barikiwa sana mbaga kwa kazi ya Mungu wetu alie hai
@josephmanase3176 Жыл бұрын
Ubarikiwe sana
@maureenkemei92543 жыл бұрын
Nimeelewa kabisa kumbe nimekua nikiila yai ya kuku ya grade ambayo si nzuri nimeyaaja
@asooraaasooraa48162 жыл бұрын
Asante sana pastor nimejifunza kitu kikubwa na MUNGU AKUBARIKI
@zenasalum22312 ай бұрын
Asante Kwa elimu kuhusu chia seeds nitumie gram ngapi Kwa mtoto mmoja
@raheemamkambha60135 жыл бұрын
Asante sana mchungaji Mungu akubariki
@helenjonsob57184 жыл бұрын
Kupatikana ni shida
@msangodiesel31322 жыл бұрын
Nimeishinda Vita kupitia wewe mchungaji kwenye chakula.asante
@drcboymusiquetv13962 жыл бұрын
Ok sasa ukekula mayai yamubichi inamazara
@janethelifamili12103 жыл бұрын
Nimejifunza jambo zuri Sana nitaijenga familia yangu
@edwardkitti99584 жыл бұрын
Barikiwa sana Pastor . Haya mafuta tunapenda kuyatumia Sana ila yana gharama kubwa. Gharama ya Lita 5 kwa alizeti yanaingia Lita moja kwa olive Na upatikanaji nao mgumu mpaka utafute supermaket kubwa Duh
Nimfatiliaji sana wa vipindi vyako vyote lakini vya masula ya lishe vimenivusha sana naelekea kuwa dactari ata mimi. Ninashauri baadhi ya vyakula unavyovitaja vioneshwe kwa picha ktka vipindi vyako.
@wordskabadi64214 жыл бұрын
Nimekuelewa sana pasta
@athanaskitime14845 жыл бұрын
Nimekuelewa
@exocyber21475 жыл бұрын
Barikiwa Mchungaji.
@deboraseronga47855 жыл бұрын
Asante mchungaji.
@jamesswai65835 жыл бұрын
Ubarikiwe sana Pastor!
@josephpaul74473 жыл бұрын
Amin
@angel-y5 жыл бұрын
God bless you Pastor abundantly.
@barackmaduhu6605 жыл бұрын
Ubarikiwe pastor
@filorammbaga57102 жыл бұрын
Mrisha Daudi nahavache mno kwa Somo la kuilinda ubongo. Kumbe mayai ya kienyeji hayana shida. NAHAVACHE mno.
@judithnjalambaya24503 жыл бұрын
Amen
@paulwerema8767 Жыл бұрын
9°
@luciatoto21163 жыл бұрын
Amina
@ndetitave98145 жыл бұрын
Asante sana nimekuelewa je mayai ya kanga.yanafaa
@thegospel175 жыл бұрын
Ndeti Tave ni mazuri kama ukitumia olive oil au mafuta ya nazi
@graceesiabia53792 жыл бұрын
Hi. Can I get the link of seh 1
@eddahnyongesa98195 жыл бұрын
God bless you so so much pst
@shimwekagwiza23005 жыл бұрын
Asante pastor nimekuelewa vizuri.., kwahiyo mwenye bp yakupanda akila mayai haina shida??
@thegospel175 жыл бұрын
Shimwe Kagwiza Lazima sababu ya Bp ijulikane. Lakini kwa manufaa zaidi soma link hii www.mayoclinic.org/diseases-conditions/high-blood-cholesterol/expert-answers/cholesterol/faq-20058468