OMAR AL-BASHIR: Rais Aliyetema Mate Juu Yakamdondokea Mwenyewe

  Рет қаралды 645,669

Global TV  Online

Global TV Online

Күн бұрын

OMAR AL-BASHIR: Rais Aliyetema Mate Juu Yakamdondokea Mwenyewe
Tangu Sudan ipate uhuru mwaka 1956 imekuwa ni nchi ya vuta nkuvute. Full kunyoana nywele bila maji. Waafrika wanachinjana, wachina na wazungu wanakunywa mafuta, halafu vyombo vya habari vinasema tatizo la Sudan ni ukabila wa waarabu kuwabagua weusi kwa sababu ya ukafir wao na sisi tunakubali kama nyumbu vile. Wageni wanatugombanisha kama madume ya ng’ombe kule kwa wafugaji wakati wa mashindano ya wanyama, ng'ombe wanatwangana bila kujua sababu. Akili za ngo’mbe ndo zinatusumbua Afrika. Leo Bashir ametimuliwa Ikulu kama mbwa koko wa Afande Muroto wa Dodoma na wa Sudani kutokwa machozi ya furaha ambayo siku za usoni yatageuka kuwa machozi ya damu! Muda haudanganyi!
Unajua kilichomgharimu al-Bashir ni kushindwa kuusoma mchezo mapema na kuishia kuwatemea mate ndugu zake waafrika yakamrudia. Alimtimua kazi na kumtia jela Al- Tulab waliyekuwa naye tangu mapinduzi kwa sababu tu Marekani walimwambia afanye hivyo na ule mwaka wa shetani ulipofika al-Bashir naye akatupwa gereza lile lile alilomfunga jamaa yake, halafu akasema gereza lile ni hatari kwa afya ya binadamu, sasa siju al- Tulab na wenzake aliowafunga mle walikuwa mbuzi? Lakini pia siku ile Gaddafi anakufa Bashir alisema wasudan wanamshukuru Mungu kwa zawadi ya kifo cha Gaddafi na kujigamba kwamba vile vifaru, silaha na makombora yaliyotumika kummaliza Gaddafi aliyafadhili yeye kwa asilimia 100. Ntakusimulia ilikuaje, acha twende kwenye hoja kwanza!
#HISTORIA #OMARALBASHIR
www.youtube.com/watch?.... Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram:
globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho

Пікірлер: 605
@doctorjohn1898
@doctorjohn1898 5 жыл бұрын
Ananias Edgar hongera mjomba,,,,naipenda kazi yako sana... Shukran kwa hino historia.. Salam zimfikie mpagaze..
@jacksonngusi4122
@jacksonngusi4122 5 жыл бұрын
Uyu Ananias Yupo vzr mno kwa sauti na mpangilio wa simulzi zake ni hatar huyu Mtu
@nasoralnaamani9237
@nasoralnaamani9237 5 жыл бұрын
Ananias. Fdgar. Tafazari Sana. Tunakuoba. Kuwatukana. Waarabu. Na kutowa histori.zao.kiuwogo. Asha. Asha. Hiya ruga Waarabu wenge wanaijuwa. Wewe umemkashifu. Marihim. Nassa sisi hatujakashifu raisi yoyote waa Africa. Tunakujuwaa acha acha. Kashif a.
@justinenyantoloma642
@justinenyantoloma642 4 жыл бұрын
Ningekuwa waziri wa habali ningemteua huyu kiongozi akawa msimamizi kweny kitengo nyeti cha habal nchini
@hadija846
@hadija846 3 жыл бұрын
@@justinenyantoloma642 Yaani mtangazaji wa hari ya juu sana na wakufurahisha mioyo ya watu nimempenda sana kwa kazi zake
@emersonrocky8724
@emersonrocky8724 3 жыл бұрын
sorry to be so off topic but does any of you know of a method to log back into an Instagram account..? I stupidly forgot the login password. I would love any help you can give me.
@rodrickbm8326
@rodrickbm8326 5 жыл бұрын
Kama unamkubalii uyuu jamaa fanyaa kubofyaaa,, Mana ni Nouma.. Firee
@tungozaanzali3831
@tungozaanzali3831 5 жыл бұрын
Chonjo bro sauti tamu
@zuwenasaid9707
@zuwenasaid9707 5 жыл бұрын
Sio sauti hata makala pia ni matamu
@alexmerck2568
@alexmerck2568 5 жыл бұрын
namkubari kinoma Noma
@christophernyamhanga7888
@christophernyamhanga7888 5 жыл бұрын
Kaka uko vizuri sana huwa napenda unavyo toa tarfa kama mnamkubali piga like
@babasayana1253
@babasayana1253 5 жыл бұрын
Huyu jamaaa fundi sanaaaa
@MartinaMsimbe-qk8ug
@MartinaMsimbe-qk8ug 4 ай бұрын
Nimependa story ❤❤❤
@mr.performance2533
@mr.performance2533 5 жыл бұрын
Hizi ndo habari tunataka kuzisikia zakitafiti na cio zile za kusubiri vyombo vya magharibi viseme na waandishi wetu wanakopy na kipaste very brilliant reporting keep the good work bro
@mohammedally2914
@mohammedally2914 5 жыл бұрын
Upo vizur sana brother. Mungu azidi kukuongezea kipaji chako aiseee...
@globaltv_online
@globaltv_online 5 жыл бұрын
Asante sana.
@petermahimbo9450
@petermahimbo9450 5 жыл бұрын
Bando langu Lipo salama huku
@mwalumwakili2541
@mwalumwakili2541 5 жыл бұрын
The more reason i will always be following your post kaka ubarikiwe
@Chinno1ize
@Chinno1ize 5 жыл бұрын
Simulizi nzuri sana ukijaaliwa tena naomba utuwekee kisa cha Joseph koni wa uganda
@farryswaleh8279
@farryswaleh8279 4 жыл бұрын
uko vizuri sana sautiyako
@beesmarttv3792
@beesmarttv3792 5 жыл бұрын
kaka huwa sipitwi na hiz historia shukran sana
@mgobanyapazi7738
@mgobanyapazi7738 5 жыл бұрын
Wachonganishi wote Africa Mungu atawaalani na kuwadhalilisha kwa uwezo wake. ALLAH AKBAR!!!
@financialloan9818
@financialloan9818 5 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂eti takibiriii unaliwa kichwa akika waislam wana roho ngumu kwa kukata vichwa vya watu awajambo
@raphaeldayos9188
@raphaeldayos9188 4 жыл бұрын
Hapana co hiiivo hao wale wenye msimamo mkalii
@abdulaziz703
@abdulaziz703 5 жыл бұрын
😂😂😂 eti ukiona gari limeharibika na abiria haondki, ujue kuna mzigo wake humo ndani.. Tuendelee tu
@peternyaome5357
@peternyaome5357 4 жыл бұрын
Kazi nzuri my brother from another mother
@enockyohana6856
@enockyohana6856 5 жыл бұрын
Africa ni bara mam LA dunian..pia ndipo mhara baraka Mungu alipo ziweka ..ukitizama mamb yote yanavy tokea utanielewa..siombi like ila tuendelee kuujua ukwel
@oswaldmwihavapaul8517
@oswaldmwihavapaul8517 5 жыл бұрын
Bro uko vizuri ....MNOOO kwenye simulizi yaaan mtu hachoki kukusikiliza
@devothafesto2786
@devothafesto2786 5 жыл бұрын
Oswald Mwihava Paul yaaaaap
@rudboy8459
@rudboy8459 5 жыл бұрын
Nakupata vizuri,pongezi 🇰🇪
@djatm1319
@djatm1319 5 жыл бұрын
Mwana historia huyu kipenzi changu....nikiwa Kenya nakupenda sana sauti umebalikiwa nayo
@lesikankya7772
@lesikankya7772 5 жыл бұрын
DJ ATM m
@VoH-Official
@VoH-Official 5 жыл бұрын
Hongera sana Mpangaze
@maikomsigwa7377
@maikomsigwa7377 5 жыл бұрын
Jamaa yupo vizur bhn yan huchoki kumuskiliza aiseee
@magessamagessa5502
@magessamagessa5502 5 жыл бұрын
Upo vzr
@hassansuya2840
@hassansuya2840 3 жыл бұрын
Gd sana
@mulirohilary209
@mulirohilary209 5 жыл бұрын
Mpagaze I admirer the work u do fantastic ur an inspiration asante mno
@mpagazedenis8395
@mpagazedenis8395 5 жыл бұрын
Thank u so much mkuu
@arancaraba293
@arancaraba293 4 жыл бұрын
Mungu haachi haki aise na mja hamuachi mungu kwakweri
@habeebomerabubaker4817
@habeebomerabubaker4817 3 жыл бұрын
Sudan Habeeb omer Abubakar Alnour 👨‍💻🌐🗺🧭👨‍🚀🤴🚣‍♀️
@husseinomary4466
@husseinomary4466 5 жыл бұрын
Ukisikia usalama wa bando ndo huu, Mara zote sijutii kujiunga ili nije huku
@davidleparakuo2401
@davidleparakuo2401 2 жыл бұрын
Asante Sana kaka keep up the good work 👌🏼👌🏼👏👏👏very informative, following you from Nairobi..
@salumumsike8175
@salumumsike8175 5 жыл бұрын
you are the best brother.. Golden voice with insight of events connection....
@damianmachilutv1167
@damianmachilutv1167 5 жыл бұрын
Mkuu umejaaliwa sauti nzuri sana kwa utangazaji nadhani utafika tu
@sethsimon5746
@sethsimon5746 5 жыл бұрын
Kaka Mpagaze uko vizuri saaana .Unajua kuunganisha matukio vizuri sana mkuu. Mungu aing'arishe taaluma yako.
@edwardguguyu7546
@edwardguguyu7546 5 жыл бұрын
Kwa kifpi mpagaze Yuko Makin ktk ufafanuz wa matkio, hongera sana
@mpagazedenis8395
@mpagazedenis8395 5 жыл бұрын
Ooh, AMINA
@samsonnzisabira768
@samsonnzisabira768 5 жыл бұрын
@@mpagazedenis8395 Mpagaze nafurahia utangazaji wako ,utendaji kazi wako wasifiwa mpaka nje ya Tanzania.keep on my dear brother. Samson Niko Burundi
@juliuszakayo1792
@juliuszakayo1792 4 жыл бұрын
Ndugu Mimi Mc j. Nakukubali sana barikiwa..
@sistymbombo1616
@sistymbombo1616 2 жыл бұрын
Ole wetu Alina baba hutukumbukwi kwa kama Ila mabaya tu
@MegaAlexison
@MegaAlexison 5 жыл бұрын
My goal is to meet this guy someday wewe na kuaminiaka kabisa
@khanakwasarahlydia2190
@khanakwasarahlydia2190 3 жыл бұрын
ata mimi
@gillahathumani4879
@gillahathumani4879 5 жыл бұрын
Mkuu nakuelewa sana. Tuletee na historia ya farao wa misri mkuu
@erickfod3792
@erickfod3792 5 жыл бұрын
hatari sana itakuwa
@athumanhusen4558
@athumanhusen4558 5 жыл бұрын
Kuwen wakweli bwana,mbna uvundo wa kambrage hamuuelezei.?kuwen fair
@luganomwambulukutu5311
@luganomwambulukutu5311 5 жыл бұрын
Toka dunia ianze utakuwa wa kwanza wewe kumsema vibaya julies Nyerere ata mungu anajua
@bone102
@bone102 5 жыл бұрын
Hebu toa wewe tujue
@liliancharles4293
@liliancharles4293 4 жыл бұрын
@@luganomwambulukutu5311 ameniuzi kwanza
@ringoaskali7625
@ringoaskali7625 4 жыл бұрын
Wewe hauna akili kabisa kambarage ni mkombozi wa africa
@misaluucha6029
@misaluucha6029 5 жыл бұрын
Wakwaza leo namba like zenu jamani
@BaineWamash
@BaineWamash 5 жыл бұрын
Listening from Kenya. Content kali kabisa.
@ashaally6993
@ashaally6993 5 жыл бұрын
Mashaallah hiyo sauti inanifanya nisikilize hata ingekuwa simulizi haiivutii ila sauti mungu kakupa 👌🔥
@abdulsalim8900
@abdulsalim8900 5 жыл бұрын
Wacha nyege izo sikiliza story Iyo
@ashaally6993
@ashaally6993 5 жыл бұрын
@@abdulsalim8900 nyege zipi sasa Salim ndugu yangu au una kiu ya kutukana?
@abdulsalim8900
@abdulsalim8900 5 жыл бұрын
Samahan nlijua unaskilizia kwa hisia kunradhi dadaangu
@ashaally6993
@ashaally6993 5 жыл бұрын
@@abdulsalim8900 Mimi sina neno
@msambichakaambrose2601
@msambichakaambrose2601 5 жыл бұрын
@Asha Ally
@azizimuhibu7771
@azizimuhibu7771 5 жыл бұрын
Huyu mpagaze yuko vizur na anapenda kazi yake,,huwa naanza kukoment kabla ya kumaliza kusikiliza
@tamaraeliz7114
@tamaraeliz7114 5 жыл бұрын
Is Not Easy. May God Help and Bless Sudan
@johnmbugani6532
@johnmbugani6532 5 жыл бұрын
We jamaa noma sanaaa! Tusome jamani kupata ukweli wa dunia
@babalois7240
@babalois7240 5 жыл бұрын
Mtangazaji uko vizuri like Davistar Mata
@Mr.George.N
@Mr.George.N 3 жыл бұрын
Apo sawa🇰🇪👍
@basharahamtzhalisi6871
@basharahamtzhalisi6871 5 жыл бұрын
Brother hongera sana umegusa matukio yote. Nilijua nawe utachagua baadhi tu. Congratulation.
@youngmreno9931
@youngmreno9931 5 жыл бұрын
Aise we jamaa una manjonjo ya kumfanya mtu aenjoy kukusikiliza na ukijumlisha na sauti yako basi ni balaa tupi, big up kaka
@hawahawa8166
@hawahawa8166 5 жыл бұрын
Mpaka tangazo analilemba.like diamond
@siliakilojasi4188
@siliakilojasi4188 3 жыл бұрын
Jamali.akasome.kwa kichwa.hikii.noma.sana.umetisha
@nafisamohammed9064
@nafisamohammed9064 5 жыл бұрын
Hongera kwa simulizi. You give me history that I didn't know.
@bumijamshana9691
@bumijamshana9691 5 жыл бұрын
Nafisa Mohammed mambo
@hawahawa8166
@hawahawa8166 5 жыл бұрын
Yaani na hizo mbwembwe had raha una saut nzur saaan
@msukumakabisabomani9660
@msukumakabisabomani9660 5 жыл бұрын
Mkari sana wewe
@LionelThomas-f6r
@LionelThomas-f6r 25 күн бұрын
Sio mchezo nadhan tumewahi kuwasiliana kaka
@worldtechnology492
@worldtechnology492 5 жыл бұрын
Jamaaan ata kama tz tumeliwa pesa nying Ila tunashukuru mungu atukumwaga damu jamaaan
@saidmungulu7053
@saidmungulu7053 4 жыл бұрын
Hujawahi kukosea ka mkubwa
@thomasbobtv7584
@thomasbobtv7584 5 жыл бұрын
Aizeh wee ni doctor wa kila historia....nipo Nairobi Kenya
@saidomar5555
@saidomar5555 5 жыл бұрын
Thanks
@awadhirajabu7754
@awadhirajabu7754 5 жыл бұрын
Jamani Kwanini huu Mtandao Unakatisha Stol Huu Mtandao Gani Mbona Mnara Auko Mbali Kwanini Sasa Inatuumiza Bure Mionzi Wakati Mtandao Jipu
@abdulibrahim2104
@abdulibrahim2104 4 жыл бұрын
Zambi sana masikini huyo mtoto hakiyamungu
@mukhtarvlogsvip8587
@mukhtarvlogsvip8587 5 жыл бұрын
Hawaupendi uislamu kwa sababu ni dini ya haqi
@MustafaAli-bs6mb
@MustafaAli-bs6mb 5 жыл бұрын
Nakukubali bro
@keydoor2883
@keydoor2883 5 жыл бұрын
Mbato mbato wazungu na wanao bonga kizungu
@ruthmatonange8381
@ruthmatonange8381 5 жыл бұрын
Una sauti ya ushawishi hongera kaka
@sskondopoleani9616
@sskondopoleani9616 3 жыл бұрын
Ahsante Mpagazi - HILI NI SOMO TOSHA, Kwanini AFRICA HATUJIFUNZI??? HAWA WATU WEUPE SI RAFIKI. EEH MOLA TUPE FAHAMU.
@rbrands7778
@rbrands7778 5 жыл бұрын
NANI KAONA HII? kzbin.info/www/bejne/h4jTZYCFp810aq8
@jumamsabaha8162
@jumamsabaha8162 2 жыл бұрын
Wewe takwimu zako zote unazotoa nizauongo Albashir aliinia madarakani mwaka 1986 na sio 1989 nenda kajifunse tena achakupotosha ulimwengu.
@lamecktheonest225
@lamecktheonest225 5 жыл бұрын
Hongera sana dah😁😁
@georgechombo3672
@georgechombo3672 5 жыл бұрын
God bless you for the voice He gave to you my brother
@seifkuchengo5431
@seifkuchengo5431 5 жыл бұрын
Mnapotosha watu... Takbir si neno la kumlisha kifo... Takbir ni kama unavyosema tumsifu yesu cristo ila kwa kuwa lipo kwa kiarabu ndio nongwa... Neno takbir kwa kiswahili tungesema "sifa kwa mwenyezi mungu"
@kondokondo3629
@kondokondo3629 5 жыл бұрын
Swadakta
@magorimagori9264
@magorimagori9264 5 жыл бұрын
Msikilize kwa makini utamwelewa
@shamsahaji6202
@shamsahaji6202 5 жыл бұрын
Takbir maana yake mungu mkubwa
@princemtotomzuri231
@princemtotomzuri231 4 жыл бұрын
Mwaka wa pili huu baado naisoma story book of Omary Albashiri kama umerudia tena kama mm Leo tena tarehe 10.10.2020
@abuuqaasim4815
@abuuqaasim4815 4 жыл бұрын
Mjomba hongera sana unajua kuwasilisha na kusoma habari pia sauti yako inaendena na kazi yako kwa niaba ya wasikilizaji wenzangu nasema togather we love you ❤❤❤
@esabelfadhili8432
@esabelfadhili8432 3 жыл бұрын
Nimesubscribe sababu ya huyu anavyotuelezea hadi najihisi naona kabisa
@rudomgera6394
@rudomgera6394 5 жыл бұрын
Aise ndo yale yale ya South Africa. Ngozi nyeusi yakana ngozi nyeusi where are we heading. Asante sana ediga kila nikisikiliza hizi historia napata point mpya na kuwa mpya
@servasionyenga6297
@servasionyenga6297 5 жыл бұрын
ukimaliza Africa tunaomba history ya inch za ulaya
@sanginaabdi3512
@sanginaabdi3512 5 жыл бұрын
@happynelson1136
@happynelson1136 4 жыл бұрын
Ndiyo maana wamarekani hawataki kuiacha iraq sababu kuna mafuta nilifundishwa shuleni
@hopemanrevocatus1472
@hopemanrevocatus1472 4 жыл бұрын
Hujui nguvu na mchango wa gadafi africa tulia wewe rudi shule soma historia upya
@princemtotomzuri231
@princemtotomzuri231 4 жыл бұрын
Ananias Adgar una sauti nzuri xanaa
@ismailhumbo3152
@ismailhumbo3152 3 жыл бұрын
Duuu hatujui nakufaje Mimi by Ismail humbo wa utengule
@graceantony6272
@graceantony6272 4 жыл бұрын
Ilakwann dini zimeletwa2 ila mtu anakuta kafili hukuhajui neno hlo ana anachukizwa na mtu mweupe kuchukiana sisi kwa sisi tuamkabana tusiitane makafili Kati langi moja mji mmoja nchi moja sasa ww unaongea nn mbele ya madin haya?????
@slayingtee6044
@slayingtee6044 5 жыл бұрын
Kazi nzuri..keep it up
@jacknguikioko6143
@jacknguikioko6143 3 жыл бұрын
Muko sawa kabisa mimi naishi uswiss na mimi ni mkenya mafrika.nitatafuta prinz katenga wa pili.
@susansenga754
@susansenga754 4 жыл бұрын
Kkkkkkkkkkkkk du yaani unanifurahisha sana msemo wako
@manalibaby4192
@manalibaby4192 5 жыл бұрын
Ananias voice😘
@AnaniasEdgarTV
@AnaniasEdgarTV 5 жыл бұрын
😋😋
@كريملو
@كريملو 4 жыл бұрын
Wanangu me nkskza mavoko yenu hata kam nlikua nmenuna nafrah ile mbay yan nawaelewa sana kweny v2 hiv ila maswala ya kidin mnafel but mko poa sana sana pongez kwenu
@salumjuma6588
@salumjuma6588 Жыл бұрын
Mimi naomba kuuliza suali sudani ni nchi ya waarabu na waafrika lakini mbona maranyongi tunapo ona picha za sudani tunaona za weusituu
@HappynaseJuma
@HappynaseJuma 9 ай бұрын
Wewe ni shida kwa similiz mngu akuongee ufund nikiw kiteto manyar
@juliusmangombela4396
@juliusmangombela4396 5 жыл бұрын
Nzuri... Ila ni ndefu.. Andaa video fupi
@johnmaiyo7384
@johnmaiyo7384 5 жыл бұрын
Amen Amen. Mungu tusaidie wa Afrika tupe hekima yako tuache kuana na kuzarauliana. Inaumiza sana habari hii. Mungu tusaidie. Amen .
@saidihemedi698
@saidihemedi698 3 жыл бұрын
Huyu jamaaa ypo sahihi mfano mbona bomba la hoima halikamiliki
@habeebomerabubaker4817
@habeebomerabubaker4817 3 жыл бұрын
Good
@zakariamaria9397
@zakariamaria9397 5 жыл бұрын
io saut n noma bro....Af advanc utakua ulisom HGL or HKL
@salehsuleiman1218
@salehsuleiman1218 5 жыл бұрын
Kaka unavikorombwezo sio mchezo unajua sana
@josephkishe2981
@josephkishe2981 5 жыл бұрын
Saleh Suleiman
@sebastianmtega6804
@sebastianmtega6804 5 жыл бұрын
Saleh Suleiman we ni mnouuma Sana mazee
@AbiudiMwandi
@AbiudiMwandi 7 ай бұрын
Hongera mpakaze Kwa kazi nzuri Kwa simulizi
@mohdyussah825
@mohdyussah825 5 жыл бұрын
Mpagaze uko vizuri kwa ku report Big up Africans leaders always is selfish daah Yani hawa jifunzi Kila siku ujinga ule ule . Allah help this bara lenye kiza Ameen
@mpagazedenis8395
@mpagazedenis8395 5 жыл бұрын
Asante sanaaa
@shabanijuma2085
@shabanijuma2085 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🏅🏅🏅Nani Kama mama dunia bwana.
@maryamashmrei9999
@maryamashmrei9999 5 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😉😉😂😂'nakuinulia mkono juuuu'mtangazaji bora
@sarahtv8853
@sarahtv8853 5 жыл бұрын
Yaani ww kaka unajuwa sana ❤️
@thobiaschuwa
@thobiaschuwa Жыл бұрын
Ndio shida ya viongozi wengi wa Africa
@tfl4963
@tfl4963 4 жыл бұрын
Bwana Ananias umeweza kwenye makala haya unayotusimulia bila uoga au tashwishi. Mimi Mkenya na nakusifu kwa kazi mwafaka mno! Endelea vivyo hivyo Hongera
@prettyh7509
@prettyh7509 4 жыл бұрын
Ahaha mwili unasisimka ukitajwa uislam
@nisilesanga3602
@nisilesanga3602 5 жыл бұрын
Mpiga picha alikuwa hana ubinadamu kabisa nampongeza mke kwa kumpiga chini🙌🙌
@ntandikasimu3933
@ntandikasimu3933 3 жыл бұрын
N unyama ulioje jmn nusu choz linitoke
@danielmacharia5945
@danielmacharia5945 4 жыл бұрын
He could have saved the child and feed,shetani mkubwa walaaniwe Milele pamoja na waliomzawadi
@eliaymweshitete4781
@eliaymweshitete4781 5 жыл бұрын
Eeeeeh!!! ili jamaa lilikuwa wapii mbona linajuwaa kutangaza bwanaa!! big up my brother from another mother
@yelemiakameta6033
@yelemiakameta6033 5 жыл бұрын
Good kaka yangu
@selemanmwita6255
@selemanmwita6255 5 жыл бұрын
asante sana kwa historia hii kuntu.
@Mohamedychilungu-t7y
@Mohamedychilungu-t7y 7 ай бұрын
dah nikweri kaka reo ii sudani kuna nuka damu aisee kama uliotea vile
@tarsissingano9693
@tarsissingano9693 5 жыл бұрын
Aisee Mungu atusaidie Tanzania tusije tukafikia huko. Mungu awawekee mkono viongozi wetu wa serikali. Rais wetu Magufuli na waandamizi wake. Haya mambo ni makubwa na maafa makubwa na ni laana kubwa sana kwa Mungu. Basi tuwaombee vingozi wetu wawe watu wasio na ulafi na uchu wa Mali bali watambue tu kuwa, kila kitu cha stahili kwa kiasi chake. Aimalishe amani ambayo ndio tunu kubwa kwa watu anaowaongoza na ndio tunu kubwa ya maisha na furaha ya Maskini ambao vita vikitokea, ndio wanaoongoza kwa kufa. Mungu ibariki Africa, Mungu ibariki Tanzania.
MUAMMAR GADDAFI: Rais Aliyeuawa Kama Kuku / Kazikwa Kusikojulikana!
29:26
Global TV Online
Рет қаралды 376 М.
HISTORIA: RAIS Aliyekatwa Masikio Akiwa Hai, Na Yeye Aliwakata Wengine
18:44
小天使和小丑太会演了!#小丑#天使#家庭#搞笑
00:25
家庭搞笑日记
Рет қаралды 33 МЛН
Watermelon magic box! #shorts by Leisi Crazy
00:20
Leisi Crazy
Рет қаралды 55 МЛН
MUGABE: Rais Aliyepania Kuwakomesha WAZUNGU Wakakoma Watu Wake!
13:34
Global TV Online
Рет қаралды 529 М.
HISTORIA Ya IDD AMIN, Darasa La 4 Aliyetikisa Wazungu/NYERERE Akimtia Adabu
26:09
JINSI UKOLONI MAMBOLEO UNAVYOITAFUNA  AFRIKA
18:32
Global TV Online
Рет қаралды 191 М.
Bloomberg Surveillance 10/01/2024
2:27:38
Bloomberg Television
Рет қаралды 16 М.
小天使和小丑太会演了!#小丑#天使#家庭#搞笑
00:25
家庭搞笑日记
Рет қаралды 33 МЛН