No video

SIMBA NA LAMECK LAWI WAKUBALI YAISHE!! COASTAL UNION WAMPELEKA YANGA, SIMBA WALIKYUKA MAKUBALIANO

  Рет қаралды 38,551

LIKE MEDIA

LIKE MEDIA

Күн бұрын

Пікірлер: 98
@allysaidi-uy9rm
@allysaidi-uy9rm 2 ай бұрын
Wahuni hao simba
@saidingumbo-is2oe
@saidingumbo-is2oe 2 ай бұрын
Aibuuuuuuuuuu hiyooooooo , Simba mapema hii fanyeni Mipango mingine
@yusufhussein5654
@yusufhussein5654 2 ай бұрын
mkundu wako
@erickprotace9463
@erickprotace9463 Ай бұрын
Waandishi tuelimishe juu ya njia za kusitisha makubaliano, kama coastal walifata tutajua mmiliki wa mchezaji ni nani kati ya simba na coastal.
@bakarimakalo7128
@bakarimakalo7128 2 ай бұрын
Simba wanapamba na Wana Yanga waliopo Coastal Union ambao wanapambana kuhakikisha Lameck Lawi haendi Simba. Baadhi ya Viongozi hao wa Coastal/Yanga wamo humo humo TFF. Msimuumize Kijana Lawi kwa kumuweka mtegoni na matatizoni.
@user-ox3ij7ki3t
@user-ox3ij7ki3t 2 ай бұрын
Tff ni karia na karia ni kolo wa kutupwa wala halipingiki hilo mkiyakoroga kunyweni wenyew msiwaingize yanga kwenye migogoro yenu na simba B
@saidingumbo-is2oe
@saidingumbo-is2oe 2 ай бұрын
Kuweni wapole kugombea mchezaji ni aibu mnagombana na wanaommiliki aibu sana hii Alli Kamwe atamchangia Lawi kwenda cas
@mjanthony4864
@mjanthony4864 2 ай бұрын
Hata akienda Kasi, Aitosaidia Kitu. Walitoa Notes ya Siku Kumi?😅
@SarahKaale
@SarahKaale 2 ай бұрын
Mimi naona kama imeshindikana waachane nae tu watafute mchezaji mwingine bora.
@YOSHUAMWAMPETA
@YOSHUAMWAMPETA 2 ай бұрын
Ninyi waandishi kwanini mnashindwa kuuliza baadhi ya maswali Kwa Mfano Simba kwanini haikulipa kiasi cha fedha kwa muda sahihi wa MAKUBALIANO? Swali lingine Mangungu huoni kuwa UNAFANYIWA FIGISU kwasababu hutakiwi KWENYE NAFASI HIYO Wapenzi wanataka UJIUZULU KWANINI Unang'ang'ania?
@abedisembe4551
@abedisembe4551 2 ай бұрын
Ubabaishaji Simba mnalipaje wakati hamjafanya medical test angekuwa mgonjwa ivyo simba wamelipa kwasababu ya kuwai dili Hilo la njee
@YOSHUAMWAMPETA
@YOSHUAMWAMPETA 2 ай бұрын
Mumeandika "SIMBA WALIKYUKA MAKUBALIANO" Huo ni UZEMBE MKUBWA jirekebisheni LIKE MEDIA. Hamjui kuwa DUNIA NZIMA Inawaangalia sana .
@nurdinmvellah4032
@nurdinmvellah4032 2 ай бұрын
Kwann tusiachane nae, maana hata akija Simba hata fanya lolote, dogo mwenyewe kipaji kimezuka hvi karibuni si Cha msimu tu hicho,?
@johnurio9151
@johnurio9151 2 ай бұрын
Tunataka kusikia wachambuzi wakimtetea lawi aende nje Simba waache janjajanja
@fatherjaytz
@fatherjaytz 2 ай бұрын
Huko nje hata akiwa Simba wataenda tu
@revocatusmalimi4525
@revocatusmalimi4525 Ай бұрын
Mh Magori kama kuna mpango wa kulipeleka kwenye chombo cha maamuzi huna ulazima wa kuanika ushahidi/vielelezo vyako katika mdahalo hùu
@LetasKomba-br1xh
@LetasKomba-br1xh 2 ай бұрын
Cost ni wahuni wakubwa ninyi hayo ni mambo ya kihuni hayako kwenye mpira wa sasa
@laurentLyatuu-hw7vb
@laurentLyatuu-hw7vb 2 ай бұрын
Mangungu utaondoka na lameki lawi kwenda nae yanga ndio huoo ujinga unaoufanya
@yusufhussein5654
@yusufhussein5654 2 ай бұрын
nyie waandishi hamjui chochote hamjui chochote mavi matupu
@comsmkemwa2671
@comsmkemwa2671 2 ай бұрын
Kimeumana mtu na ndgu yake, patamu hapo😂😂
@EmmanuelyChristopher
@EmmanuelyChristopher 2 ай бұрын
Hawa Cost wanampango wa kuua kipaji Cha huyo dogo Rungu likifika hapo ni baraa
@kazembeally1619
@kazembeally1619 Ай бұрын
Kama vpimo vya hospital hamkufanya na moja yakipengele kwenye mkaba nimcheji kufanyiwa checkup.swali.langu kama mchezaji mngemfanyia chackup angeonekana ana matatizo kiafya nyinyi mngemsajili.
@SeniSalam
@SeniSalam 2 ай бұрын
Take action dharau imezidi
@namtingakassim5529
@namtingakassim5529 2 ай бұрын
Simba waachane na huyo lawi muda muda muda upo mvutano wa nini tumechoka kusikia ujinga huu au simba hamna pesa? Acheni kuwalpa kichwa hao coast achanaeni huo tafuteni wachezaji wa maana
@AyubuIssa-np3vc
@AyubuIssa-np3vc Ай бұрын
Wachezaji wote walio sajiliwa umetowa ww pesa
@wilsonmalosha3337
@wilsonmalosha3337 2 ай бұрын
Wamezoea magumashi, hali kama hii ilitokea kwenye Usajili wa Mhilu kutoka Kagera Sugar kwenda Simba. Simba wamezoea dhuluma, kwa Wakongwe tunakumbuka Sakata la Francis Fulla Mwikalo
@user-ce3tx7mr8v
@user-ce3tx7mr8v 2 ай бұрын
Anayetoa RUNGU NI PATRICK SAIMONI
@Kabeya410
@Kabeya410 2 ай бұрын
😅😅Magori anatumia udhaif wa coast kutojua sheria ya fifa ati wapewe notisi siku 10 lakini wanafanya makusudi kwa kuwa wana karia ila kisu kimefika kwenye mfupa coast kuna mguto na Simba kuna karia na coastal sijui itakuaje 😅
@user-ty9yg8fg9g
@user-ty9yg8fg9g 2 ай бұрын
Wale mashabiki wasiojielewa mnaoaminishwa timu yenu ina hela za kumwanga kiko wapi mchezaji wa ndani hela inalipwa kwa mafungu je mtaweza kumsajili mchezaji bora kutoka nje???? Matango pori endeleeni kufuatilia mambo ya yanga sijui kafungiwa mara fifa safi sana yakwenu yanachelewa Vile vile endeleeni na sifa za mabilioni mdomoni na kwenye vyombo vya habari
@Kabeya410
@Kabeya410 2 ай бұрын
Simba toka zamani walimsajili kutoka coast fransis mwikalo wakamsajili ati kwa jina la FURA MWIKALO 😅ILA WAKATI HUO MZEE EL MAMRI NI SIMBA ILA KAAMUA KWAMBA HUYO FRANSIS MWIKALO NDO HUYO HUYO FURA MWIKALO NGOMA IMEGONGA MWAMBA MCHEZAJI AKACHEZA COAST SIYO SIMBA 😅
@Ruagarichard
@Ruagarichard Ай бұрын
Samba chukueni hatua zarau zimezidi .
@user-ek4lh5vo7c
@user-ek4lh5vo7c 2 ай бұрын
simba wanatapatapa
@H3s4d
@H3s4d 2 ай бұрын
Ina. Maana. Viongozi wa SSC wanakwenda kienyeji kwanini?mme chele Wa kulipa pesa. Ubabaishaji
@H3s4d
@H3s4d 2 ай бұрын
Ina maana. Simba wamemuona hiyo mchezaji Hakuna Zaidi ya huyo ?
@bestel321
@bestel321 2 ай бұрын
Magori anakuaga mpumbavu sana, nakumbuka alivokua anamteteya Mo kwenye wizi ukitaka kumjua Magori kamuulie mzee Hamissi Kilomoni ndio anae ujuwa utapeli wa Magori.
@drvaxminja2133
@drvaxminja2133 2 ай бұрын
Simba mnazinguka na kufatilia madeni ya Yanga, leo mbona mmepoa hivyo? Tatizo lenu mnakuwa busy na mambo ya Yanga kuliko yenu.
@sadih5333
@sadih5333 2 ай бұрын
Mwamnyeto hamjamaliza deni ongeleeni hilo kwanza
@emmanuelmrope7819
@emmanuelmrope7819 2 ай бұрын
Mbona kama nimemsikia akisema makubaliano ni kuwa mchezaji akishafanyiwa vipimo ndio biashara itafanyika ya malipo sasa imekuwaje ulipe nje ya makubaliano pesa? Mbona tyr hicho ni kipengele tosha cha kuwafelisha hata mkienda FIFA
@HumoudSalim-ct1tz
@HumoudSalim-ct1tz 2 ай бұрын
Hawo wanampango wakumpotezea kipaji chase Hao cost washaauza
@saidingumbo-is2oe
@saidingumbo-is2oe 2 ай бұрын
Coast wanajuwa wanachokisema
@jankenkasambala7687
@jankenkasambala7687 2 ай бұрын
Wakubaliane kwamba huyo mchezaji auzwe kwenye hiyo timu ya nje ya nchi alafu pesa igawanywe kwa Coast na Simba
@juliusmagoti5650
@juliusmagoti5650 2 ай бұрын
Kwa nini hamkulipa ndani ya muda uliotakiwa ili kuepuka migogoro kama hii? After all, MO karudi, hela ipo kwa nini mlipe nusunusu
@chancelorharubu2731
@chancelorharubu2731 2 ай бұрын
Taja timu ambayo hailipi nusu tanzania,na wengine wanakopa hata hiyo nusu hawatoi,ndio maana unasikia timu zinafungiwa usajili kwamba hawakulipa
@user-mg1yl2rl8s
@user-mg1yl2rl8s 2 ай бұрын
​@@chancelorharubu2731 acha kudanganya hakuna timu iliyofungiwa kisa ilipora mchezaji kisha wakamtangaza bila ridhaa ya timu inayommiliki. Wale wanaofungiwa ni wale wanaokatisha mikataba na hawalipi fidia kwa wakati lakini sio wizi wa mchezaji kama mnavyotaka kufanya kwa Coastal hiyo ni dhambi na laana kubwa
@sosmakanya4901
@sosmakanya4901 2 ай бұрын
Kwa nini mlilipa mwezi wa tatu kabla ya dirisha kufunguliwa
@Shemahonge-ku7xx
@Shemahonge-ku7xx 2 ай бұрын
Nisheria Gani inakataza
@Shemahonge-ku7xx
@Shemahonge-ku7xx 2 ай бұрын
Kunakuripa nakumtangaza kumtangaza nikuwa ushaamchukua sasa kwakuwa dirisha harijafunguriwa huwezi kumtangaza
@YusuphSomo
@YusuphSomo 2 ай бұрын
Simba acheni ujanja ujanja....!
@nassoropongwa8022
@nassoropongwa8022 2 ай бұрын
Viongozi wa makolo wahuni
@muridundhikri
@muridundhikri 2 ай бұрын
Simba ni wababaishaji tu nyinyi mmepewa muda na mnajidai mna pesa kwanini msilipe kwa muda muafaka mnafanya maigizo kama ya manzoki, hii ni kawaida yenu
@bilajasho449
@bilajasho449 2 ай бұрын
Weee nawe ushabiki umekukaa hadi kwenye shida zako
@bilajasho449
@bilajasho449 2 ай бұрын
Weee nawe ushabiki umekukaa hadi kwenye shida zako
@bilajasho449
@bilajasho449 2 ай бұрын
Weee nawe ushabiki umekukaa hadi kwenye shida zako
@Shemahonge-ku7xx
@Shemahonge-ku7xx 2 ай бұрын
Unaerewa warichokubariana warierewana mchezaji afanyiwe vipimo ndiowamarize kuripa badarayake mchezaji arikuwa timu yataifa hakujakufanya vipimo lakini viongozi wakaona japohakuja ngojatulipe akirudi tutajua sasa uritaka wafanyeje
@kasimumughuna201
@kasimumughuna201 2 ай бұрын
Jifunze matumizi ya r na l,, tofautisha r na l😂😂😂​@@Shemahonge-ku7xx
@waziribori2280
@waziribori2280 Ай бұрын
TFF YOTE IMEJAA WATU TOKA TANGA WANAJIONA WANAWEZA SHINDA WAKATI HUYO MGUTO WAMESHEMSHA . HAKUNA NOTICE VUNJA MKATABA UNATOA NOTICE YA SIKU 10. KWELI HUYO MGUTO NI KIONGOZI WA TFF AU NANI HAJUI TARATIBU ZA FIFA KUHUSU USAJILI . KARIA ACHA TABIA ZA KUZOA WATU WASIOJUA SHERIA ZA MPIRA
@OS-pf6op
@OS-pf6op 2 ай бұрын
Wanachelewa kulipa wakitafuta pa kupata 10%😂😂
@halidmaunga9150
@halidmaunga9150 2 ай бұрын
hahahahaaaaaaaaaaa magoli acheni blablaa mnatiumiza sisi walipa kiingiliio
@anithawidambe7543
@anithawidambe7543 2 ай бұрын
NA NYIE VIONGOZI WA COSTAR UNION MNAMATATIZO SANA KWANN MNAMYUMBISHA KIJANA? ACHENI UJINGA. MNAMHARIBU KISAIKOLIJIA .. LAWI AMECHAGUA SIMBA NYIE MNALAZIMISHA ABAKI COSTAR
@user-ox4fv4cf5l
@user-ox4fv4cf5l 2 ай бұрын
ACHA UHUNI WEWE MZEE,KWA KAGERA MWAKA JUZI MLIFANYA UHUNI PIA
@Shemahonge-ku7xx
@Shemahonge-ku7xx 2 ай бұрын
Mbona baba Yako arifanya uhuni ukazariwa
@marcobulili4341
@marcobulili4341 2 ай бұрын
Migogoro fc
@cyprianboniphace-oz5lw
@cyprianboniphace-oz5lw 2 ай бұрын
Mumesahau yenu na Morrison
@josephgamba8389
@josephgamba8389 2 ай бұрын
Hapo hamna uongoz Dunduka FC achen ujanja ujanja 😂😂😂
@user-ox4fv4cf5l
@user-ox4fv4cf5l 2 ай бұрын
MNALIPA KWA MAFUNGU NA KISHA SIMBA KUWENI WAPOLE KWA COASTAL MAANA WAO NDIO WANAOMMILIKI NA MPAKA SASA HAWEZI KUCHEZA KWENU MPAKA WAO WAMRUHUSU
@chancelorharubu2731
@chancelorharubu2731 2 ай бұрын
Kilichowakwamisha coat ni tamaa tuu hakuna lolote,tuone mwanzo wa msimu lawi atacheza timu gani,na coast wakifanya mchezo wanapigwa faini wenyewe watashangaa,mtakuja sikia tu muda si mrefu
@user-ud4rk1vw7l
@user-ud4rk1vw7l 2 ай бұрын
Kamwe tuko chini ya miguu Yako tunakuomba Umsaidie Mzee Magori kwenda FIFA na kama ikibidi haja ya fedha basi muombe GSM aweze kusaidia sakata hili kuepuka aibu hii .
@user-in7jr4py7y
@user-in7jr4py7y 2 ай бұрын
Costo na upotolo ni wale wale shule hakuna
@godfreymabula6858
@godfreymabula6858 2 ай бұрын
UTOPOLO MAMA AKOO kumamaeee
@marcobulili4341
@marcobulili4341 2 ай бұрын
Kwa KAGOMA yanga ilipewa notes ya siku 10? Njooni mezani tuwauzie kagoma vinginevyo tutawapeleka FIFA, wewe mshawishi pamoja na muuzaji!
@lucymsheshi5871
@lucymsheshi5871 2 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@YOSHUAMWAMPETA
@YOSHUAMWAMPETA 2 ай бұрын
VIONGOZI WA SIMBA KAZI MNAYO.Chelewa Chelewa UTAKUTA Mwali SI WAKO!
@KATEGILEMABADA
@KATEGILEMABADA 2 ай бұрын
Hili ni dili la YANGA kulipa kisasi ila watafeli tu
@yunusimchala6569
@yunusimchala6569 2 ай бұрын
Unalialia nn sajili wachezaji wengine waache coast wamuuze South wapate mpunga mwingi nyie mbuma hakuna
@HABIBHASSAN-wf5mr
@HABIBHASSAN-wf5mr 2 ай бұрын
KAMA ILIVYOKUWA KWA MWAMYETO
@SalimAbdallah-mi1wc
@SalimAbdallah-mi1wc 2 ай бұрын
Kwani maneno yote ya Nini kweli kama Simba Ni Mali yenu twaomba tuone mkataba aloweka Saini kwenu 😂yani kweli Simba mmefeli Sana Leo hii mwagombania mchezaji Na coastal union aibu kubwa
@H3s4d
@H3s4d 2 ай бұрын
Kweli pesa nusunusu acheni. Aibu ,Simba timu kubwa
@tezuramziray8700
@tezuramziray8700 2 ай бұрын
Yaani hapa ujanja ushajulikana, hela hamna mnataka kuingilia deal la watu la kumuuza Lawi nje ya nchi. Daah aibu sana watu wamkuze kijana wao nyie mnadandia mafanikio ya watu halafu ati mnatamba mna hela.
@user-in7jr4py7y
@user-in7jr4py7y 2 ай бұрын
Mnao coment humu wote utopolo
@godfreymabula6858
@godfreymabula6858 2 ай бұрын
Mama Ako acha usenge
@jonamnyone8014
@jonamnyone8014 2 ай бұрын
Duh Simba mna fail wapi? Je ni kweli Tajiri yupo? Mbona hela mnashindwa kulipa mnalipa nusu nusu. Sasa Coastal ambayo ilikuwa na uhusiano mzuri na Simba Sasa Coastal ni adui wa Simba. Wale wazee wa zamani wa Coastal na Simba wapo wapi? Hivi Coastal hata kama wanaotaka kumuuza mchezaji ndio wampeleke Yanga??
@venancemwanya4212
@venancemwanya4212 2 ай бұрын
Tafuteni mchezaji mwingine,achaneni na ujinga huo
@SarahKaale
@SarahKaale 2 ай бұрын
Mimi naona kama imeshindikana waachane nae tu watafute mchezaji mwingine bora.
@user-ox3ij7ki3t
@user-ox3ij7ki3t 2 ай бұрын
Yanga hawana mpango na lawi semeni tu ndo hivyo simba wakikwama lazima yanga iingizwe kati wanao mtaka lawi ni ubeljiji acheni kutafuta content kwa kuandika kichwa cha habari cha uongo
@edwardmizambwa237
@edwardmizambwa237 2 ай бұрын
Unajizushia peke yako Hayupo aliyemtahwa Yanga.
@user-ox3ij7ki3t
@user-ox3ij7ki3t 2 ай бұрын
@@edwardmizambwa237 kichwa cha habari kinasemaje?? maan mim nimeongelea kichwa cha habar
@proisolution7166
@proisolution7166 2 ай бұрын
MAGOLI UBABAISHAJI UPO KWA KUWA WEWE BINAFSI UNA HOLD VIPI NAFASI MBILI YA UANACHAMA WA SIMBA NA U MMO ETI MJUMBE UPANDE WA MWEKEZAJI BT AT THE SAME TIME HIYO BODI HEWA HAINA MANDAATE YA KISHERIA(KUSAJILIWA) MNAJIITAJE TIMU KUBWAAAA.
@KondoMhando
@KondoMhando 2 ай бұрын
Yanga wanasajili wachezaji wenye akili na kipaji. Hawagombei wacheza wa mpira wa (chandimu). Matatizo yenu wachezaji, msiwahusishe yanga. Yanga kwa sasa wanafikiria mambo makubwa ya kimaendeleo. Kubooresha wachezaji, kujenga uwanja, kutafuta wachezaji wanaoweza kucheza na Azizi ki, na mambo mengine ya kimaendeleo. Au Simba wanataka Rais Samia awaonee huruma, aingiliekati kama alivyofanya kwa Feisali kwenda Azam? Imekula kwenu hiyo, acheni TAMAA kazeni mkanda. Mwambieni Mo atoe zile (bil 200) msajili wachezaji. Sio kugombea wachezaji wa vilub vya ndani, mtoke nje mkasake wachezaji wa halali. Hivi habari za Mayele zimefia wapi Simba? Kweli watu wa kutapatapa!
@juliusmanzalima7513
@juliusmanzalima7513 Ай бұрын
Kwani lawi ni nani? Muacheni aende2
@tezuramziray8700
@tezuramziray8700 2 ай бұрын
Utapeli huo watu wazima nyie. Ujue kuna jambo limejificha hapo kwanini walipe hela bila kufuata vifungu kwani mchezaji kwenda timu ya taifa hatarudi? Angekuwa mgonjwa. Na hili mashabiki wa Simba mjue wapigaji bado wapo hakuna viongozi hapo
Вы чего бл….🤣🤣🙏🏽🙏🏽🙏🏽
00:18
а ты любишь париться?
00:41
KATYA KLON LIFE
Рет қаралды 3,5 МЛН
This Dumbbell Is Impossible To Lift!
01:00
Stokes Twins
Рет қаралды 30 МЛН
Nilianza na Kuku 8 wa Kienyeji, Lakini Nimezalisha Kuku wa Kienyeji 300
10:37
LISSU AFUNGUKA SIMBA KUPEWA JINA LAKE  NA RAIS SAMIA
6:34
Mwananchi Digital
Рет қаралды 35 М.
August 25, 2024
33:02
LIKE MEDIA
Рет қаралды 457