchwele
@WilsonLuchwele 4 ай бұрын
Kweli ccm mna mambo
@msafiriomary893
@msafiriomary893 4 ай бұрын
Tunapenda sana rais awe makonda makamo WA rais awe sabaya
@karimmveyange280
@karimmveyange280 5 ай бұрын
HIVI WALIO KUWA WAKIMUHUKUMU SABAYA HUKUMU AS UWONGO HUKU WAKIJUA NO UWONGO WANAJISIKIAJE?HE,COM INAJISIKIAJE KUHUSU SABAYA,ALIYE IBUA NA KUTOKOMEZA MAOVU USO KWA UPS,WANAMUONA NO MUHUJUMU UCHUMI?HAFAI? INATIA SHAKA SHAKA SANA IKIWA MSIMAMO NI HUO. HATUWEZI TOKA KIMAENDELEO YA KITAIFA
@isackphilipo9870
@isackphilipo9870 5 ай бұрын
Yaani hapa tumepigwa aliyetoka gerezani apewe rungu ni hatari
@TeophilBuilding
@TeophilBuilding 5 ай бұрын
Unatombwa akil iyo watu wanatok jela nakupew urais we mkundu unakuwasha kwa nafas ndogo km iyo
@user-ey3ru8if4v
@user-ey3ru8if4v 5 ай бұрын
Naitwa muhaji mtonoya, huyu kijana apewe kazi sasa kwani ni kati ya vijana wazalendo
@DaudiisackYohana
@DaudiisackYohana 5 ай бұрын
Let's ya Dk slaa kipande cha tatu
@benolduka
@benolduka 5 ай бұрын
Ccm inayopenda wenye asili ya ijambazi, mauwaji....
@ShadowScreamStudio
@ShadowScreamStudio 4 ай бұрын
One day nyota itang'aaa tena
@KassimAlly-xp4dz
@KassimAlly-xp4dz 5 ай бұрын
Huyu hafai ataa kuwa kiongozi wa familia
@godwinshoo5032
@godwinshoo5032 5 ай бұрын
Labda wewe ni mmoja wa wakwepa kodi au wanaodhulumu mali za wananchi ikiwemo ardhi! Mungu azidi kumpigania na mama amwone!
@hamphreybetty6208
@hamphreybetty6208 5 ай бұрын
SABAYA NI MWAMBA SANA YAAN KWA NCHI YA TANZANIA INAITAJI MTU WA HAIBA YAKE Mfano kama PAUL MAKONDA ,SABAYA,GAMBO NI WATU AMBAO WANAITAJIKA SANA KWA SIAZA BONGO MAMA KAMA ANASIKIA SAUTI ZA WACHANGIA MADA BAMUOMBA AMSAMEHE SABAYA AMPE ATA UBUNGE WA KUTEULIWA TANZANIA BILA WATU WENYE MAAMUZI MAGUMU HATUTOBOI WENGINE BILA KUTINGISHWA HAWAENDIIII
@feliciarfrancis2388
@feliciarfrancis2388 5 ай бұрын
CCM ina akiba ya kutosha ya viongozi ,wanatakiwa kutumiwa kwa ajili ya Taifa hili kwa ajili ya usitawi wa Watanzania. CCM oyeee!!
@PartySekemi
@PartySekemi 5 ай бұрын
Kwa sababu hoja nyingi za vivungu bungeni Mara nyingi ameshindwa hadharani
@bundalaizina652
@bundalaizina652 5 ай бұрын
Hata mpina anafaa pia
@emmanuelmlowe-ew7gx
@emmanuelmlowe-ew7gx 5 ай бұрын
Sabaya hoye
@ulomirabiel6980
@ulomirabiel6980 5 ай бұрын
Acheni kufanya uchafu kisha kulitaja jina Mungu.
@emmanuelmlowe-ew7gx
@emmanuelmlowe-ew7gx 5 ай бұрын
Ukisema vibaya sabaya wewe ni mpotoshahi tu
@mangwembecompany7039
@mangwembecompany7039 5 ай бұрын
Anafaa sana
АЗАРТНИК 4 |СЕЗОН 2 Серия
31:45
Inter Production
Рет қаралды 969 М.
Violet Beauregarde Doll🫐
00:58
PIRANKA
Рет қаралды 53 МЛН
Brawl Stars Edit😈📕
00:15
Kan Andrey
Рет қаралды 18 МЛН
BLOW TO RUTO; This is Gachagua’s THREAT
36:26
Herman Manyora
Рет қаралды 1,8 М.
MAPYA KUHUSU SAKATA LA MAKONDA, DUDU BAYA AWASHA MOTO
9:49
Mbengo Tv
Рет қаралды 82 М.
АЗАРТНИК 4 |СЕЗОН 2 Серия
31:45
Inter Production
Рет қаралды 969 М.