Huyu waziri kwanini anajibu maswali magumu bila kua na taarifa sahihi??.. Kama waziri mkuu amefika kariakoo, na wazili alisema biashara zinaendelea, alikua anatoa majibu ya uongo, awajibike huyu waziri
@cantatanzania6702 Жыл бұрын
Huyu bi mkubwa #waziri muongo sana. Hafai kuwa kwenye hiyo nafasi
@fatmaabdallah7709 Жыл бұрын
Sio muongo mimi pia niko kariakoo na ni kweli maduka mengi yamefungwa lakini pia yapo baadhi yaliyofunguliwa kila mtu ana uhuru wake