Kaka hii nyimbo imenifanya nilie namuomba mungu baba angu arudi home yanii km umesikia kilio Cha mama angu I like 😢😢
@attumengele8 ай бұрын
😢😢😢
@ouweydalton77328 ай бұрын
YAANI WAO WAOKOTE KUNI WE UJE TUU UOTE MOTO UNACHOFANYA NI UHUNI NA UKAHABA WA KITOTO ❤❤❤
@paulmboje26777 ай бұрын
Daah ila huyu dada kaonesha kitu cha kipekee kwa hii chorus💪
@mustafajaku97724 ай бұрын
Mamae nyimbo Kali Sana from Somalia ❤
@Iyobeattv2 ай бұрын
Kitikio bwana…. Dada yuko sawa kwenye kitikio
@BabaRikodi8 ай бұрын
Appy Unajuwa sana dada 🔥🔥🔥
@kennedyobiero56978 ай бұрын
One of my favorites Bonge la track Sending all our love from Kenya, +254
@Manjalino8 ай бұрын
❤❤❤ namuachia mungu tuu team roma like nyingi 🎉
@neemavitalis90988 ай бұрын
Tumuachie Mungu Roma Mungu àkubariki sana 😢❤ nyimbo imegusa ndoa zawengi wanao pitia magumu
@ThomasBoniphas-dg8jd3 ай бұрын
💚💚💚💚🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 I MISS YOU MY BROTHER ROMA NJOO UTUSEMEE
@Villa_Tayron8 ай бұрын
Goddamn! Appy🔥Chorus ni kali kias kwamba sja concentrate na verses tena
@maryjoachimu-e3c8 ай бұрын
huu ndo wimbo wang pendwa , huyu dada kwa corus n nyoko
@karoltunduli1072 ай бұрын
This Jam is dope , great big , vocals , beat and the feel .. the reality. I love it 🎉
@georgeemmanuel31558 ай бұрын
Appy kaua sanaaaaa
@AvenusiMponji8 ай бұрын
Napenda ngoma zenye kugasa maisha Kama za kwenye album hii big up mkatoriki
@issabinmachano33028 ай бұрын
Roma nakubali sana ngoma zako pia unaacha ujumbe mzito ktk jamii sio kuburudisha t ila km ungelikuwa shekh au padri ungelitisha zaid kwasbb unakemea maovu na unaongelea uhalisia wa jambo mungu akupe umri wenye kheri na ww kaka
@DesEntertainment8 ай бұрын
Appy brougth me here🎉🎉🎉❤
@Tg.7_78 ай бұрын
Duh! Huu wimbo ni Injili kamili kabisa!! Uweza na mkono wa Mungu ukutane na kila anayeyafanya haya!!🙏
@Pratnumzsimba8 ай бұрын
Hizi like sijui mnapelekaga wap? Jaman nimbieni na mm nikaziuze❤
@AdilCosmas-w8e8 ай бұрын
😂😂😂
@maxminswai98048 ай бұрын
😂
@ZzikoliaKE4 ай бұрын
HERE FROM KENYA, BIG SONG.
@suleydamour40598 ай бұрын
Hii imenigusa zaidi😢😢 huyu dada kwenye corus ni zahabu aise❤❤❤❤
@GodfreyJuma-f9r8 ай бұрын
Sauti tamu
@b4lfbeat5988 ай бұрын
Sauti ya kipekee
@christopherhaule9088 ай бұрын
Kaimba vizur sana
@worldrapamako39608 ай бұрын
🎉😂😂❤Demu wangu ashazoea hip-hop sababu Kila akija geto playlist yangu ningoma za Roma round Moja naanza na mathematic, viva Roma, 2030 alafu nakojoa kwa Zimbabwe dk kama 20 Sasa naongeza albam my jmoc tare 8/6/2024 njoo ujipakulie pumbu na albam kama kifungashio😂😂😂
@barakamartine24528 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@liviniusappolinary37648 ай бұрын
😂😂😂😂
@Jigflou8 ай бұрын
Owa acha usela😂😂
@lindaelemes7 ай бұрын
daaah!,kwel umepinda😂😂😂
@rizikisam64817 ай бұрын
😂😂😂
@chakuboyofficial97208 ай бұрын
Uyu jamaaa Appy ana juwa sanaa 🔥🇦🇺🇦🇺
@richardsolomon12688 ай бұрын
Hiyo Chorus Kiswahili kimepodolewa kama sio kiswahili, ila mwanetu hujawahi kutuangusha, Chorus huyo bi dada kaua Sana.
@filimonmwashambwa89888 ай бұрын
appy huwa mtu mbaya sana🔥🔥
@jsisso74678 ай бұрын
Yaaani huyu dada kafanya nasikiliza hii nyimbo Toka juzi asubuhi mpaka jion
@gthirty7 ай бұрын
Appy katisha
@besteva4998 ай бұрын
Nyimbo ninazo penda nihizi❤❤
@alibeezy78088 ай бұрын
Appy vocalist🙌🙌🙌 Album amna ngoma mbovu
@dolisejohn53658 ай бұрын
Appy nakupenda bila liba❤❤
@LiberathaBenjamin3 ай бұрын
Happ kwenye novena Mt litha umeua kabsa nimekufollw
@mziwandamagongo7 ай бұрын
wajua sanaaa kakaa mkubwa aisee daah!! ww kichwa kaka hii ndo hip hop tunayoitaka
@rennydsollo77918 ай бұрын
Amekuaa zezeetaah... ahah ilo Korac kmmk....😂😂🙌🙌
@Chida8 ай бұрын
Aise hii kali saaaana mazeee I salute 🫡 you my soldier wa Zimbabwe ni motooooooo
@majorcrazy19888 ай бұрын
Legend who never disappoint, Bigup Roma
@rennydsollo77918 ай бұрын
Anakumwagia noti... yaani ni "Annakummwagia Nnnotti" Ooyaaaa...😅😅 Appy mmk Appy... Mwizi sana 😂😂
@Luckreadyog8 ай бұрын
Appy umetisha sana dada yangu 🎉🎉🎉❤❤
@revelationofgodswordminist97307 ай бұрын
wimbo mzuri sana aisee, madundisho matupu.
@ArshavinSungura8 ай бұрын
Bonge moja la ngoma hili kali sana 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@jsisso74678 ай бұрын
Appy 🙌🙌🙌🙌 nasikiliza hii nyimbo siku tatu mfululizo none stop umeua sana
@lunangabenjamin31218 ай бұрын
Big up bro big fire iliye piga korasi noma sana kali.
@peterprosper59647 ай бұрын
Roma hujawai kukosea kaka VIVA ROMA VIVA😮😮😮😮
@ramadhanidonne24318 ай бұрын
Iyo kali bro nipo congo 🇨🇩
@christopherhaule9088 ай бұрын
Chorus imetulia sana
@LisztharaldLizzy5 ай бұрын
Me sijamuita mume wake 😢 anisamehe too kila nikimwambie tuachane naona pesa imeingia kwenye cm yangu😢😢😢
@omarnimrod13698 ай бұрын
Swadakta Bro Roma ❤❤❤❤❤❤❤
@dr_donye8 ай бұрын
Una changanya DAWA kawa MFAMASIA 🤣🤣🤣🔥🔥🔥 huyu Dada phina wa moto
@maxminswai98048 ай бұрын
Sio phina huyoo
@contesarmark97438 ай бұрын
nimeusikiliza huu wimbo siku nne mfullulizo, si ujumbe bali melody .Tamu.
@PeterDanson-ps9iq8 ай бұрын
Nampenda appy🇨🇩
@BeyCategory8 ай бұрын
Hii ngoma nakumbuka zaman sana bongofleva ila uyu dada sauti yake b dhahabu adim sanaaa imenisimua sanaa
@bcozhenry26988 ай бұрын
....mmmh umezidisha dawa amekuwa mjinga umemfanya zezeta.... Neno zezeta limenishughulisha sana kulielewa, nilidhani la kiingereza... We APPY unajua kuyachezea maneno, hiiiiiiiiiii🎉🎉🎉🎉🎉
@brucerashfordke51028 ай бұрын
@appy always making it sound world class
@rannsackmxemmynoh13127 ай бұрын
Appy from Dingi to hapa mwamba wa lusakaaa
@donbeteofficial8 ай бұрын
Daaah hii ngoma inafikilsha sana
@ezekielemanuel29108 ай бұрын
Hapo kwenye kava mmeandika namuacha Mungu😢😢😢
@Graceyusuphh8 ай бұрын
Hyu Appy nimtafute sasa😊😊😊 ndo nimejua hapa
@MudaOg8 ай бұрын
Anaimba sana huyu dada
@Graceyusuphh8 ай бұрын
Nimekubal maua yake🎉🎉🎉🎉@@MudaOg
@baloziwachache-iy8sx8 ай бұрын
Nimekubali sana imesomaaa kaka
@nyigesayakobomagabe7767 ай бұрын
Imetosha kaka umewachoma watu huku mtaani sio pow
@ShedDjeey-cn9ti8 ай бұрын
Roma fireee dada wa corus kafanya niemke sauti yakeeeeeee duuuuuu
@lunangabenjamin31217 ай бұрын
Huyu binti ni msanii tena video vixin anatengeza pesa vizuri tengeza pesa mtunze mama na familiya kijijini.hakuna mbaya kama mkokwenye mahaba mnaendana wote vijana tena watafutaji.
@DavidMbwilo-qk1bz8 ай бұрын
Hii album mwanetu 🔥🔥🔥🔥
@davidwalalason76308 ай бұрын
No song to skip in this album
@monicahachola43748 ай бұрын
💯 nyimbo zote kali
@MNOMA2558 ай бұрын
Appy Umetisha
@yumbujackson8698 ай бұрын
Bro umetisha sana
@rannsackmxemmynoh13127 ай бұрын
Msanii ukimuongelea marehem vibaya kwa vyovyote vile nakuona wa hovyo