Ahsante sana Global TV kwa makala za ki historia. ila kama mdau wenu nawaomba mtuchambulie pia historia za maisha ya Viongozi hawa wa Marekani na Iran. Hatujui Confidence zao zilianzia wapi ila Tunaona tuu vitisho na vikwazo vya kisiasa. Otherwise mi nawapongeza mana mko sahihi katika makala zenu
@joelnchimani41855 жыл бұрын
Ahsante sana global tv kwa kutuletea habari za ki histolia sasa tunaomba simulizi na histolia ya saddam hussein aliyekua rais wa iraq kuzaliwa mpaka kunyongwa ahsante
@siderank86504 жыл бұрын
@@joelnchimani4185 ekis
@mackilndaud94144 жыл бұрын
Ekisa
@jekelaedgar6364 жыл бұрын
2.
@ndayizeyeoradidanielle92053 жыл бұрын
Ap
@augustinofredrick71274 жыл бұрын
Unajua saaaana we jamaa.👍 kama unamkubali huyu msimuliaji gonga like hapa ilitwende sawa.
@karimabdallah48724 жыл бұрын
Ni mwamba huu
@deborabrownsentimea39017 ай бұрын
Mnooo
@sosatz5 жыл бұрын
Unasikiliza makala, unaielewa hadi unapitiliza kuielewa unatamani ukawaeleweshe watu.. kazi nzuri sana.
From Kenya. Guys I watch every video that you post. Not only do u research well,but you also have a good way of.presenting...kiswahili kizuri sana. Update us more on African issues... Thumbs up guys you are the best. 9/10
@hamdanmrisho46065 жыл бұрын
Mambo
@johnmmbando56395 жыл бұрын
86
@mwasa.3 жыл бұрын
Yeap at least kiswahili simple sio ile ya mashairi
@simonwainaina9238 Жыл бұрын
😊0
@jokhasaid86663 ай бұрын
Jamani kuna watu wana akili saana hapa duniani wengine tupo tu. Kupanga big operation kama hii in few days salute to them. Mkiona watu wanapata mishahara mikubwa mnalalamika anafanya kazi gani. Hii ilitakiwa ipelekwe Hollywood ni bonge la movies na akili nyingi zilizumika . Kudos.
@lucasroswe65445 жыл бұрын
Huyu jamaa asee anajua sana kusimulia! Keep it up bro
@samwelwekesa2 ай бұрын
Leo hii 12/8/2024 nimerudi kusikia historia,zijawahi pewa like zenu jamani
@goustonefrancisisole2534Ай бұрын
Hapa tunarud daily....
@jamilsalanga41935 жыл бұрын
Yaaan nkisikia Ananias napata raha kama baraka mpenja tu, , , , , hata ukisimulia habar ya nyani ntapenda tu. Broh uko vzur sana.
@sknapoleonshoo31452 жыл бұрын
Walio soma Uganda 🇺🇬 ndani ya topic ya Operation Entebbe kwenye soma la SST from P5 to P6 tugonge like 👍 kwa pamoja!
@nicekweba9920 Жыл бұрын
😢
@RobertGulayi6 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤
@bish_daddiyao5 жыл бұрын
Uchambuzi Murwa sana historia kama hii inakupa Mda kufwatilia Uchambuzi Wako Anannias heko💥💜🤞💥
@ramadhanindaro68664 жыл бұрын
Nani ambaye anairudia tena hii kwa mwaka huu 2020 gonga like hapa
@jacoblaiser76344 жыл бұрын
Like inasaidia nini? Mnaboa sana mnaosena gonga like. Nikishagonga ndio kuelewa kinachozungumzwa????
@mwahijalukali23874 жыл бұрын
Me
@ramadhanindaro68664 жыл бұрын
@@jacoblaiser7634 just kuinjoy but ailet maana
@maomacatta97704 жыл бұрын
Nadhani like inamaana yake kwa mwenye story pamoja na KZbin lazima kunafaida anapata
@wamoroboy89633 жыл бұрын
@@maomacatta9770 mawazo potofu
@clementkivegalo26045 жыл бұрын
An incredible event the world has ever seen!
@denistarange55804 жыл бұрын
Dah sauti makini Sana mwandishi makini nakukubali Sana Annanias Edgar's mungu akuogoze utuletee Zaid
@masekezenge48452 ай бұрын
Huyu anania Eriger nampenda kwa .historia na sauti yenye mvuto hongera sana mwamba sauti yako haichoshi kusikiliza
@matthewwangi28592 жыл бұрын
This is what they should teach in schools to avoid mistakes of our former leaders but governments don't put it in curriculum. That's the accountability of the tax payers money we'll spent💯🤔by Idd Amin and Mwalimu Nyerere.
@katrinanie99892 жыл бұрын
I can't get enough of this already watching the 5th time in Sept2022
@amosmahona4334 жыл бұрын
Jamaa unakipaji Sana wahenga wanasema mnyonge mnyongeni haki yake mpeni hadharani
@hawaabubakar26195 жыл бұрын
Hongera bro unacmuliya kwa makini na upole sauti tisho nzuri xana from saudi Arabia
@josephnjelu44005 жыл бұрын
Baba 0658515267 baba niunge
@paulinapaulina9115 жыл бұрын
Kwema ndugu
@harmmatonburangi6434 жыл бұрын
@@paulinapaulina911 sawa
@christianmarijani1045 жыл бұрын
Mambo kama haya tuliyamiss sana kwenye lugha ya kiswahili...salute kwenu global online
@abburakkaan56945 жыл бұрын
Big up
@abburakkaan56945 жыл бұрын
Do u have what's up account?
@enockyohana68565 жыл бұрын
Unavyo simulia kama naona vile bro salut kwako
@mocomoco18365 жыл бұрын
Historia ya kwel kabisa hii
@hawaabubakar26195 жыл бұрын
Wapi sehemu ya pili plz bro i salute u Bro Big up from saudi Arabia
@globaltv_online5 жыл бұрын
kama hujaipata hii hapa: kzbin.info/www/bejne/pZvdmnaNhNaMqLM
@athumanomary14385 жыл бұрын
Asante sana ndugu mwenyez MUNGU yupo pamoja nawe
@barnabasdioniz86043 жыл бұрын
Nimeipenda sana hii story, nimempenda pia msimuliaji, nimependa sauti yake. Hongera Sana kaka
@kataninyido9623 жыл бұрын
Ananias edgar una sauti nzuri kama mayayi kwakweli Mungu amekujalia sauti nzuri sana Hongera
@pattykaranja5 жыл бұрын
I must say you have done your research very well
@marykibwana94135 жыл бұрын
Ningeulizwa au ningepewa nafasi yakutoa tuzo kwa msomaji bora wa makala za kusisimua hakika nisingemuacha kijana Ananias Edger.Unajua nimesoma creative writing. Hivyo Pamoja na umri wangu kuzidi nusu karne lkn huwa nafuatilia sana makala hizi,
@nicksonmallya114 ай бұрын
Israel the blessed nation, be blessed more and more
@lazaruskeraro80033 жыл бұрын
Mimi nimewapa 10/10 ni vigumu kupata habari zote za kihistoria. Pongezi
@nashonobura27424 жыл бұрын
Anania my best history presenter
@erickotieno9886 ай бұрын
good morning
@carolinecubwa31635 жыл бұрын
Ananiasi Edgar wewe tunakuaminia Sana we need more from you
@josephngugi5776 Жыл бұрын
Watching & rewatching
@marywachira6649 Жыл бұрын
Ooh God the version i read was different but now i have heard thanks for the update
@kataninyido9623 жыл бұрын
Hongera sana global news TV kwa habari nzuri sana za kihistoria, Mungu awabariki sana maana ni historia inayo tukumbusha ya kale yalio pita na ya sasa yanayo tokea
@peterjanuary79722 жыл бұрын
Mmh hii ya moto 🔥🔥🔥 sana
@abdulrazakyussef31775 жыл бұрын
huyu jamaa anafaa sana kutangaza TBC TV na TBC radio, ana sauti nzuri sana. Laikini mambo mengine kama za kina Lumumba, ''mabeberu'' na maadui wa afrika miaka ya 1960s, naona hajafanya research ya kina kirefu sana na mapana sana. anapapasa macho juu juu tu. Haya mambo yanahitaji udadisi wa hali ya juu sana, siyo tu lawama za hapa na pale, hazisaidii kitu.
@DaudimatindaSiria Жыл бұрын
We love you anania unachambua vizuri sana
@ignasamedeus16883 жыл бұрын
Noma Sana mzee baba wauwe
@ignasamedeus16883 жыл бұрын
Nakupa big up we no fundi unenifundisha Sana 👏👏👍
@marionntomola16863 жыл бұрын
I was looking for this history.... thank you.
@athumanjuma27725 жыл бұрын
Bonge la story aisee, kazi nzuri kwa msimulizi
@InnocentSteven-om5ok8 ай бұрын
Napenda kujua historia kama hizi
@goodluckminja91015 жыл бұрын
Duh! Kumbe East Africa kumewah kuwa na mambo makubwa namna hii
@witnessmoshi86675 жыл бұрын
Napenda Sana hzi history
@marthamwapongo1135 жыл бұрын
Good goody
@jasirimkombozi49265 жыл бұрын
Simulizi kali sana Tafadhali ilete sehemu ya pili.
@DamasjoachimPetro11 ай бұрын
Hii naipenda sana heko Taifa la Mungu
@robertmusyimimutuku70402 жыл бұрын
annanias edger kazi nzuri endelea hivo hivo
@romanusdominicus51845 жыл бұрын
Excellent narration.
@rashidchengwi22063 жыл бұрын
Kazi swafi kutuharisha..
@Ndondiafrika2544 жыл бұрын
Idd Amin Dada was the true hero of this story
@nahiyahamdan52813 жыл бұрын
Sure
@Theunapologeticwildlife Жыл бұрын
@@nahiyahamdan5281 hey dear mambo vipi?
@athumanimrope36115 жыл бұрын
Mwenye kuelewa simulizi hizi agonge likes apa, mwenye kumuelewa pia msimuliaji apa twende wote sawah apa likes
@EdwardSindayigaya Жыл бұрын
You are really doing a very good job, I love the voice and the language as well
@josphatwanyaki-jp5wv Жыл бұрын
Well organised operations
@IshmaelLuyagaza9 ай бұрын
Very good narration of the operation. ❤
@awatifalghanim11065 жыл бұрын
Mashaallah..Huchoki kusikiliza.. sauti yako ni nzuri sana. Kwa ukweli.
@lauriansimon68055 жыл бұрын
nasikiliza xtory kama vile nipo ktk operation yenyewe yaan daaah saut imetulia hatar ya msimuliaji! big up bro
@herigange59284 жыл бұрын
Daa kaka mm nakumini sana napenda san stori zako nakupa bgp sana kaka
@jamesyohana48484 жыл бұрын
Safi
@arunamwaholi13515 жыл бұрын
History nzur mtangazaji nae yuko vzr sana had naelewa
@raharaha1631 Жыл бұрын
Nawapongeza kwa stori nzuri
@roselusenaka75483 жыл бұрын
I love this story.
@venstonvedasto5 жыл бұрын
Mungu banah fundi sana hakupi kila kitu huyu jamaa anajuaaaaa sana kuhadithia youtube excellent bro!! ila sasa muulize kama anajua mbembeleza dem wake 😂😂😂😂😂😂 utashangaa sana
@AnaniasEdgarTV5 жыл бұрын
😒😒😁😁
@salmaalimusa5474 жыл бұрын
Hahahaha
@edgarfelix5365 жыл бұрын
Wajina umesimulia vizuri sana hongera
@Wpatrickwafula34324 жыл бұрын
Sawa sana waisreal Mungu anawapenda
@godlistenlucas82135 жыл бұрын
Hongera sana, leo hujaweka chumvi na yale maneno yako mengi nje ya story yenyewe.
@CeciliahKiiru-pl4yrАй бұрын
Strong kabisa🎉🎉
@suzysoraelw20623 жыл бұрын
Kazi iendelee
@swagatdebracy25825 жыл бұрын
Unakosea sana ukisema idd amin field martial sababu cheo hicho hawez pata sifa ya kwanza ya cheo hicho ni uongoze vita na ushinde sasa yeye kapigwa na mwl nyerere kwahiyo hawezi kuwa field martial ,hongera kwa kutupa historia makini bro🙌
@ananiamkasu88474 жыл бұрын
Sio kushinda tu bali ushinde mara tatu
@hajikihemba53492 жыл бұрын
Amin alijiita Field Martial co kwamba alishinda vita tatu hapana alijiita hivo kwa sifa zake tu ili aonekane yeye ni mwamba maana cheo cha field Martial kule Uingereza anapewa yule mwanajeshi aliyeshinda vita tatu mfululizo
Daah kaka unajua nakukubaligi sana hongera unajua unachokifanya
@zablonmlazi44153 жыл бұрын
Naipenda hii
@pastorvincent98515 жыл бұрын
Maitafuta sehemu ya pili siioni tafadhali!! Makala nzuri sana
@helenahabi22552 жыл бұрын
Your very talented brother keep it up we praying for you
@roselinendegwa21583 жыл бұрын
Thanks I never knew something like this happened. Good work keep it up
@rakeshmohanbhatt80563 ай бұрын
Good
@inocentmarandu33235 жыл бұрын
Upo vzuri sana
@tiopherysanga29344 жыл бұрын
Global tv mpo vizuri
@kenyaneye42924 жыл бұрын
Kazi nzuri mpangilio mzuri
@arnoldlusambo39212 жыл бұрын
one of the best documentary very good
@issacmmasy14473 жыл бұрын
Dunia imepita watu aisee duh 🙌🙌
@mohammedamad65685 жыл бұрын
Wewe ni mtangazaji mzuli sana Na auna papala unapotupasha habari nakukubali sana mzee
@mtayaink80205 жыл бұрын
baba uko vizur sichoki kusikiliza ongeza njonjo na vineno vya ucheshi penda sana stor zenu....
@kamakeimooni Жыл бұрын
Big heart of big dangerous animal Bii Amin to heal nyangau
@shaninaftary16934 жыл бұрын
Sauti yako na usimuliaji wako unafanana na Abdallah mtiga wa wasafi tv.
@hassanovajunior69725 жыл бұрын
Kaka Upo Vizuri Sana aiseee 🙌🙌
@nassorabdallahomar15955 жыл бұрын
Mungu amsaidie EDI amino Dada na hakua mkatili EDI amino dàdà
@lacroquetalacroqueta68135 жыл бұрын
huyu jamaa anasimulia sawa kama wazungu walivyodanganya ukweli hajasema huyu ni "BIAS" kama wazungu towards people their hate.
@lacroquetalacroqueta68135 жыл бұрын
dada never agreed with white people to be a coconut so their had to framing him dont tell us lies, same as 9/11 please stop feeding us white man lies sad telling lies written by white man...shame on you
@linusmagezi83984 жыл бұрын
Kila binadamu ni sawa na mwingine na Mungu anaukumu kila mtu bila kujali rangi,kabila,dini, umri,
@abelkabili84745 жыл бұрын
Ebanaaa bonge la movie
@babarihana58965 жыл бұрын
Saruti kaka kwa story nzuri
@abuusufian65065 жыл бұрын
Good job mwanangu keep it up ❤ ❤ ❤
@kidbwaytheviper77485 жыл бұрын
Mwana unajua kusimlia tafta season moja tu uwone utpga hela we noma
@Rwanda6005 жыл бұрын
Salute Global TV
@eliassylvester81505 жыл бұрын
Daah napenda sana makala kama hizi na msomaji awe mahiri kama huyu jamaa tunasubiria sehemu ya pili waungwana
@zakariafrancis45705 жыл бұрын
Habari bro edigah kiukweli mungu kakubariki kwa kuimudu kaziii hiii ,sauti nzuri na simulizi yenye moangilio mzuri hongera ,pia naomba nikuulize hivi majuzi umepost simulizi ya kagame chaajabu baada ya dk 30 skuiona tena Hadi leo vp umeifuta kaka
@abdallaameir31538 ай бұрын
Anaeangalia tena 2024 tujuane
@ProfessorYGsniperRobot5 жыл бұрын
safiiii braza kazi nzuri unaeleweka tuletee hiyo part 2 yak
@kokudo83895 жыл бұрын
Nimegundua kuwapa Kandaras wageni kujenga Majengo muhimu ni hatari mnoooo
@chidykiwangotz11455 жыл бұрын
Nimeilewa mpaka inasisimua
@christiangodfrey88844 жыл бұрын
NDio ni ujinga sabab wao. Hukaq na hizo ramni vizazi had vizazi.cie hadi majengo nyeti tunawapaga tu
@yusufuheri65243 жыл бұрын
Napenda sana kusikiliza histotia kama hizi maake huwa zinanifungulia dunia kuwa ninachikitaka