Oscar Kambona: Shujaa au Msaliti? | The Chanzo Documentary

  Рет қаралды 42,510

The Chanzo

The Chanzo

Жыл бұрын

#TheChanzoDocumentary
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com/@thechanzo?is_...
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2023 © All Rights Reserved

Пікірлер: 84
@selelilumambo2157
@selelilumambo2157 Ай бұрын
what a talent in his heart oscar kambona angekuwa rais hii nchi ingekuwa na uchumi mkubwa kutokana na utajiri ilionao, madin , vivutio maziwa nk. ndio maan alipinga ujamaa sera ya chama kimoj aliona mbali sana
@hemedjackson2261
@hemedjackson2261 Ай бұрын
Ww bwana kin tundu lisu blaaa blaa nying
@kambamazig02024
@kambamazig02024 Жыл бұрын
Tatizo kubwa la Kambona alikuwa hajajikwamua kifikra. Nyerere alimwamini sana Kambona lakini baadaye kambona kwa kutaka ku-advance ubepari alijikuta njia panda! Mohammed, asante sana kwa kuwaelezea watanzania hususani vijana ambao wamezaliwa baada ya multi-party system Tanzania. Oscar alirudi Tanzania kwa humanitarian reasons, Nyerere alikubali Kambona arudi kwa sababu tayari alikuwa ni mgonjwa.
@farajiissa560
@farajiissa560 29 күн бұрын
Genious
@Njasulu
@Njasulu Жыл бұрын
Makala nzuri sana, tunaona historia kama hizi ziendelee kuletwa katika mwanga. Aidha siasa za mlengo wa kushoto si ukomunisti bali ubepari 1:01:11
@Manasehphilip404Alfa
@Manasehphilip404Alfa Жыл бұрын
Iko vizuri sana hii makala...mmefanya research ya kutosha...kudos kwa Chanzo
@FrankJulius-ou7op
@FrankJulius-ou7op Жыл бұрын
Oscar was a hero but never outshine your master ...
@SonofNyanda
@SonofNyanda Жыл бұрын
amazing jornalism my favorite Tanzanian news outlet;Vienna
@thabitngangila8562
@thabitngangila8562 Жыл бұрын
Chanzo tv. Utambulisho wenu uwe ni huu.maana sio wote wanapokea umbea na Mambo ya hovyo mitandaoni.
@kaburumacha315
@kaburumacha315 Жыл бұрын
Asante sana kwa makala hii. Nilikua na kiu ya huyu mwamba aliemnyima Mwalimu usingizi.
@thomjunior9947
@thomjunior9947 Жыл бұрын
Thanks kwa makala hii brother.. keep up the good work
@amanijampion3045
@amanijampion3045 Жыл бұрын
Tunashukuru kwa makala nzuri
@mustaphamilao7220
@mustaphamilao7220 6 ай бұрын
Kama tungeanza na Kambona Tz isingekua hivi tungekua kama Afrika kusini
@hemedjackson2261
@hemedjackson2261 Ай бұрын
Sijui kwanini mzee Nyerere hajamtia mikwaju, mn mzee Nyerere hana mbambamba ukizinguwa anakutia viboko utajuwa mwenyewe
@khalifamuhudi2235
@khalifamuhudi2235 Жыл бұрын
Laiti kambona angepata nafasi nchi ingekua mbali
@maghanighanichali9519
@maghanighanichali9519 Жыл бұрын
Mbona Mbambabay hakukuwa na chochote? alibadililishwa akili na wazungu huyu Kambona.alikuwa na uchu wa madaraka huyu Kambona.
@khalifamuhudi2235
@khalifamuhudi2235 Жыл бұрын
Unajua tatizo letu watanzania tumelishwa sumu mbaya yakuamini kua mpinzani yoyot wa chama tawala ni mtu mwenye uchu wa madaraka kama nihivyo basi hata hawa watawala pia ni wachu wa madaraka maana isingekua ivyo wasingekua bize kuwashukhulikia wapinzani wao badala yak wange shukhulika kutatua matatizo ya wananch
@user-hn6dm3ev5p
@user-hn6dm3ev5p 3 ай бұрын
Kabisa ndugu km hangekuw wTu Safi wangepokezana madalaka
@abbytv4659
@abbytv4659 Жыл бұрын
Kubwa sana hii
@erickmmbando1909
@erickmmbando1909 Жыл бұрын
Nice
@user-bz4rx7hv1f
@user-bz4rx7hv1f Жыл бұрын
si msaliti
@jitathminitv3429
@jitathminitv3429 8 ай бұрын
Nilikuwa natamani kumjua uyo mwamba asanthe sana chanzo
@rausathsued8852
@rausathsued8852 Жыл бұрын
Hii makala hii🏆🏆
@tegemeomadebeli5169
@tegemeomadebeli5169 Жыл бұрын
Kumbe toka kipindi hicho Ukiwa na wamazo tofauti Serikali hii ya CCM ilikuona Adui mkubwa. Kambona ni Shujaa wa Nchi hii Alipigania Mambo ambayo Tulianza kuyaona mwaka 1992+
@NellyCastor-ny2sp
@NellyCastor-ny2sp 9 ай бұрын
Jamani
@bobwangwe748
@bobwangwe748 Жыл бұрын
🔥🔥
@itsbazil5787
@itsbazil5787 Жыл бұрын
Platform nyingi wanaandika makala unaona kabisa wameunga kupata pesa tuh, nimependa hiki full research let's have another one
@shobimzawa
@shobimzawa Жыл бұрын
Shukrani sana kwa hii ✌
@hemedjackson2261
@hemedjackson2261 Ай бұрын
Now ndio namuelew Mzee Nyerere.❤❤
@AlexMakoko
@AlexMakoko 4 ай бұрын
Huyu ameitendea vyema taaluma yake❤, achana na wale chawa🤔
@franciskobelo
@franciskobelo 10 ай бұрын
Mungu amrehemu hayati kambona ni shujaa hakika
@paullutonja5904
@paullutonja5904 7 ай бұрын
👏 a very good documentary! walau na kizazi kipya kiwe na hadithi in digital form, kama hizi
@ThobiasMarandu
@ThobiasMarandu Жыл бұрын
Kwa Baadhi ya Audio Niliyosikia Inaonyesha Kambona hakuwa Mtu Mwenye Uwezo Mkubwa wa Kuzungumza, Hakufikia hata robo ya Charisma ya Nyerere
@bennyframa4505
@bennyframa4505 Жыл бұрын
Ni kweli. But still he was a great prominent leader behind tanganyika independence
@user-hn6dm3ev5p
@user-hn6dm3ev5p 3 ай бұрын
Kambona alikuwa shujaa sana ilasematu hawa watawala hawaitaji kukosolewa
@tumazabazjabrjbr4458
@tumazabazjabrjbr4458 Жыл бұрын
Kwa kiburi uchawi na roo yake mbaya nyerere watanzania ikaakosa kisomo
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything Жыл бұрын
🇹🇿✌️
@m-tatu1050
@m-tatu1050 3 күн бұрын
Oscar utadhan kijana wa bongo fleva. Aliishi mbele ya muda
@hamzakimaro3764
@hamzakimaro3764 Жыл бұрын
KAMBOMA ALIONEWA!! HAKUKUBALIANA NA SIASA YA KUWAPORA WATU MALI ZAO!!
@mimosapudica1894
@mimosapudica1894 Жыл бұрын
Oscar; Never outshine your Master...!!
@beeg_markfitness6706
@beeg_markfitness6706 6 ай бұрын
Nyerere did and so did Nkurumah
@sonnyr1899
@sonnyr1899 5 ай бұрын
Waalim wa enzi hizo walikuwa wanafikia malengo yao ila hawa sasa Wapo bize na kutongoza vibinti wavitowe bikra tu tena nasikiya eti huwa wanashindana.
@erickcharles-300
@erickcharles-300 Жыл бұрын
The dar mutiny of 1964
@mustaphamilao7220
@mustaphamilao7220 6 ай бұрын
Kama ningekuwepo ningewa upende wa Kambona
@abdulab6202
@abdulab6202 Жыл бұрын
Osca kambona alikuwa shujaa
@conradolomi9580
@conradolomi9580 Жыл бұрын
Makala imepangwa vizuri🤝💯
@mustaphamilao7220
@mustaphamilao7220 6 ай бұрын
Kambona hakua msaliti na alikua hana tamaa ya madaraka ndio mana alimwambia nyerere kue na vyama vingi. Daa Kambona ni chuma kilichopotezwa na watu wenye tamaa ya madaraka...jamaa alikua mjanja sana na alikua na hakili nyingi..
@kcstarztorch248
@kcstarztorch248 Жыл бұрын
Oscar Kambona
@milley7185
@milley7185 Жыл бұрын
ni malaya malayaaaaaaaa
@NellyCastor-ny2sp
@NellyCastor-ny2sp 9 ай бұрын
Msaliti
@user-hn6dm3ev5p
@user-hn6dm3ev5p 3 ай бұрын
Uliuwepo wakati huo
@khalifamuhudi2235
@khalifamuhudi2235 Жыл бұрын
Nyerere alikua dikteta na amekwamisha uchumi wetu
@DUL69
@DUL69 Жыл бұрын
Usiongelee kile usichokijua.
@tedypeter5459
@tedypeter5459 10 ай бұрын
​@@DUL69qq aww
@tedypeter5459
@tedypeter5459 10 ай бұрын
​@@DUL69qq aww q
@abdulab6202
@abdulab6202 Жыл бұрын
Osca kambona ni Alikuwa shujaa
@ebitariho9720
@ebitariho9720 Жыл бұрын
Kumbe ndio maana watu waita siasa ni mchezo mchafu. Yaani kumbe uongo na siasa za uragai alianzisha Nyerere ndani ya ccm.
@hasnuumakame9219
@hasnuumakame9219 Жыл бұрын
Kwani hujui hilo kua umafia wa CCM wote uliasisiwa na Mwalim Nyerere......Na ndio chanzo Cha hii nchi kua Rais ndio muamuzi wa Kila kitu na hapingwi kwa lolote lile
@TM.Sullusi
@TM.Sullusi Жыл бұрын
@@hasnuumakame9219 Halafu Nyerere alijifunza wapi?😂😂, si hukohuko ambako mnasema kuna maendeleo.
@mustaphamilao7220
@mustaphamilao7220 6 ай бұрын
Harafu mambo yote aliofanya Kambona hajatajwa kabisa yani hatumfahamu kabisa
@tysonpuraty3098
@tysonpuraty3098 Жыл бұрын
*Promo sm* 🤘
@brysonkaale3003
@brysonkaale3003 Жыл бұрын
Tumemuimba Osca kambona Kama msaliti,kumbe alikuwa na mawazo chanya za kusaidia WaTZ,siasa ya ujamaa Ni chanzo Cha umaskini wa Tanzania,"Socialism is the phylosophy of failure,alisema Winston Churchill aliyekuwa waziri mkuu wa Uingereza!
@TM.Sullusi
@TM.Sullusi Жыл бұрын
Hilo swali aliulizwa Nyerere na wazungu na alilijibu kwamba siasa ya ujamaa na kujitegemea ilikua fairule. Anyway tuseme siasa ya ubepari ndo ilikua njia nzuri ya kuupiku Umasikini 😂😂, Nigeria ni Tajiri ?pamoja na mafuta yake. Vipi Malawi etc.
@YusufuChinengo-zn4xu
@YusufuChinengo-zn4xu Жыл бұрын
​@@TM.Sullusi 😅
@meshackngaboss1236
@meshackngaboss1236 3 ай бұрын
😂😂siasa ya ujamaa ni chanzo cha umaskini😂😂😂 unaijua Urusi na China et "socialism is the pslosophy of failure" yaani ubepari wa watu wachache kujilimbikizia mali ndio utajiri na usawa tumia akili na sio mihemuko yaani unataka kuniambia mfumo wa tajiri kumuibia maskini ndio mfumo bora wa kuondoa umaskini 😅😅😅
@brysonkaale3003
@brysonkaale3003 3 ай бұрын
@@meshackngaboss1236 Tatizo la wavivu wa kufikiri Ni kuaminishwa kwamba tajiri Ni mwizi ,fisadi.Nchi yoyote haiwezi kuendelea bila kuwa na matajiri wanaoisukuma sekta binafsi,Ndiyo maana Viwanda vyote Tanzania vilikufa kwasababu hapakuawa na kiwanda Cha mtu binafsi,wenzetu Kenya Viwanda vyao vipo na vinachapa kazi sababu ni.vya watu binafsi,Tanzania siyo nchi ya kuifananisha na urusi na china,labda tujaribu Kenya.
@brysonkaale3003
@brysonkaale3003 3 ай бұрын
@@meshackngaboss1236 Tatizo kubwa la wavivu wa kufikiri Ni kuaminishwa kuwa " Tajiri Ni mwizi,Imani hiyo bado inazagaa hapa Tanzania,uchumi wa nchi yoyote duniani unapaishwa na sekta binafsi,sekta binafsi Ni matajiri ambao wanasaidia kutoa ajira,kulipa Kodi serikali na uchumi unakua,Hakuna sababu nyingine iliyoua Viwanda vya Tanzania isipokuwa Ni kwasababu ya kumilikiwa na serikali,Wenzetu Kenya Viwanda vyao vipo na vinachapa kazi kwasababu Ni Mali ya watu binafsi,Ni kosa kuifananisha Tanzania na Urusi&China,maana china ya ujamaa Ni Ile ya Mao Zetung siyo hii ya Sasa!
@simonnembomadola7512
@simonnembomadola7512 Жыл бұрын
Waliopigania Uhuru wote Tanzania walididimizwa sana
@farajiissa560
@farajiissa560 Жыл бұрын
Nyerere mtu alipokua maaarufu au kupendwa na watu anakuchukia tunakalilishwa tu ila Nyerere si baba wa taifa ni dhana tu ila hamna kitu roho mbaya sana
@hamzakimaro3764
@hamzakimaro3764 Жыл бұрын
PIA HAKUKUBALIANA NA UJANJA WA NYERERE WA KUPORA MADARAKA YOTE BADALA YA KUWA KIONGOZI AKAWA MFALME JEURI NA KATILI!!
@hasnuumakame9219
@hasnuumakame9219 Жыл бұрын
True kabisa....Alipinga madaraka yote kumilikiwa na mtu mmoja..
@rajabuadam2558
@rajabuadam2558 Жыл бұрын
Kambona ni jasiri sana huyo ni mwamba na pia ni mfano kwa watu Roma apo ndio pakuhiga...
@user-hn6dm3ev5p
@user-hn6dm3ev5p 3 ай бұрын
Sana Viva roma viva
@mohamedbadbess6230
@mohamedbadbess6230 9 ай бұрын
NYERERE ALIZOROTESHA UCHUMI WA NCHI. LAKINI KWA KIASI FULANI ALILETA USAWA NA AKAONDOSHA MATABAKA KATI YA WATANZANIA. NA BORA ZAIDI HAKUWA MFISADI.
@JoshuaDarema-ts4ir
@JoshuaDarema-ts4ir Жыл бұрын
Nashukur Kwa nakala huu keep it up!!!👍
@mustaphamilao7220
@mustaphamilao7220 6 ай бұрын
Oscar Ali wahi kupata ujanja
@tumainimatandala1847
@tumainimatandala1847 6 ай бұрын
Kambona alikua influencer but Nyerere was a true Leader. Wangelewana tungekua mbali.
@LugomboMaKaNTa
@LugomboMaKaNTa Жыл бұрын
Huyu alikuwa na njaa ya madaraka hadi kumsingizia Nyerere kuwa anaficha pesa nje! Tunamshukuru Kwa kushiriki mapambano! RIP Kambona.
@farajiissa560
@farajiissa560 Жыл бұрын
Kwa documentary hii Nyerere na chama chake ni useless kama angekua anajiamin angeweka vyama ving ashindane na kambona just challenge
@tumainimatandala1847
@tumainimatandala1847 6 ай бұрын
Nikweli kabisa. Lakini nachokiona ni kimoja, kambona alikua smart na alikua na influence kubwa. Lkn hakua kiongozi bora. Kambona alikua Engine ila sio hakua na kipawa cha uongozi.
@whatisthetruth.8793
@whatisthetruth.8793 Жыл бұрын
alikuwa kibaraka wa wareno na makaburu wa SA kwa ufupisho
Became invisible for one day!  #funny #wednesday #memes
00:25
Watch Me
Рет қаралды 54 МЛН
I wish I could change THIS fast! 🤣
00:33
America's Got Talent
Рет қаралды 121 МЛН
MFAHAMU SUN TZU, BABA WA UJASUSI
8:22
MahusianoPlus
Рет қаралды 6 М.
OSCAR KAMBONA, second most porpular Tanzanian
21:41
JI-TENGE
Рет қаралды 2,5 М.
Julius Nyerere Interview by Saeed Naqvi
35:17
SAEED NAQVI
Рет қаралды 359 М.