Рет қаралды 47,389
Tazama raundi nane za Mtanzania Juma Choki akimtandika kwa pointi Jose Hernandez kutoka nchini Mexico.
Ni katika #UsikuWaVitasa #MoBoxing kwenye Ukumbi wa Mlimani City, Dar es Salaam, Septemba 30, 2022 likiwa ni pambano la utangulizi kuelekea pambano kuu kati ya Ibra Class vs Alan Pina.