nilitamani Sana kuujua ubora wa Nyerere na kambona mtangazaji umenitoa kwenye focus.
@kayzarbalama62146 жыл бұрын
Hongera kwa Mzee wetu. Ila kwa huyu Host hapana
@cosmaskamugisha5918 Жыл бұрын
Good history let every one love our country CCM keep peace for lever
@jilalamaligisa48543 жыл бұрын
Hongera sana dada kwa kipindi hiki, hivi ndivyo vipindi tunavyotaka
@sillasokew60456 жыл бұрын
naamini watu kama huyu Prof. bado wapo wengi tu hapa tz historia ya nchi ingeandikwa ila ifundishwe na iishi katika mioyo ya wananchi. viva prof viva mtangazaji
@jafetyamosi48986 жыл бұрын
niwakina nani hao
@jeanmubemba12044 жыл бұрын
Dr Mohamed said ,anafundisha sana mambo hayo na mimi humfuatilia sana makala zake you tube,hajawahi sema Nyerere aliibadilisha TAA kuwa chama cha siasa kazi yake ni kumlaumu na kuzigeuza juhudi zionekane za kidini.Hapa tuna shuhuda aliye wahi afanya kazi na wakati huo,amjibu sasa prof hapa.
@hajiharun35876 жыл бұрын
Historian yetu inakanyagwa sana, poleni wazee wote mliopoteza Maisha na kufilisika kwa ajili ya Uhuru hewa mlioupigania ktk Nchi hii.
@babumrisha3 жыл бұрын
vyovyote vile, but I think kina Kambona walikua na hoja ya msingi....tanzania ya leo imetokana na siasa za ajabu-ajabu za kijamaa. Look at our fellow Kenyans, Zimbabwean, Zambians, Ghanaians, Nigerians etc...
@Mapenzi263518 күн бұрын
Ujamaa kama Nyerere alivyo uandika ndiyo nadharia bora (tenable) ya Serikali Kwenye falsafa zingine kitaaluma. Kwa vipimo vyovyote, Tanzania ni bora kuliko nchi nyingi duniani.
@lawmarcusmwakagenda3556 жыл бұрын
Ufike wakati historia Kama hii itumike mashuleni. Ile ya ukoloni na kutawaliwa na utumwa ibaki kwenye vitabu library maana kizazi chetu kinaathirika na historia hii na kujisikia inferior sana kulinganisha na kizazi cha waliotutawala na kututumikisha
@nehemiajoshua14086 жыл бұрын
Law Marcus Mwakagenda kweli
@benderarulenge24772 жыл бұрын
Kambona mungu amrehemu sana,
@lugwetunje38964 жыл бұрын
Kambona was for multi party politics nyerere refused and kambona fled to UK mzee is not sincere
@benderarulenge24772 жыл бұрын
Histori ya Tanganyika ,
@kfastak6 жыл бұрын
Vijiji vya ujamaa .. hatar sana
@mussasaimon20125 жыл бұрын
Dada ongeza juhud
@chabakakilumanga22066 жыл бұрын
Hongera binti you have a bright future ahead of you.
@111dudi2 жыл бұрын
Nyerere hakutaka mtu yeyote Ainue kichwa.Azimio la Arusha liliua nchi, nyerere aipotoka na lenyewe likafa
@izzi1986 жыл бұрын
Huyu dada kazingua, you can't interrupt mtu akiwa anazngumza listen first then utajua your next question.
@newbornhaule16355 жыл бұрын
Huyu mwandishi yuko vizuri sana na ndiyo maana yeye ndiye aliyemhoji mavazi sio kosa lake tuanzie huko kwenye familia zetu na kwenye Imani zetu.... Chamsingi aongezee tu Juhudi
@azorysallah93045 жыл бұрын
Channel makini,,mrembo ni mzuriii sanaa bright in mind as well
@frenkmatei79926 жыл бұрын
Pamoja
@mwanawetumwagora62836 жыл бұрын
Nikweli wana historia wa Tanzania hawaelezei viongozi wengine from primary to sec. Ninyerere tu anaelezewa kamavile yeye ndiye mpigagitaa yeye ndo mwimbaji, yy ndo mchezaji
@MrKhatibu6 жыл бұрын
Siku nyengine unapokwenda kuwahoji watu wazima ujue kuvaa nguo za heshima
@jisamjose21846 жыл бұрын
Maalim mombo na mirangi ya mdomo ka kahaba linamtege mzee
@MrKhatibu6 жыл бұрын
Jisam José sojakuelewa
@wisdomkyando51656 жыл бұрын
kwani kavaa nn cha ajabu
@bensonmaselle23726 жыл бұрын
sawa kabisa
@bensonmaselle23726 жыл бұрын
we huoni ama! ni vazi la heshima hilo?
@ibrahimerasto28886 жыл бұрын
Amen
@raymondkaswaga83346 жыл бұрын
Mtangazaji ovyoooo
@manungda99553 жыл бұрын
Wewe dada please mwaechie Mzee aeleze historia kwa utulifu unamzonga na maswali yako
@dinocastico84954 жыл бұрын
Naikumbuka hadithi ya mtu wa kale ndani yetu.. na hapa nimemfikiria mtikila, huku kuogopa wafu kwakuamini mizimu hubaki hai ndio itazidi kutuondolea maana halisi ya kujuwa history halisi. Leo watu hawajuwi waasisi wa chama cha TAA. Wala TANU. Aliye stahili azungumzwe ndio history haita badili rangi za bendera ya nchi ila itatufanya tujuwe wajibu wake katika taifa lake. Tukianza kwa uwongo hakika tutamalizia katika ukweli. Lkn kwakuwa iko hivyo kwa killa nchi tufundisheni tu ila ikifika kipindi cha maswali na mjibu😊😊
@petermwalubinga99214 жыл бұрын
mlimhoji mzee kwa muda mfupi na kutunyima uwezekano wa tusiowaandishi wa habari kuyajua mengi yanayozunguka mgogogoro wa Hayati Mwl Nyerere na Hayati Kambona ni vyema mkaweka muendelezo wa mahojiano yote
@monicaashery16 жыл бұрын
So unprofessional and under-qualified to interview such a person; there is a substantial intellectual gap between the interviewer and interviewee. Global TV, can you do better to prep your staff? Are they trained Journalists? If so, how come they cannot even ask follow up questions? What a waste of an opportunity? Too scripted!
@bogohe6 жыл бұрын
Poor Journalist indeed- Please hire qualified journalists- what a missed opportunity!
@Julitha125 жыл бұрын
Global 📺, Please don't repeat again to waste this Opportunity.
@kenanmalindisa64305 жыл бұрын
huyu mzee ana mambo mengi ya kuzungumza, sema sasa huyu mtangazaji ndo mpuuz...anakera balaa
@ferdinandmakore50027 ай бұрын
Host ameharibu hii interview muhimu kwa historia ya Taifa. Intervation yake was unnecessary.
@isacksteven7556 жыл бұрын
Nikweli huyu ndie the hero of social justice aliona mbali, aliona mengi, wapo wakumubadili lakin nyerer atabaki kuwa nyerer
@danyrichojoro40046 жыл бұрын
Kipindi kilikuwa kizuri ila mtangazaji amekiaribu. Ametukosesha point za msingi..mwandish maswali yake hayakuwa na utaratibu..amekuwa akimuondoa mzee masha kwenye truck.. Hasa kwenye habar ya Kambona na Nyerere
@monicaashery16 жыл бұрын
Thank, felt the same way; she missed the opportunity to get more info from such a golden source,
@clarauisso40446 жыл бұрын
Danyr ich Ojoro
@jacksonmeshack65826 жыл бұрын
Huy Dada siyo kipaji chake amegushi coz anatok nje ya mada husika jamani
@gabrielmzomkunda48815 жыл бұрын
Huyo host hafahi kabisa
@ezekielmwadomba46756 жыл бұрын
HUYU DADA ANAHITAJI SHULE ZAIDI YA KUHOJI MTU,SABABU KWANZA HAANGALII NA UMRI WAMTU, AKIJANGE VIPI KATIKA KUHOJI.SASA UNAMUULIZA BABU YAKO,HUKU UNAMMINYIA PUA! HII SI HESHIMA KABISA
@monicaashery16 жыл бұрын
Amepoteza nafasi kubwa ya kuelimisha watazamaji na unna kwa ujumla kwa kutojua namna ya kuuliza maswali na kuunganisha points zaidi kwa kuuliza follow up questions. Hmm!
@bernadobaran61786 жыл бұрын
dada yuko vizuri kwa kuhoji...hongera sasa!
@alihamad60466 жыл бұрын
Mm sifuatilii hay mahojiano naangalia huuu mdomo wa huyu mtangazaji nimeupenda sanaaa😀😀😀😀
@emmanuelbonifas35176 жыл бұрын
usione kusita kuongea hvy mzee akuzoea kuona mavazi ya ajabu kama hayo vaa mavazi kulingana na yule unaeenda kukutana nae
@ignasmwamwenda31546 жыл бұрын
Hawa ni hazina kuu ya Taifa. Tunapo kuwa tunawahoji, tutumie mafundi wa kuhoji maana macho mengi hutegemea asali kutoka kwao. Nashauri mahojiano yarudiwe na watangazaji makini.
@bensonmaselle23726 жыл бұрын
uko sahihi kabisa
@caashamacalini38874 жыл бұрын
Kuna wazee wengi wazamani waliojiunga kwenye hii taa wengi Sana tena mikoan wakina Mzee fundikira, Yule babu watabora ndi ana historia zote mpaka Nyerere kumkaribisha tabora wakina azizi Ally mtuy nakaka take Mzee saksi fatilien wale wazee wakina mkapa WA juzi Tu hawo wazee hamna hata mmoja anae takes wala vyeo hawana ni mafukarakupindukua Baba wataifa kama aliwafunika vile hawatajwi mpaka Kesho hata historia hawa po
@conradmwingira684 Жыл бұрын
So unprofessional journerlist
@mussaharun72576 жыл бұрын
Dkt Shika tu ndo unamuweza dada, hujajipanga kwenye siasa.
@monicaashery16 жыл бұрын
she is hopeless! Just wasted a golden opportunity to educate the public.
@fintanmkesha43386 жыл бұрын
We dada hujasomea uandishi wa habar
@kibilawazebanga74556 жыл бұрын
Mmh watu wengine km hamjui theory za interview msikoment. Taratibu za interview zinamtaka mtangazaji anapomhoji mtu, amchukulie km wanalingana ndiyo atamhoji vizuri, sasa wanaomkosoa huyu dada naona hawajui science ya interview
@shumsum78336 жыл бұрын
Kipindi ni kizuri ila Huyu msichana hafai kwa nafasi hii
@akwilinaphilbert13206 жыл бұрын
poor dressing code to you Dada..Mzee wetu huyo
@josephharri90156 жыл бұрын
wivu unatusumbua sn watz
@idrissannacho56126 жыл бұрын
Inasikitisha nchi haina historia
@monicaashery16 жыл бұрын
Hata waulizaji hawajui wanauliza nini na wafuatilie na swali gani.
@yonaboaz41096 жыл бұрын
unatumia lugha za kihuni hata kwa wazee? mfano unaposema unaweza ukafunguka mzee
@monicaashery16 жыл бұрын
Amepoteza nafasi nzuri ya kufundisha taifa.
@hugowilfredlukoo49716 жыл бұрын
kufunguka siyo lugha ya kihuni yuko sahihi
@joelnaja99356 жыл бұрын
huyu mdada aisee apewe msaada wa nguo make naona mshahara hautoshi kununulia mavazi,kanunulia rangi za midomo na kucha,kasahau mavazi
@jamesmashauri83156 жыл бұрын
Muulizwaji naona amevumlia xana kwa sababu n mtu mkubwa na muhimu kwenye nchi,ila huyu dada nadhan anahtji elimu zaid
@caashamacalini38874 жыл бұрын
Huyu Mzee haelezi. Vizuri kama anafukia matuta. Mimi simuelewi kabisa Yule Mzee wa tabora anaeleza open alihojiwa ntampata huyu babu kama smenti na mchangaa hanacho
@salehlofy42516 жыл бұрын
waislam tu ndo wanajistiri ujue...
@msetimarwa14383 жыл бұрын
Mtangazaji anarukiarukia matukio kabla Mzee Masha hajamaliza hoja anayoielezea! . Nlimatamani nifahamu kisa cha mtafaruki kati ya JKN na Kambona ila mtangazaji kamvuruga Masha na akaniondolea usikivu kabisa. Mtangazaji anazungumza kwa kupasapasa macho kama vile anaongea na boyfriend wake!