Рет қаралды 122,880
KILICHOVUNJA PAMBANO: Pambano kati ya Mfaume Mfaume limevunjika raundi ya kwanza baada ya kutokea majeraha kwa Idd Pialali yaliyosababishwa na mgongano wa vichwa usiokuwa wa makusudi.
Hili ndilo lilikuwa pambano kuu katika Usiku wa Mabingwa 2022 (#DisciplineNight ) katika ukumbi wa AICC Arusha.
Tazama kilichotokea usikie walichokisema mabondia wenyewe baada ya pambano kuvunjwa kwa mujibu wa tangazo la uongozi wa TPBC.
#Vitasa #VitasaArusha #AchaInyeshe #VitasaNight #Vitasa #UsikuWaMabingwa #AchaInyeshee #MfaumeMfaume #IddPialali