Mr Joel am running to be at the top am humbly waiting that video sijawahi kosa video yako hata Halafu kuna kitabu nilikutafta nikakutumia whatsapp unisaidie kunielekeza kitu since mwaka jana hujanijibu kaka joel please naomba unifanyie hvyo
@user-zf8hg8yz1x16 күн бұрын
Bravo Joel, I am learning a lot from you on daily basis. Blessings Always❤
@AlexMgala20 күн бұрын
kaka nashukulu sana kaka mungu akubalik akuongeze maalifa zaidi asante
@winfridaadam7951Ай бұрын
Ahsntee sanaa Kakangu Joely Joely Mungu akubariki sanaaaa 🙏🙏🙏🔥
@masudibaja3 ай бұрын
Kaka Joel ili somo kubwa sana,,Mungu aendelee kukubariki wakati wote.
@OmanOman-ky2ooАй бұрын
Ubarikiwe kaka unanifungua sana❤❤❤
@smart_trendingshoes3 ай бұрын
somo zurii hilii🙏💯
@AlexMgala20 күн бұрын
Thanks you
@Teamtzad3 ай бұрын
Habari ya asubuhi mchana na jioni ikitegemea unasoma comment hii mda gani. Pitia Video yangu itakayokufanya uone upande wa pili wa sarafu ambayo hukuwahi kuonyeshwa. Much love uwe na siku njema
@user-bx7zk7to8k3 ай бұрын
Inaitwa aje kiongozi
@Teamtzad3 ай бұрын
@@user-bx7zk7to8k Pitia KZbin yangu kwa jina la Festamir
@realemma23123 ай бұрын
Yaani Kwa mtu anayepambana hapa lazima anukuu kitu ila Kwa mtu eankawaida hanaweza kuona kama anaongea tu. Ila namshukuru sana ananipa Nguvu katika maisha
@NekesaAnnie14 күн бұрын
🎉
@josephtesha8723 ай бұрын
Nimejifunza mwalimu
@wahidizzowizzo35902 ай бұрын
Appreciate
@clearsight24853 ай бұрын
Nimejifinza
@KINGCOBRATV765Ай бұрын
Nimejifunzs
@tausigulam223 ай бұрын
Nakukubal bro
@mohammedrashid29063 ай бұрын
Ahsante
@user-uj3ld6ni1s3 ай бұрын
🎉🎉🎉
@user-op9lq3qw1k3 ай бұрын
💯🙏
@user-gz8xs1tx7m3 ай бұрын
❤
@bernadetachari76483 ай бұрын
Kweli mwalimu marafiki kwabiashara nisumu na watu wafamilia .kwaujumula uliyoyasema niyaukweli
@CatherineJacob-yt5sy3 ай бұрын
Mungu akubariki sana nimeanza kukusikiliza na kukufuatilia mwaka huu ila unanielimishaa sana
@realemma23123 ай бұрын
Tupo wengi
@CatherineJacob-yt5sy3 ай бұрын
@@realemma2312 tuendelee kujifunza
@HusnaSultan-rm9fq3 ай бұрын
Sarut..mkuu
@makedoniachurch3 ай бұрын
Asante kaka.Swali langu je,ninauwezowa kutengeneza biashara eneo moja kwa wakat mmoja katika eneo moja?
@daudhabona88973 ай бұрын
Sina Cha kukulipa bro MUNGU AZIDI KUKUBARIKI. Masomo Yako yamenifanya nikue sana kibiashara. Na nimeajiri vijana wengi na tunakuwa Kwa Kasi, yoote haya nimeyafanikisha under 40yrs.