Kwenye mahojiano haya na EBN Afrika, ninamzungumzia Oscar Kambona kama alivyokuwa kwenye historia yetu iliyofichwa.
Пікірлер: 20
@fideliskahwa33854 ай бұрын
Interview nzuri sana tatizo ni muziki huo unakera sana
@sylvestersayi24813 ай бұрын
Ashukuliwe kambona
@ignasnyembo12564 ай бұрын
Khasante sana Nd. Mohamed. Julius alipoteza watu wengi. Alijiona ni bora kuliko wote Tz
@joycemosha18984 ай бұрын
JAMHURI YA MUUNGANO WA AFRICA DUNIANI TZ KILA KIONGOZI ANAUKATILI WAKE WA UONGOZI WALE WOTE WALIOKUWA NA MAENDELEO YA KUVUSHA TZ KWENYE KUTOKUKUBALIWA KWANZA KUACHA NAFASI YA KUTAWALA ALIKUWA ANAPENDWA SANA WANANCHI NA JESHI PIA MWALIMU ALIISHI NA OSCA UK CHUMBA KIMOJA WAKATI ANASOMA SHERIA
@marcnkwame18354 ай бұрын
Toeni huo muziki kwenye background. Katika mambo serious msiweke hivyo vitu. Inafanya kipindi kionekane cha kibongo fleva
@margaretshaidi31614 ай бұрын
It can be softer. It's distracting!
@menyemusic4 ай бұрын
Mzee mwenzangu ahsante sana nimefahamu mambo mengi nilokuwa siyajui
@nassortrans124 ай бұрын
Fundi mitambo umebugi na muziki sauti ipo juu Hainogi story
@williemwadilo15914 ай бұрын
Great interview but background music very unnecessary spoiling the story
@sylvestersayi24813 ай бұрын
Alikuwa kipanga pia darasani kambona
@salumdata81014 ай бұрын
Historia iliyotukuka kabisa
@lugwetunje38964 ай бұрын
Kama kambona angeongoza ruhsa ingekua mapema
@ahmadateguro48864 ай бұрын
Mzee hazina
@JustinOlesaibull4 ай бұрын
Historia hii inastahili kuhifadhiwa kwa ajili ya vizazi vijavyo
@MasterCastory4 ай бұрын
Hello mtangazaji! Inamaana husomi ujumbe wa wasikilizaji wako? Badilisha huo muziki wako ni mbaya sana!!!!
@aloycebabene62394 ай бұрын
Walao chuo kimoja kiitwe chuo cha kambona University
@King_Of_Everything4 ай бұрын
✌️👊👍.
@raphaelkessy73604 ай бұрын
Majungu hayo
@abdullkilawi55044 ай бұрын
Upande wa akina ilonga na wenzake ujapata kuzungumzwa
@kidwumoulakammagyikidwumou29844 ай бұрын
Hilo limziki linahusianaje na mada jadiliwa? Limeharibu mno interview.