Da wewe nikiongozi bora sana nakutabilia utakuja kuwa raisi baadae uko vizuri sana nakupenda kiongozi wangu
@augustinesimwiya90912 жыл бұрын
Weldone Kaka! Ng'araa D.Biteko🇹🇿🇹🇿🙏 Kaz Iendelee
@qasammawa53102 жыл бұрын
Allah,akurinde,nakila baya lililo mbere yakp,msemakweri nimpenzi wa mungu ,tumpongeze my Raiskuenderea kukuamini kuwepo eneo hilo,,sisi wanabukombe, tunayo fahari kubwa,natuenderea kukuombea,nakukupigania ,usikunamchana,haujatuangusha, ukweli,nauchapa kazi wako,hauna mashaka,pianikiererezo tosha kuwa umefundwa,vyema.Mora akubariki Dr,biteko
@hussenmishamo19632 жыл бұрын
Tunaomba sana mwenyez mungu atujarie viongoz kama bteko wazarendo 🙏
@mtzhalisi22322 жыл бұрын
Safi muheshimiwa....
@jeremiahmakoye63402 жыл бұрын
Hongera sana Mwl,Mh Dotto Biteko
@championshahidu24652 жыл бұрын
Asante sana kwa ushauri wako mzuri natumaini wakurugenzi na watumishi wengine wamekuelewa mh.
@agustinocharles26502 жыл бұрын
GOD bless you
@emmanuelmtono75762 жыл бұрын
Well said. Waziri Dotto ni mpole sana. Lakini hapo umeongea ukweli mzito sana. Safi sana. Kila la heri.
@damaspmtz10182 жыл бұрын
Umeongea, point Sana
@halimajamaniamekuwamndeme96172 жыл бұрын
Penda sana waziri, good nice, umeongea maneno mazuri sanaaa,
@kambamazig020242 жыл бұрын
Safi sana huo ndio uzalendo kweli. Asante Biteko.
@jacksonletema60712 жыл бұрын
😀😀😀😀😀😃asante mh nimekubali unatufaa sana
@rutakihama35232 жыл бұрын
Hongera sanaaa Mh Dr Biteko wewe ni mzalendo wakweli
@hassanmaganga15442 жыл бұрын
Hongera sana kiongozi
@farhanhassan68582 жыл бұрын
Umeongea vizr sana kiongozi
@issayasosolo60332 жыл бұрын
Wewe mpaka hapo unatufaa kwa maendeleo ya nchi yeti, umewatupia jiwe la uso miungu watu hata kwenye Mali za imma!
@michaellong53682 жыл бұрын
Mheshimiwa nimekupenda sana.
@bockernyarusahi36552 жыл бұрын
Bila unafiki Serikali haipendi Wsnanchi wake,wao wanaangalia maslahi yao,kwani Landcruiser haiwafai hao watumiaji wa hizo Gari!,mpaka wanunue mavx/mav8,na ilhali dawa na maji safi hayapo kwa Wananchi,bado tutabaki kuwa maskini sababu hatujaonesha nia ya dhati kupamnana na umaskini,eti Nchi maskini,kwa matumizi ya hizo Gari. Hatuna umaskini
@rehemamohamedy40072 жыл бұрын
Well said mkuu
@kilonzokallage61592 жыл бұрын
Wakati mwingine maarifa yatumike,kazi za migodi ni kazi za rough road ,sasa mnanunua ma prado ya nini, Hizi ni kazi za ma Hard top,mnatubebesha mizigo ya service bure,uliona wapi madini yanachimbwa mjini?
@jofreysinchenje19952 жыл бұрын
Great waziri
@bernardkashindye81592 жыл бұрын
Safiii hongera
@wangwemseti75922 жыл бұрын
Mkumbushe biteko kuna wachimbaji wanatumia gharama ya uchimbaji ikifika wakati wa kuchenjwaa wanapata hasara hata gharama za kulipia gharama erusheni zimekata Bado serikali itakata Kodi bila kujali hasara ya mchimbaji naionba serikali imtazame huyu mchimbaji na kumhurumia pale anapokua amepata hasara kwenye madini
@mwankenjatv93302 жыл бұрын
Akili kubwa👍👍👍💪💪💪💪
@imelidamfikwa79542 жыл бұрын
Biteko huwa nakukubali sana,chapa kazi
@mauruskimbe54782 жыл бұрын
Safi sana
@erickdioniz82772 жыл бұрын
mnanunua magari ya bei sana wakati nchi yetu maskini ni ufala
@leokamil62842 жыл бұрын
Badala ya mapikup double kebin
@kwisa48992 жыл бұрын
Wewe nawe ni mshamba
@leokamil62842 жыл бұрын
@@kwisa4899 Hatuko kwenye ujanja au ushamba tupo kwenye uhalisia wa hali ya nchi na maisha ya Watanzania hao wapo kazini sio kwenye starehe wakitaka starehe wanunue yao si wanalipwa mishahara. Hivi kwa njia za Mirerani au kwenye migodi kunahitaji gari za starehe kweli?kule kunahitaji gari ya kazi ambayo unaweza beba chochote nyuma ya cabin ,hujaona wa South Afrika au tuseme Wazungu wenyekuchimba madini hawaendi na magari ya kifahari kwa kuwa wapo kazini hapa Tanzania Mkandarasi anaenda site na V 8 ata sijui ikibidi kupeba vitendea kazi ataweka wapi kama sio uharibifu wa kodi zetu
@kwisa48992 жыл бұрын
@@leokamil6284 Kama nakuelewa vile
@frankngoloka25892 жыл бұрын
Wape ukweli wao
@deohank59952 жыл бұрын
Vijana mlikuwa wapi? Naamini soon kuna MABADILIKO chanya yanakuja,
@mariamrrusa35142 жыл бұрын
Big up
@mamertkibori24502 жыл бұрын
Mungu akutangulie umesema Kweli kabisa.
@magembesitta56572 жыл бұрын
Mngenunua dawa na ambulance kiomboi iramba ningewaona mnaakili
@daudpaulo28672 жыл бұрын
Ngoja nipeleke vyeti sijui nitapata kazi hapo
@mynameisindicated2 жыл бұрын
Kwani dereva kukaa na hela yeye ni mhasibu? Apewe hela wakati wa kutaka kufanya service. Ila ukisema dereva akae na hela siyo sahihi. Hela inakaa na mhasibu
@benedictmrisho59472 жыл бұрын
Mh tunaomba upambane Mwanza Gold Refinery Plant ipate kutambulika duniani ni muhimu sana.
@mwanagwakyala32132 жыл бұрын
Jamaa una akili Sana sio hao tu unaowaambia wapo wengi
@qasammawa53102 жыл бұрын
Haaaa,haaaa, safi sana,mh,biteko
@musason16802 жыл бұрын
Umeongea vzr mno
@mathiasmwingira69512 жыл бұрын
Huyo ni Dr bhana mpe cheo chake
@bundalamakanga7732 жыл бұрын
Temberea songea uone hujuma za makaa ya mawe yanavyo polwa
@samsonmagesa39592 жыл бұрын
Ndiyo maana Wakistaafu wanakufa mapema huo ni ushamba kwa kweli
@esthergeras53552 жыл бұрын
Ununuzi wa Magari kwa akili ya kufanyia kazi ni jambo zuri ila kwa mazingira ya migodini hizo Prado mtaacha mabumper porini, land cruiser hardtop ndio zenyewe
@vascokasambala21592 жыл бұрын
DA WAZIRI UMEONGEA POINTI
@barakanestory35212 жыл бұрын
Hivi kaongea Kwa ajili ya wananchi wote Tanzania, au Kwa madereva, Hivi mmemuelewa
@Zabronlupemba22002 жыл бұрын
Wanainchi wote how, wakati anaongelea issue ya magari
@rutakihama35232 жыл бұрын
Aongelee wananchi huon kama anazindua magari hapo wananchi wanaingiaje
@mweyoms55486 ай бұрын
Ushamba na uhuni pia
@benjaminimiselya69442 жыл бұрын
Raisi ajae Huyu anatufaa 2025
@kimingowameno40682 жыл бұрын
Awiiiiiiii pasha pasha pasha waziiii
@benedictmrisho59472 жыл бұрын
Weka mikakati mizuri kuhakikisha hiyo Refinery imesajiliwa na kutambulika duniani.
@dostovan51422 жыл бұрын
Mwambie na yule mzee wa v8, polepole..ushamba mwingi
@maimunashaban95382 жыл бұрын
Pongezi sana
@yohanakananika35862 жыл бұрын
✍️
@calvinonlinetv58452 жыл бұрын
Waziri pekee asiyetumia V8 VXR. Tanzania nzima. Waziri anaetumia Prado TX. 🇹🇿🇹🇿
@maulidihassani83242 жыл бұрын
Wakurugenzi wamepigwa nakitu kizitoo sasa kazikwao wanaojielewa
@cyprianbernard9072 жыл бұрын
Wambie hao washamba
@hamisnkumba83292 жыл бұрын
Mzalendo mwingine anaeijua kazi na mwenye akili zaidi
@gabrielbahat91072 жыл бұрын
😂😅🤣👍🏼👍🏼👍🏼👍🏼
@barakanestory35212 жыл бұрын
Wasimamie wanakata umeme Kila wakati,simamia watu wanateseka ,mnakata umeme sana