VITASA | Nginjanginja za Fadhili Majiha dhidi ya Sabelo Ngebinyana - NGUMI IMENYOOKA 20/07/2024

  Рет қаралды 24,892

Azam TV

Azam TV

Күн бұрын

NGUMI IMENYOOKA | Fadhili Majiha amefanikiwa kutetea mkanda wake wa WBC Afrika kwa ushindi wa pointi dhidi ya Sabelo Ngebinyana kutoka Afrika Kusini.
Ni kwenye Usiku wa Vitasa, 'Ngumi Imenyooka Season 2', New City Pub, Mbeya.
#Vitasa #UsikuWaVitasa #NgumiImenyooka #ChoraMstari #VitasaNight #NgumiJiwe #FadhiliMajiha #SabeloNgeminyana

Пікірлер: 57
@user-vf6nq8dw7v
@user-vf6nq8dw7v 14 күн бұрын
Nimempenda huyo dada. Anachambuwa ngumi vizuri
@JosephevansLyimoo
@JosephevansLyimoo Ай бұрын
Like za champion 🏆 majiha
@rodgersmwagu239
@rodgersmwagu239 Ай бұрын
Uyu dogo apambana mwakinyo tu , kwanza ana pumzi ya mbwa , noma sanaaaaaaa
@Hamisi-ol1nf
@Hamisi-ol1nf Ай бұрын
Fadhili nakukubali sana mwanangu mungu akuzidishie hekima😊
@abdalasambe4005
@abdalasambe4005 Ай бұрын
Aah majiha ni bondia mzur uwezo wake unaonekana lakin anakosa baadhi ya mambo muhim Anahitaji kocha mzur Hongera kwa ushindi Mwakinyo is best and very skilled
@user-vf6nq8dw7v
@user-vf6nq8dw7v 15 күн бұрын
Huyu bondia hakuwa sawa. Ngumi zilikuwa zinafika ila hazikuwa na nguvu
@chisongastephen7299
@chisongastephen7299 Ай бұрын
Majiha hayupo makini sana kwenye upiganaji wake.Amekutana na Sabelo ambaye ni fala tu
@Wahidabdul-xb2pq
@Wahidabdul-xb2pq Ай бұрын
majiha ataftiw koch mzur zaid
@IssaMbaga
@IssaMbaga Ай бұрын
Saf sana fadhili majiha kiwango kizur sn paka uko vzr sn unajua kufunga njia kwel kwel iyoo boxing umemka mkanyagia kwel
@user-ms1xg1fp4v
@user-ms1xg1fp4v Ай бұрын
Hii ndio Tofauti ya mabondia wakali na wakubwa kama fadhili na chipukizi wetu.Watoto wasichoke kujifunza kwa waliowatangulia.Kama kweli una Ari kutaka maendeleo.Ungetaka ushauri kwa wenye matangulio.
@IddyDaruweshi-jv1fu
@IddyDaruweshi-jv1fu Ай бұрын
ALAFU ACHENI MANENO MBOFU MBOFU HIVI MAJIHA APIGANE NA CHAMPEZ KWELI AU LAWAMA TU. PUNGUZENI USHAMBA CHAMPEZ NI MMOJA TU HAPA TANZANIA
@rajabumsuya-hg8jd
@rajabumsuya-hg8jd Ай бұрын
Wewe angalia rank, tanzania hakuna bondia anaemfikia majiha hayupo
@rajabumsuya-hg8jd
@rajabumsuya-hg8jd Ай бұрын
majiha ana nyota nne na nusu hakuna bondia anaemfikia huyu, angalia game na pongani huyo hassan mmpeni pongani muone kama hajakaa
@mtengwadj9390
@mtengwadj9390 Ай бұрын
champion
@KelvinJoseph-ix9wd
@KelvinJoseph-ix9wd Ай бұрын
Majiha n bondia mzur lkn sio skilled boxer na wengne wote ndyo maan wakienda nje wanapigwa .... Na skills znafundishwa na trainer mda gan uwe offesnve mda gan uwe defensive na jinsi ya kuswitch ili uweze kushinda pambano pia shidah ambayo mabondia karbia wote wa bongo wanakwama n finishing ... Boxer ameshapigwa sawa lkn je kumalza pambano hawajui wengi wanaend enda tu na wengne unakuta wanapigwa badala ya kumalza
@BarnabasFabiani
@BarnabasFabiani Ай бұрын
Kaka tu enda nje hatupigwi ila kuna mipango ambayo ina tengenezwa na wazungu ili ww upoteze
@sheyosquad5755
@sheyosquad5755 Ай бұрын
Majiha yuko vizuri..apigane na bwanga
@AllyAmour-nu1js
@AllyAmour-nu1js Ай бұрын
🎉
@user-ms1xg1fp4v
@user-ms1xg1fp4v Ай бұрын
Bondia mkongwe anawekwa fit tu kisha anapelekwa ulingoni.Mavirigiza ya Ulingo anayafanya mwenyewe.ila tuna tatizo kubwa sana nchini ya Mabondia wetu kutokua na Target.ngumi nyingi sana zinapotea hewani.Hata hivyo hongera sana kwa ushindi mkongwe.Ushauri tu msiwapende sana mabondia wa South Africa kwa sababu viongozi wa mikanda mnayochezea wanatamani Boxers wao wapande kupitia fight zetu.Ndio maana yupo Boxer wetu Anyan,ganywe ubingwa Airport.Ndio maana huyo Amekaa kwa ngumi na anagusa capert kisha anaambiwa kateleza
@mwarashakassim7381
@mwarashakassim7381 Ай бұрын
Mnaleta mabondia wabovuili muwapige aiwezekani kilasiku sabelo mnatuletea walevi ili mshinde
@BarnabasFabiani
@BarnabasFabiani Ай бұрын
Mlete mama yako mkwee nipande nao ngumi sio kama unavyo amini wewe ina itaji kujifunza na kuelewa huu mchezo
@user-px3po9lt8g
@user-px3po9lt8g Ай бұрын
Sijaona ngumi za ufundi ni mikota kota tu
@mcnjovu3525
@mcnjovu3525 Ай бұрын
Hapoo mbeya wanapoozwa na kabaridi ka mbeya ndo maana walipiga show kweli kweli nockdown hiyooooo
@mindicarrashid3131
@mindicarrashid3131 Ай бұрын
Majiha apewe pialali, tuone nani nani
@RoseSehodi
@RoseSehodi Ай бұрын
Amna bondi wakumpiga magia Africa
@HamadBashir-bs5wo
@HamadBashir-bs5wo Ай бұрын
Maiti imekatalia muoshaji 😂😂😂
@KelvinJoseph-ix9wd
@KelvinJoseph-ix9wd Ай бұрын
Bongo boxer wapo lakin trainer hakuna .... Boxer wengi wanapigana kutokan na akili zao tu zinavyowatuma lkn coner zao hazina msaada .... Hvo unakuta bondia akikutan na boxer mwngne ambae akawez kumsoma vzur bondia anashindwa kubadlka na kujua nin afanye
@HamzaMakame-vm2tm
@HamzaMakame-vm2tm Ай бұрын
Jaaman niwaulize huyu sindo yule alopigana na mwakinyo alopigwa knockout
@josephminja7953
@josephminja7953 Ай бұрын
Amewtahili
@nuhhumwakanyamale4771
@nuhhumwakanyamale4771 Ай бұрын
Acheni upuuzi kilasiku ulingo unamaji yaani mnaandaa pambano afu mshindwe kumlipa mtu wa kufuta hayo maji apo, au mpaka cku bondia avunjuke mguu?. 😟
@allymwachipanga2486
@allymwachipanga2486 Ай бұрын
Huyu majiha akikutanishwa na haidary mchanjo au mchanja yohana atapigwa sana
@user-vv7mb6mq3o
@user-vv7mb6mq3o Ай бұрын
Kazi yenu kuletewa mabondia viazi ili muwachape kizembe😂
@sheyosquad5755
@sheyosquad5755 Ай бұрын
MAJIHA VS BWANGA
@MapeneMoshi-r2k
@MapeneMoshi-r2k Ай бұрын
Sabero kayatimba
@allymwachipanga2486
@allymwachipanga2486 Ай бұрын
Kwani mpk muoge ulingoni?
@FatimaFati-pu4lb
@FatimaFati-pu4lb Ай бұрын
Hakupashwa atetee mkanda na sabelo ilitakia aletee bondia mkali fadhili ni bondia mkali sana nampenda lakin hapa huyu sia tep yake
@KhamisiMohamed
@KhamisiMohamed Ай бұрын
Boss wa ule mkanda ni msouth Kwa iyo lazima majiha akiutetea boss aninilishe anayepigana naye bondia Bora
@user-kp8bp3em7v
@user-kp8bp3em7v 10 күн бұрын
Unasema sio typ yake wakati kavuka round 7
@MapeneMoshi-r2k
@MapeneMoshi-r2k Ай бұрын
Dada mchambuzi roho mbaya hiyo unataka majiha aongeze pawa kwenye kugonga inamana hiyo bado haitoshi?
@RobertsonNandime-eo9fp
@RobertsonNandime-eo9fp Ай бұрын
Nani kasikia wimbo wa taifa ni Sawa na south africa 🇿🇦 sounds
@nuhhumwakanyamale4771
@nuhhumwakanyamale4771 Ай бұрын
Hongera kwa kujua leo
@japharythabiti8762
@japharythabiti8762 Ай бұрын
Nyimbo zote za Taifa Africa beat linafanana
@FatimaFati-pu4lb
@FatimaFati-pu4lb Ай бұрын
Huyu sio levo yake fadhili afadhali angepigana na mwakinyo mara 💯💯
@maalimseifk-gumuadui123
@maalimseifk-gumuadui123 Ай бұрын
Duuuuh….🤔,kitu gani hicho umeandika aseeee😮
@KelvinJoseph-ix9wd
@KelvinJoseph-ix9wd Ай бұрын
An super bantam weight apigane na middle weight 😂😂😂 Aya bhn
@maalimseifk-gumuadui123
@maalimseifk-gumuadui123 Ай бұрын
Yan 55kg na 72kg wapigane 🤔
@abelmwakipesile9868
@abelmwakipesile9868 Ай бұрын
Shabaki maandaz
@MussacharlesSongo
@MussacharlesSongo Ай бұрын
Unagonwa
@careemissa2502
@careemissa2502 Ай бұрын
Huyu majiha ana pumzi sana ila hana skilis za ngumi akikutana na mtu kamaa saidi bwanga au salimu mtango km uzito wao n sawa anakaaa wale madogo wanajua ngumi bwana
@christophermgifi2026
@christophermgifi2026 Ай бұрын
Kweli kabisa
@aishakhalifan4960
@aishakhalifan4960 Ай бұрын
Said mbwanga ana skill gani
@AthumaniLenadi
@AthumaniLenadi Ай бұрын
Mnatak mwakinyo afie ulingoni nin
@henrysangiwa1731
@henrysangiwa1731 Ай бұрын
Majiha akamkande mwakinyo aache mbwembwe, alafu watangazaji wa matokeo dahhh huwa wanaboa wajifunze kutoka kwa wenzetu sentence chache tu Tanzanza mshindi refa keshanyoosha wewe bado unavuta and theeeeeee winnaaaaaaaaaaaaaaaa, thethaaaaaaaaaaaaa😅😅😅😅😅fazzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzz mpaka mic inatetemeka
@ShannyBrowntz
@ShannyBrowntz Ай бұрын
Mwakinyo mwehuuu tuuu Mwakinyo awezii kufika kiwango cha Majia hata Nusu
@SadickHusein
@SadickHusein Ай бұрын
We kiazi kweli yan
@MapeneMoshi-r2k
@MapeneMoshi-r2k Ай бұрын
Dada mchambuzi roho mbaya hiyo unataka majiha aongeze pawa kwenye kugonga inamana hiyo bado haitoshi?
女孩妒忌小丑女? #小丑#shorts
00:34
好人小丑
Рет қаралды 97 МЛН
Violet Beauregarde Doll🫐
00:58
PIRANKA
Рет қаралды 47 МЛН
Пройди игру и получи 5 чупа-чупсов (2024)
00:49
Екатерина Ковалева
Рет қаралды 4,7 МЛН
Yummy Lifehack 😋 @artur-boy
00:19
Andrey Grechka
Рет қаралды 4,5 МЛН
RAFIKI WA IBILISI NI MTU MZINIFU - SHEIKH HUSSEIN NYUNDO.
42:21
Arahman Tv Online
Рет қаралды 71 М.
UMECHELEWA [FULL MIVIE][FULL HD
1:16:14
KING MEDIA TZ
Рет қаралды 260 М.
VITASA | Ibrahim Class vs Xiao Tau Su | #UlingoWaMoto 28/10/2023
39:01
ФАНАТЫ ЖЕСТОКИ С РОНАЛДУ🤬
1:00
ВЯТЫЧ МЕДИА
Рет қаралды 1,5 МЛН
E Esse Final ????
0:23
Tiago Mecabo
Рет қаралды 4,3 МЛН