She is hard working she deserves a serious man for love
@novasmgode294311 ай бұрын
If that’s the only thing you think men wants, u should do more research
@zawadichalale404711 ай бұрын
Sio swala la ukishua ndio uwe unapenda kusoma vitabu mimi pia napenda sana kusoma vitabu sana ila sio mtoto wa kishua ni hobbi ya mtu jamani diva
@dianerditto11 ай бұрын
Tuliokuja moja kwa moja kutokea kwenye app ya mange tujuane
@fatmasaid940011 ай бұрын
Inaitwaje hio app napitwa
@esthermatisho260411 ай бұрын
Diva ananipa huzuni kila ninapo msikiliza 😢 she needs help kichwa au akili yake imetigisika kwakweli,especially baada ya kusikiliza voice notes kwa Mange App as woman utalia guys 😢😢
@moffimms821111 ай бұрын
Naomba nitumie namimi iyo voice
@kandygraphicstanzania11 ай бұрын
utakuta hujawahi kuolewa, kuogea utumbo kama huu sio ajabu
@Josephineexsuper11 ай бұрын
😅😅😅😅nimecheka hapo akili imetingisika😂😂😂. Huyu dada ana tatizo very serious, she needs help
@NiceWatson-y7e11 ай бұрын
Aan vituko ipo hiv 80% waafrika hatujajielewa akili zetu zimeishia hapo kuonyesha saman za ndan tunachekesha kwakwel 😅😅😂😂😂
@Anzalmidel10 ай бұрын
😂😂😂
@RehemaMtangoo11 ай бұрын
Huyu dada anahitaji msaada wa kisaikolojia ana tatizo kichwani
@ziadasalimu173011 ай бұрын
Haswa
@catherinekiwipa927111 ай бұрын
Yeah anastahiri
@fodeabasi11 ай бұрын
Yani kiukweli ayuko sawa
@tirzahtess379911 ай бұрын
Aki am kenyan and I love diva am coming so that she can adopt 💞💞me
@AzaShamba11 ай бұрын
DIVA MIE HATA UWEJE NAKUPENDA. UKICHEKA LAZMA MIE NICHEKE😂❤❤U MADE MY DAY TODAY WALAH. ILA KWA UTANGAZAJI NI FIRE❤❤my BEST COUPLE IS ABDUL AND DIVA😂😂NAWAPENDAAAA 😂😂😂MNAWACHOMA ROHO WASOWAPENDA
@steveabel581911 ай бұрын
Acha unafki😂😂
@PriskilaMajengo11 ай бұрын
Huyu Diva sijui sura yake vizuri anabadilika Kila siku jamani
@kubrymtutala957411 ай бұрын
Ana sura 99 bado moja zifike 100
@mozamagaya861811 ай бұрын
Kabisa ata Mimi simjui diva hahaha
@myunaniniahmad646311 ай бұрын
@@kubrymtutala9574 😂😂😂😂
@elviuskanena679911 ай бұрын
Huyu analazimisha kuonewa wivu wakati ni wa kuonea huruma.😅
@tunajaribu11 ай бұрын
😂😂😂😂 me naona aibu
@jazeerajuma501411 ай бұрын
Alhamdulillah kwa afya mungu alionijalia mengine ni mapambo tuy ya dunia
@neemajeremiahs843011 ай бұрын
Hivi hizi hela si angejenga nyumba yake jamaniii 😔😔😭.. Kwelii tunatofautiana vision
@awadhisarai433111 ай бұрын
Kwani umesauh umsemo wa wenye akili hawana mali na wenye mali hawana......😅😂
@ziadasalimu173011 ай бұрын
Mmenichekesha mno Hadi raha
@ziadasalimu173011 ай бұрын
Kweli Kwa kabisa angejenga tu
@monadinadi529511 ай бұрын
Umeonaeee
@masalakulwa760111 ай бұрын
yaani anaona amemal8zaaa
@rukiakyaka182711 ай бұрын
Mashaallah M/Mungu awajaalie kwenye maisha yenu Inshaallah
@hassanmpemba574711 ай бұрын
ilove diva ana slaying nzuri big up diva
@marianabenangodi552211 ай бұрын
Demu anajiaibisha, coz ayo sio maisha yake watu tunamjua fika. But anahitaji msaada wa kisaikolojia
@faidhacute11 ай бұрын
Acha wivu utakuuua 😢
@jacquelineshija298411 ай бұрын
We acha tu pengine yuko kwenye tangazo na utoto mwingi sana
@NasraSaid-qc5hf11 ай бұрын
Hilosofa lamilioni 20 naona silioni hapo niyakawaidatuu
@Josephineexsuper11 ай бұрын
Kuna muda nawaza hata ndoa na Abdul ilikuwa kiki tuu hamnaga... Yani she is soooo fake
@tunajaribu11 ай бұрын
Hata yangekuwa yake unayaona yanachochote cha maana kweli
@godsdaughter282011 ай бұрын
Body language,face expression,can tell everything 😂😂😂the woman is forcing everything 😢alafu Diva una ushamba mwingii,matajiri hawajitangazi,miwani kwa nyumba ndo imenimaliza😂😂😂😂😂
@ReshimaaChitende11 ай бұрын
Miwan nyumban😢mshamba haswaaa😅
@vickyitenyo.11 ай бұрын
I know right??! Miwani ni za nini kwa nyumba??
@Lulualshagri11 ай бұрын
Miwigi na miwani mpk nyumbani tena ndani hujiamini mshamba mkubwa nyumba unazopanga kila kitu unakikuta humohumo ukishindwa kodi unasepa na begi lako hizo nyumba nyumba ni parm village mtu yoyote anakaa
@aminamgaya751111 ай бұрын
Kabisa aise halafu ukimwambia ukweli anakublock🤣🤣🤣
@gres118211 ай бұрын
Zari ana pesa lakn sija wai kumuona ana ushamba kma huu jamen 😂😂😂😂😂
@ummySheikh7211 ай бұрын
Kweli maneno yako! Ila kila mtu na Tabia yake😅
@MwanaishaShattry11 ай бұрын
Mashamba sana katika kwenye maisha ya Chini sasa kama kipofu aliyeona jogoo kila kitu yeye anasema kikubwa kama jogoo
@faidhacute11 ай бұрын
Nakupenda we mdada mpaka naumwa ❤❤❤❤❤ DIVA THE BAWSE ❤❤❤
@elizabethbwakila398211 ай бұрын
Mimi ktk mastaa nampenda sana shilole. Yule ndio staa wa kuigwa jamn yupo kwakeeee. Hata ukiingia kwake kila kitu ni chake.
@Fear_Allah39411 ай бұрын
Viongozi wa Tnz M/Mungu anakuoeni. Nchi mmeikandamiza mpkaa mtu anafikia kuita waandishi wa habari ndani ya nyumba kuja kuonyesha vyakula, lotions, creams, shower gels, baby wipes, unbranded bags, viatu, miwani nk. Wkt hvyo vtu kwa maisha ya wenzetu ni kawaida???
@marthagodson444711 ай бұрын
diva ana shida ya afya ya akili
@catherinekiwipa927111 ай бұрын
Sana sana
@BrigitaKawau11 ай бұрын
Mimi sina kitu na haya maisha yako Diva siyapendi ni ushamba kwakweli Yani hata kama huna akili au unavyosema umesoma Kwanini usiwe mwenye uelewa huu ujinga haufanani kabisa wengi wanapesa na maisha mazuri yakukuzidi ila hawafanyi hivi pole sana
@nancyg866411 ай бұрын
Diva uwa mshamba yan anatumia nguvu nyingi kutuaminisha vitu sijui yupoje asee
@chibandamwende367611 ай бұрын
Ila Diva unafosi jamani hivi huyu mhuni bado unamuweka???yani the body language is off !!!alafu dont bother about price alot just give us a tour we will know how much 😅😅😅,good apartment
@tidyclevertz11 ай бұрын
Ila hili life la kiwaki sana, tunavyooneshwa hiyo nyumba as if she owns it, yet akiumwa wanaanza kuomba michango kubabeeki
@wardawarda-fp3qe11 ай бұрын
Kabisaa yaani 😢😢
@jacquelineshija298411 ай бұрын
Bwana we mara hizo furniture unazikuta unaingia wewe na begi lako la nguo tu
@tidyclevertz11 ай бұрын
@@jacquelineshija2984 tunapigwa na vitu heavy 🤣🤣🤣
@TausiOmary-od3my11 ай бұрын
Kodi yenyewe alichangiwa hapo akwende
@NiceWatson-y7e11 ай бұрын
Matajir hawajionyesh nyumba ake ipo simple sana
@sisifaty918311 ай бұрын
Dada pole uko mjinga ,unamajigambo
@Anzalmidel10 ай бұрын
Divaa wacha pombe ur cute hardworking lady 🎉
@Boaz2211 ай бұрын
Laptop inawekwa kwenye box la viatu halafu na nyie mnamwamini??😂😂 matajiri hua hawaongei, huyu hana kitu, hivyo vitu vyote unakuta kwa apartments, muongo mkubwa Diva. Hana lolote dada kunuka😢
@queenlinda25511 ай бұрын
Jama yani mimi nilitaka kusema ivyo ivyo izo nywele zake zenyewe ni feki yani feki sana sana 🤣🤣🤣
@claudiokelly894411 ай бұрын
Sio box la viatu mbona ni box lake kabsa
@chany995011 ай бұрын
Iyo nikweri👍🏽👍🏽👍🏽
@Boaz2211 ай бұрын
@@claudiokelly8944kwahio ata wewe ujui box la viatu lilivyo,? Pole sana
@khadijab706611 ай бұрын
Mungu niweke mie ,unapesa arafu umepanga mtiani jamani master wa bongo pasua kichwa
@Rose-ue2ho11 ай бұрын
Naona yupo nyuma sana kimaendeleo😂 watu siku hizi hawaeki perfumes na cream kwenye dressing table kuna kabati maalum za perfume..ww mtangazaji njoo ufanye interview kwangu halafu uone the different kwangu na kwake😂😂
Diva ukimaliza nyumba yako nitafute mm nitakufanyia design na kukuwekea vitu vya kisasa mpaka utashangaa..😊
@navyoagrey752311 ай бұрын
Kwa kweli mana apo mh! Cjaona cha ajabu sana 😢
@glorianikiza394011 ай бұрын
Huyu atatokaga hapa maiti sababu analazimisha saaana mpaka huruma ulivokua unajigamba eti mwanamke unapaswa kua hivi vile kumbe ilikua utopolo tu pole amka bado mapema
@fatmaabasi686711 ай бұрын
Hyo hela ya kubadilisha furniture mara hii kannue good quality wigs😢
@jacquelineshija298411 ай бұрын
For real
@hazimamohammed134011 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@fatmamdihiri416411 ай бұрын
😂 😂 😂 😂
@michaeljohn907011 ай бұрын
Palm village na Dar villas apartments gharama zake kwa mwaka unaweza jenga nyumba yako kubwa nzuri tu,,sasa sijui wanafeligi wapi hawa watu,,,
@mackysuphian11 ай бұрын
Hata hao matajiri hawabadilishi furniture after three months😂😂😂khaaa! Kama ni hvyo si bora ujenge tuu..na tuna abari zako umetelekeza furniture huko kazilipie kwanza🤣🤣🤣
@zamdamasondole827211 ай бұрын
Tumuombe tu baada ya miezi 4 huyu mtabgazaji arudi tena kwake 😅.Diva ni muongo sanaa 😂hao matajiri hawafanyi hiivyi😅.wiki lenyewe fake😅limekakaa km Zombie
@stellahlinusi821511 ай бұрын
@@zamdamasondole8272why zombi jamani
@poshsmith426811 ай бұрын
😅😅😅😅
@umukulthumu141911 ай бұрын
Waarabu wenye hela zao wenye maisha yao hawabadilishi makochi hovyo😂😂😂 labda mpaka sikukuu ikikalibia wanapeleka kwafund kubadilisha kitambaa chanje hawanunui mpya😆😆😆😆😆😆sijui yy anajikuta nani
@SharonAron-t1j11 ай бұрын
Nilichojifunza hapo ni kujitahidi kuonyesha maisha ya kitajiri lakini kiuhalisia huyu dada ni mwongo, kwenye appartment huwa mara nyingi zinakuwa na vitu ndani, ila huyu dada anajitutumua kumweka mume kwenye maisha flan ili atulie naye, lakini ana fake life
@samwa949611 ай бұрын
Sio zote zingine zinakuwa wazi, au saa ingine wewe mhitaji unaweza waambia huhitaji furniture
@preciouspeter612611 ай бұрын
Apartments zipo ambazo ziko wazi pia my darling. Sio zote ni fully furnished
@aishamridy477411 ай бұрын
@@samwa9496hizo Appartement nazijua zina kila kitu ndani humo kaongeza tu vitabu tu hvy 😂😂
@samwa949611 ай бұрын
@@aishamridy4774 😂😂😂
@ElizabethWamcha11 ай бұрын
Ni kweli kila kitu unakikuta umo zaid ya nguo zako tu ndio unaongia nazo 😅
@maimunaulotu207511 ай бұрын
Diva dada aaangu usitumie nguvu nyingi kuaminisha watu....kuwa huyo kaka unampeleka.....ndomaana watu wanafanya makusudi kukumiza coz ndounaonyesha uzaifu wa ww kupend sanas
@zawadichalale404711 ай бұрын
Ferniture 20mil then baada ya miezi 3 anagawa loh!
@matridamwalyoyo173511 ай бұрын
Uongo wa kiwango cha rami
@RoseKimaro-p3m11 ай бұрын
Mungu akusaidie jamani Mumeo awe mkweli abadirike na husiache kumuombea
@glorianikiza394011 ай бұрын
Uyu ameshaga changanikiwa anaongea sana tena hajaulizwa yani ana ka mchangnyiko furani waliyo kua karibu nae wamupeleke kuona mganga wa hakili😅😅😅😅
@faithkaganda-k3s11 ай бұрын
Siyo kwa kujisfia huko duh😊😊😊
@FatimaAli-of4gh11 ай бұрын
Tutake radhi Diva house wife ni watu wa chini? Hiyo ni heshima tu ya kumfanyia mumeo watu wana pesa na wanapika sema kweli tu hujui kuoika au unataka na sisi tukuoneshe maisha zetu sisi sio marimbukeni like you
@happynathan822611 ай бұрын
Huyu dada nyie ni mgonjwa wallah😂😂 Diva sio mzima kabisa na wambieni 😢
@ireneimbuhira775911 ай бұрын
💯 true
@joycekaguo847611 ай бұрын
😃😃
@agnesjohn938211 ай бұрын
Mgonjwa kivipi fafanua daktari wake
@HajatAbdul11 ай бұрын
Jaman diva ukibadilisha izo sofa na iyo tv naomba unipe nakuomba sana shabiki wako sana kwenye lavi davi
@btylove187011 ай бұрын
Diva anamatatizo ya akili. Kuhusu Abdul hana love kabisa na diva. Wanaume tafuteni pesa please, ukiwa mwanaume hunapesa unakuwa lofa tu.
@yustamshana-sx8dy11 ай бұрын
Mwongo, furniture za appartement za hapo amezikuta 😅
@MadinaAbduKyabazinga11 ай бұрын
Diva adi namuonea huruma Aseee jinsi Anavyompenda uyu kaka afu uyu kaka Amekaa kihuni sana wala hana mpango na mkewe
@joycemuhoja472911 ай бұрын
Mkimaliza kwa Diva mje. Kwangu mlekodi jamani😁😁 Hizo fenicha unazobadili kila miezi mitatu naziomba
@hamidasalum15711 ай бұрын
Huyu dada aibu hana nyumba ya kupanga ndio anajishauwa hivi du kweli bora ukose mali upate akili tuuu uyu dada hama haya sijui ana nini vitu anavyojishauwa na matendo yake tofauti unaona kabisa anajitututumua ili kutafuta sifa
@cdeleo933611 ай бұрын
Diva upo kwenye denial mbaya mno. Huyo atakuja kukupiga tukio baya hutaamini maana hakupendi
@BarbaraPatience-qt9cc11 ай бұрын
Inakuhusu nini! Si uache apige tuu
@teedullah570811 ай бұрын
Kabisa
@omaryntagala374011 ай бұрын
Wivu acha wivu
@Bintimrembo-y1v11 ай бұрын
Ampige matukio mara ngapi 😂😂😂
@ummySheikh7211 ай бұрын
Hata mimi nimehisi hasa haya maisha yake hayapendi ila anapata pakutelezea tu! Mungu awasaidie
@salimalaquimane307711 ай бұрын
Mashaallah pazur
@rizikiabdalla250111 ай бұрын
Ingekuwaa nyumba anamiliki yy hajapanga ningesena pazuri
@rahmahabibu472711 ай бұрын
Mtangazaji kashajua diva hayuko sawa na anaenda nae Ivo ivo 🤣🤣🤣🤣🤣
@umukulthumu141911 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂🙌
@LindaMbilinyi-n3n7 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@awesosaladi363811 ай бұрын
Diva the bawser unyama ni mwingi sanaaa😅😅😅😅
@claudiajames200311 ай бұрын
Kwahiyo na miwani ya fashion ukiwa umekaa ndani kwako?😅
@fatmaomar188111 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@keyla364111 ай бұрын
Diva wewe ni hodari sana unajituma nahitaji mtu sahihi wakuwa nae anaejituma km wewe ishi rahisi useful nyingi ujenge achana na ya dunia kaa kimya fanya yako
@AshaKassim-tu7gz11 ай бұрын
Muongo diva apartment nyingi hukuta kilakitu..nihiyo ck ya kudaiwa Kodi ndo itajua hujui cjui usowako utauweka wp?
@JoviethJames11 ай бұрын
Nimependa sn maisha yuko acheni kumuonea wifu
@dayanafelly148811 ай бұрын
Diva kwenye interview unajifanyaga kiswahil kinakupa tabu... Ila ukiwa unamuanika mumeo unaongea kiswahil imenyooka hatari huongez hata neno moja là kimombo😂😂
@mnllyboy_tz910711 ай бұрын
😅😅😂
@MizeKombeSuleiman-id1rp11 ай бұрын
Aki uyu dem limbukeni acha tu
@Jamila-cz5ge11 ай бұрын
UNAJIDAI NA NINI PUMBAVU WW WEWE SIIO MZUNGU AU UMEUZA ASILI YAKO. WAJIDAI KUONGE KIZUNGU RANGI JE ? MBONA WW NI MWAFRICA? WAJIDAI NA VITU JE UNGEKUA UNA UTAJIRI WA KINA BAHWANI UNGEFANYA NN. UNASALI ?
@rehemamwandemani518211 ай бұрын
Diva usisahau kujenga my det
@neemaberny359811 ай бұрын
Yani mtu anaejopanga kudanganya lazima avae miwanii😂😂 dada hajiamini huyu..
@salhambwana641611 ай бұрын
😂😂😂😂
@namsamson344311 ай бұрын
Hizi ndio hela zetu tulizokuchangia nini😂
@hazimamohammed134011 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@Josephineexsuper11 ай бұрын
Mlimchangia za nini?
@LindaMbilinyi-n3n7 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@ummySheikh7211 ай бұрын
Ufanye Dada ununue kidogokidogo mikocheni village itakuwa powa saana Diva! Una weza uta achana na kupanga nyumba nzuri enjoy maisha yenyewe mafupi kwanini uteseke Roho jiunge na Diva upooze koo!❤
@fatmamdihiri416411 ай бұрын
Kwakweli kbc
@annamontana285411 ай бұрын
Wigi limekauka kama limedumbukia kwenye uji
@estherminnahboaz695611 ай бұрын
Diva madawa yamemkolea maskini kama ana ndugu wampeleke kwa mtaalam anatia hutuma sana hayupo Sawa 😢😢😢
@kissamwamunyange101811 ай бұрын
Una uhakika unachokiongea? Halafu wewe kumbuka ni mwanamke kumsemea mwanamke mwenzio ni dhambi kubwa
@aminaaminamayalla330811 ай бұрын
Mashaallah
@Keyjop11 ай бұрын
Ko diva miwani anapikia anaogea ana lalia ana ...in short , question ko miwani Kwa diva ndio Kila kitu
@tunajaribu11 ай бұрын
Alisema huwa anaona aibu
@ashurakiswamba708511 ай бұрын
Huna wakishuwa chochote acha majivuno diva ungekuwa mzuri wallah cjui ingekuwaje .mungu amekupa machoo TU lakini .alikuwa angekupa sura shepu ingekuwa shidah lakini mungu 🙏 amejuwa maskini..Sasa hiyo miwani haivuliwi hiyo sura inashida ganiii?
@fatmafatu112811 ай бұрын
Wanawake mna wivu siku zote tuoneshe kwako 😂😂😂
@ashurakiswamba708511 ай бұрын
@@fatmafatu1128 kwani mtu aambiwi ukweli sofa za milioni20 Sasa siuongo hayo maneno aseme bosi wake sio yeye kapuku km wewe na mimi.km ukweli mtu anaambiwa km unaona uchungu kajinyonge .huyo mtu wa misifa wewe humjui ndio mana umesema ivyo
@omaryntagala374011 ай бұрын
@@fatmafatu1128hahahaha mwambie atuoneshe kwake na sura yake
@faidhacute11 ай бұрын
Roja fala sana eti huea unalewa kabsa 😂😂😂😂😂😂😂 kwahy mtu anakunywa wine anashindwaje kulewa
@rehemahassan747511 ай бұрын
Uyu anajishaua jaman khaaaa mpk anakela
@happynathan822611 ай бұрын
Muhaya huyo😂
@stellahlinusi821511 ай бұрын
@@happynathan8226kumbe
@angelgodfrey487011 ай бұрын
Aaah kumbe ni apartment mm nkajua kajenga, nimeacha ata kuangalia
@salomewandya725711 ай бұрын
Duh si bora angejenga nyumba yake jmn 😢😢Nimelia sana 😭😭😭
@صالحالصوافي-غ5و11 ай бұрын
Amjengeye nani mbona hana mtoto 🤣🤣🤣🤣
@salomewandya725711 ай бұрын
@@صالحالصوافي-غ5و Atapata tu,hizo pesa za kodi hapo ni nyingi sn
@tunajaribu11 ай бұрын
Anaishi leo
@ndukulusudikucho_11 ай бұрын
Huenda anamiliki
@rerisamba11 ай бұрын
Amesema anajenga na ametaja ana viwanja 3
@tanzcanmediatv447311 ай бұрын
Jamani pazuri mimi binafsi nimependa jinsi ilivyo hasa milango kuelejea balcon
@RachelBriervanity111 ай бұрын
Jengeni Basi
@lucasernest601211 ай бұрын
Ila kwenye kuomba michango unatuonyesha maisha ya sanaa tu
@mustafaosman183811 ай бұрын
Kuna watu wanaumia😂😂pambana naww sio kutokwa namapovu😂😂piga kazi dida mungu azidi kukufungulia
@umukulthumu141911 ай бұрын
Ila diva jaman kwahio huyu mwandish kamwita kwaajili ya kuonesha maisha anayoishi😂😂😂😂
@marianabenangodi552211 ай бұрын
Yaan unaita media kutuonyesha vitu vya ndan 😂😂😂
@ngotikongotiko271111 ай бұрын
Mshamba huyo ndo uamini kwamba kwa mwanamke ndoa inathamani kubwa sana inampa ukamilifu duniani na hata mbele za mungu
@ibumajaamillah319511 ай бұрын
Mim navyojua Apartment zote unakuta kila kitu wew unakuja na nguo zako tu au sio hivyo guys
@khadijaramadhani556211 ай бұрын
Mapovu yanawatoka! Maisha ni kuchagua! Hayo maisha ndo kaona yanampa furaha! Msimpangie!
@sabihasalim94211 ай бұрын
Absolutely!!! ❤🇬🇧
@marianabenangodi552211 ай бұрын
😂😂😂 voice si uliongea mwenyewe. Sasa dada etu wa taifa ana husika wapi .
@Jamila-cz5ge11 ай бұрын
MWANAUME ALI SAWASAWA HAWEZI KURIDHIKA AJE MWANAUME KUTEMBEA CHUMBA ANAPO LALA NA MKEO . UNAWAONESHA WATU NYUMBA NA VILIVOMA HUU NIUSHAMBA . NANIASIO KUANAVO. WAPOWATU WAMILIKI MAJUMBA YAMEPAMBWA KWA DHAHABU. NAHAJIGAMBI WALA KUJITANGAZA MITANDAONI. NJOO TUKUONESHE HUKU MAJUMBA NAVILIVOMA UTAZIMIA.
@mamabyela1811 ай бұрын
Kabati la mawigi hatujaonyeshwa , interview irudiwe. Diva alituambia ana mawigi zaidi ya mia moja, ni muhimu tukaonyeshwa😆😆😆
@hazimamohammed134011 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@mishishabani147511 ай бұрын
Viko masaki na wewe😂😂😂
@fatmamdihiri416411 ай бұрын
Alooooo kwakweli 🤣
@YasmineBottan11 ай бұрын
Mmh mkiumwa mnaomba kuchangiwa jaman😢
@mariej696211 ай бұрын
Sijaona uspecial wowote wa hiyo nyumba. Nyumba ya kawaida sana! Pili, wanaishi maisha ya ajabu sana kama wanandoa, ila nobody should judge her. Ndoa zina mambo mengi sana ambayo waja hamuwezi kuyajua. Let her make her own decisions. Sure she is mentally not okay, but waachieni watu wake wa karibu wamsaidie inavyowezekana, nyie waja hamna namna. I support her idea kwenda kuishi nje ya nchi. Ana kiingereza kizuri, still anaweza kupata kazi yake ya utangazaji. Ila bwana ni kichefuchefu, atakuletea ukimwi na utaishi nao, ona hawezi hata kumtazama usoni. Mke naye na matatizo yake lukuki, lakini if wanaweza kuyamaliza basi wanajuana wenyewe, sisi wasikilizaji tu. Ila aache kumsingizia Mange, simu aliirekodi mwenyewe kutoka kwenye phone ya simu yake mwenyewe ndiyo maana iko clear.
@zenadaudzena284911 ай бұрын
Mhh hadi mtangazaji kauliza 20 milion halafu kila miezi 3 wanabadilisha uongo mtupu 😊
@Aminmwansile-we8vn10 ай бұрын
Mimi nilidhani ni nyumba yake kajenga yeye kumbe kapanga apartments looo jamani!
@kristofuraha336911 ай бұрын
Maisha ya kofalme kabisa, hakika wewe ndio baraka yenyewe!❤❤🔥🔥🙌🙌
@suleimanikirassahassan971111 ай бұрын
Dizaini hizi uzee wao huwa wanasumbua sana wajukuu
@steveabel581911 ай бұрын
Apartment ni ya kawaida sanaaaa hamna cha ajabu like for real😅 hata kwenye charts hanusi……huu ni ushamba jmn kusema every worth ya kitu chako cha ndani for what then??!? Huyu hajielewi lol nilikua namwona wa maana kumbe hamna kitu😒 so sad watu wenye expensive life wanajenga mi mansion yeye anatamba na hio cheap apartment😂😂 ndo maana she settle for less kwa huyo mume wake ambae ni queer huh
@RobertKatende-l6w8 ай бұрын
❤
@Lulualshagri11 ай бұрын
Parm village hiyo ukipanga kila kitu unakuta humohumo ukishindwa kodi unasepa na begi lako usijimwafai bure huna hata kitu kimoja humo ndani zaidi ya nguo zake mawigi na miwani akwende zake huko
@aminaramadhan381511 ай бұрын
Unapenda sifa mpk una boa
@woah.africa9911 ай бұрын
Wine na msala wapi na wapi duh
@sidikassim675911 ай бұрын
Mm ety kila bda ya miez mitatu una badilsha fanicha kweli hmna kitu kichwani
@Anzalmidel10 ай бұрын
Nikkah🎉
@teedullah570811 ай бұрын
Sasa hufunquwi dhamana kitu huyo Dada WA kazi napika nini huyo mume km humpikii yuwapikiwa kwenqine tusidanqanyane
@irenemwewe356611 ай бұрын
Yaani mpaka Leo hii,,diva anatuonyesha jiko,,wkt sasaivi watu wanatumia men kitchen
@sidikassim675911 ай бұрын
Kwhio bos wngu umkuja kuondolewa ushamba pamja na watizamaji