Kaka unaijua sana Simba sema watu hawakuerewi me nakuerewa japo wanatumia nguvu kubwa kwenye mambo madogo
@mtahogarashid84886 ай бұрын
Upo vizur sana
@salatielmwansyobejoshua85345 ай бұрын
We jamaa unajua kwa kweli.
@stanslausmteme84555 ай бұрын
Msomi wa Simba
@emmanuelsanga37976 ай бұрын
Unaujua mpiraaa bro
@kassimntara69015 ай бұрын
Kweli jela kubaya gb64 leo unabembeleza viongozi wasajili vizuri msimu huu.hao viongozi wanatakiwa kutoka kama hawataki kwa hiyari basi nguvu ya wanachama,
@SeifuKatumbuka5 ай бұрын
GB tatizo si wachezaji yatizo viongozi ispokuwa linaingia na kwawachezaji nawao wana mabosi waoo sasa kazi tunayo wana simba hao hao viongozi wapo ambao wana mpiga vita mo sasa je kama mo anaondoka simba nani mbadala wakee tusidanganyanee jamani mo atabaki mo tu
GB 64 unapotaka kuzungumza angalia saikolojia na kiwango cha uelewa cha waandishi wanaokuhoji. Nadhani umeshajua haiba ya viongozi wa timu yetu. La sivyo kila siku hao niliowataja watakuwekea mazingira ya wewe kuonekana mkorofi.
@YunusiKHatibu5 ай бұрын
Kiukeli huyu jamaa anaielewa sana simba sports club kinachotakiwa tuwaelewe wanaoijua vema simba sports club
@KakwaleJonathani5 ай бұрын
Sema usiogope sema nasisi mashabiki wasimba Yuko pamoja nawewe
@muddiballo34215 ай бұрын
Gb 64...haijai
@PauloShija-tx5qz5 ай бұрын
Mi nasema Hawa viongozi watakua nauyanga huwezi fanya Mambo yaajabu Kama haya wolootufanyia hawajui watu wanapoteza maisha tazama ajali ya mechi ya aliahali
@IsayaShokaulaya4 ай бұрын
Hili lijamaa liwe lishauli kwenye timu jamani smba lipeni uongozi lina madini kichwani
@angellomarcel56775 ай бұрын
Gb bhanaa😂😂😂
@maikomatayo27945 ай бұрын
GB64 wee ni kiboko wambie kabisa bro
@swaleherashidimayunga48916 ай бұрын
Sasa hivi Moo kachemka hela ya korosho imeisha LAKINI GSM NDIYO MUWEKEZAJI BORA NI ZAIDI YA MOO
@adamskabenga86176 ай бұрын
Makolo kila sehem ni makolo, alo kwambia imeisha ni Nani Acha ukoboiii
@saidimkombe98425 ай бұрын
Huyu jamaa apewe cheo
@LiisaMaisha-is1hi5 ай бұрын
Unafaa kuwa kiongozi ssc nakushauri kugombea unaongea point.ssc nguvu moja.
@WakiliAbasi6 ай бұрын
Utafungea achana mambo simba
@cletusmwampinzi6 ай бұрын
unafaa kuwa msemaji wa Simba, una kitu brooo
@saidismail66765 ай бұрын
Kaka usiogope vitisho kupitia ww viongozi watabadilika hata kama watavifaanya hawaoni tupo na ww
@MussaMzee-hz1jp4 ай бұрын
Unamsahau lali bwalia
@SeifuKatumbuka5 ай бұрын
kwani uyo mangungu badotu anafanya nn siandoketu kwani anajiona yy ninani ktk simba hii jamqni au anajiona anatuweza hatuwezi kumfanya lolote au siondoketuu jamani nn anakitaka kwetu jamani
@CharlesMkwama5 ай бұрын
gB 64 ww mwisho pengine ningekuwa Simba ningekuombea umsaidie msemaji wa Simba hadhi yako sio kuwa na tawi ila ebu njoo kwa wananchi hatuna baya na ww upo vzr unajua kuongea unajiamin sifa zikujae milele
@hafidhnzota21425 ай бұрын
GB12 wewe chawa wa viongozi.siyo wajitathmini WANG'ATUKE
@ce-085 ай бұрын
Ongea ww bas maana yy halipwi na hata alvyokamatwa hakuna mtu alyeenda kutoka simba
@OneliaLuvanda5 ай бұрын
Wamefumba kaa lamoto ila watalitema tu
@SeifuKatumbuka5 ай бұрын
kwani uyo mangungu badotu anafanya nn siandoketu kwani anajiona yy ninani ktk simba hii jamqni au anajiona anatuweza hatuwezi kumfanya lolote au siondoketuu jamani nn anakitaka kwetu jamani