🎉🎉❤bro i promise nitakuwa mtu mkubwa apa nchini na nitakua wealth lkn naomba uifadhi hii text nitakapo kutana na wew nitataka uirudie hii text sir. GOD BLESS U
@gilbertmushi26917 ай бұрын
Ur the best broo best of luck ✊🏿keep on moving
@joelnanauka7 ай бұрын
Nahiifadhi, nasubiria ukubwa wako🙏
@JanethJaneth-b5f7 ай бұрын
Amina
@ibrahimaziz71582 ай бұрын
Acha kuota mchana ww amka
@JoackimuGeorge-t8yАй бұрын
Same to me broo
@EMMANUELJOELLUHERA-lh6um7 ай бұрын
Ni vyema kama serikal ikikupa nafasi wew na tim yako kutoa hii elimu mashulen o-level na advance kwa form 4 na 6 itakua nzur zaid
@PriscaNshongaАй бұрын
Kweli
@drhashimramadhani859621 күн бұрын
Good ideas
@HanifaChalresy7 ай бұрын
Napenda Sana vile ukitoa somo unaingia kweye somo moja kwa moja huna Mambo mengi ya kumchosha msikilizaji
@melodymutio7276 ай бұрын
Amen,mimi nina 48yrs but i believe ican do something after many years of making Mistakes in life,see you at the top!
@godwillmawere55336 ай бұрын
Mungu awe nawe ndg
@FrolaJoram-eg1ng7 ай бұрын
Naona jinsi nnavopiga hatua Kwa kufatilia elimu yako Asante sana
@saulamakungu72803 ай бұрын
Mimi waleo ni wathamani sitatumika bure kuanzialeo mimi ni thamani hii miezi 6 iliyoboki nitakuwa wathamani
@JamalPaulo-jt1ju5 ай бұрын
NIKIWA NAKUSIKILIZA youtube NI KAMA VILE TUKOWOTE DARASANI . SICHOKI KUKUSIKILIZA . UBARIKIWE SAAANA ,P6
@mosesfrancis849523 күн бұрын
Kweli Baba
@mercynathan76517 ай бұрын
Mm N mtu mkubwa sana na nitakuwa tajiri ndani ya miaka mitano Ii kufikia mwaka 2030 lazma niwe tajiri mkubwa Tz
@doughlasoburuАй бұрын
This is inspirational,what is your price I bet you should come home in Siaya,Kenya .
@kwangukazungu829924 күн бұрын
Mungu akubariki kaka Joel nimekuwa nikikufatilia kwa muda sasa umenifanya nijitambue Mimi ni nani na nifanye kitu gani,What I promise lazima niache Legacy
@bertinIgnas3 ай бұрын
Napata nguvu mno ninapokusikiliza, mungu akubariki sana.
@AngelMichael-hz8ms7 ай бұрын
really I see you "at the top" napata uelewa zaidi kupitia lesson zako
@HamisMaulid-q7c7 ай бұрын
I'm from Comoro, Mr Joel you are the true meaning of a life coach God bless you👑🙏
@joelnanauka7 ай бұрын
Thank you so much, let’s keep on learning 🙏🙏🙏
@AlexJefwa7 күн бұрын
Mungu azidi kukubariki sana kaka Joel naendelea kujifunza 🙏🙏
@victorchiwai88317 ай бұрын
Safi prof joel nanauka.naendelea kujifunza Niko Nairobi,kenya
@Saranabwire3 ай бұрын
Nashukuru kwa mafundisho yako bro
@Fred-Ma7 ай бұрын
Kwa kutumia hii Semina naweka rekodi hapa,nitakuja kuandika ushuhuda mrefu sana.Sioni sababu ya kulala,naamka nimpige Mike Tyson.Naamka kuisaka Goals zangu kama Oxygen.
@Saranabwire3 ай бұрын
Nimesikiza hadi mwisho MM sio kuku ila MM ni tai
@LusanaJohn4 ай бұрын
Hata mm kuanzia sasa naanza kuishinda hofu yangu
@AlexVenance-s1bАй бұрын
Brother Asante sana kwa somo zurii
@shukranjulius95262 ай бұрын
Hili somo lina nibariki nalirudia kila wakati
@AlexVenance-s1b3 ай бұрын
Be blessed brother 🙏
@dafrosamsonge20077 ай бұрын
Amina Amina, Naona uyu n mimi ntasonga mbele na juu Zaid in Jesus name, Bidii pekee haiwezi kukupeleka mbali bila Mungu, Mungu na Bidii usiviache, see You at the Top
@fabriceabedi86067 ай бұрын
I'm from Drc🇨🇩🇨🇩🇨🇩,i just like your speech too much🎉❤
@shukranjulius95267 ай бұрын
Mungu akubariki sana kakaangu umefanyika baraka sana
@LusanaJohn4 ай бұрын
Naomba namba zako
@MalongoRichard-md5dv7 ай бұрын
Asanteee sana Mr joelnanauka nimebarikiwa sana rafiki Angu
@PiliHamisi-l7e4 ай бұрын
Asante sana kaka
@alexandermajula72687 ай бұрын
Asante sana Joel 🙏🙏🙏🙏
@aderiderkihupi7240Ай бұрын
Asante
@brackskinyozi32803 ай бұрын
Asante kaka Joel mungu azidi kukubariki nimejifunza kitu kw..hii.. video asante sana 🙏🙏🇧🇭🇧🇭
@charlesligonja8577 ай бұрын
Ndugu yangu wewe ni baraka kwa wengi
@JanethJaneth-b5f7 ай бұрын
Sanaa❤
@PriscaNshongaАй бұрын
True
@jescaaloyce34857 ай бұрын
Ubarikiwe sana bro 😊
@MericyMdegela5 ай бұрын
Be blessed my mentor nakufatilia since2019 nkiwa form four najifunza kitu .....2024 ni mwaka wangu God be be with me......🔥🔥God bless you 🙏
@paulissayapaul48197 ай бұрын
Nitaijurisha Dunia kuwa thamani yangu inaitajika sehemu furani one day maana wakati sahihi utakapo fika ❤
@mahambagislain96183 ай бұрын
👏👏👏👏👏👏🎉🎉🎉🎉🇨🇩
@NtayandiLeonard7 ай бұрын
🙏
@JanethJaneth-b5f7 ай бұрын
😂😂😂😂😂Eti chura alikuwa kiziwi alijuwa anapewa moyo❤kumbe walikua wanamcheka😂😂😂😂
@marymatenga40387 ай бұрын
Asant sana kwa somo zuri,.tumekuona Mwanza airport leo,tulifrahi.
@joelnanauka7 ай бұрын
Nashukuru sana sana 👏🏽👏🏽
@josephisrael5087 ай бұрын
👏👏 mentor
@priscashairock26797 ай бұрын
God bless you Najifunza mno... Maisha yangu yamebadilika
@kotemakutesi52947 ай бұрын
God bless you
@kuruthumukondo71497 ай бұрын
Shukrani kaka❤❤
@ibrahimyoungtz4 ай бұрын
asante sana kaka umenipa somo kubwa sana naanza kuyafanyia kazi sasa ili niweze kuishinda hofu yangu Mungu akubariki sana🙌🙏
@rollahngimbwa69787 ай бұрын
Shukrani sana kaka Joel 🙏🏽🙏🏽, kila siku nifunza mambo mapya. Hakika kila siku nakuza maarifa na fikra zangu kupitia kwako. God bless you kaka Joel🙏🏽🙏🏽
@abrahammwambije27697 ай бұрын
Pamoja na kuku fuatilia video zako za kila siku sasa nina hitaji kuhudhulia kwenye semina zako sija jua taratibu zako za simina zako.
@fridamwalongo98924 ай бұрын
Asante sana Kaka Joel Nanauka Hakika elimu yako inaniongezea hatua saaana,Najikuta nasonga mbele kwa ujasiri mkubwa kila siku❤🎉
@Mama-A7 ай бұрын
I didn't know there's something like Baby friends.....kenya is well represented
@RaelBosibori-qn7sl12 күн бұрын
🔥🔥🔥🙏🙏
@AmosBunzari5 ай бұрын
Nimebarikiwa kupitia hisemina naaza kuandaa ushindi
@Peterhodram4757 ай бұрын
Kaka nimekufuatiria kwa mda sasa wa mwaka na miezi toka ninalize elimu yangu ya secondary lakin bado naendelea nimejifunza mengi Sana toka kwako naomba unifundishe kuhusu kutengeneza fedha ukiwa chuon
@kabibiscovia91417 ай бұрын
kupitia ww lazm niwe Tajiri 2026, nitakua nimekuza jina lang
@DenisWamala-t3j7 ай бұрын
Kaka Mimi nakufatilia sana toka 2019 naninapambana sana wakati unakuja ntatoa nilichokua nafanya kupitia masomo yako
@mwashamyusuph75527 ай бұрын
Life transforming thank you Nanauka
@gabrielmhina82167 ай бұрын
Kaka Joel unatisha, ubarkiwe sana. Utatuvusha.
@geophreymisheck40316 ай бұрын
Ubarikiwe sana sitachoka kukufuatilia
@mkilimamoses23117 ай бұрын
Mungu mwenyezi naomba ukilinde kichwa hiki kwa faida ya kizazi kijacho.Joel,kila herufi unayoitoa kwenye kinywa chako ina thamani kuliko dhahabu yenye kilo 20.Asante sana.
@joelnanauka7 ай бұрын
Ameen Ameeen Ahsante sana sana🙏
@janethWoisso-r4q6 ай бұрын
Love it, najifunza kitu hapa
@mansourkhamis4577 ай бұрын
Speaker Pekee ninaemkubali dunia nzima ni Mr Joel Nanauka 🎉
@IsmailHassan-ql8fj7 ай бұрын
Mungu Amemleta Abraham kwa wanaIstraeli❤❤
@UpendoJacob-n3j7 ай бұрын
Kaziyako ni zuri sana kaka Mungu akubariki sana
@AnnaMgala-n6g6 ай бұрын
Kaka zawadi Yako mungu akupe kibali zaidi
@lilianjoseph11446 ай бұрын
Noted.see me at the TOP
@Nickbrown1277 ай бұрын
Jamaa anaonekana ni msomaji mzuri wa vitabu. ❤
@rithamalisa46367 ай бұрын
Mm sikufatilii tu bali nafanya n unacho kifundishaa naamin nitakua mtu wa tofauti sana miaka kumi ijayo i will be the best na mungu anisaidie 🙏
@JanethJaneth-b5f7 ай бұрын
Naendelea kukufatilia❤❤❤
@dorahmatitu25547 ай бұрын
😂😂😂 yaaan kaka Mungu akubariki sana wallah. Unapoint nzur sana. Shukran sana