Huyu mwamba ni mwamba wa miambani ipo siku atakua sehemu moja imizing
@afamatv48485 ай бұрын
Hata baadhi ya Ma Rais wa Nchi kadhaa duniani waliwahi kufungwa jera na wakapata nyazifa hizo baadae. Lengai O. Sabaya is the future President of Tanzania. You will never believe....,
@fatimahants15264 ай бұрын
Wamurudishe huyu mwamba kwenye madarka tena afanye majabu....🔥🔥🔥🔥🔥
@abras34795 ай бұрын
Miongoni mwa wanasiasa wenye mikosi sana. Ni miongoni mwa wanasiasa wachache wazalendo waliobaki. Awamu ya 6 ni awamu mbaya sana kwa wanasiasa wazalendo. Bora aendelee kukaa kimya mpaka tutakapopata awamu ya wazalendo. Inshallah
@MiriamAbdallah5 ай бұрын
Good point 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@user-tl1nz7qx2l5 ай бұрын
Uko sawa kabisa nakuunga point
@sonnyr18995 ай бұрын
Chukuwa like yangu
@shinipapaya8462 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣kabisaa imepita hiyo bila utata 👍
@AvitusGerase2 ай бұрын
Umenena
@user-pj7ng8il4t5 ай бұрын
The strong guy we need. Huyu kijana ni muhimu sana ni kiongozi bora ajaye. Apewe nafasi aonyeshe uwezo wake.
@RamzoJunior2 ай бұрын
No body can stop,, 💪
@martinamarugu445 ай бұрын
Mwenyezi Mungu amekutetea Nenda kafanye kazi uliyoitiwa
@KingBuddah-nx3ui5 ай бұрын
Sabaya namba one
@mamapeace67305 ай бұрын
Mungu akulinde kaka angu umepitia mengi sana
@ChalyaIdaso5 ай бұрын
Makonda na sabaya tunawapenda mno watetez wawanyonge tunawapenda sana
@marcokaroje89805 ай бұрын
Mnyonge wewe siyo MTU unejitambua unyonge katika biblia ni dhambi mpeleke kwenu nyumbani awaongoze maana unaonesha udhaifu katika kujipambanua hujui kuwa hata wewe ni kiongozi Ila hujui hill unamsifia sabaya
@joycemfuru4752Күн бұрын
Watetezi for what watu ni malooser mnapenda watu wanaonyanyasa wenzao
@IssaMsomba5 ай бұрын
Sabaya yupo vizuri
@talents79344 ай бұрын
Hii miamba imepewa majina mabaya ili kuiondoa kwenye ramani ya siasa ila hawafahamu kuwa hawa ndio walioijenga CCM Kuna siku Mungu atawarudisha maana wamewakataa ili Wavune vilivyolimwa na hii miamba😢
@hermanjoseph617017 күн бұрын
Mimi naitwa John silim Lengutai. Ni mwenyeji wa Kata ya Olmotonyi,Kijiji cha Engariolmonyi,Wilaya ya Arusha DC. Mimi binafisi namwamini Lengai Olesabaya kuwa ni Kiongozi mwenye uwezo kwa nafasi yeyote ya uongozi.
@mussahancy65915 ай бұрын
Sabaya kijana mzuri sana,na anatosha Natamani awe RC pale SINGIDA
@karimjuma40195 ай бұрын
Chizi ww
@fatimahants15264 ай бұрын
Huyu ni mwamba ni shujaa na ndiyo maana apigwa mawe
@yusuphbudodi67203 ай бұрын
😂😂😂😂😂 et pale singinda
@Ibrahim-ne3in5 ай бұрын
Huyu jamaa sio muda anarud kwenye system...n suala la muda tu...n kijana wa kazi
@user-tl1nz7qx2l5 ай бұрын
Yuko vizuri sana apewe apige kazi
@wilhardvawunge-ns2ks5 ай бұрын
Viongozi kama sabaya meio tunawataka,sema Sasa mzeee ya ccm inaona chama chão na nchi yao
@AbasiMadege-ot2ofАй бұрын
Ccm hawana rafiki kwakua wakubwa wengi si wazalendo
@chiefndatu18955 ай бұрын
Huyu ndo mwenezi mpya👏
@user-nt8sd6xm5l5 ай бұрын
Mungu akusimamie na akutendee haki kama kuna maonevu yaliyofanyika juu yako
@user-oz3zu1qm9z5 ай бұрын
shida yetu atupendi wasalendo tunapenda fibaraka
@feliciarfrancis23885 ай бұрын
Excellent leader ( Ole Sabaya)
@MiriamAbdallah5 ай бұрын
Nikisikia jina sabaya namkumbuka yule mama wa kiarusha alivyokuwa analia na kumlaani😢😢😢😢😢
@robertdominic72985 ай бұрын
Tuleteeni RC bora kuwahi kutokea Tz Ally Hapi.
@AbisoloMalenda5 ай бұрын
Mungu hakutangulie hakulinde hiyo nafasi ni kwako unaweza kijana wetu hodari mwanasiasa shupavu
@AhmedHassan-vl5zf5 ай бұрын
Sabaya NI Masai hodari mkweli na asio ogopa
@RedeemerElias5 ай бұрын
Mama mwangalie kijana Ole sabaya ni jembe hasa mpe nafasi akusaidie
@CharlesLukas-d3u2 ай бұрын
Aliyomkuta sabaya kwenye uongozi ni changamoto ya kawaidaa kwenye siasa ,lengai olesabaya usikate tamaa kwenye siasa ikiwezekana njooo jimboni
@titus_maridhia5 ай бұрын
Ni nampenda sana
@leonardmayunga28515 ай бұрын
Zungu natamani kukutana na sabaya,ni kijana makini na anauwezo mkubwa sana tatizo liko ccm na matajiri na wanasiasa wachache wakiguswa mambo yao wanamchafua mtu
@lekinyaurey57725 ай бұрын
Anafaaaa Sana kuwa kiongozi Bora mungu mbariki sabaya
@peteraqadwe71995 ай бұрын
Yuko poa kijana mugu amtagulie katika maisha yake amina
@user-jj7qv7kh2s5 ай бұрын
Kukaa kwako magereza ni kuenda kujifunza eananchi wanaosingiziwa kesi wanavyoteseka lakini mimi binafsi nakuombea uje uwe mtu mkubwa katika Taifa hili, tunakutegemea na tunakuombea kwa mungu uje uwe kiongozi mkubwa katika Taifa hili.
@radhiaaboubakari46195 ай бұрын
Sabya bomba makonda bomba sanaaaaà ❤
@HakimuMaliki5 ай бұрын
Nikijana mzalendo anapawa kumbwa nimchapakazi anamfaa mama Samia ampekazi
@ayoubliyanga78025 ай бұрын
Strong man lengai ole sabaya
@nazarenajoseph26955 ай бұрын
Love you sabaya mwanangu
@salomekense5255 ай бұрын
Tuliozaliwa 1986 tupo pamoja kukuombea ili baadaye uje uwe mtu mkubwa katika nchi yetu ya Tzn.
@danielnangela21955 ай бұрын
Splendid.
@AbisoloMalenda5 ай бұрын
Apewe hiyo nafasi anaweza kabisa mwanasiasa hodari shupavu pamoja na majaribu aliyopitia mungu ndio Kila kwake
@LalakwaLekinanga-cj5ke5 ай бұрын
Ole sabaya nikiongozi mnzuri sana
@WinifridaJonathan-cq2nw14 күн бұрын
Ndio maana sjawahi kucoment vbaya kuhusu huyu kijana aliye aminiwa na mwendazake.
@emanuelkyashama38583 ай бұрын
The general
@user-ey3ru8if4v5 ай бұрын
Sebaya mpe kazi mama
@emmanuelmlowe-ew7gx5 ай бұрын
Good guy
@Emmamugya-iu8uv5 ай бұрын
Kaka unapambana sio poa
@matthewmichaelsylvester56125 ай бұрын
maudhui mazuri sana D2N kazi iendelee
@LEONARDMASHALLAH4 ай бұрын
He is a true son of Ccm
@martinamarugu445 ай бұрын
Sabaya kila la Kheri
@ramadhanimmana38295 ай бұрын
We need sabaya
@KassimAlly-xp4dz5 ай бұрын
U and who
@user-wi4nb7fg8v5 ай бұрын
Sabaya tunaomba mama Samia aliangalie hili kujaza nafasi ya watatu hao Makonda Hapi Sabaya itakuwa hatari😢
@nicksonngogo79045 ай бұрын
🎉🎉🎉!
@MabenaKishapuАй бұрын
Mwamba kwel2 lakin matumiz ya nguvu apunguze
@nehemiamwasile86965 ай бұрын
Yupo vizur
@emmanuelmlowe-ew7gx5 ай бұрын
Watu kama sabaya na makonda,slaa na mzalendo inaonekana mama hawataki
@yusuphchankwa47594 ай бұрын
Namupenda sana sabaya
@godfreymwikola82325 ай бұрын
Jamaa yupo vizur sana yupo nkwenye kundi la kutetea wanyonge
@deusisindwa6165 ай бұрын
Isingekuwa siasa chafu za nchi yetu,,Sabaya anastahili kuwa kiongoz wa ngazi za juu,,ila namuombea Kwa Mungu ampe kibali Cha kuwa kiongoz mkuu katika taifa letu,,naiman atatufikisha kanani 10:38
@AmisiLulacha5 ай бұрын
Naomba munchambue mwana harakati mwabukusi
@saidmpunga-en6pf4 ай бұрын
mimi mmojawapo sabaya anafaa kwa asilimia 100 hebu mama mpe nafasi sabaya awanyooshe wanaopenda konakona
@emmanuelmlowe-ew7gx5 ай бұрын
Magufuli baba tunakukumbuka sn
@emmanuelmlowe-ew7gx5 ай бұрын
We remember sabaya
@user-iv7mn4qd4q4 ай бұрын
Sabayaa Mungu akukumbukeeeee
@gaitanokamage73664 ай бұрын
ally happy ,makonda ,sabaya, sabaya na mahu wao ni noma hapo kuna soma iyoooo toronto
@michaelmwakajoka76725 ай бұрын
Mchambueni mwakyembe alie wai kuwa mbunge wa kyela
SABAYA WAMEJARBU KUMSHUSHA NAKUMPANDSHA LAKN HATMA YAMTU HII MIKONON MWA MUNGU 18:06 😢❤😂🎉🎉🎉
@Emmamugya-iu8uv5 ай бұрын
Komaa hiyo ni spirit yako umezaliwa nayo mwana
@MataukaMatauka5 ай бұрын
Hawa.jama.ndio.wazarendo.kweri.nawakubari
@SanareMolle5 ай бұрын
Sabaya ni kiboko ya wapinzani
@user-ey3ru8if4v5 ай бұрын
Kesi zote zilikuwa za mchongo
@DeoOmali5 ай бұрын
Hii serikali ya kikuma kwani wao sindio walisema ametapeli watu inamana mahakama haikua na ukweli wowote juu ya tuuma manake ni nini sasa wanataka kugombanisha wananchi na mahakama saivi usipokua upande wa mama samia hatakama serikali inakosea wewe ni kupewa kesi huyu tunaukweli wake na lazima mungu amewekea mwisho uwo ndo ukwelì msijifanye ccm wajuaji mungu ni mungu
@PartySekemi5 ай бұрын
Zilikua vita vya kisiasa na ya wakwepa kodi naomba utuchambulie mwana sheria mkuu wa serikali tuna wasiwasi na taaluma yake😅
@KingBuddah-nx3ui5 ай бұрын
TUNAMKUBARI JEMBE
@user-xm6eu3ub2f4 ай бұрын
jaman huyu mwamba sabaya Kama mama ataamua kumpa udc bac amlete wilaya ya uvinza make huku%80 ni hifadhi zisizo na kichwa wala miguu full kufukuza raia kwenye makazi yao kibabe
@King_Of_Everything2 ай бұрын
✌️👊🇹🇿
@user-qp2mc4gq2q5 ай бұрын
Huyu sabaya ni bonge la kiongozi ipo siku atakuwa kiongozi mkubwa sana nchini tuombe uzima tuu
@user-ey3ru8if4v5 ай бұрын
Huyu dogo huwa namkubali sana kama makonda
@humphreynyiti5165 ай бұрын
Ni msenge sana huyu jamaa
@ezekieljacob57955 ай бұрын
Mwanasiasa kama Lisu ila usiongeze michuuvi miiingi unaharibu,acha uchawa
@WilsonLuchwele4 ай бұрын
Kweli ccm mna mambo
@msafiriomary8934 ай бұрын
Tunapenda sana rais awe makonda makamo WA rais awe sabaya
@karimmveyange2805 ай бұрын
HIVI WALIO KUWA WAKIMUHUKUMU SABAYA HUKUMU AS UWONGO HUKU WAKIJUA NO UWONGO WANAJISIKIAJE?HE,COM INAJISIKIAJE KUHUSU SABAYA,ALIYE IBUA NA KUTOKOMEZA MAOVU USO KWA UPS,WANAMUONA NO MUHUJUMU UCHUMI?HAFAI? INATIA SHAKA SHAKA SANA IKIWA MSIMAMO NI HUO. HATUWEZI TOKA KIMAENDELEO YA KITAIFA
@isackphilipo98705 ай бұрын
Yaani hapa tumepigwa aliyetoka gerezani apewe rungu ni hatari
@TeophilBuilding5 ай бұрын
Unatombwa akil iyo watu wanatok jela nakupew urais we mkundu unakuwasha kwa nafas ndogo km iyo
@user-ey3ru8if4v5 ай бұрын
Naitwa muhaji mtonoya, huyu kijana apewe kazi sasa kwani ni kati ya vijana wazalendo
@DaudiisackYohana5 ай бұрын
Let's ya Dk slaa kipande cha tatu
@benolduka5 ай бұрын
Ccm inayopenda wenye asili ya ijambazi, mauwaji....
@ShadowScreamStudio4 ай бұрын
One day nyota itang'aaa tena
@KassimAlly-xp4dz5 ай бұрын
Huyu hafai ataa kuwa kiongozi wa familia
@godwinshoo50325 ай бұрын
Labda wewe ni mmoja wa wakwepa kodi au wanaodhulumu mali za wananchi ikiwemo ardhi! Mungu azidi kumpigania na mama amwone!
@hamphreybetty62085 ай бұрын
SABAYA NI MWAMBA SANA YAAN KWA NCHI YA TANZANIA INAITAJI MTU WA HAIBA YAKE Mfano kama PAUL MAKONDA ,SABAYA,GAMBO NI WATU AMBAO WANAITAJIKA SANA KWA SIAZA BONGO MAMA KAMA ANASIKIA SAUTI ZA WACHANGIA MADA BAMUOMBA AMSAMEHE SABAYA AMPE ATA UBUNGE WA KUTEULIWA TANZANIA BILA WATU WENYE MAAMUZI MAGUMU HATUTOBOI WENGINE BILA KUTINGISHWA HAWAENDIIII
@feliciarfrancis23885 ай бұрын
CCM ina akiba ya kutosha ya viongozi ,wanatakiwa kutumiwa kwa ajili ya Taifa hili kwa ajili ya usitawi wa Watanzania. CCM oyeee!!
@PartySekemi5 ай бұрын
Kwa sababu hoja nyingi za vivungu bungeni Mara nyingi ameshindwa hadharani