🙏🙏🙏🙏The golden voice kama unakubaliana nami like tujuane
@issaliyumba3415 жыл бұрын
saf
@tamaraemmanuel98045 жыл бұрын
Why????????????
@sikasika9455 жыл бұрын
Uiskii iyo saut tamara emmanuel
@muhamedyseif45754 жыл бұрын
Tayson
@khalfankhamis63464 жыл бұрын
Nimuongo tu mpumbav picha za hao waarabu ziwapi
@alimohammedomar34122 жыл бұрын
Kizazi cha leo cha Zanzibar tahadharini sana na historia hizi za kutungwa na wa Bara kwa maslahi yao. Lengo lao ni kuwaaminisha yale wa ayoyataka wao dhidi ya Zanzibar
@mohammednassor56124 жыл бұрын
Muongoo histori ya uongo ila mungu atatulipia wazanzibari zidi ya Tanganyika na nyerere mungu atamlipa kwa alio yafanya.
@johnhosea13215 жыл бұрын
Safi sana. Historia nzuri sana hii. Asante kwa Historia hii ya Karume
@mbarukumwede98465 жыл бұрын
Good
@kassimelseudally48255 жыл бұрын
Apo hamna historia anafurahisha wasojua tu hisoria ya znz na karume.
@AA-yr7sr5 жыл бұрын
Asante sana hii iko safi sana M/Mungu azidi kubariki na kazi yako Dennis Mpagaze
@salimabdillah16233 жыл бұрын
Big up bro, ni darasa tosha for generations to come. RIP Mzee Karume na makamanda wote wa Mapinduzi ya Zanzibar.
@Grandson2542 жыл бұрын
Kazi safi denis mpagaze,,, sauti ya kutegesha masikio
@dr.mialanotanganyika44014 жыл бұрын
Keep informing people like me who really want to learn about African history. Well done bro and god bless you.
@specialclassic89865 жыл бұрын
Hongera sana kaka nakukubali. Ukimaliza historia ya mapinduzi Zanzibar tunaomba na Historia ya Maalim Seif sharif Hamad.
@irambadc51679 ай бұрын
Sharing km nani wewe zanzibar?
@irambadc51679 ай бұрын
Kuuumbeeeee
@ommygzanzibar47115 жыл бұрын
Ulijaribu kuifatilia historia ya Zanzibar ila bado umekosea mengi inahitajika uisome ili utupatie ukweli kuhusu Zanzibar maana mengi uliongea ya ukweli na mengi uliongea ya uongo ila hongera sana kwa ukumbusho
@issasuleimanmaina92335 жыл бұрын
mnafiki wewe
@stephenmwaisela2635 жыл бұрын
huw mnako cha kufanyaa et
@zephaniakilalo5515 жыл бұрын
Big up sana broo nakubali sana kazi yako, ni wachache sana leo watu kama ww, GOD BLESS YOU BELOVED
@teddymashells2601 Жыл бұрын
broh ni bingwa kwa kuzitangaza historias ,nakukubali sana kaka,hata sauti n the way you sound it, it's so fantastic n so experience. big up broh, more n more.
@daudmedardndegeulaya81934 жыл бұрын
Ananias Edgar your so Great.
@kitonikitoni62994 жыл бұрын
Zanzibar ingekua chini ya oman mpaka sasa aisee ingekua kisiwa tajiri sana
@teddyoscar68764 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣duuh
@tato89797 ай бұрын
😮😮😮😮
@abdallavictory6723Ай бұрын
Isingekuwa Tajiri, bali upande mmoja wa Pemba wangepata Ruzuku, ya pato lakini upande wa Unguja wangeteseka sana maana visiwa hivyo viaishi kwa Historia Washirazi IRAN Wa Afro BARA Wa Arabu OMAN, Inabidi uelewe hivyo.
@bjaymastertz48285 жыл бұрын
broo nakubari sana kazi yko hubabaishi napenda sana historia unazo zitoa broo
@tintz31575 жыл бұрын
We jamaa ni noma kwa simulizi na Mungu kakujalia sauti yenye mvuto kwa watu kupenda kusikikiza hata km story haisisimui ila kwa sauti yako mtu atapenda kuisikiliza,keep it up,nakumbuka nilikuomba utupe story ya Steve Biko mwanaharakati to South Afrika
@azizimuhibu77715 жыл бұрын
👍👍👍
@djatm13195 жыл бұрын
Uwezo wa mutu si elimu kubwa... Hapo nakubaliana nawe... My best reporter... Mob love from Kenya
@seifmajid80885 жыл бұрын
Elimu ni nuru, unakubaliana na ujinga, nani aliyekwambia elimu haina uhusiano na uongozi, mtakaa na kusupport ujinga, ndio mana hatuna Maendeleo kwa sababu nchi inaendeshwa na wajinga.
@djatm13195 жыл бұрын
@@seifmajid8088 nani alikundanganya hivo how many people are educated in Africa and have no jobs...
@HappyFountain-yu6ob7 ай бұрын
Huijui kabisa historia ya zanzibar
@charleslyuki6915 ай бұрын
Leta wewe ya ukweli
@mohzentv65504 жыл бұрын
Kaisome vizuri historiya ya Zanzibar maan huijui
@mosesmzakwe77743 жыл бұрын
WEWE unaijuwa
@hammerQ9545 жыл бұрын
Kamkubwa kazi nzuri sana ila wazawa tunakushauri njoo kisiwa mwenyewe tukupeleke sehem za kupata historia hapo kilichotokea ni kuficha makucha ya wazungu🙌🙌 ❤zanzibar❤❤❤❤❤
@ukhtyalpha13444 жыл бұрын
Wala sio wazungu peke yao na akina John Okelo nae Kaujore na wengine kutoka bara
@NR-ll4sr4 жыл бұрын
@@ukhtyalpha1344 okelo sio mbara
@masoudzanzibarali99945 жыл бұрын
Napenda sana kazi zako na kila siku nakuunga Mkono lkn hapa umekosea kidogo, Abeid Karume hajazaliwa Zanzibar alizaliwa Malawi na kabila yake ni Mnyasa Mama yake aliamia Zanzibar Karume akiwa na Umri wa miaka 10. na waliamia Mwera nje ya Mji wa Zanzibar
@mpagazedenis83955 жыл бұрын
Afrika ni moja hiyo isikupe shida, mipaka hiyo tuliwekewa na wazungu ambayo tunahitaji kuivunja...
@makungumzee18234 жыл бұрын
it is gud gid
@makungumzee18234 жыл бұрын
iko poa
@princenyakurungwi69253 жыл бұрын
Hii story imejaa uongo mwingi sana tena sana
@solomonadams6337 Жыл бұрын
Aliye kupa Historia ya Father K kakudan'ganya rudi Zinjibar ukaitafute tena Historia ya Father K sawa.thanks
@charlesmataba83445 жыл бұрын
LEARNING IS AN ENDLESS PROCESS, YOU MAKE ME TO LEARN MORE!
@simonchisongela75585 жыл бұрын
Good, sasa watanzania washindwe wenyewe kuijua historia ya Nchi yetu.
@t33pelos775 жыл бұрын
Historia nzur mtangazaji upo vzr Asante sana
@asrymohd66905 жыл бұрын
Yaani Leo umenifuahisha kweli kwa historia nzuri na yakweli big upsana
@zarihayussuf49695 жыл бұрын
Mtangazaji unasemaa uongo kopa sie alie pinduwa serikali
@zarihayussuf49695 жыл бұрын
Wala huyo John okelo hakupinduwa serikali peke yake kila mtu alipewa sehemu yoke ni wengi walopinduwa hiyo serkali
@edgersenyagwa35834 жыл бұрын
Daah upo vizuri katika usmuliaji mwañangu hongera
@abdullahmarco51064 жыл бұрын
Hii sio kweli bhana mbna muongo sana hakuzaliwa huko
@azizimuhibu77715 жыл бұрын
Allah amrehem karume,amiin
@rayaalhabsi17254 жыл бұрын
Akiwa ni katika watu wa rehma
@alawiali34753 жыл бұрын
Alizawadiwa kifo yeye jee aliwazawadia nini wapinzani wake na raia wasiokuwa na hatia ?
@ramadhantahila91312 жыл бұрын
@@alawiali3475 nawala. Usingelikuwa na mdomohuo Sasa bila yy
@alawiali34752 жыл бұрын
@@ramadhantahila9131 wewe hujui kilicho tendeka unachukulia rahisi rahisi tu lau kama unajua ungekaa kimya usingeongea chochote na kipindi yupo yeye ulikuwa huwezi sema lolote ukisema utaitwa mchochezi na unapotezwa mazima.
Ndugu yangu mwanahistoria sehemu ya kwanza hongera sana sehemu ya pili wazanzibar wajitambuwe kwa historia hii waache kulaumu walipoangukia badala ya kusahau walipojikwaa ndugu yangu mwanahistoria ujumbe umefika sasa kazi kwenu...!MUNGU Ibariki Africa Amiin...!
@mangofish90795 жыл бұрын
Hakuna historia hapo kuna ukiritimba ule ule wa uafro shirazi na uhizbu tu hapo Na uwongo mwingi umechanganywa na ukweli.
@duhhuskie26982 жыл бұрын
Waaa!!! I'm shocked!!!!
@nasseralaufi93084 жыл бұрын
Broo historia ya Zanzibar huijuwi aliepindua na kuuwa wazanzibari ni Nyerere
@Dazuu98843 жыл бұрын
huna akili wewe kima wewe kaa kmy uko umesoma wap ww ungekuja ww bac kutoa histor nyama ww
@ashritaabdallah64745 жыл бұрын
Ahsante sana nimekupata vyema
@sasha-ri7tf4 жыл бұрын
Nyerere (Mr X) alifanya njama za kuuwawa kwa Bana wa Taifa la Zanzibar hayati Abeid karume.
@kasalimareju60523 жыл бұрын
Na mm nasikiaga kama.ww
@kimanititus4 жыл бұрын
Beautiful stuff. Nimesoma mengi
@soudmtoka64975 жыл бұрын
Umekosea Karume hakuzaliwa Zanzibar
@badrumohd50664 жыл бұрын
U ndo unakosea man hujuw kinchoongelwa
@harunakayega55313 жыл бұрын
Ndo useme wewe kazaliwa wapi na hiyo elimu unayosema kaipatia wapi usilete ubishi ambao hauna point za msingi hoja upingwa na hoja so pinga kihoja na siyo unatoa tu pingo bila hoja toa hoja yako
@OMARJUMAOMAR-i2v5 ай бұрын
Hujui chochote Rais Karume kazaliwa kijiji cha pongwe Mwera
@salamakibuda53944 жыл бұрын
Mungu akulaze mahali pema peponi
@SaidSaid-wh4ky4 ай бұрын
Karume hakuuliwa na mswahili
@zuwenamohamed36423 жыл бұрын
Kazi kupotosha watu tuu
@WaleedKharusi4 жыл бұрын
I recommend also reading Kwaheri-Ukoloni, Kwaheri-Uhuru
@suleimanbakar34294 жыл бұрын
Nyerere ndie aliyemuuwa
@generalidiamindada254 жыл бұрын
Hapana
@user-pf9cd6zj1g4 жыл бұрын
Naona kijana wangu kama unasema uongo wala huijui stori ya karume -wala hakusoma na wala hakuzaliwa zanzibar hizo nchi ulizo zitaja wala hazijui yote ulio ya sema yote ni uwongo
@meddy2group6054 жыл бұрын
yeye mwenyew kasema haujasom hata shule ya msingi
@deboramc5254 жыл бұрын
Nimeipenda sana kaka uko vizuri
@omarikidato29585 жыл бұрын
Storia tamu na yenye kusisimua thx bro
@shabanally18625 жыл бұрын
Super hero...............
@mariamfritsi49434 жыл бұрын
Asante kwa simulizi
@hassanovajunior69725 жыл бұрын
Genius Ananias Edgar may god bless you Bro
@mahdidadi4864 жыл бұрын
Yani ww unawalisha wenzako matango pori wanzanzibar tunajuwa kila kitu japo munapotosha
@nusulaally63795 жыл бұрын
Uk vizur sn brother 👍👍
@rehmadamian80205 жыл бұрын
Asanten sana r.i.p our president
@issaibony63865 жыл бұрын
Historia hii ukweli wanajua marehem karum nyrr jumb seph na mungu ni ukweli mtupu anajua ukweli zaidi
@sharonedward78845 жыл бұрын
Waoh 😍Asante kwa ujumbe
@jumasaidi81574 жыл бұрын
Seminar ya kipalapala Tbr. Upo vizuri sana msomaji
@nkunzimanabashir80305 жыл бұрын
Good presenter.thank u Ananias
@seifhabib59874 жыл бұрын
Kweli Historiya ya Zanzibar huijuwi ata kidogo ,tutafute wenyewe tukufundishe huku tunakulisha khaluwa na Kahawa .njoo Malindi hapa Simba aliponywishwa Chai.
@surusuru199410 ай бұрын
ndo mnavusemaga haya saw alikufa nanin
@khamissaleh9214 жыл бұрын
karume hajazaliwa zanzibar hapo umekosea
@hajiameir86886 ай бұрын
Mpgaze acha uongo karume hakuzaliwa zanzibar karume amekuja zanzibar mgongoni kama alivyokuja Ali Hassan Mwinyi sema kweli mnachuki na wazanzibari kwasababu tu ya waisilamu na uisilamu lakini Mungu atawalipa mulichotufanyia
@kylesmeight48375 жыл бұрын
Proudly Zanzibar
@dhahiribrahim5394 жыл бұрын
Lovely😍🤩🤗🇹🇿🇸🇦.
@foodsatisfaction73354 жыл бұрын
Sijui!!!!!!!
@oparetionmaalum90305 жыл бұрын
Hongera kwa taarifa
@mangulymanguly1394 жыл бұрын
Uko vizuri
@alimussa26555 жыл бұрын
Denis mpagaze nakukubali sana kaka
@mpagazedenis83955 жыл бұрын
Asante sana Ali
@aishasaid67494 жыл бұрын
Hii historia yako mwenyew wew na mabunju wenzio
@amosmahona4334 жыл бұрын
Dunia Ina Mambo mengi Sana pumzika kwa amani shujaa Abeid Aman Karume
@davidnchoji3 жыл бұрын
"Uwezo wa mtu si ukubwa wa elimu yake bali matumizi mazuri ya akili yake".
@bestboy41674 жыл бұрын
hapo sawa
@ibrahimndungu23014 жыл бұрын
Mimi roho yangu hutulia nikiskia tu “mwadaaji ni Deniz Mpagaze na mimi ni Ananias Edgar”
@tecnof12324 жыл бұрын
Unampenda,lakini historia zake zina walakini, anajuwa kusifia kamakusema Karume kazaliwa Zanzibar, si kweli, wanaojuwa historia wanasema kafika Zanzibar yu mgongoni mwa mama yake, tena kazaliwa katika ardhi ipi ya Zanzibar, lakini si vibaya kama unapenda iyo sauti ya uyo mtangazaji wako, mwambie atowe historia yakinifu, sisi tupo macho, hatutaki kudanganywa!
Kusema kweli yaliotokea mwaka stini na ine inasikitsh sana kwanza nataka kukuambia kwa waarbu wa oman ni watu wawema sana katika nchi za kiyarabu pili ni waaslamu NA dini ya kiislaam inahurumisha utumwa hivyo alietufundishs mtume mohamed NA katika uchaguzi ya mwesho sultani alichguliwa NA wa zanzibari NA sultani alikua anapendwa lakini ungereza inashunganisha watu wakaja watu kutoka tanganika usiku wa manane wakawakusanya waarbu kutoka manyumba zao kwa ujumla watoto wadogo NA wazee NA wanawake NA wanaume wakawapanga fuleni NA wote walipigwa raisi wakawekwa kwa mashimo makuubwa wakawazika wamewaua kinyama hiyo tanganika imepata uhuru bila ya kumwags damu lakini zanzibari waliouwa elfu ishirini walikufa hiyo sio thambi kesho utasema nini kwa mungu ni uaislsmu hao hasbuna allah wanema alwakil
@josephatkashendwa11775 жыл бұрын
My brother from another mother gonga cheers, unachokisema kitaludi kama ilivyo south africa kwamba "mteswa ipo siku sitawatesa ndg zake historia siku zote huwa inaenda mbele na kurudi nyuma,
@nassirmohamed95964 жыл бұрын
Tuweni wakweli kabla ya kuja warabu afrika mashariki zanzibar na mombasa kulikuwa na wazungu wareno wakifanya biashara KUBWA ya utumwa kuwapekeka waafrika ulaya . DHULMA hizi zilizidi mpaka wenyeji wa mombasa na Zanzibar wenye lmani ya kiisalmu wakatuma ujumbe kwa ndugu zao wa oman kuja kuwasaidia kutokana na Dhulma za wazungu wakristo wareno ndio sababu wakapigwa wareno Mombasa na Zanzibar na wa oman wakaongoza maeneo hayo kwa amani bila ya dhulma zozote. Yote hayo uloeleza kuhusu eti utumwa umeletwa na warabu ni uongo soma historia vizuri ya Afrika mashariki ujue ukweli usikimbilie TU kwenye mitandao na kutoa maneno ya uwongo kwa sababu ya chuki zako Dhidi ya UISLAMU ambao ni dini yenye lmani na daraja kubwa ya lmani ya kiislamu hupimwa kwa matendo mazuri ya MTU Wala haipimwi kwa kabila, Rangi au cheo cha MTU. Kwa hiyo kuwa mkweli sio utoe taarifa kwenye mitandao zinazodhihirisha CHUKI ulonazo dhidi ya UISLAMU. mbona husemi kuhusu watumwa weusi walopelekwa ulaya, lndia, na America kwa Dhulma na walofanya hivyo ni wakristo wazungu weupe???
@saidimlindwa56705 жыл бұрын
Nafurahishwa zaidi na stories mnazotoa. Ushauri wangu tu kwa muandaji na msimuliaji ni kutumia maneno sahihi ya kiswahili ili hata kizazi cha baadae kuelewa kinacho simuliwa. Maneno kama kuchomoa betri, ukawa n.k hayatafahamika kwa kizazi kijacho
@hajjkadir9484 жыл бұрын
Lengendary Abeid Amani Karime ...salut!!
@maulidnjokamtaly51845 жыл бұрын
uko vizuri ndugu .........
@mohammednassor56124 жыл бұрын
Historia yako imejaa uongo mwingi ndani yake alie muuwa karume unamjua vizuri tu wamefanikiwa malengo yao ila mungu yupo pamoja na sisi ata lipia kwa alicho kifanya juu ya zanzibar , na hakuna mzanzibari aliyefanywa mtumwa hizi ni kasumba historia ya zanzibar inajuilikana vizuri t.
@soudmtoka64975 жыл бұрын
Karume ni moja ya wasomi wa zamani... pitieni vyema historia hii msilishi wenzenu matango pori
@nassorali55113 жыл бұрын
Baba karume hakuwa na elimu
@aminaomary55672 жыл бұрын
Nakukubali sana na wala sijuitii Bando langu
@khamisjuma38994 жыл бұрын
Inawezekana kua historia huijui au umeficha ukweli
@majidshaibsaid32343 жыл бұрын
Big up Karume
@AlyAly-dp7iv2 ай бұрын
Mpumzika kwa amani pia❤😢
@hassammohammed50463 жыл бұрын
Mtafute mzee ameir bin ameir bin soud atakupa story na CCM washamuuwa
@awatifalghanim11065 жыл бұрын
Bwana weee sauti nzuri mjamaa. Picha sizo sio za kweli ni za kuchora na walochora ni Wazungu.. Nyumba hawakupewa bure za Michenzani wamevunjiwa nyumba zao ndio wakalipwa bila ya TV ndani. Na wananchi wote wa Zanzibar walishiriki kujenga hizo nyumba.
@mazeenmasoud72974 жыл бұрын
Huyu fala kwa history hii yote haiko sawa
@iddmohammed10864 жыл бұрын
Unaonaje km iyo historia ya kweli ukaitoa ww unayeijua?
@khamisdaima14555 жыл бұрын
Asante kwa story yako ingawaje kuna ya kweli na uongo
@bobkennedyoyando4324 жыл бұрын
History is part and percel of humanity.i love your stories Lakini naomba uzifanye Kwa kingereza,kiswahili hunitatiza kidogo baba.otherwise keep on doing this good work.i love it. The. Story book.
@dubais90184 жыл бұрын
Sio kweli hsya unsongea znz ni yetu na sie watu weusi historiya hiyo hamna bb yangu alikuwepo mji mkongwe kabla ya mapinduzi hakuona hsyo kutupwa msiti mitaani hii ni uongo mwingi
@penzamatirio78123 жыл бұрын
tanzanians, i urge you to stay in power for years
@dinocastico84955 жыл бұрын
Daaah.... taarifa kabla ya kutoka inahitaji uchunguzi wa kina zaid ili kisemwacho kiwe sahihi.. nimejifunza kitu, . BORA KUKAA KIMYA KULIKO KUKOSEA KUONGEA.
@lm63734 жыл бұрын
Tangu warabu wali toka zanzibar mume fanya nini ila kutukana tuu na hadisi za uongo.
@nashoniimani95965 жыл бұрын
Karibu sana simiyu
@zainabkhatib65095 жыл бұрын
Kasumba mbaya sana na hizi ndizo zinazotubaguwa mpaka leo lakini Mwenye Enzi Mungu atawahumu
@frednixon23195 жыл бұрын
Zainab Khatib h
@alibulush62005 жыл бұрын
Hao warabu munao wasema vibaya ndiyo muwanaowategemeya acheni stor ya uongo