I don't know why Tanzanians are always lucky to have visionary leaders. God bless TZ from Kenya 🇰🇪
@freedriwa70503 жыл бұрын
Rule number 1: Put God first
@aminasolisi69612 жыл бұрын
@@freedriwa7050getting we
@mpendakiswahili30532 жыл бұрын
Sio bahati, ni kupiga Kura inavyofaa...
@denisimweji45042 жыл бұрын
Asante! Mungu akubariki
@Godgrace672 жыл бұрын
@@mpendakiswahili3053 ulimpigia kura nyerere wew
@hadijamagufuli26613 жыл бұрын
Haya wahenga wenzangu mpo, maana kipindi cha hyu mzee tulikuwa wadogo ila kwasasa mhm sisemi sana gonga like twende pamoja wale mnaojijuwa ni wahenga 😅😅😅
@princenewton4 жыл бұрын
Much Love From KENYAN'S 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 We love our Brothers Tanzania's 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿. Forever
@johnsanga95284 жыл бұрын
Welcome brother 👊
@edwardombeni56334 жыл бұрын
Elfu tatu hadi milioni miatatu na hamsin kweli uchumi was kikoloni unakuwa
@barackmaimu14523 жыл бұрын
big up brother
@braitonitaifa49953 жыл бұрын
Nakupenda sana mwalimu
@greyuliki80272 жыл бұрын
🙏🙏❤️
@safarichui85514 жыл бұрын
Dah, yaani Baba wa Taifa alijinyima riziki na kuacha kufanya kazi yake ya ualimu ambayo ilikua ikimpatia riziki na kuchagua siasa ili kuikomboa nchi yetu Tanzania. Mungu amrehemu na amjaalie pepo, Amen
@khamissathumany83924 жыл бұрын
Story nzur sana pongezi kwako mleta story ALLAH akujalie uendelee na huo moyo
@stephenmusyoka39382 жыл бұрын
Mungu anaipenda Tz Sana, Watanzania Mungu amewapatia viongozi wenye Hekima lakini nyinyi hamuoni hivyo ila kuwaangamiza tu. Tuuma za bure tu badala muwashike mikono kukomboa nchi yenu. Mungu abariki Tz. Am from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@wilsonchishomi1083 Жыл бұрын
Kweli kabisa
@camilomassao8971 Жыл бұрын
Very true brother!😭😭😭
@pitalimbu3721 Жыл бұрын
lL
@patricknamangoa64684 жыл бұрын
Huyo ndio JULIUS bana a.k.a the brain! The hero and icon number one in the history of our continent.
@dinnahnyoni63014 жыл бұрын
Haya ndiyo yakujifunza Safi Sana wasafi mtiga na hiki ndicho kipaji chako ambacho MUNGU amekupa 💞
@karimabdallah32964 жыл бұрын
Wanao mkubali mtiga abdallah gonga like twende sawa
@mohamedimganga14814 жыл бұрын
Mtiga abdalla ukosei story nakukubali sana from songea msamala
@alfredbaraka22094 жыл бұрын
Karim Abdallah 👍👍👍🇹🇿
@amadadam92444 жыл бұрын
Dahhhhhh
@issashabanibakari14334 жыл бұрын
Karim Abdallah vp mtig
@farajimmari15234 жыл бұрын
Problum
@likevery34984 жыл бұрын
Badala ya kutoa comment zenye maana mnaishia kuomba like. How come??? R.I.P BABA WA TAIFA
@lazarohaule35884 жыл бұрын
R i p father see you Again
@felistambwale26874 жыл бұрын
Wanapenda like cjui Zina Radha gani
@anoldykamugisha99934 жыл бұрын
@@felistambwale2687 🤣🤣 wakat haziwafkish kilelen😀
@lucasmanyama28924 жыл бұрын
R. I. P Mwl nyerere
@rukahayapolendunguwafiwaha44604 жыл бұрын
@@lucasmanyama2892 r l p baba wet
@hancpoper34704 жыл бұрын
Wasafi ipo juuuu na itakuwa juu milele
@sarahismail29684 жыл бұрын
We kaka nakupendaga hatari😍😍😍😍
@chambotz93524 жыл бұрын
Nani Anayetoaga Hii Hotuba Namkubali sana Nilisahau Kumwambia Gonga Like Kwa WASAFI TV
@raymondmwampamba16464 жыл бұрын
Niatali cn
@kihangasper4 жыл бұрын
Anaitwa mtigah abdalah
@azahomar25044 жыл бұрын
Ni mtiga abdallah
@mkumbojaphe6164 жыл бұрын
Ima BoyLTz r
@dikioska76704 жыл бұрын
Mtiga
@owenimerraly7124 жыл бұрын
wasafi mko juu sana
@saadahamimu75963 жыл бұрын
Nimekuj tena kuangalia baada ya kifo cha jembe letu maguful🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿😭😭
@elibarikifoya63853 жыл бұрын
dah inaumiza sana mungu mpokee magufuli
@taslimanyange28503 жыл бұрын
Mungu ampe makazi yaliyomema
@Lavalava-lg2ww3 жыл бұрын
😭😭😭
@suzanamabula20993 жыл бұрын
Tuko wengi
@djmackmovies.3 жыл бұрын
2po wengi
@salumkanju17324 жыл бұрын
Hongera kwa simulizi ila haiko sahihi, unapoamua kumtolea story mtu legendary kama huyu jaribu kuutafuta ukweli halisi ili ukiisimulia watu wajifunze ckuiz hata humu watu hujifunza pia ila inasikikitisha unaweka story ambayo ina mapungufu mengi sana.....we loved nyerere but wewe hujamtendea haki hapa, RIP faza of Tanzania
@thomasclemence86364 жыл бұрын
Iliumiza xana hyo hutuba. Gonga like
@subrynerysegerow13234 жыл бұрын
Dah I miss you Nyerere 😔 story ilivyoanza vimachoz vilinilenga kidogo asee pumzika kwa amani baba always in our hearts ❤️Shoutout to Jamal April shoutout to Mtiga Abdallah mko vzur vijana
@akikamurua36224 жыл бұрын
Wasafii nawakubali sana
@joycefredrick22444 жыл бұрын
R. I. P our hero....Bila Nguvu yako ww Tanzania tulikuwa Bado kwenye mikono ya wakolon.... Tunakukumbuka daima vizazi na vizazi hautatoka kwenye kumbukumbu za Watanzania... Pumzika Kwa Aman
@rogerabdallah4399 ай бұрын
Sasa wewe mmekomboka nini nawakati bado wakoroni wapo
@diacynthedia62954 жыл бұрын
Napenda Story zenu nikisikia nakua muturivu
@CHALTV4 жыл бұрын
Kama kawaida big up mtiga kwa story kali, wasafi mpo juuu
@michaelkapingu69913 жыл бұрын
I miss you magu mukapa and nyelele
@augustmj45734 жыл бұрын
aliyesubriya kwa hamu kama mm naomba like zetu tuztengee hapaa 😋😋😋
@nsimamkamaananias59774 жыл бұрын
Whenever I view The story book from 88.9, I become more interested,,Appreciated mtigga abdallah👏👏👏 kazi nzuri
@simonfilbert70084 жыл бұрын
Jamani leo nimekuwa wa kwanza kuisikiliza story book ya baba wa taifa rip mwl j.k. nyerere😭😭
@mohamedimganga14814 жыл бұрын
mtiga elim yako kidato cha ngapi?
@creativetv9894 жыл бұрын
Simon Filbert subscribe @vanessamdee youtube chanel 🙏
@kabaranamaganga66464 жыл бұрын
Asante kwa Hayati JK Nyerere!
@malugukushaha67643 жыл бұрын
R.I.P baba wa Taifa, R.I.P Sokoine, R.I.P Mkapa & R.I.P JPM.hakika nyinyi ni wazalendo wa taifa hili la Tanzania. Tutawakumbuka sana😪😭😭😭.
Jamani humu kila MTU yeya wa kwanza kusikilza mnaomba like imekuA chakula au pesa duuuh mnatia aibu
@user-nj1jd6zy8e4 жыл бұрын
😁😁😁😁😁
@TALLUBOY4 жыл бұрын
Nakumbuka Ule mwaka Nikitaka kwenda jando Wazee wangu wakagailisha year 1999 Amen
@agathathobias86904 жыл бұрын
AVATA Ndo ikawa bas au !
@BiteBoyz5 ай бұрын
🎉🎉🎉
@piligeorge82784 жыл бұрын
Tutamkumbuka sana hatokei tena,pumzika kwa amani baba uliifanya kazi yako kwa ukamilifu miss you
@elshaarawymuhabesh3164 жыл бұрын
Story Book.... Asante kwa Kutuletea Story Ya Mwl J K Nyerere.... Asante wasafi
@davidnchoji4 жыл бұрын
Pw
@j...8764 жыл бұрын
MR DIAMOND tuna hutaji ELIAS MPAGAZE wa Fanye kazi nahuyu jamaha the story book ita noga kabisa!!!💪💪
@masigejose4294 жыл бұрын
Wan musoma gonga like twende sawa 💪💪💪
@sultanmbogo7014 жыл бұрын
nadhani unakosea sana kumwita baba wa taifa hakuna zuri lolote alilowafanyia watanganyika au watanzania mm naamini bb wataifa niyule anaetawala sasa huyo bepari alilia kwa kuacha mali za nchi alizo faidi pekeyake bora alipo kufa maana angefedheheka kwa maendeleo ya pombe
@sultanmbogo7014 жыл бұрын
angekuwepo leo angeona aibu kwakukandamiza watanganyika amba wAlikombolewa na wazalendo kisha ikafutwa historia zao aliinyonya nchi leo ipo sawa inarangi yakijani yaneema
@MyName-wd8cp4 жыл бұрын
Ukwel nakumbuka nilikua mdog ila nililia sana dah,, ufaham wangu ulikua mdogo sana ila cjui kwa nn machoz walitawara macho yangu! Mungu akupumzishe kwa amani🙏
@keyakeya89114 жыл бұрын
Pole Sana mm nilikua bado hata sijazaliwa
@MyName-wd8cp4 жыл бұрын
@@keyakeya8911 🙏🙏
@fatumachombo54504 жыл бұрын
keya Keya kweli zote zilikuwa juhudi za mwenyenzi mungu kuitoa Tanzania kwa mabepari
@tonyjohn84194 жыл бұрын
Wacha uongo wew
@gervasjustn28424 жыл бұрын
Mimi nilikuwa na miaka 14, hivyo nilikuwa naufahamu sana na nililia sana kwani kijiji kizima kilikuwa kinapiga mayowe ya vilio, na Mimi nikaungana nao Kwa kulia.
@yonamwakamele4 жыл бұрын
Asante ndugu sauti makala na mood napata ya huzuni
@aggymathew78544 жыл бұрын
Ahsante MAMAANG kwa kunipeleka TAIFA kushuhudia mazishi ya LEGEND NYERERE BABU YETU 🙏
@munaahmed84994 жыл бұрын
Mtetez wetu leo tunaringa kuw huru Tanzania yanguuuuuu Allah akulaze mahal pema pepo amina yarab allamina
@hemedibabdallah1254 жыл бұрын
Rest in peace baba yetu ulitujenga kuwa na umoja bila kubaguana kimakabila najivunia kuwa mtanzania tutakukumbuka daima mungu hailaze roho yake mahali pema
@raulentbenard84924 жыл бұрын
Hemedi b abdallah wtghkgg
@mawaidhatv85574 жыл бұрын
Oyoooooo One million Ambae ameshuhudia pls gonga like
@jeremiahmajura97573 жыл бұрын
Jeremiah.majura
@dominicikuja73922 жыл бұрын
Nyerere magufuli mkapa 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿 nothing to say
@haburamidousady61664 жыл бұрын
Mtiga una jua uku burundi kwetu tuna kuku bali kinoma!!
@gibemarco58754 жыл бұрын
Wakongwe tuliohudhuria msiba wa JK NYERERE gonga like apa bado ya kwako tu R.I.P. the founder of our Nation###
@peninabusumabu75864 жыл бұрын
R.i.p.baba wa taifa
@stefanontandu2041 Жыл бұрын
R.i.p Nyerere and Magufuli living legend in my mind
@hancepopessau25274 жыл бұрын
He was the great man ever
@khalidsimiyu80752 жыл бұрын
Tanzania is really blessed from nyerere to magufuli
@shaqdizo7678 Жыл бұрын
Benjamin William mkapa
@otegakamala6454 жыл бұрын
Mwalimu alitumwa na mungu aliyo yafanya hakuna atakae weza ķwani hakuwa na roho ya kibinadamu alikuwa na roho ya kimungu
@fednandnews22404 жыл бұрын
Napenda sana speach zako mzee baba Unaweza
@queen-vc6de4 жыл бұрын
Bibi baria anazidi kuwa mrembooo tu 😍😍😍
@saidamkekanule62514 жыл бұрын
Good afternoon
@saidamkekanule62514 жыл бұрын
🤩😍🤣😅😎
@godwinchristian96464 жыл бұрын
Safi nipo ndani from nairobi hongera wasafi
@saidamkekanule62514 жыл бұрын
Good afternoon😍🤩😂😅😃😎🤑👩🌾👩🎓👩💻🧚🧜👥🛀🏌️🏂⛷️🏇🚴🏍️🤹
@saidamkekanule62514 жыл бұрын
Thanks
@sk-wj9or4 жыл бұрын
Sauti nzuri katika mtindo wa documentary. Sehemu ya simulizi ipo sawa. Lakini inamapungufu mengi sana. R I P comrade. J K Nyerere.
@rashedabdalah19814 жыл бұрын
Kama yapi kaka
@sk-wj9or4 жыл бұрын
@@rashedabdalah1981 kuna clips nimeunganisha hapo angalia
@mrsochu-hv7bm4 жыл бұрын
Maskin.....MKAPA na wewe jana tumekuzika kweli kifo hakina huruma Kama unaangalia hii simulizi..ukiwa na majonzi ya kumpoteza...RAIS wetu mkapa Like zenu😥
@nektacleophance62434 жыл бұрын
mwalimu was special and great leader in the world.
@fadhilbreez57814 жыл бұрын
Nice
@fancymixx10264 жыл бұрын
All great thing come from wasafi media much appreciation 🔥🔥
@franciskomba80574 жыл бұрын
Wanao homba like washamba sana
@allykutenga28624 жыл бұрын
Francis Komba: Wantk KUFIRWA..hapa kinaelezewa ki2 cha mcngi sana wao wanaleta USENGEEE!!!!!?,.
@ismailismailmwaluseke21114 жыл бұрын
Nomaaa aiseee.. Watu wanadai likes kama zinageuka pesa
@mohamedalaraimi68134 жыл бұрын
Kwani ujui kama zinageuka pesa
@mudimaarifa93944 жыл бұрын
Uko good sound mtiga Abdallah 🙌🏻
@RomwardWM4 жыл бұрын
Mwl.Nyerere Lala Pema Peponi Daima Unakumbukwa Na Tunakuenzi .
@yuusufnuur57524 жыл бұрын
Thanks love story book
@officialmao4 жыл бұрын
Nyie mnao omba like vipi tukishawa like mnafaidika Nini 😣
@biommy67004 жыл бұрын
Nawashangaa
@alexchungu95054 жыл бұрын
official Mao , ni wajinga tu
@dullahbarca32794 жыл бұрын
Me mwenyewe huwa nawashangaa cjui huwa wanafaidika nn
@dicksoncharles16504 жыл бұрын
Hawajielewi
@samsonjuma56182 жыл бұрын
Asante kwa ajili yahistoria MUNGU awawezeshe katika kutujuza mentioned...GOD BLESS YOU ALL
@lazarodaniely53774 жыл бұрын
Nko fist because am like it
@carlosbrayan57794 жыл бұрын
Bado tunamkumbuka baba wa TAIFA. Siku zote kwa Wema, Haki na Utawala mzuri katika TAIFA LA TANZANIA. Rest in Peace.
@djfiremoto34294 жыл бұрын
MTIGA UNAJUA SANA MWANANGU🔥🙌
@jonesjohanes43133 жыл бұрын
MUNGU DIYE AJUAYE LEO NA KESHO .
@annemlay11 Жыл бұрын
Naamini Mwalimu atatajwa kuwa Mtakatifu baada ya siku si nyingi.Eee Mungu tunakushukuru kwa ajili ya Mwal. Nyerer.
@larrypeterkiwia29574 жыл бұрын
sauti nzuri sana kama una mkubali gongà like
@marrymusa22043 жыл бұрын
Jamaa anajitaid
@mbwambondimangwamichael67614 жыл бұрын
12 minutes naombeni like zangu
@queenkikoti494 жыл бұрын
Nimeisubirisana ya leo
@godlistenmariwa27074 жыл бұрын
Amepambania ya ile yate sema uyu mzeee niwachuga siyo butiama
@christinapeter8104 ай бұрын
Tunakukumbuka baba wa Taifa. Tunajivunia maisha yako na Tunamshukur Mungu Kwa zawadi hii🙏 endelea kupumzika Kwa amani
@deusdebitkowa96574 жыл бұрын
Msimulizi upo vizuri sana,hakika utafika mbali sana.
@abdkhalidi66254 жыл бұрын
Daaaaaahhhhh ipo vzriiiii kk mkubwa nice sanaaaaaa!!!!
@kelvintz76844 жыл бұрын
Talented presenter
@rammietv49074 жыл бұрын
WE GONNA MISS YOU DADY SO PAIN
@braxtosharon53674 жыл бұрын
,,
@lucasmanyama28924 жыл бұрын
Of course, It's so painful
@greyuliki80272 жыл бұрын
Yes
@prettynana65804 жыл бұрын
R. I. P 😢😢😢😢Baba Mwl Julius Kambarage Nyerere😭😭😭😭😭😭
@esterkeya75474 жыл бұрын
R I P
@mdigokhan82274 жыл бұрын
NYIE MNAOSEMA WA KWANZA KILA SIKU BASI LEO NIMEWAWAHI SEKUNDE 32 TU NIKO HAPA 😂😂HAYA NIPENI LIKE ZANGU ZA KUMWAGA YANI MNIPE LIKE KAMA ZIMELETWA NA UPEPO WA KISULISULI
@Bagenzi4life4 жыл бұрын
Mdigo Khan 🤣🤣🤣🤣🤣
@kassimluzwiro33684 жыл бұрын
angalia hapo mm n ww nan frst
@sabigaombaja56164 жыл бұрын
Mdigo Khan like zingekuwa msoso..!!!
@mariamabdallah52244 жыл бұрын
😂
@mariamabdallah52244 жыл бұрын
😂
@tanzanianchef86474 жыл бұрын
He is legendary 👍🏻
@tanzanianchef86474 жыл бұрын
Musir Brain sawa mkuu
@kyngkhari30412 жыл бұрын
instablaster...
@joelzaga26724 жыл бұрын
Nyerere still lives on As his wishes towards Tanzania Is about to be fulfilled by the current President Hope he rests in peace
@selemaniseja63284 жыл бұрын
jaman mnaoombaga LIKE mnakera kwel lengo la comments ni kutoa maoni juu ya kipindi ili kizidi kuboreshwa wabongp bwana... like mnafanyiaga nn...?
@geraldpallangyo77264 жыл бұрын
Like ni za kutangaza bei
@BrEgEdiA_2544 жыл бұрын
Masenge sana
@hallin95614 жыл бұрын
Hii ndio bongo zozo,, hawana maoni kazi likes tu.. Akili hakuna
@tiktokreposted124 жыл бұрын
zinaogeza hamu yakuingia yutube
@allykutenga28624 жыл бұрын
Selemani Hamudu: Wanataka KUFIRWA tu labda,,ktk ki2 kinachokera kwny youtube bac ni hili jambo la kuomba like..,,M2 unafunguwa comment ili usome maoni yenye kuelekeza unakutana na huu upuuzi(ETI LEO NIMEKUWA WA KWANZA KWA HIYO NAWAOMBENI LIKE ZANGU!!!) Mwache m2 akawaombe wazazi wake huko...,, SMS SENT.
@maesryclassic4564 жыл бұрын
Mtigaa unajuaa aiseeh ila unaniboaa kidg tuh.... Story zinachelewa kujaaa KZbin aiseee yanii wikii nzimaa nimekaa naisubl uku etiii mana uko kwa redio cna time nzurii badoo 😢😢😢 But all in all Jamaaa weh ni balaaaaaa 🙆🙌😀💪💪💪💪💪
@eddyboi84764 жыл бұрын
Bro kumbuka kuna uandaaji wa story
@shabaniramadhani41094 жыл бұрын
mwalim mwalim mwalimuuuuu R I P 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 naumia sana nikikumbuka msiba wako nililia sana aseee
@jackleenmandary26324 жыл бұрын
Mm nililia jmn acheni na nikawaliza wengine
@hamzakondo61024 жыл бұрын
Mtiga mzee baba nakubali kazi nzuri kuna bia zako leo njoo tabata jion.
@hanswizzy28924 жыл бұрын
Yani we kaka nakupenda bure unasauti nzuri yakusismua nakutoa nyoka pangoni da
@mzuluclassic52594 жыл бұрын
mwaka 1955 ML Nyerere from dar to Masasi ✌✌
@mohammedkibombe73614 жыл бұрын
Kama unampenda baba Wa taifa gonga like
@matikumarwa52523 жыл бұрын
Mungu akubalik popote ulipo mzee na akufanyie wepes wa maisha ya mbingun
@eunicejoseph38704 жыл бұрын
Sjaanza ata darasa LA kwanza... duuuh busara nyingi na uwoga wa kufuja mali za nchi yake
@victormtani71704 жыл бұрын
Una maanisha nini kufuja mali? Nani aliyefuja mali za nchi yake? Utoe na uthibitishe
@richiecharles23013 жыл бұрын
Nakumbuka nilikuwa chekechea..
@boazmvellah62864 жыл бұрын
Napendagaa sana ongea yako piga like twendee pamoja
@mikidadichande94884 жыл бұрын
Majira yetu haya yangekua wap sasa utumwa wa nchi Nyerere ameukomesha.Kama nko sawa nakukumbuka mtetez wa taifa langu
@kwizeraelly92614 жыл бұрын
Nilimlilia Rais wangu mwaka ule nilihisi km.Tanzania yooote tumekwisha ila nikakumbuka Yesu hajatuacha Watanzania.
@abdallahhamad44994 жыл бұрын
2019 nipo gonga like Kama umemsikia komba ...
@kassimluzwiro33684 жыл бұрын
Daaah hamna ktu nachopenda kama hch kipindi naomba hata kwa weak kiwepo mara5 au 4
@mellenigga31824 жыл бұрын
I love it
@abdallahmgotto78654 жыл бұрын
Wasafi fm 🔥🔥
@renatuslugendo86752 жыл бұрын
Lo
@azzamahamdu70393 жыл бұрын
Rip nyerere mie nilkua nalia sana na zile song za Johnkomba doh😭.ila babu yangu ,sasa ni marehem alnambia kipnd cha utawala wa nyerere kulkua na SHIDA SANA.lkn ni yy ndo aloleta UHURU.
@sleyyummohammed24094 жыл бұрын
No 1
@armylee360youtube4 жыл бұрын
Unaweza kusimulia kama unampenda jamaa huyu 👇
@mussaally14994 жыл бұрын
Rest in peace jembe mwali nyerere
@onesmokigomba81824 жыл бұрын
kwa wema wako hautokawia kuwa mtakatif baba yetu upumzike kwa aman
@jaydon33614 жыл бұрын
Mbona hata usipoomba like Kama comment yako ni nzur wata like tu
@cathernmbena30904 жыл бұрын
Nice san
@ashachamwilem99804 жыл бұрын
Ttuuiio
@raymondnyami68154 жыл бұрын
Revolution hii imetuweka huru kwa tulioenda nchi jiran kama umeshawah fika Zambia utagundua kitu kikubwa
@user-rd7jt1vi5x3 жыл бұрын
Hahahahahahahah
@nurdinihassani88114 жыл бұрын
Aiii nilochelewa hii ila si mbaya gonga like yako kama tupo pamoja🔥🔥🔥
@janethsamson91233 жыл бұрын
Juu sana
@towerodispensary32554 жыл бұрын
Duuuh tanganyika nzima kumbe nae alikua (TO) Tanzania one basi tunamwita Tanganyika one oyooooo