Рет қаралды 2,598
VIDEO: MABAKI ya MIILI ILIYOTEKETEA kwa MOTO BAADA ya LORI KUWAKA MOTO IKITOLEWA - DC SHAKA AELEZA..
Kufuatia ajali ilyotokea usiku wa kuamkia leo julai 10 2024 katika eneo la kwambe Wilayani kilosa Mkoani Morogoro ajali iyohusisha Gari ndogo aina ya Harrier na lori kuteketea kwa moto taarifa zinaelezwa kuwa watu watatu wamefariki dunua kutokana na ajaili hiyo ya barabarani
Mkuu wa wilaya ya kilosa Shaka hamdu shaka ameongoza zoezi la kuopoa mabaki ya miili miwili ya raia wa burundi walioteketea kwa moto baaada ya lori walilokuwa wakisafiria kuwaka moto huku dereva wa gari ndogo naye amefariki dunia wakati akiendelea kupatiwa matibabu katika hospitali ya st Joseph
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx