OMAR AL-BASHIR: Rais Aliyetema Mate Juu Yakamdondokea Mwenyewe

  Рет қаралды 656,057

Global TV  Online

Global TV Online

Күн бұрын

OMAR AL-BASHIR: Rais Aliyetema Mate Juu Yakamdondokea Mwenyewe
Tangu Sudan ipate uhuru mwaka 1956 imekuwa ni nchi ya vuta nkuvute. Full kunyoana nywele bila maji. Waafrika wanachinjana, wachina na wazungu wanakunywa mafuta, halafu vyombo vya habari vinasema tatizo la Sudan ni ukabila wa waarabu kuwabagua weusi kwa sababu ya ukafir wao na sisi tunakubali kama nyumbu vile. Wageni wanatugombanisha kama madume ya ng’ombe kule kwa wafugaji wakati wa mashindano ya wanyama, ng'ombe wanatwangana bila kujua sababu. Akili za ngo’mbe ndo zinatusumbua Afrika. Leo Bashir ametimuliwa Ikulu kama mbwa koko wa Afande Muroto wa Dodoma na wa Sudani kutokwa machozi ya furaha ambayo siku za usoni yatageuka kuwa machozi ya damu! Muda haudanganyi!
Unajua kilichomgharimu al-Bashir ni kushindwa kuusoma mchezo mapema na kuishia kuwatemea mate ndugu zake waafrika yakamrudia. Alimtimua kazi na kumtia jela Al- Tulab waliyekuwa naye tangu mapinduzi kwa sababu tu Marekani walimwambia afanye hivyo na ule mwaka wa shetani ulipofika al-Bashir naye akatupwa gereza lile lile alilomfunga jamaa yake, halafu akasema gereza lile ni hatari kwa afya ya binadamu, sasa siju al- Tulab na wenzake aliowafunga mle walikuwa mbuzi? Lakini pia siku ile Gaddafi anakufa Bashir alisema wasudan wanamshukuru Mungu kwa zawadi ya kifo cha Gaddafi na kujigamba kwamba vile vifaru, silaha na makombora yaliyotumika kummaliza Gaddafi aliyafadhili yeye kwa asilimia 100. Ntakusimulia ilikuaje, acha twende kwenye hoja kwanza!
#HISTORIA #OMARALBASHIR
www.youtube.com/watch?.... Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram:
globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho

Пікірлер: 608
@doctorjohn1898
@doctorjohn1898 5 жыл бұрын
Ananias Edgar hongera mjomba,,,,naipenda kazi yako sana... Shukran kwa hino historia.. Salam zimfikie mpagaze..
@jacksonngusi4122
@jacksonngusi4122 5 жыл бұрын
Uyu Ananias Yupo vzr mno kwa sauti na mpangilio wa simulzi zake ni hatar huyu Mtu
@nasoralnaamani9237
@nasoralnaamani9237 5 жыл бұрын
Ananias. Fdgar. Tafazari Sana. Tunakuoba. Kuwatukana. Waarabu. Na kutowa histori.zao.kiuwogo. Asha. Asha. Hiya ruga Waarabu wenge wanaijuwa. Wewe umemkashifu. Marihim. Nassa sisi hatujakashifu raisi yoyote waa Africa. Tunakujuwaa acha acha. Kashif a.
@justinenyantoloma642
@justinenyantoloma642 5 жыл бұрын
Ningekuwa waziri wa habali ningemteua huyu kiongozi akawa msimamizi kweny kitengo nyeti cha habal nchini
@hadija846
@hadija846 4 жыл бұрын
@@justinenyantoloma642 Yaani mtangazaji wa hari ya juu sana na wakufurahisha mioyo ya watu nimempenda sana kwa kazi zake
@emersonrocky8724
@emersonrocky8724 3 жыл бұрын
sorry to be so off topic but does any of you know of a method to log back into an Instagram account..? I stupidly forgot the login password. I would love any help you can give me.
@christophernyamhanga7888
@christophernyamhanga7888 5 жыл бұрын
Kaka uko vizuri sana huwa napenda unavyo toa tarfa kama mnamkubali piga like
@babasayana1253
@babasayana1253 5 жыл бұрын
Huyu jamaaa fundi sanaaaa
@rodrickbm8326
@rodrickbm8326 5 жыл бұрын
Kama unamkubalii uyuu jamaa fanyaa kubofyaaa,, Mana ni Nouma.. Firee
@tungozaanzali3831
@tungozaanzali3831 5 жыл бұрын
Chonjo bro sauti tamu
@zuwenasaid9707
@zuwenasaid9707 5 жыл бұрын
Sio sauti hata makala pia ni matamu
@alexmerck2568
@alexmerck2568 5 жыл бұрын
namkubari kinoma Noma
@enockyohana6856
@enockyohana6856 5 жыл бұрын
Africa ni bara mam LA dunian..pia ndipo mhara baraka Mungu alipo ziweka ..ukitizama mamb yote yanavy tokea utanielewa..siombi like ila tuendelee kuujua ukwel
@davidleparakuo2401
@davidleparakuo2401 3 жыл бұрын
Asante Sana kaka keep up the good work 👌🏼👌🏼👏👏👏very informative, following you from Nairobi..
@sethsimon5746
@sethsimon5746 5 жыл бұрын
Kaka Mpagaze uko vizuri saaana .Unajua kuunganisha matukio vizuri sana mkuu. Mungu aing'arishe taaluma yako.
@edwardguguyu7546
@edwardguguyu7546 5 жыл бұрын
Kwa kifpi mpagaze Yuko Makin ktk ufafanuz wa matkio, hongera sana
@mpagazedenis8395
@mpagazedenis8395 5 жыл бұрын
Ooh, AMINA
@samsonnzisabira768
@samsonnzisabira768 5 жыл бұрын
@@mpagazedenis8395 Mpagaze nafurahia utangazaji wako ,utendaji kazi wako wasifiwa mpaka nje ya Tanzania.keep on my dear brother. Samson Niko Burundi
@juliuszakayo1792
@juliuszakayo1792 5 жыл бұрын
Ndugu Mimi Mc j. Nakukubali sana barikiwa..
@sistymbombo1616
@sistymbombo1616 2 жыл бұрын
Ole wetu Alina baba hutukumbukwi kwa kama Ila mabaya tu
@abuuqaasim4815
@abuuqaasim4815 5 жыл бұрын
Mjomba hongera sana unajua kuwasilisha na kusoma habari pia sauti yako inaendena na kazi yako kwa niaba ya wasikilizaji wenzangu nasema togather we love you ❤❤❤
@princemtotomzuri231
@princemtotomzuri231 4 жыл бұрын
Mwaka wa pili huu baado naisoma story book of Omary Albashiri kama umerudia tena kama mm Leo tena tarehe 10.10.2020
@johnmaiyo7384
@johnmaiyo7384 5 жыл бұрын
Amen Amen. Mungu tusaidie wa Afrika tupe hekima yako tuache kuana na kuzarauliana. Inaumiza sana habari hii. Mungu tusaidie. Amen .
@salumumsike8175
@salumumsike8175 5 жыл бұрын
you are the best brother.. Golden voice with insight of events connection....
@allymafita4443
@allymafita4443 5 жыл бұрын
Bro NAKUKUBALI SAANA, UNA KITU CHA UTOFAUTI, NATAMANI KUFANYA NAWE KAZI👏👏👏🤝🤝🤝
@mickyomary5215
@mickyomary5215 5 жыл бұрын
Yani adi raha unavyo tanganza sisi tunajua mzic tu unaotupa raha kumbe kunasauti zakuongea zaidi ya mzic raha sanaaaah mungu akupe maisha marefu kwautangazaji👏👏👏👏👏
@georgechombo3672
@georgechombo3672 5 жыл бұрын
God bless you for the voice He gave to you my brother
@BaineWamash
@BaineWamash 5 жыл бұрын
Listening from Kenya. Content kali kabisa.
@peternyaome5357
@peternyaome5357 4 жыл бұрын
Kazi nzuri my brother from another mother
@kizamulenda8894
@kizamulenda8894 5 жыл бұрын
Hongera sana.. unatupeya historia nzuri... ata sijachoka kukusiliza
@globaltv_online
@globaltv_online 5 жыл бұрын
Asante sana mkuu
@basharahamtzhalisi6871
@basharahamtzhalisi6871 5 жыл бұрын
Brother hongera sana umegusa matukio yote. Nilijua nawe utachagua baadhi tu. Congratulation.
@nafisamohammed9064
@nafisamohammed9064 5 жыл бұрын
Hongera kwa simulizi. You give me history that I didn't know.
@bumijamshana9691
@bumijamshana9691 5 жыл бұрын
Nafisa Mohammed mambo
@hundamaniamania872
@hundamaniamania872 5 жыл бұрын
Historia nzr na imepata mtangazaji mzuri,you ar genius guy👍
@yusuphswai6851
@yusuphswai6851 Жыл бұрын
Oya jamaa unasauti zuri na vionjo vitamu sana ongera
@yusufuheri6524
@yusufuheri6524 2 жыл бұрын
Asante sana my brother from another mother
@slayingtee6044
@slayingtee6044 5 жыл бұрын
Kazi nzuri..keep it up
@mr.performance2533
@mr.performance2533 5 жыл бұрын
Hizi ndo habari tunataka kuzisikia zakitafiti na cio zile za kusubiri vyombo vya magharibi viseme na waandishi wetu wanakopy na kipaste very brilliant reporting keep the good work bro
@ndayishimiyeshabani3277
@ndayishimiyeshabani3277 5 жыл бұрын
Ambae hakukubali basi haja pita juo na wala hafatiliye history. Salute from Durban
@farryswaleh8279
@farryswaleh8279 5 жыл бұрын
uko vizuri sana sautiyako
@apostlesamuelkiariemuthoni7754
@apostlesamuelkiariemuthoni7754 5 жыл бұрын
Bwana I salute you for the great work you are doing, tafadhali tufahamishe maisha ya Gadafi na alivyo malizia.
@azizimuhibu7771
@azizimuhibu7771 5 жыл бұрын
Huyu mpagaze yuko vizur na anapenda kazi yake,,huwa naanza kukoment kabla ya kumaliza kusikiliza
@qaltumsaid3095
@qaltumsaid3095 5 жыл бұрын
tupe mauhondo big up sana ananias edgar mungu akubarik kwa kutupa habari moto moto
@ashaally6993
@ashaally6993 5 жыл бұрын
Mashaallah hiyo sauti inanifanya nisikilize hata ingekuwa simulizi haiivutii ila sauti mungu kakupa 👌🔥
@abdulsalim8900
@abdulsalim8900 5 жыл бұрын
Wacha nyege izo sikiliza story Iyo
@ashaally6993
@ashaally6993 5 жыл бұрын
@@abdulsalim8900 nyege zipi sasa Salim ndugu yangu au una kiu ya kutukana?
@abdulsalim8900
@abdulsalim8900 5 жыл бұрын
Samahan nlijua unaskilizia kwa hisia kunradhi dadaangu
@ashaally6993
@ashaally6993 5 жыл бұрын
@@abdulsalim8900 Mimi sina neno
@msambichakaambrose2601
@msambichakaambrose2601 5 жыл бұрын
@Asha Ally
@jimadavejr9542
@jimadavejr9542 5 жыл бұрын
Nakubaliana na wewe bro, hata kama ni tatizo kubwa Sana kwa wasudan wenzangu kutosikia lugha ya kiswahili!!! Long live bro,
@flaviejuliusanney2823
@flaviejuliusanney2823 5 жыл бұрын
Yaani kwa huyu jamaa naweza weka bando zikaisha nikaweka Tena nisijutie kuendelea kumsikiliza jamaa huyu!...yo my favourite and the best narrator bro ananias, mfikishie salamu mwenzio.mpagaze popote alipo Kaka!
@tamaraeliz7114
@tamaraeliz7114 5 жыл бұрын
Is Not Easy. May God Help and Bless Sudan
@petrochengula9480
@petrochengula9480 5 жыл бұрын
Umetisha bro
@goo6341
@goo6341 9 ай бұрын
Shukran sana Kaka Ananias Edgar na Mwalimu Dennis Mpagaze ❤
@rudomgera6394
@rudomgera6394 5 жыл бұрын
Aise ndo yale yale ya South Africa. Ngozi nyeusi yakana ngozi nyeusi where are we heading. Asante sana ediga kila nikisikiliza hizi historia napata point mpya na kuwa mpya
@khalidali1130
@khalidali1130 5 жыл бұрын
Kaka mungu akubariki kaz yko usichoke kutupa uhondo tunakpenda sn bro
@mwalumwakili2541
@mwalumwakili2541 5 жыл бұрын
The more reason i will always be following your post kaka ubarikiwe
@trillionthamani
@trillionthamani 5 жыл бұрын
Nakukubali sana.unajua kuhadithia saaaana
@mohammedally2914
@mohammedally2914 5 жыл бұрын
Upo vizur sana brother. Mungu azidi kukuongezea kipaji chako aiseee...
@globaltv_online
@globaltv_online 5 жыл бұрын
Asante sana.
@gideonredson7895
@gideonredson7895 5 жыл бұрын
Your professional I like your stories
@husseinmfinanga3293
@husseinmfinanga3293 5 жыл бұрын
mpagaze mko vizuri sana ongora sana ananiani edag kazi nzuri
@athumanomary1438
@athumanomary1438 5 жыл бұрын
Asante san ndugu kwa histoli nzuri san mwenyez MUNGU akuzidishee maono zaidi
@mdeeboy846
@mdeeboy846 5 жыл бұрын
Nice,unasimulia vizuri.Keep it up
@patrickkimoyo8626
@patrickkimoyo8626 5 жыл бұрын
I love your analysis
@beesmarttv3792
@beesmarttv3792 5 жыл бұрын
kaka huwa sipitwi na hiz historia shukran sana
@officialsalmazayn2938
@officialsalmazayn2938 5 жыл бұрын
Nakupenda Bure We Kka 😍😍😍
@nashonlubata1357
@nashonlubata1357 5 жыл бұрын
We dad mamb
@andrecorte3681
@andrecorte3681 Жыл бұрын
Asante sana kwa kutupa elimu ya maisha
@stevegithuku458
@stevegithuku458 5 жыл бұрын
Very nice and quality journalism. Excellent delivery, respect from Kenya
@princemtotomzuri231
@princemtotomzuri231 4 жыл бұрын
Ananias Adgar una sauti nzuri xanaa
@johnmbugani6532
@johnmbugani6532 5 жыл бұрын
We jamaa noma sanaaa! Tusome jamani kupata ukweli wa dunia
@danielmbalwa9307
@danielmbalwa9307 5 жыл бұрын
Storiii nzuriii sanaaaaaa!!Duh hongeraaa!!
@abdul-rahmanfakijuma1879
@abdul-rahmanfakijuma1879 5 жыл бұрын
I appreciate you job, good.
@raymondbazilishayo990
@raymondbazilishayo990 5 жыл бұрын
huu ni ukombozi kwa wale ambao hawaijui historia ya Africa big up sana bro chee'r up
@AbiudiMwandi
@AbiudiMwandi 11 ай бұрын
Hongera mpakaze Kwa kazi nzuri Kwa simulizi
@djatm1319
@djatm1319 5 жыл бұрын
Mwana historia huyu kipenzi changu....nikiwa Kenya nakupenda sana sauti umebalikiwa nayo
@lesikankya7772
@lesikankya7772 5 жыл бұрын
DJ ATM m
@salmaalimusa547
@salmaalimusa547 4 жыл бұрын
Daaaaah waafrica cjui nani katuroga
@paulcastor6054
@paulcastor6054 5 жыл бұрын
Good job brother nakuon mbali sana juu ya kazi yako ya kutuelimisha
@habeebomerabubaker4817
@habeebomerabubaker4817 4 жыл бұрын
Good
@penanahome5191
@penanahome5191 5 жыл бұрын
Thanks bro God bless you to this msg
@siliakilojasi4188
@siliakilojasi4188 3 жыл бұрын
Jamali.akasome.kwa kichwa.hikii.noma.sana.umetisha
@sarahtv8853
@sarahtv8853 5 жыл бұрын
Yaani ww kaka unajuwa sana ❤️
@alexmerck2568
@alexmerck2568 5 жыл бұрын
hongera bro kwakazi nzuri unaitendea haki kabisa
@kennedyrubaza5846
@kennedyrubaza5846 5 жыл бұрын
THANK YOU VERY MUCH my brother
@damianmachilutv1167
@damianmachilutv1167 5 жыл бұрын
Mkuu umejaaliwa sauti nzuri sana kwa utangazaji nadhani utafika tu
@MartinaMsimbe-qk8ug
@MartinaMsimbe-qk8ug 8 ай бұрын
Nimependa story ❤❤❤
@amaninaupendo.3539
@amaninaupendo.3539 5 жыл бұрын
Amen Amen. Inasikitisha sana wafrika kushindwa kunia pamoja ili kuyashinda mabaya ya madui. Mungu atusaidie.Amen.
@selemanmwita6255
@selemanmwita6255 5 жыл бұрын
asante sana kwa historia hii kuntu.
@richardwanga831
@richardwanga831 5 жыл бұрын
You are the best brother!!🙌🙌
@umikram6755
@umikram6755 5 жыл бұрын
Allah akuhfadh akhui wamie
@gillahathumani4879
@gillahathumani4879 5 жыл бұрын
Mkuu nakuelewa sana. Tuletee na historia ya farao wa misri mkuu
@erickfod3792
@erickfod3792 5 жыл бұрын
hatari sana itakuwa
@goldenboy8385
@goldenboy8385 5 жыл бұрын
Listerning from kenya you are the best presenter ever asante sana ndugu yangu kwa historia
@mulirohilary209
@mulirohilary209 5 жыл бұрын
Mpagaze I admirer the work u do fantastic ur an inspiration asante mno
@mpagazedenis8395
@mpagazedenis8395 5 жыл бұрын
Thank u so much mkuu
@henryhenry8150
@henryhenry8150 5 жыл бұрын
Good story
@monicamichael8119
@monicamichael8119 5 жыл бұрын
Nakupnda San kakaa unajua kutangaza asanteee
@douglasmwenda8086
@douglasmwenda8086 5 жыл бұрын
Kabisa bro keep the fire burning
@mariamfritsi9761
@mariamfritsi9761 5 жыл бұрын
Una kipaji cha kusimulia una haki ya kupata tuzo ,upo vizuri sana. Hongera.29.04.19
@sanilodaniel1458
@sanilodaniel1458 5 жыл бұрын
Naomba utuandalie historia ya nyerere na mwinyi kaka nakukubali sana
@obsonjulius312
@obsonjulius312 5 жыл бұрын
kijana unaweza sana bhana, hongera sana kwa sauti nzuri na ustadi wa kupangilia matukio na kuyasimulia kwa umaridadi wa aina yake. napenda sana kusikiliza simulizi taarifa zilizoandalia na wewe. endelea kupambana utakula matunda badae. hongera sana.
@savioponera7886
@savioponera7886 4 жыл бұрын
Hongera mtangazaji unasaut nzuri xana inayonifanya nisichoke kukusikiliza
@abelianraphili5150
@abelianraphili5150 4 жыл бұрын
Big up sana
@michaelpalla6606
@michaelpalla6606 5 жыл бұрын
Kaka hongera sana kwa kazi yako
@MegaAlexison
@MegaAlexison 5 жыл бұрын
My goal is to meet this guy someday wewe na kuaminiaka kabisa
@khanakwasarahlydia2190
@khanakwasarahlydia2190 4 жыл бұрын
ata mimi
@mariamkikula1614
@mariamkikula1614 5 жыл бұрын
Good narrator.well done
@dadyabdullatif254
@dadyabdullatif254 5 жыл бұрын
Brother upo vizuri sana! U deserve the best!
@simonkeroiga7187
@simonkeroiga7187 5 жыл бұрын
Noma sana
@karimamir1998
@karimamir1998 5 жыл бұрын
hizi ndo zinakufaa, combination nzuri ww na Mpagazi n keep it up.
@mpagazedenis8395
@mpagazedenis8395 5 жыл бұрын
Kabisa
@maikomsigwa7377
@maikomsigwa7377 5 жыл бұрын
Jamaa yupo vizur bhn yan huchoki kumuskiliza aiseee
@الزغويالزغوي-ض3ن
@الزغويالزغوي-ض3ن 5 жыл бұрын
SHUKRAN SANA
@twaliburajibi856
@twaliburajibi856 5 жыл бұрын
Jamaa ni noma, uko vizuri
@mohdyussah825
@mohdyussah825 5 жыл бұрын
Mpagaze uko vizuri kwa ku report Big up Africans leaders always is selfish daah Yani hawa jifunzi Kila siku ujinga ule ule . Allah help this bara lenye kiza Ameen
@mpagazedenis8395
@mpagazedenis8395 5 жыл бұрын
Asante sanaaa
@mhifadhi797
@mhifadhi797 5 жыл бұрын
Brother Mungu akutangulie daima unafanya mtu atamani kusikiliza
@chidiomari.65
@chidiomari.65 5 жыл бұрын
Asanten sana kwa mliondaa hii story, 🇹🇿🇫🇮
@rudboy8459
@rudboy8459 5 жыл бұрын
Nakupata vizuri,pongezi 🇰🇪
@arancaraba293
@arancaraba293 4 жыл бұрын
Mungu haachi haki aise na mja hamuachi mungu kwakweri
@goodluckymartin334
@goodluckymartin334 5 жыл бұрын
Pamojaaaaaa cnàaaaaaa aseeee mpagaZiiiiiii nakuaminiaaaaaa cnaaaaa talented Cnaaaa ww broo
@charlesnjau2423
@charlesnjau2423 5 жыл бұрын
Nice work young brother!
@Mr.George.N
@Mr.George.N 4 жыл бұрын
Apo sawa🇰🇪👍
@liberatusulaya2269
@liberatusulaya2269 5 жыл бұрын
Africa ,my continental, love u
@jumakatema6348
@jumakatema6348 5 жыл бұрын
hongera sana kwa kuielezea story bila kukwama kwama
@paschalantonymanyasulamany6632
@paschalantonymanyasulamany6632 5 жыл бұрын
Ebwanaee ediga Mungu akulindesan
@globaltv_online
@globaltv_online 5 жыл бұрын
Amina
@athumanikabamba6486
@athumanikabamba6486 5 жыл бұрын
Very fantastic history
GAMAL NASSER: Rais Aliyeamini MABAVU Kuliko AKILI!
14:56
Global TV Online
Рет қаралды 221 М.
HISTORIA: RAIS Aliyekatwa Masikio Akiwa Hai, Na Yeye Aliwakata Wengine
18:44
She made herself an ear of corn from his marmalade candies🌽🌽🌽
00:38
Valja & Maxim Family
Рет қаралды 18 МЛН
Quilt Challenge, No Skills, Just Luck#Funnyfamily #Partygames #Funny
00:32
Family Games Media
Рет қаралды 55 МЛН
To Brawl AND BEYOND!
00:51
Brawl Stars
Рет қаралды 17 МЛН
BAYGUYSTAN | 1 СЕРИЯ | bayGUYS
36:55
bayGUYS
Рет қаралды 1,9 МЛН
MUGABE: Rais Aliyepania Kuwakomesha WAZUNGU Wakakoma Watu Wake!
13:34
Global TV Online
Рет қаралды 535 М.
FRANSISCO NGUEMA: Rais Mvuta BANGI Aliyeua Nusu Ya Raia / Alinyongwa Pia
13:34
HISTORIA Ya IDD AMIN, Darasa La 4 Aliyetikisa Wazungu/NYERERE Akimtia Adabu
26:09
BOKASSA: Rais Mjinga Na Kituko Cha Karne Ya 20
18:32
Global TV Online
Рет қаралды 627 М.
HISTORIA YA CHIFU MKWAWA / WAZUNGU WANAYOIFICHA!
25:56
Global TV Online
Рет қаралды 968 М.
JINSI UKOLONI MAMBOLEO UNAVYOITAFUNA  AFRIKA
18:32
Global TV Online
Рет қаралды 194 М.
SAMORA MACHEL: Rais Aliyetolewa UHAI Kwa Njama Kisa Mabeberu!
22:51
Global TV Online
Рет қаралды 1,1 МЛН
Taariikhdii Tataarka Qaybtii 2aad Sh Mustafe
1:08:55
Sheekh Mustafe Official Channel
Рет қаралды 296 М.
She made herself an ear of corn from his marmalade candies🌽🌽🌽
00:38
Valja & Maxim Family
Рет қаралды 18 МЛН