No video

WACHAWI WAJARIBU KUMUUA MTOTO YUNIS MARA 2, APONYA WAGONJWA KUTOKA ULAYA, APEWA ZAWADI YA VATICAN..

  Рет қаралды 386,205

Global TV  Online

Global TV Online

Күн бұрын

WACHAWI WAJARIBU KUMUUA MTOTO YUNIS MARA 2, APONYA WAGONJWA KUTOKA ULAYA, APEWA ZAWADI YA VATICAN..
Mtoto YUNIS au EUNICE OGOT wa Wilayani Rorya, mkoani Mara nchini Tanzania, ameendelea kufanya maajabu katika uponyaji wake wa kutumia maji na maombi, ambapo anatibu watu wa ndani na nje ya nchi…
Mapya ya hivi karibuni ni tukio la kutibu kundi la watu waliopooza, wapatao saba kutoka nchini Djibouti, ambao walifika kwa mtoto huyo wakiwa katika hali mbaya, mwingine akiwa anasukumwa kwenye kiti cha kusukuma (Wheel Chair), lakini baada ya kuombewa na kumwagiwa maji na Yunis alipona na kuanza kutembea mwenyewe…wengine wamekuwa wakitibiwa kutoka Ulaya ambao wamepona na kumpa zawadi ya sanamu kubwa ya Bikiria Maria, yenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni nane…
Maajabu ni mengi…fuatilia muendelezo huu pamoja na ushuhuda wa watu wengine….
NAMBA ZA SIMU ZA BABA YUNIS: +255 783 426 393 au +255 686 967 279
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

Пікірлер: 544
@winfridadavid4173
@winfridadavid4173 2 жыл бұрын
Baba angu alikuwa anaumwa mwaka jana akaenda, akachukua maji na yalimponesha Glory to God
@sarablessing2176
@sarablessing2176 2 жыл бұрын
Ni wapi uko
@talsirakayombo8477
@talsirakayombo8477 2 жыл бұрын
Naomba mambi yake jaman
@winfridadavid4173
@winfridadavid4173 2 жыл бұрын
@@sarablessing2176 Musoma shirati
@winfridadavid4173
@winfridadavid4173 2 жыл бұрын
@@talsirakayombo8477 mydr sina kweli labda niongee na mzee jioni akirudi nikutumie
@talsirakayombo8477
@talsirakayombo8477 2 жыл бұрын
Sawa dr
@judithmelvinealuchio8968
@judithmelvinealuchio8968 2 жыл бұрын
na ibilisi awezi kufikia sister Eunice mungu azidi kuinua na mwanawe yesu Christo na mama yetu maria ubarikiwe zaidi mungu akupe nguvu nami pia niweze kufikia ubarikiwe sana sister Eunice 🙏🙏🙏🙏🇰🇪🇪🇺
@margaretoyugi7137
@margaretoyugi7137 2 жыл бұрын
Mama Bikira Maria ni suluhisho Kweli ya dhiki zetu! Kanisa Katoliki ni Dini ya kweli yenye Neema kuu🙏🏽 Mimi ni Shahidi🙏🏽
@severinmagwaya6453
@severinmagwaya6453 Жыл бұрын
siyo dini bali kanisa la kweli. Makanisa yapo mengi, mf. Filipi, thethalonike! Aidha, kuna madhehebu mfano Roman katoliki, Anglican, Lutheran, Arthodox Catholic, Marian Catholic nk.
@felisterandrew8741
@felisterandrew8741 Жыл бұрын
Mungu mwenyewe akiamua kumtumia mtu haijalishi ni dini gan
@user-gj9yw1nj2h
@user-gj9yw1nj2h 7 ай бұрын
Through jesusu Christ everything is possible
@Lzzlzz-k3m
@Lzzlzz-k3m 3 ай бұрын
Mungu anaeza tumia hata mtu hajawahi India kanisa kuonyesha mkono wake..husikii akisema KANISA LAO CATH..hawasemi chochote
@fatherghetto4720
@fatherghetto4720 2 жыл бұрын
Mungu azidi kumuinuwa mtoto huyu🙏🏽🤲🏼
@siriyamwanamkemkakamavu
@siriyamwanamkemkakamavu Жыл бұрын
Kwa nini Mimi naamini kila kitu, kwa sababu Mama Bikira Maria ananguvu ya ajabu ya kutumia Maji, Kwokwote kule alikowahi kuwatokea watu, amekuwa anaonyesha jinsi ya kutubu, kusali, kusamehe na kutumia Maji . Na sikuzote huwa anawatojea watoto kwenye pori, ambapo kuna mawe, miti, sehem iliyotulia na iliyojificha, I love her unconditionally ❤, This is so beautiful, Nampenda sana Mama Bikira Maria hasa jinsi anayotugombania sisi Wanawake na Familia zetu. Kanisa letu wakati mwingine linachukua muda mrefu sana kutangaza mambo kama haya, she’s blessed, Mama Bikira Maria endelea kumtumia Mtoto huyu, kupitie yeye utufundishe mengi.
@mohammadoman8963
@mohammadoman8963 5 ай бұрын
Mh😢😢
@kambalesenzo5290
@kambalesenzo5290 3 ай бұрын
free masoni huyo
@kambalesenzo5290
@kambalesenzo5290 3 ай бұрын
bikira maria amefariki miaka kadhaa iliyo pita Hana lolote la kufanya hiyo ni imani ya kishirikina
@oseendayi5046
@oseendayi5046 2 жыл бұрын
Yesu alise acheni watoto waje kwangu 🙏🙏🙏
@user-fu6gz2tp3h
@user-fu6gz2tp3h 3 ай бұрын
Mimi ni evangiliste imani Bujumbura muombaji aniombea mimi na jamah langu kwa magonjwa hatuna nauli tungefika Amen
@violetrapando3946
@violetrapando3946 2 жыл бұрын
Mungu yu naye Eunice na atazidi kukutunza pamoja na familia yako
@teddymwageni1763
@teddymwageni1763 2 жыл бұрын
Mmmmmh Mungu bariki kazi ya mikono yako yunisi
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 2 жыл бұрын
Aamiin
@roselyneachieng7638
@roselyneachieng7638 2 жыл бұрын
God bless this little angel Eunice I know one day I will go their
@emekaarinze3693
@emekaarinze3693 2 жыл бұрын
Thank you jesus for the life of the little girl , Amen
@marryfelician1426
@marryfelician1426 2 жыл бұрын
Aje na dar. Jamani
@martinatusaye8267
@martinatusaye8267 5 ай бұрын
Anapatikana mkuwa gani jani please u help me
@margaretoyugi7137
@margaretoyugi7137 2 жыл бұрын
Kweli Ni Karama ya kipekee🙏🏽ambayo Mariamu Mama wa Mungu huwateuwa mwenyewe Mimi ni Shahidi pia🙏🏽
@frankfelix3876
@frankfelix3876 2 жыл бұрын
Mungu akuepushe na na roho za maadui hakika mungu nikila kitu katika maisha yetu
@mensahyalley6338
@mensahyalley6338 2 жыл бұрын
I heal myself,my woman Nana Adwoa Erica and my family from every deadly deseases and illness through this beautiful girl in Jesus Christ name ... Amen
@medrinemelissa
@medrinemelissa 2 жыл бұрын
Ntaweza kufika uko aje ..:,
@lilianchepkemoi2417
@lilianchepkemoi2417 Жыл бұрын
Hi friend an from Jericho how can I get Tunis no.
@lilianchepkemoi2417
@lilianchepkemoi2417 Жыл бұрын
Plus help me to get Tunis no
@lilianchepkemoi2417
@lilianchepkemoi2417 Жыл бұрын
Please help me to get Tunis no.
@herbertchapaguta3733
@herbertchapaguta3733 Жыл бұрын
Hi everyone I'm very grateful l thank God .......I'm here to ask l wanna go there but l don't know the directions pliz help 🙏🙏🙏🙏 I'm zim pliz help
@mudywaya328
@mudywaya328 2 жыл бұрын
Amakwahakika munguanaipenda Tanzania munguibaliki alziyatanzania nawatuwake mbaliki mtotohuyu iliatuponye kwakupitiayeye
@euniceulomi6135
@euniceulomi6135 2 жыл бұрын
Barikiwa sana wajina..nami napokea kwa Jina la Yesu
@margaretoyugi7137
@margaretoyugi7137 2 жыл бұрын
Wazazi hawa ni kielelezo kwetu sisi wazazi wa leo tunao asi uzazi hatutaki kuzaa,Tunakufuru, Mungu wetu Baba tusamehe🙏🏽🙏🏽🙏🏽 Utuponye kupitia mtoto huyu mteule wako🙏🏽
@mwalongobaraka255
@mwalongobaraka255 2 жыл бұрын
mwenyez Mungu aendelee kumtumia mtoto katika uponyaji wetu na magonjwa na changamoto mbalimbali tulizo nazo...
@alialamoudi9729
@alialamoudi9729 2 жыл бұрын
Uongo mtupu haifai kuamini mambo kama hayo ni shirki thambi isio samehewa milele muobe mola wako moja kwa moja anakusikia
@Thomas-iy1rk
@Thomas-iy1rk 2 жыл бұрын
Hongera mtoto bikra kwa kazi unayo fanya mungu akulinde
@saasamaf7188
@saasamaf7188 2 жыл бұрын
Asante mungu kwa hii zawadi ya uponyaji endelea kuonekania na kumfunika huyu mtoto kwa damu yako takatifu
@SofiaMoshiro
@SofiaMoshiro 2 ай бұрын
Mungu ambariki mtoto yunis na mm anitende amina 🎉🎉🎉l
@user-tg4nx7kd1f
@user-tg4nx7kd1f 4 ай бұрын
Ninaamini nguvu za mungu zilipo ndani mwako, nimefunguliwa na mwanangu .mungu akutie nguvu
@binthkhamisi1097
@binthkhamisi1097 2 жыл бұрын
MashaAllah...ningelikuwa karib tyungefika from kenya
@esthermokamimathias1740
@esthermokamimathias1740 2 жыл бұрын
Njooo nitakupeleka ulipe nauli niko kenya pia
@benjaminjoseph1747
@benjaminjoseph1747 2 жыл бұрын
Mtangazaji uko vizuri. Ila haiitwi goroko. Inaitwa grotto ya Bikira Maria. Ni nyumba ya mama yetu Bikira Maria mama wa mkombozi wetu Yesu Kristu
@greatgiftgenge7547
@greatgiftgenge7547 2 жыл бұрын
I claim and receive my healings through Yunis in the Mighty Name of Jesus Christ of Nazareth, AMEEEEEEEN
@emillyzeeh1173
@emillyzeeh1173 2 жыл бұрын
Mungu akubariki wewe mutoto Eunice Amen 🙏🙏🙏🙏🙏🇩🇪🇪🇺
@emillyzeeh1173
@emillyzeeh1173 2 жыл бұрын
Be blessed Eunice, kusaidiea wagonjwa Amen
@stellah3844
@stellah3844 2 жыл бұрын
Mungu akubark sana Sister Eunice uendelee kuwasaidia wagonjwa na wenye shida mbalimbali.
@ibrahimsongo8440
@ibrahimsongo8440 2 жыл бұрын
Serikali usisahau kiipa hifamiliya ulinzi
@tumainimanga9233
@tumainimanga9233 2 жыл бұрын
Mungu Aliyampa kibar huyu mtoto tumtukuze sana
@edinahmoraa2096
@edinahmoraa2096 2 жыл бұрын
Duuh maajabu haya
@emekaarinze3693
@emekaarinze3693 2 жыл бұрын
I Ekeoma I received my miracle baby in jesus name Amen
@yesunimwema4497
@yesunimwema4497 2 жыл бұрын
Mama bikira maria utuguse mahari popote panamaumivu na ugonjwa usiotibika utuponye mama yetu mama wamungu tusikue🙏🙏🙏🙏.
@millicentogonda9804
@millicentogonda9804 Жыл бұрын
Am a living testimony may God bless BMG TV and sister Eunice I got instant healing, may God's name be glorified.
@AnnetShisia-pj6op
@AnnetShisia-pj6op 4 ай бұрын
Where does she comes from
@rosemarymoraa3275
@rosemarymoraa3275 2 жыл бұрын
Mungu awe nawe wakati wowote, Nina fistula kutoka Kenya, Mimi Pia nimgogwa, kisukari, Artheratis. Naomba Mtoto Unice hanikumbuke kwamaombi. Mungu hakupe nguvu na maono saidi, Amen
@fredyjeremia7074
@fredyjeremia7074 2 жыл бұрын
MUNGU Akuepushe na nguvu za movu shetani.AMEN🙏
@linaruth8982
@linaruth8982 2 жыл бұрын
Mungu aonekane juu ya huyu mtoto.waovu watoweke katika jina la yesu.
@angelanaftael7965
@angelanaftael7965 2 жыл бұрын
Hakika Mungu anaweza anatumia watoto wadogo.hekima ya Mungu sio ya mwanadamu.kila jicho litamuona
@joylinejoy7989
@joylinejoy7989 2 жыл бұрын
Hakika Mungu anatenda but nauliza swali naeza pataje Uyu dada Eunice nkona magojwa yenye hospital wameshindwa
@winnieachieng3662
@winnieachieng3662 Жыл бұрын
Mungu habarki uyo mtoto ahendele kuponya watu 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@SophiaInocent
@SophiaInocent 28 күн бұрын
Barikiwa sana mwanangu mungu akulinde
@joshuasamson9618
@joshuasamson9618 2 жыл бұрын
Daarh nimesikiliza miujiza machozi yananitoka mungu yupo kwa watoto wadogo
@Rosemary-rz6cl
@Rosemary-rz6cl Жыл бұрын
Mungu bariki Mtoto Eunice aendelee kuombea watu na ku wachawi wote
@ndayisengavalens3673
@ndayisengavalens3673 2 жыл бұрын
Amen 🙏 mungu amubariki form Uganda 🇺🇬
@marthapatrice9911
@marthapatrice9911 2 жыл бұрын
Kuhusu kanisa kutangaza sio kwamba Hawa oni wala Hawa sikii nikwa vile kanisa katoliki nikanisa la utaratibu Ni lazima waombe kibari kwa Mungu ili wapate kutangaza maana imeandikwa 1 Yohana 4:1 [1]Wapenzi, msiiamini kila roho, bali zijaribuni hizo roho, kwamba zimetokana na Mungu; kwa sababu manabii wa uongo wengi wametokea duniani. Waendelee kuomba na Mungu atatoa kibari kwa kanisa na kuwatangaza.
@tinnoaugusto7779
@tinnoaugusto7779 2 жыл бұрын
Umenena
@leocadiabwire512
@leocadiabwire512 Жыл бұрын
Nimekuelewa
@mamamushimushi6100
@mamamushimushi6100 5 ай бұрын
Amina
@mariawangari2670
@mariawangari2670 2 жыл бұрын
Mungu akubariki mtoto Eunice
@valenakomba7686
@valenakomba7686 5 ай бұрын
Bwana Mungu atukuzwe sanaa. Asante mama Maria.
@elizabethmkarafu2138
@elizabethmkarafu2138 2 жыл бұрын
Mungu akulinde sana mtoto unice kwa kazi unayoifanya...
@BienvenueBikorimana
@BienvenueBikorimana 3 ай бұрын
Yule mutoto mungu amubariki Sana na sisi tunaomba afike kwetu Burundi amwangiye watu maji wapone
@danielwekesa1326
@danielwekesa1326 2 жыл бұрын
Mungu akubariki Sana Sana... Kwa kazi unayofanya.
@sazanahussen6715
@sazanahussen6715 2 жыл бұрын
Inavyoonesha huko musoma watu wengi hupenda uchawi mungu atamlinda huyu mtoto 🙏🙏
@issaibrahim8796
@issaibrahim8796 2 жыл бұрын
Uchawi upo sehemu yoyote duniani
@alialamoudi9729
@alialamoudi9729 2 жыл бұрын
Uongo mtupu haifai kuamini mambo kama hayo ni shirki thambi isio samehewa milele usijaribu kwenda huko kumoba kutibiwa ni ukitaka kumomba muobe mungu moja kwa moja
@BeullahBujah-lk3sx
@BeullahBujah-lk3sx 5 ай бұрын
Bikira Maria ndiye aliteuliwa kumleta Mkombozi wetu Yesu Kristo atufie Msalabani. Hallelujah thank you Jesus Christ of Nazareth.
@floramlowe7078
@floramlowe7078 2 жыл бұрын
Alichakiandaa mungu mwanadamu hawezi kukiharibu wala kuingilia amemleta mungu kwa maana
@ronahcherononyaribo7417
@ronahcherononyaribo7417 2 жыл бұрын
Mungu akulinde zs uponyaji dió tunaitaji Kwa Jina la yesu
@hellenchari1498
@hellenchari1498 Жыл бұрын
Mungu akamuongoze huyu mtoto,,akamhifadhi aweze kufanya kazi ya mungu,,ila swali ni mali siyo mbaya,but isiwe kama wazazi wata take advantage kwa huyu mtoto ndiyo waweze kupata mali.Juu mwenye hana cha kuwalipa,nikuonyesha hataweza kuupokea uponyaji.
@JerrywiseHarry
@JerrywiseHarry 2 жыл бұрын
Blessing child may God continue to protect her for healing power from Almighty God IJN🙏
@VolcarMalubi-ys3cg
@VolcarMalubi-ys3cg 3 ай бұрын
Hello naomba mungu akubariki sana kwa huduma zako nami nko na shida ile ambayo inahitaji tutuonane tu ili huweze kunisaidia ,tafadhali mniambie hii ni inch gani ili niweze kuabiri ndenge nikuje❤❤❤❤
@danielrobert730
@danielrobert730 2 жыл бұрын
Mungu akulinde mtoto yunic
@Eunicemakokha-gc9ss
@Eunicemakokha-gc9ss 2 ай бұрын
Any angle of heaven on earth tat is here now to deliparate all siners to folllow Gods work bora uwe na imani i trust this girl mungu azidi kumwinua
@user-ng6yt2od7l
@user-ng6yt2od7l 2 жыл бұрын
MUNGU am.bariki huyu mtoto Ampe power zaidi
@user-nc2xx9ul2m
@user-nc2xx9ul2m 6 ай бұрын
Mungu akulinde na kukuongezea imani ili utusaidie waafrika wenzako chini ya maombez ya mama bikra maria
@nicedavid8536
@nicedavid8536 2 жыл бұрын
Mungu akulinde mtoto mzuri,
@MadamTinah-eg2xe
@MadamTinah-eg2xe 4 ай бұрын
Mwenyezi mungu ana makusudi yake kweli mtoto Wacha akauponye ulimwengu🙏🙏
@annalivini3940
@annalivini3940 2 жыл бұрын
Mungu wa mbinguni tunakushukuru kwa zawadi ya watoto,maana neno lako linasema kwakuwa mambo hayo uliwaficha wenye hekima na akili akawafunulia watoto wachanga, Mungu wa mbinguni akutunze vema mtoto yunic,akuepushe na hila za movu shetani, karama yake yendelee kukua,asante Yesu kwa uponyaji.
@alysonmukobwa7412
@alysonmukobwa7412 4 ай бұрын
Nime ziuganiza na uduma wake naoba kupona maganja na babagu pia aponne Amen
@teresawanjiru3171
@teresawanjiru3171 Жыл бұрын
Pray for me baby Eunice through the almighty name of Jesus Christ.
@franciscagloriabowora4074
@franciscagloriabowora4074 2 жыл бұрын
Please translate in English. God is using baby Yunisi May the Lord continue to use her in all ways. Am so happy am a catholic.
@antonewasonga2696
@antonewasonga2696 Жыл бұрын
I need contact so that go to yunis to be prayed for am sick
@rozamere
@rozamere 5 ай бұрын
Amen even Jesus started preaching when he is young so God has power heal any diseas
@vickystellah3194
@vickystellah3194 2 жыл бұрын
Yesu Kristo akutunze Mtoto wa Bikira Maria. Ubarikiwe sana.
@marthangigi6459
@marthangigi6459 2 жыл бұрын
With God everything are possible 🙏
@juliemetanoia1650
@juliemetanoia1650 2 жыл бұрын
God the Father, Son and the Holy Spirit I receive my Healing and that of my Family Right Now in Jesus Name Amen.
@azizaabeid2055
@azizaabeid2055 2 жыл бұрын
Mhh jamani mungu tusaidie mhh mhhh km wapi vile kwa Babu loliondo imeishiaje tena wagonjwa waliacha madawa ya saratani ukimwi sukari Yani watu wanajua kuwaongopea watu Babu loliondo alijua kupiga pesa maisha kadri yanavyokuwa magumu watu wanabuni njia za kusaka noti sasa wanashirikishishwa mpaka watoto katika utafutaji wa pesa mungu tusaidie
@irenemrema4416
@irenemrema4416 2 жыл бұрын
Sema kama ni wewe Mungu basi sifa na utukufu zirudi kwako Mungu wetu na sio kucoment kwa kuchafua!! Huwezi jua !
@roseayiera1935
@roseayiera1935 2 жыл бұрын
We believe in God, the blood of Jesus christ heal, let's us not believe maria only Jesus
@alialamoudi9729
@alialamoudi9729 2 жыл бұрын
Uongo mtupu haifai kuamini mambo kama hayo ni shirki thambi isio samehewa milele usijaribu kwenda huko kumoba kutibiwa NA ikiwa umefanya kosa hilo rudi kwa mashekhe watakufahimisha
@KWIZERAFrancoise
@KWIZERAFrancoise 3 ай бұрын
Mungu azidi kukubariki na kukutia nguvu katika huduma yako ,munapo ishi niwapi jamani
@muyangeshapola4797
@muyangeshapola4797 Жыл бұрын
I claim my healing from Yunice in Jesus name amen, distance is not a buria 🙏🙏🙏
@violetyakukuh
@violetyakukuh Жыл бұрын
Amina mama Maria mama wa yesu utuombe sisi wakosefu ,jisi ulivyo katika mtoto Eunice,Amina
@Rosemary-rz6cl
@Rosemary-rz6cl Жыл бұрын
Mungu bariki Mtoto Eunice na maombi zake zitufikia tukiwa hapa kenya
@janetoneka9528
@janetoneka9528 Жыл бұрын
Huyu Mtoto anatoka wapi niende jameni..Eunice uniombe katika jima la Yesu Amen.
@emmanuellkfightforjusticea2474
@emmanuellkfightforjusticea2474 2 жыл бұрын
I receive healing through her in the name of jesus christ . Amen
@mohbear5654
@mohbear5654 2 жыл бұрын
Mungu yupo kazin pia shetan yupo kazin just be careful hata shetan hujibadili kua kama Malaika wa nuruni ... ain't judging any one nevertheless who I'm I to judge 🤷
@marianaduncan6330
@marianaduncan6330 2 жыл бұрын
Umesema kweli hakuna Mungu hapa ni shetani live,bikira maria hawatokei watu na hajawahi kutokea watu ni ushetani umeingia Duniani
@scholamdaka9915
@scholamdaka9915 2 жыл бұрын
Hakika
@mariamjuma4401
@mariamjuma4401 2 жыл бұрын
Very true
@gabrielogondi3987
@gabrielogondi3987 2 жыл бұрын
Even those who rejected Jesus called Him "devil" so we are not surprised with your comment. Hail Mary full of Grace,,,,,,,,,,,, May God protect baby Eunice in Jesus' name. Amen!!
@marianaduncan6330
@marianaduncan6330 2 жыл бұрын
@@gabrielogondi3987 only JESUS CHRIST can save the world, repent your sin, JESUS CHRIST is coming soon
@Eunicejuma-gg8dw
@Eunicejuma-gg8dw 4 ай бұрын
Ongera mtoto bikria nampenda xana Mambo ya lisari 🎉🎉
@mellenarasa8497
@mellenarasa8497 2 жыл бұрын
Mungu Baba Ni asante kubwa kwako maana wanao wengi wameponywa kupitia mtoto Yunis mbarikiwa na mteule wako. Nasi tulip mbali tuponywe kwa Imani, am in a🛐🛐🙏🙏💯
@jeniphermyingajeniphermyin8029
@jeniphermyingajeniphermyin8029 4 ай бұрын
Aliyetumwa na MUNGU hauliwi kizembe,SABABU MUNGU humjulisha taarifa zijazo kabla hazijafika.Mungu anaweza kumtumia MTU atakavyo,
@RuthLutenyi-du7gt
@RuthLutenyi-du7gt 2 ай бұрын
Yunis please pray for my family, my children, and I🙏
@JenetAlinda
@JenetAlinda 3 ай бұрын
Mungu akubaliki sana
@juliemetanoia1650
@juliemetanoia1650 2 жыл бұрын
God bless u Yunis parents
@AnastaziaStephano-ro1pw
@AnastaziaStephano-ro1pw 2 ай бұрын
Mungu akukinge na wanaya hao🙏🙏🙏
@dennyosoko8075
@dennyosoko8075 2 жыл бұрын
Amen God gives you more strength
@mariawanjiru1275
@mariawanjiru1275 2 жыл бұрын
Thank you Jesus Christ for baby unice may you protect her Mary mother of God pray for us
@user-fb2rt3ru6z
@user-fb2rt3ru6z 5 ай бұрын
Mwenyezi mungu pamoja na mama wetu Maria wasidi kumlinda huyo mtoto Amina ❤
@RoseMbuya-cn5dg
@RoseMbuya-cn5dg 4 ай бұрын
Mungu alikua na sababu kuhusu mtoto mdogo 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@joframmbinga5587
@joframmbinga5587 2 жыл бұрын
Hakika Mungu anatupenda watoto wake huwa anatupa msaada siku zote.
@hadijamulleris3734
@hadijamulleris3734 2 жыл бұрын
Jamani naomba nipatieni amba za simu nataka nipereke mama angu munierekeze pizi nawaomba sana munisaidie 😢🙏
@kevinchambila6842
@kevinchambila6842 2 жыл бұрын
Piga hizo namba ni za baba ake
@mercyarika7744
@mercyarika7744 2 жыл бұрын
Mnisaideni na nambas plz🙏
@hadijamulleris3734
@hadijamulleris3734 2 жыл бұрын
Mbona sijaziona namba za simu nitumie pzi
@hadijamulleris3734
@hadijamulleris3734 2 жыл бұрын
@@kevinchambila6842 sijaziona nit2mie pzi
@fatmaahmed8637
@fatmaahmed8637 2 жыл бұрын
Hajuna tena kitu hapo,huo umekuwa Ushirikina,Tia udhu usiku umuombee mzazi wako,Mola wa Haki atamponya
@jacklineomanje1025
@jacklineomanje1025 2 жыл бұрын
Eunice mungu akuzidishie kipawa ..utuokowe wachawi wanatu oneasana
@medimisi6930
@medimisi6930 2 жыл бұрын
wizi mtupu,Kama wanaweza kuponya watu waende muhimbili kuna watu wapo vitandani zaidi ya miaka kadhaa, Kama kweli halafu watueleze jee ktk familia zao hakuna mgonywa?wakifanya hivyo wataipunguzia wizara ya afya mzgo itapendeze.Nashkr kuwa muislam Hakuna Mambo ya roho mtakatifu kumshukia yyte ktk watu
@ilhamrashid1125
@ilhamrashid1125 2 жыл бұрын
Watu wanajua kutengeneza pesa aisee
@abelsteven3189
@abelsteven3189 2 жыл бұрын
mbona hakuna aliyeitwa hapo.
@namazzijane499
@namazzijane499 3 ай бұрын
Thanks be to the Lord God if the has done this, let everybody praise and pray to the Lord God amen ❤
@annahmueni-rf1bh
@annahmueni-rf1bh Жыл бұрын
Mtoto yunis abarikiwe sana aendelee kuponya watu kwa jina la yesu
@GasekereSilas-mv8po
@GasekereSilas-mv8po 2 ай бұрын
Niwo mbe na Mimi nipate mutoto 🤰🤰🤰🤰🙏🙏🙏🙏
@robypetrice8267
@robypetrice8267 2 жыл бұрын
Mungu akubaliki baby girl katika bwana yesu kristo nigetamani kufika huko
@venitarugemalila9290
@venitarugemalila9290 2 жыл бұрын
MUNGU akulinde mpaka atakapo kuita mwenyewe ila sio binadamu akuue ashinde kwa nguvu ya Mungu na YESU na Mama yetu Bikila Maria
@JolotaErastoJuma
@JolotaErastoJuma 3 ай бұрын
Hao watu mungu anawaona wanaomtafuta kwa jicho baya mtoto yunis
@OwenRakula
@OwenRakula 5 ай бұрын
Wacha Mungu azidi kutumia huyu mtoto naamini siku moja atakuja Kenya nami nitaweza kupona maishani
@immaculatenyongesa4293
@immaculatenyongesa4293 2 жыл бұрын
I believe Angel of God in form of female Anointed and baptise the baby with the fire of the hollyspirit, God protect and bless baby Yunis
@joanismalang4928
@joanismalang4928 Жыл бұрын
My mother Mary spiritual bless me too, heal my family members from different evil sickness. Amen
@florencebarasa4345
@florencebarasa4345 Жыл бұрын
I claim healing upon my mum kalesenzia makokha from diabetes
@mwanduelizabeth2282
@mwanduelizabeth2282 2 жыл бұрын
Mungu akulinde akukinge na watu walio kinyume na mapenzi ya Mungu 🙏
@annwambua6690
@annwambua6690 2 жыл бұрын
Glory to almighty father,..for giving us angle yunis 4 da healing....mungu bariki huyu mtoto zaidi.
@angelanaftael7965
@angelanaftael7965 2 жыл бұрын
Safi sana Mungu anspenda watu wake na njia za Mungu hazichunguziki
@maggyomundi5158
@maggyomundi5158 Жыл бұрын
I believe I can receive healing of the pain am in right now through angel baby Yunis.I pray that i may get finances to vist her soon for a miracle
BMG TV: Shuhudia uwezo wa mtoto Yunis Ogot akiwa darasani
13:37
BMG ONLINE TV
Рет қаралды 46 М.
Идеально повторил? Хотите вторую часть?
00:13
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 18 МЛН
Kind Waiter's Gesture to Homeless Boy #shorts
00:32
I migliori trucchetti di Fabiosa
Рет қаралды 13 МЛН
艾莎撒娇得到王子的原谅#艾莎
00:24
在逃的公主
Рет қаралды 52 МЛН
BMG TV:  Mtoto Yunis Ogot aanza kuongea, akiri kutokewa na Bikra Maria
37:07
BMG TV: Sakata la Baba na Mama Yunis lachukua sura mpya #04
46:27
BMG ONLINE TV
Рет қаралды 22 М.
Идеально повторил? Хотите вторую часть?
00:13
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 18 МЛН