HISTORIA Ya KARUME, Rais Aliyezawadiwa KIFO Kwa WEMA Wake!

  Рет қаралды 600,337

Global TV  Online

Global TV Online

Күн бұрын

Пікірлер: 877
@sikasika945
@sikasika945 5 жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏The golden voice kama unakubaliana nami like tujuane
@issaliyumba341
@issaliyumba341 5 жыл бұрын
saf
@tamaraemmanuel9804
@tamaraemmanuel9804 5 жыл бұрын
Why????????????
@sikasika945
@sikasika945 5 жыл бұрын
Uiskii iyo saut tamara emmanuel
@muhamedyseif4575
@muhamedyseif4575 4 жыл бұрын
Tayson
@khalfankhamis6346
@khalfankhamis6346 4 жыл бұрын
Nimuongo tu mpumbav picha za hao waarabu ziwapi
@alimohammedomar3412
@alimohammedomar3412 2 жыл бұрын
Kizazi cha leo cha Zanzibar tahadharini sana na historia hizi za kutungwa na wa Bara kwa maslahi yao. Lengo lao ni kuwaaminisha yale wa ayoyataka wao dhidi ya Zanzibar
@mohammednassor5612
@mohammednassor5612 4 жыл бұрын
Muongoo histori ya uongo ila mungu atatulipia wazanzibari zidi ya Tanganyika na nyerere mungu atamlipa kwa alio yafanya.
@johnhosea1321
@johnhosea1321 5 жыл бұрын
Safi sana. Historia nzuri sana hii. Asante kwa Historia hii ya Karume
@mbarukumwede9846
@mbarukumwede9846 5 жыл бұрын
Good
@kassimelseudally4825
@kassimelseudally4825 5 жыл бұрын
Apo hamna historia anafurahisha wasojua tu hisoria ya znz na karume.
@AA-yr7sr
@AA-yr7sr 5 жыл бұрын
Asante sana hii iko safi sana M/Mungu azidi kubariki na kazi yako Dennis Mpagaze
@salimabdillah1623
@salimabdillah1623 3 жыл бұрын
Big up bro, ni darasa tosha for generations to come. RIP Mzee Karume na makamanda wote wa Mapinduzi ya Zanzibar.
@Grandson254
@Grandson254 2 жыл бұрын
Kazi safi denis mpagaze,,, sauti ya kutegesha masikio
@dr.mialanotanganyika4401
@dr.mialanotanganyika4401 4 жыл бұрын
Keep informing people like me who really want to learn about African history. Well done bro and god bless you.
@specialclassic8986
@specialclassic8986 5 жыл бұрын
Hongera sana kaka nakukubali. Ukimaliza historia ya mapinduzi Zanzibar tunaomba na Historia ya Maalim Seif sharif Hamad.
@irambadc5167
@irambadc5167 9 ай бұрын
Sharing km nani wewe zanzibar?
@irambadc5167
@irambadc5167 9 ай бұрын
Kuuumbeeeee
@ommygzanzibar4711
@ommygzanzibar4711 5 жыл бұрын
Ulijaribu kuifatilia historia ya Zanzibar ila bado umekosea mengi inahitajika uisome ili utupatie ukweli kuhusu Zanzibar maana mengi uliongea ya ukweli na mengi uliongea ya uongo ila hongera sana kwa ukumbusho
@issasuleimanmaina9233
@issasuleimanmaina9233 5 жыл бұрын
mnafiki wewe
@stephenmwaisela263
@stephenmwaisela263 5 жыл бұрын
huw mnako cha kufanyaa et
@zephaniakilalo551
@zephaniakilalo551 5 жыл бұрын
Big up sana broo nakubali sana kazi yako, ni wachache sana leo watu kama ww, GOD BLESS YOU BELOVED
@teddymashells2601
@teddymashells2601 Жыл бұрын
broh ni bingwa kwa kuzitangaza historias ,nakukubali sana kaka,hata sauti n the way you sound it, it's so fantastic n so experience. big up broh, more n more.
@daudmedardndegeulaya8193
@daudmedardndegeulaya8193 4 жыл бұрын
Ananias Edgar your so Great.
@kitonikitoni6299
@kitonikitoni6299 4 жыл бұрын
Zanzibar ingekua chini ya oman mpaka sasa aisee ingekua kisiwa tajiri sana
@teddyoscar6876
@teddyoscar6876 4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣duuh
@tato8979
@tato8979 7 ай бұрын
😮😮😮😮
@abdallavictory6723
@abdallavictory6723 Ай бұрын
Isingekuwa Tajiri, bali upande mmoja wa Pemba wangepata Ruzuku, ya pato lakini upande wa Unguja wangeteseka sana maana visiwa hivyo viaishi kwa Historia Washirazi IRAN Wa Afro BARA Wa Arabu OMAN, Inabidi uelewe hivyo.
@bjaymastertz4828
@bjaymastertz4828 5 жыл бұрын
broo nakubari sana kazi yko hubabaishi napenda sana historia unazo zitoa broo
@tintz3157
@tintz3157 5 жыл бұрын
We jamaa ni noma kwa simulizi na Mungu kakujalia sauti yenye mvuto kwa watu kupenda kusikikiza hata km story haisisimui ila kwa sauti yako mtu atapenda kuisikiliza,keep it up,nakumbuka nilikuomba utupe story ya Steve Biko mwanaharakati to South Afrika
@azizimuhibu7771
@azizimuhibu7771 5 жыл бұрын
👍👍👍
@djatm1319
@djatm1319 5 жыл бұрын
Uwezo wa mutu si elimu kubwa... Hapo nakubaliana nawe... My best reporter... Mob love from Kenya
@seifmajid8088
@seifmajid8088 5 жыл бұрын
Elimu ni nuru, unakubaliana na ujinga, nani aliyekwambia elimu haina uhusiano na uongozi, mtakaa na kusupport ujinga, ndio mana hatuna Maendeleo kwa sababu nchi inaendeshwa na wajinga.
@djatm1319
@djatm1319 5 жыл бұрын
@@seifmajid8088 nani alikundanganya hivo how many people are educated in Africa and have no jobs...
@HappyFountain-yu6ob
@HappyFountain-yu6ob 7 ай бұрын
Huijui kabisa historia ya zanzibar
@charleslyuki691
@charleslyuki691 5 ай бұрын
Leta wewe ya ukweli
@mohzentv6550
@mohzentv6550 4 жыл бұрын
Kaisome vizuri historiya ya Zanzibar maan huijui
@mosesmzakwe7774
@mosesmzakwe7774 3 жыл бұрын
WEWE unaijuwa
@hammerQ954
@hammerQ954 5 жыл бұрын
Kamkubwa kazi nzuri sana ila wazawa tunakushauri njoo kisiwa mwenyewe tukupeleke sehem za kupata historia hapo kilichotokea ni kuficha makucha ya wazungu🙌🙌 ❤zanzibar❤❤❤❤❤
@ukhtyalpha1344
@ukhtyalpha1344 4 жыл бұрын
Wala sio wazungu peke yao na akina John Okelo nae Kaujore na wengine kutoka bara
@NR-ll4sr
@NR-ll4sr 4 жыл бұрын
@@ukhtyalpha1344 okelo sio mbara
@masoudzanzibarali9994
@masoudzanzibarali9994 5 жыл бұрын
Napenda sana kazi zako na kila siku nakuunga Mkono lkn hapa umekosea kidogo, Abeid Karume hajazaliwa Zanzibar alizaliwa Malawi na kabila yake ni Mnyasa Mama yake aliamia Zanzibar Karume akiwa na Umri wa miaka 10. na waliamia Mwera nje ya Mji wa Zanzibar
@mpagazedenis8395
@mpagazedenis8395 5 жыл бұрын
Afrika ni moja hiyo isikupe shida, mipaka hiyo tuliwekewa na wazungu ambayo tunahitaji kuivunja...
@makungumzee1823
@makungumzee1823 4 жыл бұрын
it is gud gid
@makungumzee1823
@makungumzee1823 4 жыл бұрын
iko poa
@princenyakurungwi6925
@princenyakurungwi6925 3 жыл бұрын
Hii story imejaa uongo mwingi sana tena sana
@solomonadams6337
@solomonadams6337 Жыл бұрын
Aliye kupa Historia ya Father K kakudan'ganya rudi Zinjibar ukaitafute tena Historia ya Father K sawa.thanks
@charlesmataba8344
@charlesmataba8344 5 жыл бұрын
LEARNING IS AN ENDLESS PROCESS, YOU MAKE ME TO LEARN MORE!
@simonchisongela7558
@simonchisongela7558 5 жыл бұрын
Good, sasa watanzania washindwe wenyewe kuijua historia ya Nchi yetu.
@t33pelos77
@t33pelos77 5 жыл бұрын
Historia nzur mtangazaji upo vzr Asante sana
@asrymohd6690
@asrymohd6690 5 жыл бұрын
Yaani Leo umenifuahisha kweli kwa historia nzuri na yakweli big upsana
@zarihayussuf4969
@zarihayussuf4969 5 жыл бұрын
Mtangazaji unasemaa uongo kopa sie alie pinduwa serikali
@zarihayussuf4969
@zarihayussuf4969 5 жыл бұрын
Wala huyo John okelo hakupinduwa serikali peke yake kila mtu alipewa sehemu yoke ni wengi walopinduwa hiyo serkali
@edgersenyagwa3583
@edgersenyagwa3583 4 жыл бұрын
Daah upo vizuri katika usmuliaji mwañangu hongera
@abdullahmarco5106
@abdullahmarco5106 4 жыл бұрын
Hii sio kweli bhana mbna muongo sana hakuzaliwa huko
@azizimuhibu7771
@azizimuhibu7771 5 жыл бұрын
Allah amrehem karume,amiin
@rayaalhabsi1725
@rayaalhabsi1725 4 жыл бұрын
Akiwa ni katika watu wa rehma
@alawiali3475
@alawiali3475 3 жыл бұрын
Alizawadiwa kifo yeye jee aliwazawadia nini wapinzani wake na raia wasiokuwa na hatia ?
@ramadhantahila9131
@ramadhantahila9131 2 жыл бұрын
@@alawiali3475 nawala. Usingelikuwa na mdomohuo Sasa bila yy
@alawiali3475
@alawiali3475 2 жыл бұрын
@@ramadhantahila9131 wewe hujui kilicho tendeka unachukulia rahisi rahisi tu lau kama unajua ungekaa kimya usingeongea chochote na kipindi yupo yeye ulikuwa huwezi sema lolote ukisema utaitwa mchochezi na unapotezwa mazima.
@ramadhantahila9131
@ramadhantahila9131 2 жыл бұрын
@@alawiali3475 weye uliitwa hivo
@abuusufian6506
@abuusufian6506 5 жыл бұрын
Aliyemuua Mzee Karume anajulikana mpaka leo
@josephmkuar7133
@josephmkuar7133 5 жыл бұрын
Unique voice
@richardnyeura3015
@richardnyeura3015 5 жыл бұрын
Vzur Sana kwa habar ya karume
@shadiahemed7909
@shadiahemed7909 5 жыл бұрын
Tatizo unapindisha ukweli baba usiogope tupe ukweli halisi VP muungano alisemaje
@shadiahemed7909
@shadiahemed7909 5 жыл бұрын
Muongo ww Zanzibar kama ilikua ya weusi kiongozi wao nani
@mamboshepea8888
@mamboshepea8888 2 жыл бұрын
@@shadiahemed7909 kwa hiyo zanzibar kulikua na mawe...waarabu walikuja wakaikuta zanzibar ina watu weusi hata kama hupendi..!!!
@hamadrashid5140
@hamadrashid5140 4 жыл бұрын
Mungu ndiye anayejuwa
@ramadhaniayubu6103
@ramadhaniayubu6103 5 жыл бұрын
Kwa simulizi upo vizuri kaka hongera sanaa
@samirimbaruk6420
@samirimbaruk6420 5 жыл бұрын
Hana lolote
@FrancisNjorogeDesigner
@FrancisNjorogeDesigner Ай бұрын
Asante Asante sana
@abuu-bakarshaaban6246
@abuu-bakarshaaban6246 4 жыл бұрын
Nakukubali sana lkn umefeli kwa history ya karume bado hujaijua kabisa tuulize wazanzibar tukwambie
@sirajimakame1972
@sirajimakame1972 4 жыл бұрын
Nenda zk huna lolote mpemba mchafu lasaba ujafika nachuki zako fanyeni mkae kwenu pemba hatuwataki unguja
@shaibhamdun5225
@shaibhamdun5225 3 жыл бұрын
Historia ya Zanzibar huijui usiaibike.
@harunakayega5531
@harunakayega5531 3 жыл бұрын
Huyu jamaa noma sana aisee kwa story upo vyema
@abdallahrunwa1886
@abdallahrunwa1886 5 жыл бұрын
Ndugu yangu mwanahistoria sehemu ya kwanza hongera sana sehemu ya pili wazanzibar wajitambuwe kwa historia hii waache kulaumu walipoangukia badala ya kusahau walipojikwaa ndugu yangu mwanahistoria ujumbe umefika sasa kazi kwenu...!MUNGU Ibariki Africa Amiin...!
@mangofish9079
@mangofish9079 5 жыл бұрын
Hakuna historia hapo kuna ukiritimba ule ule wa uafro shirazi na uhizbu tu hapo Na uwongo mwingi umechanganywa na ukweli.
@duhhuskie2698
@duhhuskie2698 2 жыл бұрын
Waaa!!! I'm shocked!!!!
@nasseralaufi9308
@nasseralaufi9308 4 жыл бұрын
Broo historia ya Zanzibar huijuwi aliepindua na kuuwa wazanzibari ni Nyerere
@Dazuu9884
@Dazuu9884 3 жыл бұрын
huna akili wewe kima wewe kaa kmy uko umesoma wap ww ungekuja ww bac kutoa histor nyama ww
@ashritaabdallah6474
@ashritaabdallah6474 5 жыл бұрын
Ahsante sana nimekupata vyema
@sasha-ri7tf
@sasha-ri7tf 4 жыл бұрын
Nyerere (Mr X) alifanya njama za kuuwawa kwa Bana wa Taifa la Zanzibar hayati Abeid karume.
@kasalimareju6052
@kasalimareju6052 3 жыл бұрын
Na mm nasikiaga kama.ww
@kimanititus
@kimanititus 4 жыл бұрын
Beautiful stuff. Nimesoma mengi
@soudmtoka6497
@soudmtoka6497 5 жыл бұрын
Umekosea Karume hakuzaliwa Zanzibar
@badrumohd5066
@badrumohd5066 4 жыл бұрын
U ndo unakosea man hujuw kinchoongelwa
@harunakayega5531
@harunakayega5531 3 жыл бұрын
Ndo useme wewe kazaliwa wapi na hiyo elimu unayosema kaipatia wapi usilete ubishi ambao hauna point za msingi hoja upingwa na hoja so pinga kihoja na siyo unatoa tu pingo bila hoja toa hoja yako
@OMARJUMAOMAR-i2v
@OMARJUMAOMAR-i2v 5 ай бұрын
Hujui chochote Rais Karume kazaliwa kijiji cha pongwe Mwera
@salamakibuda5394
@salamakibuda5394 4 жыл бұрын
Mungu akulaze mahali pema peponi
@SaidSaid-wh4ky
@SaidSaid-wh4ky 4 ай бұрын
Karume hakuuliwa na mswahili
@zuwenamohamed3642
@zuwenamohamed3642 3 жыл бұрын
Kazi kupotosha watu tuu
@WaleedKharusi
@WaleedKharusi 4 жыл бұрын
I recommend also reading Kwaheri-Ukoloni, Kwaheri-Uhuru
@suleimanbakar3429
@suleimanbakar3429 4 жыл бұрын
Nyerere ndie aliyemuuwa
@generalidiamindada25
@generalidiamindada25 4 жыл бұрын
Hapana
@user-pf9cd6zj1g
@user-pf9cd6zj1g 4 жыл бұрын
Naona kijana wangu kama unasema uongo wala huijui stori ya karume -wala hakusoma na wala hakuzaliwa zanzibar hizo nchi ulizo zitaja wala hazijui yote ulio ya sema yote ni uwongo
@meddy2group605
@meddy2group605 4 жыл бұрын
yeye mwenyew kasema haujasom hata shule ya msingi
@deboramc525
@deboramc525 4 жыл бұрын
Nimeipenda sana kaka uko vizuri
@omarikidato2958
@omarikidato2958 5 жыл бұрын
Storia tamu na yenye kusisimua thx bro
@shabanally1862
@shabanally1862 5 жыл бұрын
Super hero...............
@mariamfritsi4943
@mariamfritsi4943 4 жыл бұрын
Asante kwa simulizi
@hassanovajunior6972
@hassanovajunior6972 5 жыл бұрын
Genius Ananias Edgar may god bless you Bro
@mahdidadi486
@mahdidadi486 4 жыл бұрын
Yani ww unawalisha wenzako matango pori wanzanzibar tunajuwa kila kitu japo munapotosha
@nusulaally6379
@nusulaally6379 5 жыл бұрын
Uk vizur sn brother 👍👍
@rehmadamian8020
@rehmadamian8020 5 жыл бұрын
Asanten sana r.i.p our president
@issaibony6386
@issaibony6386 5 жыл бұрын
Historia hii ukweli wanajua marehem karum nyrr jumb seph na mungu ni ukweli mtupu anajua ukweli zaidi
@sharonedward7884
@sharonedward7884 5 жыл бұрын
Waoh 😍Asante kwa ujumbe
@jumasaidi8157
@jumasaidi8157 4 жыл бұрын
Seminar ya kipalapala Tbr. Upo vizuri sana msomaji
@nkunzimanabashir8030
@nkunzimanabashir8030 5 жыл бұрын
Good presenter.thank u Ananias
@seifhabib5987
@seifhabib5987 4 жыл бұрын
Kweli Historiya ya Zanzibar huijuwi ata kidogo ,tutafute wenyewe tukufundishe huku tunakulisha khaluwa na Kahawa .njoo Malindi hapa Simba aliponywishwa Chai.
@surusuru1994
@surusuru1994 10 ай бұрын
ndo mnavusemaga haya saw alikufa nanin
@khamissaleh921
@khamissaleh921 4 жыл бұрын
karume hajazaliwa zanzibar hapo umekosea
@hajiameir8688
@hajiameir8688 6 ай бұрын
Mpgaze acha uongo karume hakuzaliwa zanzibar karume amekuja zanzibar mgongoni kama alivyokuja Ali Hassan Mwinyi sema kweli mnachuki na wazanzibari kwasababu tu ya waisilamu na uisilamu lakini Mungu atawalipa mulichotufanyia
@kylesmeight4837
@kylesmeight4837 5 жыл бұрын
Proudly Zanzibar
@dhahiribrahim539
@dhahiribrahim539 4 жыл бұрын
Lovely😍🤩🤗🇹🇿🇸🇦.
@foodsatisfaction7335
@foodsatisfaction7335 4 жыл бұрын
Sijui!!!!!!!
@oparetionmaalum9030
@oparetionmaalum9030 5 жыл бұрын
Hongera kwa taarifa
@mangulymanguly139
@mangulymanguly139 4 жыл бұрын
Uko vizuri
@alimussa2655
@alimussa2655 5 жыл бұрын
Denis mpagaze nakukubali sana kaka
@mpagazedenis8395
@mpagazedenis8395 5 жыл бұрын
Asante sana Ali
@aishasaid6749
@aishasaid6749 4 жыл бұрын
Hii historia yako mwenyew wew na mabunju wenzio
@amosmahona433
@amosmahona433 4 жыл бұрын
Dunia Ina Mambo mengi Sana pumzika kwa amani shujaa Abeid Aman Karume
@davidnchoji
@davidnchoji 3 жыл бұрын
"Uwezo wa mtu si ukubwa wa elimu yake bali matumizi mazuri ya akili yake".
@bestboy4167
@bestboy4167 4 жыл бұрын
hapo sawa
@ibrahimndungu2301
@ibrahimndungu2301 4 жыл бұрын
Mimi roho yangu hutulia nikiskia tu “mwadaaji ni Deniz Mpagaze na mimi ni Ananias Edgar”
@tecnof1232
@tecnof1232 4 жыл бұрын
Unampenda,lakini historia zake zina walakini, anajuwa kusifia kamakusema Karume kazaliwa Zanzibar, si kweli, wanaojuwa historia wanasema kafika Zanzibar yu mgongoni mwa mama yake, tena kazaliwa katika ardhi ipi ya Zanzibar, lakini si vibaya kama unapenda iyo sauti ya uyo mtangazaji wako, mwambie atowe historia yakinifu, sisi tupo macho, hatutaki kudanganywa!
@ahmadakishingo1935
@ahmadakishingo1935 4 жыл бұрын
@@tecnof1232 ww ulikuwako unaesema karume alikuja mgongoni
@azizajarwan303
@azizajarwan303 4 жыл бұрын
Hahaahhahahah
@nassorozubery7394
@nassorozubery7394 3 жыл бұрын
😅😅😅 ,, km mm ty
@alialamoudi9729
@alialamoudi9729 3 жыл бұрын
Kusema kweli yaliotokea mwaka stini na ine inasikitsh sana kwanza nataka kukuambia kwa waarbu wa oman ni watu wawema sana katika nchi za kiyarabu pili ni waaslamu NA dini ya kiislaam inahurumisha utumwa hivyo alietufundishs mtume mohamed NA katika uchaguzi ya mwesho sultani alichguliwa NA wa zanzibari NA sultani alikua anapendwa lakini ungereza inashunganisha watu wakaja watu kutoka tanganika usiku wa manane wakawakusanya waarbu kutoka manyumba zao kwa ujumla watoto wadogo NA wazee NA wanawake NA wanaume wakawapanga fuleni NA wote walipigwa raisi wakawekwa kwa mashimo makuubwa wakawazika wamewaua kinyama hiyo tanganika imepata uhuru bila ya kumwags damu lakini zanzibari waliouwa elfu ishirini walikufa hiyo sio thambi kesho utasema nini kwa mungu ni uaislsmu hao hasbuna allah wanema alwakil
@josephatkashendwa1177
@josephatkashendwa1177 5 жыл бұрын
My brother from another mother gonga cheers, unachokisema kitaludi kama ilivyo south africa kwamba "mteswa ipo siku sitawatesa ndg zake historia siku zote huwa inaenda mbele na kurudi nyuma,
@nassirmohamed9596
@nassirmohamed9596 4 жыл бұрын
Tuweni wakweli kabla ya kuja warabu afrika mashariki zanzibar na mombasa kulikuwa na wazungu wareno wakifanya biashara KUBWA ya utumwa kuwapekeka waafrika ulaya . DHULMA hizi zilizidi mpaka wenyeji wa mombasa na Zanzibar wenye lmani ya kiisalmu wakatuma ujumbe kwa ndugu zao wa oman kuja kuwasaidia kutokana na Dhulma za wazungu wakristo wareno ndio sababu wakapigwa wareno Mombasa na Zanzibar na wa oman wakaongoza maeneo hayo kwa amani bila ya dhulma zozote. Yote hayo uloeleza kuhusu eti utumwa umeletwa na warabu ni uongo soma historia vizuri ya Afrika mashariki ujue ukweli usikimbilie TU kwenye mitandao na kutoa maneno ya uwongo kwa sababu ya chuki zako Dhidi ya UISLAMU ambao ni dini yenye lmani na daraja kubwa ya lmani ya kiislamu hupimwa kwa matendo mazuri ya MTU Wala haipimwi kwa kabila, Rangi au cheo cha MTU. Kwa hiyo kuwa mkweli sio utoe taarifa kwenye mitandao zinazodhihirisha CHUKI ulonazo dhidi ya UISLAMU. mbona husemi kuhusu watumwa weusi walopelekwa ulaya, lndia, na America kwa Dhulma na walofanya hivyo ni wakristo wazungu weupe???
@saidimlindwa5670
@saidimlindwa5670 5 жыл бұрын
Nafurahishwa zaidi na stories mnazotoa. Ushauri wangu tu kwa muandaji na msimuliaji ni kutumia maneno sahihi ya kiswahili ili hata kizazi cha baadae kuelewa kinacho simuliwa. Maneno kama kuchomoa betri, ukawa n.k hayatafahamika kwa kizazi kijacho
@hajjkadir948
@hajjkadir948 4 жыл бұрын
Lengendary Abeid Amani Karime ...salut!!
@maulidnjokamtaly5184
@maulidnjokamtaly5184 5 жыл бұрын
uko vizuri ndugu .........
@mohammednassor5612
@mohammednassor5612 4 жыл бұрын
Historia yako imejaa uongo mwingi ndani yake alie muuwa karume unamjua vizuri tu wamefanikiwa malengo yao ila mungu yupo pamoja na sisi ata lipia kwa alicho kifanya juu ya zanzibar , na hakuna mzanzibari aliyefanywa mtumwa hizi ni kasumba historia ya zanzibar inajuilikana vizuri t.
@soudmtoka6497
@soudmtoka6497 5 жыл бұрын
Karume ni moja ya wasomi wa zamani... pitieni vyema historia hii msilishi wenzenu matango pori
@nassorali5511
@nassorali5511 3 жыл бұрын
Baba karume hakuwa na elimu
@aminaomary5567
@aminaomary5567 2 жыл бұрын
Nakukubali sana na wala sijuitii Bando langu
@khamisjuma3899
@khamisjuma3899 4 жыл бұрын
Inawezekana kua historia huijui au umeficha ukweli
@majidshaibsaid3234
@majidshaibsaid3234 3 жыл бұрын
Big up Karume
@AlyAly-dp7iv
@AlyAly-dp7iv 2 ай бұрын
Mpumzika kwa amani pia❤😢
@hassammohammed5046
@hassammohammed5046 3 жыл бұрын
Mtafute mzee ameir bin ameir bin soud atakupa story na CCM washamuuwa
@awatifalghanim1106
@awatifalghanim1106 5 жыл бұрын
Bwana weee sauti nzuri mjamaa. Picha sizo sio za kweli ni za kuchora na walochora ni Wazungu.. Nyumba hawakupewa bure za Michenzani wamevunjiwa nyumba zao ndio wakalipwa bila ya TV ndani. Na wananchi wote wa Zanzibar walishiriki kujenga hizo nyumba.
@mazeenmasoud7297
@mazeenmasoud7297 4 жыл бұрын
Huyu fala kwa history hii yote haiko sawa
@iddmohammed1086
@iddmohammed1086 4 жыл бұрын
Unaonaje km iyo historia ya kweli ukaitoa ww unayeijua?
@khamisdaima1455
@khamisdaima1455 5 жыл бұрын
Asante kwa story yako ingawaje kuna ya kweli na uongo
@bobkennedyoyando432
@bobkennedyoyando432 4 жыл бұрын
History is part and percel of humanity.i love your stories Lakini naomba uzifanye Kwa kingereza,kiswahili hunitatiza kidogo baba.otherwise keep on doing this good work.i love it. The. Story book.
@dubais9018
@dubais9018 4 жыл бұрын
Sio kweli hsya unsongea znz ni yetu na sie watu weusi historiya hiyo hamna bb yangu alikuwepo mji mkongwe kabla ya mapinduzi hakuona hsyo kutupwa msiti mitaani hii ni uongo mwingi
@penzamatirio7812
@penzamatirio7812 3 жыл бұрын
tanzanians, i urge you to stay in power for years
@dinocastico8495
@dinocastico8495 5 жыл бұрын
Daaah.... taarifa kabla ya kutoka inahitaji uchunguzi wa kina zaid ili kisemwacho kiwe sahihi.. nimejifunza kitu, . BORA KUKAA KIMYA KULIKO KUKOSEA KUONGEA.
@lm6373
@lm6373 4 жыл бұрын
Tangu warabu wali toka zanzibar mume fanya nini ila kutukana tuu na hadisi za uongo.
@nashoniimani9596
@nashoniimani9596 5 жыл бұрын
Karibu sana simiyu
@zainabkhatib6509
@zainabkhatib6509 5 жыл бұрын
Kasumba mbaya sana na hizi ndizo zinazotubaguwa mpaka leo lakini Mwenye Enzi Mungu atawahumu
@frednixon2319
@frednixon2319 5 жыл бұрын
Zainab Khatib h
@alibulush6200
@alibulush6200 5 жыл бұрын
Hao warabu munao wasema vibaya ndiyo muwanaowategemeya acheni stor ya uongo
@mwanaidiramadhan3919
@mwanaidiramadhan3919 5 жыл бұрын
👍👍👍👌👌
@ahmadseif7241
@ahmadseif7241 5 жыл бұрын
Asante sana
KARUME ALIVYOPIGWA RISASI HADHARANI
12:01
Mwananchi Digital
Рет қаралды 433 М.
BABA WA TAIFA ALIILILIA TANZANIA KABLA YAKUKATA ROHO.
21:57
Wasafi Media
Рет қаралды 1,8 МЛН
Cool Parenting Gadget Against Mosquitos! 🦟👶 #gen
00:21
TheSoul Music Family
Рет қаралды 27 МЛН
啊?就这么水灵灵的穿上了?
00:18
一航1
Рет қаралды 58 МЛН
OMAR  AL-BASHIR: Rais Aliyetema Mate Juu Yakamdondokea Mwenyewe
17:00
Global TV Online
Рет қаралды 646 М.
FRANSISCO NGUEMA: Rais Mvuta BANGI Aliyeua Nusu Ya Raia / Alinyongwa Pia
13:34
Top U.S. & World Headlines - October 17, 2024
12:47
Democracy Now!
Рет қаралды 114 М.
Tom Feelings discusses The Middle Passage
11:12
Society of Children's Book Writers & Illustrators
Рет қаралды 7 М.
Top U.S. & World Headlines - October 16, 2024
9:59
Democracy Now!
Рет қаралды 117 М.