Napenda Sana vile ukitoa somo unaingia kweye somo moja kwa moja huna Mambo mengi ya kumchosha msikilizaji
@ModestusKibasa Жыл бұрын
🎉🎉❤bro i promise nitakuwa mtu mkubwa apa nchini na nitakua wealth lkn naomba uifadhi hii text nitakapo kutana na wew nitataka uirudie hii text sir. GOD BLESS U
@gilbertmushi2691 Жыл бұрын
Ur the best broo best of luck ✊🏿keep on moving
@joelnanauka Жыл бұрын
Nahiifadhi, nasubiria ukubwa wako🙏
@JanethJaneth-b5f11 ай бұрын
Amina
@ibrahimaziz71586 ай бұрын
Acha kuota mchana ww amka
@JoackimuGeorge-t8y5 ай бұрын
Same to me broo
@FrolaJoram-eg1ng Жыл бұрын
Naona jinsi nnavopiga hatua Kwa kufatilia elimu yako Asante sana
@alhajisengasu595623 күн бұрын
❤
@melodymutio72711 ай бұрын
Amen,mimi nina 48yrs but i believe ican do something after many years of making Mistakes in life,see you at the top!
@godwillmawere553311 ай бұрын
Mungu awe nawe ndg
@AngelMichael-hz8ms11 ай бұрын
really I see you "at the top" napata uelewa zaidi kupitia lesson zako
@dafrosamsonge200711 ай бұрын
Amina Amina, Naona uyu n mimi ntasonga mbele na juu Zaid in Jesus name, Bidii pekee haiwezi kukupeleka mbali bila Mungu, Mungu na Bidii usiviache, see You at the Top
@victorchiwai8831 Жыл бұрын
Safi prof joel nanauka.naendelea kujifunza Niko Nairobi,kenya
@shukranjulius9526 Жыл бұрын
Mungu akubariki sana kakaangu umefanyika baraka sana
@HamisMaulid-q7c Жыл бұрын
I'm from Comoro, Mr Joel you are the true meaning of a life coach God bless you👑🙏
@joelnanauka Жыл бұрын
Thank you so much, let’s keep on learning 🙏🙏🙏
@fabriceabedi860611 ай бұрын
I'm from Drc🇨🇩🇨🇩🇨🇩,i just like your speech too much🎉❤
@MalongoRichard-md5dv Жыл бұрын
Asanteee sana Mr joelnanauka nimebarikiwa sana rafiki Angu
@rollahngimbwa697811 ай бұрын
Shukrani sana kaka Joel 🙏🏽🙏🏽, kila siku nifunza mambo mapya. Hakika kila siku nakuza maarifa na fikra zangu kupitia kwako. God bless you kaka Joel🙏🏽🙏🏽
@fridamwalongo98929 ай бұрын
Asante sana Kaka Joel Nanauka Hakika elimu yako inaniongezea hatua saaana,Najikuta nasonga mbele kwa ujasiri mkubwa kila siku❤🎉
@mansourkhamis45711 ай бұрын
Speaker Pekee ninaemkubali dunia nzima ni Mr Joel Nanauka 🎉
@AlexJefwa4 ай бұрын
Mungu azidi kukubariki sana kaka Joel naendelea kujifunza 🙏🙏
@MericyMdegela10 ай бұрын
Be blessed my mentor nakufatilia since2019 nkiwa form four najifunza kitu .....2024 ni mwaka wangu God be be with me......🔥🔥God bless you 🙏
@brackskinyozi32807 ай бұрын
Asante kaka Joel mungu azidi kukubariki nimejifunza kitu kw..hii.. video asante sana 🙏🙏🇧🇭🇧🇭
@jescaaloyce348511 ай бұрын
Ubarikiwe sana bro 😊
@ibrahimyoungtz8 ай бұрын
asante sana kaka umenipa somo kubwa sana naanza kuyafanyia kazi sasa ili niweze kuishinda hofu yangu Mungu akubariki sana🙌🙏
@josephisrael50811 ай бұрын
👏👏 mentor
@IsmailHassan-ql8fj11 ай бұрын
Mungu Amemleta Abraham kwa wanaIstraeli❤❤
@kwangukazungu82995 ай бұрын
Mungu akubariki kaka Joel nimekuwa nikikufatilia kwa muda sasa umenifanya nijitambue Mimi ni nani na nifanye kitu gani,What I promise lazima niache Legacy
@alexandermajula726811 ай бұрын
Asante sana Joel 🙏🙏🙏🙏
@paulissayapaul4819 Жыл бұрын
Nitaijurisha Dunia kuwa thamani yangu inaitajika sehemu furani one day maana wakati sahihi utakapo fika ❤
@Nickbrown12711 ай бұрын
Jamaa anaonekana ni msomaji mzuri wa vitabu. ❤
@marymatenga4038 Жыл бұрын
Asant sana kwa somo zuri,.tumekuona Mwanza airport leo,tulifrahi.
@joelnanauka Жыл бұрын
Nashukuru sana sana 👏🏽👏🏽
@UpendoJacob-n3j11 ай бұрын
Kaziyako ni zuri sana kaka Mungu akubariki sana
@gabrielmhina821611 ай бұрын
Kaka Joel unatisha, ubarkiwe sana. Utatuvusha.
@kotemakutesi529411 ай бұрын
God bless you
@geophreymisheck403110 ай бұрын
Ubarikiwe sana sitachoka kukufuatilia
@janethWoisso-r4q10 ай бұрын
Love it, najifunza kitu hapa
@AlexVenance-s1b7 ай бұрын
Be blessed brother 🙏
@AlexVenance-s1b5 ай бұрын
Brother Asante sana kwa somo zurii
@charlesligonja857 Жыл бұрын
Ndugu yangu wewe ni baraka kwa wengi
@JanethJaneth-b5f11 ай бұрын
Sanaa❤
@PriscaNshonga5 ай бұрын
True
@JanethJaneth-b5f11 ай бұрын
Naendelea kukufatilia❤❤❤
@bertinIgnas7 ай бұрын
Napata nguvu mno ninapokusikiliza, mungu akubariki sana.
@mosesfrancis84954 ай бұрын
Kweli Baba
@AnnaMgala-n6g10 ай бұрын
Kaka zawadi Yako mungu akupe kibali zaidi
@GriffinMwakyonyaАй бұрын
Thanks thanks
@kuruthumukondo7149 Жыл бұрын
Shukrani kaka❤❤
@priscashairock267911 ай бұрын
God bless you Najifunza mno... Maisha yangu yamebadilika
@aderiderkihupi72406 ай бұрын
Asante
@ArafatiDua11 ай бұрын
Asante kwa somo ziri
@mwashamyusuph755211 ай бұрын
Life transforming thank you Nanauka
@PiliHamisi-l7e8 ай бұрын
Asante sana kaka
@magrethhhayuma608711 ай бұрын
Good motivation
@shukranjulius95266 ай бұрын
Hili somo lina nibariki nalirudia kila wakati
@dorahmatitu255411 ай бұрын
😂😂😂 yaaan kaka Mungu akubariki sana wallah. Unapoint nzur sana. Shukran sana
@Irene-rt4bf11 ай бұрын
Barikiwa ndugu
@lilianjoseph114410 ай бұрын
Noted.see me at the TOP
@doughlasoburu5 ай бұрын
This is inspirational,what is your price I bet you should come home in Siaya,Kenya .
@mohammedrashid290611 ай бұрын
Tunakuchukuru sana
@Saranabwire7 ай бұрын
Nashukuru kwa mafundisho yako bro
@emanueleugen921Ай бұрын
Exactly true
@mkilimamoses2311 Жыл бұрын
Mungu mwenyezi naomba ukilinde kichwa hiki kwa faida ya kizazi kijacho.Joel,kila herufi unayoitoa kwenye kinywa chako ina thamani kuliko dhahabu yenye kilo 20.Asante sana.
@joelnanauka Жыл бұрын
Ameen Ameeen Ahsante sana sana🙏
@upendochenela800010 ай бұрын
Kuanzia Leo mwaka huu nitaruka Kama tai❤🎉
@RaelBosibori-qn7sl4 ай бұрын
🔥🔥🔥🙏🙏
@DolikasSaymon-xv7go8 күн бұрын
🙏🙏🙏
@ThabitJadi-g2b Жыл бұрын
Bro uko vzir sna ❤❤
@Mama-A11 ай бұрын
I didn't know there's something like Baby friends.....kenya is well represented
@Fred-Ma Жыл бұрын
Kwa kutumia hii Semina naweka rekodi hapa,nitakuja kuandika ushuhuda mrefu sana.Sioni sababu ya kulala,naamka nimpige Mike Tyson.Naamka kuisaka Goals zangu kama Oxygen.
@RuthMomanyi-bh3ez Жыл бұрын
NASHUKURU TU MAANA NAJIFUNZA
@SkaVin-fz5hf Жыл бұрын
Nzr
@niriacatering172 Жыл бұрын
Asante
@AmosBunzari9 ай бұрын
Nimebarikiwa kupitia hisemina naaza kuandaa ushindi
@mercynathan7651 Жыл бұрын
Mm N mtu mkubwa sana na nitakuwa tajiri ndani ya miaka mitano Ii kufikia mwaka 2030 lazma niwe tajiri mkubwa Tz
@ziddyziddy25242 ай бұрын
Mashaallah kila la kheri
@JanethJaneth-b5f11 ай бұрын
😂😂😂😂😂Eti chura alikuwa kiziwi alijuwa anapewa moyo❤kumbe walikua wanamcheka😂😂😂😂
@epunguson123 Жыл бұрын
Kaka nimekuelewa
@mahambagislain96187 ай бұрын
👏👏👏👏👏👏🎉🎉🎉🎉🇨🇩
@EMMANUELJOELLUHERA-lh6um Жыл бұрын
Ni vyema kama serikal ikikupa nafasi wew na tim yako kutoa hii elimu mashulen o-level na advance kwa form 4 na 6 itakua nzur zaid
@PriscaNshonga5 ай бұрын
Kweli
@drhashimramadhani85964 ай бұрын
Good ideas
@NtayandiLeonard11 ай бұрын
🙏
@rithamalisa463611 ай бұрын
Mm sikufatilii tu bali nafanya n unacho kifundishaa naamin nitakua mtu wa tofauti sana miaka kumi ijayo i will be the best na mungu anisaidie 🙏
@jamesmwambi43063 ай бұрын
😊l
@abrahammwambije276911 ай бұрын
Pamoja na kuku fuatilia video zako za kila siku sasa nina hitaji kuhudhulia kwenye semina zako sija jua taratibu zako za simina zako.
@Helal_gameHlalFimelyАй бұрын
Najuta kuchelewa kkujua lkn naiman huu pia ni muda sahii
@clemencemoria34782 ай бұрын
MASOMO MAZURI SANA MWEZI HUU KUNA SEMINA?
@saulamakungu72807 ай бұрын
Mimi waleo ni wathamani sitatumika bure kuanzialeo mimi ni thamani hii miezi 6 iliyoboki nitakuwa wathamani
@DenisWamala-t3j11 ай бұрын
Kaka Mimi nakufatilia sana toka 2019 naninapambana sana wakati unakuja ntatoa nilichokua nafanya kupitia masomo yako
Kk nataka nishiri masemina sako nafanyaje ili niwe moja
@Peterhodram475 Жыл бұрын
Kaka nimekufuatiria kwa mda sasa wa mwaka na miezi toka ninalize elimu yangu ya secondary lakin bado naendelea nimejifunza mengi Sana toka kwako naomba unifundishe kuhusu kutengeneza fedha ukiwa chuon
@JamalPaulo-jt1ju9 ай бұрын
NIKIWA NAKUSIKILIZA youtube NI KAMA VILE TUKOWOTE DARASANI . SICHOKI KUKUSIKILIZA . UBARIKIWE SAAANA ,P6
@kabibiscovia914111 ай бұрын
kupitia ww lazm niwe Tajiri 2026, nitakua nimekuza jina lang