MBOWE AMBANA WAZIRI MKUU BUNGENI - "UNANIPA MAJIBU MEPESI SANA"

  Рет қаралды 113,288

Global TV  Online

Global TV Online

4 жыл бұрын

MBOWE AMBANA WAZIRI MKUU BUNGENI - "UNANIPA MAJIBU MEPESI SANA"
Kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani Bungeni ambaye pia ni mbunge wa Hai, Freeman Mbowe, amemuuliza waziri mkuu Bungeni kuhusiana na madai ya serikali kupiga marufuku mikutano ya vyama vya siasa vya upinzani nchini..
#BUNGENIDODOMA
UNA HABARI? WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE
( +255 784 888982)
( +255 676 229628)
HABARI MPYA DAILY:
kzbin.info?list...
HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:
kzbin.info?list...
GLOBAL RADIO TV:
kzbin.info?list...
EXCLUSIVE INTERVIEW:
kzbin.info?list...
Subscribe Global TV, Channel itakayokupa Habari na matukio ya kipekee nchini Tanzania
Subscribe bit.ly/globaltvonline

Пікірлер: 94
@user-lg6dd2qn2k
@user-lg6dd2qn2k 3 ай бұрын
Mungu akawape uwongozi boraa 🤝💯
@christophertarimo5047
@christophertarimo5047 3 жыл бұрын
Mbowe Alkaeli Freeman the Legend
@AnorldBelton
@AnorldBelton 5 ай бұрын
Mda ukifika hakuna nafasi yakuuliza maswali mungu hafanyi vitu kwakubahatidha Mimi naamin mda haujafika Wa Tz kuwa na uhulu huo tuutakao hawa watu wachache wanao pambana kwaajili yetu watatuacha sisi nasisi tutawaacha wengine kikubea nikuomba mungu2 mipango yake juu yataifa hili yawe
@kapingageorge7635
@kapingageorge7635 4 жыл бұрын
Tume ipoo huru makada wenu wakina Nape walikujaa na maneno ya jukwaan na kwa kejeli na majigamboo kuwa wamepigaa bao la mkono leo unasema kuna Tume huru sasa kama ww Wazir mkuu unajibu hv ki wepes wepes hao wakuu wa mikoa na mawazr inakuajee duuu kazi tunayooo
@ceciliajimmy5652
@ceciliajimmy5652 4 жыл бұрын
Hivi wanaoshangilia wanajielewa kweli!!!! Mungu tunusuru waja wako.
@yusufkechbow8153
@yusufkechbow8153 4 жыл бұрын
@@sahimm4767 nia ma house Girl
@issamasanja7874
@issamasanja7874 3 жыл бұрын
Ulijua tangu lin
@kapingageorge7635
@kapingageorge7635 4 жыл бұрын
Maswal mazito na ya msingi ww unajibu kiwepesi wepesi kazi tunayooo
@kennyrogers4734
@kennyrogers4734 3 жыл бұрын
Mh Waziri mkuu tunakupenda sana tena sana ila muogope mungu kwa kutudanganya kua tume tulionayo sasa ni huru hapana sio kweli maana tume huru gani inayoteuliwa na Raisi?iyo danganya toto Mh Waziri Mkuu
@shahabdallah9407
@shahabdallah9407 Жыл бұрын
Nafurahishwa sana na nidham ya Mh. Warizi Mkuu wetu Kassim Majaliwa
@user-zs9kb7ev5f
@user-zs9kb7ev5f 4 ай бұрын
Asante sana wazilimkuu majibu yako yameiva vizuli sana awasikii
@user-ti8fn1wn1w
@user-ti8fn1wn1w Ай бұрын
Mpumbavu wewe
@user-us3fn6bj4d
@user-us3fn6bj4d Ай бұрын
Mungu utupe uongozi bora jamni
@jahrean-tc8561
@jahrean-tc8561 4 жыл бұрын
Uenezi na kazi tufanye SAA ngapi
@user-tn5ym5gd6s
@user-tn5ym5gd6s 9 күн бұрын
Kweli kamanda mbowe tunaongozwa kibabe ila yatapita ipo siku itakula kwao kiukweli chini ni kugumu tumepgika sanat Mungu ndo anajuwa kesho yetu
@BoniphacePeter-ih2st
@BoniphacePeter-ih2st 3 ай бұрын
Swali lililojaa mitego ya Hali ya juu na liliulizwa kwa ufanisi mkubwa xn hongera mzee mbowe
@chugawoodpictures2587
@chugawoodpictures2587 4 жыл бұрын
Fire 🔥
@tonganekwizayo9642
@tonganekwizayo9642 4 жыл бұрын
Kama na wewe umeona waziri mkuu kajichanganya kasema nchi inaongozwa kibabe like hapa👇🏻👇🏻
@johnnisilenisile1990
@johnnisilenisile1990 4 жыл бұрын
Hana majibu sahihi yaan majibu yake mepesi Sana hy
@chachamaheri7785
@chachamaheri7785 4 жыл бұрын
Hata hvyo sweli lenyewe ni jpesi mno
@echuku9905
@echuku9905 Жыл бұрын
Hiyo kweli mbowe
@WilliamAbraham-xb2or
@WilliamAbraham-xb2or Ай бұрын
Mungu ibarki Tanzania
@shedyjr3227
@shedyjr3227 4 жыл бұрын
11.03 WEWEEE
@adventureguidertanzania2331
@adventureguidertanzania2331 4 жыл бұрын
Kweli mbowe Ni kichwa,maswali yako Ni mazito Sana,
@Grandpamotivator
@Grandpamotivator 4 жыл бұрын
Yaani ccm hamuonagi hata Aibu, Katiba iliyotungwa mwaka 1977 Kipindi kulikua na chama kimoja ndio itumike leo kuunda tume kwa miaka hii ya 2020 kipindi kuna vyama vingi. RUBBISH, Kipindi katiba iliyopo sasa mwaka 1977 kulikua na chama kimoja so tume ni huru kama kungekua na chama kimoja, Bali kwa sasa Hii tume sio Huru kwasababu kwa sasa kuna vyama vingi inahitajika Katiba mpya ambayo itaunda tume huru kwasababu kwasasa kuna vyama vingi kwahio katiba iliyopo imepitwa na wakati na tume si huru.
@KulwaAmran
@KulwaAmran 3 күн бұрын
Waw
@emmanuelymushy1924
@emmanuelymushy1924 4 жыл бұрын
Waziri mku nae ana tetea nafasi yake na atetei haki
@khadijamillanzi5273
@khadijamillanzi5273 3 жыл бұрын
Wewe tetea haki basi
@shulestuff
@shulestuff 4 жыл бұрын
Serikali ya TZ)zinanikumbusha Kenya ya Moi - 1990s, upinzani ikinyanyaswa
@Obedy-er8ih
@Obedy-er8ih 20 күн бұрын
It's break time 😄😄
@davidsonstevenson2653
@davidsonstevenson2653 4 жыл бұрын
huyo waziri alivyosisimama sasa kama yupo kaunta ya BAA
@abdulrahimmohamed7066
@abdulrahimmohamed7066 4 жыл бұрын
waziri mkuu ameonda OP
@georgeswai7248
@georgeswai7248 4 жыл бұрын
Weweee
@ramadhanmanko4614
@ramadhanmanko4614 4 жыл бұрын
Siokweli mzee muogopemungu
@zayanasudi3731
@zayanasudi3731 4 жыл бұрын
Mxeeeeeew hadi kichefuchefu
@josephnchunga1247
@josephnchunga1247 4 жыл бұрын
Wanataka kuzulula, huku wakichangisha fedha kwa watu eti wanaimalisha chama kumbe wanaibia pesa zetu hata ofissi ya maana miaka yote hiyo hakuna hao ndio tuwachague ,watatuzia inchi Yetu hao kwa mabeberu .
@mwidiniharuna9618
@mwidiniharuna9618 4 жыл бұрын
tutaelelewana tu
@Jonathan95311
@Jonathan95311 4 жыл бұрын
Kumbe neno "huru" linaweza likawa na maana tofauti eeeh 😧😧😧
@saleheinnocent7636
@saleheinnocent7636 4 жыл бұрын
Nakumbuka Mkurugenzi wa tume ya Uchaguzi 2015 aliondolewa dakika za mwisho kabisa jeee iyo imekaaje labda Kama sio kuingiliwa?
@ishmaelsimon6617
@ishmaelsimon6617 4 жыл бұрын
Shida ni kwamba tumejivuruga kikatiba! Ni huru yes kimaandishi but huo uhuru wake unaendeshwa vp na unasimamiwaje! For what we have seen kwa serikali za mitaa, hatuchagui viongozi, tunachaguliwa viongozi!
@moseskyaman9323
@moseskyaman9323 Жыл бұрын
Wazir Hana majibu lakin tusimlaumu alikuwa anamtumikia farao na kwa kuwa farao hayupo naamini waziri atafanya kazi na nchi itasonga mbele Dr.Samia S.H atatuvusha
@peterhayuma6401
@peterhayuma6401 3 жыл бұрын
mbowe mbane jamaa
@JohnManyilizu-rl5bm
@JohnManyilizu-rl5bm 17 күн бұрын
Kumbe hata wakubwa huwa wapo waking katika maeneo fulani nilifikili huwa Managua kila jambo au huwa wanajizima data siyo vizuri Hill nitaifa letu sote tusahihisheni tulips Korea tusonge mbele
@saleheinnocent7636
@saleheinnocent7636 4 жыл бұрын
Walakini mkubwa huu Majaliwa
@yusufkechbow8153
@yusufkechbow8153 4 жыл бұрын
Maswali ya chuot kikuu, majibu ya nursery
@eliasmollel9213
@eliasmollel9213 4 жыл бұрын
Yusuf Kechbow hatariiii Kabisaaaa
@RAHAARTISTGROUP
@RAHAARTISTGROUP 14 күн бұрын
Hawa chadema busara ni kidogo na mwaka watachukua nchi ndo itakuwa mwanzo wa machafuko huongea kwa unafikiunafiki
@amosaruta22
@amosaruta22 4 жыл бұрын
Mimi naona kama Magufuri nachukua nchi jana muongezeni mda Magufuri jamani wabunge nyie ili nchi hisonge mbele
@youngmasamah9864
@youngmasamah9864 3 жыл бұрын
Maendeleo ya Nchi yanakusaidia nn kenge ww
@paulosonda8995
@paulosonda8995 4 жыл бұрын
Kwahiyo mweshiwa wazir mkuu sehem ambazo hazina wabunge wa upinzani zenyewe inakuwaje
@athanaskija529
@athanaskija529 4 жыл бұрын
Chadema msitutishe njaa tu inawasumbua
@haipo8949
@haipo8949 4 жыл бұрын
Waziri Mkuu hana namna nyingine ya kujibu,nkutokana na Katiba iliyopo. Ndo maana amekwenda ktk vifungu. Mngepambania Katiba mpya LAKINI mkienda na Katiba iliyopo mambo ni yale yale.
@magesachacha602
@magesachacha602 4 жыл бұрын
Mpanda Kuna shida ya kuzuiwa mikutano ya MBUNGE RODA KUNCHERA na wakati taarifa wanao na kibali wametoa tatizo Viongozi wa MKOA
@adenmayala9298
@adenmayala9298 4 жыл бұрын
Endeleen kujibu majibu mepesi kwa maswali magumu ipo siku mtalipa hii gharama ya mzaha mnao ufanya
@adenmayala9298
@adenmayala9298 4 жыл бұрын
Endeleen kujibu majibu mepesi kwa maswali magumu ipo siku mtalipa hii gharama ya mzaha mnao ufanya
@davidsonstevenson2653
@davidsonstevenson2653 4 жыл бұрын
waziri mwnyw anjibu kwa mapoziii alafu mbona ajasisima kwa adabu
@davidsonstevenson2653
@davidsonstevenson2653 4 жыл бұрын
amelewa madaraka
@receptionzanbluu3656
@receptionzanbluu3656 4 жыл бұрын
Hawa wabunge wanapiga meza kiushabiki tu hawajui lolote wababaishaji tu
@BoniphacePeter-ih2st
@BoniphacePeter-ih2st 3 ай бұрын
Mbowe ni kichwa xn majariwa amna ulichojibu
@aishashabani2980
@aishashabani2980 3 жыл бұрын
Sijakuelewa we waziri
@gideonelias5379
@gideonelias5379 4 жыл бұрын
Swali na majibu hayaendani
@hamiskengwa6250
@hamiskengwa6250 4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣 majibu mepes hayo
@GeofreySanga-zo2lg
@GeofreySanga-zo2lg 21 күн бұрын
Ccm wanazingua😅
@ramadhanmanko4614
@ramadhanmanko4614 4 жыл бұрын
Weweeeee
@josephmsanga6751
@josephmsanga6751 4 жыл бұрын
Mwandishi sikuelewi Eet Waziri Mkuu kabanwa! Kwani Uliona Hapumui!? Najua Aliulizwa Maswali na Akayajibu papo!: Acha izo.
@mwidiniharuna9618
@mwidiniharuna9618 4 жыл бұрын
tatzo nin mjomba
@doktamathew
@doktamathew 4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@AhmedSeif-il1xx
@AhmedSeif-il1xx 6 ай бұрын
Majaaliwa muongo
@aldoba2826
@aldoba2826 4 жыл бұрын
Hatuna tume huru. Sio huru
@abdulazizi2875
@abdulazizi2875 4 жыл бұрын
Hahah majibu mepec sanaaa
@kitunidawooddaulani4185
@kitunidawooddaulani4185 4 жыл бұрын
ana ongea nae sio mbulula ni mtu anaye tumia akili nyingi......Ndio mana ana majibu yake shot😄😄😄
@bakarilubeleje1167
@bakarilubeleje1167 4 жыл бұрын
Mbowe yuko sahihi ase
@kitunidawooddaulani4185
@kitunidawooddaulani4185 4 жыл бұрын
@@bakarilubeleje1167 anatumia hasira arafu mwenzake anatumia akili xaxa hapo unaonekana bwege wakati upo sahihi.....😄😄😄
@ricksonmrema1693
@ricksonmrema1693 4 жыл бұрын
Upumbavu mtupu akuna tume huru
@kitunidawooddaulani4185
@kitunidawooddaulani4185 4 жыл бұрын
mepesi arafu yana kele hayo......N
@jahrean-tc8561
@jahrean-tc8561 4 жыл бұрын
We ulitaka ajibu vipi
@kitunidawooddaulani4185
@kitunidawooddaulani4185 4 жыл бұрын
@@jahrean-tc8561 mie sipo tena uko
@kitunidawooddaulani4185
@kitunidawooddaulani4185 4 жыл бұрын
@@jahrean-tc8561 mbona amejubu furesh sema uyo mwenzake alikuwa anataka wabishane....😄😄😄😄
@saleheinnocent7636
@saleheinnocent7636 4 жыл бұрын
Kila kitizama video hii nauwona uwepesi wa majibu ya mtendaji mkuu wa shughuli za serikali bungeni.
@batistutacharles9146
@batistutacharles9146 4 жыл бұрын
Acheni kushiriki tena muuone ?ccm tunapaa kama kaw
@justinejohn7724
@justinejohn7724 4 жыл бұрын
Una uhakika??
@saleheinnocent7636
@saleheinnocent7636 4 жыл бұрын
Video hii inachefua
@user-ti8fn1wn1w
@user-ti8fn1wn1w Ай бұрын
Miaka 61 ccm madarakan na wanainchi maixha bado magum
@isacktarimo8917
@isacktarimo8917 4 жыл бұрын
Kama nawew umesikiliza robo ukaona haku cha maan gong like
@hapickymedia8616
@hapickymedia8616 4 жыл бұрын
Majibu mapesi kweli ?
@LukandaLukata
@LukandaLukata 3 ай бұрын
Lukanda Lukata
@victorjames3730
@victorjames3730 4 жыл бұрын
Tume iko huru???????? Hehehe
@Grandpamotivator
@Grandpamotivator 4 жыл бұрын
Amesema tume huru kwa mujibu wa katiba ya mwaka 1977 kipindi cha chama kumoja, ila kajisahau kwamba sasa kuna mfumo wa vyama vingi so katiba iliyotungwa 1977 kwasasa imepitwa na wakati, so tume sio Huru tena coz kwa sasa kuna vyama vingi
@simonrusigwa3024
@simonrusigwa3024 2 жыл бұрын
Cheeky hajajisahau. Makusudi
@luvangaluvanga2322
@luvangaluvanga2322 4 жыл бұрын
Polepole anaridhaa ya nani ?
@lwitikomwakibete7525
@lwitikomwakibete7525 4 жыл бұрын
Kama majibu mepesi ongeza mchanga yawe mazito
@AllyMandunda-tj9jc
@AllyMandunda-tj9jc Ай бұрын
User wewe ni mjinga sana
@josephnchunga1247
@josephnchunga1247 4 жыл бұрын
Waziri Mkuu yuko yy anajibu kulingana na swali limevyo ulizwa ,tume huru ipi kama si kutuhadaa tu, swali la nyongeza kama si tume Huru wao walishindaje? Wa upinzani wafie mbele wahuni hao.
@danielmwanga5231
@danielmwanga5231 4 жыл бұрын
Hawa jmaa wanajiamini cjui kwa nn wanajibu majibu kirahis rahis kwel inauma sana utawala huu Mambo yanavyoenda
Ni Tundu Lissu na Joseph Mbilinyi tena Bungeni leo May 5 2017
11:11
Millard Ayo
Рет қаралды 1,4 МЛН
Tundu Lissu Aliamsha Dude Sakata la Mikataba ya Madini, Bunge Lachafuka
6:46
HOW DID HE WIN? 😱
00:33
Topper Guild
Рет қаралды 38 МЛН
Вечный ДВИГАТЕЛЬ!⚙️ #shorts
00:27
Гараж 54
Рет қаралды 14 МЛН
THEY made a RAINBOW M&M 🤩😳 LeoNata family #shorts
00:49
LeoNata Family
Рет қаралды 31 МЛН
MAMBO YALIYOMCHEFUA MAGUFULI KUPITA KIASI LEO NI HAYA..
25:04
Global TV Online
Рет қаралды 1,2 МЛН
"Unapotangaza mtu aje Polisi saa 5, wewe ni nani?" - MBOWE
12:00
Millard Ayo
Рет қаралды 691 М.
BUNGENI: MBOWE VS MAJALIWA KUHUSU SHAMBULIO LA LISSU
12:23
Millard Ayo
Рет қаралды 300 М.
Swali la Mbowe kwa Waziri Mkuu Pinda | BUNGE STAR TV
2:09
SIMU. Tv
Рет қаралды 71 М.
Gen-Z waonekana kukerwa baada ya serikali kuungana na upinzani
4:16
KTN News Kenya
Рет қаралды 27 М.
HOW DID HE WIN? 😱
00:33
Topper Guild
Рет қаралды 38 МЛН