Rais Ni kazi au Ni cheo..... Rais Ni taaluma au tuzo.... Rais Ni elimu au Ni baraka.... Inatafakurisha..... éee Mwenyezi Mungu tubariki na kutuokoa Watoto wa Tz
@africaonechannel12892 жыл бұрын
It is Very hard TEACHING HATE Than LOVE; As LOVE IS VERY Natural!.
@alymansury2 жыл бұрын
Tunatakiwa tuwasomeshe watoto ili na Sisi tujekufanya hayaa sio tuyaone kwa wenzetu tu
@robertmaginga61322 жыл бұрын
Hongera Rais, wenye ufahamu ndo wataelewa mtu kuonesha maisha halisi aliyoishi ni fahari sana kwani wanataka uonyeshe Nini, wao waoneshe Yao, hayo ni yako hongera mama.
@mnyengamromania40762 жыл бұрын
Ingependeza akitengeneza Documental yake
@johnchiti97522 жыл бұрын
Mm nimepeleke tukaongee kimalila changu siyo kuleta huyo chizi hata kula hakutoa
@elisharuhonkonya2 жыл бұрын
Mnamharibia Millard kwa kutokuwa weledi wa lugha katika Tittle.Eti MWENYEJI badala MGENI WAKE
@youngafricans73612 жыл бұрын
Hadi hasira
@sudymgeni7012 жыл бұрын
Awajawafundishwa kusalimia kwa kusimama duhh aibu sana jamani
@salomewandya72572 жыл бұрын
Saana wametia aibu mnoo🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️
@simoncharles6832 жыл бұрын
Waoooooh president kazi nzuri
@safinatourssafaris25192 жыл бұрын
hapo mama umejikanyaga ulimwengu wa Kislam haukubali urais
@tatendamwari78902 жыл бұрын
Uko Vizuri Mama.
@siribrahonlinetv44892 жыл бұрын
Watanzania tungeuia cd. Za royor tour
@petersilas42342 жыл бұрын
Sasa hayo mazingira yarekebishwe bila kuharibu kumbukumbu kwani kutakuwa na wageni wengi wa kualikwa na wakujipeleka wenyewe. Hata tukipita tutaonyeshana kwa mbali.
@mwamuziwaamani76082 жыл бұрын
2.32... ah Huyu milard huyu ..
@khadijahali48372 жыл бұрын
🔥🔥
@adam-saffi2112 жыл бұрын
Wasting resources big time/uzinduzi - what a joke?
@froma37322 жыл бұрын
Tatizo la kuelewa ndio linawasumbua watu
@jhfgbn87hshswj172 жыл бұрын
Safi mama
@abdulrahimomar85542 жыл бұрын
nice one❤
@salimshamis72632 жыл бұрын
Wee Peter weee..haaya
@MunaMuna-tn3go2 жыл бұрын
Yuko na mama mbona unawasiwasi Salim
@Cheffhood2 жыл бұрын
Who's ready to answer my question🤣
@vickymgonja30072 жыл бұрын
Hongea mama kwa usanii sasa hii nikwaajili ya wa Tanzanian au nibiashara zako na wazungu ? Mbona inaongea kingereza wakati sisi tunaogea kiswahi? Hapo ni koi mzungu aelewe biashara y'ako ? Au mtazania.(. )?
@mockruoghnudree48642 жыл бұрын
Ukraine vita inaisha lini bongo maisha yawe bomba 🌞🌞🌞🇮🇨🇵🇾
@adam-saffi2112 жыл бұрын
She is lying, wot school taught rights? Big bullshit. It possible she will be president for life, wabongo akili zetu sawa na mbu
@josephmugala712 жыл бұрын
Bia tamuuu bia bia bia tamuuu
@abubakarnabahani49942 жыл бұрын
Mwenyeji wake au Mgeni wake ?
@k.d.m832 жыл бұрын
Hapo nani ndo mwenyeji wa mwenzake?
@magrethmbuma30452 жыл бұрын
Mbn tutakoma sisi
@afrahoman28442 жыл бұрын
OIvyoooo
@Frazztraveller2 жыл бұрын
Too much islam
@Purrolito2 жыл бұрын
What are you talking about….!!
@hamisiliton58932 жыл бұрын
Mume mzungu hkuna lolote
@ngeymo73112 жыл бұрын
Kwani Hakuna Mambo mengine ya muhimu zaidi.. Halafu huyo Peter Mbona anatamba Sana TZ?
@sanoureyaliwadoakaroyo16962 жыл бұрын
Ujinga Umekutawala Sna Ingekuwa Si Ya Umuhimu Usinge yaona hpa
@hadijamandanje61892 жыл бұрын
@@sanoureyaliwadoakaroyo1696 unajua najiuliza magufuri alivyoanzisha sijui mbuga sijui ni inaitwaje kule chato mbona sikuzisikia hizi kelele kwani Ina faida gani kubwa kwa Tanzania kushida hiki alichokifanya Samia jamani
@emmanuelsimon5452 жыл бұрын
@@hadijamandanje6189 ile mbuga haikuanzishwa ili kuwepo ila wanyama baadhi walikua wamepungu alafu badala kujibu hoja ww unaleta vioja kwel unajielewa ww au corona ingeingia lipindi hiki si angetufungia nje ya nchi mtu mweusi husaminika wakati wa raha tena kidogo wakati wa taabu wanakuona kama mavi ndomana corona ulaya weusi walitaabika na hata sasa Vita hao filam wako kibiashara tu
@hadijamandanje61892 жыл бұрын
@@emmanuelsimon545 hoja gani nitakyojibu au wewe umrkurupuka na kisirani chako kwa Samia kwa hiyo Hilo aliloliendeleza magufuri ndo lilikuwa la maana kuliko hili alilolifanya Samia ndo maana nikamchagia kumuona mjinga alieona si la maana we mtafute au kumjubu sivyo andika comment yako si lazima ujibu usichokipenda
@sanoureyaliwadoakaroyo16962 жыл бұрын
@@hadijamandanje6189 Achana nao hao Ujinga ndio Umewatawala Wengi waoo Yni Bdo wana Mfumo Dume Kuona Kwamba Mwanamke Awez Kuongoza. Yni Hiii Nchii Inawajinga wengi Yni Mama Wa Watu Hana Zuli Ata Moja kila Atakacho Fanya kwao ni Kibaya Wanachosha Sna Ssa Mama wa Watu Afanye Lipi liwe La Kumsifia Ama mridhike. YULE Yesu. Wenu wa Chato Alitumia Mabilioni Ya Pesa Za Watz kujenga Uwanja wa ndege Chato Je uwanja uwoo Unaingiza pato Lolote kwa Serkali Ama mnajisahaulisha
@jacksongidion51702 жыл бұрын
7
@musason16802 жыл бұрын
Hamna kitu hapa Bora ushoroba ya jokate mwegero hii n piter t anatamba nchi imekauka utadhani tna jangwa sa msikiti nao n kt Cha ktuonyesha Bora hata mngewaonyesha Miradi mikubwa inayoendelea vingereza t vmepamba moto utadhan hatuna lugha yetu
@nassirmohamed84922 жыл бұрын
Hujui ukubwa wa mskiti
@nassirmohamed84922 жыл бұрын
Ndio ukaongea mradi na mskiti kikubwa ni gani huna akili
@musason16802 жыл бұрын
@@nassirmohamed8492 mpuuzi ww ndo huna akili Kwan kusema msiki aliosal una umuhim gan
@lucykapinga3692 жыл бұрын
@@musason1680 hahahahaha Yani hapoo Inakuwa kama Historia Yake .siyo kama Kuwa Katangaza tour kupitia kupitia Ikokipengele 😀😀😀😀😀