Msikie MBUNGE wa DARASA la SABA ANAVYOTEMA MADINI BUNGENI

  Рет қаралды 67,481

Global TV  Online

Global TV Online

Күн бұрын

HUYU NDIYE MBUNGE DARASA LA SABA, ILA SIKIA ANAVYOTEMA MADINI, MMILIKI WA IMALASEKO SUPERMARKET!
#BUNGENIDODOMA
YALIYOMO GLOBAL TV ONLINE (+255 657 955825 au +255 784 888982)
-------------------------------------------------------------------------------------------------------------------
HABARI MPYA DAILY: www.youtube.co....
HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:www.youtube.co....
GLOBAL RADIO TV:www.youtube.co....
EXCLUSIVE INTERVIEWS:www.youtube.co...

Пікірлер: 62
@accountingtaxhome7461
@accountingtaxhome7461 4 жыл бұрын
Only genius can understand dis man.people understands according to their level of thinking
@mbonimanakisenya4178
@mbonimanakisenya4178 3 жыл бұрын
nimekuelewa mzee
@suedmkulia8463
@suedmkulia8463 4 жыл бұрын
Saaafi sana sana sheria kandamizi zinatutesa
@ambayuusteve6494
@ambayuusteve6494 3 жыл бұрын
Nakubali
@heriamanmwita4820
@heriamanmwita4820 3 жыл бұрын
Kwelii kabisaa mzee
@michaelmusitah5553
@michaelmusitah5553 4 жыл бұрын
Mweshimiwa mwenyekiti!!
@ramadhaniomary2530
@ramadhaniomary2530 3 жыл бұрын
Kukosea kupo
@anuaryally6177
@anuaryally6177 4 жыл бұрын
Nakukubali mzee kishimba
@geherigeheri2846
@geherigeheri2846 4 жыл бұрын
Hapo sasa kazi kwenu
@deusisindwa616
@deusisindwa616 3 жыл бұрын
Mzee yk sawa
@mymussept3662
@mymussept3662 4 жыл бұрын
Yaaa kaongea full points
@abdulbonomali6548
@abdulbonomali6548 4 жыл бұрын
Huyu Mzee msimpuuze
@saidmasanga8707
@saidmasanga8707 4 жыл бұрын
Hoja nzuri sana Maana watoto wakipata hawakumbuki wazazi wao. Na mzazi Akitalia pesa mpaka aanze kumsalimia na kuwasifia wajukuu mwisho ndio ana piga mzinga wake duh. Vijana tujiongeze. Inabidi uongezewe muda kwa hoja Hii
@johnsonmlau4408
@johnsonmlau4408 4 жыл бұрын
Hayo ni matirio sema wajinga hawawezi elewa
@mbarakurembo4618
@mbarakurembo4618 4 жыл бұрын
Hyo mzee apimwe sio kawaida mental disorder hio
@sittandemek7797
@sittandemek7797 4 жыл бұрын
Hiiiii hapo sawa ndg mheshimiwa wambie
@alfredomary9983
@alfredomary9983 4 жыл бұрын
Nimekuelewa baba uko vizuri sana.waacha wasomeshe shule za ghalama lakini ajira hakuna wajiajili weye.
@tolutolu2970
@tolutolu2970 4 жыл бұрын
Uyu Mbunge anapointi sana
@wilsonjohn1919
@wilsonjohn1919 4 жыл бұрын
Leo mzee umeniangusha sana
@jafarymbilinyi4673
@jafarymbilinyi4673 4 жыл бұрын
Kweli mzee ametema madini tunaona hali halisi mtaani kulivyo wote waliokuwa wanachekwa wakati wanasoma ndiyo walio fanikiwa huyu mbunge awe anapewa dakika ishilini maana kunawatua wanapona kupitia huyu mzee
@jamilasaid2718
@jamilasaid2718 4 жыл бұрын
kweli kabisa mbunge wangu umesema yotee ni muhimu kwa mzazi kua na haki ya kudai pesa za kujikimu
@simonkasato7617
@simonkasato7617 4 жыл бұрын
Huyu mbunge ni pro
@jenifamtima9325
@jenifamtima9325 3 жыл бұрын
Yuko vizuri mimi namkubali.... na kwenye mirathi nayo inaumiza asilimali munazijenga mke na mume ikitokea mume anafariki, eti mali zinagawanywa kwanini asibaki nazo mama? Na mama akifariki mali anaachiwa baba na mali azigawanywi labda madera tu hapa sheria iangalie vizuri,
@sabihimngetuka6971
@sabihimngetuka6971 4 жыл бұрын
Huyu mzee mnamuona pumba lakini yuko sahihi anasema jinsi gan ya kuwaendeleza watoro nahajazuia wale ambao wapo tayar kusoma tumewaona weng wameacha shule wakawa juu nawale waliosoma nakufaulu wakizunguka mchana kutwa na mabahasha tu bla mafanikio
@godfreymwambwalo5282
@godfreymwambwalo5282 4 жыл бұрын
huyu mbunge awe anapewa dakika 20
@michaelkessy5740
@michaelkessy5740 4 жыл бұрын
Ana point nzuri ila anashindwa kueleza vizuri ni kwamba waliofanikiwa Sana wanakuwa na akili za ubunifu na kuwa ni watu wenye kufanya mambo makubwa kuliko waliokuwa darasani kwa hiyo vijana hawo walindwe vipaji vyao ili taifa kuwa na wabunifu wengi walio endelezwa na Serikali
@simonkasato7617
@simonkasato7617 4 жыл бұрын
Mm ni darasa la saba namuunga mkono
@micamathew6433
@micamathew6433 4 жыл бұрын
Sasa ukianzisha mitaala ya watoro watoro si watakuwa wengi???
@sudingolola5446
@sudingolola5446 4 жыл бұрын
Mbunge kichaa
@ujenziwanyumbakisasatanzan6343
@ujenziwanyumbakisasatanzan6343 3 жыл бұрын
Mbunge Bora kabisa wa CCM
@godiuskahyarara7745
@godiuskahyarara7745 4 жыл бұрын
Kwa hiyo tufunge shule zote za Sekondari tubaki na msingi tu?? Elimu ni muhimu na haina mbadala..Unaweza kutafuta mifano midogo lakini kikubwa kila kukicha unaona wagonjwa wanafanyiwa operesheni lakini si na watu wa Darasa la Saba..Unaona madege yanaruka lakin i hayarushwi na Darasa la saba ..
@samadoushujaa7028
@samadoushujaa7028 4 жыл бұрын
CCM Kwa style hii lazima tuwang'oe..
@victormneney8236
@victormneney8236 4 жыл бұрын
Mtaala wa watoro
@mymussept3662
@mymussept3662 4 жыл бұрын
Daaa huyu babu alikua anawaza km mm
@omarijumaa8786
@omarijumaa8786 4 жыл бұрын
Sasa hao watoto hawasomi madrasa ni shule tu
@joshuamarwawerema7045
@joshuamarwawerema7045 4 жыл бұрын
Umeongea kweli inabidi wasomeshaji wadai haki zao baada ya watoto wao kuajiliwa.
@linousjohn2995
@linousjohn2995 4 жыл бұрын
Naona mchango wako umebezwa lakini ukweli unabaki palepapale mungu azidi kukuwezesha kwa hoja za kuwasaidia watanzania
@osodowilberforce2321
@osodowilberforce2321 3 жыл бұрын
Hiyo haiwezekani,huyo ni mbunge kweli.
@allyfaki8773
@allyfaki8773 4 жыл бұрын
Pumbavu kuimba muziki ndio kufanikiwa
@amourmtungo623
@amourmtungo623 4 жыл бұрын
😂😂😂 sisemi kitu
@philemongomwa3728
@philemongomwa3728 3 жыл бұрын
Huyu mbunge kweli niladaba!? anamwaga point kuliko maprofesa
@amanimtasha9168
@amanimtasha9168 4 жыл бұрын
Kwa mwendo huo watoto watakuwa wanakataa kuzaliwa mzee Baba 🤣🤣🤣🤣
@micamathew6433
@micamathew6433 4 жыл бұрын
Hahahahahahaaaaaa
@tumainimugini4891
@tumainimugini4891 4 жыл бұрын
Hawa ndo wabunge wa ccm 😅😅😅
@zumbeshauri8114
@zumbeshauri8114 4 жыл бұрын
mzee kweli sija kuelewa wenzio tuna teseka na jembe LA mikono wewe unataka watoto walime ndio waingie darasani
@selemanally126
@selemanally126 4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 akili yako ndo maisha yako, elimu yako itakusaidia kulingana akili yako
@danieldaniel-lb2on
@danieldaniel-lb2on 4 жыл бұрын
Huyu mtu kichwa chake ni kizima!
@LumolaSteven
@LumolaSteven 4 жыл бұрын
Wabunge wa hovyo hovyo. Wabunge wa CCM hawafai sasa wananchi ndio waone. Analeta comedy yaani
@sanyamwita1853
@sanyamwita1853 4 жыл бұрын
lumola steven 😳
@hizim6699
@hizim6699 4 жыл бұрын
Kuwa mtoro ukawe makenika ustake kudanganyana yani ni kupotoshana tu apa mwanafunz gn anaingia darasani saa 4asb kwa sababu ya mchakamchaka,, ata mawazo yako ni ya kidarasa la nne km elimu yako
@kelvinaron4875
@kelvinaron4875 4 жыл бұрын
Vijijini lipo hilo na hata Mimi nimelishuhudia, mzee yupo sahihi kias chake, ukisikiliza hotuba hta za nyerere alisema tutunge sheria tukizingatia na tabia zinazosababisha watu kuto kutii sheria
@nassibunassoro389
@nassibunassoro389 4 жыл бұрын
Wewe unaweza kujilinganisha na huyo kishimba kwenye aspects ipi ? Mpka uandike statement hii?
@hizim6699
@hizim6699 4 жыл бұрын
Kweny aspect ipi kivip,mim ww unaninifahamu uniulize swali hilo au we ndo kishimba, What the fuck hel' U talkin about? mim nimekuja kujilinganisha apa!?
@Anonymous00018
@Anonymous00018 4 жыл бұрын
Huyu nae darasa la saba kweli manake anaongea pumba tu na akajambe huko
@johnsonmlau4408
@johnsonmlau4408 4 жыл бұрын
Unajua mbunge wawapi huyo na anasifa gani
@beatricecharles6483
@beatricecharles6483 4 жыл бұрын
Anahela nyingi huyo mzee balaa ukoo wenu mnakula nawajukuu
@johnsonmlau4408
@johnsonmlau4408 4 жыл бұрын
Nilikuwa namwelesha huyo anaesema huyo la saba kweli yaani huyo mzee ni mwisho na anakijua anacho kiongea siyo bahati mbaya
@christophermwanilwa7074
@christophermwanilwa7074 4 жыл бұрын
Ana akili sana huyu Mzee. Ana hoja nzuri muda wote. Ana akili ya pekee na ndio maaana nahisi ni tajiri
@rehemashabhay2205
@rehemashabhay2205 4 жыл бұрын
Hicho ni kichekesho .hapo mnaongeza utoro.eti wafanye kazi kwanza.mzee tafadhali fikiria sana.hao ndio wabunge wetu.mmm.
@micamathew6433
@micamathew6433 4 жыл бұрын
Rehema my dear jmn mbn hivo lkn??? Mmmmmmmm
@williamkayanda603
@williamkayanda603 4 жыл бұрын
Da saluti kwako
@mymussept3662
@mymussept3662 4 жыл бұрын
Yaaa kaongea full points
HUYU Ndiye MBUNGE Darasa La 7 Anaetema MADINI Kama Ana PHD
9:59
Global TV Online
Рет қаралды 260 М.
Zombie Boy Saved My Life 💚
00:29
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 36 МЛН
Фейковый воришка 😂
00:51
КАРЕНА МАКАРЕНА
Рет қаралды 6 МЛН
I Took a LUNCHBAR OFF A Poster 🤯 #shorts
00:17
Wian
Рет қаралды 16 МЛН
TENSION as Oscar Sudi addresses Gachagua face to face today in Nandi
14:41
Zombie Boy Saved My Life 💚
00:29
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 36 МЛН