"HUO ni USHAMBA" - WAZIRI wa MADINI AWAWASHIA MOTO WAKURUGENZI WANAOSHIKILIA MAGARI ya OFISI

  Рет қаралды 28,311

Global TV  Online

Global TV Online

Күн бұрын

Пікірлер: 65
@nicolastitus568
@nicolastitus568 2 жыл бұрын
Da wewe nikiongozi bora sana nakutabilia utakuja kuwa raisi baadae uko vizuri sana nakupenda kiongozi wangu
@augustinesimwiya9091
@augustinesimwiya9091 2 жыл бұрын
Weldone Kaka! Ng'araa D.Biteko🇹🇿🇹🇿🙏 Kaz Iendelee
@qasammawa5310
@qasammawa5310 2 жыл бұрын
Allah,akurinde,nakila baya lililo mbere yakp,msemakweri nimpenzi wa mungu ,tumpongeze my Raiskuenderea kukuamini kuwepo eneo hilo,,sisi wanabukombe, tunayo fahari kubwa,natuenderea kukuombea,nakukupigania ,usikunamchana,haujatuangusha, ukweli,nauchapa kazi wako,hauna mashaka,pianikiererezo tosha kuwa umefundwa,vyema.Mora akubariki Dr,biteko
@hussenmishamo1963
@hussenmishamo1963 2 жыл бұрын
Tunaomba sana mwenyez mungu atujarie viongoz kama bteko wazarendo 🙏
@mtzhalisi2232
@mtzhalisi2232 2 жыл бұрын
Safi muheshimiwa....
@jeremiahmakoye6340
@jeremiahmakoye6340 2 жыл бұрын
Hongera sana Mwl,Mh Dotto Biteko
@championshahidu2465
@championshahidu2465 2 жыл бұрын
Asante sana kwa ushauri wako mzuri natumaini wakurugenzi na watumishi wengine wamekuelewa mh.
@agustinocharles2650
@agustinocharles2650 2 жыл бұрын
GOD bless you
@emmanuelmtono7576
@emmanuelmtono7576 2 жыл бұрын
Well said. Waziri Dotto ni mpole sana. Lakini hapo umeongea ukweli mzito sana. Safi sana. Kila la heri.
@damaspmtz1018
@damaspmtz1018 2 жыл бұрын
Umeongea, point Sana
@halimajamaniamekuwamndeme9617
@halimajamaniamekuwamndeme9617 2 жыл бұрын
Penda sana waziri, good nice, umeongea maneno mazuri sanaaa,
@kambamazig02024
@kambamazig02024 2 жыл бұрын
Safi sana huo ndio uzalendo kweli. Asante Biteko.
@jacksonletema6071
@jacksonletema6071 2 жыл бұрын
😀😀😀😀😀😃asante mh nimekubali unatufaa sana
@rutakihama3523
@rutakihama3523 2 жыл бұрын
Hongera sanaaa Mh Dr Biteko wewe ni mzalendo wakweli
@hassanmaganga1544
@hassanmaganga1544 2 жыл бұрын
Hongera sana kiongozi
@farhanhassan6858
@farhanhassan6858 2 жыл бұрын
Umeongea vizr sana kiongozi
@issayasosolo6033
@issayasosolo6033 2 жыл бұрын
Wewe mpaka hapo unatufaa kwa maendeleo ya nchi yeti, umewatupia jiwe la uso miungu watu hata kwenye Mali za imma!
@michaellong5368
@michaellong5368 2 жыл бұрын
Mheshimiwa nimekupenda sana.
@bockernyarusahi3655
@bockernyarusahi3655 2 жыл бұрын
Bila unafiki Serikali haipendi Wsnanchi wake,wao wanaangalia maslahi yao,kwani Landcruiser haiwafai hao watumiaji wa hizo Gari!,mpaka wanunue mavx/mav8,na ilhali dawa na maji safi hayapo kwa Wananchi,bado tutabaki kuwa maskini sababu hatujaonesha nia ya dhati kupamnana na umaskini,eti Nchi maskini,kwa matumizi ya hizo Gari. Hatuna umaskini
@rehemamohamedy4007
@rehemamohamedy4007 2 жыл бұрын
Well said mkuu
@kilonzokallage6159
@kilonzokallage6159 2 жыл бұрын
Wakati mwingine maarifa yatumike,kazi za migodi ni kazi za rough road ,sasa mnanunua ma prado ya nini, Hizi ni kazi za ma Hard top,mnatubebesha mizigo ya service bure,uliona wapi madini yanachimbwa mjini?
@jofreysinchenje1995
@jofreysinchenje1995 2 жыл бұрын
Great waziri
@bernardkashindye8159
@bernardkashindye8159 2 жыл бұрын
Safiii hongera
@wangwemseti7592
@wangwemseti7592 2 жыл бұрын
Mkumbushe biteko kuna wachimbaji wanatumia gharama ya uchimbaji ikifika wakati wa kuchenjwaa wanapata hasara hata gharama za kulipia gharama erusheni zimekata Bado serikali itakata Kodi bila kujali hasara ya mchimbaji naionba serikali imtazame huyu mchimbaji na kumhurumia pale anapokua amepata hasara kwenye madini
@mwankenjatv9330
@mwankenjatv9330 2 жыл бұрын
Akili kubwa👍👍👍💪💪💪💪
@imelidamfikwa7954
@imelidamfikwa7954 2 жыл бұрын
Biteko huwa nakukubali sana,chapa kazi
@mauruskimbe5478
@mauruskimbe5478 2 жыл бұрын
Safi sana
@erickdioniz8277
@erickdioniz8277 2 жыл бұрын
mnanunua magari ya bei sana wakati nchi yetu maskini ni ufala
@leokamil6284
@leokamil6284 2 жыл бұрын
Badala ya mapikup double kebin
@kwisa4899
@kwisa4899 2 жыл бұрын
Wewe nawe ni mshamba
@leokamil6284
@leokamil6284 2 жыл бұрын
@@kwisa4899 Hatuko kwenye ujanja au ushamba tupo kwenye uhalisia wa hali ya nchi na maisha ya Watanzania hao wapo kazini sio kwenye starehe wakitaka starehe wanunue yao si wanalipwa mishahara. Hivi kwa njia za Mirerani au kwenye migodi kunahitaji gari za starehe kweli?kule kunahitaji gari ya kazi ambayo unaweza beba chochote nyuma ya cabin ,hujaona wa South Afrika au tuseme Wazungu wenyekuchimba madini hawaendi na magari ya kifahari kwa kuwa wapo kazini hapa Tanzania Mkandarasi anaenda site na V 8 ata sijui ikibidi kupeba vitendea kazi ataweka wapi kama sio uharibifu wa kodi zetu
@kwisa4899
@kwisa4899 2 жыл бұрын
@@leokamil6284 Kama nakuelewa vile
@frankngoloka2589
@frankngoloka2589 2 жыл бұрын
Wape ukweli wao
@deohank5995
@deohank5995 2 жыл бұрын
Vijana mlikuwa wapi? Naamini soon kuna MABADILIKO chanya yanakuja,
@mariamrrusa3514
@mariamrrusa3514 2 жыл бұрын
Big up
@mamertkibori2450
@mamertkibori2450 2 жыл бұрын
Mungu akutangulie umesema Kweli kabisa.
@magembesitta5657
@magembesitta5657 2 жыл бұрын
Mngenunua dawa na ambulance kiomboi iramba ningewaona mnaakili
@daudpaulo2867
@daudpaulo2867 2 жыл бұрын
Ngoja nipeleke vyeti sijui nitapata kazi hapo
@mynameisindicated
@mynameisindicated 2 жыл бұрын
Kwani dereva kukaa na hela yeye ni mhasibu? Apewe hela wakati wa kutaka kufanya service. Ila ukisema dereva akae na hela siyo sahihi. Hela inakaa na mhasibu
@benedictmrisho5947
@benedictmrisho5947 2 жыл бұрын
Mh tunaomba upambane Mwanza Gold Refinery Plant ipate kutambulika duniani ni muhimu sana.
@mwanagwakyala3213
@mwanagwakyala3213 2 жыл бұрын
Jamaa una akili Sana sio hao tu unaowaambia wapo wengi
@qasammawa5310
@qasammawa5310 2 жыл бұрын
Haaaa,haaaa, safi sana,mh,biteko
@musason1680
@musason1680 2 жыл бұрын
Umeongea vzr mno
@mathiasmwingira6951
@mathiasmwingira6951 2 жыл бұрын
Huyo ni Dr bhana mpe cheo chake
@bundalamakanga773
@bundalamakanga773 2 жыл бұрын
Temberea songea uone hujuma za makaa ya mawe yanavyo polwa
@samsonmagesa3959
@samsonmagesa3959 2 жыл бұрын
Ndiyo maana Wakistaafu wanakufa mapema huo ni ushamba kwa kweli
@esthergeras5355
@esthergeras5355 2 жыл бұрын
Ununuzi wa Magari kwa akili ya kufanyia kazi ni jambo zuri ila kwa mazingira ya migodini hizo Prado mtaacha mabumper porini, land cruiser hardtop ndio zenyewe
@vascokasambala2159
@vascokasambala2159 2 жыл бұрын
DA WAZIRI UMEONGEA POINTI
@barakanestory3521
@barakanestory3521 2 жыл бұрын
Hivi kaongea Kwa ajili ya wananchi wote Tanzania, au Kwa madereva, Hivi mmemuelewa
@Zabronlupemba2200
@Zabronlupemba2200 2 жыл бұрын
Wanainchi wote how, wakati anaongelea issue ya magari
@rutakihama3523
@rutakihama3523 2 жыл бұрын
Aongelee wananchi huon kama anazindua magari hapo wananchi wanaingiaje
@mweyoms5548
@mweyoms5548 6 ай бұрын
Ushamba na uhuni pia
@benjaminimiselya6944
@benjaminimiselya6944 2 жыл бұрын
Raisi ajae Huyu anatufaa 2025
@kimingowameno4068
@kimingowameno4068 2 жыл бұрын
Awiiiiiiii pasha pasha pasha waziiii
@benedictmrisho5947
@benedictmrisho5947 2 жыл бұрын
Weka mikakati mizuri kuhakikisha hiyo Refinery imesajiliwa na kutambulika duniani.
@dostovan5142
@dostovan5142 2 жыл бұрын
Mwambie na yule mzee wa v8, polepole..ushamba mwingi
@maimunashaban9538
@maimunashaban9538 2 жыл бұрын
Pongezi sana
@yohanakananika3586
@yohanakananika3586 2 жыл бұрын
✍️
@calvinonlinetv5845
@calvinonlinetv5845 2 жыл бұрын
Waziri pekee asiyetumia V8 VXR. Tanzania nzima. Waziri anaetumia Prado TX. 🇹🇿🇹🇿
@maulidihassani8324
@maulidihassani8324 2 жыл бұрын
Wakurugenzi wamepigwa nakitu kizitoo sasa kazikwao wanaojielewa
@cyprianbernard907
@cyprianbernard907 2 жыл бұрын
Wambie hao washamba
@hamisnkumba8329
@hamisnkumba8329 2 жыл бұрын
Mzalendo mwingine anaeijua kazi na mwenye akili zaidi
@gabrielbahat9107
@gabrielbahat9107 2 жыл бұрын
😂😅🤣👍🏼👍🏼👍🏼👍🏼
@barakanestory3521
@barakanestory3521 2 жыл бұрын
Wasimamie wanakata umeme Kila wakati,simamia watu wanateseka ,mnakata umeme sana
@kipigapasilisungu2581
@kipigapasilisungu2581 2 жыл бұрын
.
Osman Kalyoncu Sonu Üzücü Saddest Videos Dream Engine 262 #shorts
00:20
World‘s Strongest Man VS Apple
01:00
Browney
Рет қаралды 68 МЛН
African Village life #cooking  village food for Breakfast
19:52
Murangasia
Рет қаралды 2,5 МЛН
Ip Man 3 | Rescue Scene
9:46
Cinewatch
Рет қаралды 3,2 МЛН
Historia ya  Rais 'THOMAS SANKARA'  Aliyeuliwa na Rafiki Yake IKULU
11:19
Global TV Online
Рет қаралды 788 М.
MFAHAMU DK. DOTO BITEKO NAIBU WAZIRI MKUU MTEULE
6:02
Daily News Digital
Рет қаралды 93 М.
When Royal Guards Fight Back!
8:08
Fighting Spirit
Рет қаралды 7 МЛН