#EXCLUSIVE

  Рет қаралды 82,141

Global TV  Online

Global TV Online

Күн бұрын

#EXCLUSIVE: MAMBO ni MOTO! QUEEN MASANJA AFICHUA KUPATA MWANAUME ARUSHA, POSTI ILIYOZUA GUMZO INSTA...
CHOTA MAPENE ndiyo mchongo mpya town! Kwa shilingi 1,000 tu, yaani BUKU unajichotea mapene kibao au kupata nafasi ya kujishindia ZAWADI MBALIMBALI KILA SIKU, KILA WIKI kupitia Global TV, Global Radio na mitandao ya kijamii!
========================
Ingia kwenye simu yako📲, sehemu ya kufanyia malipo, andika namba ya kampuni 553111, kumbukumbu namba 255 au andika neno GLOBAL. Weka kiasi cha shilingi 1,000, weka namba yako ya siri, thibitisha na tuma.👍 PEASA UTATUMIWA MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO!🤝👍💰
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 193
@globaltv_online
@globaltv_online Жыл бұрын
JISHINDIE TECNO CAMON 20 kwa BUKU TU! Ingia kwenye simu yako📲, NAMBA YA KAMPUNI 553111, KUMBU NO. 255 au GLOBAL kisha Tuma 1,000! Utapaja ujumbe wa USHINDI!
@peninashungu6633
@peninashungu6633 Жыл бұрын
Tuseme. Tu ukweli huyu Dada amebarikiwa mzuri Sana
@leaherasto929
@leaherasto929 11 ай бұрын
Sana
@rudiaeliakim2172
@rudiaeliakim2172 Жыл бұрын
kwa wale mnaomtukana huyu dada mdangaji wote mnamuonea wivu dada mzuri kweli mungu kambariki kweli mtakoma wanyooshe hao wanaokutukana queen
@MwigaKatumpula-mi3zt
@MwigaKatumpula-mi3zt Жыл бұрын
Hiyo ndio maana halisi ya Neno au msemo wa tuna feli kwa sababu ya tulikutana na watu kwenye maisha yetu na watu sio sahihi kwa muda usio sahihi 👏👏👏👏😀😀🙌
@happymarwa4517
@happymarwa4517 Жыл бұрын
Asante kweli kabisaaaaaaa
@safiasaleh669
@safiasaleh669 Жыл бұрын
Swadaktaaaa
@evelynemugeni2369
@evelynemugeni2369 11 ай бұрын
Swadakta 👌💯
@bintalmasi2393
@bintalmasi2393 Жыл бұрын
Ana upeo mkubwa sana, nafasi yake ilifunikwa kwa marital status.
@ashuramhandoashuramhando6798
@ashuramhandoashuramhando6798 Жыл бұрын
Nazidi kuamini yule Mke aliyebaki na Mwaka ni kwa nguvu za Giza ipo siku Mume atazinduka atakua keshachelewa hivi Queen Mzuri hivi anabakiaje kwa Mfano ❤❤🙏🙏
@ernestsereli8559
@ernestsereli8559 Жыл бұрын
Mke Bora sio sura"ila tabia njema
@user-qo8eu1br6f
@user-qo8eu1br6f Жыл бұрын
Mungu akufikishe kwenye ndoto zako Nakupenda sn Oueen huna baya hata mavazi yk yako vzr kabisaa 😍💕💞🔥🔥🔥
@gracegrace6510
@gracegrace6510 Жыл бұрын
Kulia Tena tupa kule wabaki wanateseka wao dada angu enjoy u are life umelia Sana Dada Sasa imetosha Mungu mwema
@vincej9275
@vincej9275 Жыл бұрын
Nimefurahi sana kusikia unafanya endelea vizuri Queen. You are very smart and hard working, you will be blessed with a good man to love and respect you.
@user-nc6ts5im7h
@user-nc6ts5im7h 11 ай бұрын
Huyu dada anastahili kuw na mahusiano ayapendayo kwahyo walimwengu mlitaka kila siku alie kwa sababu ya mapenzi.achen ushamba life is too short also we live at once.❤
@berthamakortha8387
@berthamakortha8387 Жыл бұрын
We 💕 u SANA. Mungu akusimamieeee sanaaaaa Masanja
@priscajonas7805
@priscajonas7805 11 ай бұрын
Mimi napenda Sana Huyu Dada ❤
@hellenmachibya2681
@hellenmachibya2681 Жыл бұрын
Ni kweli madam Qwen,,usiweke mahusiano Yako hadharani,,sio sawa kabisa Mahusiano na kaz nivitu viwili tofauti Fanya kaz my,,mahusiano Yako yabaki Yako tuu!!
@MwanaishaHemed-xi6rj
@MwanaishaHemed-xi6rj Жыл бұрын
Dada Queen hongera umependa sana Dr Mwaka alikua anakufuja tu 😁
@user-tt6jt8pz5m
@user-tt6jt8pz5m Жыл бұрын
QUEEN NAMUONA MBALI SANA. MWAKA UTAKUFA KWA KIHORO.. BADO WA KWANGU MIMI. YAN WANAUME MSITUCHUKULIE POA KENGE NYIE. MNAPATAJE UJASIRI WA KUFUJA WANAWAKE WAREMBO KA QUEEN NA MIE😂
@olicej7837
@olicej7837 11 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂afu unamuacha miaka 3 mwanamke mzuri kama huyo unategemea Nini 😂😂😂
@lucianaisrael3841
@lucianaisrael3841 10 ай бұрын
Mungu azidi kukubariki Queen umependeza mno na Mungu kakujaalia uzuri wa sura na umbo,wanaokuchukia achana nao ishi vile utakavyo mamy❤❤
@gradnessshitindi3694
@gradnessshitindi3694 Жыл бұрын
Huyu dada nampenda had nampenda tena!
@ummykitira5371
@ummykitira5371 Жыл бұрын
Mfyuuu punguza zarau
@asmahassan5661
@asmahassan5661 Жыл бұрын
​@@ummykitira5371😮😢zarau gn wakat kasema anampenda ama hujasoma vzr umekurupuka
@ernestsereli8559
@ernestsereli8559 Жыл бұрын
Nyie ndio wale wanafki
@lovierlion-vs9rn
@lovierlion-vs9rn 11 ай бұрын
Neno langu moja kwako Queen,,you have to be expensive,,,usitangaze kila kitu,unatangaza nguo za watu wengi mno ,sasa hivi magari nayo unaaanza kukubali kufanya na makampuni mengi,,,,yaani utawahi mno kuwa normal,,,ebu punguza baadhi ya matangazo ili ugombaniwe na ubaki kuwa wa ghali
@Josephineexsuper
@Josephineexsuper 11 ай бұрын
Kama zarii
@rukiyatajir8064
@rukiyatajir8064 Жыл бұрын
Queen keep it I adore you from being humiliated by a man to where you are now, you really struggled and you never give up. You indirectly show your opponent that he is never going to out you down.❤❤❤❤
@neemaloy889
@neemaloy889 Жыл бұрын
Hongera sana Queen
@omanmct135
@omanmct135 Жыл бұрын
Kweli kabisa mungu ndokilakitu❤❤❤safi
@rukiyatajir8064
@rukiyatajir8064 Жыл бұрын
You are right your private life is yours not for PUBLICITY Good show dear❤❤❤
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly Жыл бұрын
MashaAllah 🎉🎉🎉🎉🎉
@berthamakortha8387
@berthamakortha8387 Жыл бұрын
FANYA KAZIII MPENDWAAA. UKO SAWAAA❤
@berthamakortha8387
@berthamakortha8387 Жыл бұрын
Safiii sana nguo ZOTE ni nzuri mnoooo
@aishajuma7813
@aishajuma7813 Жыл бұрын
Mungu atatenda
@eddamsalilwa4876
@eddamsalilwa4876 Жыл бұрын
Hongera sana Quene unapambana sana
@veronicawilsonmbwambo1054
@veronicawilsonmbwambo1054 Жыл бұрын
Hongera sana endelea kufanya Kaz na kupenda San njisi ulivyo
@matswelomphela972
@matswelomphela972 Жыл бұрын
Asante dada nimekupenda since then
@user-tk5yy6vj3b
@user-tk5yy6vj3b 7 ай бұрын
Mashaalaah hubby yan me nampendaga sana uyu dada jamani
@vickyshayo7880
@vickyshayo7880 11 ай бұрын
Nakupenda sana Queen
@hadijahadija4699
@hadijahadija4699 Жыл бұрын
Nimekupenda.sana.
@nestor384
@nestor384 Жыл бұрын
Madam miradi ya serikali ya kutangaza tena?! Utaanza kutukanwa bure maana miradi hiyo mingine iko midomo tangibly haipo?!
@haifamiraji6483
@haifamiraji6483 Жыл бұрын
Zali kama Zali my binamu upo vizuri kwenye kuhoji.
@aminathaabubakarmasoud565
@aminathaabubakarmasoud565 Жыл бұрын
MashaAllah, am happy for you darling 😘❤
@sultansallah8772
@sultansallah8772 Жыл бұрын
Mashallah kwenye zinaa ten
@ElizaLaurent-gc3hx
@ElizaLaurent-gc3hx Жыл бұрын
Jaman kaz nzur dada mungu akubariki
@AgathaSanga-ec5hl
@AgathaSanga-ec5hl 11 ай бұрын
Nakupenda tu❤
@slicehamfrey3504
@slicehamfrey3504 Жыл бұрын
Safi sana kipenzi Mungu akufikishe mbali
@verombwambo3703
@verombwambo3703 Жыл бұрын
Kuna mijiwanaume ikikuoa inakufanya kuwa nuksi ona ulivyo sasa kwanza umekuwa mrembo pili umeshatoka kimaisha
@omarymnuru8746
@omarymnuru8746 Жыл бұрын
Nafasi za Serikali hupatikana kupitia Ajira portal utumishi... kwa vigezo.. Kwa nafasi unayotala serikali bado hawajaitengeneza nafasi hiyo.... Gervas Msigwa anaweza pia kuifanya hiyo hata katibu uenezi
@Josephineexsuper
@Josephineexsuper 11 ай бұрын
Acha hizo wewe, hizo kazi Hadi kina shishi wa darasa la Saba wanapewaga... Ndo wanaitwaga mabalozi. Kuna siku nimemwona shishi mkavuu eti anahojiwa katika kwenye mkutano wa kuwafundisha wabunge miradi ya malaria Tanzania
@Josephineexsuper
@Josephineexsuper 11 ай бұрын
Kina msechu na moto ndo kazi hizo wanafanya. Msechu Hadi ule mradi wa puto wa hospital ya serikali
@Josephineexsuper
@Josephineexsuper 11 ай бұрын
Mrisho mpoto Hadi anatembea peku peku😅
@omarymnuru8746
@omarymnuru8746 10 ай бұрын
@@Josephineexsuper Hao ni wasanii wa kuimba...hutumia Sanaa zao Katika kufikisha ujumbe wa kazi walizopewa...
@nickjuma6020
@nickjuma6020 Жыл бұрын
Watangazaji uchwara ni aibu tupu! eti anamuuliza unalipwa kiasi gani! ni upumbavu wa kiwango cha Lami!! Maswali ya kipumbavu!!
@mwajumalubunga1534
@mwajumalubunga1534 Жыл бұрын
Apo sasa 😂
@samiatsungura
@samiatsungura Жыл бұрын
Hongera sana dada
@hafsalucky1088
@hafsalucky1088 Жыл бұрын
Hongera sn Queen ❤
@Adje244
@Adje244 Жыл бұрын
❤ nakupenda tu
@user-tf7sx9xg7d
@user-tf7sx9xg7d Жыл бұрын
Mama samia suluh akupe kazi wewe mwanamke washoka
@user-mw5xs2wx8n
@user-mw5xs2wx8n 6 ай бұрын
Alokuipa jila la queen hajarogwa mashallah.
@justinendizeye714
@justinendizeye714 Жыл бұрын
Come on mtangazaji kamuambiya nani uyo mwanaume kuangaliya uumbo la mwanamke???
@abdulbarymohamed643
@abdulbarymohamed643 Ай бұрын
I love you qeeni
@faustinombilinyi9809
@faustinombilinyi9809 11 ай бұрын
Unachezewa tuuu hakuna cha miradi wala nn utaburuzwa mwanzo mwisho na uzee umekufika wakati wa kutulia na familia yako unafanya vitu vya kitoto
@jescawilson39
@jescawilson39 Жыл бұрын
Nampenda sana Queen❤
@aleyidukury8333
@aleyidukury8333 Жыл бұрын
Saiv mwanamke akiwa mdangaji ndio mnamsifia ww nidanga Kama madanga wengine tu
@Trappqueen970
@Trappqueen970 Жыл бұрын
watu wengne nyie ni wachawi sana wa maisha ya watu km wew aleyidukury ntmn nije ulipo nkutemee mate ya uso
@user-db2hi8jn3e
@user-db2hi8jn3e Жыл бұрын
Roho mbaya haijengi
@user-tf7sx9xg7d
@user-tf7sx9xg7d Жыл бұрын
Unafaaa sana unamuono mzuri
@yousramutwale2463
@yousramutwale2463 11 ай бұрын
Queen mzuri bwana acheni wivu
@zaidasalumualute6437
@zaidasalumualute6437 Жыл бұрын
Congratulations
@zayanazayana5518
@zayanazayana5518 11 ай бұрын
Nyumba nzuri haikosi mpangaji Vipi Queen akose mpangaji
@rachelmikey5493
@rachelmikey5493 Жыл бұрын
Ana fanana na zari the bowse
@aleyidukury8333
@aleyidukury8333 Жыл бұрын
Wapi ww umeharibikia ukubwan Kama bamia hayo ndio yalikuwa maisha yako yakudanga shida mkipataga majanga kidogo tu mnaomba msaada
@sakinaomary7207
@sakinaomary7207 Жыл бұрын
kama unajua alipata majanga kwahiyo ulitaka aishi kwenye majanga hivyo hivyo
@kiazikitamu3985
@kiazikitamu3985 11 ай бұрын
Kaingia Tena kwenye Siasa loh 😢
@joank7929
@joank7929 11 ай бұрын
Queen kama Queeeeeen.
@SophiaKilimo-gx7xh
@SophiaKilimo-gx7xh 11 ай бұрын
Pambana dadaangu mungu atakusaidia
@HadijaZabroni-pu1lt
@HadijaZabroni-pu1lt Жыл бұрын
Safi sana dada yule upara roho imuume😂😂😂😂🎉🎉🎉
@fabiansemba4918
@fabiansemba4918 Жыл бұрын
Acha basi😂😂😂
@joyce55727
@joyce55727 Жыл бұрын
😁😁😁
@mwajumamwajuma55
@mwajumamwajuma55 Жыл бұрын
😂😂
@zainabwage4658
@zainabwage4658 Жыл бұрын
Atakufunga wewe 😂😂😂😂
@HadijaZabroni-pu1lt
@HadijaZabroni-pu1lt Жыл бұрын
@@zainabwage4658 aniwezi hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha 🤣😂😂😂😂😂
@abdulbarymohamed643
@abdulbarymohamed643 Ай бұрын
❤❤❤❤I like you
@paskaziasholla7471
@paskaziasholla7471 11 ай бұрын
Queen umekuja na upepo wa kisulisuli hata waliotangulia hawajaufikia
@ivodaman6236
@ivodaman6236 Жыл бұрын
kuna leo na kesho,,,ngoma ikivuma sana jua inakalibia kupasuka, wanawake mungu awasaidie sana hakuna jipya chin ya jua
@joyccembalakele9286
@joyccembalakele9286 Жыл бұрын
Jaman 🙄🙄🙄🙄
@nancyg8664
@nancyg8664 Жыл бұрын
We nae
@zakiakusaja8603
@zakiakusaja8603 Жыл бұрын
Sasa unatakaje watu wasifanye kazi kwenda huko
@spreadlove5300
@spreadlove5300 Жыл бұрын
Nini mbaya 😮😮 mpaka ukasema hivyo???
@user-sq7pz9ex5g
@user-sq7pz9ex5g Жыл бұрын
​@@spreadlove5300😅😅😅ukute katumwa na DK mwaka huyoo
@begukulemosobe9685
@begukulemosobe9685 Жыл бұрын
Unajua kujipigia promo dada big up
@bennamush4616
@bennamush4616 Жыл бұрын
Nyie mnaosema huyu dada ni mdangaji mnataka asiwe na mahusiano amekuwa bundi Kwan haha zake mnataka azipeleke wapi
@spreadlove5300
@spreadlove5300 Жыл бұрын
Shangaa wewe walitaka afie kwa mganga mwaka 😮
@AllyRamadhani-wl3um
@AllyRamadhani-wl3um 4 ай бұрын
Mh yani nimeamini mwanamke mzuri ni mama yako tuuuuu mimi namshauri dk mwaka achukue watoto wake alee mwenyewe huyo x wake atamuharibia watoto.tuangalieni wanawAke wa kuoa jamani
@mammyspecial2
@mammyspecial2 2 ай бұрын
Kawaiyo dr ndiyo mama wa watoto au😂😂
@kiazikitamu3985
@kiazikitamu3985 11 ай бұрын
Wanamkomesha Dr Mwaka hao 😅😅
@rosehillary8742
@rosehillary8742 Жыл бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ mzuriiiii sana
@michaeljames403
@michaeljames403 Жыл бұрын
Kwani huyu ndo aliyenaniliwu na mchungaji!?
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 10 ай бұрын
Huyu mama Mungu ame mjaalia alaf tangu ame achana na mumewe ame toboa kimaisha 😂kweli dr mwaka alikua ni JINI MNYONYAJI
@veraisaria
@veraisaria Жыл бұрын
Huyu dada ana akili ana focus kubwa sana😅
@farhannahomary5505
@farhannahomary5505 11 ай бұрын
Mie qiunee namwona ni wakawaida saana Yani ni mwanamke aliyejutoshelaza Ila sijaona kuwa ni mzuuuuri mno Ila ni wakawaida sifa zoote anazo za kuwa mwanamke Kama wengine tu na dizaini hii wapo wengi mno kwa rangi yake na black pia wapo Ila ni wakawaida ni mwanamke aliyeubwa kike.hivi huyo na sinya tuseme ukweli Nani kachangamka kwini kapooza mno
@jescawilson39
@jescawilson39 Жыл бұрын
Et ukiwa kama binti 😮 watangazaji bana sasa huyo binti mpe heshima yake ni mama huyo
@ashudahiza7871
@ashudahiza7871 11 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤
@julianapatrick7911
@julianapatrick7911 11 ай бұрын
Wow
@mbanga6759
@mbanga6759 Жыл бұрын
Kwani ndo alokua mke wa dokta mwaka
@maimunaulotu2075
@maimunaulotu2075 11 ай бұрын
Huyo ni binti au mama 😂😂😂 ww bn sema mama ...au uzur umekuchangany
@paskaziasholla7471
@paskaziasholla7471 11 ай бұрын
We mtangazaji usimwambie eti awashawishi watu acha mtu aheshimu ndoa zao unazani wote wakiachika watakuwa kama Queen?
@elizabethtindwa7739
@elizabethtindwa7739 Жыл бұрын
Hiyo speed unayoenda nayo itakusumbua maana ngoma ikivuma saaana hupasuka, so be care full...
@marthagabriel3417
@marthagabriel3417 Жыл бұрын
Atakuwa kashatengeneza hela
@glorykweka1631
@glorykweka1631 Жыл бұрын
@@marthagabriel3417 Amen
@zulekhasaud483
@zulekhasaud483 Жыл бұрын
😂😂😂😂
@zulekhasaud483
@zulekhasaud483 Жыл бұрын
​@@marthagabriel3417😂😂😂😂asante jbu zuri
@Josephineexsuper
@Josephineexsuper 11 ай бұрын
Sahizi atakuwa ashamake hela ya kununua ngoma ingine😂
@user-qb3nr6gl1z
@user-qb3nr6gl1z Жыл бұрын
Namba plx namba zako nashida San na wew
@AwaziBange-yo1wq
@AwaziBange-yo1wq Жыл бұрын
Huyo ni mume wake wa 3 sasa apo me sijui nimuamini mwaka au bidada masanja
@angelsblackboard8008
@angelsblackboard8008 Жыл бұрын
hivi ilikuwaje mrembo kama huyu akaangukia kwa pwagu kama mwaka? inasikitisha.
@shamsahaji6202
@shamsahaji6202 Жыл бұрын
😂😂😂bahati mbaya inatokea
@alexvenas2699
@alexvenas2699 Жыл бұрын
Hakika kama maana halisi ya ndoa ni hiyo ambayo vitabu vya dini nimeeleza basi 🤔
@mashamsangi4679
@mashamsangi4679 10 ай бұрын
Unatoka kwenye mwanga unaenda gizani. Hivi ni akili yako? Tafakari maisha ya dunia ni mafupi sana
@happywilkins4391
@happywilkins4391 Жыл бұрын
Nilidhn ni mim mwenyew nimeon
@selemankishema5780
@selemankishema5780 Жыл бұрын
Kwisha mama kwisha
@barutiabuu9492
@barutiabuu9492 Жыл бұрын
We nimalaya tu
@yosephakomba1201
@yosephakomba1201 Жыл бұрын
Mh kazi mnay
@shamsahaji6202
@shamsahaji6202 Жыл бұрын
Iloooo roho inakuuma mjombaake doc mwaka
@jestinabenedict4620
@jestinabenedict4620 Жыл бұрын
ZARI MSHIKE MKONO MDOGO WAKO AENDEREE KUTUFURAISHA WATAZAMAJI
@mariajemutai2968
@mariajemutai2968 Жыл бұрын
Kwani ni dadake zari wa diamond?
@rabsonchisumo6640
@rabsonchisumo6640 11 ай бұрын
Umalaya tu hakuwa sahihi kwa Mwaka
@SafiyaJ-yw2vt
@SafiyaJ-yw2vt 11 ай бұрын
Kweli kabisa na hajistiri kabisa mtu mzima ovyoo
@sumaidgasto4721
@sumaidgasto4721 Жыл бұрын
Ezekiel 44:22
@simbajumanne9718
@simbajumanne9718 Жыл бұрын
Dangaaaa umri umeenda ndio hichoo kilikutoa kwa mumeoo
@aishaa2930
@aishaa2930 Жыл бұрын
Una hakika
@shamsahaji6202
@shamsahaji6202 Жыл бұрын
​@@aishaa2930achana nae uyo anaroho ya lichawiii 😂
@gracekenan4665
@gracekenan4665 Жыл бұрын
Mbona unamhukumu yeye...ulitaka akae kwenye ndoa ambayo mume anaoa na anafanya uhuni kisa awafurahishe nyie .
@patrinussanga519
@patrinussanga519 10 ай бұрын
Wewe kwenye ndoa yako hukutulia kabisa huyu bwana ulishaanza naye muda mrefu acha kutudanganya
@sumaidgasto4721
@sumaidgasto4721 Жыл бұрын
Mambo yamebadlika siku hizi. Tunaoa wanawake waliozaa eti ndio wanakili ya maisha. Noma sana.. akili tu ya kujilinda asizae hadu ndoa kwa mujibu wa mila na desturi hana za maisha anapata wapi
@nancyg8664
@nancyg8664 Жыл бұрын
Umeongea utopolo asee,kwan we hujui kuwa aliolewa huyu...
@mariamshabani769
@mariamshabani769 Жыл бұрын
Mpuuzi kweli wewe!..na kwanza hizo mbina wanapeana wanawake kwa wanawake!? Akili kama unayo unayo tu haijalishi umezaa ama lah! Na huyu kazaa akiwa kaolewa!! Makasiriko tu😏
@sumaidgasto4721
@sumaidgasto4721 Жыл бұрын
@@mariamshabani769 unatukana haisaidii soma EZEKIEL 44:22 kama ni mkristo
@sumaidgasto4721
@sumaidgasto4721 Жыл бұрын
@@nancyg8664 pole ila umeshawahi ona katika maandiko mtu kaoa mwanamke asiye na bikra
@laurencemassawe9100
@laurencemassawe9100 Жыл бұрын
Uyu malaya tu amna jipya
@spreadlove5300
@spreadlove5300 Жыл бұрын
Why alishakuuzia?
@shamsahaji6202
@shamsahaji6202 Жыл бұрын
Roho ya kichawi io loh😂😂 uumie tu mwenzio anafanikiwa we lia lia tu hapa
@angelashitindi5427
@angelashitindi5427 11 ай бұрын
Uchawi huo
@johnmichaellukindo21
@johnmichaellukindo21 Жыл бұрын
Jimbo limekwishachukuliwa
@barutiabuu9492
@barutiabuu9492 Жыл бұрын
Wewe ulichoka kuwa mke wamtu kwasababu umesha zoea umalya sasa ukaona kam unabanwa sana so we enderea tu nakudanga kwakua utadumu milele kumbuka utaded hautokaa milele kavumilie kwenye ndoa yako wewe umalaya hautokusaidia popote
@spreadlove5300
@spreadlove5300 Жыл бұрын
Kwa nini unaongea kwa uchungu hivo??? Unajua kilimkuta nini mpaka unasema ni malaya?
@yosephakomba1201
@yosephakomba1201 Жыл бұрын
Wemkundu kweliyani mama ako adangi?
@yeslord2276
@yeslord2276 Жыл бұрын
Umetumwa na yule mwamba mganga eti 😅😅😅 pole sana
@provianapaul6634
@provianapaul6634 Жыл бұрын
Hii coment ni ya mwanaume malaya ,,, alafu mnyanyasi anaedhani kila mtu anaweza kuvumilia ujinga acheni bwana hamjui kitu na hajawah sema lolote kuhusu year wenu muacheni mnaumia
@user-xg8mt1mh7v
@user-xg8mt1mh7v 11 ай бұрын
Duh una maneno makali, kila mtu ana maisha yake na akili yake pia
@marympochela7903
@marympochela7903 Жыл бұрын
Una donge, u ovyo wake ni nini?
@mbwawafillingstation
@mbwawafillingstation 11 ай бұрын
Pambana Qeen usisikilize wenye wivu Huwezi kupendwa na kila mtu
@mashamsangi4679
@mashamsangi4679 10 ай бұрын
Umelaaniwa wewe
طردت النملة من المنزل😡 ماذا فعل؟🥲
00:25
Cool Tool SHORTS Arabic
Рет қаралды 33 МЛН
The CUTEST flower girl on YouTube (2019-2024)
00:10
Hungry FAM
Рет қаралды 40 МЛН
王子原来是假正经#艾莎
00:39
在逃的公主
Рет қаралды 25 МЛН
MZUNGU KANIZALISHA KISHA KAKIMBIA KISA DAWA ZA KULEVYA NAJUTA SANA
35:17
MAISHA YA ASHA BARAKA NYUMBANI KWAKE/AMETUTEMBEZA NYUMBA NZIMA
38:21
طردت النملة من المنزل😡 ماذا فعل؟🥲
00:25
Cool Tool SHORTS Arabic
Рет қаралды 33 МЛН