innaa lillah wainnaa ilaihi rajiun. mungu amjalie rais ajae awe jemedar zaid ya huyu.
@baytom23 күн бұрын
Mungu wa Israeli ndiye Mungu na lazima ajulikane!
@Worldunite23 күн бұрын
Mungu wa israel tu, na aliyeumba mataifa mengine utamwitaje.?? Acha kukariri
@Anti-zionistboy432723 күн бұрын
Ww huna Mungu hatuna shida na hlo cha msingi vaa wigi na badiri rangi kamdanganye mungu wao na ww ni muisrael .
@HamisAbdallah-cj2sc22 күн бұрын
Makafiri bwana eti Mungu WA Israeli Mungu WA wachaga au wakenya au watanzajia yupoje
@baytom22 күн бұрын
@@HamisAbdallah-cj2sc tatizo lako unataka kuwa mwarabu na haiwezekani
@baytom22 күн бұрын
@@Worldunite hatufanyiki Watu wa Mungu/mali ya Mungu kwa uumbaji pekee bali ukombozi
@kilianmtotowamungu388523 күн бұрын
Mungu wa Israel yupo hakika
@leonardchoma376523 күн бұрын
Mungu wa Israel gani? Israel hii ya Wahuni wanaoua watu,au Mungu gani?Kama ni Mungu wa hawa Waisrael wanaokumbatia ushoga,basi huyo ni mungu aliyefeli.Heri ungesema Mungu wa Waafrika ningefurahi Sana.Siyo huyo wa Waisrael, Wazungu na Waarabu anayezidi kututeketeza sisi Waafrika.
@davidjoseph114323 күн бұрын
Ee mungu wawa afrika na waisrael ni tofaut kumbe duh hii kali ,kwani mungu wako wangpi ndug
@2pacFreeStyle9622 күн бұрын
Acha upumbavu, hakuna cha mungu wala nn ni mkono wa mtu tu haoo hao hao israel wamefanya fitina zao
@mohammadoman896323 күн бұрын
Sote ni wa mwenyezi mungu na kwake tunarejea
@pastoreliwkimaroni833223 күн бұрын
Mungu anabaki kuwa mungu hatasikumoja usinaribu kugusa mboni ya jicho la Mungu
@SophiaAthumani-ri4lu23 күн бұрын
Poleni ndugu zetu, kila nafsi itaonja kifo kwa namna yake ispokuwa hatujui siku wala saa ya kuonja mauti.
@lifeonearth9423 күн бұрын
Ndugu zako ni waafrica wenzenu, hao walitutawala na kutuletea Dini zao, nasi tukaacha dini zetu tukafata zao, japo binadam wote ndugu ila Muafrica mwenzako ndo ndugu yako wa karb
@SophiaAthumani-ri4lu23 күн бұрын
Ndugu kwangu ni binadamu mwenzangu yeyote @@lifeonearth94
@user-ru6xu4hb1d23 күн бұрын
Muislamu ndugu yake muislamu mwenziwe
@lifeonearth9422 күн бұрын
@@user-ru6xu4hb1d hao watu no dengerous sana
@user-zl7bz8wf9v23 күн бұрын
Lakin mbona watu wengi wamekufa kwa ajali juzi tu Kenya hapa ni ajali tu kama ajali zinazotokea
@trophywilson721123 күн бұрын
kufa Raisi ni kitu kikubwa mno
@abdulsalum969818 күн бұрын
Allah walipe wanachostahiri
@Godfreyolekidongo23 күн бұрын
Poleni sana raia wa nchi ya Iran kwa kuondokewa na rais wenu na waziri wamambo yannje na waliokuwemo ktk ajalihiyo😭😭
@OmanOman-vb4uj22 күн бұрын
Inallillah wainailaih rajiuniii 😢😢
@ShukuruHashim-re4kb23 күн бұрын
poleni sana ndugu zetu Iran, poleni dunia nzima pia pole kwa washirika wote wa Iran kwa ujumla
@martinlema419223 күн бұрын
Anayepigana na Israel anapigana na Mungu. Ila, kufa kupo tu kwa kila mtu. Usiitukane Israel kwa kujua (wengine wanaoitukana Israel na bado wapo ni kwasababu hawajuii) wewe ujuaye kuwa makini, fanya toba!
@hamzeinmfinanga438923 күн бұрын
acha ujinga na wakat israel imelaaniwa
@abdullahmanalex230623 күн бұрын
Hujui unachokijua ni ulimbekini
@RehemaMtili23 күн бұрын
Umeonyesha jinai gani kichwa chako kina vumbi
@Anti-zionistboy432723 күн бұрын
Ukiona mtu anasema hvyo ujue akili yake nyeusi
@Worldunite23 күн бұрын
Aliyekudanganya israel isitukanwe ni nani??? Kwahiyo wanaruhusiwa pia kuua wanavyoua??
@ShamsiMikdad-bj7me23 күн бұрын
Inaalillahi wainnaa illahi raajiuna
@BulenduBoniphace23 күн бұрын
Pumzika kwa amani rais wa Iran BRAHIM RAIS
@RaphaeliYohana22 күн бұрын
Noma kwa sana 0:34
@MohamedKhalidiMfina-mt1qc22 күн бұрын
Wakiristo mna shida Kwani huyo ni Raisi wa Kwanza kupata ajali au yule kamanda wa Kenya nayeye alitaka alifanya kosa gani Israeli Israeli kuna ukristo gani kule zaidi ya uyahudi mnajikomba ili mpate historia lakini hamfanani
@aminatanzanya747523 күн бұрын
😭😭😭 Mwamba amezima km mshumaa. Polen sana ndugu zetu wa Iran
@stonetown57823 күн бұрын
So sad, poleni sana watu wa Iran.
@michaelbachubira719723 күн бұрын
Mhmmmm Israeli nomaa¡!¡¡¿¿?
@abdullahmanalex230623 күн бұрын
Kivipi????
@iancharles405222 күн бұрын
Dah Role model Ebrahim Rais...😢😢Nilikuwa napenda misimamo yake sanaa
@user-jz6lm5yv4f23 күн бұрын
Daaah
@hamisishabani433322 күн бұрын
Mwenyezimungu amleze mahali pema peponi
@phillipmzengi367623 күн бұрын
duuuuu poleni sana watu wa Iran
@user-xc7qj7ze7m23 күн бұрын
Daa
@radhiasalum715623 күн бұрын
😢😢😢
@davidsika529222 күн бұрын
Huyu ndo raisi ambaye alitaka kuipiga Israel??? Bora angekaa kimya tuu...hajifunzi kwa waarabu wenzie
@emmanuelfari892423 күн бұрын
IBARIKIWE ISRAEL 🇮🇱 ❤️ MILELE yote 1 WAKORINTO 1:9🙏🙌
@Niget-us1np23 күн бұрын
Israel sio wakristo Ni mayahudi
@abdullahmanalex230623 күн бұрын
Hajui huyo mbumbumbu amekarilishwa na wachungaji wake@@Niget-us1np
@davidjoseph114323 күн бұрын
Ndio sio wakristo kw wanavyofkiri wao ila niwakristo
@mswakisaid232023 күн бұрын
Innaa LILLAAHI wainnaa ilaihi raaj-uun
@nicolausminja68923 күн бұрын
Poleli sana RIP.
@geraldlyimo285922 күн бұрын
Poleni wana Iran na pia ni pigo kwa putin
@AMENMUSHI-wt4li22 күн бұрын
Taifa la Israel ni Taifa Takatifu zab 122:6
@isayashayo477722 күн бұрын
Tatizo aliropoka kuifuta israeli kwenye raman ya Dunia ila amefutwa yeye
@bentybenty234323 күн бұрын
Innalillahi wainnaillahi rajiun 😢
@januarysungura811923 күн бұрын
huo ni msiba kama wengine tu ,tuwape pole familia zao basi.
@Zubaiba23 күн бұрын
Innalillahi wainnalillah rajiun 😭
@sayeedmsct425523 күн бұрын
أنا لله وأنا اليه راجعون 😭😭
@user-nb6yh2bn9y23 күн бұрын
Amina 🙏🙏🙏😢
@Madizizi23 күн бұрын
Sasa kiarabu chanini ndugu😶
@Worldunite23 күн бұрын
Hii inaelekea imechezwa collabo
@BONGOINMOTION23 күн бұрын
Pole sana iran
@davidjoseph114323 күн бұрын
Sio israel kwel hawa.wanaogopa kusem duh ,polen
@user-il5pk2dr5n23 күн бұрын
Hivi Iran inaongozwa na Mashia..
@Worldunite23 күн бұрын
Kwahiyo km ni mashia ndo iweje??
@Worldunite23 күн бұрын
Hizi ni njama za wazayuni kumuua huyu kiongozi shupavu na team yake
@succeslifeeducation986823 күн бұрын
VITU VYA KAWAIDA IVO KUPATA AJALI ..MBONA JUZI AMIRI JESHI WA KENYA AMEPATA AJALI YA HELICOPTER 🚁 WAKAFA WOTE NA HAKUWA NA UGOMVI NA TAIFA LOLOTE
@AMENMUSHI-wt4li22 күн бұрын
Acheni Mungu aitwe ukigusa Taifa la Israel Umemgusa Mungu ,ndiyo maana Israel ina Waziri Mkuu ,Ina BABA yetu wa Mbinguni ndiye Rais Amiri Mkuu wa Israel soma zab 122:6 nchi yoyote ilivunja uhusiano inapata cha moto,1972 Tz ilivunja uhusiano tulikumbwa na njaa ,nyie msichezee Israel ni Taifa teule la Mungu
@user-im1jg3rm3t23 күн бұрын
Israel ni Taifa la Mungu
@Worldunite23 күн бұрын
Aliyekudanganya KAFA
@Anti-zionistboy432723 күн бұрын
Taifa la firauni
@Anti-zionistboy432723 күн бұрын
Ndugu yangu, nakuomba sana anza kuchambua vitabu vya waisrael na utagundua mengi,kwanza maandiko yao yanasema wao kuuwa sio dhambi ila wao kuuliwa ni dhambi na pia ndio waanzilishi wa maswala ya kodi,unyanyapaa na unyanyasaji kwa njia ya kuwekeza katika mataifa mbali mbali,je unajua kwann adolf hitler aliwachoma hao taifa la firauni? Fatilia na utajua acha kufata mkumbo bila elimu.
@Soon81523 күн бұрын
Ukiishambulia israel wanajidai wamekusahau unakuja kushtuka helicopter inapiga chini.
@juliusdonard93323 күн бұрын
Wee umekalili uongo na israel yakoo ,kifo kipo tuu hata wewe unaweza kufa mda wowotee n sehem ya maisha ,kifo halina mwenyewee
@florianhenry719823 күн бұрын
Putin kashaingia Tena
@kilianmtotowamungu388523 күн бұрын
Hahahahahahahahah
@AgreyNanyaro-zh8ej23 күн бұрын
Ukipigana na Taifa la MUNGU jiandaye narua tena ukiilan Israel utalaaniwa ukiibariki utabarikiwa walituma ndege nyingi ili waifute Israel MUNGU amesema nao kwa mifano alisi wairan polen
@mwikalijosephine517823 күн бұрын
Correct am with u
@samwelinyaku381023 күн бұрын
Kwani kuna taifa la shetani joh?
@Abuu-gs1yi23 күн бұрын
Israel ilaaniwe
@Worldunite23 күн бұрын
Taifa la wauaji haliwezi kuwa la mungu
@mwikalijosephine517823 күн бұрын
@@Abuu-gs1yi your words can't change God's words .
@rehemashariff311923 күн бұрын
Nikikumbuka maandiko matakatifu siwezi kupuzia israel hata kwa sekunde unapo inuka na israel wewe jua utakutana na Mungu kwa njiia yoyote awe pole sana sana sana
@ramaturuku86323 күн бұрын
Mungu ni wetu sote,mungu hapendelei taifa lolote wala halitengi taifa lolote, uwezo wa kiteknolojia wa Israel usikufanye uwaabudu uwone kama kwamba ni watu waliokaribu na mungu
@omarmohammed515723 күн бұрын
Aliekwambia ujinga huu ninan??
@salhawaziri166823 күн бұрын
We nae ,,akil kisoda,,Mungu mbona hadi leo anawaacha asiwaonyeshe hamas walipo
@user-kt4kk4cs5s23 күн бұрын
So wewe hutakufa kisa unaiunga nkono israel ebu tumia akili kila mmoja atauonjs umauti
@LwidikoLwenge23 күн бұрын
Wanawake akili mnawekava wap
@modestwenceslaus923 күн бұрын
Kawasalimia Raia wa Iran uliowanyonga bila hatia😂😂hakika auwea kwa upanga atakufa kwa upanga nakutakia Jehanamu ya moto😂😂😂
@azamomar992023 күн бұрын
Ongera kwamamlaka ya kuhukumu
@user-oh8ig2cy9q23 күн бұрын
Vita ya waislam kwa wakristo ni ya miongo mingi ivi wakristo wakiamua kuua waislam itachukua siku ngap mbona kama simple sana
@emmadora784823 күн бұрын
Acha wehu
@SaraJinalangu23 күн бұрын
Wewe hiyo vita ya Iran na wayahud Tangu lini mhayahud akawa mkristu hebu fuatilia kwanza
@RamadhaniLukambuzi23 күн бұрын
Inawezeka ikachukua sekunde kutuuwa Sisi Waislamu lakini je Mwenyezi Mungu mutamjibu nini?ni haki gani munaitafuta mpaka iwapelekee kuwauwa Waislamu?
@idinado-wk3lx23 күн бұрын
Embu jalibu au mjalibu muone mbwa wewe , Mungu apendi vita napia vita siyo vizuli nawala siyo sifa mazala yake sio manzuli kabisa usiwe na akili za kijinga