Nakubali sana una mawazo ya kimataifa mungu azidi kukulinda MH msukuma
@Fabulousmom5092 жыл бұрын
Well said msukuma.. Unaakili sana
@far_hard13012 жыл бұрын
NAKUPENDA MSUKUMAAAAAAA ALLAH AKULINDEEE UNAYOSEMA NI UKWELI NA KWA UCHUNGU
@makokoaizack25312 жыл бұрын
Well spoken hon.
@pulltheskymusicgroup44752 жыл бұрын
Kuna tofauti kubwa kati ya akili na uelewa , MSUKUMA ANA VYOTE ,ila wabunge wengi wanakimoja tu! MSUKUMA ANAJUA
@ezekielmwakalindile19222 жыл бұрын
Hakika uyu mwamba anajua kwa kweli ni mtu ambae anaongea pointi ni zaidi ya maprofesa bungeni
@onesphoryo4072 жыл бұрын
marehemu alisemaa,,,umasikini wa taifa letu ni viongozi wenyewe ..ila mungu atawalipa tu
@ramadhanihassani16172 жыл бұрын
Nakukubali sana mbunge wa geita 🙏
@abelchacha59772 жыл бұрын
Upo sawa. Mtandao ukitumika, kila siku waziri anaweza kufanya mikutana na kutoa maagizo kabla kaz hazijaanza
@stevemedard11 ай бұрын
Upo Vzri Mh. King hakika unamaono mbili Sana
@fredialfredi2022 жыл бұрын
Nacho mpendea msukuma sio mnafiki, kongole kwako kipenz cha wengi.
@lukasolemoson92532 жыл бұрын
Hawa ndio wabunge wa watu wanajua wanachokiongea na wanafahamu wametumwa nn na wananchi wake
@devidedward36442 жыл бұрын
Kila mwaka kitambulisho kitambulisho hiyo noma kabisa tujipange kwailo
@johnsonkazana29002 жыл бұрын
Jembe la kanda ya ziwa
@zulfaissa78142 жыл бұрын
Sikuzote mtu ambaye alichaguliwa kwakura za halali nahisi niwewe maana ukisimama kuongea nakutetea unatetea wananchi wako kwauchungu kulingana nanjinsi wananchi wako walivokuchagua maana kunabaadhi yatu wakobungen kwaajili ya. Kupiga makofi 2 nasiyokutetea wananchi wao Allah bless you my king msukuma
@josephvenus32592 жыл бұрын
👏👏👏 R.I.P our lovely President JPM. Tunakukumbuka. Tumesha bebeshwa zigo la makodi na watatuua hawa majangili.
@yasiniselemani86722 жыл бұрын
nakubali sana msukuma respect
@gracegrace62002 жыл бұрын
Tanzania ni tajiri. Wanaotupa umasikini ni viongozi wetu. Wana uongozi mbovu unatufanya kuwa masikini na wanatuongoza kama ng’ombe. Serikali hii ya Samia ni ya wawekezaji feki, waarabu, mafisadi na wahuni. Lala salama baba MAGUFULI. Ulisema tutakukumbuka na kweli.
@aishaalbalushaishabalush82912 жыл бұрын
🙏🙏
@emmanueleliya62252 жыл бұрын
Waziri wa fedha na mpango hanaga wazo mbadala zaidi ya kuwafanya watanzania kuwa mtaji kwa kuwabambikizia mitozo tu. Kati mawaziri zero huyu hakosekani...
@mohdmbarouk84652 жыл бұрын
Yaaani sisi tusingekuwa na njaa kabisa ila viongozi ndio wabinafsi
Eti Mililani hamsini tunazilipaje huko ndapo msukuma ohoyeeeee
@emmanueleliya62252 жыл бұрын
Umaskini wa Tanzania unatokana na umaskini wa akili ya viongozi wetu. Badala ya kuweka kipaumbele maslahi ya nchi wengi huwa wanajiangalia wao wenyewe
@elishuaisaya41762 жыл бұрын
Msukuma nayemjua
@josephjila9572 жыл бұрын
Mh msukuma huwa unanifuraisha!
@chandleissa39692 жыл бұрын
Msukuma
@lukasolemoson92532 жыл бұрын
Yaani Kuna wabunge wengine wanatetea serikali kunyanyasa wananji
@ChaSam-fr3pg2 жыл бұрын
Huwez kuwa doctor wa darasan halaf ukaenda kweny siasa.. chaguen wabunge km msukuma anayeelewa adha ya mwananchi wa kawaida
@meditationvibes95302 жыл бұрын
Unatakiwa uwe Rais waJMT
@nyerere12592 жыл бұрын
🤣
@meditationvibes95302 жыл бұрын
@@nyerere1259 nataka tuone mengii😂😂
@elishangomele99372 жыл бұрын
Hakika ni mbunge huyu
@valentinoyusuph50802 жыл бұрын
Msukuma ww nizaid yakiongoz yan una muuono wambari
@rabsonchisumo66402 жыл бұрын
Kuusu mradi nikweli ni mkubwa kazi inaendelea vizuri sana hata mimi naakikisha hilo kwa sababu ni SEHEMU ya walioko huku
@nyerere12592 жыл бұрын
Bwawa la mwalimu Nyerere??
@juliusdonard9332 жыл бұрын
Msukuma ana sifa ya kuwa raisi anajua hali halisi ya maisha ya kitanzania, aandaliwe kuwa raisi naomba watu wahv n wachache
@emmanuelzao2 жыл бұрын
Hawezi kuwa hata waziri sababu ya kiwango cha elimu yake.🫥
@juliusdonard9332 жыл бұрын
Daaa ila elimu si kitu inatosha aliyonayo
@devidedward36442 жыл бұрын
Pia msukuma anakipaji
@saidsalum61012 жыл бұрын
Watoa taarifa jitahidini kuwa mnasimama kutoa taarifa zenyemchango kisawasawa siyo ilimladi tu uonekane nawewe umo kwenyemada yamwenzako
@victormushi66412 жыл бұрын
diamond pia aitwe dr.
@jumaally24692 жыл бұрын
Tuache kuchagua chama tuchague viongoz awa jamaa wameshindwa kuongoza hii nchi
@jimonmwakalebela94702 жыл бұрын
Umelambishwa pesa
@abelchacha59772 жыл бұрын
Hakuna mmachinga atalamba hata mia. Wapigaji wamerudi
@daudinyanda24992 жыл бұрын
phd pekee iliyobaki bungeni
@godwinmwakibibi2742 жыл бұрын
Anayemuona msukuma hana akil na ni mtumish wa selikali basi ujue hana huruma na wananchi wa tz so hafai
@far_hard13012 жыл бұрын
Tuna mawaziri useless kabisaaa
@opijohnjohnbosco27102 жыл бұрын
Kwer
@zenassylvester1252 жыл бұрын
Msukuma kunywa bia bili kwangu
@allyjuma80882 жыл бұрын
Naona mnapiga. Tu makofi hapo
@far_hard13012 жыл бұрын
Kuna vibunge vingine havina hata mvuto wa kuwepo bungeni kama hicho hadija taya sijui kinasimama kinavuruga mbunge mwenzake anaongelea vitu muhimu kwaajili ya nchi kinatoa taarifa useless kabisa
@praygodarmstrong76702 жыл бұрын
Kuna taarifa za kipuuzi kabisa unawezamkata kofi mbunge wako
@fredmbossa2 жыл бұрын
Tatizo lipo Kwa mipango miji,,,kikawaida soko linatakiwa likae pembeni kabisa mwa barabara kuu ili wateja wasione uvivu kulifata lkn wewe soko unaweka uswekeni ndanindani je nani ataenda huko kununua vitu alafu kumbukeni kuwa kwenye biashara mteja ni mfalme ndoomana mteja mazingira ya sehemu anayofata bidhaa kama yanampa ugumu basi hapo hutomuona kwenda,,,Kwa upande wa hospitali hata ukiweka ndanindani lazima watu waende tu maana ni wagonjwa ,,,naishauri serikali wajenge masoko pembeni mwa barabara kuu ( main road ),,
@emanuelndaki17032 жыл бұрын
Elimu bure kidato Cha tano niviini macho.
@King_Of_Everything2 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌👍
@alphonceephulaim12742 жыл бұрын
Huyo laihisi wako kama anaikataa demokorsià anadai katiba mbovu yeye ariwezaje kuwa rahis was nchihii ulitakiwa ufanyike uchaguzi achaguliwe rais kwamba katiba mbovu etlinasema lilimefanya hakizabinadamu wapi aukwenda mbowe gerezani ndiohakiza binadam
@adam-saffi2112 жыл бұрын
Asipomegewa anaenda bungeni kupiga kelele. Kula nao wewe Dr
@kefamwakipesile2752 жыл бұрын
Akili huna wewe siku hizi sijui unakula maharage ya wapi?,miez 36 imeisha kwanin halijakamilika?
@djtiffa96642 жыл бұрын
MAMBO 5 MUHIMU YA KUZINGATIA UPONE KANSA ; DAWA YA KANSA YA AINA YOYOTEkzbin.info/www/bejne/kJjJc6p9dq-fqLM