Mungu endelea kuwaukumu wao kwawao chadem tupo kuleeeeee
@jeremiahblazio4781Күн бұрын
Hayo niliyajua mapema ndo maana sikujiandikisha naamini katika mimi sio chama
@JekobuNgwara20 сағат бұрын
Hahahahahaaa ccm wezi
@dismaslalubare4196Күн бұрын
CCM.. JUU JUUU JUUU ZAIDI...😂😂😂 HAPO HAMNA UPINZANI NI NYIE WENYEWE ... na bado
@annamussa185Күн бұрын
Basi tufanye hivi Yohana mbatizaji amepita sawa wananchi❤❤❤❤
@rogerabdallah4399 сағат бұрын
😂😂😂😂😂
@deusdeditsimba4452Күн бұрын
Wenyewe kwa Wenyewe,Goes around Come Around
@adelinelyaruu3036Күн бұрын
Mtavuna mliyopanda
@rogersiddyКүн бұрын
😂😂😂😂🙌
@Hemedmikole-r9eКүн бұрын
Wenyewe kwa wenyewe aibu tupu
@samwelclement8108Күн бұрын
Mungu aendereeeeee. Kuwaimbua majiz. Nyieeeeeee
@KelvinAbsalomКүн бұрын
Huu mwaka ccm lazima mpitie kaa la moto
@B23-i8pКүн бұрын
Ccm hata viongozi wao kujielezea ni shida yani uchaguzi lazima ziwepo vurugu,ingekuwa chadema zingejaa Difenda
@FadhiliMwaitete-ls2liКүн бұрын
Ndiyo ccm hiyoo imezoweya wizi sasa mnaibiana wenyewe tabia ni ngozi ccm ni kichaka cha wizi Mungu amewaumbuwa huko majina yameongezeka na watu wanajuwa
@AgustinoBuhha-j9rКүн бұрын
Hapo VP na hapo wame vuruga chadema
@rogersiddyКүн бұрын
Apo sasa watuambie Chadema wapo?
@mnolamanyendi495612 сағат бұрын
Mimi nawambia ccm makafiri haya anaroho mbaya Sana wezi Sana nyinyi mwenyezi mungu awarani nyieee
@nikodemmwahangila3334Күн бұрын
Chadema watachukua mitaa mingi sana na vijiji vingi sana samia chungulia hili kwa jicho la tatu
@EmmaculateGembeКүн бұрын
What goes round comes round Mtakoma ccm mpaka huu
@AgustinoBuhha-j9rКүн бұрын
Hi jmn watanzania sisi Wana chadema hapo hatukwepo tuko paleeeeee! Tume kaa!!!
Awamu hii mtachagua Shetani namba tatu au kusaga😂😂😂
@victorernest770211 сағат бұрын
Mkurugenzi😂😂😂😂kashavaa sare y chama 😂😂
@rogerabdallah4399 сағат бұрын
Mama samia kazi unayo na ccm yako
@anosiata8242Күн бұрын
Shida kweli kweli
@jumamsechu7 сағат бұрын
Saw mkurunzi wa chama cha majambazi
@charlessentiyongo8484Күн бұрын
Safi sana, ccm
@rajababrahman4365Күн бұрын
Mungu mlipe mtu sawa saw na haki yake Lipa kila Chama saw saw na haki ya chama
@FloridaAdelinusКүн бұрын
Wanayoyafanya katika uchaguzi wa jumla ndiyo hayo hayo wanafanyiana wao.
@PeterMahona-zd3ozКүн бұрын
Yana pigana yenyewe na yanaibiana yenyewe majambazi ccm
@EzekielSitayo11 сағат бұрын
Miaka hili Bado ccm ccm hamuoni limekua shetani
@JosephineMhandoКүн бұрын
Hakika uchaguz huu umekua na suntofaham nyingi,kiukweli Mungu atusaidie sana🙏🏻🙏🏻
@valenakomba7686Күн бұрын
HAPO SASA MPAKA MTAUWANA. MAANA WSTANZANIA MMEKUWA HAMNA MAANA UTU UMETOWEKA KABISA.
@LaurenceAgustino-v9xКүн бұрын
Wenyewe mnagombana mkigombea na wapinzani itakuaje.
@Dutichgogo4 сағат бұрын
CCM wanagomba wenyewe kwa wenyewe raana iyo imewakuta
@hagaisimion859618 сағат бұрын
Ccm ni wezi jmn hadi wao kwa wao wanaibiana heeee!!
@johnkiimbila6799Күн бұрын
Mwizi huanza kuiba nyumbani.
@YussufAme-k8zКүн бұрын
Jamaaa anawadanganya ccm wenzake duuh!! Maji yamewazdi ccm na bado.
@mjemamjema96956 сағат бұрын
WAZEE WA WEMBE ULE ULE USHINDI. WANANYOANA WENYEWE
@adamlikati336411 сағат бұрын
Kuna siku mtaongea lugha moja tu si mbali sana
@HuseinMwakindoleКүн бұрын
Mimi nauliza bajeti ya uchaguzi ndo huwa inafanya hayo uchapishaji wa karatasi za uchaguzi huwa hazina usimamizi na utaratibu? Au serikali madarakani inajikaanga kwa Malta yake? yetu macho, kama hayo ni ccm je matoke ya yajayo yatakuwa ya kweli? DUU!!!!!!!!!!!!
@SaidCannal10 сағат бұрын
Uchaguzi wa kura za maoni ccm serikali za MITAA wagombea hawana picha ni mgombea anataja jina lake na kuomba kura kwa wanachama. Karatasi za kura zinawekwa majina ya wagombea hawa wanaolalamika ni mamluki ni malalamiko ya kipuuzi
@KubiluTabuКүн бұрын
😂😂😂😂😂aiseee hii ya mwaka kwa kwel
@KhatibuMshana-wy9pfКүн бұрын
Mwalimu Nyerere alisema upinzani utatokea ndani ccm
@jumamsechu7 сағат бұрын
Na bado
@AyubuChacha-u6uКүн бұрын
Miongozo kutoka juu imezidi sana kila kitu maagizo toka juu.
@shabanikitula64523 сағат бұрын
Wamegeuka samaki walana wao kwa wao
@victorernest770211 сағат бұрын
Na badooo mpk mthemeeee😂😂😂
@EzekielSitayo11 сағат бұрын
Na MUNGU awapige Kilicho mkuta magufuli itawakuta ccm yenyewe shetani
@rogerabdallah4399 сағат бұрын
Wewe muandishi wa Habari unauliza ukuma
@edwintigwelaКүн бұрын
Wameshazoea kuiba sasa kimenuka
@mnolamanyendi495612 сағат бұрын
Majambazi ya nagombana yenyewe kwa wenyewe
@EzekielSitayo11 сағат бұрын
Laana zinaawaanza kuwakuta na mpigwe
@ChristerKokuКүн бұрын
Tamisemi mmeliona hilo,Amos Makala umelielewe hili,Chadema ipo hapo inahusika?
@ChristerKokuКүн бұрын
Difender ni za Chadema.Mungu anawaumbua,kila mtu ni msemaji.Taratibu kila sehemu umefurugwa sasa uchaguzi ujao ni hatari.
@BungeyiSaiboku22 сағат бұрын
Nendeni chama yanae elrweka ndo maana mnaletewa watu wahuni
@bahatimellita6619Күн бұрын
CCM oyeeeeeeee 😅😅😅😅
@ChristerKokuКүн бұрын
Tunatarajia kiongozi wa aina gani? Kama uchaguzi ndo huo CCM kwa CCM.
@ViolethMazengo-nd8cyКүн бұрын
Gonganeni vichwa na jezi zenu alafu huyo kaka mwongoooo
@JacobWaryobaКүн бұрын
Chama cha CCM kimemosa mvutoooo
@ndimimaskati3641Күн бұрын
Ccm ndio kazi yao WIZI MTUPU, kura zote za nchi nzima WANAIBA, wamezoea wakishirikiana na tume ya UCHAGUZI.
@ChristerKokuКүн бұрын
Uchaguzi urudiwe,ni uchafuzi.Wenzenu walisekisema mnawatukana.sema sasa.
@gastonjohn53722 сағат бұрын
Pamechangamka
@ClementDeusКүн бұрын
mbele kwa mbele kelele za nn
@ChristerKokuКүн бұрын
Tatizo la Tamisemi hilo
@annamussa185Күн бұрын
Hakuna haja ya kupiga kura nendeni home😂
@richardmakweta8875Күн бұрын
Pambaneni mbona nininyi kwa ninyi jamani?????
@JohnGadafi-x8jКүн бұрын
Vibaka wanapambana
@PrinceHendry-hp8vvКүн бұрын
Kama kura za maoni ndo hivi je za wananchi dalili sio nzuri
@BossiLaizer7 сағат бұрын
Karata ata wenyewe kwa wenyewe 😂😂😂😂😂 kwa people's Sasa????????? Watz sijui tunaonwa Je?
@StephenMpallangeКүн бұрын
Rudisheni kadi za CCM na jiungeni Upinzani huku Niko Kuna ukweli.CCM Ina wenyewe,ninyi sio wenye Chama,waachieni wenyewe Chama Chao.
@gladnessfinda7534Күн бұрын
Hahahahahhh ......Chekechea!!!!
@Mrmohadi.OFFICIALКүн бұрын
Sasa jaman uongozi wenyew wakijiji je wa raisi jaman si bunduki zitalia kila muda
@ThadeiAndreaКүн бұрын
Mmelazimishwa kwani
@PeterMahona-zd3ozКүн бұрын
Hata hapa simiyu wamepigana kalatasi wakachoma Moto ccm kama wenyewe mnaibiana jamani wewenyewe mnaona chadema mnawatukana mkome
@benedictmrisho1800Күн бұрын
Kumbe uongozi ni kaulaji fulani.
@sharafisaidi7999Күн бұрын
Mara nyingi karatasi za kupigia kura pesa huwa zinachangwa na wagombea mapema na Kazi ya Katibu wa tawi ni kuandaa hizo karatasi na picha
@beinafuu6219Күн бұрын
Huyo mwenye kofua ya chama mwongohila kwa wapinzan wanahamia kwenu wambie wajifunze kwenu waliohama kisa tu kashindwa
@HalidMuhammad-gi9qyКүн бұрын
Poleni sana huku temeke ni vitoto hasa dovya b.ni.wanafunzi ndio wanaopiga kura kwa shingi 10000 tu
@ElizabethMohamed-l4tКүн бұрын
Kumeanza kuchangamka
@JacobWaryobaКүн бұрын
CCM chama. Kimeisha
@philimonmtweve4522Күн бұрын
Kumeanza kuchangamke sasa
@annamussa185Күн бұрын
Vita bi Vita mura😂 wenyewe kwa wenyewe
@HuseinMwakindoleКүн бұрын
Nyinyi ccm mbona mnachanganya mnajaribu kufananisha mkojo na bia bia ni bia na mkojo ni mkojo
@edwintigwelaКүн бұрын
Ujinga ni mzigo aisee hv kuna mwenyekit analeta shule kweli huu ujinga watanzania lin mtaelimika ? Hao wanamuunga.mkono huyo mwenyekit sababu ya anawagongea mihuri ya mikopo hakuna jipya hapo
@AbdulhaamisSoudКүн бұрын
Ukizoea kula vyakunyonga vyakuchinja huviwezi daima na hiyo ndio taaswira halisi ya chama gizi ndani na nje ya chama dini
@estachengula3902Күн бұрын
Ccm wanataka mambumbu tu hawataki wenye akili wezi hao mbona sehemu zingine wamesimama wagombea na namba zao huku tunawaona tumechagua kwa Raha zetu
@jerome3143Күн бұрын
una nini umetimia yaliyo semwa
@PatrceKimario-ws6nl7 сағат бұрын
Wezi ni wezi tu mpakawanajiibiana ss wataponyesha hii nchi?
@JosephineKabukaКүн бұрын
Ndio maana tunawaambia ccm haipo mmeporwa hamuelewiii sasa ndo myaone kazi kwenu
Mpumpavu sana,nyie ni sokivu,muogope mungu sanaaaaaaa.Udanganyifu umezidi.hacheni chuki binafsi,vyama vingine nao hili ni taifa lao.Hata kama ni baba uchaguzi mmevuruga pakubwa.
@KibwanaMohamed-v8nКүн бұрын
ibanieni wenyewe Sasa wezi
@emanuelinaman8240Күн бұрын
Mummhhh haya endeleeni
@ChristerKokuКүн бұрын
Mnaelewa nyie.
@AyubuGereway-p9iКүн бұрын
Maelekezo Toka juu
@FrankNzombo-k3jКүн бұрын
huu uchaguzi haufanani na kachumbali huo ni ujinga
@cheiknamouna2058Күн бұрын
Subirini kidogo Hilo pilao lenu liive muone makachumbari yenyewe na mapilipili na ndimu bado hatujaongeza mtajuta😂😂
@B23-i8pКүн бұрын
Aibu
@ChristerKokuКүн бұрын
Uchaguzi ufutwe nchi mzima ili kasoro zorekenishwr.hacha wehu,nchi ni yawstamzania mbona amkamatwi hacha upuuzi.
@RamsoHk-s4pКүн бұрын
Bado hamjasema😂😂 🤣
@hamzanyelo2266Күн бұрын
Yaani wameondoka nae kwenye gari na hali hii tunayoijua ya kupoteza watu?. Hii ccm hi!.
@IssaTayari23 сағат бұрын
Asa mbona kote iko ivo watu awaelewi wanampgia nan
@mussamassawe7624Күн бұрын
Kwan uchaguz ni emergency, mpaka mcheleweshe 4m, janjajanja mingi