Waziri KABUDI Amvunja Mbavu MAGUFULI - "NYERERE Asingekuwa MTANZANIA"

  Рет қаралды 320,998

Global TV  Online

Global TV Online

Күн бұрын

Пікірлер: 274
@chrismutisya
@chrismutisya 5 жыл бұрын
I am a Kenyan but i tune in to listen to this man. He inspires me to read books. He is a great brain and a blessing to East Africa.
@yusuphboli3416
@yusuphboli3416 5 жыл бұрын
Christopher Mutisya east africa all the way
@paulinamon9087
@paulinamon9087 5 жыл бұрын
Anasemaga mwnyw Kuwa ni wa jalalani . He doesn't know his worth
@edwardgerald8602
@edwardgerald8602 5 жыл бұрын
Christopher Mutisya you are right brother!
@kaniogachief6151
@kaniogachief6151 5 жыл бұрын
Kichwaa hicho
@samueltopoikaoltingidi2926
@samueltopoikaoltingidi2926 4 жыл бұрын
Very intelligent man indeed
@angelinasimchimba705
@angelinasimchimba705 5 жыл бұрын
Moja ya watu ambao ni hazina zetu kwa serikali ya jamhuri ya muungano wa Tanzania ".....ni huyu professor kabudi,he is very Talented @
@science_fact93
@science_fact93 5 жыл бұрын
More than Talented
@khamisibinamu5323
@khamisibinamu5323 3 жыл бұрын
Ana elimu sana huyu mzee halafu ni mbobezi wa lugha ya kiswahili
@devotawaitara2333
@devotawaitara2333 3 жыл бұрын
More than
@wazirhussein3751
@wazirhussein3751 3 жыл бұрын
Ningependa awe makamu mpya wa Tanzania, he genius
@maxmax8273
@maxmax8273 Ай бұрын
CCM should allow him to run for Presidency. He's really fantastic. By the way how does his CV look like?
@jacoblaiser7634
@jacoblaiser7634 5 жыл бұрын
Professor Kabudi kongole sana kwa hotuba zako ambazo siku zote hujaa mafundisho na mawaidha ya kisomi na ya kiutu uzima.
@petermartin7181
@petermartin7181 5 жыл бұрын
Professor Kabudi thank you for supporting the government of Tanzania. You are well informed and you are a pride of Tanzania. When I listen to people like Zitto Kabwe and Tundu Lissu talking evil about their country, I wonder whose interests they speak for. Professor you are doing a good job for the People of Tanzania and the country, well done and God bless you.
@rahimaaaaa8699
@rahimaaaaa8699 5 жыл бұрын
Kabudi safi sana..wajukuu zako wana raha sana
@ezmexplores
@ezmexplores 4 жыл бұрын
Kweli Kabisa.
@kahibiraphael2902
@kahibiraphael2902 5 жыл бұрын
your brain is so smart Prof Kabudi
@munuoisaack418
@munuoisaack418 5 жыл бұрын
Natamani sana Dr Magufuli,,,Prf Kabudi,,,Mh Bashe mjitahidi kusimamia uwezo wenu wa akili ulete matokeo hapa Tz najua huenda tutapitia aina flani ya maisha lakini hata Mwanamke anapojifungua anapatwa na maumivu lakini mwishowe hufurahi nasi tutavumilia lakini matokeo yawepo
@kingj9346
@kingj9346 5 жыл бұрын
I don't get tired to listen to this prof, especially when is talking about history of great lakes region
@jumbeojaso5767
@jumbeojaso5767 5 жыл бұрын
Prof mwl ni mwalimu usimpe jukwaa hata masaa 3 hachoki ,Ila kwa ukweli wakenya ni ndugu zetu Wa damu kama ambavyo Waganda ,Warundi,Wanyrwanda ,Wakongo ,Wa Malawi na Wazambia ni ndugu Wa damu, na tunamahusuano ya miaka mingi, japo wazungu walizigawa nchi zetu ili watutawale vizuri na kunyonya rasilimali za bara letu LA Africa. Tudumishe udugu huu kwa vitendo na siyo kwa maneno. Tujifunze kusameheana huku tukijadiliana kila tunapoona kasoro . Mungu zibariki Tanzania na Kenya .tuishi kwa Amani ...Amen.
@MsAggie5
@MsAggie5 5 жыл бұрын
Jumbe Ojaso amen
@jumbeojaso5767
@jumbeojaso5767 5 жыл бұрын
@@MsAggie5 .AMEEN
@sapduke8691
@sapduke8691 4 жыл бұрын
Wakigawa kwa minaajili sis ndio waiburu.... wahibiraniha (Hebrews in English) It is why we suffered so much with slavery and slave trade... But our people don't know who we are.. Wazungu wameficha siri, but we are the chosen people of the most high! Wake up and stand up against the gentile's (barbarian (beberu)
@williamlumbasia7110
@williamlumbasia7110 4 жыл бұрын
Ameen!
@lennyalega1559
@lennyalega1559 4 жыл бұрын
Umenena ukweli nami nasema Amina. Love from kenya
@maryjohn8785
@maryjohn8785 5 жыл бұрын
Haiya nmejua leo hadidhi nzuri kweli 🇰🇪
@isayamwidete6420
@isayamwidete6420 5 жыл бұрын
The comming president after KING MAGUFULI!!!i wish to see you in MAGOGONI in further days even though we know your not politician , and that makes you stronger!🇹🇿!!!i wish you can take even other ministry specifically ministry of internal affairs where we see huge loop holes for a long tym!!!We luv you MAFUFULI💕,we luv you HON KABUDI!!💕
@science_fact93
@science_fact93 5 жыл бұрын
This Man has great Gift of leadership I think within few years to come he might be great leader within this country
@evancelawrence1813
@evancelawrence1813 5 жыл бұрын
Big up
@remmychuma1313
@remmychuma1313 5 жыл бұрын
It was a great and an excellent presentation. Well done Prof. Palamagamba Aidan Kabudi.
@rahjah5882
@rahjah5882 5 жыл бұрын
I always lean some when Prof. Kabudi chant One love Itinualy
@clementkithinji7091
@clementkithinji7091 5 жыл бұрын
Prof is a gem in EA such history is the minds of very few if any,he has made me feel very proud that we have such brains with eloquence,succinct and unravelled orator, please Prof write book on this, rich history which many citizens of both countries don't have
@omarykaita43
@omarykaita43 5 жыл бұрын
Pro: John Aidani Mwiyange Palamagamba Kabudi. the Minister of External Affairs, East Africa and Zone at Large, You deserved to be on the current position, Please, in faith, assist our Beloved JPM. I am admiring your presentation.
@kinigarm8239
@kinigarm8239 5 жыл бұрын
Tanzania is the father of Politics in Africa/Ka.
@robertmwakavi1266
@robertmwakavi1266 4 жыл бұрын
This man should be the next Tanzanian president after DrJ P Maghufuli.Very brilliant,articulate,sense of humor and bold.
@djatm1319
@djatm1319 5 жыл бұрын
Mwana historia huyu ....nimempenda sana kutoka Kenya
@maryjohn8785
@maryjohn8785 5 жыл бұрын
DJ ATM mm pia
@jamhuricity
@jamhuricity 4 жыл бұрын
Am a Kenyan and I never tire to listen to professor.. Full of wisdom and knowledge
@deusdebitkowa9657
@deusdebitkowa9657 5 жыл бұрын
Profesaaa!!! I do appreciate you.
@jerichoseth4188
@jerichoseth4188 5 жыл бұрын
Duh!huyu mzee yyko vizuri kihistoria anaijua nchi vizuri sana
@williamray7751
@williamray7751 3 жыл бұрын
Professor Kabudi, An intelligent man ,your gift of understanding and grasping information is outstanding 👏 👌
@danielbugwema6969
@danielbugwema6969 5 жыл бұрын
Naomba ukabidhiwe nchi baada ya Magufuli unajua mengi Sana
@abdulatifmoxamed8047
@abdulatifmoxamed8047 5 жыл бұрын
Absolutely
@kiatu
@kiatu 4 жыл бұрын
4 months later - Magufuli will take us to 2030. No chance for Kabudi. But really a learned guy. Love him
@husseinnkenja8149
@husseinnkenja8149 5 жыл бұрын
Prof. Kabudi wewe ni profesa haswa. Nakupenda sana mkuu najua wapo wanaokubeza na kukuona si kitu lakini hajui hazina kubwa uliyobeba kichwani mwako. Nadhani kwa sasa upo sehemu sahihi kabisa na mkuu wa nchi amekuweka sehemu sahihi ya diplomasia na unaiweza kwa haki. Mkuu Prof. Kabudi endelea hivyo hivyo kama watanzania wa sasa hawaona ubora wako basi wajao wenye akili nyingi watatambua hazina kubwa na watatushangaa sisi ambao tunaishi na wewe na kula na wewe kwa nini hatuthamini hazina hiyo. nampongeza sana rais Magufuli kwa kukuona na kukuteua katika nafasi hiyo.
@josephinemitamba3399
@josephinemitamba3399 5 жыл бұрын
Asante sana kwamaneno ya hekima na busara tunacho omba kama wa Afrika nikwamba wale ambao wanajuwa sisi wote ni ndungu wawe wanaelimisha watu mauwaji ubaguzi na matengano vinatokeya wengi wetu hawajuwi undungu wetu kaeni chini mukafunze watoto wetu Afrika tuwe kitu kimoja
@fediruben5009
@fediruben5009 5 жыл бұрын
Duu mh Kabudi nimekukubali unaijua historia vizuri
@lucieserero7475
@lucieserero7475 4 жыл бұрын
I felt like I was in class learning Swahili again... Loved it👍👌
@mariamnimbo8394
@mariamnimbo8394 3 жыл бұрын
Nimejifunza kutoka kwako waziri Kabudi, kumbe wengi wetu ni Africa ni ndugu. Asante kwa historia hii. Tku!!!
@abdallahhassan6055
@abdallahhassan6055 5 жыл бұрын
Kwakweli mm huwa naumia sana ninapoona kabudi eti anakosolewa na lema au mbowe kwa uwelewa upi walionao au sugu jamani wasikilize haya mafundisha ya History ndo wajue kama nchi hii inawalimu wanaojua kufundisha lapili wajuwe huyu jamaa kasoma na akina nani na wapi mashaidi wake ni wakenya na ninadhani hawazidi watanzania watano wenye kutowa spich za namna hii tumpongeze jamani prof kabudi mwaaaaaa
@andreajeremia436
@andreajeremia436 4 жыл бұрын
Shida yetu nyingine ni wivu wa kijinga,watu kama hawa ni tunu kwa Nchi za wenzetu,wanaheshimika na kujaliwa sana,lakini kwetu,utakuta mjinga mmoja anaropoka ujinga mtupu na wajinga wenzake wanamsapoti anajiona ni mtu anayejua kitu kumbe hamna lolote.!!
@ambrosemilinga1395
@ambrosemilinga1395 4 жыл бұрын
(99999999999)99999999999999999999999999999999999999999999999999999999999999999)999999999999999999999999999999999999))9999999999999999999999999999999999)99999)9999999)99999999999999999999999999999999999999999
@deusrobert1343
@deusrobert1343 3 жыл бұрын
@@andreajeremia436 wambie
@devotawaitara2333
@devotawaitara2333 3 жыл бұрын
Ananivutia huyu baba, Yuko vizuri
@msemwawalter837
@msemwawalter837 5 жыл бұрын
Watu wanakula lecture kwa ikulu. Take notes...... Free academic input.
@Kushpoll
@Kushpoll 4 жыл бұрын
Kenyan's who are here after the BBI report launch chapeni like.
@lennyalega1559
@lennyalega1559 4 жыл бұрын
Remember when he talked of magniloquence?
@shaffimwakz1413
@shaffimwakz1413 4 жыл бұрын
This is why watu wanasema Mombasa sio Kenya.... Now I understand
@allykivike7228
@allykivike7228 5 жыл бұрын
Magufuli anaakili sana hata anapo cheka anamaanisha sikama wengine wanacheka hata msibani.
@prospermakela7791
@prospermakela7791 5 жыл бұрын
Ally Kivike ,upo vizuri mkuu umeliona hilo jamaa anacheka kwa kwa timing
@andreajeremia436
@andreajeremia436 4 жыл бұрын
Wale jamaa,walikuwa wanacheka hata msibani duuh.
@williamlumbasia7110
@williamlumbasia7110 4 жыл бұрын
Am being inspired by this man. After BBI....I landed here to do some follow-up
@hassanhamudy6639
@hassanhamudy6639 3 жыл бұрын
How do you see the man....
@josephharri9015
@josephharri9015 5 жыл бұрын
Ingekuwa awamu zilizopita, hizo zingepigwa na wala Taarifa msingezisikia. Big up to our Lovely President Dr. J.J.P Magufuli.
@MsAggie5
@MsAggie5 5 жыл бұрын
Joseph Harri yaani usiseme hizo zingepigwa juu kwa juu
@tozzaalexandar4905
@tozzaalexandar4905 5 жыл бұрын
Kabudi safii upo makini sanaaa
@ntibanahum8113
@ntibanahum8113 5 жыл бұрын
Nampongeza Rais magufuli kwa kutamka hadharani kua Tanzania sio masikini ni nchi Tajiri Sana Asante sana mh Rais. Umetuonyesha kwa vitendo Hawa watu walikua wamefungiwa tu University pale dar. Now I feel proud to be a Tanzania
@kingsolomon0
@kingsolomon0 4 жыл бұрын
Indeed you are professor kabudi
@zumbeshauri8114
@zumbeshauri8114 5 жыл бұрын
sijawahi kuchoka hutuba za kabudi na mzee magufuri hakika kinavitu vinainhia ndani yake
@masanjemuyenjwa2434
@masanjemuyenjwa2434 5 жыл бұрын
u'r a really prof. unajua mambo meng sana, mara nying unapozungumza na kuwa karbu kukusiklza il nijifunze mengi kutoka kwako
@davidmatoka5203
@davidmatoka5203 4 жыл бұрын
Hon. Kabudi you deserve being a great leader thank you for making effort of trying to create good relationship between Kenya and Tanzania, , , akubariki sana Maulana
@shadrackkwemoi5604
@shadrackkwemoi5604 4 жыл бұрын
Uko vizuri sana bwa. Prof. Kabudi kwa hotuba zako haswa kwa kutujuza historian nyingi tusizozijua
@davidgithiomi4021
@davidgithiomi4021 4 жыл бұрын
I Honestly salute prof Kabundi. I have learned a lot from him. Great Historian of this century.
@nichkakumbi7657
@nichkakumbi7657 5 жыл бұрын
Kabudi uko vzr uncle..
@omarymohammed2880
@omarymohammed2880 4 жыл бұрын
genius and intelgent man prof kabudi
@muhamoha5038
@muhamoha5038 4 жыл бұрын
It's a joy always to listen to this great man talking
@AliMvingira-ls2vm
@AliMvingira-ls2vm Жыл бұрын
Mungu akutangulie mzee wangu
@TheB920
@TheB920 4 жыл бұрын
Watanzania huwa wanashukuru Mungu kwa vile wako na viongozi wema ama huwa wanadhani ni jambo la kawaida? 🤔
@abdulatifmoxamed8047
@abdulatifmoxamed8047 5 жыл бұрын
My next president honestly kama nguvu zitaruhusu akimaliza mchapakazi Magufuli
@isayamwidete6420
@isayamwidete6420 5 жыл бұрын
exactly!!!
@saidbarawa9096
@saidbarawa9096 Жыл бұрын
Kabudi iadmire.your leadership, keep up,next president of Tanzania
@jeremymakokha4797
@jeremymakokha4797 4 жыл бұрын
Huyu Kabudi ningependa kumfahamu sana...aliniguza sana tukizindua BBI Kenya....from 254
@fredricklemiso6191
@fredricklemiso6191 4 жыл бұрын
When he attended bbi launch we almost died because of laughter . Kiswahili tulitafuta kamusi
@jacksonzakayo6759
@jacksonzakayo6759 4 жыл бұрын
Kama unamkubali waziri kabudi weka like yako hapo.
@cyrilologe
@cyrilologe 4 жыл бұрын
Naienzi sana hekima na busara ya Bwana Kabudi...hongera
@tobynasheimani7969
@tobynasheimani7969 5 жыл бұрын
Ilike this guy ithink he should be the next president of Tanzania
@officialmsigwa5069
@officialmsigwa5069 3 жыл бұрын
Good History very Interestive
@athumanomary1171
@athumanomary1171 5 жыл бұрын
Ewe mwenyez MUNGU tunazidi kukuomba enderea kumuongoza vyema raisi wetu ewe mwenyez MUNGU mkuu
@mhojamsafiri2273
@mhojamsafiri2273 3 жыл бұрын
Mungu akubariki sana Kabudi🙏🏻🙏🏻
@johnpesambili4806
@johnpesambili4806 5 жыл бұрын
Watu kama hawa tulikuwa tunawaweka mfukoni wakati wanamadini kiasi hiki.. Mungu akubariki Rais wetu hukoseagi kuteua kabisa.
@alfayokisambu6105
@alfayokisambu6105 4 жыл бұрын
W
@oman7710
@oman7710 4 жыл бұрын
Amiiiin
@kipkemoiisaac5326
@kipkemoiisaac5326 4 жыл бұрын
Who's this guy. Brilliance galore
@memocheptabkipsigis312
@memocheptabkipsigis312 4 жыл бұрын
Kabudi he was there on BBI launch
@Djaiicool2012
@Djaiicool2012 4 жыл бұрын
Huyu buda alitu mix Nairobi na kiswahili remixes.
@moudymchemia6598
@moudymchemia6598 4 жыл бұрын
Ahsante kiongozi wangu nimetokea kukukubali toka umetoa speech Kenya
@robertkipkoech008
@robertkipkoech008 4 жыл бұрын
He came to Kenya and surely united us a country...he is a gentleman
@oslominiconcerts3538
@oslominiconcerts3538 4 жыл бұрын
Prof Kabudi the next President of Tanzania. This man is smart and has a deep sense of detail and knowledge of the region. Hongera mtoto wa kasisi.
@johnjaphet9548
@johnjaphet9548 5 жыл бұрын
HAKI HUINUA TAIFA SAFI SANA
@okothdido3827
@okothdido3827 4 жыл бұрын
Great man. Kenyans honour you
@kanyaugatiejagwo
@kanyaugatiejagwo 4 жыл бұрын
This will be the next Tanzania president
@wbabu6155
@wbabu6155 4 жыл бұрын
Prof Kabudi, what a great speech!
@andreajeremia436
@andreajeremia436 4 жыл бұрын
Una sifa zote za kuwa kiongozi,maana kiongozi hanuni wakati wore pia hachekicheki wakati wote,vizuri sana Mungu akufikishe alikokukusudia.
@deusmauka9626
@deusmauka9626 5 жыл бұрын
Tusome vitabu, tusome magazeti, tuache ujinga.
@kazikazini1042
@kazikazini1042 4 жыл бұрын
Nimekubali
@eutychusthiongo1335
@eutychusthiongo1335 3 жыл бұрын
Profesa Kabudi is all tym best foreign affairs minister in TZ
@issamsomba7219
@issamsomba7219 5 жыл бұрын
big up
@TheMrisho
@TheMrisho 4 жыл бұрын
Professor Kabudi sio wa mchezo mchezo aisee. Yuko vizuri sana.
@e.jack.47
@e.jack.47 3 жыл бұрын
Kabudi we love you here in Kenya. Kwa kweli tz na Kenya ni mandugu
@samjohn583
@samjohn583 4 жыл бұрын
Pround to be East Africana.
@hipu755
@hipu755 4 жыл бұрын
This is a lesson to those who reasoned that if your neighbour's chicken strays to your backyard you have a right to slaughter and eat it.
@rasnjogu
@rasnjogu 4 жыл бұрын
I believe what he is saying, colonial boundaries are just mental boundaries.
@robertngwagala5939
@robertngwagala5939 2 жыл бұрын
Namkubali sana hyu mwmba
@sallykalya9023
@sallykalya9023 4 жыл бұрын
Woie Nyerere alikuwa wetu😂🇰🇪
@kingnicky2568
@kingnicky2568 4 жыл бұрын
Sanna Kruger kenya akili hamnaga kabisaa😂😂😂😂😂
@vstvst3135
@vstvst3135 3 жыл бұрын
Kabudi for president
@stanslausmteme8455
@stanslausmteme8455 5 жыл бұрын
We kabudi ni prof Ur real ticha
@deusdebitkowa9657
@deusdebitkowa9657 5 жыл бұрын
Profesa Kabudi!!!
@enocklugora4331
@enocklugora4331 5 ай бұрын
Gud gud sana
@alexfrancis2278
@alexfrancis2278 4 жыл бұрын
Waziri kabudi yuko vizuri sana sana nimeipenda hiyo
@johnzephania8549
@johnzephania8549 5 жыл бұрын
historia za kuhusu nchi hii nazitamani Sana kuzisikiliza, na hata sipati uchovu, nakukumba uandike kitabu cha historia kiuzwe madukani nitakuwa wa kwanza kukinunua
@josephkinyanjui8399
@josephkinyanjui8399 4 жыл бұрын
Very smart man...
@AliMvingira-ls2vm
@AliMvingira-ls2vm Жыл бұрын
Jamani nchi yangu nikifikilianatoa machozi mungu atupe nini nchi hii viongozi wazuli ndo hawadumu duh. Mabaya yana ishi mzee, wewe unafaa kuwa rais, anaebisha nimnafiki
@jamesohayo5329
@jamesohayo5329 4 жыл бұрын
This man IS brilliant.
@schoolboy1614
@schoolboy1614 4 жыл бұрын
Prof. Kabudi respect kwako
@MJ-ye7dd
@MJ-ye7dd 4 жыл бұрын
Nilimpenda huyo Prof Kabudi bure tu🌷
@peteg9921
@peteg9921 3 жыл бұрын
Palamalamba Kabudi...what a name? I like this guy, he's a lawyer with oratory skills, a historian per excellence, has a commanding voice and presence 👌..I don't know much about Tanzania CCM politics but his star is shining so bright I think he should be the next big thing in Tz politically. Now that Magu is gone, he is the man to watch.
@peteg9921
@peteg9921 3 жыл бұрын
I hope some day he ascends to the highest office in Tz...the foreign ministry is a too small office for such a potential guy. For us in Kenya, the political landscape is heavily polluted, saturated, full,mixed,chocked by the same same people for the last 25 years. They don't want to leave the political stage yet they stifle,strangle and shove aside new promising political voices who they view as enemies. The Kenyan curse in one stanza!
@adeltusbashara9720
@adeltusbashara9720 5 жыл бұрын
Kabudi anafaa kuwa rais baada ya JPM!
@boniphacetabu2903
@boniphacetabu2903 5 жыл бұрын
Kumbuka prof hii level ni mtu anayeamini sana mawazo yake na hakosolowi na anapaswa kuwa lecture tu
@samgesaka4203
@samgesaka4203 4 жыл бұрын
Mimi in mkenya nampigia upatu kabudi kuwa rais wa Tanzania baada ya jjm
@cosmasmapesa
@cosmasmapesa 4 жыл бұрын
Tumekuelewa sana mwalimu wa walimu, uwepo wako ni mhimu sana nchi endelea kutufungua vichwa
@danzada7769
@danzada7769 4 жыл бұрын
Next TZ Prezzo.
@nellynzau421
@nellynzau421 4 жыл бұрын
Mie Mkenya, Hotuba za Prof. Huwa na ujasiri
@franciscomasungulwa3575
@franciscomasungulwa3575 5 жыл бұрын
Tunazidi kujifunza mengi ya kale
@samuelotura5883
@samuelotura5883 4 жыл бұрын
I compare this man just with Amollo Raila,I wish we have this like person in Kenya
@jumamavind7713
@jumamavind7713 3 жыл бұрын
Profesa Kabudi asante kwakujiamini unapoongelea kitu
Prof Kabudi awarudisha wabunge shuleni kwa muda
25:42
Mwananchi Digital
Рет қаралды 302 М.
Smart Sigma Kid #funny #sigma
00:14
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 12 МЛН
НИКИТА ПОДСТАВИЛ ДЖОНИ 😡
01:00
HOOOTDOGS
Рет қаралды 1,7 МЛН
Un coup venu de l’espace 😂😂😂
00:19
Nicocapone
Рет қаралды 11 МЛН
This mother's baby is too unreliable.
00:13
FUNNY XIAOTING 666
Рет қаралды 39 МЛН
Matukio MATANO YALIYOTIKISA Mkutano wa JPM na WAFANYABIASHARA
27:07
Global TV Online
Рет қаралды 1,2 МЛН
TOP 16: MAMBO ALIYOFANYA MAGUFULI NDANI YA MIAKA MINNE
29:07
Global TV Online
Рет қаралды 514 М.
LIVE: MAGUFULI AMKATAZA MKURUGENZI KUONGEA KIINGEREZA "NITAKIFUNGA"
23:26
PART 1: MZEE MAKAMBA AMVUNJA MBAVU KIKWETE HADI MACHOZI YAMEMTOKA...
20:48
Smart Sigma Kid #funny #sigma
00:14
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 12 МЛН