VIDEO KUTOKA URUSI: SPIKA TULIA AKUTANA na RAIS PUTIN MEZA MOJA - WAJADILI MAMBO MAZITO VITA UKRAINE

  Рет қаралды 3,458

Global TV  Online

Global TV Online

24 күн бұрын

VIDEO KUTOKA URUSI: SPIKA TULIA AKUTANA na RAIS PUTIN MEZA MOJA - WAJADILI MAMBO MAZITO VITA UKRAINE....
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 17
@globaltv_online
@globaltv_online 22 күн бұрын
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
@mwanagwakyala3213
@mwanagwakyala3213 22 күн бұрын
hongera kwa hilo ,umekuwa kiongoz wa mfano , mungu akuongoze katka majukumu yako ya kila siku
@Watema23
@Watema23 22 күн бұрын
Suburi Marekani ikutilie vikwazo
@greysondavid6445
@greysondavid6445 22 күн бұрын
Congratulate dr Tulia Ackson for being transparent talking with president putin.
@hawaelymaricca7602
@hawaelymaricca7602 22 күн бұрын
Hongera sana mdogo wangu ,nakutakia kila kheri Mwenyeai Mungu akutie nguvu na kukupa Afya katika kipindi hiki ulicho huko, Tunakuombea ukawashauri Amani ikatawale nchi zote.
@Hakuzwe
@Hakuzwe 22 күн бұрын
Mama Dr Tulia wewe ni mwanamuke shuja...je Vous aime beacoup❤❤❤
@habibaramadhani-xv2ed
@habibaramadhani-xv2ed 22 күн бұрын
Kheri sana Doctor Trulia Rais wa Mabunge Duniani. Wasuluhishe,AMANI N I ya Msingi sana.
@loserianonesmo4756
@loserianonesmo4756 22 күн бұрын
Hongera Sana. Mungu akuwezeshe Kwa hayo yote
@hawaelymaricca7602
@hawaelymaricca7602 22 күн бұрын
upo vizuri
@tabitabughali3207
@tabitabughali3207 22 күн бұрын
Kyala akutulege Mwanangu, Bombaga ijo Mbobo ja KYALA
@habibaramadhani-xv2ed
@habibaramadhani-xv2ed 22 күн бұрын
HOTUBA MUAFAKA Imesheheni Hekima na Busara.Tuombe Mungu Awafanyie wepesi mpate Suluhisho zuri.
@tonchanthol5329
@tonchanthol5329 22 күн бұрын
😮😮😮
@MahdouMomba
@MahdouMomba 22 күн бұрын
FInally Urusi is going to liberate the entire continent from Europeas imperialists, kama ulienda kwa Putin naamin ni mwanzo na mwelekeo mzuri kwa nchi yetu.
@liberatusjackson5045
@liberatusjackson5045 22 күн бұрын
Sjapenda😂😂😂😂 ukalibu na GAIDI😂😂😂😂😂😂
@bensonmgaya5693
@bensonmgaya5693 22 күн бұрын
Umeenda kama nani au munataka kuuza nchi sijaelewa supika kutoka kwenda kuonana na Raisi wakati bunge halijamtuma sisi watanzania sio wajinga
@halimamasai2234
@halimamasai2234 22 күн бұрын
We fala amenda kama Raisi wa mabunge duniani sikiliza kwa makini si kuruka tu kinafik huyu siyo levo yenu kabisa na huyo Sugu wenu ajipange huyu siyo levo yake
@user-ym6hd7xh3g
@user-ym6hd7xh3g 22 күн бұрын
Tumpongeze tuu jamani Tusipende kuzodoa kila kitu Labda Putin anaweza kubadili mtazamo wake wa kupiga wenzake na nuclear zake