No video

UPENDO PENEZA HUYOOO CCM -AMBWAGA MANYANGA CHADEMA! -AFUNGUKA MAZITO -"MAANDAMANO ni KUTAFUTA MTAJI"

  Рет қаралды 10,412

Global TV  Online

Global TV Online

7 ай бұрын

UPENDO PENEZA HUYOOO CCM -AMBWAGA MANYANGA CHADEMA! -AFUNGUKA MAZITO -"MAANDAMANO ni KUTAFUTA MTAJI"...
Aliyekuwa Mbunge wa Vitu Maalum Chadema,Mweka hazina wa Kanda ya Victoria na Mgombea Ubunge Jimbo la Geita kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo Chadema Comrade Upendo Peneza ,amehamia CCM leo katika mapokezi ya Katibu Mkuu wa CCM Balozi Dkt Emmanuel John Nchimbi ambapo amesema kuwa maandamano yaliyopangwa kufanyika na chama cha Demokrasia na maendeleo CHADEMA ni kutafuta mtaji wa kisiasa baada ya kupoteza mvuto
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 99
@globaltv_online
@globaltv_online 6 ай бұрын
JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...
@ajmstationery6157
@ajmstationery6157 6 ай бұрын
Nimesikitika sana , kweli huu ni usaliti mkubwa kwa CHADEMA. Si nzuri
@mfwimiekayuki8692
@mfwimiekayuki8692 6 ай бұрын
Pole sana PENEZA.CHADEMA imekulea na kukuza.
@usembiphonedar5632
@usembiphonedar5632 5 ай бұрын
Uchaguzi umekaribia mtanunuliwa sana vibaraka wa ccm!
@DavidMutiba-hr3vo
@DavidMutiba-hr3vo 6 ай бұрын
Sijui ccm wamempatia ahadi gani. She is a strong girl. Anyway ndiyo siasa za Tanzania. Bila shaka wamemuahidi something, let us wait and see.
@dennisungonella205
@dennisungonella205 6 ай бұрын
Hapo ni vyeo sio kingine, time will tell
@chazyteshakimaro4659
@chazyteshakimaro4659 6 ай бұрын
eneza peneza peneza nimekuita mara tatu, MUNGU anakuona na malipo ni hapa hapa duniani!!! blessed
@user-my5yp6xx5s
@user-my5yp6xx5s 6 ай бұрын
Peneza,peneza mungu anakuona tamaaa ulio nayo
@DuniaCharles-qr3ed
@DuniaCharles-qr3ed 6 ай бұрын
Upendo mungu anakuona malipo ni hapahapa mbinguni hukumu
@JaphetLameck-kw4yq
@JaphetLameck-kw4yq 2 ай бұрын
Upendo uko sawa maana siasa za Tanzania nitumbo TU. Umechoka kubeba watanzania wasiojitambua hata ningekua Mimi chadema ingekua sabuni ya kunisafisha tumbo likajae sisiem.
@angelmteli611
@angelmteli611 6 ай бұрын
Huyu ni Chadema! Ccm kuwen makini!
@AbdulmalikFedrick-ct7nb
@AbdulmalikFedrick-ct7nb 6 ай бұрын
Akuna mungu wa chadema Mungu wawote ongela dada
@danielndusilo4723
@danielndusilo4723 5 күн бұрын
Sura yako wewe siyo mwanasiasa wewe ni kuhubiri neno la Mungu
@J.WEZATv
@J.WEZATv 6 ай бұрын
So emotional
@user-dk5kk4rf3v
@user-dk5kk4rf3v 6 ай бұрын
Yupo sawa nimemuelewa mimi ni binti huyu ..tumepata mbunge Geita .. mungu yupo..
@thomsanga7956
@thomsanga7956 6 ай бұрын
Yaani amtoe msukuma huyu 😁😁😁 haiwezekani
@ahazinelson6351
@ahazinelson6351 2 ай бұрын
Huyu dada yuko vizuri sana nilimfuatilia sana kampeni zake za kugombea ubunge geita mjini CHADEMA.
@pendaelmollel1847
@pendaelmollel1847 6 ай бұрын
WanaCCM wenyewe wanakushangaa 🤣🤣🤣🤣
@jeremiahngoka4980
@jeremiahngoka4980 6 ай бұрын
Huyu hana akili huyu
@pendaelmollel1847
@pendaelmollel1847 6 ай бұрын
Ama kweli Njaa haina adabu
@dennisungonella205
@dennisungonella205 6 ай бұрын
Duh, maisha magumu kwa kweli, huyu dada sikuwahi kumwamini kamwe...itakuwa ahadi ya cheo
@dottomatola5905
@dottomatola5905 6 ай бұрын
Na Bado mtasema mmeibiwa
@AbdulmalikFedrick-ct7nb
@AbdulmalikFedrick-ct7nb 6 ай бұрын
Ccm oyeeeeeeeee Dada ongela kalibu ccm
@user-ig7tb1cf8z
@user-ig7tb1cf8z 6 ай бұрын
Upendo umechelewa sana kujipendekeza ccm sasa. Weka akiba ya maneno.
@salumjumaruhaga2513
@salumjumaruhaga2513 6 ай бұрын
Uyo dada yuko vizur atapata kazi ,bola huyo kuliko akina halima
@neemanziku5403
@neemanziku5403 Ай бұрын
Kweli wanafiki wapo na vigeugeu
@rebekakulwa6159
@rebekakulwa6159 6 ай бұрын
Ccm wanawanunua chadema tu ndio chama makini ila ulaaniwe na malipo hapahapa
@abdallahkihanza482
@abdallahkihanza482 6 ай бұрын
Huyo dada njaa hana jipya, chadema imemsaidia kujulikana pia alipata pesa sasa zineisha, kaona ccm ndio kuna pesa za kumwaga
@florencemeza6540
@florencemeza6540 6 ай бұрын
Uamuzi mzuri chadema cha wachaga
@alphoncehanura3255
@alphoncehanura3255 6 ай бұрын
Mwanangu Upendo ....kama Furaha Peneza amekubari rudi ccm ...ameona mbali. Nakutakia kila la kheri lakini usitumiwe. Mengine utashindwa kuyatetea......kumbuka kesho unaweza kurudi pia kwa baraka za Mzee Furaha Peneza .
@boniphacewambura1427
@boniphacewambura1427 6 ай бұрын
Yaani umekubali kununuliwa Unaungaje mkono wakat Sukari Nyama n Nauli Mafuta vimepanda Umeme hakuna Maji hakuna Na qw unakubali kununuliwa kweli mjinga ni mjinga
@axmedcumar6196
@axmedcumar6196 6 ай бұрын
Dunia nzima maisha yamepanda mara mbili mpaka tatu mwamba.. tafuteni point Nyengine
@boniphacewambura1427
@boniphacewambura1427 6 ай бұрын
@@axmedcumar6196 nambie nchi gani vitu vimepanda bei zitaje kwa majina
@mangenyanyondo8691
@mangenyanyondo8691 6 ай бұрын
Daaaah naumia sanaa kukisema chama vibaya ambacho kimekulea
@davidkiswaga4453
@davidkiswaga4453 6 ай бұрын
Kwan wao hawakulelewa na ccm lakini wakaisema na kuilaani na hailaaniwi ww vp
@JaphetLameck-kw4yq
@JaphetLameck-kw4yq 2 ай бұрын
Pendeza kumbuka ccm imepora majengo ya selikali na kuyageuza kua ofic za ccm.
@user-lm3lt7xx6l
@user-lm3lt7xx6l Ай бұрын
Tanganganyika tatizo Leo tamaa mnaweka pesa mbele nandomana viongozi wanakula bata raiya wanazalilika
@mnolamanyendi4956
@mnolamanyendi4956 6 ай бұрын
Dada umekosea Sana ccm watakupoteza hutojulikana
@emanweljohn1240
@emanweljohn1240 Ай бұрын
Wewe dada hubakia ya kizalendo wewe pole sana
@gangan4618
@gangan4618 3 ай бұрын
Huna lolote wewe Upendo, ni wakati Watanganyika tutafanya maamuzi yetu. CCM MIAKA 60 IMEWATOSHA SASA KUMEPAMBAZUKA ETI NDO UPENDO A AKUMBUKA SHUKA AYA KAUNGANE NA WENZIO COVID-19.
@hoseamagawa9088
@hoseamagawa9088 6 ай бұрын
Respect upendo❤❤
@dennisungonella205
@dennisungonella205 6 ай бұрын
Alikoenda ccm kaharibu kabisaaaa.
@MoiseDilengaOfficiel
@MoiseDilengaOfficiel 6 ай бұрын
Bien 🎉🎉🎉🎉🎉
@polokotomwalusamba1132
@polokotomwalusamba1132 6 ай бұрын
Njaa
@muurasilas
@muurasilas 3 ай бұрын
Ukiamua kuhamia CCM akili unaiacha pembeni na kwenda kichwa tupu. Ukiangalia hoja ya kwa nini amehama chadema hana, anarudia maelezo yaleyale ya watu wananunuliwa na ccm na kumezeshwa mambo ya kukichafua chama. Jua ya kuwa hata upige kelele aje wananchi wanajua hali ya maisha ilivyo na ujinga huo ulikuwa enzi za mkapa ila sasa watu wanajitambua.
@adammbuba7230
@adammbuba7230 6 ай бұрын
Hongera sana kamandaaa
@humphreymkony8915
@humphreymkony8915 6 ай бұрын
Dada wala usijali tunajua unatafuta fursa CCM.
@EliaEgbert
@EliaEgbert 6 ай бұрын
Karibu sana
@margarethsaramaki3966
@margarethsaramaki3966 6 ай бұрын
Wanaomsikiliza huyu Upendo wanapotezewa muda wao hana jipya anatafuta ulaji wa tumbo lake wala hajui kuongea
@AlphaMartine
@AlphaMartine 2 ай бұрын
Chadema inalea Ccm Inavuna
@hoseamagawa9088
@hoseamagawa9088 6 ай бұрын
Wanachadema wote mnaomtakia mabaya upendo ubaya utawakuta nyie kwa jina la yesu hayamfik upendo
@BenezethBwikizo
@BenezethBwikizo 6 ай бұрын
Hongera umechagua kilicho chema dada
@nelsonnyamle
@nelsonnyamle 5 ай бұрын
Chadema hatubembelezi wahuni huki tunaishi makamanda tupi
@user-ek4ed8yp1m
@user-ek4ed8yp1m 3 ай бұрын
Wanao mdharau Upendo watamwona akingarra kama dhahabi
@gangan4618
@gangan4618 3 ай бұрын
Kweli atang'aa kama dhahabi.
@fidelismwakanyamale6787
@fidelismwakanyamale6787 6 ай бұрын
Dada ulisoma ulee familia yako sio kushabikia mbowe na group lake umefunguliwa dada Mungu amekuona sasa tafuta ridhiki ulee watoto wako na wazazi. Wewe ni mwanamke shujaa awezi kuwa wanakutumia tu bila ata aibu wao na familia zao ni kujinufaisha. Mama atakusaidia na elimu unayo njoo utulie ccm
@andrewnyaisa4445
@andrewnyaisa4445 6 ай бұрын
Huyu kaogopa vitisho babaake alitaka kuwawa
@hoseamagawa9088
@hoseamagawa9088 6 ай бұрын
Chadema hamna ktu kumbe ofis mmejenga kwa ruzuku ya ccm😂😂😂
@user-lr6qx9df4z
@user-lr6qx9df4z 6 ай бұрын
Kweli anataka nafasi lakini naamini anacho kiongea ni ukweli mtupu mana hapo anayatoa yele ya ndani ya chama
@mussathomas7421
@mussathomas7421 6 ай бұрын
Bado siaminiiii
@ChrispiniBuruchard
@ChrispiniBuruchard 2 ай бұрын
Hata vitabu vinasema tuishi nanyie KWA hakili we niyuda
@marcokanyama4533
@marcokanyama4533 5 ай бұрын
Anaongea upuuzi TU Japo karibu chama kubwa ambalo Huwa hata wanafiki kama wewe linaishi nao tu...
@user-ig7tb1cf8z
@user-ig7tb1cf8z 6 ай бұрын
Upendo mimi naona akili zimekuondoka
@pastorgodwinchengula7848
@pastorgodwinchengula7848 6 ай бұрын
😂kwanini bro?
@mashakaalfred7827
@mashakaalfred7827 4 ай бұрын
Chadema wasikujibu maana wewe nimujinga
@hoseamagawa9088
@hoseamagawa9088 6 ай бұрын
Chadema kama inawauma chomoen
@JoshuaStanley-qu3im
@JoshuaStanley-qu3im Ай бұрын
Njaa inamsumbua
@jesuinababili2280
@jesuinababili2280 6 ай бұрын
Maskini Pendo ni wa kuonea huruma... maneno yanayomtoka sio yake... Siasa ngumu 🇹🇿 yahitajika msuli
@user-lx2lo2lp8m
@user-lx2lo2lp8m 6 ай бұрын
Nakuhurumia pumbaf,ndio umeisha,kweli ndio mana wanajeshi kwa wasaliti Kama hawa hukumu yao ni kunyongwa,!..
@florencemeza6540
@florencemeza6540 6 ай бұрын
Nenda kaandamane
@AhmedSeif-il1xx
@AhmedSeif-il1xx 6 ай бұрын
Huyu mpuuzi tu njaaa inamla
@user-ef2ln1mx3s
@user-ef2ln1mx3s 5 ай бұрын
Sio nchi Yako SEMA pesa zaidi
@selegioelias9076
@selegioelias9076 2 ай бұрын
Huyu dogo ni mnyamaru kagame One Their bone to rule
@selegioelias9076
@selegioelias9076 2 ай бұрын
Hima empire tusi empire
@JonathanMatembo
@JonathanMatembo Ай бұрын
Mnafki mkubwa wewe,malaya wa kisiasa wewe,bila chadema nani angekujuwa Malaya wewe,njaa na tamaa ya pesa ndio inawasumbuwa mpaka mkauza utu wenu,na ukae ukijuwa ndio umeshajiuwa mwenyewe kisiasa,umalaya umekuponza
@fettyrashid9042
@fettyrashid9042 6 ай бұрын
Upendo wa Maisha Plus kipindi cha Masoud enzi zilee nani anakumbuka alivyofanya jini mmoja akapandisha mashetani akapiga vibao
@victaboy7273
@victaboy7273 6 ай бұрын
Siamini wanasiasa tenah
@afropatriot7769
@afropatriot7769 6 ай бұрын
Kagame/aic recruit
@user-ig5yn4zp2u
@user-ig5yn4zp2u 4 ай бұрын
Kinachokuhamisha ni njaa tuu hauna jipya
@user-qv2hj9rc3f
@user-qv2hj9rc3f Ай бұрын
Anakula matapushi yake mwenyewe
@annapeter-wb6iv
@annapeter-wb6iv 6 ай бұрын
Siasa sayansi kilimo
@salumjumaruhaga2513
@salumjumaruhaga2513 6 ай бұрын
Tayari ubunge unao dada usijali
@ChrispiniBuruchard
@ChrispiniBuruchard 2 ай бұрын
Hunajipya wewe dada.,.
@castromemba6311
@castromemba6311 6 ай бұрын
Huyu Dada ni Mtanzania kweli mbona Kama Mnyarwanda.
@selegioelias9076
@selegioelias9076 2 ай бұрын
Swaligani Sasa Tusi their bone to rule
@emmanuelymganga5737
@emmanuelymganga5737 3 ай бұрын
Kwendraaa tetea tumbo lako unadhan kwa akili mgando kama zako unauwezo wa kulbadili hili taifa
@mangenyanyondo8691
@mangenyanyondo8691 6 ай бұрын
Cheki wanaccm walivokodoa macho mwenzenu anakuwa mkuu wa mkoa
@mashakaalfred7827
@mashakaalfred7827 4 ай бұрын
Wewe mujinga
@salumjumaruhaga2513
@salumjumaruhaga2513 6 ай бұрын
Sasa elimu yako unaenda kufanya kazi
@danielndam5997
@danielndam5997 6 ай бұрын
Upendo peneza ametumia haki yake yakikatiba kuchagua chama anacho kitaka hongera sana Lakini umechagua ccm kweli? Ccm hii ya tanzania? Kwwli? Hapana lazima kuna akili zimefeli
@onesmomasala-rg2wd
@onesmomasala-rg2wd 6 ай бұрын
Mimi katibu wa kata ya ludete nakutakia safari njema lakini mkumbuke mawazo aliye uwawa kikatili sana dada yetu upendo umesahau ni?
@zunnually5886
@zunnually5886 6 ай бұрын
Asiwe katumwa na Chadema huyu dada!!
@polokotomwalusamba1132
@polokotomwalusamba1132 6 ай бұрын
Pumbafu kabisa huyu
@adammbuba7230
@adammbuba7230 6 ай бұрын
CCM NI KUBWAAAAAAAAAAAAAAA😂😂😂😂
@user-sw7tf1ob1b
@user-sw7tf1ob1b 2 ай бұрын
Wewe dr.wiblod silaa nyote hamuna chama nyote mulikua makada wa ccm Tanzania hamuna chama ila vyama vitakuja vibaraka mutapata shida
@erestizacharia4758
@erestizacharia4758 6 ай бұрын
Fala na toa njaa zako hapo.
@FratteMlay
@FratteMlay 2 ай бұрын
Ajielewi huyo umeamua kuondo funga mdomo wako ipo cku utajutia maneno yako
艾莎撒娇得到王子的原谅#艾莎
00:24
在逃的公主
Рет қаралды 47 МЛН
BILIONEA WA KIARABU TANZANIA AANGUSHA MSIKITI
39:20
SHEIKH MWAIPOPO TV
Рет қаралды 315
MBOWE AMBANA WAZIRI MKUU BUNGENI - "UNANIPA MAJIBU MEPESI SANA"
11:04
Global TV Online
Рет қаралды 122 М.