Рет қаралды 262
Tulipata pia fursa ya kuzungumza na wagonjwa pamoja na mashuhuda juu ya duma ya mtaalamu wa kuunga mifupa Iiyovunjika kwa kutumia dawa asili maarufu BABU kutoka kijiji cha Itunduma eneo la Wangama kona walitueleza mambo mengi sana ikiwemo namna wanavyo pata taarifa na kufika hapo lakini babu na kijana wake waliteleza changamoto wanazo[pitia katika kuhudumia watu