I am a Kenyan but i tune in to listen to this man. He inspires me to read books. He is a great brain and a blessing to East Africa.
@yusuphboli34165 жыл бұрын
Christopher Mutisya east africa all the way
@paulinamon90875 жыл бұрын
Anasemaga mwnyw Kuwa ni wa jalalani . He doesn't know his worth
@edwardgerald86025 жыл бұрын
Christopher Mutisya you are right brother!
@kaniogachief61515 жыл бұрын
Kichwaa hicho
@samueltopoikaoltingidi29264 жыл бұрын
Very intelligent man indeed
@angelinasimchimba7055 жыл бұрын
Moja ya watu ambao ni hazina zetu kwa serikali ya jamhuri ya muungano wa Tanzania ".....ni huyu professor kabudi,he is very Talented @
@science_fact935 жыл бұрын
More than Talented
@khamisibinamu53233 жыл бұрын
Ana elimu sana huyu mzee halafu ni mbobezi wa lugha ya kiswahili
@devotawaitara23333 жыл бұрын
More than
@wazirhussein37513 жыл бұрын
Ningependa awe makamu mpya wa Tanzania, he genius
@maxmax8273Ай бұрын
CCM should allow him to run for Presidency. He's really fantastic. By the way how does his CV look like?
@jacoblaiser76345 жыл бұрын
Professor Kabudi kongole sana kwa hotuba zako ambazo siku zote hujaa mafundisho na mawaidha ya kisomi na ya kiutu uzima.
@petermartin71815 жыл бұрын
Professor Kabudi thank you for supporting the government of Tanzania. You are well informed and you are a pride of Tanzania. When I listen to people like Zitto Kabwe and Tundu Lissu talking evil about their country, I wonder whose interests they speak for. Professor you are doing a good job for the People of Tanzania and the country, well done and God bless you.
@rahimaaaaa86995 жыл бұрын
Kabudi safi sana..wajukuu zako wana raha sana
@ezmexplores4 жыл бұрын
Kweli Kabisa.
@kahibiraphael29025 жыл бұрын
your brain is so smart Prof Kabudi
@munuoisaack4185 жыл бұрын
Natamani sana Dr Magufuli,,,Prf Kabudi,,,Mh Bashe mjitahidi kusimamia uwezo wenu wa akili ulete matokeo hapa Tz najua huenda tutapitia aina flani ya maisha lakini hata Mwanamke anapojifungua anapatwa na maumivu lakini mwishowe hufurahi nasi tutavumilia lakini matokeo yawepo
@kingj93465 жыл бұрын
I don't get tired to listen to this prof, especially when is talking about history of great lakes region
@jumbeojaso57675 жыл бұрын
Prof mwl ni mwalimu usimpe jukwaa hata masaa 3 hachoki ,Ila kwa ukweli wakenya ni ndugu zetu Wa damu kama ambavyo Waganda ,Warundi,Wanyrwanda ,Wakongo ,Wa Malawi na Wazambia ni ndugu Wa damu, na tunamahusuano ya miaka mingi, japo wazungu walizigawa nchi zetu ili watutawale vizuri na kunyonya rasilimali za bara letu LA Africa. Tudumishe udugu huu kwa vitendo na siyo kwa maneno. Tujifunze kusameheana huku tukijadiliana kila tunapoona kasoro . Mungu zibariki Tanzania na Kenya .tuishi kwa Amani ...Amen.
@MsAggie55 жыл бұрын
Jumbe Ojaso amen
@jumbeojaso57675 жыл бұрын
@@MsAggie5 .AMEEN
@sapduke86914 жыл бұрын
Wakigawa kwa minaajili sis ndio waiburu.... wahibiraniha (Hebrews in English) It is why we suffered so much with slavery and slave trade... But our people don't know who we are.. Wazungu wameficha siri, but we are the chosen people of the most high! Wake up and stand up against the gentile's (barbarian (beberu)
@williamlumbasia71104 жыл бұрын
Ameen!
@lennyalega15594 жыл бұрын
Umenena ukweli nami nasema Amina. Love from kenya
@maryjohn87855 жыл бұрын
Haiya nmejua leo hadidhi nzuri kweli 🇰🇪
@isayamwidete64205 жыл бұрын
The comming president after KING MAGUFULI!!!i wish to see you in MAGOGONI in further days even though we know your not politician , and that makes you stronger!🇹🇿!!!i wish you can take even other ministry specifically ministry of internal affairs where we see huge loop holes for a long tym!!!We luv you MAFUFULI💕,we luv you HON KABUDI!!💕
@science_fact935 жыл бұрын
This Man has great Gift of leadership I think within few years to come he might be great leader within this country
@evancelawrence18135 жыл бұрын
Big up
@remmychuma13135 жыл бұрын
It was a great and an excellent presentation. Well done Prof. Palamagamba Aidan Kabudi.
@rahjah58825 жыл бұрын
I always lean some when Prof. Kabudi chant One love Itinualy
@clementkithinji70915 жыл бұрын
Prof is a gem in EA such history is the minds of very few if any,he has made me feel very proud that we have such brains with eloquence,succinct and unravelled orator, please Prof write book on this, rich history which many citizens of both countries don't have
@omarykaita435 жыл бұрын
Pro: John Aidani Mwiyange Palamagamba Kabudi. the Minister of External Affairs, East Africa and Zone at Large, You deserved to be on the current position, Please, in faith, assist our Beloved JPM. I am admiring your presentation.
@kinigarm82395 жыл бұрын
Tanzania is the father of Politics in Africa/Ka.
@robertmwakavi12664 жыл бұрын
This man should be the next Tanzanian president after DrJ P Maghufuli.Very brilliant,articulate,sense of humor and bold.
@djatm13195 жыл бұрын
Mwana historia huyu ....nimempenda sana kutoka Kenya
@maryjohn87855 жыл бұрын
DJ ATM mm pia
@jamhuricity4 жыл бұрын
Am a Kenyan and I never tire to listen to professor.. Full of wisdom and knowledge
@deusdebitkowa96575 жыл бұрын
Profesaaa!!! I do appreciate you.
@jerichoseth41885 жыл бұрын
Duh!huyu mzee yyko vizuri kihistoria anaijua nchi vizuri sana
@williamray77513 жыл бұрын
Professor Kabudi, An intelligent man ,your gift of understanding and grasping information is outstanding 👏 👌
@danielbugwema69695 жыл бұрын
Naomba ukabidhiwe nchi baada ya Magufuli unajua mengi Sana
@abdulatifmoxamed80475 жыл бұрын
Absolutely
@kiatu4 жыл бұрын
4 months later - Magufuli will take us to 2030. No chance for Kabudi. But really a learned guy. Love him
@husseinnkenja81495 жыл бұрын
Prof. Kabudi wewe ni profesa haswa. Nakupenda sana mkuu najua wapo wanaokubeza na kukuona si kitu lakini hajui hazina kubwa uliyobeba kichwani mwako. Nadhani kwa sasa upo sehemu sahihi kabisa na mkuu wa nchi amekuweka sehemu sahihi ya diplomasia na unaiweza kwa haki. Mkuu Prof. Kabudi endelea hivyo hivyo kama watanzania wa sasa hawaona ubora wako basi wajao wenye akili nyingi watatambua hazina kubwa na watatushangaa sisi ambao tunaishi na wewe na kula na wewe kwa nini hatuthamini hazina hiyo. nampongeza sana rais Magufuli kwa kukuona na kukuteua katika nafasi hiyo.
@josephinemitamba33995 жыл бұрын
Asante sana kwamaneno ya hekima na busara tunacho omba kama wa Afrika nikwamba wale ambao wanajuwa sisi wote ni ndungu wawe wanaelimisha watu mauwaji ubaguzi na matengano vinatokeya wengi wetu hawajuwi undungu wetu kaeni chini mukafunze watoto wetu Afrika tuwe kitu kimoja
@fediruben50095 жыл бұрын
Duu mh Kabudi nimekukubali unaijua historia vizuri
@lucieserero74754 жыл бұрын
I felt like I was in class learning Swahili again... Loved it👍👌
@mariamnimbo83943 жыл бұрын
Nimejifunza kutoka kwako waziri Kabudi, kumbe wengi wetu ni Africa ni ndugu. Asante kwa historia hii. Tku!!!
@abdallahhassan60555 жыл бұрын
Kwakweli mm huwa naumia sana ninapoona kabudi eti anakosolewa na lema au mbowe kwa uwelewa upi walionao au sugu jamani wasikilize haya mafundisha ya History ndo wajue kama nchi hii inawalimu wanaojua kufundisha lapili wajuwe huyu jamaa kasoma na akina nani na wapi mashaidi wake ni wakenya na ninadhani hawazidi watanzania watano wenye kutowa spich za namna hii tumpongeze jamani prof kabudi mwaaaaaa
@andreajeremia4364 жыл бұрын
Shida yetu nyingine ni wivu wa kijinga,watu kama hawa ni tunu kwa Nchi za wenzetu,wanaheshimika na kujaliwa sana,lakini kwetu,utakuta mjinga mmoja anaropoka ujinga mtupu na wajinga wenzake wanamsapoti anajiona ni mtu anayejua kitu kumbe hamna lolote.!!
Watu wanakula lecture kwa ikulu. Take notes...... Free academic input.
@Kushpoll4 жыл бұрын
Kenyan's who are here after the BBI report launch chapeni like.
@lennyalega15594 жыл бұрын
Remember when he talked of magniloquence?
@shaffimwakz14134 жыл бұрын
This is why watu wanasema Mombasa sio Kenya.... Now I understand
@allykivike72285 жыл бұрын
Magufuli anaakili sana hata anapo cheka anamaanisha sikama wengine wanacheka hata msibani.
@prospermakela77915 жыл бұрын
Ally Kivike ,upo vizuri mkuu umeliona hilo jamaa anacheka kwa kwa timing
@andreajeremia4364 жыл бұрын
Wale jamaa,walikuwa wanacheka hata msibani duuh.
@williamlumbasia71104 жыл бұрын
Am being inspired by this man. After BBI....I landed here to do some follow-up
@hassanhamudy66393 жыл бұрын
How do you see the man....
@josephharri90155 жыл бұрын
Ingekuwa awamu zilizopita, hizo zingepigwa na wala Taarifa msingezisikia. Big up to our Lovely President Dr. J.J.P Magufuli.
@MsAggie55 жыл бұрын
Joseph Harri yaani usiseme hizo zingepigwa juu kwa juu
@tozzaalexandar49055 жыл бұрын
Kabudi safii upo makini sanaaa
@ntibanahum81135 жыл бұрын
Nampongeza Rais magufuli kwa kutamka hadharani kua Tanzania sio masikini ni nchi Tajiri Sana Asante sana mh Rais. Umetuonyesha kwa vitendo Hawa watu walikua wamefungiwa tu University pale dar. Now I feel proud to be a Tanzania
@kingsolomon04 жыл бұрын
Indeed you are professor kabudi
@zumbeshauri81145 жыл бұрын
sijawahi kuchoka hutuba za kabudi na mzee magufuri hakika kinavitu vinainhia ndani yake
@masanjemuyenjwa24345 жыл бұрын
u'r a really prof. unajua mambo meng sana, mara nying unapozungumza na kuwa karbu kukusiklza il nijifunze mengi kutoka kwako
@davidmatoka52034 жыл бұрын
Hon. Kabudi you deserve being a great leader thank you for making effort of trying to create good relationship between Kenya and Tanzania, , , akubariki sana Maulana
@shadrackkwemoi56044 жыл бұрын
Uko vizuri sana bwa. Prof. Kabudi kwa hotuba zako haswa kwa kutujuza historian nyingi tusizozijua
@davidgithiomi40214 жыл бұрын
I Honestly salute prof Kabundi. I have learned a lot from him. Great Historian of this century.
@nichkakumbi76575 жыл бұрын
Kabudi uko vzr uncle..
@omarymohammed28804 жыл бұрын
genius and intelgent man prof kabudi
@muhamoha50384 жыл бұрын
It's a joy always to listen to this great man talking
@AliMvingira-ls2vm Жыл бұрын
Mungu akutangulie mzee wangu
@TheB9204 жыл бұрын
Watanzania huwa wanashukuru Mungu kwa vile wako na viongozi wema ama huwa wanadhani ni jambo la kawaida? 🤔
@abdulatifmoxamed80475 жыл бұрын
My next president honestly kama nguvu zitaruhusu akimaliza mchapakazi Magufuli
@isayamwidete64205 жыл бұрын
exactly!!!
@saidbarawa9096 Жыл бұрын
Kabudi iadmire.your leadership, keep up,next president of Tanzania
@jeremymakokha47974 жыл бұрын
Huyu Kabudi ningependa kumfahamu sana...aliniguza sana tukizindua BBI Kenya....from 254
@fredricklemiso61914 жыл бұрын
When he attended bbi launch we almost died because of laughter . Kiswahili tulitafuta kamusi
@jacksonzakayo67594 жыл бұрын
Kama unamkubali waziri kabudi weka like yako hapo.
@cyrilologe4 жыл бұрын
Naienzi sana hekima na busara ya Bwana Kabudi...hongera
@tobynasheimani79695 жыл бұрын
Ilike this guy ithink he should be the next president of Tanzania
@officialmsigwa50693 жыл бұрын
Good History very Interestive
@athumanomary11715 жыл бұрын
Ewe mwenyez MUNGU tunazidi kukuomba enderea kumuongoza vyema raisi wetu ewe mwenyez MUNGU mkuu
@mhojamsafiri22733 жыл бұрын
Mungu akubariki sana Kabudi🙏🏻🙏🏻
@johnpesambili48065 жыл бұрын
Watu kama hawa tulikuwa tunawaweka mfukoni wakati wanamadini kiasi hiki.. Mungu akubariki Rais wetu hukoseagi kuteua kabisa.
@alfayokisambu61054 жыл бұрын
W
@oman77104 жыл бұрын
Amiiiin
@kipkemoiisaac53264 жыл бұрын
Who's this guy. Brilliance galore
@memocheptabkipsigis3124 жыл бұрын
Kabudi he was there on BBI launch
@Djaiicool20124 жыл бұрын
Huyu buda alitu mix Nairobi na kiswahili remixes.
@moudymchemia65984 жыл бұрын
Ahsante kiongozi wangu nimetokea kukukubali toka umetoa speech Kenya
@robertkipkoech0084 жыл бұрын
He came to Kenya and surely united us a country...he is a gentleman
@oslominiconcerts35384 жыл бұрын
Prof Kabudi the next President of Tanzania. This man is smart and has a deep sense of detail and knowledge of the region. Hongera mtoto wa kasisi.
@johnjaphet95485 жыл бұрын
HAKI HUINUA TAIFA SAFI SANA
@okothdido38274 жыл бұрын
Great man. Kenyans honour you
@kanyaugatiejagwo4 жыл бұрын
This will be the next Tanzania president
@wbabu61554 жыл бұрын
Prof Kabudi, what a great speech!
@andreajeremia4364 жыл бұрын
Una sifa zote za kuwa kiongozi,maana kiongozi hanuni wakati wore pia hachekicheki wakati wote,vizuri sana Mungu akufikishe alikokukusudia.
@deusmauka96265 жыл бұрын
Tusome vitabu, tusome magazeti, tuache ujinga.
@kazikazini10424 жыл бұрын
Nimekubali
@eutychusthiongo13353 жыл бұрын
Profesa Kabudi is all tym best foreign affairs minister in TZ
@issamsomba72195 жыл бұрын
big up
@TheMrisho4 жыл бұрын
Professor Kabudi sio wa mchezo mchezo aisee. Yuko vizuri sana.
@e.jack.473 жыл бұрын
Kabudi we love you here in Kenya. Kwa kweli tz na Kenya ni mandugu
@samjohn5834 жыл бұрын
Pround to be East Africana.
@hipu7554 жыл бұрын
This is a lesson to those who reasoned that if your neighbour's chicken strays to your backyard you have a right to slaughter and eat it.
@rasnjogu4 жыл бұрын
I believe what he is saying, colonial boundaries are just mental boundaries.
@robertngwagala59392 жыл бұрын
Namkubali sana hyu mwmba
@sallykalya90234 жыл бұрын
Woie Nyerere alikuwa wetu😂🇰🇪
@kingnicky25684 жыл бұрын
Sanna Kruger kenya akili hamnaga kabisaa😂😂😂😂😂
@vstvst31353 жыл бұрын
Kabudi for president
@stanslausmteme84555 жыл бұрын
We kabudi ni prof Ur real ticha
@deusdebitkowa96575 жыл бұрын
Profesa Kabudi!!!
@enocklugora43315 ай бұрын
Gud gud sana
@alexfrancis22784 жыл бұрын
Waziri kabudi yuko vizuri sana sana nimeipenda hiyo
@johnzephania85495 жыл бұрын
historia za kuhusu nchi hii nazitamani Sana kuzisikiliza, na hata sipati uchovu, nakukumba uandike kitabu cha historia kiuzwe madukani nitakuwa wa kwanza kukinunua
@josephkinyanjui83994 жыл бұрын
Very smart man...
@AliMvingira-ls2vm Жыл бұрын
Jamani nchi yangu nikifikilianatoa machozi mungu atupe nini nchi hii viongozi wazuli ndo hawadumu duh. Mabaya yana ishi mzee, wewe unafaa kuwa rais, anaebisha nimnafiki
@jamesohayo53294 жыл бұрын
This man IS brilliant.
@schoolboy16144 жыл бұрын
Prof. Kabudi respect kwako
@MJ-ye7dd4 жыл бұрын
Nilimpenda huyo Prof Kabudi bure tu🌷
@peteg99213 жыл бұрын
Palamalamba Kabudi...what a name? I like this guy, he's a lawyer with oratory skills, a historian per excellence, has a commanding voice and presence 👌..I don't know much about Tanzania CCM politics but his star is shining so bright I think he should be the next big thing in Tz politically. Now that Magu is gone, he is the man to watch.
@peteg99213 жыл бұрын
I hope some day he ascends to the highest office in Tz...the foreign ministry is a too small office for such a potential guy. For us in Kenya, the political landscape is heavily polluted, saturated, full,mixed,chocked by the same same people for the last 25 years. They don't want to leave the political stage yet they stifle,strangle and shove aside new promising political voices who they view as enemies. The Kenyan curse in one stanza!
@adeltusbashara97205 жыл бұрын
Kabudi anafaa kuwa rais baada ya JPM!
@boniphacetabu29035 жыл бұрын
Kumbuka prof hii level ni mtu anayeamini sana mawazo yake na hakosolowi na anapaswa kuwa lecture tu
@samgesaka42034 жыл бұрын
Mimi in mkenya nampigia upatu kabudi kuwa rais wa Tanzania baada ya jjm
@cosmasmapesa4 жыл бұрын
Tumekuelewa sana mwalimu wa walimu, uwepo wako ni mhimu sana nchi endelea kutufungua vichwa
@danzada77694 жыл бұрын
Next TZ Prezzo.
@nellynzau4214 жыл бұрын
Mie Mkenya, Hotuba za Prof. Huwa na ujasiri
@franciscomasungulwa35755 жыл бұрын
Tunazidi kujifunza mengi ya kale
@samuelotura58834 жыл бұрын
I compare this man just with Amollo Raila,I wish we have this like person in Kenya
@jumamavind77133 жыл бұрын
Profesa Kabudi asante kwakujiamini unapoongelea kitu