DIVA THE BAWSE AONYESHA MAISHA YA KIFAHARI/ SOFA YA MILLION 20/AFUNGUKA SAUTI ZA KWA MANGE KIMAMBI

  Рет қаралды 73,433

Carrymastory

Carrymastory

Күн бұрын

Пікірлер: 570
@starzone0458
@starzone0458 11 ай бұрын
She is hard working she deserves a serious man for love
@novasmgode2943
@novasmgode2943 11 ай бұрын
If that’s the only thing you think men wants, u should do more research
@zawadichalale4047
@zawadichalale4047 11 ай бұрын
Sio swala la ukishua ndio uwe unapenda kusoma vitabu mimi pia napenda sana kusoma vitabu sana ila sio mtoto wa kishua ni hobbi ya mtu jamani diva
@dianerditto
@dianerditto 11 ай бұрын
Tuliokuja moja kwa moja kutokea kwenye app ya mange tujuane
@fatmasaid9400
@fatmasaid9400 11 ай бұрын
Inaitwaje hio app napitwa
@esthermatisho2604
@esthermatisho2604 11 ай бұрын
Diva ananipa huzuni kila ninapo msikiliza 😢 she needs help kichwa au akili yake imetigisika kwakweli,especially baada ya kusikiliza voice notes kwa Mange App as woman utalia guys 😢😢
@moffimms8211
@moffimms8211 11 ай бұрын
Naomba nitumie namimi iyo voice
@kandygraphicstanzania
@kandygraphicstanzania 11 ай бұрын
utakuta hujawahi kuolewa, kuogea utumbo kama huu sio ajabu
@Josephineexsuper
@Josephineexsuper 11 ай бұрын
😅😅😅😅nimecheka hapo akili imetingisika😂😂😂. Huyu dada ana tatizo very serious, she needs help
@NiceWatson-y7e
@NiceWatson-y7e 11 ай бұрын
Aan vituko ipo hiv 80% waafrika hatujajielewa akili zetu zimeishia hapo kuonyesha saman za ndan tunachekesha kwakwel 😅😅😂😂😂
@Anzalmidel
@Anzalmidel 10 ай бұрын
😂😂😂
@RehemaMtangoo
@RehemaMtangoo 11 ай бұрын
Huyu dada anahitaji msaada wa kisaikolojia ana tatizo kichwani
@ziadasalimu1730
@ziadasalimu1730 11 ай бұрын
Haswa
@catherinekiwipa9271
@catherinekiwipa9271 11 ай бұрын
Yeah anastahiri
@fodeabasi
@fodeabasi 11 ай бұрын
Yani kiukweli ayuko sawa
@tirzahtess3799
@tirzahtess3799 11 ай бұрын
Aki am kenyan and I love diva am coming so that she can adopt 💞💞me
@AzaShamba
@AzaShamba 11 ай бұрын
DIVA MIE HATA UWEJE NAKUPENDA. UKICHEKA LAZMA MIE NICHEKE😂❤❤U MADE MY DAY TODAY WALAH. ILA KWA UTANGAZAJI NI FIRE❤❤my BEST COUPLE IS ABDUL AND DIVA😂😂NAWAPENDAAAA 😂😂😂MNAWACHOMA ROHO WASOWAPENDA
@steveabel5819
@steveabel5819 11 ай бұрын
Acha unafki😂😂
@PriskilaMajengo
@PriskilaMajengo 11 ай бұрын
Huyu Diva sijui sura yake vizuri anabadilika Kila siku jamani
@kubrymtutala9574
@kubrymtutala9574 11 ай бұрын
Ana sura 99 bado moja zifike 100
@mozamagaya8618
@mozamagaya8618 11 ай бұрын
Kabisa ata Mimi simjui diva hahaha
@myunaniniahmad6463
@myunaniniahmad6463 11 ай бұрын
@@kubrymtutala9574 😂😂😂😂
@elviuskanena6799
@elviuskanena6799 11 ай бұрын
Huyu analazimisha kuonewa wivu wakati ni wa kuonea huruma.😅
@tunajaribu
@tunajaribu 11 ай бұрын
😂😂😂😂 me naona aibu
@jazeerajuma5014
@jazeerajuma5014 11 ай бұрын
Alhamdulillah kwa afya mungu alionijalia mengine ni mapambo tuy ya dunia
@neemajeremiahs8430
@neemajeremiahs8430 11 ай бұрын
Hivi hizi hela si angejenga nyumba yake jamaniii 😔😔😭.. Kwelii tunatofautiana vision
@awadhisarai4331
@awadhisarai4331 11 ай бұрын
Kwani umesauh umsemo wa wenye akili hawana mali na wenye mali hawana......😅😂
@ziadasalimu1730
@ziadasalimu1730 11 ай бұрын
Mmenichekesha mno Hadi raha
@ziadasalimu1730
@ziadasalimu1730 11 ай бұрын
Kweli Kwa kabisa angejenga tu
@monadinadi5295
@monadinadi5295 11 ай бұрын
Umeonaeee
@masalakulwa7601
@masalakulwa7601 11 ай бұрын
yaani anaona amemal8zaaa
@rukiakyaka1827
@rukiakyaka1827 11 ай бұрын
Mashaallah M/Mungu awajaalie kwenye maisha yenu Inshaallah
@hassanmpemba5747
@hassanmpemba5747 11 ай бұрын
ilove diva ana slaying nzuri big up diva
@marianabenangodi5522
@marianabenangodi5522 11 ай бұрын
Demu anajiaibisha, coz ayo sio maisha yake watu tunamjua fika. But anahitaji msaada wa kisaikolojia
@faidhacute
@faidhacute 11 ай бұрын
Acha wivu utakuuua 😢
@jacquelineshija2984
@jacquelineshija2984 11 ай бұрын
We acha tu pengine yuko kwenye tangazo na utoto mwingi sana
@NasraSaid-qc5hf
@NasraSaid-qc5hf 11 ай бұрын
Hilosofa lamilioni 20 naona silioni hapo niyakawaidatuu
@Josephineexsuper
@Josephineexsuper 11 ай бұрын
Kuna muda nawaza hata ndoa na Abdul ilikuwa kiki tuu hamnaga... Yani she is soooo fake
@tunajaribu
@tunajaribu 11 ай бұрын
Hata yangekuwa yake unayaona yanachochote cha maana kweli
@godsdaughter2820
@godsdaughter2820 11 ай бұрын
Body language,face expression,can tell everything 😂😂😂the woman is forcing everything 😢alafu Diva una ushamba mwingii,matajiri hawajitangazi,miwani kwa nyumba ndo imenimaliza😂😂😂😂😂
@ReshimaaChitende
@ReshimaaChitende 11 ай бұрын
Miwan nyumban😢mshamba haswaaa😅
@vickyitenyo.
@vickyitenyo. 11 ай бұрын
I know right??! Miwani ni za nini kwa nyumba??
@Lulualshagri
@Lulualshagri 11 ай бұрын
Miwigi na miwani mpk nyumbani tena ndani hujiamini mshamba mkubwa nyumba unazopanga kila kitu unakikuta humohumo ukishindwa kodi unasepa na begi lako hizo nyumba nyumba ni parm village mtu yoyote anakaa
@aminamgaya7511
@aminamgaya7511 11 ай бұрын
Kabisa aise halafu ukimwambia ukweli anakublock🤣🤣🤣
@gres1182
@gres1182 11 ай бұрын
Zari ana pesa lakn sija wai kumuona ana ushamba kma huu jamen 😂😂😂😂😂
@ummySheikh72
@ummySheikh72 11 ай бұрын
Kweli maneno yako! Ila kila mtu na Tabia yake😅
@MwanaishaShattry
@MwanaishaShattry 11 ай бұрын
Mashamba sana katika kwenye maisha ya Chini sasa kama kipofu aliyeona jogoo kila kitu yeye anasema kikubwa kama jogoo
@faidhacute
@faidhacute 11 ай бұрын
Nakupenda we mdada mpaka naumwa ❤❤❤❤❤ DIVA THE BAWSE ❤❤❤
@elizabethbwakila3982
@elizabethbwakila3982 11 ай бұрын
Mimi ktk mastaa nampenda sana shilole. Yule ndio staa wa kuigwa jamn yupo kwakeeee. Hata ukiingia kwake kila kitu ni chake.
@Fear_Allah394
@Fear_Allah394 11 ай бұрын
Viongozi wa Tnz M/Mungu anakuoeni. Nchi mmeikandamiza mpkaa mtu anafikia kuita waandishi wa habari ndani ya nyumba kuja kuonyesha vyakula, lotions, creams, shower gels, baby wipes, unbranded bags, viatu, miwani nk. Wkt hvyo vtu kwa maisha ya wenzetu ni kawaida???
@marthagodson4447
@marthagodson4447 11 ай бұрын
diva ana shida ya afya ya akili
@catherinekiwipa9271
@catherinekiwipa9271 11 ай бұрын
Sana sana
@BrigitaKawau
@BrigitaKawau 11 ай бұрын
Mimi sina kitu na haya maisha yako Diva siyapendi ni ushamba kwakweli Yani hata kama huna akili au unavyosema umesoma Kwanini usiwe mwenye uelewa huu ujinga haufanani kabisa wengi wanapesa na maisha mazuri yakukuzidi ila hawafanyi hivi pole sana
@nancyg8664
@nancyg8664 11 ай бұрын
Diva uwa mshamba yan anatumia nguvu nyingi kutuaminisha vitu sijui yupoje asee
@chibandamwende3676
@chibandamwende3676 11 ай бұрын
Ila Diva unafosi jamani hivi huyu mhuni bado unamuweka???yani the body language is off !!!alafu dont bother about price alot just give us a tour we will know how much 😅😅😅,good apartment
@tidyclevertz
@tidyclevertz 11 ай бұрын
Ila hili life la kiwaki sana, tunavyooneshwa hiyo nyumba as if she owns it, yet akiumwa wanaanza kuomba michango kubabeeki
@wardawarda-fp3qe
@wardawarda-fp3qe 11 ай бұрын
Kabisaa yaani 😢😢
@jacquelineshija2984
@jacquelineshija2984 11 ай бұрын
Bwana we mara hizo furniture unazikuta unaingia wewe na begi lako la nguo tu
@tidyclevertz
@tidyclevertz 11 ай бұрын
@@jacquelineshija2984 tunapigwa na vitu heavy 🤣🤣🤣
@TausiOmary-od3my
@TausiOmary-od3my 11 ай бұрын
Kodi yenyewe alichangiwa hapo akwende
@NiceWatson-y7e
@NiceWatson-y7e 11 ай бұрын
Matajir hawajionyesh nyumba ake ipo simple sana
@sisifaty9183
@sisifaty9183 11 ай бұрын
Dada pole uko mjinga ,unamajigambo
@Anzalmidel
@Anzalmidel 10 ай бұрын
Divaa wacha pombe ur cute hardworking lady 🎉
@Boaz22
@Boaz22 11 ай бұрын
Laptop inawekwa kwenye box la viatu halafu na nyie mnamwamini??😂😂 matajiri hua hawaongei, huyu hana kitu, hivyo vitu vyote unakuta kwa apartments, muongo mkubwa Diva. Hana lolote dada kunuka😢
@queenlinda255
@queenlinda255 11 ай бұрын
Jama yani mimi nilitaka kusema ivyo ivyo izo nywele zake zenyewe ni feki yani feki sana sana 🤣🤣🤣
@claudiokelly8944
@claudiokelly8944 11 ай бұрын
Sio box la viatu mbona ni box lake kabsa
@chany9950
@chany9950 11 ай бұрын
Iyo nikweri👍🏽👍🏽👍🏽
@Boaz22
@Boaz22 11 ай бұрын
​@@claudiokelly8944kwahio ata wewe ujui box la viatu lilivyo,? Pole sana
@khadijab7066
@khadijab7066 11 ай бұрын
Mungu niweke mie ,unapesa arafu umepanga mtiani jamani master wa bongo pasua kichwa
@Rose-ue2ho
@Rose-ue2ho 11 ай бұрын
Naona yupo nyuma sana kimaendeleo😂 watu siku hizi hawaeki perfumes na cream kwenye dressing table kuna kabati maalum za perfume..ww mtangazaji njoo ufanye interview kwangu halafu uone the different kwangu na kwake😂😂
@chimamilion
@chimamilion 11 ай бұрын
Diva anapenda sifa mbele zawatu ssa kujifanya ww upojuu zaid yamumeo ndo nn?afu ikitokea kitu namumeo jaribu kuwanaka mfyuuu
@Rose-ue2ho
@Rose-ue2ho 11 ай бұрын
Diva ukimaliza nyumba yako nitafute mm nitakufanyia design na kukuwekea vitu vya kisasa mpaka utashangaa..😊
@navyoagrey7523
@navyoagrey7523 11 ай бұрын
Kwa kweli mana apo mh! Cjaona cha ajabu sana 😢
@glorianikiza3940
@glorianikiza3940 11 ай бұрын
Huyu atatokaga hapa maiti sababu analazimisha saaana mpaka huruma ulivokua unajigamba eti mwanamke unapaswa kua hivi vile kumbe ilikua utopolo tu pole amka bado mapema
@fatmaabasi6867
@fatmaabasi6867 11 ай бұрын
Hyo hela ya kubadilisha furniture mara hii kannue good quality wigs😢
@jacquelineshija2984
@jacquelineshija2984 11 ай бұрын
For real
@hazimamohammed1340
@hazimamohammed1340 11 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@fatmamdihiri4164
@fatmamdihiri4164 11 ай бұрын
😂 😂 😂 😂
@michaeljohn9070
@michaeljohn9070 11 ай бұрын
Palm village na Dar villas apartments gharama zake kwa mwaka unaweza jenga nyumba yako kubwa nzuri tu,,sasa sijui wanafeligi wapi hawa watu,,,
@mackysuphian
@mackysuphian 11 ай бұрын
Hata hao matajiri hawabadilishi furniture after three months😂😂😂khaaa! Kama ni hvyo si bora ujenge tuu..na tuna abari zako umetelekeza furniture huko kazilipie kwanza🤣🤣🤣
@zamdamasondole8272
@zamdamasondole8272 11 ай бұрын
Tumuombe tu baada ya miezi 4 huyu mtabgazaji arudi tena kwake 😅.Diva ni muongo sanaa 😂hao matajiri hawafanyi hiivyi😅.wiki lenyewe fake😅limekakaa km Zombie
@stellahlinusi8215
@stellahlinusi8215 11 ай бұрын
​@@zamdamasondole8272why zombi jamani
@poshsmith4268
@poshsmith4268 11 ай бұрын
😅😅😅😅
@umukulthumu1419
@umukulthumu1419 11 ай бұрын
Waarabu wenye hela zao wenye maisha yao hawabadilishi makochi hovyo😂😂😂 labda mpaka sikukuu ikikalibia wanapeleka kwafund kubadilisha kitambaa chanje hawanunui mpya😆😆😆😆😆😆sijui yy anajikuta nani
@SharonAron-t1j
@SharonAron-t1j 11 ай бұрын
Nilichojifunza hapo ni kujitahidi kuonyesha maisha ya kitajiri lakini kiuhalisia huyu dada ni mwongo, kwenye appartment huwa mara nyingi zinakuwa na vitu ndani, ila huyu dada anajitutumua kumweka mume kwenye maisha flan ili atulie naye, lakini ana fake life
@samwa9496
@samwa9496 11 ай бұрын
Sio zote zingine zinakuwa wazi, au saa ingine wewe mhitaji unaweza waambia huhitaji furniture
@preciouspeter6126
@preciouspeter6126 11 ай бұрын
Apartments zipo ambazo ziko wazi pia my darling. Sio zote ni fully furnished
@aishamridy4774
@aishamridy4774 11 ай бұрын
@@samwa9496hizo Appartement nazijua zina kila kitu ndani humo kaongeza tu vitabu tu hvy 😂😂
@samwa9496
@samwa9496 11 ай бұрын
@@aishamridy4774 😂😂😂
@ElizabethWamcha
@ElizabethWamcha 11 ай бұрын
Ni kweli kila kitu unakikuta umo zaid ya nguo zako tu ndio unaongia nazo 😅
@maimunaulotu2075
@maimunaulotu2075 11 ай бұрын
Diva dada aaangu usitumie nguvu nyingi kuaminisha watu....kuwa huyo kaka unampeleka.....ndomaana watu wanafanya makusudi kukumiza coz ndounaonyesha uzaifu wa ww kupend sanas
@zawadichalale4047
@zawadichalale4047 11 ай бұрын
Ferniture 20mil then baada ya miezi 3 anagawa loh!
@matridamwalyoyo1735
@matridamwalyoyo1735 11 ай бұрын
Uongo wa kiwango cha rami
@RoseKimaro-p3m
@RoseKimaro-p3m 11 ай бұрын
Mungu akusaidie jamani Mumeo awe mkweli abadirike na husiache kumuombea
@glorianikiza3940
@glorianikiza3940 11 ай бұрын
Uyu ameshaga changanikiwa anaongea sana tena hajaulizwa yani ana ka mchangnyiko furani waliyo kua karibu nae wamupeleke kuona mganga wa hakili😅😅😅😅
@faithkaganda-k3s
@faithkaganda-k3s 11 ай бұрын
Siyo kwa kujisfia huko duh😊😊😊
@FatimaAli-of4gh
@FatimaAli-of4gh 11 ай бұрын
Tutake radhi Diva house wife ni watu wa chini? Hiyo ni heshima tu ya kumfanyia mumeo watu wana pesa na wanapika sema kweli tu hujui kuoika au unataka na sisi tukuoneshe maisha zetu sisi sio marimbukeni like you
@happynathan8226
@happynathan8226 11 ай бұрын
Huyu dada nyie ni mgonjwa wallah😂😂 Diva sio mzima kabisa na wambieni 😢
@ireneimbuhira7759
@ireneimbuhira7759 11 ай бұрын
💯 true
@joycekaguo8476
@joycekaguo8476 11 ай бұрын
😃😃
@agnesjohn9382
@agnesjohn9382 11 ай бұрын
Mgonjwa kivipi fafanua daktari wake
@HajatAbdul
@HajatAbdul 11 ай бұрын
Jaman diva ukibadilisha izo sofa na iyo tv naomba unipe nakuomba sana shabiki wako sana kwenye lavi davi
@btylove1870
@btylove1870 11 ай бұрын
Diva anamatatizo ya akili. Kuhusu Abdul hana love kabisa na diva. Wanaume tafuteni pesa please, ukiwa mwanaume hunapesa unakuwa lofa tu.
@yustamshana-sx8dy
@yustamshana-sx8dy 11 ай бұрын
Mwongo, furniture za appartement za hapo amezikuta 😅
@MadinaAbduKyabazinga
@MadinaAbduKyabazinga 11 ай бұрын
Diva adi namuonea huruma Aseee jinsi Anavyompenda uyu kaka afu uyu kaka Amekaa kihuni sana wala hana mpango na mkewe
@joycemuhoja4729
@joycemuhoja4729 11 ай бұрын
Mkimaliza kwa Diva mje. Kwangu mlekodi jamani😁😁 Hizo fenicha unazobadili kila miezi mitatu naziomba
@hamidasalum157
@hamidasalum157 11 ай бұрын
Huyu dada aibu hana nyumba ya kupanga ndio anajishauwa hivi du kweli bora ukose mali upate akili tuuu uyu dada hama haya sijui ana nini vitu anavyojishauwa na matendo yake tofauti unaona kabisa anajitututumua ili kutafuta sifa
@cdeleo9336
@cdeleo9336 11 ай бұрын
Diva upo kwenye denial mbaya mno. Huyo atakuja kukupiga tukio baya hutaamini maana hakupendi
@BarbaraPatience-qt9cc
@BarbaraPatience-qt9cc 11 ай бұрын
Inakuhusu nini! Si uache apige tuu
@teedullah5708
@teedullah5708 11 ай бұрын
Kabisa
@omaryntagala3740
@omaryntagala3740 11 ай бұрын
Wivu acha wivu
@Bintimrembo-y1v
@Bintimrembo-y1v 11 ай бұрын
Ampige matukio mara ngapi 😂😂😂
@ummySheikh72
@ummySheikh72 11 ай бұрын
Hata mimi nimehisi hasa haya maisha yake hayapendi ila anapata pakutelezea tu! Mungu awasaidie
@salimalaquimane3077
@salimalaquimane3077 11 ай бұрын
Mashaallah pazur
@rizikiabdalla2501
@rizikiabdalla2501 11 ай бұрын
Ingekuwaa nyumba anamiliki yy hajapanga ningesena pazuri
@rahmahabibu4727
@rahmahabibu4727 11 ай бұрын
Mtangazaji kashajua diva hayuko sawa na anaenda nae Ivo ivo 🤣🤣🤣🤣🤣
@umukulthumu1419
@umukulthumu1419 11 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂🙌
@LindaMbilinyi-n3n
@LindaMbilinyi-n3n 7 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@awesosaladi3638
@awesosaladi3638 11 ай бұрын
Diva the bawser unyama ni mwingi sanaaa😅😅😅😅
@claudiajames2003
@claudiajames2003 11 ай бұрын
Kwahiyo na miwani ya fashion ukiwa umekaa ndani kwako?😅
@fatmaomar1881
@fatmaomar1881 11 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@keyla3641
@keyla3641 11 ай бұрын
Diva wewe ni hodari sana unajituma nahitaji mtu sahihi wakuwa nae anaejituma km wewe ishi rahisi useful nyingi ujenge achana na ya dunia kaa kimya fanya yako
@AshaKassim-tu7gz
@AshaKassim-tu7gz 11 ай бұрын
Muongo diva apartment nyingi hukuta kilakitu..nihiyo ck ya kudaiwa Kodi ndo itajua hujui cjui usowako utauweka wp?
@JoviethJames
@JoviethJames 11 ай бұрын
Nimependa sn maisha yuko acheni kumuonea wifu
@dayanafelly1488
@dayanafelly1488 11 ай бұрын
Diva kwenye interview unajifanyaga kiswahil kinakupa tabu... Ila ukiwa unamuanika mumeo unaongea kiswahil imenyooka hatari huongez hata neno moja là kimombo😂😂
@mnllyboy_tz9107
@mnllyboy_tz9107 11 ай бұрын
😅😅😂
@MizeKombeSuleiman-id1rp
@MizeKombeSuleiman-id1rp 11 ай бұрын
Aki uyu dem limbukeni acha tu
@Jamila-cz5ge
@Jamila-cz5ge 11 ай бұрын
UNAJIDAI NA NINI PUMBAVU WW WEWE SIIO MZUNGU AU UMEUZA ASILI YAKO. WAJIDAI KUONGE KIZUNGU RANGI JE ? MBONA WW NI MWAFRICA? WAJIDAI NA VITU JE UNGEKUA UNA UTAJIRI WA KINA BAHWANI UNGEFANYA NN. UNASALI ?
@rehemamwandemani5182
@rehemamwandemani5182 11 ай бұрын
Diva usisahau kujenga my det
@neemaberny3598
@neemaberny3598 11 ай бұрын
Yani mtu anaejopanga kudanganya lazima avae miwanii😂😂 dada hajiamini huyu..
@salhambwana6416
@salhambwana6416 11 ай бұрын
😂😂😂😂
@namsamson3443
@namsamson3443 11 ай бұрын
Hizi ndio hela zetu tulizokuchangia nini😂
@hazimamohammed1340
@hazimamohammed1340 11 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@Josephineexsuper
@Josephineexsuper 11 ай бұрын
Mlimchangia za nini?
@LindaMbilinyi-n3n
@LindaMbilinyi-n3n 7 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@ummySheikh72
@ummySheikh72 11 ай бұрын
Ufanye Dada ununue kidogokidogo mikocheni village itakuwa powa saana Diva! Una weza uta achana na kupanga nyumba nzuri enjoy maisha yenyewe mafupi kwanini uteseke Roho jiunge na Diva upooze koo!❤
@fatmamdihiri4164
@fatmamdihiri4164 11 ай бұрын
Kwakweli kbc
@annamontana2854
@annamontana2854 11 ай бұрын
Wigi limekauka kama limedumbukia kwenye uji
@estherminnahboaz6956
@estherminnahboaz6956 11 ай бұрын
Diva madawa yamemkolea maskini kama ana ndugu wampeleke kwa mtaalam anatia hutuma sana hayupo Sawa 😢😢😢
@kissamwamunyange1018
@kissamwamunyange1018 11 ай бұрын
Una uhakika unachokiongea? Halafu wewe kumbuka ni mwanamke kumsemea mwanamke mwenzio ni dhambi kubwa
@aminaaminamayalla3308
@aminaaminamayalla3308 11 ай бұрын
Mashaallah
@Keyjop
@Keyjop 11 ай бұрын
Ko diva miwani anapikia anaogea ana lalia ana ...in short , question ko miwani Kwa diva ndio Kila kitu
@tunajaribu
@tunajaribu 11 ай бұрын
Alisema huwa anaona aibu
@ashurakiswamba7085
@ashurakiswamba7085 11 ай бұрын
Huna wakishuwa chochote acha majivuno diva ungekuwa mzuri wallah cjui ingekuwaje .mungu amekupa machoo TU lakini .alikuwa angekupa sura shepu ingekuwa shidah lakini mungu 🙏 amejuwa maskini..Sasa hiyo miwani haivuliwi hiyo sura inashida ganiii?
@fatmafatu1128
@fatmafatu1128 11 ай бұрын
Wanawake mna wivu siku zote tuoneshe kwako 😂😂😂
@ashurakiswamba7085
@ashurakiswamba7085 11 ай бұрын
@@fatmafatu1128 kwani mtu aambiwi ukweli sofa za milioni20 Sasa siuongo hayo maneno aseme bosi wake sio yeye kapuku km wewe na mimi.km ukweli mtu anaambiwa km unaona uchungu kajinyonge .huyo mtu wa misifa wewe humjui ndio mana umesema ivyo
@omaryntagala3740
@omaryntagala3740 11 ай бұрын
​@@fatmafatu1128hahahaha mwambie atuoneshe kwake na sura yake
@faidhacute
@faidhacute 11 ай бұрын
Roja fala sana eti huea unalewa kabsa 😂😂😂😂😂😂😂 kwahy mtu anakunywa wine anashindwaje kulewa
@rehemahassan7475
@rehemahassan7475 11 ай бұрын
Uyu anajishaua jaman khaaaa mpk anakela
@happynathan8226
@happynathan8226 11 ай бұрын
Muhaya huyo😂
@stellahlinusi8215
@stellahlinusi8215 11 ай бұрын
​@@happynathan8226kumbe
@angelgodfrey4870
@angelgodfrey4870 11 ай бұрын
Aaah kumbe ni apartment mm nkajua kajenga, nimeacha ata kuangalia
@salomewandya7257
@salomewandya7257 11 ай бұрын
Duh si bora angejenga nyumba yake jmn 😢😢Nimelia sana 😭😭😭
@صالحالصوافي-غ5و
@صالحالصوافي-غ5و 11 ай бұрын
Amjengeye nani mbona hana mtoto 🤣🤣🤣🤣
@salomewandya7257
@salomewandya7257 11 ай бұрын
@@صالحالصوافي-غ5و Atapata tu,hizo pesa za kodi hapo ni nyingi sn
@tunajaribu
@tunajaribu 11 ай бұрын
Anaishi leo
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ 11 ай бұрын
Huenda anamiliki
@rerisamba
@rerisamba 11 ай бұрын
Amesema anajenga na ametaja ana viwanja 3
@tanzcanmediatv4473
@tanzcanmediatv4473 11 ай бұрын
Jamani pazuri mimi binafsi nimependa jinsi ilivyo hasa milango kuelejea balcon
@RachelBriervanity1
@RachelBriervanity1 11 ай бұрын
Jengeni Basi
@lucasernest6012
@lucasernest6012 11 ай бұрын
Ila kwenye kuomba michango unatuonyesha maisha ya sanaa tu
@mustafaosman1838
@mustafaosman1838 11 ай бұрын
Kuna watu wanaumia😂😂pambana naww sio kutokwa namapovu😂😂piga kazi dida mungu azidi kukufungulia
@umukulthumu1419
@umukulthumu1419 11 ай бұрын
Ila diva jaman kwahio huyu mwandish kamwita kwaajili ya kuonesha maisha anayoishi😂😂😂😂
@marianabenangodi5522
@marianabenangodi5522 11 ай бұрын
Yaan unaita media kutuonyesha vitu vya ndan 😂😂😂
@ngotikongotiko2711
@ngotikongotiko2711 11 ай бұрын
Mshamba huyo ndo uamini kwamba kwa mwanamke ndoa inathamani kubwa sana inampa ukamilifu duniani na hata mbele za mungu
@ibumajaamillah3195
@ibumajaamillah3195 11 ай бұрын
Mim navyojua Apartment zote unakuta kila kitu wew unakuja na nguo zako tu au sio hivyo guys
@khadijaramadhani5562
@khadijaramadhani5562 11 ай бұрын
Mapovu yanawatoka! Maisha ni kuchagua! Hayo maisha ndo kaona yanampa furaha! Msimpangie!
@sabihasalim942
@sabihasalim942 11 ай бұрын
Absolutely!!! ❤🇬🇧
@marianabenangodi5522
@marianabenangodi5522 11 ай бұрын
😂😂😂 voice si uliongea mwenyewe. Sasa dada etu wa taifa ana husika wapi .
@Jamila-cz5ge
@Jamila-cz5ge 11 ай бұрын
MWANAUME ALI SAWASAWA HAWEZI KURIDHIKA AJE MWANAUME KUTEMBEA CHUMBA ANAPO LALA NA MKEO . UNAWAONESHA WATU NYUMBA NA VILIVOMA HUU NIUSHAMBA . NANIASIO KUANAVO. WAPOWATU WAMILIKI MAJUMBA YAMEPAMBWA KWA DHAHABU. NAHAJIGAMBI WALA KUJITANGAZA MITANDAONI. NJOO TUKUONESHE HUKU MAJUMBA NAVILIVOMA UTAZIMIA.
@mamabyela18
@mamabyela18 11 ай бұрын
Kabati la mawigi hatujaonyeshwa , interview irudiwe. Diva alituambia ana mawigi zaidi ya mia moja, ni muhimu tukaonyeshwa😆😆😆
@hazimamohammed1340
@hazimamohammed1340 11 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@mishishabani1475
@mishishabani1475 11 ай бұрын
Viko masaki na wewe😂😂😂
@fatmamdihiri4164
@fatmamdihiri4164 11 ай бұрын
Alooooo kwakweli 🤣
@YasmineBottan
@YasmineBottan 11 ай бұрын
Mmh mkiumwa mnaomba kuchangiwa jaman😢
@mariej6962
@mariej6962 11 ай бұрын
Sijaona uspecial wowote wa hiyo nyumba. Nyumba ya kawaida sana! Pili, wanaishi maisha ya ajabu sana kama wanandoa, ila nobody should judge her. Ndoa zina mambo mengi sana ambayo waja hamuwezi kuyajua. Let her make her own decisions. Sure she is mentally not okay, but waachieni watu wake wa karibu wamsaidie inavyowezekana, nyie waja hamna namna. I support her idea kwenda kuishi nje ya nchi. Ana kiingereza kizuri, still anaweza kupata kazi yake ya utangazaji. Ila bwana ni kichefuchefu, atakuletea ukimwi na utaishi nao, ona hawezi hata kumtazama usoni. Mke naye na matatizo yake lukuki, lakini if wanaweza kuyamaliza basi wanajuana wenyewe, sisi wasikilizaji tu. Ila aache kumsingizia Mange, simu aliirekodi mwenyewe kutoka kwenye phone ya simu yake mwenyewe ndiyo maana iko clear.
@zenadaudzena2849
@zenadaudzena2849 11 ай бұрын
Mhh hadi mtangazaji kauliza 20 milion halafu kila miezi 3 wanabadilisha uongo mtupu 😊
@Aminmwansile-we8vn
@Aminmwansile-we8vn 10 ай бұрын
Mimi nilidhani ni nyumba yake kajenga yeye kumbe kapanga apartments looo jamani!
@kristofuraha3369
@kristofuraha3369 11 ай бұрын
Maisha ya kofalme kabisa, hakika wewe ndio baraka yenyewe!❤❤🔥🔥🙌🙌
@suleimanikirassahassan9711
@suleimanikirassahassan9711 11 ай бұрын
Dizaini hizi uzee wao huwa wanasumbua sana wajukuu
@steveabel5819
@steveabel5819 11 ай бұрын
Apartment ni ya kawaida sanaaaa hamna cha ajabu like for real😅 hata kwenye charts hanusi……huu ni ushamba jmn kusema every worth ya kitu chako cha ndani for what then??!? Huyu hajielewi lol nilikua namwona wa maana kumbe hamna kitu😒 so sad watu wenye expensive life wanajenga mi mansion yeye anatamba na hio cheap apartment😂😂 ndo maana she settle for less kwa huyo mume wake ambae ni queer huh
@RobertKatende-l6w
@RobertKatende-l6w 8 ай бұрын
@Lulualshagri
@Lulualshagri 11 ай бұрын
Parm village hiyo ukipanga kila kitu unakuta humohumo ukishindwa kodi unasepa na begi lako usijimwafai bure huna hata kitu kimoja humo ndani zaidi ya nguo zake mawigi na miwani akwende zake huko
@aminaramadhan3815
@aminaramadhan3815 11 ай бұрын
Unapenda sifa mpk una boa
@woah.africa99
@woah.africa99 11 ай бұрын
Wine na msala wapi na wapi duh
@sidikassim6759
@sidikassim6759 11 ай бұрын
Mm ety kila bda ya miez mitatu una badilsha fanicha kweli hmna kitu kichwani
@Anzalmidel
@Anzalmidel 10 ай бұрын
Nikkah🎉
@teedullah5708
@teedullah5708 11 ай бұрын
Sasa hufunquwi dhamana kitu huyo Dada WA kazi napika nini huyo mume km humpikii yuwapikiwa kwenqine tusidanqanyane
@irenemwewe3566
@irenemwewe3566 11 ай бұрын
Yaani mpaka Leo hii,,diva anatuonyesha jiko,,wkt sasaivi watu wanatumia men kitchen
@sidikassim6759
@sidikassim6759 11 ай бұрын
Kwhio bos wngu umkuja kuondolewa ushamba pamja na watizamaji
@nicholauspeter9454
@nicholauspeter9454 11 ай бұрын
kila kitu very expensive
Inside Out 2: ENVY & DISGUST STOLE JOY's DRINKS!!
00:32
AnythingAlexia
Рет қаралды 14 МЛН
Life hack 😂 Watermelon magic box! #shorts by Leisi Crazy
00:17
Leisi Crazy
Рет қаралды 50 МЛН
Tazama Chief Odemba Akimhoji  Maswali Magumu Kamanda Muliro
28:34
MATUKIO YALIOTOKEA USIKU  WA THE EMPRESS EXRAVAGANZA  MLIMANI CITY
47:32
BEHIND THE GRAM DIVA & SHEIKH - EPISODE 5
24:23
ZamaradiTV
Рет қаралды 15 М.