AMINAAA sana mtumishi barikiwaaa sana mtumishi waambiyee kufatana sio Vizuri hawa watu wana matatizo mazito BWANA Awasaidiye tena
@janetmsofe378911 ай бұрын
Amen mteule wa Bwana...injili hii ni kama ndio naanza kujifunza upya neno la Mungu
@Veronicaaugustine-nb1vt11 ай бұрын
Amina mtumishi ubarikiwe
@janetmsofe378911 ай бұрын
Mungu aendelee kukuinua mteule wa BWANA
@andrewnday912711 ай бұрын
Hakika hii ni Injili ya Ufalme . Ubarikiwe Mwl Tengwa
@elinikundankya697611 ай бұрын
Ee Bwana Yesu wewe ni Mungu uonaye yote na pote. endelea kutupitisha kwenye moto na wala usituache Bwana tunaomba mpaka tutoke kama dhahabu. asante kwa injili hii asante kwa Mtumishi wako Mwl Tengwa.
@wilsonmkumbo30327 ай бұрын
Mungu akubariki Mwl kwa injili hii ili iweze kueleweka kuleta nguvu ya mabadiliko ndani ya kanisa la Mungu
@GaneKaambwa-xy2is10 ай бұрын
Barikiwa baba hakika injili hii imeniponya
@janetmsofe378911 ай бұрын
Nakuelewa sana mwalimu
@lilianluhasi3115 ай бұрын
Tusamehe kuhukumu wengine, tuwezeshe kuokoa watu toka rohoni katika jina la Yesu Kristo
@janetmsofe378911 ай бұрын
Hakika nibkwa huruma ya Mungu hatuangamii
@scholasticakariuki677511 ай бұрын
Asante kwa ujumbe jamani umetuamsha sana, tunashukuru.Yesu akubarike .
@marystellambogo282011 ай бұрын
Yesu nisamehe kwa hukumu nilizowahukumu wengine
@joycenyalembe771811 ай бұрын
Amina sana kwa ujumbe huu.
@Elizabeth-em3bp10 ай бұрын
Sauti imeshuka sana.
@marianahermes630111 ай бұрын
Amina mtumishi wa Mungu Bwana azidi kukutia nguvu itokayo juu, Kwa injili hii ya uamsho na matengenezo ya kanisa.
@bonakimaryo126411 ай бұрын
Amen and amen
@agnesnyangasa226211 ай бұрын
Yesu nisame palenilipo hukumu mtu yeyote Amen
@Williane-kq6ts11 ай бұрын
Haleluuuya.Lazima shetani apigwe sana.
@rahelkimario149711 ай бұрын
Amen MTUMISHI WA MUNGU.
@JacobMasimba-rc9ni11 ай бұрын
Hakika injili hii ndiyo yenye kuokoa.Mungu akutie nguvu mwl.Wetu mpenzi.
@agnessbruno359111 ай бұрын
Uturehemu BWANA MUNGU wetu. Nakushukuru BWANA kwa neno lako. unaturudi kwa neno lako, asante BWANA. Ubarikiwe mtu wa MUNGU amen
@helenmdee400411 ай бұрын
Asante Yesu nisaidie niliishi neno hili
@shadrackmanase750311 ай бұрын
Ooooh! Halaluyah, jina la BWANA litukuzwe.
@osianakingdom20311 ай бұрын
Amen Ameen
@gloryfidelis10211 ай бұрын
Maneno haya ni mazito.Yesu turehemu kweli. 5:36
@AnnaLwanda-oj4jn11 ай бұрын
Amina mtumishi sema kweli Ili tupone
@rehemasuleiman746911 ай бұрын
Ameen, mtumishi Asante Yesu kwa kumtumia mtumishi wako kwa nyakati hizi za mwisho
@andrewnday912711 ай бұрын
Ni kweli tupo wepesi kutoa hukumu kwa wengine. Bwana Yesu turehemu pale tulipohukumu wakati hukumu siyo yetu bali MUNGU WA MBINGUNI.
@mariamyinga214111 ай бұрын
Amen asante Bwana kwa neema hii
@joycenyalembe771811 ай бұрын
Ameen .... Utume ambao Bwana amekupa ni WA tofauti maneno Yaha kweli sijawahi yasikia ila nimefundishwa kuhukumu na jajimenti juu ya watu wengine kumbe kibazi kipo kwangu. Wakati Bwana alitaka niombolezee hiyo nafsi ya Bwana. Eee Bwana unihurumie kwa yote aliyohubiri Mtumishi Tengwa.
@gracemasele416711 ай бұрын
Amen. Asante kwa neno linalotupatia hekima na maarifa.
@Williane-kq6ts11 ай бұрын
Asante Mungu kwa kutupa mtumishi anayetufungua kutoka kwenye uzao wa nyoka.
@agnesnyangasa226211 ай бұрын
Mungu akubariki sana ninakutakia maisha mema.
@DORISKIMATH11 ай бұрын
Asante BWANA YESU Kwa kutupatia nguvu ya madiliko nisaidie nikuelewe unaposema nami ndani ya sanduku lako la Agano TENGWA
@AmosOkwachi11 ай бұрын
Wanadam wanadam mmepatwa na nini jamani hamtaki kumgeukia mungu mtumish fanya kwa sehem yako na mungu akutie nguvu amen
Yesu nifungue macho nione ,Nisamehe kila nilipohukumu wengine
@lazarodaniel-ts6uq11 ай бұрын
Akika INJILI hii lazima iturudishe njiani Mungu turehemu watoto wako
@Neemakilimba11 ай бұрын
😊😊😊😊😊😊😊
@mariamyinga214111 ай бұрын
Bwana akutunze mtumishi kwaajili ya utumishi huo mkuu, na jina la Bwana litukuzwe kwa mataifa yote Hakika ni saa ya kurudi kwenye moyo wa Mungu duniani hakuna chochote cha maana kulinganishwa na ufalme wa Mungu aliye hai
@bitrismateleka11 ай бұрын
AMINA MTUMISHI.
@danielambonisye626111 ай бұрын
Hakika hiyo ndiyo injili ya Yesu Kristo aliye hai ubarikiwe na Bwana Yesu Kristo aliye hai mtumishi wa Bwana, nami, nasi tupewe neema ya kuyapokea na kuyashika na kuyatendea kazi ipasavyo kama mapenzi ya Bwana yatupasvyo kuyafanya.Maana mambo haya ni mazito sana